"NILIAMBIWA SIJUI KIINGEREZA, UINGEREZA NILIONGEA KISUKUMA?”-RAIS MAGUFULI
“Nilipoingia madarakani nikaanza kutoa hotuba kwa Kiswahili, niliambiwa sijui Kiingereza wala sikujali, UDSM nimekaa miaka mitatu nikisoma masomo yangu ya Sayansi, Chemistry na Mathematics zote zinaandikwa kwa Kiingereza,lakini Mtu akasema sijui Kiingereza”-JPM kwenye Siku ya Sheria Dodoma leo
“Nimefanya PHD bado wanasema sijui Kiingereza, na nikakaa mwaka mzima Uingereza, sijui nilikuwa nazungumza Kisukuma kule!, wakasema sijui Kiingereza, niliamua kuzungumza Kiswahili na kuki-promote kwasababu ni lugha iliyoachwa na Baba wa Taifa”-JPM
Пікірлер: 225
Ubarikiwe kwakweli RAIS wetu J.P.MAGUFULI ume nichekesha kwakweli wewe ni Rais Shujaaa baba yangu ongeya kiswahili kabisaa na sisi Afrika tuinuwe kiswahili chetu Afrika ♥️♥️♥️
What a sad day for me 😢 😢heartbroken !!! My dad and my mentor The president of the republic of Tanzania , a guy I looked upto !!! He gave me ALL the reason to be a proud Africa , I was in your country a few months ago and you had transformed it so much !!! I feel lonely shaking and in tears , Baba Mungu akuweke pema, all the forces were against you 💔 !!! Africa what a loss !!!
@kenbina
3 жыл бұрын
It's a sad time for us in Tanzania. I mourn with you, my Brother. Be comforted. With God's help and grace, Dr. Magufuli's legacy will live on. You, me and the rest of our friends can help make certain of that. 🙏
@petermatiko1083
3 жыл бұрын
Best President Mr magu the hero of Africa
Tutakumiss san baba mungu akupokee mbinguni kifio chako amependa mwenyez mungu pumzika kwa Aman
@awadhally1052
3 жыл бұрын
♥️♥️maria
@kibonerose2470
3 жыл бұрын
Amen 🙏
Asante sana Mhe.Rais kwa kupenda kiswahili.Na kiswahili kiwe lugha yetu ya Afrika.Hongera sana Mhe.J.J.P.Magufuli.
Daah inauma kweli 😭 Asante kwa yote mazuri uliopambania, pumzika kwa amani mzee wetu,hatutakusahau!
Hongera sana Mheshimiwa Rais! Tutoe ukasumba !Inawezekana kiswahili kikatumika!
Innalillah waina ilahi rajeeon. Go well son of the soil, son of Africa. Africa is proud of you.. We may not come from the same country, but we shared your vision. A great Leader you were, a proud African. I am not Tanzanian, but your love for the Africa continent spread all over Africa and beyond, You gave us hope, you gave the young politicians the reasons to join the political field. Your Leadership style, touched a lot of Africans. You believed in your people, you decided to die in the eyes of your own people. May GOD receive you well and May HE forgive your short comings. RIP John. We will forever remember you.
Dr Magufuli. Simba! The Lion who recognized The Lion of Judah! A great Man. Walks the talk. Truth is his approach however painful. Fighter for Justice and Truth . May The Angels continue to guide you as you enter into more beautiful realms. I salute you Sir!
I will miss your sense of humour......😭😭😭😭😭😭😭😭mzalendo kweli! Kiswahili ndiyo lugha yetu!
Hata wazungu wakija huku huwa wanazungumza kiswahili broken ila tunajaribu kuwaelewa hivyohivyo😂😂😂
As a Kenyan I love kiswahil and I salute you JPM the late. Your legacy will continue to take root and grow within us all patriotic Africans even in your absence. You've laid a raod map for us and it's now not a myth of wishes but open reality that Africa is very rich and wealthy and we need not hand outs or big brother to be self reliant. It needs just ONE leader to realise this and ashame them
Tutakuenzi babe milele daima😭😭😭
Uzaliwe tena baba yetu, true legend Farewell sir🙏💔
Kiingereza kiingereza na wenyewe wanakosoana na kuchekana pamoja na usheria wao.Wa Tanzania ni waingereza au waswahili ,jpm ongea lugha ya wapiga kura wako ili wakuelewe vzr
Always no one like you're success be blessed Rais wetu Jpm
I love this man RIP .... all the way from Kenya
Pumzika kwa Aman Baba 😭😭😭
Daaa ila bab kumbe huwaa yanakufikia polee sana😭😭 tunaokupenda tunaumia ukisemwaa vibaya
@mgoledaudi6051
3 жыл бұрын
Hakika👏👏👏
@mashimbazephania3511
3 жыл бұрын
Mimi mwenyewe huwa naumia mnoo wakati kingereza hata vya chekechea vinaonge2, lakini unakutana ususani vyana chadomo tena kana dgree1 kanamwambia rais wetu hajuwi kingereza.
Rip bulldozer ...realest president in the entire continent of africa 🌍 pumzika salama
Ningekuwa naweza ningeenda kumuliza mama wa Raisi je alikuwa anakupa chakula gani ulipokuwa mdogo hadi ukawa na busara hivi
@asmetkevtz
3 жыл бұрын
Ubarikiwe
@subirajohn728
3 жыл бұрын
Ameshakwenda Baba tutamiss hekima na busara zake!
I love makufuli forever golden Phiri from zambia
@munirawangu9928
3 жыл бұрын
He has died
@patriotkenya
3 жыл бұрын
Sorry fr ur loss. We all loved him
Respect Mzee wangu! 👊
Chapa kazi jpm usisikilze maneno ya watu yanavunja moyo piga kiswahil mwanzo mwisho bse it is our national language
@egideniyonkuru9705
3 жыл бұрын
Daaaaah mshikaji wangu hapa tumehomba jemedari shujaa
That's why am proud of you Mr President.
Ni vyema tutumie lugha ya swahili kama lugha rasmi,hapa nchini kenya twafaa kujikakamua zaidi
@John-qr4kf
3 жыл бұрын
Nakuunga mkono.tuwache lugha ya wenyewe.
Waafrika tumekuwa na fikira za kikoloni. Barozi wa Uingereza hajui Kiswahili na hatukumucheka. Wafrica tumejiweka chini. Kila kitu chetu hakifai. Hata majina yetu tunaona hayafai mpaka tuitwe majina ya kizungu ama ya kiarabu. Tuanza kujipenda na sio kujidharau. Kiingereza ni lugha tu kama nyingine. Kuna Waingereza W anazungumuza lugha yao hata kuandika majina yao hawawezi. TUSIKUBALI UJINGA WA KITUMWA.
Nakupenda sana baba John P Magufuli 😭😭😭😭🤲🤲🤲🤲
Hongera sana Baba wa Taifa
kiswahili ndo lugha yetu baba
@peteradam4409
3 жыл бұрын
Uko vizur raisi
@prudencehighness477
3 жыл бұрын
Wapi tutampata tena magufili sisi??
Wajinga sio wa kuwajibu,,kama kusoma ni kujua lugha za kigeni basi sisi ni wasomi kuliko wazungu maana wengi wetu tunakijua kikwao zaidi ya wao wanavyokijua kikwetu
Mungu ailinde nchi yetu amulinde pia makamu was rais aongoze kw amani
Tunakukumbua sana baba mungu akulehemu😢😢😢😢
Watanzania mpewe nani mwingine ndio mridhike, huyu ndiye mzalendo wa kweli Tanzania na Afrika.
@markogallus2046
3 жыл бұрын
Tujivunie kiswahili, Rais na Taifa letu....
@salim02tv24
3 жыл бұрын
@@markogallus2046 .
@alcherausmalinzi2033
3 жыл бұрын
Mungu awarehe marehemu wote
Umeondoka tukiwa bado tunakuhitaji!
ndio daktari Magfuli kwa kuongea lugha safi ya mwafrika. siku waafrika wataongea na lugha safi ya babu zetu.
Hongera Tz
Pumzika salama mzee
Kiswahili chetu, urithi wetu wasikuyumbishe wajinga kiswahili mbele kwa mbele.
@christianshoki2422
3 жыл бұрын
United States of America
😔🤲leo nipo Napitia hotuba zako babu yangu magufuli 😭 rest in peace baba angu
So sad RAIS MAGFULI was a states man and a real African who exhibited that spirit" Mungu Amubariki" Amen
The best of all human beings I knew.
Nakupenda Magufuli, Mungu ni shahidi
Mkataa kwao ni mtumwa! MUNGU akubariki Sana my president
Poleni raisi makufuli nikweli inayosemekana
Hongera baba yetyu
My lovely and smart president, i love you sir
@belovedcarol1300
3 жыл бұрын
So sad he is no more
Rest in Peace. God is with you, Mr. president JOHN MOGUFULI.
The thermal composition of the......
Daah ila kiingereza siyo mchezo kuongea na kuandika ni vitu viwili tofauti 😅😅 unaweza jua kusoma ila kuongea chenga
@kingcopper_tz
3 жыл бұрын
ung'eng'e mzozo mzee
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
Hasa kwa wale wasio na msingi mzuri, kwa wale wenye msingi mzuri mbona wanatema tu ngeli!!!
@kingcopper_tz
3 жыл бұрын
@@jumakapilima5674 kwa sisi tuliosoma shule za kata 90% ung'eng'e hautembei, wenzetu wakishua fresh
@mariajason3547
3 жыл бұрын
Ni kweli kabisa Mimi najua kuandika kijerumani na nna pasi kabisa, niembie kuongea balaa Na pia inategemea na mtu alivyo ...mimi basically nna aibu..ndo maana kuongea zero
@kingcopper_tz
3 жыл бұрын
@@mariajason3547 nadhani ili kujua lugha fulani ni kuongea mara kwa mara, ni kama mtoto anavyoijua lugha kabla ya kwenda shule..
Magufuli Oyeeeee!!!
Kiswahili ndio lugha yetu wakenya, Tukienzi kiswahili.. Pia marais wetu wanaposafiri ulay wawe wakiongea kiswahili wacha watafute watafsiri huko
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Wale wanaobonga kichugga wakusanyike hapa.. Ni Odjloo
Enzi hz za uhai wake Mh jpm Rest In Peace daddy
Mngu kakpenda zaind
The HERO 💪
RIP BABA RIP OUR SHUJAA WE LOVE YOU AND WE WILL STILL RESPECT YOU FROM KENYA BUT MAGUFULI TULIMPENDA SANA SANA RIP PAPA
Good all round.we will miss u mr president
Rais kama huyu jameni atapatikana wapi!?, Enzi zile marehemu Kanumba alipoenda nchi za nje alizungumza kingereza kitamu baadaye akakashifiwa kutojia kuzungumza kingereza ila hakujali... Asante kwa kuienzi kiswahili
Mze waulize kama wewe ni mungereza?
I Miss him already.....
Ni washamba tu ndo wanaamini hivyo kiswahili kwanza kingereza ni lugha ya beshara tu
Daaaa jamani hakika sauti yako haitafutika masikioni mwetu.R.I.P baba yetu
That's why i loved you baba
Great leader
Ulale pema babaaa
GOD why umechukuwa kiongozi wetu wamana sana pumzika kwa amani baba yetu 🇰🇪poleni Tz tuwe pole sote 😭😭😭
👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Na hufai kukijua kingereza,sababu yangu ya kwanza kukupeda ni kuhenzi lugha yako#mwanamme kamili
Keep it up
KISWAHILI OYEEEEE
Rip papa African hero
rip baba,kiongozi mzalendo
Daaaaaaah ulale salama rais wetu
Kiingereza cha nini sasa. Hapo ndio tunapokwama. Kiingereza ni lugha tu,we are looking for smart and sharp mind. Hujui kiingereza wao ndio walikusomea a man with PhD,hivi hawakujui nini hawa!,they just think you are from no where?! Labda hawaelewi PhD ni nini?
Janii jembe katutoka kweli😭😭😭😭💔🇹🇿🕯️
Dah jamn sitaki ata kuamin aty😭😭😭😭😭😭😭
Hakuna nchi iliyo endelea kwa kutumia lugha ya kigeni.
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
Ni sahihi!!!
@freduallughano2301
3 жыл бұрын
Acheni unafiki,abadjlishe na mitaala ya kufundishia iwe kiswahili sio mnashabikia tu wakati watoto wa vigogo wanaimarishwa katika lugha mgeni kuanzia kindergaten,nani hajui?
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
@@freduallughano2301 mnafiki ni wewe,,,,embu tuambie nchi moja tu iliyoendelea kwa watu wake kutumia lugha ya kigeni!!!!
@shahamtindo
3 жыл бұрын
Upo sahihi
@freduallughano2301
3 жыл бұрын
@@jumakapilima5674 Hong Kong iliendelea kabla ya china
Kama kweli anakijua kiingereza angekiongea tu ili mambo yasiwe mengi.
Ntakumic daima baba😭😭😭
Uliongea kilugulu sio kisukuma
kwani wa naongea kiingereza wa najua kiswahili.? kwanini tusitumie lugha yetu ya kiswahili kama mataifa mengine yanavyotumia lugha zao za asili. Siwezi jisifu najua kizungu na kusahau lugha yetu. English ni lugha ya biashara na si lugha ya Taifa. kiswahili kidumu milele. Na kitumike kama Lugha ya kufundishie hadi chuo kikuu.
Kkkkkk. Tanzania ni kiswahili.kweli Baba makufurii
THE BIGGEST BOSS NASRI
We hv really lost a great leader no one will ever replace you Baba
@kusseinabdulrahman6720
3 жыл бұрын
Mungu akulaze mahari pemapeponi mungu hametwaaa jinalake
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
R I P our president Magu
Jembe la taifa
Uko Sawa late prezo Kiswahili ndio lugha ya kitafaifa na ndio lugha yetu kizungu inawenyewe wakiwa uhungerezani
Yaani kiukweli nimeumia sana ila bs tu nenda salama watu tulikuwa tumenyooka hasa watumishi kingine ulikuwa na msimamo hukuogopa chchte sijui saizi itakuaje mungu akupokee babaetu
🤣🤣🤣 jamani wabongo mna maneno nawaomba serikali midomo ilipiwe vat ili watu wapunguze midomo ombi langu hilo.
Good my former president
Download
😭😭😭😭😭😭
Mbona makofi hamna?
Kiukweli kinachoumiza leo kinakufanya uwe na nguvu kesho
BIG UP MR. PRESIDENT
FAHAMU DALILI ZA UGONJWA WA TEZI DUME 0655523211 1.Kukojoa mara kwa mara hasa wakati wa usiku 2.mkojo kutoka kisiri siri 3.mkojo kutoka bila nguvu na kutokuruka mbali. 4.kukosa hamu ya tendo la ndoa na kuishiwa nguvu za kiume. 5.kupata ugumu na maumivu wakati wa kukojoa. Tezi dume isipotibiwa mapema huleta madhara mbalimbali kama 🔸 Upungufu wa nguvu za kiume 🔸 Saratani ya tezi dume 🔸Figo kufeli 🔸Mawe kwenye figo 🔸Kifo Kwa ushauri na tiba 0655523211.
Rip
Alienda England akiwa ana ongea English. Afu wengine wana ambiwa English haina maana. Kwa hivyo sisi tukienda England tuka ongee kiswahili na nani
@busta_malik5971
3 жыл бұрын
😂😂
@mariajason3547
3 жыл бұрын
90% ya watu hao hawaendi UK Kila la kheri yako wewe utakaeenda
@hamismaulid270
3 жыл бұрын
Utakwenda jifunza huko huko, mbona wao wanakuja hawajui kiswahili, usiwalazimishe wooote watanzania wajue kingereza
@mariajason3547
3 жыл бұрын
@@hamismaulid270 Haswaaaa