"NA WEWE BOSI WAO -HAIWEZEKANI -UTAKOMESHWA na MUNGU SIKU UKIFA" -

"NA WEWE BOSI WAO -HAIWEZEKANI -UTAKOMESHWA na MUNGU SIKU UKIFA" - #TBT MAGUFULI GEREZA la UKONGA..
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 75

  • @globaltv_online
    @globaltv_online4 ай бұрын

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u6Dk3QxRsVCJ7kW2e

  • @hugholinemmasi1671
    @hugholinemmasi16714 ай бұрын

    Raisi mzalendo wa kweli kweli,MWENYE Enzi Mungu akupe pepo mwanana utuombee huko mbinguni ulipo.Pumzika kwa Amani Papa

  • @Azikiwe-qi6jd
    @Azikiwe-qi6jd4 ай бұрын

    One of our finest president, we miss you papa,

  • @ConsolataMtweve-rk6cf

    @ConsolataMtweve-rk6cf

    3 ай бұрын

    We real miss you RIP dear

  • @noelmarapachi1808

    @noelmarapachi1808

    2 ай бұрын

    For real, one of the finest ever happened in Tanzania 🇹🇿

  • @bonifassimon7909
    @bonifassimon79094 ай бұрын

    Daah ni kama ya leo hii hotuba bwana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana liimidiwe amina

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias13394 ай бұрын

    No body will forget the strength of yours, rest in peace magu

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza4824 ай бұрын

    Tunakukumbuka kaka, sasa hivi upigaji unatisha, kila sekta ni hatari

  • @anawa4326
    @anawa43264 ай бұрын

    Man of Truth hatakagi ujinga RIP Mr President

  • @yayananajota5838
    @yayananajota58384 ай бұрын

    This man he touch my life, he make me be like never be4, RIP papa,

  • @eddahkobong271
    @eddahkobong2714 ай бұрын

    Pumzika kwa Amani. Inaumiza sana kukukosa, Ila wote ndiyo njia yetu.

  • @sonnyr1899
    @sonnyr18994 ай бұрын

    Huyu alikuwa na kipaji cha uongozi.

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s2 ай бұрын

    RIP JPM, he was strong leader of Africa,

  • @paulsibu5770
    @paulsibu57704 ай бұрын

    DAH HUYU MWAMBA ALIKUWA NI HATARI RIP MAGI

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind16093 ай бұрын

    True leader, True Tanzanian.

  • @edwinmmari634
    @edwinmmari6342 ай бұрын

    Mh.Makonda alikua yupo kwenye field study na hakua anajua kumbe Mungu alikua anamtumia Raisi Magufuli awe Mwalimu wa muda wa Makonda na sasa najua Mh.Raisi Magufuli huko alipo anafurahi kuona Mh.Makonda akifuata nyao zake na kuchapa kazi vyema...😊😊

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe49534 ай бұрын

    Duuuuh huyu mwamba alikuwa kiongozi bora Tanzania 🇹🇿 ivi ngozi nyeusi kama huwez uongozi si umwachie nafas mtu mwingine afanye hiyo kazi

  • @naturelle1097
    @naturelle10974 ай бұрын

    ❤❤❤.smart President you were

  • @mamamfugaji9065
    @mamamfugaji90654 ай бұрын

    Nyie global mfikishieni mama bado wananunua uniform hawa askari.

  • @prosperjohn2047

    @prosperjohn2047

    4 ай бұрын

    Amesafiri, Bado nchi kadhaa, amalizie safari

  • @aishaalbalushaishabalush8291

    @aishaalbalushaishabalush8291

    3 ай бұрын

    sasa akiambiwa sasa maana ye ndio kayaruhusu haya and hamnaga akili sjui toka kaanza kuambiwa kero za watu lini uliona akiwawajibisha wanao kosea. ?????

  • @user-kp6lz7zs1w
    @user-kp6lz7zs1w4 ай бұрын

    Mwenyezi mungu Amrehemu uko Aliko Ayati baba etu mpendwa magufuli

  • @jamesukombozi5216
    @jamesukombozi52162 ай бұрын

    Watanzania huwa tunashangilia kupewa vitu vilivyotengenezwa hatushangilii kupewa ufahamu wa kutengeneza vitu,, duuh! Nchi hii bwana! R I P Magufuli BABA wa maarifa, mlezi, mzalendo, mkweli ❤🎉🎉🎉

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi4 ай бұрын

    Siyo wote walofungwa wana makosa,wengine walisingiziwa au kubambikiwa,pia hukumu zinatofautiana 😢

  • @lumulyimage4826
    @lumulyimage48263 ай бұрын

    Nimeangalia bila kurusha. R.I.P President.

  • @johnkiganga6014
    @johnkiganga60144 ай бұрын

    The best african president god bless your

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru50234 ай бұрын

    Tutampata wapi tena kama wewe baba yetu 😭😭😭

  • @makoyejohn3930
    @makoyejohn39304 ай бұрын

    Hivi atakuja atokee mwamba kama huyu mwenye uzalendo na asiyejali tumbo lake mwenyewe? Mwamba aliyetoa maisha yake kwa watu wake. Atatokeaga kweli Rais kama huyu? Dah. Na hii njaa tuliyonayo itakuwa ngumu kupata Rais kama huyu.

  • @gmaillameckmnyika
    @gmaillameckmnyika4 ай бұрын

    😢😢😢😢dah basi tu😢😢😢😢

  • @denisyohana8104
    @denisyohana81044 ай бұрын

    HII JAMAA NATAMANI TUKUTANE MBINGUNI

  • @user-vb8ki3jo9t
    @user-vb8ki3jo9t3 ай бұрын

    Magu tutakukumbuka daima baba

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee4 ай бұрын

    Kilikuwa kichwa hiki..... Fresh ideas za kufaa sana, huyu ni Rais mwenye akili timamu

  • @TuryamurebanicholasNicho-hn8oj
    @TuryamurebanicholasNicho-hn8oj2 ай бұрын

    Zero corruption during JPM rule🙏🏽pumziko la milele

  • @gasparyephraimmwakatuma9542
    @gasparyephraimmwakatuma95424 ай бұрын

    Ulifanyakazi yako kwa kadri ya karama Mungu aliyokujalia!

  • @AyoubMatabala-zf6oi
    @AyoubMatabala-zf6oi3 ай бұрын

    ❤viongozi tujifunze hivyo vyote mtaviacha

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert41794 ай бұрын

    Tutakukumbuka daima 💔 💔 shujaa wetu 😢hakika pengo halizibiki

  • @margaretmahege7948
    @margaretmahege79484 ай бұрын

    Unaishi baba

  • @pastorgodwinchengula7848
    @pastorgodwinchengula78483 ай бұрын

    Nani kamuona Comredy Makonda? Maisha yanaenda Kasi sana.

  • @fideamtenga212
    @fideamtenga2124 ай бұрын

    Ameeee

  • @user-fs4uh3id3c
    @user-fs4uh3id3c2 ай бұрын

    Magufur kuondka kwako Dunian tumeumia sana wewe ulilijali taifa lako mungu akuweke mahr pema pepon

  • @user-kg3cr9gg1h
    @user-kg3cr9gg1h2 ай бұрын

    Maono hayoo

  • @JosephMwangiluke
    @JosephMwangiluke2 ай бұрын

    My president of all the time JPM R.I.P

  • @user-sy2mp7mm8u
    @user-sy2mp7mm8u4 ай бұрын

    Aisée

  • @TalasilaAnatory
    @TalasilaAnatory2 ай бұрын

    Pumzika kwa amani

  • @SafariMsafi-um1pz
    @SafariMsafi-um1pz4 ай бұрын

    Nani kaona tabasamu la general wa magereza

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena59224 ай бұрын

    Mulimponda sasa hivi munampongeza kweli Tanzania kichwa cha Mwendawazimu

  • @yusufuheri6524

    @yusufuheri6524

    2 ай бұрын

    Yahni

  • @pastorgodwinchengula7848
    @pastorgodwinchengula78483 ай бұрын

    Hakuna hotuba ya kuandikiwa hapo anahutubia kutokana na alichokiona na anachojua ili kutatua changamoto zilizopo.

  • @glorykastai3996
    @glorykastai39964 ай бұрын

    He was such a brainy person

  • @edmundphilemon3054
    @edmundphilemon30544 ай бұрын

    Upumzike vyema jpm

  • @evaristgaspa6074
    @evaristgaspa6074Ай бұрын

    Sijui tutapata mtukamahuyu Tena: sasahi kunausemi unajua minani

  • @shizoshop2469
    @shizoshop2469Ай бұрын

    Hapa alimtaget manji 😂😂😂😂

  • @obadiamtawa1279
    @obadiamtawa12792 ай бұрын

    watakuwanatamani kufungwa kila siku😂😂

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent94082 ай бұрын

    Ila mbegu zako tupo mkuu tutakopi kwenye clip zako

  • @alisaidi2620
    @alisaidi26202 ай бұрын

    Ni ukweli president magufuli alikufa ??? Mbona hizi video zake nikama ako live😢

  • @user-gp7es3sg3k
    @user-gp7es3sg3k2 ай бұрын

    Pumzka kwa amani baba

  • @josephmysononline5919
    @josephmysononline59193 ай бұрын

    r.i.p JPM

  • @hillarymusalia8066
    @hillarymusalia80663 ай бұрын

    In did this was atrue leader

  • @saidchonde9851
    @saidchonde98513 ай бұрын

    NI MIAKA MITATU SASA TANGU ATUACHE LAKINI HACHOSHI KUMSIKILIZA....😂😂huyu ndo Rais wangu,huyo mwingine endeleeni naye nimewaachia mimi siyo mroho wa marais

  • @user-yr1dv2oq7r
    @user-yr1dv2oq7r4 ай бұрын

    Mwamba thabiti

  • @DeusRobart
    @DeusRobart2 ай бұрын

    sisitunakwenda kulala nyinyindo mmefungwa zaid endeleen nakaz 😂😂😂

  • @user-xd2tg8eq1h
    @user-xd2tg8eq1h2 ай бұрын

    Umeacha pengo mkuu

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu3 ай бұрын

    Huyu ndio RAISI sio huyu bogasi kila siku kusafili

  • @salehhassan87

    @salehhassan87

    2 ай бұрын

    Umechoka kuishi uraiani

  • @thabitiseapower4499
    @thabitiseapower44994 ай бұрын

    Hinatia haibu myumba kama hanarara kuku

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    4 ай бұрын

    Anarara ndio Nini analala du,!!!!!

  • @kaisimwantindili397

    @kaisimwantindili397

    4 ай бұрын

    Pumuzika kwa amani , MZALENDO wa kweli, hufananishwi na wapiga Dili.

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo62634 ай бұрын

    Je, hizo nyumba za Magereza Ukonga zilijengwa?

  • @nitumesokoni3164

    @nitumesokoni3164

    3 ай бұрын

    Yaap zilijengwa, ila kwa mbinde sana. Alikuja kutembelea ujenzi akakuta unasuasua, akawanyang'anya TBA ambao ndo walikuwa wanajenga akawakabidhi JKT ambao walimaliza ujenzi kisha akambadilisha Kamishna wa Magereza akaweka mtu wa JWTZ

  • @sylvestercameo6263

    @sylvestercameo6263

    3 ай бұрын

    @@nitumesokoni3164 Apumizike kwa amani shujaa wa Taifa letu! Nakushukuru kwa kunitaarifu!

  • @masatumtani1588

    @masatumtani1588

    3 ай бұрын

    Zilijengwa na wanaishi saiv na ziliisha kabra ajafa alizifungua mwenyewe

  • @sylvestercameo6263

    @sylvestercameo6263

    3 ай бұрын

    @@masatumtani1588 Kumbe sasa askari wanaishi kwenye nyumba zenye hadhi,! Safi sana, alisimamia kikamilifu kile alichokiamini. Apumizike kwa amani!

  • @lumulyimage4826

    @lumulyimage4826

    3 ай бұрын

    ​@@sylvestercameo6263aisee hii inatia moyo sana.

  • @user-vb8ki3jo9t
    @user-vb8ki3jo9t3 ай бұрын

    P

  • @user-vw4te9qr3i
    @user-vw4te9qr3i3 ай бұрын

    Pumuzika kwa amani sauti ya simba simba wa nyika

Келесі