EXCLUSIVE: WAZIRI SILAA ANG'AKA "WATU WAMELIA SANA Kwenye ARDHI"

EXCLUSIVE: WAZIRI SILAA ANG'AKA "WATU WAMELIA SANA Kwenye ARDHI"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 52

  • @penwelinatimothy9057
    @penwelinatimothy90574 ай бұрын

    Kazi yako ni njema,Mungu akubariki.

  • @saidalnaamani1233
    @saidalnaamani12334 ай бұрын

    Kwakweli muheshimiwa waziri endelea na kazi yako safi kwa uadilifu ni mtu unamuogopa Mungu

  • @user-zq7gw4ik7g
    @user-zq7gw4ik7g4 ай бұрын

    Uko vizueri waziri umetusaidia sana . Tunaomba ukae ardhi ata miaka mitano ujayo.

  • @ip_header
    @ip_header4 ай бұрын

    Waziri Kijana very smart, Mungu azidi kumuongoza kwa maslahi ya taifa

  • @giztony2009

    @giztony2009

    4 ай бұрын

    Ana ukijana upi huyu wakati mvi kichwa kizima! Huyu ni mzee maana kijana mwisho 35

  • @mzalendomzalendo2567

    @mzalendomzalendo2567

    2 ай бұрын

    Mvi sio uzee

  • @mkutamajuto1549
    @mkutamajuto15494 ай бұрын

    Tukipata viongoz wachache kama ww wanatutosha❤

  • @user-qd1fc4mq6o
    @user-qd1fc4mq6o4 ай бұрын

    Mh waziri slaa njoo halmashauri ya kyela- Mbeya na clinic ya ardhi Kuna migogoro ya ardhi ambayo hime sababishwa na DED pamoja na mahofisa ardhi

  • @mukuakili3006
    @mukuakili30064 ай бұрын

    Anapigaaa kazi sana bwana mdogoo

  • @mukuakili3006
    @mukuakili30064 ай бұрын

    Very smart Leader

  • @user-mr8vl9cy8i
    @user-mr8vl9cy8i4 ай бұрын

    Jilinde na maadui wa haki, wenye wivu, chapa kazi kwa umakini na weredi.

  • @franksiame8441
    @franksiame84414 ай бұрын

    Huyu jamaa ana akili sana nikiongozi muzuri

  • @Ambeniwatano
    @Ambeniwatano4 ай бұрын

    Wakipatikana vijana kama wewe serikalini wachapa kazi kwakweli ni rahaaa ila simama na mungu maana uchawi utanuka madai ya viwanja yamejaa mauchawi

  • @user-mr8vl9cy8i
    @user-mr8vl9cy8i4 ай бұрын

    Mh huyu ni asset kubwa ya nchi, tumpe nafasi zaidi.

  • @Chemba67
    @Chemba674 ай бұрын

    Anaonekana ni mtu mzuri mwenye dhamira njema

  • @andreap.assenga8480
    @andreap.assenga84804 ай бұрын

    Mungu akubariki sana na akutangulie ktk majukumu yako ya kila siku kwa ujasiri wa kuweza kupunguza kero za ardhi nchin maana hii wizara ilikuwa haijawahi kupata waziri makini, Ndio maana mwenye nguvu pamoja na baadhi ya wanasheria wasiokuwa waaminifu walitumia mwanya huo kujichukulia maeneo ya watu hata matapeli walitumia mwanya huo kuwa kesi za ardhi ukishajenga kesi imeisha, pia kes za ardhi haxifungi hivyo kutokana na hayo ndiyo chanzo cha matatizo makubwa zaidi, Sasa wazir kapatikana wengi wameanza kujitambua kuwa sasa ni kesi, Wizara inatakiwa iwe na mfano wa Mh, Wazir Jery slaa.

  • @zakayodismas251
    @zakayodismas2514 ай бұрын

    Huyuu jamaaa kwa jinsi ninavyo onaa hana hekima sana katika matamshii yakee .. na jinsi anayofanyaa kazii namuoneaa mbalii sanaa sijaonaa sehem kakurupukaa kutumiaa. Madaraka vibaya

  • @user-zb2mj5nd5g

    @user-zb2mj5nd5g

    4 ай бұрын

    sijakuelewa vizuri kwenye comment yako umesema hana heshima ebu ipitiye upya hiyo comment yako

  • @MohamedAhmada-ie7ke
    @MohamedAhmada-ie7ke4 ай бұрын

    😂😂wabongo mwanzo walikua hawamkubali jamaa wnasema shangwe tu ila now mdgo mdgo wana muelewa

  • @hamisimwinzagu6624
    @hamisimwinzagu66244 ай бұрын

    Speed yake isije ika stop ghafla kama ya waziri wa kilimo

  • @chukuchukukissy8694
    @chukuchukukissy86944 ай бұрын

    Upo vzr kiongozi

  • @hanspop6961
    @hanspop69614 ай бұрын

    Nakuelewa Waziri wng Mungu akulinde na Mama hajakosea kukupa Wizara hii

  • @samsonmwankosole375
    @samsonmwankosole3754 ай бұрын

    Hongera Mh. Waziri huyo dada wa Mwanza nilimuona na hongera Kwa kumuhudumia

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno79144 ай бұрын

    My god protect Jerry

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael79654 ай бұрын

    Ardhi imetuliza wengi mf bagamoyo Ukun tumetapeliwa nimelipa mie ha ndg zangu viwanja vitatu risit ninazo miaka zaidi ya 17 sijaona lolote Mh lukuvi by then akatoa agizo kwamba sote tuliokuwa kwenye mchskato wa ukuni tupewe viwanja nikaandikisha ofs ya ardhi baganoyo nikaacha stakakadhi zangu hadi kesho nothing and nothing...

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno79144 ай бұрын

    Jerry my next president forever

  • @user-hs7vq1jo2q
    @user-hs7vq1jo2q4 ай бұрын

    Kaka njoo Arusha utuokoe Mungu akulinde usipate hata kipele

  • @user-hs7vq1jo2q
    @user-hs7vq1jo2q4 ай бұрын

    Ewe Mungu tunakuomba umlinde Jerry miaka yote ya maisha yake.

  • @user-fs9tr9pe5h
    @user-fs9tr9pe5h4 ай бұрын

    Well said..

  • @taylorkasitu3819
    @taylorkasitu38194 ай бұрын

    maccm bana hata mpewe miaka 1000 hakuna kitu ni walewale tengeneza tatizo afu unajifanya kutatua nchi ambayo mfumo wa mahakama umeoza ni hovyo wewe na makonda ni welewale ambao hawakuchaguliwa na wanaichi

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu50254 ай бұрын

    Mama mpe uwaziri mkuu huyu binaadamu atainyoosha nchi

  • @user-qy8qw9ny4s
    @user-qy8qw9ny4s4 ай бұрын

    Super duper

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne74914 ай бұрын

    Ardhi ina sumbua sana skuizi kuliko bifu la wakulima na wafugaji😢

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh4 ай бұрын

    Smart Boy

  • @petroyohana1126
    @petroyohana11264 ай бұрын

    Unafaa uwe waziri mkuu kabisaaa utasaidia kuondoa hii mitandao inayokula pesa za umma

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    4 ай бұрын

    Kwel

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu50254 ай бұрын

    Watu wamelia mda mrefu jamani tumuombee huyu baba

  • @alexkimaro2886
    @alexkimaro28864 ай бұрын

    Kweli jery slaa kaz inafanyika ila spidi sio nzur sn inaweza kuharibu hali ya hewa kwan wanaolalamika pia ni matapel tapel hajulikan kwa sura

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu50254 ай бұрын

    Nimeipenda hii usiseme naomba unisaidie

  • @happymackjacob3480
    @happymackjacob34804 ай бұрын

    ❤❤

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu50254 ай бұрын

    Nimekuelewa Silaha jamani Magufuli aliposema vijana wapewe nafasi ya kuwa Mawaziri nimeikumbuka hii tukipata viongozi wa namna hii na waaminifu na vijana waliosoma nchi hii itafika mbali niliwahi jiuliza hivi kwa nini hatuna mifumo kama ya nchi za wenzetu tutaondokana na Rushwa

  • @archiraphael885
    @archiraphael8854 ай бұрын

    muheshimiwa unajitahidi kuelezea vizuri swala la barabara hivi kuanzia kerezange mpaka magole mbunge na waziri mwenye dhamana sio wewe kweli

  • @froma3732
    @froma37324 ай бұрын

    Wingine bado hawamkubali Rais kwa hivo itakupa tabu kuwaelesha 5 Tena

  • @user-ox3iw3rl7g
    @user-ox3iw3rl7g4 ай бұрын

    Huyo maulid wa kitenge hajui kitu kazi yake kuitikia tu

  • @steveayoub2316
    @steveayoub23164 ай бұрын

    Anafaa kuwa waziri wa NISHATI

  • @mosesnyelo1380

    @mosesnyelo1380

    4 ай бұрын

    Aliepo kwenye nishat anatosha kabsa, now anasafisha uozo ulioachwa na alie tangulia

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo58634 ай бұрын

    Wewe waziri silaa jimbo lako kwa mkoa wa dar es salaam lina ongoza kwa migogoro ya ardhi kuanzia mbondole,chanika ,mbande , kivule kote huko wamejaa wakuriya wanaiba aridhi za watu wanauza na unalijua hilo

  • @magorymara5515

    @magorymara5515

    4 ай бұрын

    Huwezi kuuza ardh ya mzaramo bila kumpa chake kwanza utaanzaje

  • @hamidudigogo5863

    @hamidudigogo5863

    4 ай бұрын

    @@magorymara5515 kwahyo unaona kama nime ongopa au hufuatilii kwamba nilicho ongea Kina ukweli

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s4 ай бұрын

    FFIDDA HUSSEIN NI FISSADI WA NYUMBA ZA WATU

  • @mahamudali1453
    @mahamudali14533 ай бұрын

    Fraudster belong to jail waziri your fighting endless war jail them

  • @hamidmohamed7727
    @hamidmohamed77274 ай бұрын

    Huyu nae wale wale hichi chama ni miaka sasa.hakina ishu

Келесі