EXCLUSIVE: WAZIRI SILAA ANG'AKA "WATU WAMELIA SANA Kwenye ARDHI"
EXCLUSIVE: WAZIRI SILAA ANG'AKA "WATU WAMELIA SANA Kwenye ARDHI"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 52
Kazi yako ni njema,Mungu akubariki.
Kwakweli muheshimiwa waziri endelea na kazi yako safi kwa uadilifu ni mtu unamuogopa Mungu
Uko vizueri waziri umetusaidia sana . Tunaomba ukae ardhi ata miaka mitano ujayo.
Waziri Kijana very smart, Mungu azidi kumuongoza kwa maslahi ya taifa
@giztony2009
4 ай бұрын
Ana ukijana upi huyu wakati mvi kichwa kizima! Huyu ni mzee maana kijana mwisho 35
@mzalendomzalendo2567
2 ай бұрын
Mvi sio uzee
Tukipata viongoz wachache kama ww wanatutosha❤
Mh waziri slaa njoo halmashauri ya kyela- Mbeya na clinic ya ardhi Kuna migogoro ya ardhi ambayo hime sababishwa na DED pamoja na mahofisa ardhi
Anapigaaa kazi sana bwana mdogoo
Very smart Leader
Jilinde na maadui wa haki, wenye wivu, chapa kazi kwa umakini na weredi.
Huyu jamaa ana akili sana nikiongozi muzuri
Wakipatikana vijana kama wewe serikalini wachapa kazi kwakweli ni rahaaa ila simama na mungu maana uchawi utanuka madai ya viwanja yamejaa mauchawi
Mh huyu ni asset kubwa ya nchi, tumpe nafasi zaidi.
Anaonekana ni mtu mzuri mwenye dhamira njema
Mungu akubariki sana na akutangulie ktk majukumu yako ya kila siku kwa ujasiri wa kuweza kupunguza kero za ardhi nchin maana hii wizara ilikuwa haijawahi kupata waziri makini, Ndio maana mwenye nguvu pamoja na baadhi ya wanasheria wasiokuwa waaminifu walitumia mwanya huo kujichukulia maeneo ya watu hata matapeli walitumia mwanya huo kuwa kesi za ardhi ukishajenga kesi imeisha, pia kes za ardhi haxifungi hivyo kutokana na hayo ndiyo chanzo cha matatizo makubwa zaidi, Sasa wazir kapatikana wengi wameanza kujitambua kuwa sasa ni kesi, Wizara inatakiwa iwe na mfano wa Mh, Wazir Jery slaa.
Huyuu jamaaa kwa jinsi ninavyo onaa hana hekima sana katika matamshii yakee .. na jinsi anayofanyaa kazii namuoneaa mbalii sanaa sijaonaa sehem kakurupukaa kutumiaa. Madaraka vibaya
@user-zb2mj5nd5g
4 ай бұрын
sijakuelewa vizuri kwenye comment yako umesema hana heshima ebu ipitiye upya hiyo comment yako
😂😂wabongo mwanzo walikua hawamkubali jamaa wnasema shangwe tu ila now mdgo mdgo wana muelewa
Speed yake isije ika stop ghafla kama ya waziri wa kilimo
Upo vzr kiongozi
Nakuelewa Waziri wng Mungu akulinde na Mama hajakosea kukupa Wizara hii
Hongera Mh. Waziri huyo dada wa Mwanza nilimuona na hongera Kwa kumuhudumia
My god protect Jerry
Ardhi imetuliza wengi mf bagamoyo Ukun tumetapeliwa nimelipa mie ha ndg zangu viwanja vitatu risit ninazo miaka zaidi ya 17 sijaona lolote Mh lukuvi by then akatoa agizo kwamba sote tuliokuwa kwenye mchskato wa ukuni tupewe viwanja nikaandikisha ofs ya ardhi baganoyo nikaacha stakakadhi zangu hadi kesho nothing and nothing...
Jerry my next president forever
Kaka njoo Arusha utuokoe Mungu akulinde usipate hata kipele
Ewe Mungu tunakuomba umlinde Jerry miaka yote ya maisha yake.
Well said..
maccm bana hata mpewe miaka 1000 hakuna kitu ni walewale tengeneza tatizo afu unajifanya kutatua nchi ambayo mfumo wa mahakama umeoza ni hovyo wewe na makonda ni welewale ambao hawakuchaguliwa na wanaichi
Mama mpe uwaziri mkuu huyu binaadamu atainyoosha nchi
Super duper
Ardhi ina sumbua sana skuizi kuliko bifu la wakulima na wafugaji😢
Smart Boy
Unafaa uwe waziri mkuu kabisaaa utasaidia kuondoa hii mitandao inayokula pesa za umma
@awadhally1052
4 ай бұрын
Kwel
Watu wamelia mda mrefu jamani tumuombee huyu baba
Kweli jery slaa kaz inafanyika ila spidi sio nzur sn inaweza kuharibu hali ya hewa kwan wanaolalamika pia ni matapel tapel hajulikan kwa sura
Nimeipenda hii usiseme naomba unisaidie
❤❤
Nimekuelewa Silaha jamani Magufuli aliposema vijana wapewe nafasi ya kuwa Mawaziri nimeikumbuka hii tukipata viongozi wa namna hii na waaminifu na vijana waliosoma nchi hii itafika mbali niliwahi jiuliza hivi kwa nini hatuna mifumo kama ya nchi za wenzetu tutaondokana na Rushwa
muheshimiwa unajitahidi kuelezea vizuri swala la barabara hivi kuanzia kerezange mpaka magole mbunge na waziri mwenye dhamana sio wewe kweli
Wingine bado hawamkubali Rais kwa hivo itakupa tabu kuwaelesha 5 Tena
Huyo maulid wa kitenge hajui kitu kazi yake kuitikia tu
Anafaa kuwa waziri wa NISHATI
@mosesnyelo1380
4 ай бұрын
Aliepo kwenye nishat anatosha kabsa, now anasafisha uozo ulioachwa na alie tangulia
Wewe waziri silaa jimbo lako kwa mkoa wa dar es salaam lina ongoza kwa migogoro ya ardhi kuanzia mbondole,chanika ,mbande , kivule kote huko wamejaa wakuriya wanaiba aridhi za watu wanauza na unalijua hilo
@magorymara5515
4 ай бұрын
Huwezi kuuza ardh ya mzaramo bila kumpa chake kwanza utaanzaje
@hamidudigogo5863
4 ай бұрын
@@magorymara5515 kwahyo unaona kama nime ongopa au hufuatilii kwamba nilicho ongea Kina ukweli
FFIDDA HUSSEIN NI FISSADI WA NYUMBA ZA WATU
Fraudster belong to jail waziri your fighting endless war jail them
Huyu nae wale wale hichi chama ni miaka sasa.hakina ishu