Silaa afunguka Wabunge zaidi ya 30, Manaibu Waziri 6, na Waziri kupigwa ardhi Dodoma

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amesema Wabunge zaidi ya 30, Manaibu Waziri 6, Waziri mmoja na Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson ni miongoni mwa waathirika wa migogoro ya ardhi iliyosababishwa na baadhi ya watumishi wa ardhi kwenye jiji la Dodoma.
Silaa ameyasema hayo wakati akihitimisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2024/25 leo Jumatatu, Mei 27, 2024 jijini Dodoma.

Пікірлер: 97

  • @ministeribramore3694
    @ministeribramore3694Ай бұрын

    Huyu brother amenyooka. Sana🙏

  • @bonaventuremwambaja6278
    @bonaventuremwambaja6278Ай бұрын

    Hongera sana kazi nzuri Mhe. Waziri.

  • @user-qx5tf8xn2d
    @user-qx5tf8xn2d25 күн бұрын

    Hongera sana waziri Jerry Slaa. Shida bado iko huku chini (Mawilayani) yale maneno ya kitabu cha kutoka 28:3 hayamo mioyoni mwao. Bado unayo kazi ngumu huku chini. Nakuombea neema tele toka kwa baba wa Mbinguni.

  • @micahallen5612
    @micahallen5612Ай бұрын

    Waziri namkubali sana,,,,Toka atoke Lukuvi naona huyu ndiye aliyevaa viatu vyake vizuri

  • @user-hs7vq1jo2q
    @user-hs7vq1jo2qАй бұрын

    Wewe ni nguzo kuu ya Tanzania umetenda miujiza sana na bado unatenda . Nakukubali sana kaka. Mungu akulinde sana

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu3425 күн бұрын

    Ningeulizwa kuwa Tanganyika kuna mawaziri wangapi ningesema mmoja tu naye ni Jelly Silaa, na iko na mkuu wa mkoa mmoja tu ngugu Albert Bashite maarufu MAKONDA,big up yenu.

  • @josephmatiko4805
    @josephmatiko480529 күн бұрын

    Nafuraha saana,nikiona vijana kama hawa wanaotaka kubadilisha nchi hii kutoka mikononi,mwa majizi,hongereni sana wavijana wa Magufuli wetu

  • @josephmasenga3517
    @josephmasenga351723 күн бұрын

    Amina. Mungu atukuzwe.

  • @selinalawala2270
    @selinalawala227023 күн бұрын

    Mungu akutunze mh waziri wa ardhi. Haki huinua taifa.

  • @wilfredmaimu1958
    @wilfredmaimu1958Ай бұрын

    Hongera sana kaka jer mungu akulinde utokapo na uingiapo🎉🎉🎉

  • @mmwaupete6265
    @mmwaupete6265Ай бұрын

    Kazi nzuri mheshimiwa Silaa. Tatizo la utapeli wa Ardhi linahusishwa na watumishi wa ardhi wasio waaminifu. Bila kujenga mfumo imara, itakuwa ngumu kumfikia kila aliyedhurumiwa.

  • @kingarushamsi-gi6yr
    @kingarushamsi-gi6yr24 күн бұрын

    Mhe. Bwana mdogo tuko nyuma yako tunakuombea munyezi mungu akulinde na akutangulie ktk kazi yako

  • @frolencejovenary667
    @frolencejovenary667Ай бұрын

    Kulingana na uelewa wangu, kuna watu au viongozi wa nchii ni waadirifu sana, to mention few among many, kuna Huyu Jerry Silaa, Kuna Makonda na Kuna Bashungwa. Hawa watu wanapiga kazi sanaa kuliko maelezo sanaa. MUNGU AWATANGULIE KATIKA KILA JAMBO

  • @sirajkiondo50

    @sirajkiondo50

    Ай бұрын

    Unamuonaje waziri wa maji (Aweso)

  • @aloycemwakatala2796
    @aloycemwakatala2796Ай бұрын

    Hakika mutu huyu kashushwa na Mwenyezi Mungu, nakuombea uishi siku nyingi watu waweze kupata unafuu

  • @AhmedAli-by4qr
    @AhmedAli-by4qr22 күн бұрын

    Hadi raha Mola azidi kumpa afya njema amkinge na maadui

  • @EmanueliMichael-sf3ur
    @EmanueliMichael-sf3ur29 күн бұрын

    Vijana wa magu Makonda&Silaa

  • @sheikhaswalehsalim3392
    @sheikhaswalehsalim3392Ай бұрын

    Kweli kabisa mwenyezi mungu amhifadhi Samia na wewe waziri wetu kazi ngumu sana .mwenyezi awahidhi Ameen Ameen Ameen you 🙏

  • @wilfredmaimu1958
    @wilfredmaimu1958Ай бұрын

    Hongera sana kaka jer mungu akulinde utokapo na uingiapo

  • @PartySekemi
    @PartySekemi11 күн бұрын

    Mungu akulinde mtetezi wa wanyonge shikamoo mpina

  • @elizabethtenge152
    @elizabethtenge152Ай бұрын

    Hongera kaka jer kwa kazi nzuri Mungu akulinde na kukutunza

  • @user-zq7gw4ik7g
    @user-zq7gw4ik7gАй бұрын

    Sawa kabisa mh waziri jery uko juu si tunakuombea tulio kwisha tapeliwa ardhi .

  • @VictorNdeoya
    @VictorNdeoya28 күн бұрын

    Yesu asante nenolako latajwa katikati yamatifa pokea utukufu mungu ulie hai

  • @josephmatiko4805
    @josephmatiko480529 күн бұрын

    Vijana wa Magufuli kazi nzuri,hatutaki,katika nchi hii

  • @UwesuMatimbwa
    @UwesuMatimbwa26 күн бұрын

    ❤mimi nina kuombea dua kubwa sana kwa mwenyezi mungu akupe uhai mrefu mjomba silaa kwa kutetea haki za wanainchi tanzania naitwa ally uwesu Matimbwa may god be with you all the time uncle silaa

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma323121 күн бұрын

    Wabunge na viongozi wafuate mfano wa viongozi wetu wanamapinduzi Slaa na Makonda❤❤🎉Tutaendelea.🎉

  • @tumainisangaonline6536
    @tumainisangaonline6536Ай бұрын

    Mungu akubariki sana na akutunze na uendelee kuwa msaada mkubwa kwa Watanzania wote na hasa wanyonge

  • @HusnaSakala
    @HusnaSakala13 күн бұрын

    Kwakweli waziri huyu mungu amtumze nakupongeza sana

  • @BernadoMwalongo
    @BernadoMwalongoАй бұрын

    Waziri upo vizuri wote wangekuwa hivyo nchi ingepaa

  • @justinekigomboa

    @justinekigomboa

    Ай бұрын

    Kabisa

  • @ashuraomar4935

    @ashuraomar4935

    22 күн бұрын

    Sanaaa

  • @CharlesMasanja
    @CharlesMasanjaАй бұрын

    Tunahitaji utumishi wa namna hiyo. Mh. Waziri wa Ardhi hafanyi siasa bali anafanya kazi ya utumishi wa umma. Hakuna sababu ya kuwa na maneno laini wakati wananchi wengi wanaumia.

  • @eliasmedutieki7578
    @eliasmedutieki7578Ай бұрын

    Bora mmejua hilo hao majaji ni wala rushwa pia

  • @annakapolondo7771
    @annakapolondo7771Ай бұрын

    Definition of a true leader🎉

  • @ZeldaMariki-jd1gy
    @ZeldaMariki-jd1gy18 күн бұрын

    Unaeleweka vizuri asna mkuu

  • @user-uy5nx1bj5r
    @user-uy5nx1bj5rАй бұрын

    Wewe ndiyo Feature ya rais wangu wa 2030

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1bАй бұрын

    Na mungu atakupigania yupo na wananchi wa gongolamboto ukonga tuko pamoja usile lushwa ni laana kua kama magufuli na Mzee mpinda kibuli ni laana wakubwa na wadogo

  • @aminitu3766
    @aminitu3766Ай бұрын

    Hotuba yako iliyotukuka inanitoa machozi safi sana mkuu

  • @user-hs7vq1jo2q
    @user-hs7vq1jo2q28 күн бұрын

    Hotoba nzuri yenyemipango sahii na yakuiponya miyoyo ya wananchi. Kweli jerry Mungu akulinde sana

  • @user-sj1rf8ij7f
    @user-sj1rf8ij7f24 күн бұрын

    Hiki ni kifaa cha kazi, Hii wizara imesimama imara. Jerry Slaa talipwa na Mungu

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu3425 күн бұрын

    Silaa uko vizuri sana Mungu akuinue zaidi zaidi, wewe ni waziri wa serikali ya tanganyika siyo wa jamhuri ya muungano maana huna mamlaka Zanzibar na kuna waziri mwingine,lkn mawaziri tumwogope na Mungu kuwa Zanzibar inaye Rais na Muungano wa tanzania lkn serikali ya Tanganyika iko wapi?

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758Ай бұрын

    WANYOSHE AO WALIKUA WEWE NA TAMAAA KUMBE MESHUSHWA NA MUNGU

  • @abdulsaidnaumanga2692
    @abdulsaidnaumanga2692Ай бұрын

    Huyu brother ni Raisi ajae, mark my words ✍️

  • @piusmaduka

    @piusmaduka

    Ай бұрын

    Je makonda

  • @sokastreet
    @sokastreet21 күн бұрын

    Upo sahihi kiongozi, watu wananyanyaswa sana na kudhulumiwa mali zao

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686Ай бұрын

    AMIINA SANAA. MUNGU AKUBARIKI.

  • @user-kt4on5xu6y
    @user-kt4on5xu6yАй бұрын

    Kesi ya arithi kilosa wafugaji na wakulima,hili haliwezekani kwani mkulima ni masikini.

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131Ай бұрын

    Nakukubali sana muheshimiwa

  • @oliverwhite1676
    @oliverwhite167625 күн бұрын

    Hila Hawa dumu majizi usaidiana na majasusi kutoka roho za wachapakazi ongera Sana Dr Jery

  • @toshindugwa1085
    @toshindugwa1085Ай бұрын

    Ahsante MUNGU

  • @MakameAbdallah-wn3hc
    @MakameAbdallah-wn3hc20 күн бұрын

    Jerry Slaa Hapa watanzania tumelamba dume

  • @MuhungaMasengo-og3vk
    @MuhungaMasengo-og3vkАй бұрын

    Dada yangu 2005 Amina chifupa kusema ukweli2 mkampoteza mungu awBariki yanga bingwa

  • @MuhungaMasengo-og3vk
    @MuhungaMasengo-og3vkАй бұрын

    Majembe ya marehemu j p m mungu awenanyi

  • @saidbakar-qo6ri

    @saidbakar-qo6ri

    Ай бұрын

    Huyu hakuwahi kuwa waziri wa magufuli ili ni jembe la mama samia

  • @onelovetz7935

    @onelovetz7935

    22 күн бұрын

    ​@@saidbakar-qo6ri huyu ni mwanafunzi wa Magufuli aliyefuzu masomo kweli kweli Magufuli alifuzu masomo ya nyerere akiwa mtoto wa miaka 6 sembuse jerr sraa makonda humuoni wengine ni vibaraka tu

  • @mishiabdu7478
    @mishiabdu747824 күн бұрын

    Mungu azidi kukupa nguvu

  • @user-bp2cc9eo6g
    @user-bp2cc9eo6g24 күн бұрын

    Dah!,lulu iliyokuwa imefichika,tunamshukuru Rais wetu kumuamini ili awatumikie wa TZ

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2imАй бұрын

    Huyu Jaji kwa kuchunga haki za watanzania, inatakiwa ajiuzuru na ikiwezekana achukuliwe hatua. Kumuacha kwenye position yake ni kukubaliana na maovu aliyoyafanya.

  • @TopTour-rp5jd
    @TopTour-rp5jd28 күн бұрын

    Double allocation ni janga na inafanywa na maafisa ardhi kwa makusudi kwa nia ya kujipatia fedha na kukidhi njaa zao

  • @basleymrema8675
    @basleymrema8675Ай бұрын

    Bado wale wamiliki wa ardhi wanaoziba barabara

  • @RamadhanKatala
    @RamadhanKatala21 күн бұрын

    Ukongo oyeee

  • @sheikhaswalehsalim3392
    @sheikhaswalehsalim3392Ай бұрын

    Ameen Ameen Ameen 🙏

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri25 күн бұрын

    Tunataka wanaume kama ww Mhe Waziri wa Ardhi. Na tunasikia kuwa hata kesi ya bilionea Msuya ikisemekana shahidi muhimu kama yule Dada wa kazi hakutoa ushahidi, pengine kwa kusahau kwa makusudi au kwa bahati mbaya lkn nani wa kusubutu kuwagusa?

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheriАй бұрын

    Ardhi ya biashara ya carbon credit,Loliondo,na Kilimanjaro International Airport inafuata utaratibu,kanuni na sheria au Katiba ipi?

  • @KenMolloimet-fl6rd
    @KenMolloimet-fl6rd18 күн бұрын

    Maigizo

  • @maggiehiza5884
    @maggiehiza588429 күн бұрын

    Hapo umekosea...kuhusu Mbeya kwamba mtafanya kwa ajili ya Speaker??? How about wasio na speaker? You are doing well..lakini hapo umeteleza.

  • @user-qg5yd9ki4v
    @user-qg5yd9ki4v24 күн бұрын

    Mambo ya mkeo ss ya nn ufala amfanyi jaz yyte mnauza nchi2

  • @TopTour-rp5jd
    @TopTour-rp5jd28 күн бұрын

    Double allocation ni janga kwa dodoma jiji mi mwenyewe nimepigwa kiwanja kwa namna hii

  • @goshenieagleWOG
    @goshenieagleWOG19 күн бұрын

    UBAKI HAPO HAPO WASIKUTOE WEWE HII WIZARA UNAWEZA KABISA

  • @jacklinelyimo7407
    @jacklinelyimo7407Ай бұрын

    Tunashukuru kwa nafasi uliyopo

  • @NassoroSipemba
    @NassoroSipemba26 күн бұрын

    Hapo mh umeteleza ama umesahau Diamond huyu sio mtu mkubwa huyu ni mtu mashuhuri.

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1bАй бұрын

    Hiyo Kisi myaka yote kesi Iko japani au Tanzania au

  • @EdenAChoir
    @EdenAChoir25 күн бұрын

    tunaomba uwasaidie watu wa tondoloni kujua hatima yao ili kumaliza mgogoro wa eneo hilo la kisarawe

  • @AhmedSheiban
    @AhmedSheiban28 күн бұрын

    Mh slaa kibaha pwani tunamatatizo makubwa na utatuzi hakuna Kila siku tunaambiwa njoo kesho njoo kesho Sasa ni miaka inaenda tunakuomba uje kibaha pwani utusaidie wanainchi

  • @MuhungaMasengo-og3vk
    @MuhungaMasengo-og3vk29 күн бұрын

    Nileteheni awa

  • @hajikadoma1652
    @hajikadoma1652Ай бұрын

    Mh tunakuomba wilaya ya Kilosa kunamadudu mengisana karibu

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997Ай бұрын

    MIE HALMASHAURI WAMEPITISHA BARABARA KWENYE ENEO LANGU.HAWAJANIPA FIDIA YA ENEO LINGINE

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355Ай бұрын

    Akitoka Bashe...alafu Jerry Slaa..na kuna Mavunde nimependa na nawapokeza kwa kunyookaa...Mama 2025 tunaenda naye.

  • @simonmwaliru8590
    @simonmwaliru8590Ай бұрын

    Mheshimiwa unaongea maneno mazito sana,hivi tamaa itatufikisha wapi?

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4sАй бұрын

    FIDDA HUSSEIN NI TAPELI PAPA NAMBA MOJA NCHI HII NI MNYAMA ASIE NA HURUMA WALA UTU HATA KIDOGO

  • @toshindugwa1085
    @toshindugwa1085Ай бұрын

    MUNGU wetu wa mbinguni akukinge na kila baya hakika haki ya wanyonge isipokwe na wajuni

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686Ай бұрын

    KAMA KINA MAMA CHATANDA . KAZI KUKOSOWA TUU.

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor356926 күн бұрын

    Kichwa hicho cheza nacho ufungwe

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1bАй бұрын

    Hapana tulipe wote hata Mzee Kwa maendeleo yetu wote

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1bАй бұрын

    Nikama kaka yake mpinda pambana na sela za aridhi ziwe za kisa

  • @KingKong-gu5qn
    @KingKong-gu5qnАй бұрын

    😂😂😂😂😂sasa muda wote anaumaliza kushukuru na kusifia bunge la ajabu dunia

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1bАй бұрын

    Tudai huduma nasi tulipe Kodi halali

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6niАй бұрын

    Huyu ni kiongozi

  • @toshindugwa1085

    @toshindugwa1085

    Ай бұрын

    Hakika

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1bАй бұрын

    Una stahili kabisa salimiya 98

  • @aminitu3766
    @aminitu3766Ай бұрын

    Duh!!mwamba salotte sana

  • @omarimsangi4075
    @omarimsangi4075Ай бұрын

    KWA KUUPEPETA TU TZ HATUJAMBO

  • @mossyfimbo3577

    @mossyfimbo3577

    23 күн бұрын

    Mmh 😂😂😂

  • @husseinsalumsoud122
    @husseinsalumsoud122Ай бұрын

    Tunakutakia Kila la kheri na tunaamini wewe ndio mkombozi wa walio onewa

  • @wilfredmaimu1958
    @wilfredmaimu1958Ай бұрын

    Hongera sana kaka jer mungu akulinde utokapo na uingiapo🎉🎉🎉

  • @wilfredmaimu1958
    @wilfredmaimu1958Ай бұрын

    Hongera sana kaka jer mungu akulinde utokapo na uingiapo