DR. MAGUFULI AKIFAFANUA KUHUSU HIFADHI YA BARABARA

Hapa alikuwa akimjibu Mh.Chenge a.k.a Mzee wa Vijisenti aliyetaka sheria ipindishwe ili watu walipwe fidia lakini Kamanda Magufuli alimtolea uvivu - tuungane kuangalia hii clip!

Пікірлер: 72

  • @jonathanmlinda2580
    @jonathanmlinda25803 жыл бұрын

    Ulale salama baba ang, Mungu akuweke mahala panapostahili

  • @neemaabeli4172
    @neemaabeli41722 жыл бұрын

    Mungu ana makusudi huyu Mzee kuzaliwa Tanzania 😭😭😭😭

  • @husseinlutambi9247
    @husseinlutambi92478 жыл бұрын

    We are more than being lucky to have Magufuli as a Tanzania president. Hongereni sana kwenu mliofanya maombi kumpata kiongozi bora.

  • @clementk.2561
    @clementk.25619 жыл бұрын

    Tingatinga huyo. Hana mchezo. Big up Mheshimiwa Magufuli. Mungu akikusaidia ukishinda uchaguzi. Hakikisha wembe huo huo. Tunachotaka watanzania ni maendeleo.

  • @lshayo1658

    @lshayo1658

    8 жыл бұрын

    +Paul N. Na imebaki kuwa hivyo. Speed ile ile

  • @seifibrahim3883
    @seifibrahim38833 жыл бұрын

    Genius man ever happened 🙏🙏rest well father

  • @exaverymakoye6026

    @exaverymakoye6026

    2 жыл бұрын

    True

  • @kombedavis4056
    @kombedavis40562 жыл бұрын

    R.I.P JOHN JOSEPH MAGUFULI.....mzalendo wa kwel na msema kweli daima!

  • @emmanuelsende1349
    @emmanuelsende13493 жыл бұрын

    Tutakukumbuka Sana JPM😭😭😭😭

  • @nassormasoud2784
    @nassormasoud27842 жыл бұрын

    Rest In paradise My favorite PRESIDENT Ever your soul is in heaven Always We believe in You our lovely friend. #CHUMA JPM.

  • @joelkahuya8356
    @joelkahuya83563 жыл бұрын

    Jamaa alikuwa mashine tata dah! Tupate wap tena kama huyu jmn?

  • @MzeeMoja1
    @MzeeMoja18 жыл бұрын

    Tanzanians you are lucky to be led by this man. In Kenya we dream for this kind of leadership.

  • @BBCFintl

    @BBCFintl

    8 жыл бұрын

    Change in Kenya will begin with you and me...the person who can influence a village voter. When salt, sugar and kangas donated around voting day are what you consult to determine your vote, we will never get a Magufuli leading Kenya. Zabde-Ezra Ayienga, www.villageinmotion.ca, Toronto, Ontario, Canada.

  • @inocentnjau5836

    @inocentnjau5836

    2 жыл бұрын

    Fffc

  • @ezekiahdeyah4456
    @ezekiahdeyah44563 жыл бұрын

    Baba wew atutakuxahau kumbe ulianza zaman xana 😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @zuhuraibrahimu7098
    @zuhuraibrahimu70983 жыл бұрын

    Dah. Tangulia jembe langu Mungu akipenda tutaonana. Inshaallah.

  • @elishaobadia8829
    @elishaobadia8829 Жыл бұрын

    Usagara kisesa hawatalipwa fidia 😂😂😂😂rip baba

  • @paschalekagito3507
    @paschalekagito35073 жыл бұрын

    Napenda sana jinsi ulivyokuwa shujaa . next na mimi nikija kufikia hapo ulipokuwa umefika .ulikuwa unawatumikia wananchi kweli kweli

  • @fredyrobert8751
    @fredyrobert87513 жыл бұрын

    Mungu ailaze Roho yako pema peponi my President JPM.

  • @pastoralexanderarthur
    @pastoralexanderarthur8 жыл бұрын

    MR. President

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana808415 күн бұрын

    Hata mimi ukuta wa nyumba ya baba nimebomoa nani abaki sasa R. I. P baba😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @claymond1261
    @claymond12616 жыл бұрын

    2kea zamani,magufuli alikuwa noma ss ndio,moto kbs safi muheshiwa kwa kuwanyooosha👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @ombeninnko1800
    @ombeninnko1800Ай бұрын

    Hii clip sichokag kuitazama RIP comrade

  • @hassankaapu8904
    @hassankaapu89048 жыл бұрын

    mr presedent unatisha kama simba baba 'ni rais pekee uliewah kutimiza falsafa yako hile ya hapa kaz tu'

  • @raymondndaizele8801
    @raymondndaizele88014 жыл бұрын

    Haina sauti bila earphone mkuu

  • @vince_vinson.2083
    @vince_vinson.20834 жыл бұрын

    Chuma hicho walikua wanakijaribu enzi hizo. Sasa mnataka nini, "Anafuata sheria zenu mlizoziweka wenyewe".

  • @makara6671
    @makara6671 Жыл бұрын

    I will love u jpm forever ❤️❤️❤️

  • @gwamakamartin7090
    @gwamakamartin70904 жыл бұрын

    Kumbe ukweli uliusema na tunaendelea kuisema. # unashusha data vibaya mno

  • @ThomasMagoti-it4ty
    @ThomasMagoti-it4ty11 ай бұрын

    My presdent❤ rest in peace

  • @fredinandmarcel3327
    @fredinandmarcel33278 жыл бұрын

    Jembe

  • @johnmathenge3406
    @johnmathenge34062 жыл бұрын

    Na ignorance of law is No defence.

  • @makara6671
    @makara6671 Жыл бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @omaryjamaly
    @omaryjamaly Жыл бұрын

    Rip anko magu

  • @bzablonsenior9368
    @bzablonsenior93683 жыл бұрын

    kweli tumepoteza chuma ambacho Mungu alituletea

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka61265 ай бұрын

    RIP JPM

  • @asueddy1465
    @asueddy14653 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭

  • @lucasmogoile7097
    @lucasmogoile70973 жыл бұрын

    Sisikii sauti lakini kwa kumuangalia tu mudi yake hapo unaelewa moyo wake wa kuwatumikia watu

  • @sonkosolembasimba821
    @sonkosolembasimba8213 жыл бұрын

    Rip true son of soil

  • @lordsmenas3267
    @lordsmenas32673 жыл бұрын

    RIP

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56743 жыл бұрын

    Rip

  • @user-yo4mt8cv6w
    @user-yo4mt8cv6w5 ай бұрын

    Duuuu baba lala salama

  • @mwemezinnosentrwamafa6088
    @mwemezinnosentrwamafa60884 жыл бұрын

    Da! Huyu jamaa bhana!

  • @nadhirusadick7446
    @nadhirusadick74463 жыл бұрын

    Daaah hakuna saut ila unataman kuangalia hata actions zake

  • @jumaigoti8638
    @jumaigoti86382 жыл бұрын

    Tutakumisi sana

  • @exaverymakoye6026

    @exaverymakoye6026

    2 жыл бұрын

    Sana aise

  • @abdallahhamza9689
    @abdallahhamza96892 жыл бұрын

    Mmekata sauti hahaaa

  • @godluckmwandumbya8648
    @godluckmwandumbya86484 жыл бұрын

    Mbona amna sauti

  • @charahabilrachadi210
    @charahabilrachadi2102 жыл бұрын

    Rip JPM

  • @sonkosolembasimba821
    @sonkosolembasimba8213 жыл бұрын

    Always wearing African badge left side of his chest

  • @robertchristian4010
    @robertchristian40103 жыл бұрын

    Lala salama baba

  • @tonyi6807
    @tonyi68073 жыл бұрын

    Wanaisraeli walimlilia Mussa siku Arobaini na Kukiri mioyoni na midomoni mwao Hawatapata Mtu kama yeye .....@John P.J. magufuli daima Umoyoni na fikra zangu. 17th.March.

  • @millitarybattalion7515
    @millitarybattalion75153 жыл бұрын

    Mbona hakuna sauti

  • @richardkayuguyugumasalu2594
    @richardkayuguyugumasalu25945 ай бұрын

    Chuma hicho dah

  • @gideonkalumbu5220
    @gideonkalumbu52204 жыл бұрын

    MUNGU PEKEE alikuona Wewe.

  • @samsonkaboko5137
    @samsonkaboko5137 Жыл бұрын

    Watanzania tunamkosaje Magufuli??

  • @jamesthomas390jj
    @jamesthomas390jj3 жыл бұрын

    Daah huyu jamaa huyu

  • @mayaally2512

    @mayaally2512

    3 жыл бұрын

    Allah amlaze mahala pema alisimamia msimamo wake

  • @issayamshana3750
    @issayamshana37503 жыл бұрын

    Pale hawalipwi

  • @elishaobadia8829

    @elishaobadia8829

    Жыл бұрын

    Usagara kisesa hawatalipwa fidia 😂😂😂😂rip baba

  • @jamesmgimba7403
    @jamesmgimba74034 жыл бұрын

    Uyu jembe

  • @jimsjoelwisdom88
    @jimsjoelwisdom885 жыл бұрын

    Kwanini Haina sauti aaaaaaaah

  • @thegreatsource2953

    @thegreatsource2953

    5 жыл бұрын

    Restart simu yako na uplay upya sauti utaipata

  • @mwitanyangwe7206
    @mwitanyangwe72066 жыл бұрын

    Mbona sauti Haitoki ?

  • @leonarddamian4972

    @leonarddamian4972

    6 жыл бұрын

    Mwita Nyangwe use headphone

  • @mwitanyangwe7206

    @mwitanyangwe7206

    6 жыл бұрын

    OK ngoja nijaribu tuone

  • @mwansasu
    @mwansasu5 жыл бұрын

    Mbona sauti haitoki?

  • @StephenMJohn-hx8gu

    @StephenMJohn-hx8gu

    5 жыл бұрын

    Tumia headphone 🎧

  • @lilianestephanie7881

    @lilianestephanie7881

    3 жыл бұрын

    @@StephenMJohn-hx8gu mwambie

  • @peterisdory8844
    @peterisdory88443 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭

  • @jonathanmlinda2580
    @jonathanmlinda25804 жыл бұрын

    Daaah mkuu kumbe alikua jembe

Келесі