KIKWETE ‘AMKANA’ JPM, “SIKUKUAMBIA UMFUKUZE / ILIKUWA NI WAKATI WA KAMPENI"

KIKWETE ‘AMKANA’ JPM, “SIKUKUAMBIA UMFUKUZE / ILIKUWA NI WAKATI WA KAMPENI"
MHE. RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKIKABIDHI NDEGE AINA YA TAUSI KWA MAMA MARIA NYERERE MKE WA BABA WA TAIFA ,WAHESHIMIWA MARAIS WASTAAFU ALI HASSAN MWINYI, BENJAMIN MKAPA NA JAKAYA MRISHO KIKWETE IKULU YA CHAMWINO DODOMA.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 48

  • @hatiburamadhani9875
    @hatiburamadhani98754 жыл бұрын

    KIKWETE 'AMKANA' 'JPM' SIKUKUAMBIA UMFUKUZE /ILIKUWA.. kama na wewe umefungua hii video kwa kupenda kichwa cha habari tujuane kwa like

  • @mussaelia8693

    @mussaelia8693

    4 жыл бұрын

    Haha

  • @mayungalugodisha883

    @mayungalugodisha883

    3 жыл бұрын

    Nchi yetu imeharibika ghafla ukikumbuka tu mwaka Jana tulikuwa maraisi wetu had I wastaafu sasa Leo had jpm hayupo eee mungu inusuru nchi yetu

  • @aristidalaswai2782

    @aristidalaswai2782

    3 жыл бұрын

    Hahahahha

  • @gracemima5234
    @gracemima52343 жыл бұрын

    Kikwete uongozi wake ulikuwa dhahifu sana. Waliokuwa wanakosea aliwahamisha na kuwapeleka kungine na kuhalibu zaidi. Aliiacha Tanzania hoi kwa watu wachache kuiteka.

  • @dastansimpanzye5558
    @dastansimpanzye55584 жыл бұрын

    Marais wetu wanapendana, umoja wetu watanzania udumu daima

  • @asiahaji5081
    @asiahaji50814 жыл бұрын

    Assalaamu alaikum. Labda Mimi ni wa kwanza! Nimeipenda hii clip

  • @amenyemwansile631
    @amenyemwansile6314 жыл бұрын

    Hongera rais wangu mstaafu jakaya kikwete

  • @yusuphjafarijr7583
    @yusuphjafarijr75834 жыл бұрын

    Genius wangu Mimi Ni huyu jk

  • @twalibumulwaza7625
    @twalibumulwaza76254 жыл бұрын

    Jk bado kabisa kuitwa mstaafu! Nguvu ya busara,akiri,mwili na ushawishi bado ni kubwa sana

  • @mudriqhamidu6031
    @mudriqhamidu60313 жыл бұрын

    Hyu mzeekweli ni mkwele ana mafunbo sn ukiingia kichwa kichwa unaweza usione ndani lkn hpo magufyli amepingwa fumbo kubwa t🤔🤔🙆‍♂️🙆‍♂️

  • @mwidausaid5701
    @mwidausaid57014 жыл бұрын

    Hahahahah Tausi wazur Sana wanataga mayai hamsini wanatotoa wawili hii tunaelewa sisi wenye akili timamu lakini mazwazwa hawaelewi wao ni kupongeza tyyyyyyyyy

  • @mancalist5527
    @mancalist55274 жыл бұрын

    aisee kama umetua kwa hii video kwa kichwa cha habari tujuane HAPA

  • @erickngatunga2359
    @erickngatunga23594 жыл бұрын

    kuna watu ni majasiri eti unatumwa na rais unasema keshokesho huyo kutumbuliwa ilikuwa halali kwake.

  • @kelvinyesaya3304
    @kelvinyesaya33043 жыл бұрын

    Namkubali magufuli tu hata iwaje💪💪💪💪

  • @komboramathan8740
    @komboramathan87404 жыл бұрын

    Namkubalib xan kikwete yan xan

  • @loner_wolf
    @loner_wolf4 жыл бұрын

    Hapa kikwete TU NDIO anaonekana anamafumbo , JPM ametuonyesha kuwa Tausi sio matasa , na Kama wangekuwa wanazaa toka siku nyingi nadhani tungekuwa na Tausi Kila nyumba ya waziri . Asante jpm . Haaa kumbe they hatches the eggs 😂😂😂😂

  • @patrobamaingumtwale6019
    @patrobamaingumtwale60194 жыл бұрын

    Kwani si wataalamu wapo mzee baba mbona rahisi tu kuwalea kama kuku tu

  • @loner_wolf
    @loner_wolf4 жыл бұрын

    Mayai 38 , kunakuuzwa , kuliwa au kuharibika ..... Yote kheri tunashukuru kwa kuwa trip hii yameleta kitu kzuri .

  • @BlurryfAce1554
    @BlurryfAce15543 жыл бұрын

    Uyuu kikwete sijui anamaanisha nini na mafumbo yake oyaa tuachee magufuri wetu tuna mpenda anatuletea maeendeleo yetu

  • @duoxmasisa6529
    @duoxmasisa65294 жыл бұрын

    Shida hapo idadi aliyochukua yeye! ni ngapi?

  • @jamesmukono4543
    @jamesmukono45434 жыл бұрын

    Safi sana

  • @mussaelia8693
    @mussaelia86934 жыл бұрын

    Njema sana

  • @justingideon6285
    @justingideon62853 жыл бұрын

    Arsenals

  • @anastaziamorce3389
    @anastaziamorce33894 жыл бұрын

    Amemkanaje sasa alimtumbua kwauzembe wake

  • @marianikodemu6069
    @marianikodemu60693 жыл бұрын

    Jaman

  • @danielngonyani8346
    @danielngonyani83464 жыл бұрын

    Tunakukubari mugufur kwajitiada

  • @frankstarstz470
    @frankstarstz4704 жыл бұрын

    Ilo fumbo lashule

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56744 жыл бұрын

    Hivi na Zanzibar wamepata mgawo wa tausi?

  • @semhineshauri3410
    @semhineshauri34103 жыл бұрын

    Jizi hilo

  • @mercykileo7987
    @mercykileo79873 жыл бұрын

    kuna wivu kidogo hapa.

  • @lameckmichaelmagazi6345
    @lameckmichaelmagazi63454 жыл бұрын

    AAA hufaiwewe inchi ulii eba vibaya, jpm ndokiboko

  • @johnmasanja1762
    @johnmasanja17623 жыл бұрын

    Mmh, skapend

  • @daudyesseobedi7952
    @daudyesseobedi79524 жыл бұрын

    Fumbo

  • @pitargamba9208
    @pitargamba92083 жыл бұрын

    Mzee wa lakishari vicheko kila sehemu. Tuone kama utakuja Cheka jenezani

  • @ishaumazoea6644
    @ishaumazoea66443 жыл бұрын

    Sikuelewa hata kidogo

  • @linerkiwale3858
    @linerkiwale38584 жыл бұрын

    Lkn mbona km Rais Magufuli hakusema aliambiwa amfukuze huyo msukuma ,, ila amesema aliambiwa kuwa kuna msukuma mwenzie ndio anayewatunza na hawatoi vifaranga kwa wingi ,,hvo yeye kwa tafakari yke akaona amfukuze , nilivyomsikiliza naona hakusema km Mh.Rais Mstaafu alimwambia yeye amfukuze,, Ila kikubwa ni upendo aliouonesha Rais Magufuli tu..Mungu akubariki na akulinde Rais wetu "Amiiin"

  • @semhineshauri3410
    @semhineshauri34103 жыл бұрын

    Pa pa pa 3 za kichwa mwizi tu wewe

  • @abdallahyasin6829
    @abdallahyasin68294 жыл бұрын

    Nasisi mtugawie hao tausi. Mbona mnagawiana wenyewe na ss tulio wapa mamlaka

  • @asiahaji5081
    @asiahaji50814 жыл бұрын

    Mzee Kikwete kwa mafumbo!! Mmmh..wewe acha tuuu

  • @hamisimussa2228

    @hamisimussa2228

    4 жыл бұрын

    Anayestahili kufumbiwa ni nani

  • @wilsongeorge4061

    @wilsongeorge4061

    4 жыл бұрын

    Napita

  • @emmysam1510
    @emmysam15103 жыл бұрын

    Fumbo mfumbie mjinga.. magufuli mjanja ameng'amua

  • @jamesarmand7992
    @jamesarmand79923 жыл бұрын

    Kumbe tausi ni kama slayqueen kujipenda tu lol

  • @gracemima5234
    @gracemima52343 жыл бұрын

    Kikwete uongozi wake ulikuwa dhahifu sana. Waliokuwa wanakosea aliwahamisha na kuwapeleka kungine na kuhalibu zaidi. Aliiacha Tanzania hoi kwa watu wachache kuiteka.

  • @frankstarstz470
    @frankstarstz4704 жыл бұрын

    Ilo fumbo lashule

Келесі