KIKWETE ‘AMKANA’ JPM, “SIKUKUAMBIA UMFUKUZE / ILIKUWA NI WAKATI WA KAMPENI"
KIKWETE ‘AMKANA’ JPM, “SIKUKUAMBIA UMFUKUZE / ILIKUWA NI WAKATI WA KAMPENI"
MHE. RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKIKABIDHI NDEGE AINA YA TAUSI KWA MAMA MARIA NYERERE MKE WA BABA WA TAIFA ,WAHESHIMIWA MARAIS WASTAAFU ALI HASSAN MWINYI, BENJAMIN MKAPA NA JAKAYA MRISHO KIKWETE IKULU YA CHAMWINO DODOMA.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 48
KIKWETE 'AMKANA' 'JPM' SIKUKUAMBIA UMFUKUZE /ILIKUWA.. kama na wewe umefungua hii video kwa kupenda kichwa cha habari tujuane kwa like
@mussaelia8693
4 жыл бұрын
Haha
@mayungalugodisha883
3 жыл бұрын
Nchi yetu imeharibika ghafla ukikumbuka tu mwaka Jana tulikuwa maraisi wetu had I wastaafu sasa Leo had jpm hayupo eee mungu inusuru nchi yetu
@aristidalaswai2782
3 жыл бұрын
Hahahahha
Kikwete uongozi wake ulikuwa dhahifu sana. Waliokuwa wanakosea aliwahamisha na kuwapeleka kungine na kuhalibu zaidi. Aliiacha Tanzania hoi kwa watu wachache kuiteka.
Marais wetu wanapendana, umoja wetu watanzania udumu daima
Assalaamu alaikum. Labda Mimi ni wa kwanza! Nimeipenda hii clip
Hongera rais wangu mstaafu jakaya kikwete
Genius wangu Mimi Ni huyu jk
Jk bado kabisa kuitwa mstaafu! Nguvu ya busara,akiri,mwili na ushawishi bado ni kubwa sana
Hyu mzeekweli ni mkwele ana mafunbo sn ukiingia kichwa kichwa unaweza usione ndani lkn hpo magufyli amepingwa fumbo kubwa t🤔🤔🙆♂️🙆♂️
Hahahahah Tausi wazur Sana wanataga mayai hamsini wanatotoa wawili hii tunaelewa sisi wenye akili timamu lakini mazwazwa hawaelewi wao ni kupongeza tyyyyyyyyy
aisee kama umetua kwa hii video kwa kichwa cha habari tujuane HAPA
kuna watu ni majasiri eti unatumwa na rais unasema keshokesho huyo kutumbuliwa ilikuwa halali kwake.
Namkubali magufuli tu hata iwaje💪💪💪💪
Namkubalib xan kikwete yan xan
Hapa kikwete TU NDIO anaonekana anamafumbo , JPM ametuonyesha kuwa Tausi sio matasa , na Kama wangekuwa wanazaa toka siku nyingi nadhani tungekuwa na Tausi Kila nyumba ya waziri . Asante jpm . Haaa kumbe they hatches the eggs 😂😂😂😂
Kwani si wataalamu wapo mzee baba mbona rahisi tu kuwalea kama kuku tu
Mayai 38 , kunakuuzwa , kuliwa au kuharibika ..... Yote kheri tunashukuru kwa kuwa trip hii yameleta kitu kzuri .
Uyuu kikwete sijui anamaanisha nini na mafumbo yake oyaa tuachee magufuri wetu tuna mpenda anatuletea maeendeleo yetu
Shida hapo idadi aliyochukua yeye! ni ngapi?
Safi sana
Njema sana
Arsenals
Amemkanaje sasa alimtumbua kwauzembe wake
Jaman
Tunakukubari mugufur kwajitiada
Ilo fumbo lashule
Hivi na Zanzibar wamepata mgawo wa tausi?
Jizi hilo
kuna wivu kidogo hapa.
AAA hufaiwewe inchi ulii eba vibaya, jpm ndokiboko
Mmh, skapend
Fumbo
Mzee wa lakishari vicheko kila sehemu. Tuone kama utakuja Cheka jenezani
Sikuelewa hata kidogo
Lkn mbona km Rais Magufuli hakusema aliambiwa amfukuze huyo msukuma ,, ila amesema aliambiwa kuwa kuna msukuma mwenzie ndio anayewatunza na hawatoi vifaranga kwa wingi ,,hvo yeye kwa tafakari yke akaona amfukuze , nilivyomsikiliza naona hakusema km Mh.Rais Mstaafu alimwambia yeye amfukuze,, Ila kikubwa ni upendo aliouonesha Rais Magufuli tu..Mungu akubariki na akulinde Rais wetu "Amiiin"
Pa pa pa 3 za kichwa mwizi tu wewe
Nasisi mtugawie hao tausi. Mbona mnagawiana wenyewe na ss tulio wapa mamlaka
Mzee Kikwete kwa mafumbo!! Mmmh..wewe acha tuuu
@hamisimussa2228
4 жыл бұрын
Anayestahili kufumbiwa ni nani
@wilsongeorge4061
4 жыл бұрын
Napita
Fumbo mfumbie mjinga.. magufuli mjanja ameng'amua
Kumbe tausi ni kama slayqueen kujipenda tu lol
Kikwete uongozi wake ulikuwa dhahifu sana. Waliokuwa wanakosea aliwahamisha na kuwapeleka kungine na kuhalibu zaidi. Aliiacha Tanzania hoi kwa watu wachache kuiteka.
Ilo fumbo lashule