Rais Magufuli alivyojibu maswali ya waandishi wa habari akiwa Waziri wa Ujenzi
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
#Dar24 #Dar24Media
Пікірлер: 14
Kiukweli, huyu sio mwanadam wa kawaida sio siri huyu ni nuru na mwanga kwetu jamn, sio mwanadam kabisa. Reflection yote ni ya ki mbingu. Nakupenda magufuli
Rais alikua kichwa yan 😭😭😭lala salama Baba
Tutakukumbuka😢🙏 Kwa utendajii wako mwema🙏 na kujitoaa kwako my *President JPM*
Alikuwa handsome man we will miss you 💔💔
Tinga Tinga 😭😭😭😭
Yan ile sauti ya uraisi bafo nausikia.....dah
Kumbe ameanza kitambo kutaka kusaidia wanyonge
Nakupenda Sana màgufuli wng
Asante Mungu kwa Maisha ya huyu kiumbe wako
Kaanza uadilifu zamani
Way back
Lala salama baba
Chuma kimelala😢
Watu weusi ni shida sana, yaani hizo nyumba wangepitisha mnada zikaenda kwa waarabu, wahindi na wazungu tungefurahi kama mazuzu wote tukose turudi uswekeni. Self hate is very real, we need to change black people worldwide.