Tundu Lissu Vs Mwana Sheria Mkuu Bungeni
Majibizano bungeni yanaendelea na sasa Lissu anapewa shule na Mwanasheria Mkuu kuhusu mamlaka ya Rais kushughulikia Wabadhirifu Lakini Lissu nae anatunisha misuli ya kutetea hoja.
Majibizano bungeni yanaendelea na sasa Lissu anapewa shule na Mwanasheria Mkuu kuhusu mamlaka ya Rais kushughulikia Wabadhirifu Lakini Lissu nae anatunisha misuli ya kutetea hoja.
Пікірлер: 290
Tulioiona 2024 gonga like
Mpaka Leo cjamuona mrithi wa lisu❤
@personpeter2221
4 ай бұрын
Mrith wa bwege je umemwona??
Huyu tundu lisu siku akiwa rais wa tanzania, na nibamini ataku, kwani unabii ulishaonekana kwake bàada ya kumiminiwa marisasi mengi na hakufa akafa alieratibu huo mpango, saaa huyu jamaa akiwa rais, aisee wanawake watakua wanazaa mapacha mapacha mapacha tu baaraka Zitashushwa kwenye taifa hili na kila mtu atashangaa kweli,
Lissu anasema mawaziri waliohusika wawajibishwe sio majaji, mwanasheria mkuu anajibu utumbo kuhusu majaji. Mawaziri walihusika, bunge halina uwezo juu ya majaji lakini linauwezo juu ya mawaziri.
I wish siku moja huyu MH.awe Rais wa nchi hii. #Lissu Baba Laooo
Big Up lisu mungu akupe afya njema
Sheria imezidiwa na tundu lissu Jamaa hatar uy7
Ndiyo mahana wamekupiga risas ulikuwa ulikuwa una simamia ukweli ndiyo wameshindwa kukuhuwa mungu amesimama juu yko,
lisu uko vizuri baba
kweli wewe upo kwa Ajili ya watu mungu yupo Pamoja nawe
Kichwa kimoja cha Lisu nisawa na vichwa 1000 vya ccm,na huyu ndiye mwenye uchungu na nchi wengine ni wachumia tumbo tu...tunao itazama hii video 2020 augost like
@kpetres2872
3 жыл бұрын
Tamaa ya uongozi inamsumbua lissu. Huwezi jua mpaka akipata uongozi. Twiga walikuwa wanakunjwa shingo kwenye makontena wanaenda nje
@priscusaugust7251
2 жыл бұрын
@@kpetres2872 kilaza wew
@calebcaleb3193
Жыл бұрын
Lisu ni kicwa kimoja ni sawa Na wa bunge wote wa ccm
@ismailyusuf3543
Жыл бұрын
2023 still watching him 🤣
@saidsuleiman1753
Жыл бұрын
Zaidi ya 1,000
Nimemkumbuka Kwa kweli
Huyo Mzee wangu mwingine ni dhaifu Sana. Sjui hiyo kazi walizingatia nini kumpa
fanyeni kazi kwa uweledi, ahsanteni Lisu
Hiki kichwa cha lisu nisawa na wabunge wa ccm 2000,
@allahisone6386
4 жыл бұрын
😆😆
@khalifaali9229
3 жыл бұрын
CCM hamna kitu
@mohamedturanardan8871
3 жыл бұрын
Ni zaidi ya 2000
Huyu mwanasheria ndo maana hakuna anayemkumbuka. He is a small man. Unajali mabosi zaidi ya wananchi. Viva Lissu akili kubwa
Lissu bwana!! Yuo will be remembered in this era!!
@adenjordan3659
2 жыл бұрын
InstaBlaster.
@imranijuma6955
2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭 huyu JEMBE
@calebcaleb3193
Жыл бұрын
Ndiyo maana walitaka kukuondoa mfalume huyu
Mungu akulinde Mwamba. We love you brother
Lisu ana material mengi sana kichwani kwake
@marcomachiya9849
4 жыл бұрын
laws of Succes
Lissu unaongeang pont sanaa lkn nchi imekuw ovyoo
Mwamba wangu. MH.Lissu Rais wng wa Moyo.
my commando tundu lisu big up to you you are the one who creating me to like something we call law congratulation to you my tundu Antipas lisu god bless you.
@calebcaleb3193
Жыл бұрын
Yani ni kichwa kimoja utasema ni vichwa vyote Vya ccm
@calebcaleb3193
Жыл бұрын
Kaa chini wewe pimbi wewe utalaumi wakinafiki watu wanakufa Na njaa theni unakuja kuongea ushiri wako hapo unatetea mijizi kama wewe nyungunyungu wewe ndiyo maana kichwa kimeka kama yandika hiyo katiba Niaya nani labda ya kikwenu
Lisu mungu akubarik akupe nguvu
Lissu mtaalamu wa katiba na sheria mtamwelewa si bunge tu,hata wananchi tunamwelewa na taifa linamwelewa
he was too good for bunge la tanzania
lissu heshima yako.
@muhusinibakari7045
5 жыл бұрын
Hio nihazina yataifa
@jakobongwara3038
Жыл бұрын
Mungu akubariki risu ukoveeeem
Mwamba wangu lissu nakukubali saana
Safi Sana Lisu
Duh!! Amahakika kwa changamoto hzo ,,,, ukweli na uwazi utakuwepo,,,, ukawa mbele,,,, lisu shikamoo
Hivi tumbuatumbua lisu alishauli
Huyu mwamba ndo maaana walimpiga risasi anaongea point tu
@nabimanyafesto5014
4 ай бұрын
Hapindashagi
Uhuru wa vyombo mbalimbali hongera kikwete
Lisu wew ni mtu muhim sana
😅😅 nakuelewa xana mze bb
katiba yetu imeeleza wazi kanuni na taratibu za nchi, ila kheri ya yule anae dirikki kuvunja sheria na taratíbu za nchi, Pongezi kwa lisu
Lisu kiboko Yao
hakuna kama lisu tanzania wewe ni.tanzania one. ananikuna sana .
KWA MARA YA KWANZA NAKUPA HI TUNDU
Enzi zile kuvunjwa kwa katiba ilikua ni hoja lkn siku hizi ni jambo la kawaida tu.
ATAZAMSINGI HAMUZIFUWATI WAPUMBAVU WA CCM AU MCC HUYU NDIO HERO TUNDULISU ANAWASOMESHA VICHWA VIGUMU MADIKTETA CCM AU MCC 👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹🇮🇱🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿
Duuu get Will soon,,Mic u xn Kamanda bora kabsa
"Kumbe huyu jamaa ni moto tangu thamani.
@imranijuma6955
2 жыл бұрын
Ulikuwa wapiiii ww
Watu kama Lissu ni neema kwa nchi.
Much love from kenya... mheshimiwa lissu ni mtetezi wa wananchi
@FrankMwakatundu-cu6bd
Жыл бұрын
AMINA
ukawa oyeeeeeeee power
mrithi wa fedrick wa walema
safi brother.
Mm nashaur juu ya serikali kuhusu Mheshimiwa tundu lisu kwani nikichwa chenye elimu mtu ktk,watu.
Tundulisu anafaa kuwa Rais
Lissu for life
lisu safi sana,..
Lisu forever ♥
Ni miaka mitano iliopita lisu alizungumza haya na kuonesha uzalendo kwa taifa hili,lakini siku zote miaka yote ccm wamekua wakibebana kwa ukada,na wanataka kila wakati wateteane,na hapa inadhihirisha ule ujinga wao na unafiki wao,mbona kwa sasa magu anawatengua tu kila siku.
Lissu we nisheeeda
@dotomadaraka4620
4 жыл бұрын
Otuba za king msukuma
good lisu
ajui kueka moyon kitu, anachana moja kwa moja. safi sana
Asante sana muheshimiwa tundu lisu chunga mdomo wako eee tumia busara usijifanye unajuwa kusema
sema kamanda kwan nchi imefika pabaya saaana
@calebcaleb3193
Жыл бұрын
Nchi limefilisiwa Na wahuni wa ccm
safi lisu
kichwa
maghuli inaonekana hajaifahamu UKAWA vizuri ningemshauri atumie she ria zaidi kuliko maamuzi binafsi kama sivyo ugomvi na ukawa hautaisha
@emmanuelyusto6240
7 жыл бұрын
kati Ya wanasheria lisu namkubari xna good kamanda
Wauwe lisu hao mafisa umo ndani,
Wakae Chini waangalie na MNA ya kufanya kujiepusha na fitna inayo endelea nje ya nchi na si kuendeleza marumbano
Lisu kweli jamani tasama Kwa jicho ya tatu ngorongor na Miata yote ya Tanzania
mwenyezi mungu ukupe guvu lisu kwajili ya kulitetea Taifa letu la TANZANIA. Sisi tunaogozwa na kulindwa na buge ⏰⏰
Liiisuuuuuuuuuuuuu!
saf sana
Big up Lisu
Hazina yatanzania ii ngoja wamtumie wazungu mana watz tumeshindwa kumtumia lissu katupa mungu ila ndo ivyo mungu hakupe afya lissu namaisha narefu naamini ipo siku mwaka mwezi utakuja shika ii nchi
huyu mwanasheria kwa kipindi cha MAghufuli sidhani kama angesema hivyo "rais atawawajibishaje majaji" mbona anauwezo wa kuteua jaji mkuu anashindwa vipi kuwawajibisha. huyu jamaa huyu
@Bruno-ed1ps
2 жыл бұрын
😆😆😆
@leokamil6284
Жыл бұрын
Anavyoongea tu kama zezeta ,anachoongea mwenyewe hajui
Ata mwenye kiti kaipigwa na butwaa!😂😂hivi hawaja soma au uongozi wa kukariri
tuwekeeni kilichotokea leo tarehe 01/4/2015 bungeni
Hili ndilo bunge
Bona alikula mda wa mwezake bila sababu
Lisu hatari
Lisu oyeeee
lissu cha mtoto,mwanasheria wa mateja na madada powa
Sasa anachoeleza huyu waziri mbona hicho hicho kaeleza Lissu. Mwanasheria mkuu mshauriiiiiii Raisi na siyo kulishauri bunge
yataniwati Dawa yakumnyamazisha Lisu nilimpa uwaziri mkuu basi
Huyu jamaa Ni fire Yuko vzr
Genus!!!
God bless lisu for ever and never
Lisu tunakusubiri urudi dah
Aaaaaah huyu Mzee sikuwahi kumuelewa kabisa
uyu jamaa nikichwa sana anafaa kuwa raisi na kura yangu mm na mpa mapema sana
Hahaaaa!! Mrithi!!!!!??!!
Kichwaaaaaaa
Tuanzie apo pa wangine wako umu umu ni wezi😂😂Apo lazima walikuwa razima wakupige Risa's ila kunavitu umesema mafuguri alitimiza Mzee watu walifuzwa na walifungwa apo ndio sijui Kwann hamkupendana au ndio kwasababu mlikuwa sawa 🙏rip mafuguri 🙏🙏🙏😥😥😥😥
HUYO NDIYE TUNDU LISSU.
Bunge lakitoto aliwez kujenga nchi
Lissu ever brave, competent, not lying
@nyaunyau3247
Жыл бұрын
LISSU
Huyu mtu asema ukweli
Achukuwe urais kabisa anafaa👍🏼
hivi kwanini tundu lisu asiwe mwanasheria wa serikali?
@asajilepiusmahenge5729
7 жыл бұрын
LASDOPLUS TOURS LIMITED BLOG links yametimia Sasa yeye ni raisi
@elisharaulesi3085
6 жыл бұрын
duuuuuuuuuuuuuuh ww balaaaa
Mwenyekiti akikuwa mtulivu
Wapigaji ni wengi katiba mbovu
That's is truth dah tusaidieni serikali yetu aieleweke
Lisu mzalendo, mkweli, Mungu angetupa 7 tu kama yeye nchi ingeng'ara!
@raphaelsamwel2640
5 жыл бұрын
Wengine wamejaa usanii mtupu !! Eti watetezi wa wanyonge kumbe lengo ni kutufanya tuwe wanyonge zaidi!!!!
Tunaotazama mwaka 2022 tujuane
Kama lisu angekuwa mzalendo kwa aina hii mpaka Leo hakika angeaminika na wananchi kwa asilimia Mia moja