Tundu Lissu Vs Mwana Sheria Mkuu Bungeni

Majibizano bungeni yanaendelea na sasa Lissu anapewa shule na Mwanasheria Mkuu kuhusu mamlaka ya Rais kushughulikia Wabadhirifu Lakini Lissu nae anatunisha misuli ya kutetea hoja.

Пікірлер: 290

  • @juliusmagunila6308
    @juliusmagunila63085 ай бұрын

    Tulioiona 2024 gonga like

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid18825 ай бұрын

    Mpaka Leo cjamuona mrithi wa lisu❤

  • @personpeter2221

    @personpeter2221

    4 ай бұрын

    Mrith wa bwege je umemwona??

  • @zawadimbwambo1091
    @zawadimbwambo1091 Жыл бұрын

    Huyu tundu lisu siku akiwa rais wa tanzania, na nibamini ataku, kwani unabii ulishaonekana kwake bàada ya kumiminiwa marisasi mengi na hakufa akafa alieratibu huo mpango, saaa huyu jamaa akiwa rais, aisee wanawake watakua wanazaa mapacha mapacha mapacha tu baaraka Zitashushwa kwenye taifa hili na kila mtu atashangaa kweli,

  • @ken-ul2jg
    @ken-ul2jg7 ай бұрын

    Lissu anasema mawaziri waliohusika wawajibishwe sio majaji, mwanasheria mkuu anajibu utumbo kuhusu majaji. Mawaziri walihusika, bunge halina uwezo juu ya majaji lakini linauwezo juu ya mawaziri.

  • @chiefkaitaba8293
    @chiefkaitaba8293 Жыл бұрын

    I wish siku moja huyu MH.awe Rais wa nchi hii. #Lissu Baba Laooo

  • @makimbiliotvtv2644
    @makimbiliotvtv26447 жыл бұрын

    Big Up lisu mungu akupe afya njema

  • @twayibmood7319
    @twayibmood73194 жыл бұрын

    Sheria imezidiwa na tundu lissu Jamaa hatar uy7

  • @victormollel3246
    @victormollel32466 жыл бұрын

    Ndiyo mahana wamekupiga risas ulikuwa ulikuwa una simamia ukweli ndiyo wameshindwa kukuhuwa mungu amesimama juu yko,

  • @liberatimasawe9520
    @liberatimasawe95207 жыл бұрын

    lisu uko vizuri baba

  • @sadikisalumu5253
    @sadikisalumu52535 жыл бұрын

    kweli wewe upo kwa Ajili ya watu mungu yupo Pamoja nawe

  • @ernestmwanalinze2612
    @ernestmwanalinze26123 жыл бұрын

    Kichwa kimoja cha Lisu nisawa na vichwa 1000 vya ccm,na huyu ndiye mwenye uchungu na nchi wengine ni wachumia tumbo tu...tunao itazama hii video 2020 augost like

  • @kpetres2872

    @kpetres2872

    3 жыл бұрын

    Tamaa ya uongozi inamsumbua lissu. Huwezi jua mpaka akipata uongozi. Twiga walikuwa wanakunjwa shingo kwenye makontena wanaenda nje

  • @priscusaugust7251

    @priscusaugust7251

    2 жыл бұрын

    @@kpetres2872 kilaza wew

  • @calebcaleb3193

    @calebcaleb3193

    Жыл бұрын

    Lisu ni kicwa kimoja ni sawa Na wa bunge wote wa ccm

  • @ismailyusuf3543

    @ismailyusuf3543

    Жыл бұрын

    2023 still watching him 🤣

  • @saidsuleiman1753

    @saidsuleiman1753

    Жыл бұрын

    Zaidi ya 1,000

  • @yohanaswalo4716
    @yohanaswalo47164 ай бұрын

    Nimemkumbuka Kwa kweli

  • @eliamkamba6899
    @eliamkamba68993 жыл бұрын

    Huyo Mzee wangu mwingine ni dhaifu Sana. Sjui hiyo kazi walizingatia nini kumpa

  • @frankkabombo8439
    @frankkabombo84398 жыл бұрын

    fanyeni kazi kwa uweledi, ahsanteni Lisu

  • @victormollel3246
    @victormollel32466 жыл бұрын

    Hiki kichwa cha lisu nisawa na wabunge wa ccm 2000,

  • @allahisone6386

    @allahisone6386

    4 жыл бұрын

    😆😆

  • @khalifaali9229

    @khalifaali9229

    3 жыл бұрын

    CCM hamna kitu

  • @mohamedturanardan8871

    @mohamedturanardan8871

    3 жыл бұрын

    Ni zaidi ya 2000

  • @MadeliTV
    @MadeliTV4 ай бұрын

    Huyu mwanasheria ndo maana hakuna anayemkumbuka. He is a small man. Unajali mabosi zaidi ya wananchi. Viva Lissu akili kubwa

  • @trgphonegeorge3832
    @trgphonegeorge38326 жыл бұрын

    Lissu bwana!! Yuo will be remembered in this era!!

  • @adenjordan3659

    @adenjordan3659

    2 жыл бұрын

    InstaBlaster.

  • @imranijuma6955

    @imranijuma6955

    2 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭 huyu JEMBE

  • @calebcaleb3193

    @calebcaleb3193

    Жыл бұрын

    Ndiyo maana walitaka kukuondoa mfalume huyu

  • @ernestmatimba9964
    @ernestmatimba99642 жыл бұрын

    Mungu akulinde Mwamba. We love you brother

  • @lawsofsucces5784
    @lawsofsucces57847 жыл бұрын

    Lisu ana material mengi sana kichwani kwake

  • @marcomachiya9849

    @marcomachiya9849

    4 жыл бұрын

    laws of Succes

  • @marthadaniel4904
    @marthadaniel4904 Жыл бұрын

    Lissu unaongeang pont sanaa lkn nchi imekuw ovyoo

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 Жыл бұрын

    Mwamba wangu. MH.Lissu Rais wng wa Moyo.

  • @kelvinmbena4562
    @kelvinmbena45627 жыл бұрын

    my commando tundu lisu big up to you you are the one who creating me to like something we call law congratulation to you my tundu Antipas lisu god bless you.

  • @calebcaleb3193

    @calebcaleb3193

    Жыл бұрын

    Yani ni kichwa kimoja utasema ni vichwa vyote Vya ccm

  • @calebcaleb3193

    @calebcaleb3193

    Жыл бұрын

    Kaa chini wewe pimbi wewe utalaumi wakinafiki watu wanakufa Na njaa theni unakuja kuongea ushiri wako hapo unatetea mijizi kama wewe nyungunyungu wewe ndiyo maana kichwa kimeka kama yandika hiyo katiba Niaya nani labda ya kikwenu

  • @danielsinkamba3719
    @danielsinkamba37195 жыл бұрын

    Lisu mungu akubarik akupe nguvu

  • @williamkirway4620
    @williamkirway46203 жыл бұрын

    Lissu mtaalamu wa katiba na sheria mtamwelewa si bunge tu,hata wananchi tunamwelewa na taifa linamwelewa

  • @abdulrahimmohamed7066
    @abdulrahimmohamed70663 жыл бұрын

    he was too good for bunge la tanzania

  • @shimmysima1311
    @shimmysima13118 жыл бұрын

    lissu heshima yako.

  • @muhusinibakari7045

    @muhusinibakari7045

    5 жыл бұрын

    Hio nihazina yataifa

  • @jakobongwara3038

    @jakobongwara3038

    Жыл бұрын

    Mungu akubariki risu ukoveeeem

  • @sharifuamuri4638
    @sharifuamuri4638 Жыл бұрын

    Mwamba wangu lissu nakukubali saana

  • @petermwasipu1778
    @petermwasipu17788 жыл бұрын

    Safi Sana Lisu

  • @betramkapinga795
    @betramkapinga7958 жыл бұрын

    Duh!! Amahakika kwa changamoto hzo ,,,, ukweli na uwazi utakuwepo,,,, ukawa mbele,,,, lisu shikamoo

  • @sharifunchimbi785
    @sharifunchimbi7854 жыл бұрын

    Hivi tumbuatumbua lisu alishauli

  • @ashirafubesta1018
    @ashirafubesta1018 Жыл бұрын

    Huyu mwamba ndo maaana walimpiga risasi anaongea point tu

  • @nabimanyafesto5014

    @nabimanyafesto5014

    4 ай бұрын

    Hapindashagi

  • @xaveryngonyani-nb1nx
    @xaveryngonyani-nb1nx Жыл бұрын

    Uhuru wa vyombo mbalimbali hongera kikwete

  • @emmiliananasri7726
    @emmiliananasri77263 жыл бұрын

    Lisu wew ni mtu muhim sana

  • @user-ws6dq3vq7t
    @user-ws6dq3vq7t11 ай бұрын

    😅😅 nakuelewa xana mze bb

  • @festussichula8866
    @festussichula88665 жыл бұрын

    katiba yetu imeeleza wazi kanuni na taratibu za nchi, ila kheri ya yule anae dirikki kuvunja sheria na taratíbu za nchi, Pongezi kwa lisu

  • @datiusgabriel8277
    @datiusgabriel82778 жыл бұрын

    Lisu kiboko Yao

  • @isaali9630
    @isaali96307 жыл бұрын

    hakuna kama lisu tanzania wewe ni.tanzania one. ananikuna sana .

  • @bugdadiajm8270
    @bugdadiajm82707 жыл бұрын

    KWA MARA YA KWANZA NAKUPA HI TUNDU

  • @mooking7913
    @mooking79136 жыл бұрын

    Enzi zile kuvunjwa kwa katiba ilikua ni hoja lkn siku hizi ni jambo la kawaida tu.

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi89772 жыл бұрын

    ATAZAMSINGI HAMUZIFUWATI WAPUMBAVU WA CCM AU MCC HUYU NDIO HERO TUNDULISU ANAWASOMESHA VICHWA VIGUMU MADIKTETA CCM AU MCC 👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹🇮🇱🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿

  • @mragahpallangyo6261
    @mragahpallangyo62614 жыл бұрын

    Duuu get Will soon,,Mic u xn Kamanda bora kabsa

  • @msemakwelimdhalendo7782
    @msemakwelimdhalendo77823 жыл бұрын

    "Kumbe huyu jamaa ni moto tangu thamani.

  • @imranijuma6955

    @imranijuma6955

    2 жыл бұрын

    Ulikuwa wapiiii ww

  • @beberurafiki1273
    @beberurafiki12732 жыл бұрын

    Watu kama Lissu ni neema kwa nchi.

  • @greenmedia002
    @greenmedia0022 жыл бұрын

    Much love from kenya... mheshimiwa lissu ni mtetezi wa wananchi

  • @FrankMwakatundu-cu6bd

    @FrankMwakatundu-cu6bd

    Жыл бұрын

    AMINA

  • @paulothomas7270
    @paulothomas72708 жыл бұрын

    ukawa oyeeeeeeee power

  • @markomoter3190
    @markomoter31909 жыл бұрын

    mrithi wa fedrick wa walema

  • @htmmusic9240
    @htmmusic92407 жыл бұрын

    safi brother.

  • @iliyasamanzi5667
    @iliyasamanzi56675 жыл бұрын

    Mm nashaur juu ya serikali kuhusu Mheshimiwa tundu lisu kwani nikichwa chenye elimu mtu ktk,watu.

  • @lucasgasper5235
    @lucasgasper52355 жыл бұрын

    Tundulisu anafaa kuwa Rais

  • @abdallahyasin6829
    @abdallahyasin68293 жыл бұрын

    Lissu for life

  • @innocentnkya2770
    @innocentnkya27708 жыл бұрын

    lisu safi sana,..

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira99432 жыл бұрын

    Lisu forever ♥

  • @isaacsengunda3099
    @isaacsengunda30994 жыл бұрын

    Ni miaka mitano iliopita lisu alizungumza haya na kuonesha uzalendo kwa taifa hili,lakini siku zote miaka yote ccm wamekua wakibebana kwa ukada,na wanataka kila wakati wateteane,na hapa inadhihirisha ule ujinga wao na unafiki wao,mbona kwa sasa magu anawatengua tu kila siku.

  • @othumanmassanja1472
    @othumanmassanja14728 жыл бұрын

    Lissu we nisheeeda

  • @dotomadaraka4620

    @dotomadaraka4620

    4 жыл бұрын

    Otuba za king msukuma

  • @issaibuni5747
    @issaibuni57477 жыл бұрын

    good lisu

  • @liontvonline951
    @liontvonline9515 жыл бұрын

    ajui kueka moyon kitu, anachana moja kwa moja. safi sana

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi85682 жыл бұрын

    Asante sana muheshimiwa tundu lisu chunga mdomo wako eee tumia busara usijifanye unajuwa kusema

  • @francissalamba8112
    @francissalamba81127 жыл бұрын

    sema kamanda kwan nchi imefika pabaya saaana

  • @calebcaleb3193

    @calebcaleb3193

    Жыл бұрын

    Nchi limefilisiwa Na wahuni wa ccm

  • @hajinyange4522
    @hajinyange45227 жыл бұрын

    safi lisu

  • @mosesmpeta3241
    @mosesmpeta32418 жыл бұрын

    kichwa

  • @liberatimasawe9520
    @liberatimasawe95207 жыл бұрын

    maghuli inaonekana hajaifahamu UKAWA vizuri ningemshauri atumie she ria zaidi kuliko maamuzi binafsi kama sivyo ugomvi na ukawa hautaisha

  • @emmanuelyusto6240

    @emmanuelyusto6240

    7 жыл бұрын

    kati Ya wanasheria lisu namkubari xna good kamanda

  • @victormollel3246
    @victormollel32466 жыл бұрын

    Wauwe lisu hao mafisa umo ndani,

  • @iliyasamanzi5667
    @iliyasamanzi56675 жыл бұрын

    Wakae Chini waangalie na MNA ya kufanya kujiepusha na fitna inayo endelea nje ya nchi na si kuendeleza marumbano

  • @olendumbekiseya4583
    @olendumbekiseya4583 Жыл бұрын

    Lisu kweli jamani tasama Kwa jicho ya tatu ngorongor na Miata yote ya Tanzania

  • @FrankFrankmapanacom-eh1xy
    @FrankFrankmapanacom-eh1xy Жыл бұрын

    mwenyezi mungu ukupe guvu lisu kwajili ya kulitetea Taifa letu la TANZANIA. Sisi tunaogozwa na kulindwa na buge ⏰⏰

  • @frankkaiza3658
    @frankkaiza36583 жыл бұрын

    Liiisuuuuuuuuuuuuu!

  • @sadickgugud2556
    @sadickgugud25567 жыл бұрын

    saf sana

  • @abdillahichicha8035
    @abdillahichicha80356 жыл бұрын

    Big up Lisu

  • @sharifuamuri4638
    @sharifuamuri4638 Жыл бұрын

    Hazina yatanzania ii ngoja wamtumie wazungu mana watz tumeshindwa kumtumia lissu katupa mungu ila ndo ivyo mungu hakupe afya lissu namaisha narefu naamini ipo siku mwaka mwezi utakuja shika ii nchi

  • @emmanuelngadaya1412
    @emmanuelngadaya14128 жыл бұрын

    huyu mwanasheria kwa kipindi cha MAghufuli sidhani kama angesema hivyo "rais atawawajibishaje majaji" mbona anauwezo wa kuteua jaji mkuu anashindwa vipi kuwawajibisha. huyu jamaa huyu

  • @Bruno-ed1ps

    @Bruno-ed1ps

    2 жыл бұрын

    😆😆😆

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    Жыл бұрын

    Anavyoongea tu kama zezeta ,anachoongea mwenyewe hajui

  • @abisaiamos1245
    @abisaiamos12456 жыл бұрын

    Ata mwenye kiti kaipigwa na butwaa!😂😂hivi hawaja soma au uongozi wa kukariri

  • @clementcharles5687
    @clementcharles56879 жыл бұрын

    tuwekeeni kilichotokea leo tarehe 01/4/2015 bungeni

  • @MelkizedekUrio-xl1jp
    @MelkizedekUrio-xl1jp23 күн бұрын

    Hili ndilo bunge

  • @piuslugata4931
    @piuslugata49314 ай бұрын

    Bona alikula mda wa mwezake bila sababu

  • @deogratiousmchau8162
    @deogratiousmchau81627 жыл бұрын

    Lisu hatari

  • @emmiliananasri7726
    @emmiliananasri77263 жыл бұрын

    Lisu oyeeee

  • @allyally6529
    @allyally65297 жыл бұрын

    lissu cha mtoto,mwanasheria wa mateja na madada powa

  • @manyakuulaompondelo4419
    @manyakuulaompondelo4419 Жыл бұрын

    Sasa anachoeleza huyu waziri mbona hicho hicho kaeleza Lissu. Mwanasheria mkuu mshauriiiiiii Raisi na siyo kulishauri bunge

  • @emmanuelngollej6415
    @emmanuelngollej64155 жыл бұрын

    yataniwati Dawa yakumnyamazisha Lisu nilimpa uwaziri mkuu basi

  • @eliusponde8564
    @eliusponde8564 Жыл бұрын

    Huyu jamaa Ni fire Yuko vzr

  • @kassimnasseb4845
    @kassimnasseb48454 жыл бұрын

    Genus!!!

  • @anoldstephano6301
    @anoldstephano6301 Жыл бұрын

    God bless lisu for ever and never

  • @neybenson7881
    @neybenson78814 жыл бұрын

    Lisu tunakusubiri urudi dah

  • @edwardkasubi1495
    @edwardkasubi14956 жыл бұрын

    Aaaaaah huyu Mzee sikuwahi kumuelewa kabisa

  • @saidybhokey5744
    @saidybhokey5744 Жыл бұрын

    uyu jamaa nikichwa sana anafaa kuwa raisi na kura yangu mm na mpa mapema sana

  • @trgphonegeorge3832
    @trgphonegeorge38326 жыл бұрын

    Hahaaaa!! Mrithi!!!!!??!!

  • @melkiorimunisi5765
    @melkiorimunisi5765Ай бұрын

    Kichwaaaaaaa

  • @saidngwema1981
    @saidngwema1981 Жыл бұрын

    Tuanzie apo pa wangine wako umu umu ni wezi😂😂Apo lazima walikuwa razima wakupige Risa's ila kunavitu umesema mafuguri alitimiza Mzee watu walifuzwa na walifungwa apo ndio sijui Kwann hamkupendana au ndio kwasababu mlikuwa sawa 🙏rip mafuguri 🙏🙏🙏😥😥😥😥

  • @thomasjohn3499
    @thomasjohn34992 жыл бұрын

    HUYO NDIYE TUNDU LISSU.

  • @husseinngurumo9384
    @husseinngurumo93848 жыл бұрын

    Bunge lakitoto aliwez kujenga nchi

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan88713 жыл бұрын

    Lissu ever brave, competent, not lying

  • @nyaunyau3247

    @nyaunyau3247

    Жыл бұрын

    LISSU

  • @nuuringoogle4104
    @nuuringoogle41042 жыл бұрын

    Huyu mtu asema ukweli

  • @hildamakala178
    @hildamakala178 Жыл бұрын

    Achukuwe urais kabisa anafaa👍🏼

  • @MAJALATV485
    @MAJALATV4857 жыл бұрын

    hivi kwanini tundu lisu asiwe mwanasheria wa serikali?

  • @asajilepiusmahenge5729

    @asajilepiusmahenge5729

    7 жыл бұрын

    LASDOPLUS TOURS LIMITED BLOG links yametimia Sasa yeye ni raisi

  • @elisharaulesi3085

    @elisharaulesi3085

    6 жыл бұрын

    duuuuuuuuuuuuuuh ww balaaaa

  • @nak3477
    @nak34773 жыл бұрын

    Mwenyekiti akikuwa mtulivu

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl5 ай бұрын

    Wapigaji ni wengi katiba mbovu

  • @georgekavishe2787
    @georgekavishe278710 ай бұрын

    That's is truth dah tusaidieni serikali yetu aieleweke

  • @tecnof1232
    @tecnof12325 жыл бұрын

    Lisu mzalendo, mkweli, Mungu angetupa 7 tu kama yeye nchi ingeng'ara!

  • @raphaelsamwel2640

    @raphaelsamwel2640

    5 жыл бұрын

    Wengine wamejaa usanii mtupu !! Eti watetezi wa wanyonge kumbe lengo ni kutufanya tuwe wanyonge zaidi!!!!

  • @jofreymfugale4752
    @jofreymfugale4752 Жыл бұрын

    Tunaotazama mwaka 2022 tujuane

  • @theuniversetv2870
    @theuniversetv2870 Жыл бұрын

    Kama lisu angekuwa mzalendo kwa aina hii mpaka Leo hakika angeaminika na wananchi kwa asilimia Mia moja