SUGU: "Please Don't Shut Me! Tubishane kwa Hoja na Siyo Bunduki"
Subscribe / uwazi
Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, amemshukuru spika wa Bunge, Job Ndugai, kwa kuwahakikishia wabunge wote kuwa kwa sasa wanapohudhuria vikao vya Bunge mjini Dodoma watakuwa salama, halitatokea tukio kama lililomtokea Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, ambaye alipigwa risasi na watu wasiojulikana alipokuwa nyumbani kwake Mjini Dodoma.
Aidha Mh Sugu ameliomba Bunge hilo kuwahakikishia usalama hata wanapokuwa maeneo mengine mbalimbali ya nchi.
"Kwa sababu ni uwazi dunia yote inajua wabunge wote wa upinzani na watu wengine wenye mawazo mbadala hawako salama, sasa hatuwezi kujadili mipango katika mazingira ambayo siyo salama, 'So Please Don't Shut Me', natoa ushauri, mawazo, maoni yangu kwa serikali, tubishane kwa hoja na siyo Bullet.
Subscribe / uwazi1 FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .
Пікірлер: 335
MH. SUGU KILA AKIONGEA ANAONGEA POINT 💪✊ MUNGU AKUWEKE SANA BRO.
@abdallahdataguy
6 жыл бұрын
umeona eh. Yaani kihuni kihuni flani lakini full point mwanzo mwisho
@denisexpchannel3684
6 жыл бұрын
benson frank √√√√
"Kutofautiana mawazo na mitazamo ni utamaduni wa watu wanaofikiri na walioelimika" Prof. Joseph Mbele
Huyu jamaa aliongea point sana na sasa hii speech yake leo ndio inareflect ukweli Big up sugu
Kusoma san sio kwamba utakua muelewa sana 😂 kuna walio jielewa tangu tumboni yani wakishushwa duniani utapenda ......SUGU BABA UPO VIZURI SANA
Big up Sugu keep on moving with genuine reasons n fact #BeBlessedEver
mbeya city president much respect president
@nicodemocharles5566
5 жыл бұрын
respect sugu
nimekuelewa Sana sugu Asante kwa kutuwakilisha
@essaumtawa2344
5 жыл бұрын
Juma Costantine
waeleweshe maana wanajua c hatujui
Hahahaha daah aisee Sugu kanifurahisha sana, nothing serious lakini ujumbe umefika. Mwalimu mzuri ni yule anayeburudisha darasa akili haichoki uelewa unakua juu word by word ni rahisi kukumbuka huwezi sahau.Big up Sugu
@ilumbukibi4169
6 жыл бұрын
Dah!We haumo bwana!
@morathraphael6287
6 жыл бұрын
Sugu hivohivo wakuelewa atakuelewa mbona musukuma walasaba na anaeleweka
@emanueljtluway1265
6 жыл бұрын
joji georige kwa kweli huynoma
@mtanzaniamzalendo7001
6 жыл бұрын
joji georige true
@fabianvenance2891
6 жыл бұрын
Twende kazi sugu
Kamanda sugu uko vizuri wapasue mimacho imewatoka haamini kama ni ww sugu wachane kaka wanamuogopa sana
chadema wooote nivichwaaa kwanza niwasomi napoint wanazjua kwahiyo tunajivunia hilo
Massage delivered mh. Sugu
yo sugu damn you killed it 😀😀😀😀!
Nimekukubali mbunge wangu I sarut you
@mfedeful
6 жыл бұрын
Salehe Yassin ni salute sio sarut...
@kassimrajabu7805
4 жыл бұрын
@@mfedeful hahahahahaha
This is the way to send message across 😂😂😂😂😂😂😂
@mtanzaniamzalendo7001
6 жыл бұрын
daneil joseph yeah
@vincentmokenye4465
4 жыл бұрын
Barable of seed1🤣🤣
Nimekuelewa bro,ujumbe umefika hivyo2 hakuna namna.
2024 and still the best speech ever
"UNALETA JANGWA,,,.. KARATASI NYIIIINGI""
Asantee baba.
Sugu ndio mbunge wetu anaekuja kupambana nae kwenye jimbo lake mby city atapunguza wingi wa kura zake tu but ushindi uko palepale.
Dah Brother you are real Genius
Kweli kabisa yote yanayofunguliwa Leo yalianzishwa Na kikwete
@edsonmosha7418
6 жыл бұрын
Big up broo
Kweli NDALICHAKO maelezo yake hayakuwa n.a. mantiki. Sigu bwana umenivunja mbavu.n
sugu big up bro your the best member of parliament respect to you up coming president of tanzania
Akili za huyu mheshimiwa anazijua mwenyewe
kweli sugu umeongea
True say Mr Sugu.
umekomaa vizuri mkuu
safi sana sugu una akili sana
@richardmanyelezi5826
6 жыл бұрын
nimekubali sungu
mjinga mjinga hawez kumuelewa sugu timamu pekee ndoatamuelewa
@zaudatmakula3454
6 жыл бұрын
Evans Lugoya kabisaaaa
@subiradalabu6616
5 жыл бұрын
Evans Lugoya ..umeonaeeee..
Safi sana MP Sugu!
Ni dont shoot me sio shut jamani global vp??
kweli sugu umeongea maana kula MTU siku hz ni kambale kila SKU tunasikia mapya
@salmaibrahim9585
4 жыл бұрын
BP sana mh.sugu tuchape kazi
Shut????!ulieapload hii video ulipatat ngap english??nadhn ni shoot
Mbilinyi ni fire mungu azidikukulinde
Mashindwa kwenda Butihama kwa baba wa Taifa, Mtawezaje kwenda Chato
Mipango bila taratibu ni VURUGU ucseme co mipango! Nafurahiaga uongeaj wako tu Mh.
dah ebwana nimeielewa sana hii speech
Salute sugu
point
Big up brother
Binafs nawaomba selikali yangu jimbo la mbeya mjini ligawanywe maana sugu ni muhim sana kurd bungeni
Mbunge wangu huyu nampenda sana,
We miss this 😂😂
Ongera xana sugu unapoint nzuri xana
Respect bro
oooh my god
big up sugu
ahaaaa ahaaa anamaliza miti yetu hao mpe makavu bwana sugu
Huyu jamaa Dah
Hahahahaha! mbaazi huk zinaitwa haujaulamba maana hazina bei kabisa yaani ukiomba unapewa bure tu,
@musocar408
6 жыл бұрын
ELISHA MWAYA mmmmhhhh
Eti anamaliza miti tu, Dah! Ama kweli kazi ipo.
nakuelewaga sana mheshimiwa sugu.......
Speach nzuri
nice ones
sugu we need you 2020 to be our president
Big up
hahahaha @BIGup Mh.sugu
APPRICIATE NYINGI KWAKO SUGU
huyu mbuge bana kweli msanii anachomekeza ukweli
@ernestomaphie1475
5 жыл бұрын
Suguuuu
Hamjibu kwa hoja mnasubiri tukoke nje mtufanyie pyuu pyuu Pyuuuu😂😂😂😂😂😂😂😂
good
Mh Sugu huwa unazungumza mazuri daima jitihada ya kuzuia radi naziona we jipange kwa yote
Smart politician
👍✌️👊.
Ujumbe umefika
2020 bado nacheki
Duh kweli wapinzani wa tanzania ni chenga leo unamsifu kikwete ikiwa ndiyo mlikuwa mnamtukana hovyo hovyo azarani
🤣🤣 stand up comedian with sense in it..
Duuuuuh jakaya kawa wa muhimu kwa wapizani hakika mtu huwezi jua umuhimu wake mpaka atoke
@twevebrown2206
6 жыл бұрын
EVOD MAGIDANGA . Rudi shule wewe elimu bure hatakuandika shida
@hudhud2022
6 жыл бұрын
EVOD MAGIDANGA Japo ndie alipeleka majeshi kupindua matokeo ya uchaguzi Zanzibar lakini alifanya mazuri yake
@hudhud2022
6 жыл бұрын
Kweli kabisa Mheshimiwa Sugu uko mkwe kabisa
@seadkolasnic6894
6 жыл бұрын
alikubali kukosolewa ndio maana kasema mwanadiplomasia mzuri
You so funny!
Kweli tundu lisu wapo wengi ila tundu lisu yuko bungeni haleluya upinzani roho wa bwana yu juu yenu atawalinda kweli
ET unamaliza miti, unaleta jangwa # sugu we noma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Viva sugu
dont shoot not dont shut....be smart
@ericstephenm.844
6 жыл бұрын
Kundya Rajab Kundya True!.... DON'T SHOOT ME!!!..
@princekasheku8741
6 жыл бұрын
Kundya Rajab Kundya 😂😂😂🤣🤣😂🤣
@wingavangaga1778
4 жыл бұрын
H
@albertjames6845
Жыл бұрын
Wewe ndo hujuwi, “don’t shut me” usinyamazishe/usinzime. Usikariri kuwa alitaka kusema usiniuwe. English is so diverse shida ni wewe unaekariri badala ya kuelewa.
Mr ll 2 proud
hawa ndo wabunge tunaowahitaji katika bunge letu
Mi naomba mpunguze bei ya wali maharage, iwe sahani mbili buku!!
Sugu fundi sana jamaa
Huyo ndio sugu moto chini!!
Uyu jamaa family yake wanajifunia kuwa na mtu kama uyu yani nikichwa sana mungu amlinde sana
Waambie hao Mr ll
@isackmwaluko7564
6 жыл бұрын
kwa nini watanzania ni wepesi wa kuunga mkono wanasiasa wa mlengo wa kushoto hata kama ataongea visivyo..!!!!? wanunuzi wa kunde na mbaazi walikuwa brazil vs canada na kwasasa wanalima wenyewe tena kuzidi tz..hawanunui tena..sasa..anayepandisha bei ni nani!!!!abilia wote wakinunua magari ya kutembelea mabasi yanakosa wateja..mtaailaum serikali.??wabongo bwana!!!mtamuelewa tu jpm.
kweli sugu sasa umebadilika unachangia fresh
hahhahaahhhahaaahaaajjjjjaaajj eti mnaleta jangwaaa,, hahahahaha sugu Nouma
🙌motto chini
Fact fact fact sugu
Hiv ndivyo namna ya kuongea, no matusi ila SMS sent
@vincentmokenye4465
4 жыл бұрын
Umeona
yalio funguliwa ni ya kikwete na kama kikwete alivyo kua anafungua miladi ya mkapa uwanja na vingine
Mbeya city......up
Huyu ni Lecture
Daaah Sugu z still Sugu jamaa kanyooka kama chuma
Maelezo mengii.....anamaliza miti tu huyu analeta jangwa
Sugu umesema vizuri sans principal and organization this is what this government of ccm .
Waambie babaaa
Sugu si kwamba ana praise empty bowls... Sugu ana praise right because as the matter of fact Mh. Jakaya alipitia misukosuko saana lakini alikuwa humble.... sijui kama you get me right. sijui!
2024🎉🎉🎉🎉🎉
too edited some points are interrupted...
Salut :#Sugu
nikweli kabisa
nakuonaa