SUGU: "Please Don't Shut Me! Tubishane kwa Hoja na Siyo Bunduki"

Subscribe / uwazi
Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, amemshukuru spika wa Bunge, Job Ndugai, kwa kuwahakikishia wabunge wote kuwa kwa sasa wanapohudhuria vikao vya Bunge mjini Dodoma watakuwa salama, halitatokea tukio kama lililomtokea Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, ambaye alipigwa risasi na watu wasiojulikana alipokuwa nyumbani kwake Mjini Dodoma.
Aidha Mh Sugu ameliomba Bunge hilo kuwahakikishia usalama hata wanapokuwa maeneo mengine mbalimbali ya nchi.
"Kwa sababu ni uwazi dunia yote inajua wabunge wote wa upinzani na watu wengine wenye mawazo mbadala hawako salama, sasa hatuwezi kujadili mipango katika mazingira ambayo siyo salama, 'So Please Don't Shut Me', natoa ushauri, mawazo, maoni yangu kwa serikali, tubishane kwa hoja na siyo Bullet.
Subscribe / uwazi1 FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .

Пікірлер: 335

  • @bensonfrank643
    @bensonfrank6436 жыл бұрын

    MH. SUGU KILA AKIONGEA ANAONGEA POINT 💪✊ MUNGU AKUWEKE SANA BRO.

  • @abdallahdataguy

    @abdallahdataguy

    6 жыл бұрын

    umeona eh. Yaani kihuni kihuni flani lakini full point mwanzo mwisho

  • @denisexpchannel3684

    @denisexpchannel3684

    6 жыл бұрын

    benson frank √√√√

  • @lastpage488
    @lastpage4885 жыл бұрын

    "Kutofautiana mawazo na mitazamo ni utamaduni wa watu wanaofikiri na walioelimika" Prof. Joseph Mbele

  • @donboscolunguya2936
    @donboscolunguya2936 Жыл бұрын

    Huyu jamaa aliongea point sana na sasa hii speech yake leo ndio inareflect ukweli Big up sugu

  • @antarysuleiman5338
    @antarysuleiman53386 жыл бұрын

    Kusoma san sio kwamba utakua muelewa sana 😂 kuna walio jielewa tangu tumboni yani wakishushwa duniani utapenda ......SUGU BABA UPO VIZURI SANA

  • @mwambirekwamboka9525
    @mwambirekwamboka95256 жыл бұрын

    Big up Sugu keep on moving with genuine reasons n fact #BeBlessedEver

  • @emmanuelsilungu446
    @emmanuelsilungu4466 жыл бұрын

    mbeya city president much respect president

  • @nicodemocharles5566

    @nicodemocharles5566

    5 жыл бұрын

    respect sugu

  • @jumacostantine8003
    @jumacostantine80036 жыл бұрын

    nimekuelewa Sana sugu Asante kwa kutuwakilisha

  • @essaumtawa2344

    @essaumtawa2344

    5 жыл бұрын

    Juma Costantine

  • @kitangacharles5818
    @kitangacharles58186 жыл бұрын

    waeleweshe maana wanajua c hatujui

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige10566 жыл бұрын

    Hahahaha daah aisee Sugu kanifurahisha sana, nothing serious lakini ujumbe umefika. Mwalimu mzuri ni yule anayeburudisha darasa akili haichoki uelewa unakua juu word by word ni rahisi kukumbuka huwezi sahau.Big up Sugu

  • @ilumbukibi4169

    @ilumbukibi4169

    6 жыл бұрын

    Dah!We haumo bwana!

  • @morathraphael6287

    @morathraphael6287

    6 жыл бұрын

    Sugu hivohivo wakuelewa atakuelewa mbona musukuma walasaba na anaeleweka

  • @emanueljtluway1265

    @emanueljtluway1265

    6 жыл бұрын

    joji georige kwa kweli huynoma

  • @mtanzaniamzalendo7001

    @mtanzaniamzalendo7001

    6 жыл бұрын

    joji georige true

  • @fabianvenance2891

    @fabianvenance2891

    6 жыл бұрын

    Twende kazi sugu

  • @ramambongo4069
    @ramambongo40696 жыл бұрын

    Kamanda sugu uko vizuri wapasue mimacho imewatoka haamini kama ni ww sugu wachane kaka wanamuogopa sana

  • @vicentigiboregibore1007
    @vicentigiboregibore10075 жыл бұрын

    chadema wooote nivichwaaa kwanza niwasomi napoint wanazjua kwahiyo tunajivunia hilo

  • @festomeshack8581
    @festomeshack85816 жыл бұрын

    Massage delivered mh. Sugu

  • @chapamtukironge2375
    @chapamtukironge23756 жыл бұрын

    yo sugu damn you killed it 😀😀😀😀!

  • @scarletscarlet5363
    @scarletscarlet53636 жыл бұрын

    Nimekukubali mbunge wangu I sarut you

  • @mfedeful

    @mfedeful

    6 жыл бұрын

    Salehe Yassin ni salute sio sarut...

  • @kassimrajabu7805

    @kassimrajabu7805

    4 жыл бұрын

    @@mfedeful hahahahahaha

  • @danieljoseph6309
    @danieljoseph63096 жыл бұрын

    This is the way to send message across 😂😂😂😂😂😂😂

  • @mtanzaniamzalendo7001

    @mtanzaniamzalendo7001

    6 жыл бұрын

    daneil joseph yeah

  • @vincentmokenye4465

    @vincentmokenye4465

    4 жыл бұрын

    Barable of seed1🤣🤣

  • @aboubakarkaseko8670
    @aboubakarkaseko86706 жыл бұрын

    Nimekuelewa bro,ujumbe umefika hivyo2 hakuna namna.

  • @geraldstanslaus6471
    @geraldstanslaus64714 ай бұрын

    2024 and still the best speech ever

  • @SHPI156
    @SHPI1566 жыл бұрын

    "UNALETA JANGWA,,,.. KARATASI NYIIIINGI""

  • @samwellaizarsamwellaizar5839
    @samwellaizarsamwellaizar58394 жыл бұрын

    Asantee baba.

  • @lucasabunuas4662
    @lucasabunuas46626 жыл бұрын

    Sugu ndio mbunge wetu anaekuja kupambana nae kwenye jimbo lake mby city atapunguza wingi wa kura zake tu but ushindi uko palepale.

  • @saidinalmsofethatsgoodwaya6454
    @saidinalmsofethatsgoodwaya64544 жыл бұрын

    Dah Brother you are real Genius

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi6 жыл бұрын

    Kweli kabisa yote yanayofunguliwa Leo yalianzishwa Na kikwete

  • @edsonmosha7418

    @edsonmosha7418

    6 жыл бұрын

    Big up broo

  • @renaldakamugishazeramulake940
    @renaldakamugishazeramulake9406 жыл бұрын

    Kweli NDALICHAKO maelezo yake hayakuwa n.a. mantiki. Sigu bwana umenivunja mbavu.n

  • @nurunswebe4203
    @nurunswebe42034 жыл бұрын

    sugu big up bro your the best member of parliament respect to you up coming president of tanzania

  • @rosemarysempombe8559
    @rosemarysempombe85596 жыл бұрын

    Akili za huyu mheshimiwa anazijua mwenyewe

  • @samsonkusupa6809
    @samsonkusupa68096 жыл бұрын

    kweli sugu umeongea

  • @nasserkomba6231
    @nasserkomba62316 жыл бұрын

    True say Mr Sugu.

  • @petermwanyondo6459
    @petermwanyondo64596 жыл бұрын

    umekomaa vizuri mkuu

  • @mselematiku2318
    @mselematiku23186 жыл бұрын

    safi sana sugu una akili sana

  • @richardmanyelezi5826

    @richardmanyelezi5826

    6 жыл бұрын

    nimekubali sungu

  • @evanslugoya1232
    @evanslugoya12326 жыл бұрын

    mjinga mjinga hawez kumuelewa sugu timamu pekee ndoatamuelewa

  • @zaudatmakula3454

    @zaudatmakula3454

    6 жыл бұрын

    Evans Lugoya kabisaaaa

  • @subiradalabu6616

    @subiradalabu6616

    5 жыл бұрын

    Evans Lugoya ..umeonaeeee..

  • @abhambomihambo6754
    @abhambomihambo67545 жыл бұрын

    Safi sana MP Sugu!

  • @rutashubanyuma4546
    @rutashubanyuma45466 жыл бұрын

    Ni dont shoot me sio shut jamani global vp??

  • @samsonkusupa6809
    @samsonkusupa68096 жыл бұрын

    kweli sugu umeongea maana kula MTU siku hz ni kambale kila SKU tunasikia mapya

  • @salmaibrahim9585

    @salmaibrahim9585

    4 жыл бұрын

    BP sana mh.sugu tuchape kazi

  • @a.j9964
    @a.j99646 жыл бұрын

    Shut????!ulieapload hii video ulipatat ngap english??nadhn ni shoot

  • @fauziaharuna6397
    @fauziaharuna63974 жыл бұрын

    Mbilinyi ni fire mungu azidikukulinde

  • @mosamossile9113
    @mosamossile91134 жыл бұрын

    Mashindwa kwenda Butihama kwa baba wa Taifa, Mtawezaje kwenda Chato

  • @samwelimwinyi9327
    @samwelimwinyi93276 жыл бұрын

    Mipango bila taratibu ni VURUGU ucseme co mipango! Nafurahiaga uongeaj wako tu Mh.

  • @amonsanga6209
    @amonsanga62096 жыл бұрын

    dah ebwana nimeielewa sana hii speech

  • @siwemaalphoncy2452
    @siwemaalphoncy24524 жыл бұрын

    Salute sugu

  • @mbumbulicomedians3286
    @mbumbulicomedians32866 жыл бұрын

    point

  • @marcusdonald1472
    @marcusdonald14726 жыл бұрын

    Big up brother

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4k3 ай бұрын

    Binafs nawaomba selikali yangu jimbo la mbeya mjini ligawanywe maana sugu ni muhim sana kurd bungeni

  • @victorjames3730
    @victorjames37304 жыл бұрын

    Mbunge wangu huyu nampenda sana,

  • @seifmohamedseif9467
    @seifmohamedseif94673 жыл бұрын

    We miss this 😂😂

  • @johnnillan3990
    @johnnillan39904 жыл бұрын

    Ongera xana sugu unapoint nzuri xana

  • @bungapaul5221
    @bungapaul52213 жыл бұрын

    Respect bro

  • @isackpaulo7946
    @isackpaulo79466 жыл бұрын

    oooh my god

  • @christophersypriano7824
    @christophersypriano78246 жыл бұрын

    big up sugu

  • @mselematiku2318
    @mselematiku23186 жыл бұрын

    ahaaaa ahaaa anamaliza miti yetu hao mpe makavu bwana sugu

  • @shabbymakapane3212
    @shabbymakapane32126 жыл бұрын

    Huyu jamaa Dah

  • @elishamwaya4074
    @elishamwaya40746 жыл бұрын

    Hahahahaha! mbaazi huk zinaitwa haujaulamba maana hazina bei kabisa yaani ukiomba unapewa bure tu,

  • @musocar408

    @musocar408

    6 жыл бұрын

    ELISHA MWAYA mmmmhhhh

  • @lawrencebundala5769
    @lawrencebundala57696 жыл бұрын

    Eti anamaliza miti tu, Dah! Ama kweli kazi ipo.

  • @babytee4901
    @babytee49016 жыл бұрын

    nakuelewaga sana mheshimiwa sugu.......

  • @mbarakaathumani3035
    @mbarakaathumani3035 Жыл бұрын

    Speach nzuri

  • @amirmotors9735
    @amirmotors97356 жыл бұрын

    nice ones

  • @athumaniomary1245
    @athumaniomary12455 жыл бұрын

    sugu we need you 2020 to be our president

  • @e-mzambuli6647
    @e-mzambuli66472 жыл бұрын

    Big up

  • @MWIHAVAGF
    @MWIHAVAGF6 жыл бұрын

    hahahaha @BIGup Mh.sugu

  • @fredrickmsomba4123
    @fredrickmsomba41236 жыл бұрын

    APPRICIATE NYINGI KWAKO SUGU

  • @mbogomagembe6318
    @mbogomagembe63186 жыл бұрын

    huyu mbuge bana kweli msanii anachomekeza ukweli

  • @ernestomaphie1475

    @ernestomaphie1475

    5 жыл бұрын

    Suguuuu

  • @henrygwalema8508
    @henrygwalema85086 жыл бұрын

    Hamjibu kwa hoja mnasubiri tukoke nje mtufanyie pyuu pyuu Pyuuuu😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @oscaromary7437
    @oscaromary74376 жыл бұрын

    good

  • @notabenemwakamala7590
    @notabenemwakamala75906 жыл бұрын

    Mh Sugu huwa unazungumza mazuri daima jitihada ya kuzuia radi naziona we jipange kwa yote

  • @godblesskyangala3785
    @godblesskyangala37856 жыл бұрын

    Smart politician

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything5 ай бұрын

    👍✌️👊.

  • @joycejohn7754
    @joycejohn77546 жыл бұрын

    Ujumbe umefika

  • @victormaimu3748
    @victormaimu37484 жыл бұрын

    2020 bado nacheki

  • @fadhilimgohamwelu1891
    @fadhilimgohamwelu18916 жыл бұрын

    Duh kweli wapinzani wa tanzania ni chenga leo unamsifu kikwete ikiwa ndiyo mlikuwa mnamtukana hovyo hovyo azarani

  • @onionpeeling5822
    @onionpeeling58225 жыл бұрын

    🤣🤣 stand up comedian with sense in it..

  • @evodmagidanga7730
    @evodmagidanga77306 жыл бұрын

    Duuuuuh jakaya kawa wa muhimu kwa wapizani hakika mtu huwezi jua umuhimu wake mpaka atoke

  • @twevebrown2206

    @twevebrown2206

    6 жыл бұрын

    EVOD MAGIDANGA . Rudi shule wewe elimu bure hatakuandika shida

  • @hudhud2022

    @hudhud2022

    6 жыл бұрын

    EVOD MAGIDANGA Japo ndie alipeleka majeshi kupindua matokeo ya uchaguzi Zanzibar lakini alifanya mazuri yake

  • @hudhud2022

    @hudhud2022

    6 жыл бұрын

    Kweli kabisa Mheshimiwa Sugu uko mkwe kabisa

  • @seadkolasnic6894

    @seadkolasnic6894

    6 жыл бұрын

    alikubali kukosolewa ndio maana kasema mwanadiplomasia mzuri

  • @bertineddyne610
    @bertineddyne6106 жыл бұрын

    You so funny!

  • @pauloalufayo6145
    @pauloalufayo61456 жыл бұрын

    Kweli tundu lisu wapo wengi ila tundu lisu yuko bungeni haleluya upinzani roho wa bwana yu juu yenu atawalinda kweli

  • @hassanmakweto4012
    @hassanmakweto40124 жыл бұрын

    ET unamaliza miti, unaleta jangwa # sugu we noma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @husseinseif9856
    @husseinseif98566 жыл бұрын

    Viva sugu

  • @kundyarajabkundya9235
    @kundyarajabkundya92356 жыл бұрын

    dont shoot not dont shut....be smart

  • @ericstephenm.844

    @ericstephenm.844

    6 жыл бұрын

    Kundya Rajab Kundya True!.... DON'T SHOOT ME!!!..

  • @princekasheku8741

    @princekasheku8741

    6 жыл бұрын

    Kundya Rajab Kundya 😂😂😂🤣🤣😂🤣

  • @wingavangaga1778

    @wingavangaga1778

    4 жыл бұрын

    H

  • @albertjames6845

    @albertjames6845

    Жыл бұрын

    Wewe ndo hujuwi, “don’t shut me” usinyamazishe/usinzime. Usikariri kuwa alitaka kusema usiniuwe. English is so diverse shida ni wewe unaekariri badala ya kuelewa.

  • @adsonjoseph8933
    @adsonjoseph89333 жыл бұрын

    Mr ll 2 proud

  • @paulmalula8714
    @paulmalula87146 жыл бұрын

    hawa ndo wabunge tunaowahitaji katika bunge letu

  • @roggersmwangumbe5382
    @roggersmwangumbe53826 жыл бұрын

    Mi naomba mpunguze bei ya wali maharage, iwe sahani mbili buku!!

  • @user-qw5ft8xc1e
    @user-qw5ft8xc1e7 ай бұрын

    Sugu fundi sana jamaa

  • @brownmshan2629
    @brownmshan26296 жыл бұрын

    Huyo ndio sugu moto chini!!

  • @paschalboniface8319
    @paschalboniface83194 жыл бұрын

    Uyu jamaa family yake wanajifunia kuwa na mtu kama uyu yani nikichwa sana mungu amlinde sana

  • @hamisbennjaphet400
    @hamisbennjaphet4006 жыл бұрын

    Waambie hao Mr ll

  • @isackmwaluko7564

    @isackmwaluko7564

    6 жыл бұрын

    kwa nini watanzania ni wepesi wa kuunga mkono wanasiasa wa mlengo wa kushoto hata kama ataongea visivyo..!!!!? wanunuzi wa kunde na mbaazi walikuwa brazil vs canada na kwasasa wanalima wenyewe tena kuzidi tz..hawanunui tena..sasa..anayepandisha bei ni nani!!!!abilia wote wakinunua magari ya kutembelea mabasi yanakosa wateja..mtaailaum serikali.??wabongo bwana!!!mtamuelewa tu jpm.

  • @furahajonas839
    @furahajonas8396 жыл бұрын

    kweli sugu sasa umebadilika unachangia fresh

  • @elishaworkout6116
    @elishaworkout61166 жыл бұрын

    hahhahaahhhahaaahaaajjjjjaaajj eti mnaleta jangwaaa,, hahahahaha sugu Nouma

  • @ericgeorge7405
    @ericgeorge74056 жыл бұрын

    🙌motto chini

  • @vincentmokenye4465
    @vincentmokenye44654 жыл бұрын

    Fact fact fact sugu

  • @elizabethpondela6482
    @elizabethpondela64826 жыл бұрын

    Hiv ndivyo namna ya kuongea, no matusi ila SMS sent

  • @vincentmokenye4465

    @vincentmokenye4465

    4 жыл бұрын

    Umeona

  • @harunimfaume6280
    @harunimfaume62805 жыл бұрын

    yalio funguliwa ni ya kikwete na kama kikwete alivyo kua anafungua miladi ya mkapa uwanja na vingine

  • @georgembilinyi2824
    @georgembilinyi28244 жыл бұрын

    Mbeya city......up

  • @daudhenry913
    @daudhenry9136 жыл бұрын

    Huyu ni Lecture

  • @danielmatya373
    @danielmatya373 Жыл бұрын

    Daaah Sugu z still Sugu jamaa kanyooka kama chuma

  • @mwakinhosantos6307
    @mwakinhosantos63074 жыл бұрын

    Maelezo mengii.....anamaliza miti tu huyu analeta jangwa

  • @bigdad1816
    @bigdad18166 жыл бұрын

    Sugu umesema vizuri sans principal and organization this is what this government of ccm .

  • @flaviankiria435
    @flaviankiria4356 жыл бұрын

    Waambie babaaa

  • @iviejustified8109
    @iviejustified81096 жыл бұрын

    Sugu si kwamba ana praise empty bowls... Sugu ana praise right because as the matter of fact Mh. Jakaya alipitia misukosuko saana lakini alikuwa humble.... sijui kama you get me right. sijui!

  • @HelakridiWella
    @HelakridiWella2 ай бұрын

    2024🎉🎉🎉🎉🎉

  • @malakigerald8586
    @malakigerald85866 жыл бұрын

    too edited some points are interrupted...

  • @sidemtata2212
    @sidemtata22126 жыл бұрын

    Salut :#Sugu

  • @omalisaidi3245
    @omalisaidi32455 жыл бұрын

    nikweli kabisa

  • @wilbertcharles9129
    @wilbertcharles91296 жыл бұрын

    nakuonaa

Келесі