Wabunge anzeni kulipa kodi, tutapata Trillion 1.2 kwa mwaka
@deogratiusyudatadei5658
3 ай бұрын
Kumbeee 😂
@user-md7ug5dd9r
3 ай бұрын
Hivi halipi kodi ? Kama ni hivyo itakuwa niuonevu mkubwa
@naturelle1097
3 ай бұрын
Pamoja na mabalozi
@MatronaThomas-wz5si3 ай бұрын
Wallah mbunge una maono Bima ya Afya ni muhimu sana na Afya ni uchumi Tafuteni vyanzo kama tozo simu mafuta vinywaji nk Asante baba
@fatimahants15263 ай бұрын
Bima ya afya imekuwa mateso kwa wananchi, hongera sana mheshimiwa shabiby kujuwa changamoto watu hali ya chini ni mtihani mkubwa
@burkardkayombo46082 ай бұрын
Upo vizuri MH. Shabibi Bima kwa wote, isiwe njia ya kupruni Watanzania.
@godsonkilua77383 ай бұрын
Kweli Mbunge wangu umekomaa kisiasa , hongera Sana kwa mawazo mazuri bima ya afya Ni pasua kichwa Hali ya maisha Ni mbaya hakuna mtu anaependa kufa kwa kukosa bima. Mungu akubariki kwa kupeleka kilio chetu bungeni tutakuchagua Hadi useme po. Huo ndio utetezi wa wananchi siyo kupigapiga mameza Hadi mikono inakuwa na sugu kwa hoja za wenzio.
@jeremiahngoka4980
3 ай бұрын
Upumbavu mtupu.Wataiba pesa zetu
@Mpakele2 ай бұрын
Shabib umewatetea sana wananchi. Hongera kwa ushauri wa kina juu ya chanzo cha kudumu cha chanzo cha bima ya afya kwa wote
@jurdanforwardersltd14603 ай бұрын
SHABBY upo sahihi sana umetoa wazo zuri sana ambalo serikali walifanyie kazi itapatikana pesa nyingi sana.
@RosemaryPeter-hc6ts3 ай бұрын
Umezunguza ukweli mtupu Mungu akubariki maana umezungumza kwa niaba ya watu wa hali ya chini Tunakushkuru
@Azikiwe-qi6jd3 ай бұрын
Unazingua, kwa mafaoo yote ya spika hilo haliwezekani
@santinosabugo21142 ай бұрын
shabiby akili nyingi sana Wana gailo mna jembe hapo mjengoni wengine kazi zao kusinzia
@ce-08
2 ай бұрын
Angesema wabunge waanze kulipza Kodi ndyo tutapata pesa za maana
@mwanagwakyala32133 ай бұрын
Aliyeshiba hamjui mwenye njaa,watakuunga mkono wachache ,hongera kwa wazo zuri
@frankngoloka5416
3 ай бұрын
Yuko sahihi Kwa Wazo lake,kama vile tunavyokatwa Kodi ya pango,kuliko kulipia laki 3 Kwa familia ya watu 4
@richardrugemalira69343 ай бұрын
Mheshimiwa SHABIBY Mungu akubariki kwa hekima na uzalendo wako wa kweli. Inasikitisha kuwa na wizara isiyo na ufahamu wa hali halisi ya wananchi wetu
@TheNichym3 ай бұрын
Kwa nini aseme tutumie mgodi mmoja wa dhahabu kwa ajili ya bima?! Au Tanzanite yote ya Arusha mapato yake yapelekwe kwenye bima na afya?! Ni ufinyu wa fikra kufikiria kuwakamua wananchi zaidi ya sasa, badala yake rasilimali za nchi hasa madini, mafufa na gesi vitumike vizuri, tutafanikiwa kwenda mbali, badala ya kuwaongezea ugumu wananchi na kuichukia serikali
@JonhYusuph
3 ай бұрын
Nice
@godfredkimaro32923 ай бұрын
Ukiacha kumtoza mwananyi pesa taskinu alafu ukamtoza kwenye simu c umebadilisha njia ya utozaji ila utozagi upon pale pale.minashauri hela itozwe kwa gesi madini utali nakazalika
@eliasjoseph88302 ай бұрын
Hongera sana mbunge shabibu uko sawa hicho serikari itafute chanzo Cha pesa ilikuwasaidia wananchi wake bima
@emazacharia44553 ай бұрын
Yaan bima ya afyaa imekuwa n mateso mateso Kwa wananch ..Kwa utajir wa Mali zet watanzania bima ingelkuwa bure Kwa Kila mwananchi😢
@kadokemarco99663 ай бұрын
Hapo nimekuelewa Shabby 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@user-dk8uf8ho9s3 ай бұрын
Mbunge mahari sana. SAMIA mpe huyu Ahmed uwaziri wa biashara.jamaa ni smart sana
@philemonmbalwowa56193 ай бұрын
Asante Mh. Ubalikiwe.
@user-pm5hw8mf7s3 ай бұрын
mheshimiwaa uko sahihiii kabsaaa,, inaonesha unayajua maishaaa halis ya waTz
@user-rv2gb2gi7q3 ай бұрын
Mbunge shabby Yuko sahihi mawazo yake yafanyiwe kazi hongera sana
@user-ey8bo5iw9y
3 ай бұрын
Tatizo uwo mfuko wabima serikali inaukopa mbaya zaidi hailipi na je tukianza kata 2000 kwa kila raia tunauhakika gani zitakuwa salama
@ahz6907
2 ай бұрын
@@user-ey8bo5iw9yni namna fulani ya kuufisadi mfuko.
@yateramadavaathumanmmbaga77763 ай бұрын
Mswada walihangaika nao miaka 2 unaeakebishwa hauwekwi hadharani baadae wakaupitisha sasa hayo anayoyaongea ambayo ni mambo mazuri alitakiwa ayaongee kabla muswada hawajaupitisha ili ukipitishwa kila mtu anaufarahia. Anyway, mawazo hayo yafanyiwe kazi tena haraka maana tumechelewa sana
@ahz6907
2 ай бұрын
Ilitakiwa waanze na wananchi kupata mawazo yao.ila kama kawaida wao wanajiona wana akili sana na wajuaji ndipo mambo mengi hugoma. Hata zile tozo za simu walifeli.
@elijuskikoto3923 ай бұрын
Mwarabu wa Gailo huwa nakukubali Sana
@mathiasmuhochi4353 ай бұрын
Good idea....tulifanyie kazi wazo lake
@mcsukerpapaa88173 ай бұрын
Wazi zuri, nasi tunaomba kila anayemiliki Mabasi na Malori, ktk kila route akatwe tsh elfu 10. Na wenye Madaladala wakatwe tsh elfu Tano kwa siku. Nawasilisha hoja Spika.
@samwelikangambili48313 ай бұрын
Hongera Sana mbunge kwa maono yako itakuwa mkombozi kwa wa Tanzania
@bulunjamalimikulwa4876
2 ай бұрын
Safi mwenyewe nimemuelewa, changamoto kwetu sisi ni kupinga Kila kitu tukisikia pesa tu.
@rich-lr8tq2 ай бұрын
wenye laini zaidi ya moja mtakoma, watumishi wa serikali pia watakatwa mara mbili au tatu na zaidi
@femexpress78573 ай бұрын
Mh. anaongea vizuri sanaa. Mimi ningependa kuchangia kwa kusema kuwa, wananchi hali yao ya maisha ni ngumu sana. lakini pia watu wakuchangia hizi bima za afya wapo sana, maana watu wakitoa hizo hela kama kweli zitasimamiwa vizuri basi hata wale wasiokuwa na uwezo wanaweza kutibiwa kwa kutumia bima za afya hizo
@user-vc8cc2pt7n3 ай бұрын
Shabby shabby shabby mungu akubaliki sana Kwa michango wako mzuli tunaitaji wabunge km wewe hongera sana ilitakiwa uwe wazili kbs
@wilfredaxwesso73943 ай бұрын
Si rahisi kuvaa kanda bili hata kama akitoka kwenye kiti kwani wako na stahiki nyingi baada ya kustaafu.
@AwardHakimu3 ай бұрын
Bima hizi hizi ambazo wanazichukia wahudumu wa afya au Kuna zingine
@innocentmleli11963 ай бұрын
You are very clever, May God protect you.
@barakaalfred14912 ай бұрын
Hakuna lisilowezekana, kuna vitu vingi serikali inavigharamia wakati havina impact kwa wananchi mfano ni vikao vingi kujadiri issues halafu matokeo yanabakia kuwa hasi kumbe ulikua mchongo wa posho.😃😄
@prorwega3 ай бұрын
Well said mbunge Shabib I am admiring you.
@stevengeorgetibenda1647Күн бұрын
Mawazo yetu katika kupata mapato ya kuendesha nchi ni kuendelea kubuni kitu cha kumkata kodi mwananchi yuleyule licha ya kuwa anakatwa kodi nyingi kuliko inavyotakiwa ye anajua wafanyakazi wanalipwa mishahara mikubwa kama wao wabunge mpaka aseme wanakatwe 10,000 au zaidi?
@user-dh8gj1dt6x2 ай бұрын
Safi sana kamanda,karibu mbarali utete anyone,pia bima ni nzuri ila tatizo ni dawa hazipo!
@harsoshelezi46583 ай бұрын
ZIBAKI ZA RUFAA TU KWASABUBU NDIKO MNAKO KWENDA.
@rashidhtibangayukatibangayuka2 ай бұрын
Hongera shaving
@user-qr7kj3bf9q2 ай бұрын
Hongera mshimuwa shabiby
@jahululamasunga3 ай бұрын
immaculate contribution MP Shabiby
@DennisDidas3 ай бұрын
Wazo zuri sana. Ukitaka kujua uzuri wa wazo hili angalia hali za watu kwenye vituo vya afya.
@jumamhando39922 ай бұрын
Mm nilijua atashaur matajir wote wa Mabas wakatwe lak Kwa Kila mwez na wabunge walipe kodi Tena wawe mfano wakatwe asilimia 25 ingesaidia bima vzr
@user-zu5ee3qe6u3 ай бұрын
Hata uingereza ni mfumo huo huo again good thinking
@BotulphusAugustine13 күн бұрын
Uko sawa
@Chettymlambalipsi-lb9km3 ай бұрын
Marekani hospital za serikali huduma ni bora kuliko za binfsi lkn huku uswazi za binafsi ni bora
@mataypanga5262
3 ай бұрын
Una akili timamu, serikali ndio yenye nguvu
@jitabojilala6162
3 ай бұрын
Ulikuwa marekani ipi?
@Chettymlambalipsi-lb9km
3 ай бұрын
@@jitabojilala6162 matakoni kwako
@Chettymlambalipsi-lb9km
3 ай бұрын
@@jitabojilala6162 matakoni kwako
@adkajisi4536
3 ай бұрын
@@jitabojilala6162 hilo nalo Swali
@ibraimnikolaus97023 ай бұрын
Serikali ilifanyie kazi wazo hili ni nzuri
@raphaelmkosamali10563 ай бұрын
Je,wabunge mkilipa kodi tutapata sailingi ngapi?
@user-dm3vh4br5f2 ай бұрын
Na biashara za watu binafsi zifutwe,mabasi imiliki serikali,maduka n.k.Hoja haijakaa vzr,vituo binafsi vinasaidia Sana.Serikali haiwezi pekee yake.
@inocentkaiza79622 ай бұрын
Hawez akavaa kandambili kwasababu uwakika wakuishi kwagharama ya serikali mpaka anazeeka upo namsharahara juu
@geophureysamsoni50333 ай бұрын
Safi sana baba mngu akuone
@richardrugemalira69343 ай бұрын
True CHAMPION of the poor whom are the majority in TZ.
@user-dh8gj1dt6x2 ай бұрын
Mungu awe nawe,hiyo ndio sera halisi ya ccm, chapa kazi wanyonge wote tz wapo nyuma yako!
@2003hintay3 ай бұрын
Hii bima wanaifanya kama bima ya magari watoto bima yao wanataka ipitie mashuleni na huko shule lazima watoto wafikie idadi ya 100 ndo ndio wasajiliwe. Kitu kigumu wengine hawataki na ni ngumu sana kufikia idadi hiyo mwisho wake watoto hawaangaliwi. Huko nyuma mtoto alikatiwa bima ya sh 54000/ ni kuwadhulumu kwa kweli. Hii wangeirudisha kwa kujali afya ya mtoto.
@user-nk4yl7bw2h2 ай бұрын
Tunaitaji wabunge kamahawa wanaishauli selikali vituvya maana wengi bungeni wanarara tu nimzingo kwa selikali
@harsoshelezi46583 ай бұрын
BIMA kiasili ni kamari ya afya ambayo haijawahi kuwa suluhisho. Ni tabia ya Ubepari kukosa huruma kwa raia. Pesa ni nyingi ikiwemo zile anazoona CAG zikiibwa, zikirejeshwa zinatosha na ziada kwa matibabu. Pesa za malipo kwa wabunge zishushwe hadi 55% na 45% iingie BIMA.
@jumaruhinda41093 ай бұрын
Uko sawa sana
@gladyssembojas53082 ай бұрын
Huyo ni muheshimiwa kama muheshimiwa Shabiby
@jacksonsilaa4153 ай бұрын
Mr Shabby mawazo yako hebu andika andiko ili na wengine wausome kwa manufaa zaidi kongole sana kiongozi.
@emmanuellaizer48083 ай бұрын
Bunge mko vizuri bima lazima ila iwe inayotumika mikoa yote popote unapokutwa na homa
@siamuchunguzi2 ай бұрын
Wabunge na mawaziri nyie mnakatwa kiasi gani cha kodi ya maendeleo tafadhali, maana Tanzania ni ya ajabu sana. Watu wanapambana kuingia bungeni maana huko ndiko kwenye green pastures. Mngekuwa mnapewa mishahara kama wafanyakazi wengine hii nchi isingekuwa na matrilion ya maden, inauma sana napambana kijijini kulipa kodi kwa kila ninachonunua halafu anaenda kufaidi mbunge.
@rashidhtibangayukatibangayuka2 ай бұрын
Nakupongeza SHABIB UKO VIZURI
@AmusedForestBridge-zo6ox3 ай бұрын
huyu mbunge anasema ukweli mtupu isipingwe kitu yoyote !!!
@lovemusicnoreen91853 ай бұрын
SHABIBY WILL ALWAYS BE SHABIBY AKILI KUBWA
@kaidiSaid-ot9nl2 ай бұрын
Bima ni mpango wa kuwaibia wanachi ukweli bima haina nafuu kwa wagonjwa waulizeni wananchi waliopatwa na shida na wana bima. Kweli mbunge .
@VarerianRichardi3 ай бұрын
Baba hongera
@wilfredaxwesso73943 ай бұрын
Mhhh hospitali binafs zikidhoofishwa ujue huduma ya afya itakuwa mbaya sana kwani wafanyakazi wengi wa serikal hawana uzalendo katika kufanya kazi pia kutunza vifaa katka hospitali za seikali.
@MiriamAbdallah
3 ай бұрын
Point ❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@AloicemaikoNgakuro2 ай бұрын
Hongera sana shabby iyo ndio ukweli
@devissyprian15263 ай бұрын
naomba mawazo ya Shabiby yafanyiwe kazi plz naomba sana
@wenseslausjoseph17493 ай бұрын
Chanzo cha pesa ni jambo moja na matumizi sahihi ya hizo pesa ni jambo nyingine
@farajiissa87472 ай бұрын
Akika imekaa vizur ifanyiwe tu kazi nafikri fraha itakuwa kwa hawa watu
@linogracephord97852 ай бұрын
Unaongea vizuri sana, ila kuna maeneo mndewa ukuchanganya!
@bulunjamalimikulwa48762 ай бұрын
Napesa hz wakitukata kwenye simu tutashukuru sana, kwasababu tutapata huduma za afya, sio hizi zilizokuwa zikikatwa kwenye miamala wanatunisha matumbo yao tu. Ikiwa tu, watafuata maono na ushauri wa shabib akili kubwa ktk biashara
Mheshimiwa spika Hawa wabunge wameshindwa kufikiria, sas mm nawapa wazo moja, Kwanza kwa Kila mbunge wakiti raia akichangia elfu mbili na Hawa wabunge wao wachangie milioni tano kwa mwezi ili uweze kufanya uwiano sahihi sio wakae apo na vitumbo vyao waporoje Tu. Kwa sababu juzu mumeongezw kodi kwenye makato ya Simu.
@KhatibTmk3 ай бұрын
Mhe Shabiby chukuwa 💐🌼🌺 yako
@davidmalogo71003 ай бұрын
Mawazo mazuli sana mbunge wetu unayo yasema ila shabiby mkiamua kukata Kodi kwenyesim sawa ilaujue ngorongoro,bandari mbuga,mdini misitu vituo va mafuta, fainizamagali ,vitalu, viwanjava ndege mgodi, Yani haikufaa kukatakodi zasim wanyonge Yani labda mngesema hivi mishahara yenu naposhozenu nyiewabunge zamwkamzima msilipwe pelekeni huko kwenyebima ila sio kuwapa mzigo wnanch
@JamalMshenga-ex5ui2 ай бұрын
Lipeni nyie mnojiongezea maposho kila mara- bac hata sie pangu pakavu mtukomoe. Mnachukua pesa kwenye vocha kisha mnatak kuongeza. Hy bn
@user-wl8ej9qy5d3 ай бұрын
Bip up bunge
@silasngoya94223 ай бұрын
Hayo mawazo ni sahihi kwa asilimia kubwa. Yanaonesha umhimu wa mchango wa bunge kujenga nchi. Watendaji lichukueni mlifanyie kazi haraka sana. Wananchi watafurahi hasa maskini ambao kwa kweli bima hawawezi kumudu kulipa Kila mwaka. Hata nchi zingine zitajifunza kwetu. Wapo watakaopiga kelele kwa unafiki na kwa hila kwa sababu zao za ubinafsi. Viongozi wa kitaifa msiyumbishwe kusimamia mambo ya msingi ya maendelea ya nchi kwa ubinafsi wa kutetea kura zenu.
@willylwiza66653 ай бұрын
NI wazo zuri ila .Huyo maskini nae kaesabika katika hizo line .2000 anapita wapi simu simu yenyewe Hana anamiliki line
@hamismabula99343 ай бұрын
Mtavutana na kukamuana lkn yote haya ni kukosa usimamizi wenye ufanisi kwenye rasilimali zetu! Hatuna maadili ktk hilo! Ni ufisadi mtupu. Ripoti za CAG ukisikiliza jinsi pesa zinavyopigwa utalia!
@johnmalembo64643 ай бұрын
Mnapunguza Kodi kwa wawekezaji na mnarundukia wananchi Kodi lukuku.... Mshahara wa wabunge ukatwe Kodi 20 asilimia tayari bima ya afya kwa wananchi maskini watakuwa wamelipia wote
@msevenfokoro943 ай бұрын
Mh..umeongea point sana lakin litatendewa kazi???😢
@deniseliuter30023 ай бұрын
Kwann mbunge alipe kodi wkt anapata gross salary ya karibu 12m bado dodoma anapata posho ya laki tatu kwa siku wkt watumishi wa private sector hasa migodi mikubwa tunakatwa kodi kubwa ya asilimia almost 18 kila kitu unalambwa kodi hii sio haki ata kidogo
@yussufhemed7755
3 ай бұрын
Hii nchi inatumia pesa hovyo huko bungeni afu kila siku wanawaza kukamua wananchi in a different way
@ziadakayoyo73103 ай бұрын
Umeongea suala la mbolea sana. Safi.
@tabiasaidi29313 ай бұрын
Maoni yangu elimi isiwe bure kila mzazi awajibike kwa mwanae ila kila mtanzania atibiwe bure ili awe na afya njema afanye kazi na alipe kodi.
@Joseph-lu4yj3 ай бұрын
Tatizo ufisadi .....hiyo hela itapigwa na dawa hazitakuwepo mahospitalini ingekuwa kipindi cha Jpm sawa Me nazani wamiliki wa mabasi wawe wanatozwa kila siku 10,000 kwa kila basi ili kuchangia afyaa kwa watanzania maana wenye mabasi ni matajiri na wanaingiza hela kila saa
@japhethcharles57913 ай бұрын
Laini za sim achana nazo maana ilitokea na tukipata shida sana tozo, serikali itumie Kodi vyema zaidi kila jambo litawezekana ,wabunge pia watozwe Kodi
@user-yz1xq8xo8s3 ай бұрын
Ni kweli mwanike wa ukaya Ila wasitubague sisi maskini
@josiacharles27782 ай бұрын
Mhmm kumbe umeongeea unamaliza kwa kutudanganya yani spika tembelee kandambili kachumbali apo mimi ntakua natembea uchi sasa😮
@godfreymagoso53343 ай бұрын
Tatizo siyo kukusanya pesa,,, Changamoto kubwa ni namna ya matumizi ya hizo fedha!! Mipango na mikakati ni minzuri kwa macho na masikio ila changamoto ni usimamizi wa fedha za umma!! Pesa za tozo zilienda wapi?! Au wananchi hawakupaswa kujua faida ya fedha za tozo?!, usimamizi wake ulikuwaje
@saimonwantango95693 ай бұрын
Tozo za majengo tozo za mazao ya biashara yaendayo nje kama ufuta na korosho hela hizi ni nyingi sana ila hatujuiga zinaenda wapi kama mkulima
@chiefmajai93453 ай бұрын
Ni yaleyale ya mzigo wa tozo nchi itajengwa na walala hoi italiwa na wenye meno
@rehemakanyere4188
2 ай бұрын
Tunateseka saana
@rafikkarimomar82022 ай бұрын
Hi bima ya afya anaye taka naakate asiye na uwezo aendelee kama kawaida akalipe cash anapo kwenda kutibiwa
@gideonmwaweza81773 ай бұрын
Baba ongera kwa wazo nzuri
@AmusedForestBridge-zo6ox3 ай бұрын
jamani watu wanatezeka sana kijijini madaktari wanaringa utadhani hospitali ni yao na madaktari hawana ukarimu na watu kabisa!
@yateramadavaathumanmmbaga77763 ай бұрын
Ni waheshimiwa wachache wenye moyo kama wako Ahmed Shabiby, Dr. Tulia bila kumsahau mbunge wangu Tony P. Mavunde, mhe. Wa makete, wazir wa fedha, mb. Wa igunga na wengine wachache, ndio maana Mungu anawabariki zaidi mnawajali sana wananchi wenu lakini wengi ni maneno mengiii lakini wanawakimbia wapiga kura wakiingia tu kwenye maeneo yao wanaweka tinted vioo vyote sijui wameshajua hawarudi au wanatumia ndumba kuingia mjengoni ila ndumba zina mwisho. Nawaomba tutafute muarobaini wa matibabu sawa kwa wananchi wote kama tulivyofanya kwenye elimu, likifanyika hili vizuri haki ya nani 95% ya wabunge mtarejea mjengoni
@yateramadavaathumanmmbaga7776
3 ай бұрын
Jamani hali ni mbaya sana kwa wananchi wa chini hata wenye uwezo kidogo wakifikwa na tatizo kubwa la ugonjwa uwezo unaisha mgonjwa akipona na familia imefilisika. Kuna bint alijifungua kwa upasuaji miezi 2 ilopita kigoma mjini akapata tatizo haja ndogo haitoki vizuri na inatoka na uchafu akawa anaishiwa damu baada ya siku 5 hali ilikuwa mbaya akapewa rufaa aende bugando. Kumsafirisha kwenye bus haiwezekani wakaambiwa watoe 1m gharama za mafuta, nesi na dereva ili ambulance impekeke bugando hali ngumu sana wakapunguziwa watoe laki 7 hawana lakini walijitokeza wasamaria ikapatikana kufika bugango wakapokelewa wakaambiwa watoe 1m ya kuanza matibabu hawana hata cent wakaambiwa wamuone afs ustawi jamii akawaambia watoe laki 7 tiba ianze kaki 3 itafutwe raratibu watu wakakamatana zikapatikana tiba ikaanza kagunduliwa figo inashida kubwa afanyiwe dialysis @ laki3 ilitakiwa afanyiwe mfululizo siku 3 then x2 kwa wiki kutokana na kukosa pesa wanafanta x1 kisha wakasake msaada ikipatikana ndo afanyiwe. Ni bora hospital wangemfanyia inavyotakiwa halafu pesa ije kwa kadri wanavyopambana matokeo yake sasa inakaribia miezi 3 mgonjwa bado hali mbaya na katoto hakajawahi kunyonya mama hata tone la maziwa hana yananunuliwa ya kopo na wasamaria wema. Nimeeleza kwa kirefu na kwa uchungu ili watanzania hasa wakubwa juu wajue hali ilivyo ili tutafute muarobani haraka NHIF tuokoe maisha na kutaabika wananchi. Mgonjwa aitwa Aziza miezi 3 bugando watu wamechanga ndg wameuza hadi mashamba hali bado tete.
@user-rm8gp2kr9i3 ай бұрын
Mwenye shibe ham jui mwenye njaa😂😂😂
@Worldunite3 ай бұрын
Kwahiyo mheshimiwa unashauri tuongezewe gharama za line za simu sh 2,000? ..au sijakuelwwa vizuri? Ila ninanakukubali sana nd shabiby 6:47
Пікірлер: 226
Wabunge anzeni kulipa kodi, tutapata Trillion 1.2 kwa mwaka
@deogratiusyudatadei5658
3 ай бұрын
Kumbeee 😂
@user-md7ug5dd9r
3 ай бұрын
Hivi halipi kodi ? Kama ni hivyo itakuwa niuonevu mkubwa
@naturelle1097
3 ай бұрын
Pamoja na mabalozi
Wallah mbunge una maono Bima ya Afya ni muhimu sana na Afya ni uchumi Tafuteni vyanzo kama tozo simu mafuta vinywaji nk Asante baba
Bima ya afya imekuwa mateso kwa wananchi, hongera sana mheshimiwa shabiby kujuwa changamoto watu hali ya chini ni mtihani mkubwa
Upo vizuri MH. Shabibi Bima kwa wote, isiwe njia ya kupruni Watanzania.
Kweli Mbunge wangu umekomaa kisiasa , hongera Sana kwa mawazo mazuri bima ya afya Ni pasua kichwa Hali ya maisha Ni mbaya hakuna mtu anaependa kufa kwa kukosa bima. Mungu akubariki kwa kupeleka kilio chetu bungeni tutakuchagua Hadi useme po. Huo ndio utetezi wa wananchi siyo kupigapiga mameza Hadi mikono inakuwa na sugu kwa hoja za wenzio.
@jeremiahngoka4980
3 ай бұрын
Upumbavu mtupu.Wataiba pesa zetu
Shabib umewatetea sana wananchi. Hongera kwa ushauri wa kina juu ya chanzo cha kudumu cha chanzo cha bima ya afya kwa wote
SHABBY upo sahihi sana umetoa wazo zuri sana ambalo serikali walifanyie kazi itapatikana pesa nyingi sana.
Umezunguza ukweli mtupu Mungu akubariki maana umezungumza kwa niaba ya watu wa hali ya chini Tunakushkuru
Unazingua, kwa mafaoo yote ya spika hilo haliwezekani
shabiby akili nyingi sana Wana gailo mna jembe hapo mjengoni wengine kazi zao kusinzia
@ce-08
2 ай бұрын
Angesema wabunge waanze kulipza Kodi ndyo tutapata pesa za maana
Aliyeshiba hamjui mwenye njaa,watakuunga mkono wachache ,hongera kwa wazo zuri
@frankngoloka5416
3 ай бұрын
Yuko sahihi Kwa Wazo lake,kama vile tunavyokatwa Kodi ya pango,kuliko kulipia laki 3 Kwa familia ya watu 4
Mheshimiwa SHABIBY Mungu akubariki kwa hekima na uzalendo wako wa kweli. Inasikitisha kuwa na wizara isiyo na ufahamu wa hali halisi ya wananchi wetu
Kwa nini aseme tutumie mgodi mmoja wa dhahabu kwa ajili ya bima?! Au Tanzanite yote ya Arusha mapato yake yapelekwe kwenye bima na afya?! Ni ufinyu wa fikra kufikiria kuwakamua wananchi zaidi ya sasa, badala yake rasilimali za nchi hasa madini, mafufa na gesi vitumike vizuri, tutafanikiwa kwenda mbali, badala ya kuwaongezea ugumu wananchi na kuichukia serikali
@JonhYusuph
3 ай бұрын
Nice
Ukiacha kumtoza mwananyi pesa taskinu alafu ukamtoza kwenye simu c umebadilisha njia ya utozaji ila utozagi upon pale pale.minashauri hela itozwe kwa gesi madini utali nakazalika
Hongera sana mbunge shabibu uko sawa hicho serikari itafute chanzo Cha pesa ilikuwasaidia wananchi wake bima
Yaan bima ya afyaa imekuwa n mateso mateso Kwa wananch ..Kwa utajir wa Mali zet watanzania bima ingelkuwa bure Kwa Kila mwananchi😢
Hapo nimekuelewa Shabby 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Mbunge mahari sana. SAMIA mpe huyu Ahmed uwaziri wa biashara.jamaa ni smart sana
Asante Mh. Ubalikiwe.
mheshimiwaa uko sahihiii kabsaaa,, inaonesha unayajua maishaaa halis ya waTz
Mbunge shabby Yuko sahihi mawazo yake yafanyiwe kazi hongera sana
@user-ey8bo5iw9y
3 ай бұрын
Tatizo uwo mfuko wabima serikali inaukopa mbaya zaidi hailipi na je tukianza kata 2000 kwa kila raia tunauhakika gani zitakuwa salama
@ahz6907
2 ай бұрын
@@user-ey8bo5iw9yni namna fulani ya kuufisadi mfuko.
Mswada walihangaika nao miaka 2 unaeakebishwa hauwekwi hadharani baadae wakaupitisha sasa hayo anayoyaongea ambayo ni mambo mazuri alitakiwa ayaongee kabla muswada hawajaupitisha ili ukipitishwa kila mtu anaufarahia. Anyway, mawazo hayo yafanyiwe kazi tena haraka maana tumechelewa sana
@ahz6907
2 ай бұрын
Ilitakiwa waanze na wananchi kupata mawazo yao.ila kama kawaida wao wanajiona wana akili sana na wajuaji ndipo mambo mengi hugoma. Hata zile tozo za simu walifeli.
Mwarabu wa Gailo huwa nakukubali Sana
Good idea....tulifanyie kazi wazo lake
Wazi zuri, nasi tunaomba kila anayemiliki Mabasi na Malori, ktk kila route akatwe tsh elfu 10. Na wenye Madaladala wakatwe tsh elfu Tano kwa siku. Nawasilisha hoja Spika.
Hongera Sana mbunge kwa maono yako itakuwa mkombozi kwa wa Tanzania
@bulunjamalimikulwa4876
2 ай бұрын
Safi mwenyewe nimemuelewa, changamoto kwetu sisi ni kupinga Kila kitu tukisikia pesa tu.
wenye laini zaidi ya moja mtakoma, watumishi wa serikali pia watakatwa mara mbili au tatu na zaidi
Mh. anaongea vizuri sanaa. Mimi ningependa kuchangia kwa kusema kuwa, wananchi hali yao ya maisha ni ngumu sana. lakini pia watu wakuchangia hizi bima za afya wapo sana, maana watu wakitoa hizo hela kama kweli zitasimamiwa vizuri basi hata wale wasiokuwa na uwezo wanaweza kutibiwa kwa kutumia bima za afya hizo
Shabby shabby shabby mungu akubaliki sana Kwa michango wako mzuli tunaitaji wabunge km wewe hongera sana ilitakiwa uwe wazili kbs
Si rahisi kuvaa kanda bili hata kama akitoka kwenye kiti kwani wako na stahiki nyingi baada ya kustaafu.
Bima hizi hizi ambazo wanazichukia wahudumu wa afya au Kuna zingine
You are very clever, May God protect you.
Hakuna lisilowezekana, kuna vitu vingi serikali inavigharamia wakati havina impact kwa wananchi mfano ni vikao vingi kujadiri issues halafu matokeo yanabakia kuwa hasi kumbe ulikua mchongo wa posho.😃😄
Well said mbunge Shabib I am admiring you.
Mawazo yetu katika kupata mapato ya kuendesha nchi ni kuendelea kubuni kitu cha kumkata kodi mwananchi yuleyule licha ya kuwa anakatwa kodi nyingi kuliko inavyotakiwa ye anajua wafanyakazi wanalipwa mishahara mikubwa kama wao wabunge mpaka aseme wanakatwe 10,000 au zaidi?
Safi sana kamanda,karibu mbarali utete anyone,pia bima ni nzuri ila tatizo ni dawa hazipo!
ZIBAKI ZA RUFAA TU KWASABUBU NDIKO MNAKO KWENDA.
Hongera shaving
Hongera mshimuwa shabiby
immaculate contribution MP Shabiby
Wazo zuri sana. Ukitaka kujua uzuri wa wazo hili angalia hali za watu kwenye vituo vya afya.
Mm nilijua atashaur matajir wote wa Mabas wakatwe lak Kwa Kila mwez na wabunge walipe kodi Tena wawe mfano wakatwe asilimia 25 ingesaidia bima vzr
Hata uingereza ni mfumo huo huo again good thinking
Uko sawa
Marekani hospital za serikali huduma ni bora kuliko za binfsi lkn huku uswazi za binafsi ni bora
@mataypanga5262
3 ай бұрын
Una akili timamu, serikali ndio yenye nguvu
@jitabojilala6162
3 ай бұрын
Ulikuwa marekani ipi?
@Chettymlambalipsi-lb9km
3 ай бұрын
@@jitabojilala6162 matakoni kwako
@Chettymlambalipsi-lb9km
3 ай бұрын
@@jitabojilala6162 matakoni kwako
@adkajisi4536
3 ай бұрын
@@jitabojilala6162 hilo nalo Swali
Serikali ilifanyie kazi wazo hili ni nzuri
Je,wabunge mkilipa kodi tutapata sailingi ngapi?
Na biashara za watu binafsi zifutwe,mabasi imiliki serikali,maduka n.k.Hoja haijakaa vzr,vituo binafsi vinasaidia Sana.Serikali haiwezi pekee yake.
Hawez akavaa kandambili kwasababu uwakika wakuishi kwagharama ya serikali mpaka anazeeka upo namsharahara juu
Safi sana baba mngu akuone
True CHAMPION of the poor whom are the majority in TZ.
Mungu awe nawe,hiyo ndio sera halisi ya ccm, chapa kazi wanyonge wote tz wapo nyuma yako!
Hii bima wanaifanya kama bima ya magari watoto bima yao wanataka ipitie mashuleni na huko shule lazima watoto wafikie idadi ya 100 ndo ndio wasajiliwe. Kitu kigumu wengine hawataki na ni ngumu sana kufikia idadi hiyo mwisho wake watoto hawaangaliwi. Huko nyuma mtoto alikatiwa bima ya sh 54000/ ni kuwadhulumu kwa kweli. Hii wangeirudisha kwa kujali afya ya mtoto.
Tunaitaji wabunge kamahawa wanaishauli selikali vituvya maana wengi bungeni wanarara tu nimzingo kwa selikali
BIMA kiasili ni kamari ya afya ambayo haijawahi kuwa suluhisho. Ni tabia ya Ubepari kukosa huruma kwa raia. Pesa ni nyingi ikiwemo zile anazoona CAG zikiibwa, zikirejeshwa zinatosha na ziada kwa matibabu. Pesa za malipo kwa wabunge zishushwe hadi 55% na 45% iingie BIMA.
Uko sawa sana
Huyo ni muheshimiwa kama muheshimiwa Shabiby
Mr Shabby mawazo yako hebu andika andiko ili na wengine wausome kwa manufaa zaidi kongole sana kiongozi.
Bunge mko vizuri bima lazima ila iwe inayotumika mikoa yote popote unapokutwa na homa
Wabunge na mawaziri nyie mnakatwa kiasi gani cha kodi ya maendeleo tafadhali, maana Tanzania ni ya ajabu sana. Watu wanapambana kuingia bungeni maana huko ndiko kwenye green pastures. Mngekuwa mnapewa mishahara kama wafanyakazi wengine hii nchi isingekuwa na matrilion ya maden, inauma sana napambana kijijini kulipa kodi kwa kila ninachonunua halafu anaenda kufaidi mbunge.
Nakupongeza SHABIB UKO VIZURI
huyu mbunge anasema ukweli mtupu isipingwe kitu yoyote !!!
SHABIBY WILL ALWAYS BE SHABIBY AKILI KUBWA
Bima ni mpango wa kuwaibia wanachi ukweli bima haina nafuu kwa wagonjwa waulizeni wananchi waliopatwa na shida na wana bima. Kweli mbunge .
Baba hongera
Mhhh hospitali binafs zikidhoofishwa ujue huduma ya afya itakuwa mbaya sana kwani wafanyakazi wengi wa serikal hawana uzalendo katika kufanya kazi pia kutunza vifaa katka hospitali za seikali.
@MiriamAbdallah
3 ай бұрын
Point ❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hongera sana shabby iyo ndio ukweli
naomba mawazo ya Shabiby yafanyiwe kazi plz naomba sana
Chanzo cha pesa ni jambo moja na matumizi sahihi ya hizo pesa ni jambo nyingine
Akika imekaa vizur ifanyiwe tu kazi nafikri fraha itakuwa kwa hawa watu
Unaongea vizuri sana, ila kuna maeneo mndewa ukuchanganya!
Napesa hz wakitukata kwenye simu tutashukuru sana, kwasababu tutapata huduma za afya, sio hizi zilizokuwa zikikatwa kwenye miamala wanatunisha matumbo yao tu. Ikiwa tu, watafuata maono na ushauri wa shabib akili kubwa ktk biashara
Msiseme 'WanaNchi wetu',:semeni 'WanaNchi wenzetu'!
Mheshimiwa spika Hawa wabunge wameshindwa kufikiria, sas mm nawapa wazo moja, Kwanza kwa Kila mbunge wakiti raia akichangia elfu mbili na Hawa wabunge wao wachangie milioni tano kwa mwezi ili uweze kufanya uwiano sahihi sio wakae apo na vitumbo vyao waporoje Tu. Kwa sababu juzu mumeongezw kodi kwenye makato ya Simu.
Mhe Shabiby chukuwa 💐🌼🌺 yako
Mawazo mazuli sana mbunge wetu unayo yasema ila shabiby mkiamua kukata Kodi kwenyesim sawa ilaujue ngorongoro,bandari mbuga,mdini misitu vituo va mafuta, fainizamagali ,vitalu, viwanjava ndege mgodi, Yani haikufaa kukatakodi zasim wanyonge Yani labda mngesema hivi mishahara yenu naposhozenu nyiewabunge zamwkamzima msilipwe pelekeni huko kwenyebima ila sio kuwapa mzigo wnanch
Lipeni nyie mnojiongezea maposho kila mara- bac hata sie pangu pakavu mtukomoe. Mnachukua pesa kwenye vocha kisha mnatak kuongeza. Hy bn
Bip up bunge
Hayo mawazo ni sahihi kwa asilimia kubwa. Yanaonesha umhimu wa mchango wa bunge kujenga nchi. Watendaji lichukueni mlifanyie kazi haraka sana. Wananchi watafurahi hasa maskini ambao kwa kweli bima hawawezi kumudu kulipa Kila mwaka. Hata nchi zingine zitajifunza kwetu. Wapo watakaopiga kelele kwa unafiki na kwa hila kwa sababu zao za ubinafsi. Viongozi wa kitaifa msiyumbishwe kusimamia mambo ya msingi ya maendelea ya nchi kwa ubinafsi wa kutetea kura zenu.
NI wazo zuri ila .Huyo maskini nae kaesabika katika hizo line .2000 anapita wapi simu simu yenyewe Hana anamiliki line
Mtavutana na kukamuana lkn yote haya ni kukosa usimamizi wenye ufanisi kwenye rasilimali zetu! Hatuna maadili ktk hilo! Ni ufisadi mtupu. Ripoti za CAG ukisikiliza jinsi pesa zinavyopigwa utalia!
Mnapunguza Kodi kwa wawekezaji na mnarundukia wananchi Kodi lukuku.... Mshahara wa wabunge ukatwe Kodi 20 asilimia tayari bima ya afya kwa wananchi maskini watakuwa wamelipia wote
Mh..umeongea point sana lakin litatendewa kazi???😢
Kwann mbunge alipe kodi wkt anapata gross salary ya karibu 12m bado dodoma anapata posho ya laki tatu kwa siku wkt watumishi wa private sector hasa migodi mikubwa tunakatwa kodi kubwa ya asilimia almost 18 kila kitu unalambwa kodi hii sio haki ata kidogo
@yussufhemed7755
3 ай бұрын
Hii nchi inatumia pesa hovyo huko bungeni afu kila siku wanawaza kukamua wananchi in a different way
Umeongea suala la mbolea sana. Safi.
Maoni yangu elimi isiwe bure kila mzazi awajibike kwa mwanae ila kila mtanzania atibiwe bure ili awe na afya njema afanye kazi na alipe kodi.
Tatizo ufisadi .....hiyo hela itapigwa na dawa hazitakuwepo mahospitalini ingekuwa kipindi cha Jpm sawa Me nazani wamiliki wa mabasi wawe wanatozwa kila siku 10,000 kwa kila basi ili kuchangia afyaa kwa watanzania maana wenye mabasi ni matajiri na wanaingiza hela kila saa
Laini za sim achana nazo maana ilitokea na tukipata shida sana tozo, serikali itumie Kodi vyema zaidi kila jambo litawezekana ,wabunge pia watozwe Kodi
Ni kweli mwanike wa ukaya Ila wasitubague sisi maskini
Mhmm kumbe umeongeea unamaliza kwa kutudanganya yani spika tembelee kandambili kachumbali apo mimi ntakua natembea uchi sasa😮
Tatizo siyo kukusanya pesa,,, Changamoto kubwa ni namna ya matumizi ya hizo fedha!! Mipango na mikakati ni minzuri kwa macho na masikio ila changamoto ni usimamizi wa fedha za umma!! Pesa za tozo zilienda wapi?! Au wananchi hawakupaswa kujua faida ya fedha za tozo?!, usimamizi wake ulikuwaje
Tozo za majengo tozo za mazao ya biashara yaendayo nje kama ufuta na korosho hela hizi ni nyingi sana ila hatujuiga zinaenda wapi kama mkulima
Ni yaleyale ya mzigo wa tozo nchi itajengwa na walala hoi italiwa na wenye meno
@rehemakanyere4188
2 ай бұрын
Tunateseka saana
Hi bima ya afya anaye taka naakate asiye na uwezo aendelee kama kawaida akalipe cash anapo kwenda kutibiwa
Baba ongera kwa wazo nzuri
jamani watu wanatezeka sana kijijini madaktari wanaringa utadhani hospitali ni yao na madaktari hawana ukarimu na watu kabisa!
Ni waheshimiwa wachache wenye moyo kama wako Ahmed Shabiby, Dr. Tulia bila kumsahau mbunge wangu Tony P. Mavunde, mhe. Wa makete, wazir wa fedha, mb. Wa igunga na wengine wachache, ndio maana Mungu anawabariki zaidi mnawajali sana wananchi wenu lakini wengi ni maneno mengiii lakini wanawakimbia wapiga kura wakiingia tu kwenye maeneo yao wanaweka tinted vioo vyote sijui wameshajua hawarudi au wanatumia ndumba kuingia mjengoni ila ndumba zina mwisho. Nawaomba tutafute muarobaini wa matibabu sawa kwa wananchi wote kama tulivyofanya kwenye elimu, likifanyika hili vizuri haki ya nani 95% ya wabunge mtarejea mjengoni
@yateramadavaathumanmmbaga7776
3 ай бұрын
Jamani hali ni mbaya sana kwa wananchi wa chini hata wenye uwezo kidogo wakifikwa na tatizo kubwa la ugonjwa uwezo unaisha mgonjwa akipona na familia imefilisika. Kuna bint alijifungua kwa upasuaji miezi 2 ilopita kigoma mjini akapata tatizo haja ndogo haitoki vizuri na inatoka na uchafu akawa anaishiwa damu baada ya siku 5 hali ilikuwa mbaya akapewa rufaa aende bugando. Kumsafirisha kwenye bus haiwezekani wakaambiwa watoe 1m gharama za mafuta, nesi na dereva ili ambulance impekeke bugando hali ngumu sana wakapunguziwa watoe laki 7 hawana lakini walijitokeza wasamaria ikapatikana kufika bugango wakapokelewa wakaambiwa watoe 1m ya kuanza matibabu hawana hata cent wakaambiwa wamuone afs ustawi jamii akawaambia watoe laki 7 tiba ianze kaki 3 itafutwe raratibu watu wakakamatana zikapatikana tiba ikaanza kagunduliwa figo inashida kubwa afanyiwe dialysis @ laki3 ilitakiwa afanyiwe mfululizo siku 3 then x2 kwa wiki kutokana na kukosa pesa wanafanta x1 kisha wakasake msaada ikipatikana ndo afanyiwe. Ni bora hospital wangemfanyia inavyotakiwa halafu pesa ije kwa kadri wanavyopambana matokeo yake sasa inakaribia miezi 3 mgonjwa bado hali mbaya na katoto hakajawahi kunyonya mama hata tone la maziwa hana yananunuliwa ya kopo na wasamaria wema. Nimeeleza kwa kirefu na kwa uchungu ili watanzania hasa wakubwa juu wajue hali ilivyo ili tutafute muarobani haraka NHIF tuokoe maisha na kutaabika wananchi. Mgonjwa aitwa Aziza miezi 3 bugando watu wamechanga ndg wameuza hadi mashamba hali bado tete.
Mwenye shibe ham jui mwenye njaa😂😂😂
Kwahiyo mheshimiwa unashauri tuongezewe gharama za line za simu sh 2,000? ..au sijakuelwwa vizuri? Ila ninanakukubali sana nd shabiby 6:47
Safi sana