SHABIBY ATOA DARASA BUNGENI "HAWA WATU KWENYE NCHI HII NI SHIDA , HAWAJUI MIPANGO"

#UhondoTV #Uhondo

Пікірлер: 191

  • @godsonkilua7738
    @godsonkilua7738 Жыл бұрын

    Kwa kweli mh uko vizur Tena umekomaa kisiasa Mungu akupe maisha marefu

  • @estherdominic1673
    @estherdominic1673Ай бұрын

    Hongera sana waheshimiwa wetu mnachapa kazi kazi zenu ni nzuri na mungu atawabariki sana tunawapenda na tunawaombea amen 🙏🙏

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Жыл бұрын

    Duh mzee wetu umeongea KITAALAM mno Big up sana

  • @zulfaissa7814
    @zulfaissa7814 Жыл бұрын

    Hongera kwapoint nzuri kk

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 Жыл бұрын

    Maisha marefu kwako.👏👏👏👏ukimaliza kaka usome na comment tunakupenda tunakupenda tunakupenda tena

  • @barnaba3037
    @barnaba3037 Жыл бұрын

    Taarifa ya waziri mbona Kama iko tofauti na maomgezi ya Shabibi maana mipango ya muda mrefu ya Taifa

  • @sketchbabu
    @sketchbabu Жыл бұрын

    Nimemkubali mheshimiwa. Mimi binafsi siku zote nashauri wataalam wa Mipango ya maendeleo kutoka Ulaya na Marekani waje kuturekebishia program za maendeleo ya mda mrefu

  • @magrethswai6055
    @magrethswai6055 Жыл бұрын

    Kaka angu shabby nakukubali Sanaa mieeee, ishi miaka MINGI kaka angu

  • @mohamedmussa4991
    @mohamedmussa4991 Жыл бұрын

    Well said bro

  • @solomwambene-vo8pk
    @solomwambene-vo8pk Жыл бұрын

    Ahsante father

  • @andrew29468
    @andrew29468 Жыл бұрын

    Kila akiongea Shabiby huwa natamani kusikia, Km kuna kitu huwa naamia pale ninapoona tumetengeneza kitu na kukiharibu ili kupisha plan mpya ukweli hilo ni tatizo Viongozi lazima kuwa na mtazamo wa mbali.Hongera sana muheshimiwa mbunge

  • @jeunajuatv817
    @jeunajuatv817 Жыл бұрын

    Eti wakiambiwa mnakopa sana wanaogopa hawakopi 😂😂😂

  • @benitopilla3145
    @benitopilla3145 Жыл бұрын

    Daaah songea tumekumbukwa ifak-lumecha

  • @johnbkimaro
    @johnbkimaro Жыл бұрын

    Swala la kubomoa barabara ni swala ambalo mm najiuliz viongozi wetu huwa wanawaza nn? Daah so sad

  • @ElibarikNdanshau-io8lj
    @ElibarikNdanshau-io8lj Жыл бұрын

    Baba nakubali nondo zako unafanya vizuri

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Жыл бұрын

    Facts

  • @jamesshao538
    @jamesshao538 Жыл бұрын

    Namwelewa sana huyu Mbunge

  • @ufunuoelias4865
    @ufunuoelias4865 Жыл бұрын

    Mh shabiby nachangia hoja tujifunze congo ukiwa unaingia rubumbashi kuna vitu vinaitwa peaje huwa twalipia Gali kuingia kila wilaya wanachukua mapato kwan walichukua mkopo nawao wanatoza ili walipe deni siyo kuitoa kwa wananchi

  • @williamwilifred6563
    @williamwilifred6563 Жыл бұрын

    Kukopa siozambi Ila wakikopa wanaweka mfuko

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 Жыл бұрын

    This mp is truu choice of God, 👏, ila serikari Ina uzuzu mwingi sana😏

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 Жыл бұрын

    Wapi mheshimiwa Babutale tale tale

  • @DealDeskPro
    @DealDeskPro Жыл бұрын

    Hv kigoma huwa tunawabunge maana Mkoa ule umesahaulika sana, barabara tu ya kutoka Nyakanazi kupita kibondo au kupitia tabora hakuna kitu..what is wronng na mkoa huu jamani..

  • @estherdominic1673
    @estherdominic1673Ай бұрын

    Lazima tukope tusiogope kukopa mh shabiby ni kweli hasante sana

  • @godfreyzakaria5087
    @godfreyzakaria5087 Жыл бұрын

    Yes

  • @rabsontryphon9254
    @rabsontryphon9254 Жыл бұрын

    Huyu mbunge hafai kua mbunge ilibidi awe Raisi wa nchi kwanza anamisimamo na maono sana pia ni tajiri, ana moyo wa kusaidia watu kifupi ni mtu wa watu na shule anayo

  • @faidhamyovela179

    @faidhamyovela179

    Жыл бұрын

    Hela haina adabu mpeni urais muone 😂😂 anatugeuka

  • @johnsonbernald11

    @johnsonbernald11

    Жыл бұрын

    Unajua maana ya neno HAFAI? kama ubunge hafai huo urais itakuwaje? Au umesomea chooni?

  • @danielbugwema6969
    @danielbugwema6969 Жыл бұрын

    Well done u said tukiacha kuchaguliana wawakilishi katika kata zetu pia tutafika huo ndo ukweli unatakiwa kuzungumzwa usiogope kukosorowa

  • @choiceonlinetv1569
    @choiceonlinetv1569 Жыл бұрын

    Smart Guy,very true

  • @Worldunite
    @Worldunite Жыл бұрын

    Ndg yangu shabby sijakusikia bunge la mwaka huu 2023

  • @petermarwa7818
    @petermarwa7818 Жыл бұрын

    Akupe tu uwaziri maana kuipondea serikali ya awamu ya tano nikutafta nafasi ya uwaziri kwenye serikali ya wapigaji

  • @johnluchagula9224

    @johnluchagula9224

    Жыл бұрын

    Point

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 Жыл бұрын

    Nyie mungu anawaona!

  • @EREVUKATV
    @EREVUKATV Жыл бұрын

    MWIGULU HAUTUFAI NI MPUUZI SANA

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki97582 ай бұрын

    Shabb rispekit kamandaa unaongea vizuri sana

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 Жыл бұрын

    We mwegulu kaa chin we hufai

  • @selemankadede8332
    @selemankadede8332 Жыл бұрын

    Upo vizuri unaongea bila ya uwoga chapa kazi

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 Жыл бұрын

    Kunatim kutoka nyanda ya ,,,,,, hawaamini kuwa serikali ya awam ya tano ilikopa,

  • @Sunshine0222
    @Sunshine0222 Жыл бұрын

    ❤️❤️❤️❤️

  • @pilisonje8944
    @pilisonje8944 Жыл бұрын

    MH santiel ktk ubora wake big up

  • @clementmsogoti1354
    @clementmsogoti1354 Жыл бұрын

    Ok

  • @samwelpatrick8859
    @samwelpatrick8859 Жыл бұрын

    Akili mtu wangu Uyo mbunge ongea point za msingi sana shida ni kwa watendaji sasa

  • @saidlwambo1995
    @saidlwambo1995 Жыл бұрын

    Upo sawa Mh,Shabyb

  • @mosesmwasanga7661
    @mosesmwasanga7661 Жыл бұрын

    Mipango ya Muda mrefu ndio Maoni ya Gwajima Siku Zote, Hii ni Point Kubwa Sana.

  • @idrisasimba8501
    @idrisasimba8501 Жыл бұрын

    Umeongea vizuri na vibaya uliposema tutafute wataalaam kutoka njee nimeshangaa sana hii ni vibaya na uliposema mipango ya mda mrefu ni vizuri .ila jamani jamani speed ya JPM ilikuwa ni mwendo Kasi that one was. Legend of the world.

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 Жыл бұрын

    Mnakopa halafu mnagawana pumbavu.

  • @yahayahussein-fh2tq
    @yahayahussein-fh2tq Жыл бұрын

    Kaka yangu naunga mkono mchango wako safi sana

  • @crissinkala8608
    @crissinkala8608 Жыл бұрын

    Mm nimewahi kusema hii nchi kuna wasomi hawana kazi lkn wanakula mishahara mikubwa

  • @leonardkalaba1693
    @leonardkalaba1693 Жыл бұрын

    Pamoja Sana

  • @malagajisena8864
    @malagajisena8864 Жыл бұрын

    Baadh wapo Po a wengineo mabunge ya mchongo apeni hapa kama mlichaguliwa semen amen

  • @chrismtitu799

    @chrismtitu799

    Жыл бұрын

    Amen

  • @safariyaukaguru5304
    @safariyaukaguru5304 Жыл бұрын

    Hakima tunahitaji wabunge wanaoguswa na matatizo ya wananchi kwani hayo ndiyo mahitaji yetu nasi ndiyo tuliowatuma watusemee huko

  • @johnhenerico4105
    @johnhenerico4105 Жыл бұрын

    Mpango wa muda mrefu is more suitable

  • @husseinhussen6836
    @husseinhussen6836 Жыл бұрын

    kwakweri.bro.shabibi.ukikosekana.bungeni.bunge.litakuwa.sio.bunge

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn4956 Жыл бұрын

    Lakini wameshakopa nyingi tangu wameingia na hatuoni matokeo. Miradi imedorora tu . Kama kuna matokea kwann wasikope?

  • @christophermrema5277
    @christophermrema5277 Жыл бұрын

    Mungu akituweka hai gombea urais.mungu akupe afya ya roho na mwili

  • @franckjumanne3017
    @franckjumanne3017 Жыл бұрын

    Huyu jamaa na hiyo Tai yenye rangi ya bendera ya Taifa hua haijielewi kabisaaa maana hana uzarendo wa kweli

  • @rithadonatus8110

    @rithadonatus8110

    Жыл бұрын

    Yaani huwo ndo hanithi kwkaweli

  • @rithadonatus8110

    @rithadonatus8110

    Жыл бұрын

    Huyo ndo hanithi kwakweli

  • @faidhamyovela179

    @faidhamyovela179

    Жыл бұрын

    Yan mwigulu mm hapan kam kufukuzwa uwazir huy alitakiwa atokeee tu 😔😔😔😔 han msaaad

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 Жыл бұрын

    Bila katiba mmpya tz itakwama hapa hapo ilipo

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 Жыл бұрын

    Unafaa kuwa waziri , kwnn umecheleweshwa?

  • @migerajacob581
    @migerajacob581 Жыл бұрын

    Nchi nzuri, viongozi vipofu,

  • @mashakashobo2529
    @mashakashobo2529 Жыл бұрын

    Shida kubwa ya viongozi wetu ni tamaa yaan majizi tu

  • @jeremiahchabata5693
    @jeremiahchabata5693 Жыл бұрын

    Umeongea vizuri sana Mheshimiwa , utekelezaji ndio hamna

  • @bonifansimatias6951
    @bonifansimatias6951 Жыл бұрын

    Unajiwekea wenyewe sumu na kujitubu wao maccm

  • @godlizennassari5525
    @godlizennassari5525 Жыл бұрын

    Kwasasa wakandarasi watanzania wengi tusha kuwa watalamu kuliko munao waleta kutoka nche izo ni kelele TU abudi inatakiwa awe raisi Yuko vizuri sana

  • @shabanmohamed7071
    @shabanmohamed7071 Жыл бұрын

    Mzee katema madini

  • @kenedynedy2615
    @kenedynedy2615 Жыл бұрын

    Nahamnamipangoo malizeni muachie chadema wenyemipangoo

  • @suleimanjokoro
    @suleimanjokoro Жыл бұрын

    Jembe Sana,mhe.Shabiby💪💪

  • @kulwasamwel3602
    @kulwasamwel3602 Жыл бұрын

    Jee katoro geita

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint9874 Жыл бұрын

    Na kweli zero

  • @malopemaliyamungu5243
    @malopemaliyamungu5243 Жыл бұрын

    Asante kwa kuwa wakweli.. Hela za viparata vya mjasiriamali vingejenga wapi SGR. Yaani hadi Muuza Karanga kalipa elfu20.

  • @hasnuumakame9219

    @hasnuumakame9219

    Жыл бұрын

    Yeah muhimu kua wakweli, maana Kuna watu waliamini mradi ule ni fedha za makusanyo ya ndani na sio mkopo..

  • @meshacknyandongo577

    @meshacknyandongo577

    Жыл бұрын

    Sasa ni wakati tunaweza kuponda kile kilichopita lakini pamoja na ubaya mnaouona Leo ulikua na faida jana. Machinga na wajasilia Mali wadogo wadogo walifanya kazi kwa uhuru Pamoja na kwamba sura ya mji haikuwa nzuri ila mpango mkakati ulikua unaandaliwa kwa ajiri Yao. Leo tunaona Kila kitu kimebadilika wafanyabiashara wanapigwa na kunyang'anywa Mali zao wanataabika katika nchi yao Ila Kila mmoja ana uhuru wa kuongea kile anachokiona kua ni sawa

  • @husseinkarim6745
    @husseinkarim6745 Жыл бұрын

    Shabibby, shida ni ulaji, tukale wapi ndiyo msemo wao,nife masikini?

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 Жыл бұрын

    Mwigulu anavaa bulet

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint9874 Жыл бұрын

    Mmh utani?

  • @issakwisamwasanjobe541
    @issakwisamwasanjobe541 Жыл бұрын

    Ukiwa na wabunge wa aina hii wanaoshobokea mikopo wakati mafisadi wanaendelea kupiga fedha ya ndani hatufiki

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 Жыл бұрын

    Zianze sasa kujengwa awamu ya 5 ilikua maneno na vitengo hebu tuanze vitendo sasa

  • @kaisimohamedi4318
    @kaisimohamedi4318 Жыл бұрын

    Shabby ndo mbunge wakwaza kukuskia unazungumzia mfumo wa road torl nchi jiran kalbu zote zina uo mfumo sisi watanzania tukipta kwenye barabara zao tunalipa io road torl kwaio wenzetu wananufaika na uo mfumo wa road torl ni safi sana uo mfumo

  • @jamesmwambyale6585
    @jamesmwambyale6585 Жыл бұрын

    Tatizo siyo Hilo tuu ni kwamba Kila kiongozi anakuja na sera zake taiga halina sera Bali kiongozi anaechaguliwa anakuja binafsi na sera zake, hapo me naona wawepo watunga sera wa nchi lakini serikali inayochaguliwa iwe kwa ajil kusimamia zile sera tuu ila Kila serikali kuja na sera zake hatutoboi ndugu zangu

  • @issakwisamwasanjobe541
    @issakwisamwasanjobe541 Жыл бұрын

    Madini michanga inaendaulaya

  • @othumanmaulid7406
    @othumanmaulid7406 Жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @philbertmtalo2156
    @philbertmtalo2156 Жыл бұрын

    I THINK THIS IS RAT RACE BOB MARLEY THANKS LORD FOR THIS LOVE

  • @franckjumanne3017
    @franckjumanne3017 Жыл бұрын

    Bado bado bado mtaju hamjui ccm haistairi kabisaaa hata kidogo kuendelea kuepo

  • @amisimudigo3726
    @amisimudigo3726 Жыл бұрын

    we babu hiyo road toll unawaletea watu ulaji hakuna kitakachofanyika huyo waziri wa fedha ni mwezi tu hana lolote

  • @puyaka1849
    @puyaka1849 Жыл бұрын

    Huyu waziri ni mzushi sio wa kumwamini

  • @denniswilson6754
    @denniswilson6754 Жыл бұрын

    Kilio cha Askofu Gwajima kila anapochangia ni hiki kitu cha MIPANGO YA MUDA MREFU. Taifa letu tuna tatizo na think tank ya nchi. Niseme tu kipimo cha ubora wa bunge ni ubora wa Maisha ya watanzania.

  • @oswardchisunga1118
    @oswardchisunga1118 Жыл бұрын

    🤦‍♂️🤦‍♂️🤦‍♂️🤦‍♂️🤦‍♂️🤦‍♂️🤦‍♂️bungen tunakwenda kufanya nn jaman kwjma alise ilo mda tu

  • @johnmgalla7377
    @johnmgalla7377 Жыл бұрын

    Tunarudi palepale kwa gwaji boy nchi haina maono haina mipango ya muda mrefu

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 Жыл бұрын

    Barbara ya chunya Tabora mmeona?

  • @emanuelmoshama3899
    @emanuelmoshama3899 Жыл бұрын

    Jamaa kaamua kutoa hoja za nchi nzima

  • @ezrommkambati1554
    @ezrommkambati1554 Жыл бұрын

    Mbona huyu Waziri wa Fedha kila siku vigugumizi????....kunani hapo tuambizane

  • @issahmwakinyuke9506
    @issahmwakinyuke9506 Жыл бұрын

    Wambie ukweli wao

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 Жыл бұрын

    Ni shida na ni wezi🥲 ten pasenti inawasumbua

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Жыл бұрын

    Mhmmmmm nchi hiiii yaani tunashangilia madeni

  • @daktarimapenzi2022
    @daktarimapenzi2022 Жыл бұрын

    Mikopo ni lazima kwa taifa lolote linalotaka kuendelea. Maskini tu ndiyo hawana mikopo

  • @faharikhamisi3091
    @faharikhamisi3091 Жыл бұрын

    Issue ni katiba mpya ndo msingi wa kila kitu

  • @eliahiluka830
    @eliahiluka830 Жыл бұрын

    Msilete utani kwenye bunge na maana hukumu zimekwisha wekwa tayari Kwa kwenye mizaha kwahiyo acheni mizaha)

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Жыл бұрын

    Ili tuamini bunge la Tulia safari hii mko wenyewe, Zuieni shilingi,na kupiga kura ya kutokua na imani ndio tutajua mna uchungu kama sisi wananchi, achaneni na huyo wa wa wa ee na na na anatuzingua sana na tai zake

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g Жыл бұрын

    ASANTE SANA MBUNGE SHABIBY🤝 ILA WAZIRI ANATUMIA MUDA MWINGI SANA!

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 Жыл бұрын

    MH UWANJA WA DODOMA MJINI UNA UMUHIMU SANA halikuwa kosa kuhamisha wakazi chaduru Kwa usalama wa maisha yao na ndege zenyewe! Ndege Zinashuka mpaka zinagusa miti' njooni muone hapa! Selikari haikukosea kabisa kulipa fidia MWANZO hata Sasa kwa wakaazi! Ili uwepo usalama! Kama vp Basi ungefutwa ili iwe stendi ya mabasi ya taifa au Sabasaba!!

  • @emmanueljoseph3812
    @emmanueljoseph3812 Жыл бұрын

    Hvi hawa wataaram wa kitanzania wanashida gani?,ila shida ni ubinafsi umewatala sana!

  • @mohammedkhimji7505
    @mohammedkhimji7505 Жыл бұрын

    Hamna kuangalia mbele..... Chukua Chako Mapema! 🤣🤣🤣🤣

  • @williamsville3493

    @williamsville3493

    Жыл бұрын

    Chukua chako mapema🤣🤣🤣

  • @nardhismhagama6266
    @nardhismhagama6266 Жыл бұрын

    Loodtolll marambili mbili ongezeni tozo Kodi Kama ndogo ongeza Tena na Tena komeshea kabisa

  • @ernestkunja3472

    @ernestkunja3472

    Жыл бұрын

    Ahaaaaaaaahaaa

  • @Bise270
    @Bise270 Жыл бұрын

    Shabiby ni bonge la kiongozi🇹🇿

  • @fatmamasoud4449
    @fatmamasoud4449 Жыл бұрын

    Nikweli kabisa hata huku nilipo kutoka nyumbani kwenda kazini kuna tolget 2 za kulipia kwahiyo kwenda na kurudi nalipa mara 4 nivyema kuweka mfumo wa kulipia barabara zijilipe tuta fanikiwa sana

  • @manwoka4078

    @manwoka4078

    Жыл бұрын

    Upo wapi?

  • @antonyvallerian1718
    @antonyvallerian1718 Жыл бұрын

    Waziri wa fedha issue

Келесі