SHABIBY ATOA DARASA BUNGENI "HAWA WATU KWENYE NCHI HII NI SHIDA , HAWAJUI MIPANGO"
#UhondoTV #Uhondo
Жүктеу.....
Пікірлер: 191
@godsonkilua7738 Жыл бұрын
Kwa kweli mh uko vizur Tena umekomaa kisiasa Mungu akupe maisha marefu
@estherdominic1673Ай бұрын
Hongera sana waheshimiwa wetu mnachapa kazi kazi zenu ni nzuri na mungu atawabariki sana tunawapenda na tunawaombea amen 🙏🙏
@angellomarcel5677 Жыл бұрын
Duh mzee wetu umeongea KITAALAM mno Big up sana
@zulfaissa7814 Жыл бұрын
Hongera kwapoint nzuri kk
@estermathias8354 Жыл бұрын
Maisha marefu kwako.👏👏👏👏ukimaliza kaka usome na comment tunakupenda tunakupenda tunakupenda tena
@barnaba3037 Жыл бұрын
Taarifa ya waziri mbona Kama iko tofauti na maomgezi ya Shabibi maana mipango ya muda mrefu ya Taifa
@sketchbabu Жыл бұрын
Nimemkubali mheshimiwa. Mimi binafsi siku zote nashauri wataalam wa Mipango ya maendeleo kutoka Ulaya na Marekani waje kuturekebishia program za maendeleo ya mda mrefu
@magrethswai6055 Жыл бұрын
Kaka angu shabby nakukubali Sanaa mieeee, ishi miaka MINGI kaka angu
@mohamedmussa4991 Жыл бұрын
Well said bro
@solomwambene-vo8pk Жыл бұрын
Ahsante father
@andrew29468 Жыл бұрын
Kila akiongea Shabiby huwa natamani kusikia, Km kuna kitu huwa naamia pale ninapoona tumetengeneza kitu na kukiharibu ili kupisha plan mpya ukweli hilo ni tatizo Viongozi lazima kuwa na mtazamo wa mbali.Hongera sana muheshimiwa mbunge
@jeunajuatv817 Жыл бұрын
Eti wakiambiwa mnakopa sana wanaogopa hawakopi 😂😂😂
@benitopilla3145 Жыл бұрын
Daaah songea tumekumbukwa ifak-lumecha
@johnbkimaro Жыл бұрын
Swala la kubomoa barabara ni swala ambalo mm najiuliz viongozi wetu huwa wanawaza nn? Daah so sad
@ElibarikNdanshau-io8lj Жыл бұрын
Baba nakubali nondo zako unafanya vizuri
@malugukushaha6764 Жыл бұрын
Facts
@jamesshao538 Жыл бұрын
Namwelewa sana huyu Mbunge
@ufunuoelias4865 Жыл бұрын
Mh shabiby nachangia hoja tujifunze congo ukiwa unaingia rubumbashi kuna vitu vinaitwa peaje huwa twalipia Gali kuingia kila wilaya wanachukua mapato kwan walichukua mkopo nawao wanatoza ili walipe deni siyo kuitoa kwa wananchi
@williamwilifred6563 Жыл бұрын
Kukopa siozambi Ila wakikopa wanaweka mfuko
@yayananajota5838 Жыл бұрын
This mp is truu choice of God, 👏, ila serikari Ina uzuzu mwingi sana😏
@fredrickmatiku7783 Жыл бұрын
Wapi mheshimiwa Babutale tale tale
@DealDeskPro Жыл бұрын
Hv kigoma huwa tunawabunge maana Mkoa ule umesahaulika sana, barabara tu ya kutoka Nyakanazi kupita kibondo au kupitia tabora hakuna kitu..what is wronng na mkoa huu jamani..
@estherdominic1673Ай бұрын
Lazima tukope tusiogope kukopa mh shabiby ni kweli hasante sana
@godfreyzakaria5087 Жыл бұрын
Yes
@rabsontryphon9254 Жыл бұрын
Huyu mbunge hafai kua mbunge ilibidi awe Raisi wa nchi kwanza anamisimamo na maono sana pia ni tajiri, ana moyo wa kusaidia watu kifupi ni mtu wa watu na shule anayo
@faidhamyovela179
Жыл бұрын
Hela haina adabu mpeni urais muone 😂😂 anatugeuka
@johnsonbernald11
Жыл бұрын
Unajua maana ya neno HAFAI? kama ubunge hafai huo urais itakuwaje? Au umesomea chooni?
@danielbugwema6969 Жыл бұрын
Well done u said tukiacha kuchaguliana wawakilishi katika kata zetu pia tutafika huo ndo ukweli unatakiwa kuzungumzwa usiogope kukosorowa
@choiceonlinetv1569 Жыл бұрын
Smart Guy,very true
@Worldunite Жыл бұрын
Ndg yangu shabby sijakusikia bunge la mwaka huu 2023
@petermarwa7818 Жыл бұрын
Akupe tu uwaziri maana kuipondea serikali ya awamu ya tano nikutafta nafasi ya uwaziri kwenye serikali ya wapigaji
@johnluchagula9224
Жыл бұрын
Point
@gabrielzakaria2810 Жыл бұрын
Nyie mungu anawaona!
@EREVUKATV Жыл бұрын
MWIGULU HAUTUFAI NI MPUUZI SANA
@emanuelmaraki97582 ай бұрын
Shabb rispekit kamandaa unaongea vizuri sana
@gabrielzakaria2810 Жыл бұрын
We mwegulu kaa chin we hufai
@selemankadede8332 Жыл бұрын
Upo vizuri unaongea bila ya uwoga chapa kazi
@williammbuzimai5744 Жыл бұрын
Kunatim kutoka nyanda ya ,,,,,, hawaamini kuwa serikali ya awam ya tano ilikopa,
@Sunshine0222 Жыл бұрын
❤️❤️❤️❤️
@pilisonje8944 Жыл бұрын
MH santiel ktk ubora wake big up
@clementmsogoti1354 Жыл бұрын
Ok
@samwelpatrick8859 Жыл бұрын
Akili mtu wangu Uyo mbunge ongea point za msingi sana shida ni kwa watendaji sasa
@saidlwambo1995 Жыл бұрын
Upo sawa Mh,Shabyb
@mosesmwasanga7661 Жыл бұрын
Mipango ya Muda mrefu ndio Maoni ya Gwajima Siku Zote, Hii ni Point Kubwa Sana.
@idrisasimba8501 Жыл бұрын
Umeongea vizuri na vibaya uliposema tutafute wataalaam kutoka njee nimeshangaa sana hii ni vibaya na uliposema mipango ya mda mrefu ni vizuri .ila jamani jamani speed ya JPM ilikuwa ni mwendo Kasi that one was. Legend of the world.
@husseinmkanga7794 Жыл бұрын
Mnakopa halafu mnagawana pumbavu.
@yahayahussein-fh2tq Жыл бұрын
Kaka yangu naunga mkono mchango wako safi sana
@crissinkala8608 Жыл бұрын
Mm nimewahi kusema hii nchi kuna wasomi hawana kazi lkn wanakula mishahara mikubwa
@leonardkalaba1693 Жыл бұрын
Pamoja Sana
@malagajisena8864 Жыл бұрын
Baadh wapo Po a wengineo mabunge ya mchongo apeni hapa kama mlichaguliwa semen amen
@chrismtitu799
Жыл бұрын
Amen
@safariyaukaguru5304 Жыл бұрын
Hakima tunahitaji wabunge wanaoguswa na matatizo ya wananchi kwani hayo ndiyo mahitaji yetu nasi ndiyo tuliowatuma watusemee huko
Asante kwa kuwa wakweli.. Hela za viparata vya mjasiriamali vingejenga wapi SGR. Yaani hadi Muuza Karanga kalipa elfu20.
@hasnuumakame9219
Жыл бұрын
Yeah muhimu kua wakweli, maana Kuna watu waliamini mradi ule ni fedha za makusanyo ya ndani na sio mkopo..
@meshacknyandongo577
Жыл бұрын
Sasa ni wakati tunaweza kuponda kile kilichopita lakini pamoja na ubaya mnaouona Leo ulikua na faida jana. Machinga na wajasilia Mali wadogo wadogo walifanya kazi kwa uhuru Pamoja na kwamba sura ya mji haikuwa nzuri ila mpango mkakati ulikua unaandaliwa kwa ajiri Yao. Leo tunaona Kila kitu kimebadilika wafanyabiashara wanapigwa na kunyang'anywa Mali zao wanataabika katika nchi yao Ila Kila mmoja ana uhuru wa kuongea kile anachokiona kua ni sawa
@husseinkarim6745 Жыл бұрын
Shabibby, shida ni ulaji, tukale wapi ndiyo msemo wao,nife masikini?
@godwinmwakibibi274 Жыл бұрын
Mwigulu anavaa bulet
@trillhappybeautypoint9874 Жыл бұрын
Mmh utani?
@issakwisamwasanjobe541 Жыл бұрын
Ukiwa na wabunge wa aina hii wanaoshobokea mikopo wakati mafisadi wanaendelea kupiga fedha ya ndani hatufiki
@nikodemmwahangila3334 Жыл бұрын
Zianze sasa kujengwa awamu ya 5 ilikua maneno na vitengo hebu tuanze vitendo sasa
@kaisimohamedi4318 Жыл бұрын
Shabby ndo mbunge wakwaza kukuskia unazungumzia mfumo wa road torl nchi jiran kalbu zote zina uo mfumo sisi watanzania tukipta kwenye barabara zao tunalipa io road torl kwaio wenzetu wananufaika na uo mfumo wa road torl ni safi sana uo mfumo
@jamesmwambyale6585 Жыл бұрын
Tatizo siyo Hilo tuu ni kwamba Kila kiongozi anakuja na sera zake taiga halina sera Bali kiongozi anaechaguliwa anakuja binafsi na sera zake, hapo me naona wawepo watunga sera wa nchi lakini serikali inayochaguliwa iwe kwa ajil kusimamia zile sera tuu ila Kila serikali kuja na sera zake hatutoboi ndugu zangu
@issakwisamwasanjobe541 Жыл бұрын
Madini michanga inaendaulaya
@othumanmaulid7406 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@philbertmtalo2156 Жыл бұрын
I THINK THIS IS RAT RACE BOB MARLEY THANKS LORD FOR THIS LOVE
@franckjumanne3017 Жыл бұрын
Bado bado bado mtaju hamjui ccm haistairi kabisaaa hata kidogo kuendelea kuepo
@amisimudigo3726 Жыл бұрын
we babu hiyo road toll unawaletea watu ulaji hakuna kitakachofanyika huyo waziri wa fedha ni mwezi tu hana lolote
@puyaka1849 Жыл бұрын
Huyu waziri ni mzushi sio wa kumwamini
@denniswilson6754 Жыл бұрын
Kilio cha Askofu Gwajima kila anapochangia ni hiki kitu cha MIPANGO YA MUDA MREFU. Taifa letu tuna tatizo na think tank ya nchi. Niseme tu kipimo cha ubora wa bunge ni ubora wa Maisha ya watanzania.
@oswardchisunga1118 Жыл бұрын
🤦♂️🤦♂️🤦♂️🤦♂️🤦♂️🤦♂️🤦♂️bungen tunakwenda kufanya nn jaman kwjma alise ilo mda tu
@johnmgalla7377 Жыл бұрын
Tunarudi palepale kwa gwaji boy nchi haina maono haina mipango ya muda mrefu
@benjaminlijongwa3715 Жыл бұрын
Barbara ya chunya Tabora mmeona?
@emanuelmoshama3899 Жыл бұрын
Jamaa kaamua kutoa hoja za nchi nzima
@ezrommkambati1554 Жыл бұрын
Mbona huyu Waziri wa Fedha kila siku vigugumizi????....kunani hapo tuambizane
@issahmwakinyuke9506 Жыл бұрын
Wambie ukweli wao
@nantaembanusurupia5674 Жыл бұрын
Ni shida na ni wezi🥲 ten pasenti inawasumbua
@jitabojilala6162 Жыл бұрын
Mhmmmmm nchi hiiii yaani tunashangilia madeni
@daktarimapenzi2022 Жыл бұрын
Mikopo ni lazima kwa taifa lolote linalotaka kuendelea. Maskini tu ndiyo hawana mikopo
@faharikhamisi3091 Жыл бұрын
Issue ni katiba mpya ndo msingi wa kila kitu
@eliahiluka830 Жыл бұрын
Msilete utani kwenye bunge na maana hukumu zimekwisha wekwa tayari Kwa kwenye mizaha kwahiyo acheni mizaha)
@elibarikimollel7149 Жыл бұрын
Ili tuamini bunge la Tulia safari hii mko wenyewe, Zuieni shilingi,na kupiga kura ya kutokua na imani ndio tutajua mna uchungu kama sisi wananchi, achaneni na huyo wa wa wa ee na na na anatuzingua sana na tai zake
@user-hb8vi9fx6g Жыл бұрын
ASANTE SANA MBUNGE SHABIBY🤝 ILA WAZIRI ANATUMIA MUDA MWINGI SANA!
@matukutajuma156 Жыл бұрын
MH UWANJA WA DODOMA MJINI UNA UMUHIMU SANA halikuwa kosa kuhamisha wakazi chaduru Kwa usalama wa maisha yao na ndege zenyewe! Ndege Zinashuka mpaka zinagusa miti' njooni muone hapa! Selikari haikukosea kabisa kulipa fidia MWANZO hata Sasa kwa wakaazi! Ili uwepo usalama! Kama vp Basi ungefutwa ili iwe stendi ya mabasi ya taifa au Sabasaba!!
@emmanueljoseph3812 Жыл бұрын
Hvi hawa wataaram wa kitanzania wanashida gani?,ila shida ni ubinafsi umewatala sana!
Loodtolll marambili mbili ongezeni tozo Kodi Kama ndogo ongeza Tena na Tena komeshea kabisa
@ernestkunja3472
Жыл бұрын
Ahaaaaaaaahaaa
@Bise270 Жыл бұрын
Shabiby ni bonge la kiongozi🇹🇿
@fatmamasoud4449 Жыл бұрын
Nikweli kabisa hata huku nilipo kutoka nyumbani kwenda kazini kuna tolget 2 za kulipia kwahiyo kwenda na kurudi nalipa mara 4 nivyema kuweka mfumo wa kulipia barabara zijilipe tuta fanikiwa sana
Пікірлер: 191
Kwa kweli mh uko vizur Tena umekomaa kisiasa Mungu akupe maisha marefu
Hongera sana waheshimiwa wetu mnachapa kazi kazi zenu ni nzuri na mungu atawabariki sana tunawapenda na tunawaombea amen 🙏🙏
Duh mzee wetu umeongea KITAALAM mno Big up sana
Hongera kwapoint nzuri kk
Maisha marefu kwako.👏👏👏👏ukimaliza kaka usome na comment tunakupenda tunakupenda tunakupenda tena
Taarifa ya waziri mbona Kama iko tofauti na maomgezi ya Shabibi maana mipango ya muda mrefu ya Taifa
Nimemkubali mheshimiwa. Mimi binafsi siku zote nashauri wataalam wa Mipango ya maendeleo kutoka Ulaya na Marekani waje kuturekebishia program za maendeleo ya mda mrefu
Kaka angu shabby nakukubali Sanaa mieeee, ishi miaka MINGI kaka angu
Well said bro
Ahsante father
Kila akiongea Shabiby huwa natamani kusikia, Km kuna kitu huwa naamia pale ninapoona tumetengeneza kitu na kukiharibu ili kupisha plan mpya ukweli hilo ni tatizo Viongozi lazima kuwa na mtazamo wa mbali.Hongera sana muheshimiwa mbunge
Eti wakiambiwa mnakopa sana wanaogopa hawakopi 😂😂😂
Daaah songea tumekumbukwa ifak-lumecha
Swala la kubomoa barabara ni swala ambalo mm najiuliz viongozi wetu huwa wanawaza nn? Daah so sad
Baba nakubali nondo zako unafanya vizuri
Facts
Namwelewa sana huyu Mbunge
Mh shabiby nachangia hoja tujifunze congo ukiwa unaingia rubumbashi kuna vitu vinaitwa peaje huwa twalipia Gali kuingia kila wilaya wanachukua mapato kwan walichukua mkopo nawao wanatoza ili walipe deni siyo kuitoa kwa wananchi
Kukopa siozambi Ila wakikopa wanaweka mfuko
This mp is truu choice of God, 👏, ila serikari Ina uzuzu mwingi sana😏
Wapi mheshimiwa Babutale tale tale
Hv kigoma huwa tunawabunge maana Mkoa ule umesahaulika sana, barabara tu ya kutoka Nyakanazi kupita kibondo au kupitia tabora hakuna kitu..what is wronng na mkoa huu jamani..
Lazima tukope tusiogope kukopa mh shabiby ni kweli hasante sana
Yes
Huyu mbunge hafai kua mbunge ilibidi awe Raisi wa nchi kwanza anamisimamo na maono sana pia ni tajiri, ana moyo wa kusaidia watu kifupi ni mtu wa watu na shule anayo
@faidhamyovela179
Жыл бұрын
Hela haina adabu mpeni urais muone 😂😂 anatugeuka
@johnsonbernald11
Жыл бұрын
Unajua maana ya neno HAFAI? kama ubunge hafai huo urais itakuwaje? Au umesomea chooni?
Well done u said tukiacha kuchaguliana wawakilishi katika kata zetu pia tutafika huo ndo ukweli unatakiwa kuzungumzwa usiogope kukosorowa
Smart Guy,very true
Ndg yangu shabby sijakusikia bunge la mwaka huu 2023
Akupe tu uwaziri maana kuipondea serikali ya awamu ya tano nikutafta nafasi ya uwaziri kwenye serikali ya wapigaji
@johnluchagula9224
Жыл бұрын
Point
Nyie mungu anawaona!
MWIGULU HAUTUFAI NI MPUUZI SANA
Shabb rispekit kamandaa unaongea vizuri sana
We mwegulu kaa chin we hufai
Upo vizuri unaongea bila ya uwoga chapa kazi
Kunatim kutoka nyanda ya ,,,,,, hawaamini kuwa serikali ya awam ya tano ilikopa,
❤️❤️❤️❤️
MH santiel ktk ubora wake big up
Ok
Akili mtu wangu Uyo mbunge ongea point za msingi sana shida ni kwa watendaji sasa
Upo sawa Mh,Shabyb
Mipango ya Muda mrefu ndio Maoni ya Gwajima Siku Zote, Hii ni Point Kubwa Sana.
Umeongea vizuri na vibaya uliposema tutafute wataalaam kutoka njee nimeshangaa sana hii ni vibaya na uliposema mipango ya mda mrefu ni vizuri .ila jamani jamani speed ya JPM ilikuwa ni mwendo Kasi that one was. Legend of the world.
Mnakopa halafu mnagawana pumbavu.
Kaka yangu naunga mkono mchango wako safi sana
Mm nimewahi kusema hii nchi kuna wasomi hawana kazi lkn wanakula mishahara mikubwa
Pamoja Sana
Baadh wapo Po a wengineo mabunge ya mchongo apeni hapa kama mlichaguliwa semen amen
@chrismtitu799
Жыл бұрын
Amen
Hakima tunahitaji wabunge wanaoguswa na matatizo ya wananchi kwani hayo ndiyo mahitaji yetu nasi ndiyo tuliowatuma watusemee huko
Mpango wa muda mrefu is more suitable
kwakweri.bro.shabibi.ukikosekana.bungeni.bunge.litakuwa.sio.bunge
Lakini wameshakopa nyingi tangu wameingia na hatuoni matokeo. Miradi imedorora tu . Kama kuna matokea kwann wasikope?
Mungu akituweka hai gombea urais.mungu akupe afya ya roho na mwili
Huyu jamaa na hiyo Tai yenye rangi ya bendera ya Taifa hua haijielewi kabisaaa maana hana uzarendo wa kweli
@rithadonatus8110
Жыл бұрын
Yaani huwo ndo hanithi kwkaweli
@rithadonatus8110
Жыл бұрын
Huyo ndo hanithi kwakweli
@faidhamyovela179
Жыл бұрын
Yan mwigulu mm hapan kam kufukuzwa uwazir huy alitakiwa atokeee tu 😔😔😔😔 han msaaad
Bila katiba mmpya tz itakwama hapa hapo ilipo
Unafaa kuwa waziri , kwnn umecheleweshwa?
Nchi nzuri, viongozi vipofu,
Shida kubwa ya viongozi wetu ni tamaa yaan majizi tu
Umeongea vizuri sana Mheshimiwa , utekelezaji ndio hamna
Unajiwekea wenyewe sumu na kujitubu wao maccm
Kwasasa wakandarasi watanzania wengi tusha kuwa watalamu kuliko munao waleta kutoka nche izo ni kelele TU abudi inatakiwa awe raisi Yuko vizuri sana
Mzee katema madini
Nahamnamipangoo malizeni muachie chadema wenyemipangoo
Jembe Sana,mhe.Shabiby💪💪
Jee katoro geita
Na kweli zero
Asante kwa kuwa wakweli.. Hela za viparata vya mjasiriamali vingejenga wapi SGR. Yaani hadi Muuza Karanga kalipa elfu20.
@hasnuumakame9219
Жыл бұрын
Yeah muhimu kua wakweli, maana Kuna watu waliamini mradi ule ni fedha za makusanyo ya ndani na sio mkopo..
@meshacknyandongo577
Жыл бұрын
Sasa ni wakati tunaweza kuponda kile kilichopita lakini pamoja na ubaya mnaouona Leo ulikua na faida jana. Machinga na wajasilia Mali wadogo wadogo walifanya kazi kwa uhuru Pamoja na kwamba sura ya mji haikuwa nzuri ila mpango mkakati ulikua unaandaliwa kwa ajiri Yao. Leo tunaona Kila kitu kimebadilika wafanyabiashara wanapigwa na kunyang'anywa Mali zao wanataabika katika nchi yao Ila Kila mmoja ana uhuru wa kuongea kile anachokiona kua ni sawa
Shabibby, shida ni ulaji, tukale wapi ndiyo msemo wao,nife masikini?
Mwigulu anavaa bulet
Mmh utani?
Ukiwa na wabunge wa aina hii wanaoshobokea mikopo wakati mafisadi wanaendelea kupiga fedha ya ndani hatufiki
Zianze sasa kujengwa awamu ya 5 ilikua maneno na vitengo hebu tuanze vitendo sasa
Shabby ndo mbunge wakwaza kukuskia unazungumzia mfumo wa road torl nchi jiran kalbu zote zina uo mfumo sisi watanzania tukipta kwenye barabara zao tunalipa io road torl kwaio wenzetu wananufaika na uo mfumo wa road torl ni safi sana uo mfumo
Tatizo siyo Hilo tuu ni kwamba Kila kiongozi anakuja na sera zake taiga halina sera Bali kiongozi anaechaguliwa anakuja binafsi na sera zake, hapo me naona wawepo watunga sera wa nchi lakini serikali inayochaguliwa iwe kwa ajil kusimamia zile sera tuu ila Kila serikali kuja na sera zake hatutoboi ndugu zangu
Madini michanga inaendaulaya
Kweli kabisa
I THINK THIS IS RAT RACE BOB MARLEY THANKS LORD FOR THIS LOVE
Bado bado bado mtaju hamjui ccm haistairi kabisaaa hata kidogo kuendelea kuepo
we babu hiyo road toll unawaletea watu ulaji hakuna kitakachofanyika huyo waziri wa fedha ni mwezi tu hana lolote
Huyu waziri ni mzushi sio wa kumwamini
Kilio cha Askofu Gwajima kila anapochangia ni hiki kitu cha MIPANGO YA MUDA MREFU. Taifa letu tuna tatizo na think tank ya nchi. Niseme tu kipimo cha ubora wa bunge ni ubora wa Maisha ya watanzania.
🤦♂️🤦♂️🤦♂️🤦♂️🤦♂️🤦♂️🤦♂️bungen tunakwenda kufanya nn jaman kwjma alise ilo mda tu
Tunarudi palepale kwa gwaji boy nchi haina maono haina mipango ya muda mrefu
Barbara ya chunya Tabora mmeona?
Jamaa kaamua kutoa hoja za nchi nzima
Mbona huyu Waziri wa Fedha kila siku vigugumizi????....kunani hapo tuambizane
Wambie ukweli wao
Ni shida na ni wezi🥲 ten pasenti inawasumbua
Mhmmmmm nchi hiiii yaani tunashangilia madeni
Mikopo ni lazima kwa taifa lolote linalotaka kuendelea. Maskini tu ndiyo hawana mikopo
Issue ni katiba mpya ndo msingi wa kila kitu
Msilete utani kwenye bunge na maana hukumu zimekwisha wekwa tayari Kwa kwenye mizaha kwahiyo acheni mizaha)
Ili tuamini bunge la Tulia safari hii mko wenyewe, Zuieni shilingi,na kupiga kura ya kutokua na imani ndio tutajua mna uchungu kama sisi wananchi, achaneni na huyo wa wa wa ee na na na anatuzingua sana na tai zake
ASANTE SANA MBUNGE SHABIBY🤝 ILA WAZIRI ANATUMIA MUDA MWINGI SANA!
MH UWANJA WA DODOMA MJINI UNA UMUHIMU SANA halikuwa kosa kuhamisha wakazi chaduru Kwa usalama wa maisha yao na ndege zenyewe! Ndege Zinashuka mpaka zinagusa miti' njooni muone hapa! Selikari haikukosea kabisa kulipa fidia MWANZO hata Sasa kwa wakaazi! Ili uwepo usalama! Kama vp Basi ungefutwa ili iwe stendi ya mabasi ya taifa au Sabasaba!!
Hvi hawa wataaram wa kitanzania wanashida gani?,ila shida ni ubinafsi umewatala sana!
Hamna kuangalia mbele..... Chukua Chako Mapema! 🤣🤣🤣🤣
@williamsville3493
Жыл бұрын
Chukua chako mapema🤣🤣🤣
Loodtolll marambili mbili ongezeni tozo Kodi Kama ndogo ongeza Tena na Tena komeshea kabisa
@ernestkunja3472
Жыл бұрын
Ahaaaaaaaahaaa
Shabiby ni bonge la kiongozi🇹🇿
Nikweli kabisa hata huku nilipo kutoka nyumbani kwenda kazini kuna tolget 2 za kulipia kwahiyo kwenda na kurudi nalipa mara 4 nivyema kuweka mfumo wa kulipia barabara zijilipe tuta fanikiwa sana
@manwoka4078
Жыл бұрын
Upo wapi?
Waziri wa fedha issue