MBUNGE SHABIBY AWAKA; "PESA YANGU, BASI LANGU, SERIKALI NDIYO INIWEKEE PESA, BIASHARA YA WAPI HII?"

MBUNGE SHABIBY AWAKA; "PESA YANGU, BASI LANGU, SERIKALI NDIYO INIWEKEE PESA, BIASHARA YA WAPI HII?"
Bunge la Tanzania La Jamhuri Ya Muungano Leo May 17, 2021 Limeendelea Na Vikao Vyake Jijini Dodoma Ambapo Wizara Ya Miundombinu Na Ujenzi Imewasilisha Bajeti Yake Na Wabunge Wameendelea Kutoa Maoni na Ushauri Kwa Wizara Hiyo na Mbunge wa Gairo, Ahmed Shabiby ameiwakia serikali.....
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 391

  • @danielbraitony9696
    @danielbraitony96963 жыл бұрын

    Kama unamuona anae umiza mikono gonga like

  • @geraldngwisija5034
    @geraldngwisija50343 жыл бұрын

    Hawa wasema ukweli ndio wanatakiwa kuingia bungeni.hongera sana shabiby

  • @tareqhilal6750
    @tareqhilal67503 жыл бұрын

    Huyu Shabiby ni mfanyabiashara makini Sana.. hongera Sana Sana.

  • @petermushy9883
    @petermushy98833 жыл бұрын

    Kuna mwamba kalipwa na boss anapiga Kofi moja moja😁

  • @patrickKitambo

    @patrickKitambo

    3 жыл бұрын

    hahahhahaha, yuko makini kwenye kupiga makofi

  • @mkingaboy550

    @mkingaboy550

    3 жыл бұрын

    Umeona kumbe;😂😂

  • @husseinchiaseeds2653

    @husseinchiaseeds2653

    3 жыл бұрын

    Noma sana

  • @husseinchiaseeds2653

    @husseinchiaseeds2653

    3 жыл бұрын

    😀😀😀😀😀😀 Katoa taarifa kwa msisitizo

  • @eventelias3566

    @eventelias3566

    3 жыл бұрын

    Anazingua

  • @amanishoo1813
    @amanishoo18133 жыл бұрын

    Shabiby kachangia vzr km Mbunge sio wale wana mipasho hawana hoja wanasimama kupoteza muda tu

  • @hilalmohd8941
    @hilalmohd89413 жыл бұрын

    umeongea sana Mr shabiby mungu akuongoze daima kweli kuusu stand niaibu sana naisi hii changamoto IPO mikoa yote ilikua na stand mpya

  • @chikuluchidodokochiitingan340
    @chikuluchidodokochiitingan3403 жыл бұрын

    Umekulaa sanaa viazi ndio maanaa unaakili na hoja nzurii ho hongelaa

  • @rwehumbizajonathan8689
    @rwehumbizajonathan86893 жыл бұрын

    Mbunge Makini....Anatema Points Tupu. Salute sana Mheshimiwa.....kwa Wabunge wa Aina hii Upinzani lazima Wapate tabu kupenya.

  • @fatimahants1526
    @fatimahants15263 жыл бұрын

    King of business.....🇴🇲🇹🇿 hongera sana

  • @danielmpigasupi2212
    @danielmpigasupi22123 жыл бұрын

    Hongera sana Mhe.Shabiby kwa mchango wako mzuri umeongea uhalisia na ukweli uliopo. Suala la Stendi hizi kuwa mbali na miji zinatesa sana wananchi hasa wale wasiokuwa na uwezo!

  • @izraelyherman4467
    @izraelyherman44673 жыл бұрын

    Safi sana shabiby serikali yetu imetengeza mianya ya wizi

  • @kasimramadhani1502
    @kasimramadhani15022 жыл бұрын

    Shabiby wewe ni kiongozi mcha mungu na mungu akupe afya na rizki..una moyo wa utu sana

  • @salimbinargan9658
    @salimbinargan96583 жыл бұрын

    Qhongera muheshimiwa Ahmed shabiby nakukubali sana

  • @simonsonelo1467
    @simonsonelo14673 жыл бұрын

    Safi Sana Shabiby kwa kuwatetea wanyonge

  • @chogaissa1619
    @chogaissa16193 жыл бұрын

    Mbunge mwenye uwezo wa hali ya juu sana

  • @sadikiabdi6179
    @sadikiabdi61793 жыл бұрын

    mungu akuongoze ktk kaz yako mzee SHABBIBY! hongera sana!!!!!!!

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho43423 жыл бұрын

    Huyo wa Pembeni ni Mbunge au CHAWA wa Shabiby 😂😂😂

  • @karinokarino3049

    @karinokarino3049

    3 жыл бұрын

    Uyo chawa aiseee maana sio makofi ayo

  • @mkimbizifelix9674

    @mkimbizifelix9674

    2 жыл бұрын

    Haha

  • @abdulaziz703
    @abdulaziz7033 жыл бұрын

    Maa Sha Allah, Shabiby unaongeaga ukweli mtupu. Nilichogundua ni kwamba wanasiasa wengi ni wachumia tumbo. Wanaongea chochote ilimradi matumbo yao yajae bila kujali maslahi ya wananchi wengine.

  • @issaramadhan9937
    @issaramadhan99372 жыл бұрын

    Jazak Allah kheir Shabiby

  • @dismascosmas1441
    @dismascosmas14413 жыл бұрын

    Gonga like kwa jirani yake..

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid11713 жыл бұрын

    shabiby mitano tena 👏👏

  • @neemajoel5081
    @neemajoel50813 жыл бұрын

    Well said Shabiby... Dom wanafunzi kushuka 8 8 upande boda, bajaji, tax adi town ni gharama mnooo

  • @bishoptvalbert4112

    @bishoptvalbert4112

    3 жыл бұрын

    hi

  • @dottodotto7621
    @dottodotto76213 жыл бұрын

    Mungu Akubariki sana Mzee Shabiby Kwa Kuliona hilo Serikali Ikubari Tu Kwamba Walikosea Na Wazirudishe Hizo Stend Mana Ni Mateso Mno! Mtu Anakwenda Iringa Mjini Unamshusha Igumbilo Kilometer 20 Nyuma Unamuingiza Kwenye Garama Nyingine C Kutesana Uku.

  • @mchumiajuani1993
    @mchumiajuani19933 жыл бұрын

    Dah nampenda sana shabiby kwanza anajiamini saaana, dah asipewe uwaziri ili awe anapiga mawaziri

  • @herikaduma4993
    @herikaduma49933 жыл бұрын

    Shukrani Shabiby mambo yanashangaza sana kuhusu hizi stendi zilizo mbali na makazi ya watu zina usumbufu mkubwa

  • @asteriambwei3349

    @asteriambwei3349

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisa shabibu kwanini washushe abiria stendi wakati gari inaelekea hukohuko wanakokwenda?hivi kweli serikali kabla ya kutenda haijiongezi ?wakati gari siyo Yao ? Point unafaa uwaziri mama Samia hawa ndio wanaotakiwa uwape uwaziri

  • @rafikiwildlife4263
    @rafikiwildlife42633 жыл бұрын

    nimeipenda sana hiyo taarifa.

  • @kamanyile
    @kamanyile3 жыл бұрын

    Shabiby safi sana umeongea point watu wanatoka mbali walipo na stand ya mabus safi kbsa

  • @husseinchiaseeds2653
    @husseinchiaseeds26533 жыл бұрын

    Dah hii ni hatariiii Sana mama futa huu wizi

  • @jenniferkaristo5671
    @jenniferkaristo56713 жыл бұрын

    Safi sana shabiby tunanyanyaswa ctend zpombali tukipewa msaada hawataki

  • @damsonwillison435
    @damsonwillison4353 жыл бұрын

    Huyu mbunge Ana Akili nyingi sana mmsikilize

  • @paschalkipeta2353
    @paschalkipeta23533 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu akupe maisha marefu

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter24973 жыл бұрын

    Ndio maana siku hizi Shabiby hamtoi vinywaji... Oooh... Machine!!

  • @rugijofrey3685

    @rugijofrey3685

    3 жыл бұрын

    Anatoa vinywaji hela iko kwa vendor😂😂

  • @Bruno-ed1ps

    @Bruno-ed1ps

    3 жыл бұрын

    😀

  • @omarmkumba3547
    @omarmkumba35473 жыл бұрын

    Shabibyyyyyyyyyyyy,big up

  • @asteriambwei3349

    @asteriambwei3349

    3 жыл бұрын

    Mambo mengi si nyie mnapitisha lakini havifanyiwi kazi pia mnawaumiza watu wa mabasi jirekibisheni serikali

  • @mussai.sillas3796
    @mussai.sillas37963 жыл бұрын

    Nakulewa sana mhe. Shabiby. Hongera

  • @barakanelson8123
    @barakanelson81233 жыл бұрын

    Uyu anaipiga Kofi anazingua aiseee😂😂

  • @abufauzan9417

    @abufauzan9417

    3 жыл бұрын

    Watu wanazingua kweli

  • @abufauzan9417

    @abufauzan9417

    3 жыл бұрын

    Nitabu tupu

  • @DominicMyumbilwa

    @DominicMyumbilwa

    3 жыл бұрын

    Ashakula Gongo

  • @sigfridprotas5695
    @sigfridprotas56953 жыл бұрын

    Vita kawaw ulikukuw umelala shabb kashakutajia idadi ya stand haraf we unatoa taarifa kweli hebu kuw Makin kuwasikiliza wenye hoja za mashik( shabib kataj Dom, iringa na songea we hukusikia?)

  • @archdauzanliwenga

    @archdauzanliwenga

    2 жыл бұрын

    Hata hayupo makini huyu mbunge Vita,

  • @neylatikilango401
    @neylatikilango4013 жыл бұрын

    Mbunge wAngu MWENYE akili zake😂

  • @samueltomboza3767
    @samueltomboza37672 жыл бұрын

    thanks so much father God bless you Good point

  • @thomastarimo

    @thomastarimo

    Жыл бұрын

    Yani sasa hivi kuna ushetani mkubwa sasa hivi ni bora mmejionea hayo nyiye wenyewe alafu kuna msamiati unasema wawekezaji labda mwekezaji kicha

  • @shamimhayat7637
    @shamimhayat76373 жыл бұрын

    Sema Shabib sema kwa sauti

  • @b90tv2
    @b90tv23 жыл бұрын

    mh shabiby yupo sahihi kabisah suala la stand na umbali linatutesa

  • @issazakaria863
    @issazakaria8633 жыл бұрын

    😂 😂 😂 😂 wewe inakuuma nn wewe wakati huna hata basi

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba29813 жыл бұрын

    Kweli Shabiby hapo kwenye kushusha abiria stend mbali na gari linaenda huko huko mjini kweeeli tunateseka Sana Sena baba abiria tupone

  • @aishkombo6383
    @aishkombo63833 жыл бұрын

    Shabby kaka tuwasiliane leo umeeleweka kaka

  • @ahmedashfa7318
    @ahmedashfa73183 жыл бұрын

    Pongezi shabiby kweli uko vizuri sana salamu zako zimefika

  • @juliethsemwenda8100
    @juliethsemwenda81003 жыл бұрын

    Hongera mbunge.

  • @rosiemmari5396
    @rosiemmari53963 жыл бұрын

    Well said Mr MP..

  • @gibonykiyao9698
    @gibonykiyao96983 жыл бұрын

    Salute mzee

  • @samiumussa1193
    @samiumussa11933 жыл бұрын

    Safi sana bos

  • @mussamgonola3983
    @mussamgonola39833 жыл бұрын

    Safi Sana shabbiby ukogo vizuri sana

  • @rahimdikungule3737
    @rahimdikungule37373 жыл бұрын

    Bonge la point muheshimiwa Shabiby, safari hii nikishuka Dodoma natembea kwa miguu hadi mjini bora mgomo tuu

  • @bsemwaly207
    @bsemwaly2073 жыл бұрын

    Safi sana Mh. Shabibi

  • @joshualaitei6275
    @joshualaitei62753 жыл бұрын

    Wizi huo udhibitiwe haraka Lait mzee angewaona hao wafanyabiashara mambo yangekuwa mazuri

  • @ahmedesmail4488
    @ahmedesmail44883 жыл бұрын

    Safi sana babaaaaa

  • @bettymassanja881
    @bettymassanja8813 жыл бұрын

    Aksante san, kututetea wassfiri.

  • @peterdoisso2414
    @peterdoisso24142 жыл бұрын

    Fedha za watz maskini.Hongera mbunge makini ambaye huna ubinafsi.Mungu akujalie Maisha Marefu.

  • @allynkya265
    @allynkya2652 жыл бұрын

    Hongera mh

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla65043 жыл бұрын

    ❤❤

  • @suleimangaming1907
    @suleimangaming19072 жыл бұрын

    Safiii sanaa mr shabib

  • @erastoshedrack7118
    @erastoshedrack71183 жыл бұрын

    Mamae huu wizi 🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @merickymangula5156
    @merickymangula51563 жыл бұрын

    Jamaa upo vizuri safi sana

  • @rafikkarimomar8202
    @rafikkarimomar82023 ай бұрын

    Hongera sana sema ukweli

  • @mcyudasicqo9610
    @mcyudasicqo96103 жыл бұрын

    Sawa mbunge wetu. Mwanike wa ukaya

  • @zwinaalhabsi664
    @zwinaalhabsi6643 жыл бұрын

    Msema ukweli ni mpenzi wa mungu

  • @richardmgweno3846
    @richardmgweno38463 жыл бұрын

    Hapo mbunge wangu nimekukubali

  • @charleskaflela7115
    @charleskaflela71152 жыл бұрын

    Shabby Mungu akulinde

  • @patrickmukundichalamila3038
    @patrickmukundichalamila30382 жыл бұрын

    Yani tungekua na waheshimwa wabunge kama mzee Shabiby hata 20 aise ingekua 🔥🔥. Kuhusu stend imeniuma sana hasa Songea na Iringa

  • @stevengracphord953
    @stevengracphord9533 жыл бұрын

    Safi Sana kweli unajitahidi huchangii pumba

  • @Commentsplus
    @Commentsplus2 жыл бұрын

    Uko sawa sana

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Жыл бұрын

    Hili Jinga Linalopigapiga Meza Linakera! Ndio Watanzania tunalipa watu wa aina hii. Kaa sikiliza, Hoja Nzuri hazihitaji Kelele zako za Kupiga Meza.

  • @luizabahati5198
    @luizabahati51983 жыл бұрын

    Ila kweli yani juzi dodoma nimeshuka 88 yani nilitamani kulia mchozi..nimepata tabu kweli...gharama...muda..daah

  • @killylevenson1359
    @killylevenson13593 жыл бұрын

    Point sana boss

  • @kyaro5945
    @kyaro59452 жыл бұрын

    Safi sana shabib

  • @ashamalik268
    @ashamalik2683 жыл бұрын

    Sha ver goos

  • @jastinmkandala5620
    @jastinmkandala56203 жыл бұрын

    Sema mzee,nimekupenda bure,umewapa makavu yao

  • @jamaljamala6005
    @jamaljamala60053 жыл бұрын

    👏👏👏

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo28523 жыл бұрын

    Point sana

  • @alloycejames5285
    @alloycejames52853 жыл бұрын

    Hii hoja imetusaidia sana... asante mheshimiwa

  • @cleofasnyoni3836
    @cleofasnyoni38363 жыл бұрын

    Ahsnt sana

  • @rugijofrey3685
    @rugijofrey36853 жыл бұрын

    Kweli huu ni wizi kweli kabisa

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai57443 жыл бұрын

    Mmmmmmh wabunge wabunge!!!!! Mbona toka mwezi jana mmekuwa waongeaji wazur hivyo!

  • @theophilmawe9776
    @theophilmawe97762 ай бұрын

    Shabibi mtu makini sana we need him

  • @tycoon9540
    @tycoon95403 жыл бұрын

    Safi sana Mh Shabiby

  • @saidlwambo1995
    @saidlwambo19952 жыл бұрын

    Mh,Upo sahihi sana.

  • @suleymanally1465
    @suleymanally14652 жыл бұрын

    Hongera shabiby

  • @share966.like.subscribe
    @share966.like.subscribe2 жыл бұрын

    Msikate tamaa ongezeni nguvu humo kuna watu hawana nia nzuri na taifa hili ipo siku mungu atawasikia. Wakikataa kuwasikia

  • @joshuabryson8044
    @joshuabryson80443 жыл бұрын

    Mbunge anaongea mambo muhimu mnoooo,

  • @deohank5995
    @deohank59953 жыл бұрын

    Kila Mara Ninasema NIA NJEMA YENYE MAAMUZI MABOVU!

  • @nikhatkhan8362
    @nikhatkhan83623 жыл бұрын

    Shabiby nakuunga mkono,huyo mbwa wa Latra amelishwa hela ondoa huyo

  • @udechemussa4550
    @udechemussa45503 жыл бұрын

    Fact, mheshimiwa

  • @benderarulenge8898
    @benderarulenge88983 жыл бұрын

    Uko vizuri

  • @christianmgaya3818

    @christianmgaya3818

    3 жыл бұрын

    Sema baba wameiba vyo kutosha

  • @christianmgaya3818

    @christianmgaya3818

    3 жыл бұрын

    Upo vizur shabibiy

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud60012 жыл бұрын

    JOMBII uko vizuri...!

  • @gellysemwali5113
    @gellysemwali51133 жыл бұрын

    Shabibi wetu Safi Sana , waukaya

  • @alexchiwenda9540
    @alexchiwenda95403 жыл бұрын

    Asante sana mh. Shabib kulisemea hili. Wahusika huko serikalini kama wana macho na masikio wayaone na kuyasikia hayo. Abiria tunateseka sana. Mtu analazimishwaje kwenda kupanda basi kilomita 25, nje kabisa ya mji, hakuna huduma muhimu, maduka, nk. Hivi ni kwa kuwa wao hawaioni hiyo adha kwa sababu hawatumii public transport ? Hawana huruma kwa watoto wa ndugu zao, wazee na akina mama wanaotegemea usafiri wa umma ?

  • @fellyfernando4516
    @fellyfernando45162 жыл бұрын

    Heko!..Mh...Shabiby...upo sawa...

  • @vasdalus4579
    @vasdalus45792 жыл бұрын

    🙏🙏🙏

  • @salimliemba3458
    @salimliemba34583 жыл бұрын

    100%

  • @aishkombo6383
    @aishkombo63833 жыл бұрын

    Hatari saana Nchi hii wafanyabiashara walionewa Sana. Mama Samia wanusuru Wafanyabiashara

  • @eliemoses138
    @eliemoses1383 жыл бұрын

    Ooh

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni7013 жыл бұрын

    Nakuunga mkono shabby

  • @kareisindilo2776
    @kareisindilo27763 жыл бұрын

    kiswaga tuliza mpira brother kwani mkono haiumi

Келесі