MBUNGE SHABIBY AWAKA; "PESA YANGU, BASI LANGU, SERIKALI NDIYO INIWEKEE PESA, BIASHARA YA WAPI HII?"
MBUNGE SHABIBY AWAKA; "PESA YANGU, BASI LANGU, SERIKALI NDIYO INIWEKEE PESA, BIASHARA YA WAPI HII?"
Bunge la Tanzania La Jamhuri Ya Muungano Leo May 17, 2021 Limeendelea Na Vikao Vyake Jijini Dodoma Ambapo Wizara Ya Miundombinu Na Ujenzi Imewasilisha Bajeti Yake Na Wabunge Wameendelea Kutoa Maoni na Ushauri Kwa Wizara Hiyo na Mbunge wa Gairo, Ahmed Shabiby ameiwakia serikali.....
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 391
Kama unamuona anae umiza mikono gonga like
Hawa wasema ukweli ndio wanatakiwa kuingia bungeni.hongera sana shabiby
Huyu Shabiby ni mfanyabiashara makini Sana.. hongera Sana Sana.
Kuna mwamba kalipwa na boss anapiga Kofi moja moja😁
@patrickKitambo
3 жыл бұрын
hahahhahaha, yuko makini kwenye kupiga makofi
@mkingaboy550
3 жыл бұрын
Umeona kumbe;😂😂
@husseinchiaseeds2653
3 жыл бұрын
Noma sana
@husseinchiaseeds2653
3 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀 Katoa taarifa kwa msisitizo
@eventelias3566
3 жыл бұрын
Anazingua
Shabiby kachangia vzr km Mbunge sio wale wana mipasho hawana hoja wanasimama kupoteza muda tu
umeongea sana Mr shabiby mungu akuongoze daima kweli kuusu stand niaibu sana naisi hii changamoto IPO mikoa yote ilikua na stand mpya
Umekulaa sanaa viazi ndio maanaa unaakili na hoja nzurii ho hongelaa
Mbunge Makini....Anatema Points Tupu. Salute sana Mheshimiwa.....kwa Wabunge wa Aina hii Upinzani lazima Wapate tabu kupenya.
King of business.....🇴🇲🇹🇿 hongera sana
Hongera sana Mhe.Shabiby kwa mchango wako mzuri umeongea uhalisia na ukweli uliopo. Suala la Stendi hizi kuwa mbali na miji zinatesa sana wananchi hasa wale wasiokuwa na uwezo!
Safi sana shabiby serikali yetu imetengeza mianya ya wizi
Shabiby wewe ni kiongozi mcha mungu na mungu akupe afya na rizki..una moyo wa utu sana
Qhongera muheshimiwa Ahmed shabiby nakukubali sana
Safi Sana Shabiby kwa kuwatetea wanyonge
Mbunge mwenye uwezo wa hali ya juu sana
mungu akuongoze ktk kaz yako mzee SHABBIBY! hongera sana!!!!!!!
Huyo wa Pembeni ni Mbunge au CHAWA wa Shabiby 😂😂😂
@karinokarino3049
3 жыл бұрын
Uyo chawa aiseee maana sio makofi ayo
@mkimbizifelix9674
2 жыл бұрын
Haha
Maa Sha Allah, Shabiby unaongeaga ukweli mtupu. Nilichogundua ni kwamba wanasiasa wengi ni wachumia tumbo. Wanaongea chochote ilimradi matumbo yao yajae bila kujali maslahi ya wananchi wengine.
Jazak Allah kheir Shabiby
Gonga like kwa jirani yake..
shabiby mitano tena 👏👏
Well said Shabiby... Dom wanafunzi kushuka 8 8 upande boda, bajaji, tax adi town ni gharama mnooo
@bishoptvalbert4112
3 жыл бұрын
hi
Mungu Akubariki sana Mzee Shabiby Kwa Kuliona hilo Serikali Ikubari Tu Kwamba Walikosea Na Wazirudishe Hizo Stend Mana Ni Mateso Mno! Mtu Anakwenda Iringa Mjini Unamshusha Igumbilo Kilometer 20 Nyuma Unamuingiza Kwenye Garama Nyingine C Kutesana Uku.
Dah nampenda sana shabiby kwanza anajiamini saaana, dah asipewe uwaziri ili awe anapiga mawaziri
Shukrani Shabiby mambo yanashangaza sana kuhusu hizi stendi zilizo mbali na makazi ya watu zina usumbufu mkubwa
@asteriambwei3349
3 жыл бұрын
Kweli kabisa shabibu kwanini washushe abiria stendi wakati gari inaelekea hukohuko wanakokwenda?hivi kweli serikali kabla ya kutenda haijiongezi ?wakati gari siyo Yao ? Point unafaa uwaziri mama Samia hawa ndio wanaotakiwa uwape uwaziri
nimeipenda sana hiyo taarifa.
Shabiby safi sana umeongea point watu wanatoka mbali walipo na stand ya mabus safi kbsa
Dah hii ni hatariiii Sana mama futa huu wizi
Safi sana shabiby tunanyanyaswa ctend zpombali tukipewa msaada hawataki
Huyu mbunge Ana Akili nyingi sana mmsikilize
Mwenyezi mungu akupe maisha marefu
Ndio maana siku hizi Shabiby hamtoi vinywaji... Oooh... Machine!!
@rugijofrey3685
3 жыл бұрын
Anatoa vinywaji hela iko kwa vendor😂😂
@Bruno-ed1ps
3 жыл бұрын
😀
Shabibyyyyyyyyyyyy,big up
@asteriambwei3349
3 жыл бұрын
Mambo mengi si nyie mnapitisha lakini havifanyiwi kazi pia mnawaumiza watu wa mabasi jirekibisheni serikali
Nakulewa sana mhe. Shabiby. Hongera
Uyu anaipiga Kofi anazingua aiseee😂😂
@abufauzan9417
3 жыл бұрын
Watu wanazingua kweli
@abufauzan9417
3 жыл бұрын
Nitabu tupu
@DominicMyumbilwa
3 жыл бұрын
Ashakula Gongo
Vita kawaw ulikukuw umelala shabb kashakutajia idadi ya stand haraf we unatoa taarifa kweli hebu kuw Makin kuwasikiliza wenye hoja za mashik( shabib kataj Dom, iringa na songea we hukusikia?)
@archdauzanliwenga
2 жыл бұрын
Hata hayupo makini huyu mbunge Vita,
Mbunge wAngu MWENYE akili zake😂
thanks so much father God bless you Good point
@thomastarimo
Жыл бұрын
Yani sasa hivi kuna ushetani mkubwa sasa hivi ni bora mmejionea hayo nyiye wenyewe alafu kuna msamiati unasema wawekezaji labda mwekezaji kicha
Sema Shabib sema kwa sauti
mh shabiby yupo sahihi kabisah suala la stand na umbali linatutesa
😂 😂 😂 😂 wewe inakuuma nn wewe wakati huna hata basi
Kweli Shabiby hapo kwenye kushusha abiria stend mbali na gari linaenda huko huko mjini kweeeli tunateseka Sana Sena baba abiria tupone
Shabby kaka tuwasiliane leo umeeleweka kaka
Pongezi shabiby kweli uko vizuri sana salamu zako zimefika
Hongera mbunge.
Well said Mr MP..
Salute mzee
Safi sana bos
Safi Sana shabbiby ukogo vizuri sana
Bonge la point muheshimiwa Shabiby, safari hii nikishuka Dodoma natembea kwa miguu hadi mjini bora mgomo tuu
Safi sana Mh. Shabibi
Wizi huo udhibitiwe haraka Lait mzee angewaona hao wafanyabiashara mambo yangekuwa mazuri
Safi sana babaaaaa
Aksante san, kututetea wassfiri.
Fedha za watz maskini.Hongera mbunge makini ambaye huna ubinafsi.Mungu akujalie Maisha Marefu.
Hongera mh
❤❤
Safiii sanaa mr shabib
Mamae huu wizi 🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Jamaa upo vizuri safi sana
Hongera sana sema ukweli
Sawa mbunge wetu. Mwanike wa ukaya
Msema ukweli ni mpenzi wa mungu
Hapo mbunge wangu nimekukubali
Shabby Mungu akulinde
Yani tungekua na waheshimwa wabunge kama mzee Shabiby hata 20 aise ingekua 🔥🔥. Kuhusu stend imeniuma sana hasa Songea na Iringa
Safi Sana kweli unajitahidi huchangii pumba
Uko sawa sana
Hili Jinga Linalopigapiga Meza Linakera! Ndio Watanzania tunalipa watu wa aina hii. Kaa sikiliza, Hoja Nzuri hazihitaji Kelele zako za Kupiga Meza.
Ila kweli yani juzi dodoma nimeshuka 88 yani nilitamani kulia mchozi..nimepata tabu kweli...gharama...muda..daah
Point sana boss
Safi sana shabib
Sha ver goos
Sema mzee,nimekupenda bure,umewapa makavu yao
👏👏👏
Point sana
Hii hoja imetusaidia sana... asante mheshimiwa
Ahsnt sana
Kweli huu ni wizi kweli kabisa
Mmmmmmh wabunge wabunge!!!!! Mbona toka mwezi jana mmekuwa waongeaji wazur hivyo!
Shabibi mtu makini sana we need him
Safi sana Mh Shabiby
Mh,Upo sahihi sana.
Hongera shabiby
Msikate tamaa ongezeni nguvu humo kuna watu hawana nia nzuri na taifa hili ipo siku mungu atawasikia. Wakikataa kuwasikia
Mbunge anaongea mambo muhimu mnoooo,
Kila Mara Ninasema NIA NJEMA YENYE MAAMUZI MABOVU!
Shabiby nakuunga mkono,huyo mbwa wa Latra amelishwa hela ondoa huyo
Fact, mheshimiwa
Uko vizuri
@christianmgaya3818
3 жыл бұрын
Sema baba wameiba vyo kutosha
@christianmgaya3818
3 жыл бұрын
Upo vizur shabibiy
JOMBII uko vizuri...!
Shabibi wetu Safi Sana , waukaya
Asante sana mh. Shabib kulisemea hili. Wahusika huko serikalini kama wana macho na masikio wayaone na kuyasikia hayo. Abiria tunateseka sana. Mtu analazimishwaje kwenda kupanda basi kilomita 25, nje kabisa ya mji, hakuna huduma muhimu, maduka, nk. Hivi ni kwa kuwa wao hawaioni hiyo adha kwa sababu hawatumii public transport ? Hawana huruma kwa watoto wa ndugu zao, wazee na akina mama wanaotegemea usafiri wa umma ?
Heko!..Mh...Shabiby...upo sawa...
🙏🙏🙏
100%
Hatari saana Nchi hii wafanyabiashara walionewa Sana. Mama Samia wanusuru Wafanyabiashara
Ooh
Nakuunga mkono shabby
kiswaga tuliza mpira brother kwani mkono haiumi