MPINA AIBUA 'VARANGATI' BUNGENI, AMTAJA WAZIRI MKUU, SPIKA Amtaka Alete USHAHIDI
MPINA AIBUA 'VARANGATI' BUNGENI, AMTAJA WAZIRI MKUU, SPIKA Amtaka Alete USHAHIDI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 364
Mpina ni mbunge wangu Wa jimbo la kisesa, Hongera sana Saizi ushakuwa jembe Usiogope tuko nyuma yako❤❤
Yaani speaker Tulia unajua sana na hongera sana upo vizuri sana ,yaani wewe dada upo vizuri sana nakupenda bure ,unajibu hoja vizuri sana
Mungu akubariki Mh Mpina.
Hongera mbunge mplna tungewapa watano kama nyingi tuko mbali sana
Hongera sana dr tulia. Nafasi alokupa mungu inakustahili kabs, pia mpina mungu akuongezee confidence ulonayo kutetea wananchi
Wabunge wanafanya utoto😢😢😢
Hongera Mpina hapa wabunge wengine hata kufuatilia cho chote. Wanataka kuwa wachawa tu kwa kweli hali ya hili bunge lake ni dharau tu wanatutendea maovu mengi.
Hongera sana Mbunge Mpina.Tunahitaji kuwa wakweli na wawazi sio makofi tu.Haileti maana yoyote.Hatutajenga Taifa hili kwa style hiyo
Spika wetu nakupenda Sana asa unapotoa maelekezo nimempenda upivyomjibu jenista muagama huyu kazi yake ni kuwazuia wabunge kusema!!! Hongera mh spika wetu!!!
Dr Tulia is one of best speaker in this country big up madam ur right mauwa yako chukua una umakini ulio pitiliza mpina yupo right tulia yupo right ila hao wengine wame rukia gar kwa mbele na kukosa umakini hasa huyu jenista kwanza ana poteza mda😂😂😂😂😂
Bunge hili jmn kidg nitukane walah mungu nipe uvumiliv . Limekuw bunge lakutetea viongoz na cy lakutetea wananchi . Mpina mungu akulinde sana upo sahihi
Hongera Mh.sipika kwa uchambuzi wa kina
SAFI SANA SPIKA UKO SAHIHI.SIMAMIA HAKI NA UKWELI.MUNGU AKUBARIKI
Hongera Mhe Mpina, Hakika una uwezo mkubwa sana, umewapiga kwa hoja mpaka wametulia! Na hongera kwa Mhe Spika wa Bunge, unachambua hoja vizuri sana!
@pendokimathi99
10 ай бұрын
Mpina kuna watu pia wanauwawa ngorongoro pia hao uwazungumzie hongera kwa mada yako
@gagalinodenatrick1652
4 ай бұрын
Kiukweli huyu spika akigombea urais naenda kupiga kura anatenda sana haki
Huyo mama jenista kazi yake kubwa ni hii kweli...ameumia sana kuhusu kauli hiyo
Muhagama anapoteza muda wa mh Mpina. Spika umeelewaka vizuri sana.
Jenista soma hata mitandaoni uone uachoeleza na Cha mpina, we unge tulia tyuuu mama angu, na Mungu akupe umri haraka haraka Ili.....
Ndo nimegundua kuwa ili bunge limejaa wa kupiga makofi bila kuelewa Nini kinaongeleka Hongera sana Mpina lkn Pia Speaker mtu makini sana salute kwako
@patsonanyitike9584
4 ай бұрын
Mpn Doo mmbunge peke yake
@zephreinsuleimanpriciselyu5223
3 ай бұрын
Yaani kama huyu Anaejiita Jenister ni hovyoo kabisa Mpina excellent
Mpina upo vizuri hla nchi yetu hii utakufa mapema ukiwa na msimamo kama huo ndugu yangu ww chakufanya jaribu kula na kipovu kwasababu hao hao wanao piga makofi ndiyo wasaliti .
@jumanesaidi7635
8 ай бұрын
Haya makofi, yana maana gani?
Mpina ubunge unautendea kazi mungu akubariki ,,,bila kksahau spika wa bungu you are so bright at all
Hongera mhe mpina kusimamia ukweli ni bora kuliko makofi mengi!
Mh. Yuko sahihi ujawahi shindwa mungu akubariki
@Msafirimzigwa
Ай бұрын
Mim ninaiman kunawabunge awajielewi na awajui majukum yao
spika kwel kaiva kisawa sawa kwakwel nakubali sana
Hapa nimemkubali sana Mh. Spika, kwanza ni msikilizaji mzuri sana, ilibidi nirudi nyuma kusikiliza hoja ya Mh.Mpina vizuri..She is so much brilliant. Yaani hoja ni moja tu kama kama maelekezo yalitolewa na Waziri Mkuu yamefatwa ama laa
@magesagambajr3546
6 ай бұрын
Speaker,of course she's bright leader
Asante mh spika apo ni sawa
Professional speaker i love you my dear good day you stand with Tanzanias citizen
Uko vizuri sana Mhe.spika
Wewe Ndumaro siku zote unapenda kuongerea kujipendekeza na wote ni wapiga makofi tu. Sasa hapa kuna bunge au ni vitu vya ajabu sana. Hata sisi wanainchi hatuoni kama tuna wabunge wakiwa hatuna wawakilishi wo wote. Mpina ndiye peke yake anakumbuka wanainchi waliowapeleka bungeni lakini wengine hamna habari na sisi wanainchi
Jenista Umepuyanga kipumbavu mno
Hongera ndugu mbunge Mpina
Mpina ndiye mbunge pekee aliyebaki mwenye ideology ya Magifuli ya kuwatetea wananchi.
@gracemima5234
Жыл бұрын
Kabisa. Samahani nikisema karibu wabunge wote ni mazuzu. Hawako bungeni kutetea wananchi zaidi ya matumbo yawo
Mpina usirudi nyuma, ni wengi mno tunaokuunga mkono
@mpajibinaisa7238
8 ай бұрын
Big up sana kwako spikia kwa ufafanuzi huo nimekuelewa sana
Waziri wa Mali Asili na Utalii alitakiwa kumpa Mbunge taarifa ya hoja...siyo kazi yake kumtetea Waziri Mkuu...waziri Mkuu analindwa na Kanuni.
Safi sana spika makini .
Hongera sana Mh.Spika uko vizuri sana.
Safi mpina
Hongera spika hongera mpina
Hivi kwanini? Mpange kununua tugoma twangozi hamoni kwamba wengine wanaiga kupiga ngoma
@CharlesSomeke-ml7ju
Ай бұрын
😂😂😂😂😂
Mungu aipe Tanzania viongozi wakuwatetea watanzania. Kwa woga tulio nawo viongozi wengi hawafanyi Kazi zawo kwa faida ya watanzania, bali kutetea nafasi zawo na kujishibisha wenyewe. Wabunge walizko bungeni kwa kutetea haki za watanzania kimya. Hawana hata AIBU kupiga męża kumpinga Mpina mutetezi wa watanzania. Hawa jeśli tuwaite vyula viziwi.
Spika uko vizuri umemjibu vizuri jenesta muhagama. Jenesta muhagama anatetea kiti na si point. Mawaziri wameisha jijengea tabia ya kuteteana bila kujali matakwa ya inchi
Mpina wetu,Hongera sana!!!
Asante mbunge kutusemea wafugaji
Kweli kabisa nakuelewa vizuri kwa sababu wabunge wengine wako kama wachawa tu. Kama ninyi mmetuchoka wanainchi ondokeni bungeni tuweke wengine kabisa. Sasa katika hayo tatizo la Mpina amekosea wapi?
@pendokimathi99
10 ай бұрын
Umo ndani kuna wabunge vichaaaa na chawa wa viongozi sasa tunalitumia bunge ujumbe tukutane mtaani 2025 mpina waache wakae wakijua mbabe bado yupo anachoongea mpina yupo sahihiiiiii
wew mama unamtea waziri afwatirii ndio oja ya mpina umepewa nafasi nyingine yakuongea bado unaongea utombo
Asante sana sipika kuto kuwa na upande
🎉yaani spika umepewe maua yako katika hila ,Jenesta Mungu anakuona
Ahsante sana muheshiwa spika
Tanzani ya Samia imekuwa mateso kwa watu wa chini. Viongozi wetu ikiwa pamoja na wabunge hawawajali kabisa watu wa chini.
Spika wa bunge wazaz wako washukuriwe maana ela ya shule waliitoa kwa jasho lao sio za kuchota kama wengneo swaaa
@kudratkadawi6881
Жыл бұрын
Kabisaaa
@luhanyamipawantobi6888
Жыл бұрын
Yaan natamani kuwa namtoto wahivi mimi
Mnalindana kisa vyeo mpeni lukusa mpina mpina hongera mungu akulinde
Shida sana Hawa,hiko ndo walichokiona,hapa mbona rahisi tu,kama rrais kakataza kwa cheo chake alichonacho,na kitu hiko bado kinafanyika basi raisi karuhusu,
Tulia ni kiongozi bora sana
@ruthsimon5846
Ай бұрын
Sana!
Ubarikiwe sana spika
Inasikitisha sana
Jenester hana hoja, maelezo ya spika kuhusu mchango wa Mpina yapo sawa.
Hongera kipenz Cha watu
Jenista kikwazo sana. Kuna mawaziri shida na mizigo.
Watu wengine wapo kama watu sijui kwa nini hao watu wapo
Mm nawashangaa wabunge wa Tanzania wanashabikia ujinga
Safi sanaaa spikaa Umeongea vzr.Lazima kuwatetea wabunge wanaotoa hoja nzr zina na hata km zinamgusa kiongozi ndio demokrasia hiyo tuvumilie
HakiKa mpina uko vizuli kwelikweli Upo makini na unaonesha ni kiongozi mahili usiye ogopa sula ya Mtu na unajikita Kwenye haki kwelikweli
Dhuluma haijengi haifai kudhulumu muogopeni mungu
Mh. spika Wabunge Waelewe Mpina Anazungumza Ukweli , Chaguzi Zetu Kama Waziri , Anajibizana na Mbunge Hoja Aslimia Kubwa Huku Mitaani kila Mtu Anafanya Kazi.
Huyu mama ni mnafiki sana na habadiliki ninafikiri unafiki huo alizaliwa nao
HONGERA SANA MH.TULIA KWA SASA UNAITENDEA HAKI TAALUMA YAKO HONGERA SANA!!! URAIS WAKO WA DUNIA UNAKUSTAHILI SANA.
@GeraldLembris-jr3yz
6 ай бұрын
Kabisa kaka
Asante mh Spika kwa kukitendea haki kiti Ongera
Ni mmoja ya mbuge ambaye wananchi wake wanajivunia kuwa na mbunge imara na mtulivu hongera saana damu ya kisukuma kwa utumishi mzur
Hongera spika nakufutilia kwa karibu sana hebu wamuache mpinaachngie jamani
SAFI MPINAAAA
Mpina yupo sahihi kabisa
Wanapiga makofi wanataka hawaoni jinsi wananchi wanaumizwa ,na askari wa tanapa wanaopiga makofi wapokwa masilahi Yao na kupiga makofi wakitaka uteuzi
Naona wizuu mm mwenzenu natamani mpina angekuwa mbunge wangu
Spika anaakili sana
Mpina upo sahihi pamoja namachawa kuwa wemgi
Alicho kifanya mwigwilu 7:38 Mhhh
Mpina Mpina Mpina . Mungu yupo na wewe
Mnapiga makofi watu wanaumia na mali zao nadhani kuna uwezo wa kiutendaji na uwezo wa kufikiri kwa pamoja tembeleeni maeneo na wananchi husika ndio muongee
Mawaziri hawezi kujibu maswali. Wabunge wanapiga makofi kwa kila jambo yaan hawaeleweki lipj wanalipigania lipi wanahitaji. Hatuna bunge. It is just a meeting of a few people making money for nothing . It is shameful.
Bunge fuata upepo, so sad kwa kweli 😮,hebu tuwe wakweli wananchi waliopo huku field ndo tunajua ukweli wa mambo,hv tuna mawaziri na wabunge wasiyojua kupambanua mambo kwa kiasi hiki!?
Unatetea hoja hadi unaona aibu mwenyewe mbadidike wabunge wa namnahiyo hamtufai katika taifa letu mpina upo sawa
Tunahitaji wabunge wanaotetea kusemea wananchi magumu wanayoyapitia sio wabunge wapiga makofi.
Kuna watoto ndani ya ukumbi wa bunge Mazezeta yanafunga meza badala ya kutetea hoja
Mpina anasema uchungu wa watanzania.
Jamani mpeni aendelee
Kama hayo ni kweli mhe Mpina hakika uko sahihi na Mungu atakulipa.
Mpina hoyeee
Wewe mama hizo ng'ombe huuzwa kihalali!
Leo ndio imedhihirisha Wabunge wetu wengi hovyo ila Spika yupo vizuri sana
bunge limejaa wapiga makofii,ni aibu...as if ni kikundi flan cha watu waliojimilikisha nchi
Hamjitambui , mpina oyeee
Tuna viongozi mshahara, critical thinking hakuna
😂😂😂😂😂 nicheke mie, eti bunge tukufuu!! Wote wezi watupu.
Sasa kama waziri mkuu anatoa maagizo arafu hayatekerezeki na yeye nimmoja wao Kwenye tatizo ndomana ndomana hayatekelezeki🎉
Ukweli wabunge hawana heshima kumdhalilisha mubunge anapo toa hotuba spika binafsi naomba ukemee tabia hii
spika anafaa sana
Hapo kweli panabunge kwa makofi bila utaratibu
Hayo majuha yanapiga makofi hata kuchangia hayachangii .
Asaiv hatuna bunge tunakikos cha ufisad kiukwel wachache sana ambao wapo na wanannch walio weng niwachumia tumbo
Kuna wakati ukifanya.maamuzi.kama kiongozi usiangalie kule kuna mtoto wa shangazi ilimradi anasimamia utumbo wa kuangamiza wengi zibua don't accept double standard mtavuna laana badala ya baraka
Mpina hapo hakuna wabunge wapo maga tu😁😁