MPINA AIBUA 'VARANGATI' BUNGENI, AMTAJA WAZIRI MKUU, SPIKA Amtaka Alete USHAHIDI

MPINA AIBUA 'VARANGATI' BUNGENI, AMTAJA WAZIRI MKUU, SPIKA Amtaka Alete USHAHIDI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 364

  • @zephreinsuleimanpriciselyu5223
    @zephreinsuleimanpriciselyu52233 ай бұрын

    Mpina ni mbunge wangu Wa jimbo la kisesa, Hongera sana Saizi ushakuwa jembe Usiogope tuko nyuma yako❤❤

  • @Elimunamalezi
    @Elimunamalezi Жыл бұрын

    Yaani speaker Tulia unajua sana na hongera sana upo vizuri sana ,yaani wewe dada upo vizuri sana nakupenda bure ,unajibu hoja vizuri sana

  • @agnessangawe3844
    @agnessangawe3844Ай бұрын

    Mungu akubariki Mh Mpina.

  • @user-gg1ef9gc3t
    @user-gg1ef9gc3t6 ай бұрын

    Hongera mbunge mplna tungewapa watano kama nyingi tuko mbali sana

  • @GeraldLembris-jr3yz
    @GeraldLembris-jr3yz6 ай бұрын

    Hongera sana dr tulia. Nafasi alokupa mungu inakustahili kabs, pia mpina mungu akuongezee confidence ulonayo kutetea wananchi

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 Жыл бұрын

    Wabunge wanafanya utoto😢😢😢

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro666210 ай бұрын

    Hongera Mpina hapa wabunge wengine hata kufuatilia cho chote. Wanataka kuwa wachawa tu kwa kweli hali ya hili bunge lake ni dharau tu wanatutendea maovu mengi.

  • @user-ps6wm2qm4f
    @user-ps6wm2qm4fАй бұрын

    Hongera sana Mbunge Mpina.Tunahitaji kuwa wakweli na wawazi sio makofi tu.Haileti maana yoyote.Hatutajenga Taifa hili kwa style hiyo

  • @user-sk1xp8of6x
    @user-sk1xp8of6xАй бұрын

    Spika wetu nakupenda Sana asa unapotoa maelekezo nimempenda upivyomjibu jenista muagama huyu kazi yake ni kuwazuia wabunge kusema!!! Hongera mh spika wetu!!!

  • @daudwilliam2326
    @daudwilliam2326Ай бұрын

    Dr Tulia is one of best speaker in this country big up madam ur right mauwa yako chukua una umakini ulio pitiliza mpina yupo right tulia yupo right ila hao wengine wame rukia gar kwa mbele na kukosa umakini hasa huyu jenista kwanza ana poteza mda😂😂😂😂😂

  • @mokeya
    @mokeya6 ай бұрын

    Bunge hili jmn kidg nitukane walah mungu nipe uvumiliv . Limekuw bunge lakutetea viongoz na cy lakutetea wananchi . Mpina mungu akulinde sana upo sahihi

  • @danielmkulat1598
    @danielmkulat1598 Жыл бұрын

    Hongera Mh.sipika kwa uchambuzi wa kina

  • @agnessangawe3844
    @agnessangawe3844Ай бұрын

    SAFI SANA SPIKA UKO SAHIHI.SIMAMIA HAKI NA UKWELI.MUNGU AKUBARIKI

  • @Luhende1
    @Luhende1 Жыл бұрын

    Hongera Mhe Mpina, Hakika una uwezo mkubwa sana, umewapiga kwa hoja mpaka wametulia! Na hongera kwa Mhe Spika wa Bunge, unachambua hoja vizuri sana!

  • @pendokimathi99

    @pendokimathi99

    10 ай бұрын

    Mpina kuna watu pia wanauwawa ngorongoro pia hao uwazungumzie hongera kwa mada yako

  • @gagalinodenatrick1652

    @gagalinodenatrick1652

    4 ай бұрын

    Kiukweli huyu spika akigombea urais naenda kupiga kura anatenda sana haki

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting71808 ай бұрын

    Huyo mama jenista kazi yake kubwa ni hii kweli...ameumia sana kuhusu kauli hiyo

  • @marianmartin7483
    @marianmartin74832 ай бұрын

    Muhagama anapoteza muda wa mh Mpina. Spika umeelewaka vizuri sana.

  • @prosperjohn2047
    @prosperjohn20476 ай бұрын

    Jenista soma hata mitandaoni uone uachoeleza na Cha mpina, we unge tulia tyuuu mama angu, na Mungu akupe umri haraka haraka Ili.....

  • @magesagambajr3546
    @magesagambajr35466 ай бұрын

    Ndo nimegundua kuwa ili bunge limejaa wa kupiga makofi bila kuelewa Nini kinaongeleka Hongera sana Mpina lkn Pia Speaker mtu makini sana salute kwako

  • @patsonanyitike9584

    @patsonanyitike9584

    4 ай бұрын

    Mpn Doo mmbunge peke yake

  • @zephreinsuleimanpriciselyu5223

    @zephreinsuleimanpriciselyu5223

    3 ай бұрын

    Yaani kama huyu Anaejiita Jenister ni hovyoo kabisa Mpina excellent

  • @zesootv6726
    @zesootv6726 Жыл бұрын

    Mpina upo vizuri hla nchi yetu hii utakufa mapema ukiwa na msimamo kama huo ndugu yangu ww chakufanya jaribu kula na kipovu kwasababu hao hao wanao piga makofi ndiyo wasaliti .

  • @jumanesaidi7635

    @jumanesaidi7635

    8 ай бұрын

    Haya makofi, yana maana gani?

  • @MasanyiwaDeus
    @MasanyiwaDeus3 ай бұрын

    Mpina ubunge unautendea kazi mungu akubariki ,,,bila kksahau spika wa bungu you are so bright at all

  • @Yohanarhobi
    @Yohanarhobi12 күн бұрын

    Hongera mhe mpina kusimamia ukweli ni bora kuliko makofi mengi!

  • @JosephLukumaiLukumai
    @JosephLukumaiLukumai8 ай бұрын

    Mh. Yuko sahihi ujawahi shindwa mungu akubariki

  • @Msafirimzigwa

    @Msafirimzigwa

    Ай бұрын

    Mim ninaiman kunawabunge awajielewi na awajui majukum yao

  • @Trys6254
    @Trys6254 Жыл бұрын

    spika kwel kaiva kisawa sawa kwakwel nakubali sana

  • @DealDeskPro
    @DealDeskPro Жыл бұрын

    Hapa nimemkubali sana Mh. Spika, kwanza ni msikilizaji mzuri sana, ilibidi nirudi nyuma kusikiliza hoja ya Mh.Mpina vizuri..She is so much brilliant. Yaani hoja ni moja tu kama kama maelekezo yalitolewa na Waziri Mkuu yamefatwa ama laa

  • @magesagambajr3546

    @magesagambajr3546

    6 ай бұрын

    Speaker,of course she's bright leader

  • @herielinassary3645
    @herielinassary36458 ай бұрын

    Asante mh spika apo ni sawa

  • @ClementJacob-sd8lf
    @ClementJacob-sd8lfАй бұрын

    Professional speaker i love you my dear good day you stand with Tanzanias citizen

  • @ahmadmlima8155
    @ahmadmlima8155 Жыл бұрын

    Uko vizuri sana Mhe.spika

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro666210 ай бұрын

    Wewe Ndumaro siku zote unapenda kuongerea kujipendekeza na wote ni wapiga makofi tu. Sasa hapa kuna bunge au ni vitu vya ajabu sana. Hata sisi wanainchi hatuoni kama tuna wabunge wakiwa hatuna wawakilishi wo wote. Mpina ndiye peke yake anakumbuka wanainchi waliowapeleka bungeni lakini wengine hamna habari na sisi wanainchi

  • @sethkivuyo3342
    @sethkivuyo33429 ай бұрын

    Jenista Umepuyanga kipumbavu mno

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro666210 ай бұрын

    Hongera ndugu mbunge Mpina

  • @malcomx4067
    @malcomx4067 Жыл бұрын

    Mpina ndiye mbunge pekee aliyebaki mwenye ideology ya Magifuli ya kuwatetea wananchi.

  • @gracemima5234

    @gracemima5234

    Жыл бұрын

    Kabisa. Samahani nikisema karibu wabunge wote ni mazuzu. Hawako bungeni kutetea wananchi zaidi ya matumbo yawo

  • @josephatdunda1937
    @josephatdunda1937 Жыл бұрын

    Mpina usirudi nyuma, ni wengi mno tunaokuunga mkono

  • @mpajibinaisa7238

    @mpajibinaisa7238

    8 ай бұрын

    Big up sana kwako spikia kwa ufafanuzi huo nimekuelewa sana

  • @juliusmartin1839
    @juliusmartin1839 Жыл бұрын

    Waziri wa Mali Asili na Utalii alitakiwa kumpa Mbunge taarifa ya hoja...siyo kazi yake kumtetea Waziri Mkuu...waziri Mkuu analindwa na Kanuni.

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 Жыл бұрын

    Safi sana spika makini .

  • @emmanuelmasele9585
    @emmanuelmasele95852 ай бұрын

    Hongera sana Mh.Spika uko vizuri sana.

  • @ommyregga5829
    @ommyregga5829 Жыл бұрын

    Safi mpina

  • @MohamedBlanker-jw9qy
    @MohamedBlanker-jw9qy9 ай бұрын

    Hongera spika hongera mpina

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038Ай бұрын

    Hivi kwanini? Mpange kununua tugoma twangozi hamoni kwamba wengine wanaiga kupiga ngoma

  • @CharlesSomeke-ml7ju

    @CharlesSomeke-ml7ju

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2imАй бұрын

    Mungu aipe Tanzania viongozi wakuwatetea watanzania. Kwa woga tulio nawo viongozi wengi hawafanyi Kazi zawo kwa faida ya watanzania, bali kutetea nafasi zawo na kujishibisha wenyewe. Wabunge walizko bungeni kwa kutetea haki za watanzania kimya. Hawana hata AIBU kupiga męża kumpinga Mpina mutetezi wa watanzania. Hawa jeśli tuwaite vyula viziwi.

  • @robinsonpaschal8550
    @robinsonpaschal85503 ай бұрын

    Spika uko vizuri umemjibu vizuri jenesta muhagama. Jenesta muhagama anatetea kiti na si point. Mawaziri wameisha jijengea tabia ya kuteteana bila kujali matakwa ya inchi

  • @jacksonmwakasege6210
    @jacksonmwakasege62105 ай бұрын

    Mpina wetu,Hongera sana!!!

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi1098 ай бұрын

    Asante mbunge kutusemea wafugaji

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro666210 ай бұрын

    Kweli kabisa nakuelewa vizuri kwa sababu wabunge wengine wako kama wachawa tu. Kama ninyi mmetuchoka wanainchi ondokeni bungeni tuweke wengine kabisa. Sasa katika hayo tatizo la Mpina amekosea wapi?

  • @pendokimathi99

    @pendokimathi99

    10 ай бұрын

    Umo ndani kuna wabunge vichaaaa na chawa wa viongozi sasa tunalitumia bunge ujumbe tukutane mtaani 2025 mpina waache wakae wakijua mbabe bado yupo anachoongea mpina yupo sahihiiiiii

  • @NwakaMwangajapho-p3h
    @NwakaMwangajapho-p3h2 күн бұрын

    wew mama unamtea waziri afwatirii ndio oja ya mpina umepewa nafasi nyingine yakuongea bado unaongea utombo

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109Ай бұрын

    Asante sana sipika kuto kuwa na upande

  • @gustavrwekaza802
    @gustavrwekaza8023 ай бұрын

    🎉yaani spika umepewe maua yako katika hila ,Jenesta Mungu anakuona

  • @prosperjohn2047
    @prosperjohn20476 ай бұрын

    Ahsante sana muheshiwa spika

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Жыл бұрын

    Tanzani ya Samia imekuwa mateso kwa watu wa chini. Viongozi wetu ikiwa pamoja na wabunge hawawajali kabisa watu wa chini.

  • @diomedesmwesiga4007
    @diomedesmwesiga4007 Жыл бұрын

    Spika wa bunge wazaz wako washukuriwe maana ela ya shule waliitoa kwa jasho lao sio za kuchota kama wengneo swaaa

  • @kudratkadawi6881

    @kudratkadawi6881

    Жыл бұрын

    Kabisaaa

  • @luhanyamipawantobi6888

    @luhanyamipawantobi6888

    Жыл бұрын

    Yaan natamani kuwa namtoto wahivi mimi

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038Ай бұрын

    Mnalindana kisa vyeo mpeni lukusa mpina mpina hongera mungu akulinde

  • @simonchristian6319
    @simonchristian631913 күн бұрын

    Shida sana Hawa,hiko ndo walichokiona,hapa mbona rahisi tu,kama rrais kakataza kwa cheo chake alichonacho,na kitu hiko bado kinafanyika basi raisi karuhusu,

  • @laurentmichael8124
    @laurentmichael8124Ай бұрын

    Tulia ni kiongozi bora sana

  • @ruthsimon5846

    @ruthsimon5846

    Ай бұрын

    Sana!

  • @sarahkingunza1516
    @sarahkingunza1516Ай бұрын

    Ubarikiwe sana spika

  • @williamnyakasi2323
    @williamnyakasi2323Ай бұрын

    Inasikitisha sana

  • @victorsanga2229
    @victorsanga22292 ай бұрын

    Jenester hana hoja, maelezo ya spika kuhusu mchango wa Mpina yapo sawa.

  • @charlesmarco248
    @charlesmarco2483 ай бұрын

    Hongera kipenz Cha watu

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm5 ай бұрын

    Jenista kikwazo sana. Kuna mawaziri shida na mizigo.

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting71808 ай бұрын

    Watu wengine wapo kama watu sijui kwa nini hao watu wapo

  • @KasangaKalanga-vo6od
    @KasangaKalanga-vo6od Жыл бұрын

    Mm nawashangaa wabunge wa Tanzania wanashabikia ujinga

  • @andrew29468
    @andrew2946810 ай бұрын

    Safi sanaaa spikaa Umeongea vzr.Lazima kuwatetea wabunge wanaotoa hoja nzr zina na hata km zinamgusa kiongozi ndio demokrasia hiyo tuvumilie

  • @nangugu1657
    @nangugu16578 ай бұрын

    HakiKa mpina uko vizuli kwelikweli Upo makini na unaonesha ni kiongozi mahili usiye ogopa sula ya Mtu na unajikita Kwenye haki kwelikweli

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Жыл бұрын

    Dhuluma haijengi haifai kudhulumu muogopeni mungu

  • @WILLIAMCHINA
    @WILLIAMCHINA10 ай бұрын

    Mh. spika Wabunge Waelewe Mpina Anazungumza Ukweli , Chaguzi Zetu Kama Waziri , Anajibizana na Mbunge Hoja Aslimia Kubwa Huku Mitaani kila Mtu Anafanya Kazi.

  • @uwezomayonko5101
    @uwezomayonko51018 ай бұрын

    Huyu mama ni mnafiki sana na habadiliki ninafikiri unafiki huo alizaliwa nao

  • @FrankMwakatundu-cu6bd
    @FrankMwakatundu-cu6bd6 ай бұрын

    HONGERA SANA MH.TULIA KWA SASA UNAITENDEA HAKI TAALUMA YAKO HONGERA SANA!!! URAIS WAKO WA DUNIA UNAKUSTAHILI SANA.

  • @GeraldLembris-jr3yz

    @GeraldLembris-jr3yz

    6 ай бұрын

    Kabisa kaka

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala33034 ай бұрын

    Asante mh Spika kwa kukitendea haki kiti Ongera

  • @manaxelukama2926
    @manaxelukama2926Ай бұрын

    Ni mmoja ya mbuge ambaye wananchi wake wanajivunia kuwa na mbunge imara na mtulivu hongera saana damu ya kisukuma kwa utumishi mzur

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796Ай бұрын

    Hongera spika nakufutilia kwa karibu sana hebu wamuache mpinaachngie jamani

  • @emmanuelmodest7457
    @emmanuelmodest7457Ай бұрын

    SAFI MPINAAAA

  • @emanuelkidali9733
    @emanuelkidali9733Ай бұрын

    Mpina yupo sahihi kabisa

  • @ngomaagustino5826
    @ngomaagustino5826 Жыл бұрын

    Wanapiga makofi wanataka hawaoni jinsi wananchi wanaumizwa ,na askari wa tanapa wanaopiga makofi wapokwa masilahi Yao na kupiga makofi wakitaka uteuzi

  • @GodloveTyoe-fv8or
    @GodloveTyoe-fv8or2 күн бұрын

    Naona wizuu mm mwenzenu natamani mpina angekuwa mbunge wangu

  • @timothalex3249
    @timothalex3249 Жыл бұрын

    Spika anaakili sana

  • @jofreysaimoni4964
    @jofreysaimoni49646 ай бұрын

    Mpina upo sahihi pamoja namachawa kuwa wemgi

  • @badruyassin7157
    @badruyassin7157 Жыл бұрын

    Alicho kifanya mwigwilu 7:38 Mhhh

  • @suleimanmnondwa9794
    @suleimanmnondwa9794Ай бұрын

    Mpina Mpina Mpina . Mungu yupo na wewe

  • @omaryjudasymwanga7172
    @omaryjudasymwanga717210 ай бұрын

    Mnapiga makofi watu wanaumia na mali zao nadhani kuna uwezo wa kiutendaji na uwezo wa kufikiri kwa pamoja tembeleeni maeneo na wananchi husika ndio muongee

  • @letustalk.tuongee2186
    @letustalk.tuongee2186 Жыл бұрын

    Mawaziri hawezi kujibu maswali. Wabunge wanapiga makofi kwa kila jambo yaan hawaeleweki lipj wanalipigania lipi wanahitaji. Hatuna bunge. It is just a meeting of a few people making money for nothing . It is shameful.

  • @ManaseJubilate-kk2gz
    @ManaseJubilate-kk2gz Жыл бұрын

    Bunge fuata upepo, so sad kwa kweli 😮,hebu tuwe wakweli wananchi waliopo huku field ndo tunajua ukweli wa mambo,hv tuna mawaziri na wabunge wasiyojua kupambanua mambo kwa kiasi hiki!?

  • @eliasnshashi3196
    @eliasnshashi319624 күн бұрын

    Unatetea hoja hadi unaona aibu mwenyewe mbadidike wabunge wa namnahiyo hamtufai katika taifa letu mpina upo sawa

  • @ChristerShao
    @ChristerShao6 ай бұрын

    Tunahitaji wabunge wanaotetea kusemea wananchi magumu wanayoyapitia sio wabunge wapiga makofi.

  • @FrankNzombo-ps8gw
    @FrankNzombo-ps8gw Жыл бұрын

    Kuna watoto ndani ya ukumbi wa bunge Mazezeta yanafunga meza badala ya kutetea hoja

  • @imanuelmalya1511
    @imanuelmalya1511Ай бұрын

    Mpina anasema uchungu wa watanzania.

  • @barbimeley5569
    @barbimeley5569Ай бұрын

    Jamani mpeni aendelee

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri5 ай бұрын

    Kama hayo ni kweli mhe Mpina hakika uko sahihi na Mungu atakulipa.

  • @happyfiverickaldo4662
    @happyfiverickaldo4662 Жыл бұрын

    Mpina hoyeee

  • @IbrahimMmalugu-gw8jl
    @IbrahimMmalugu-gw8jl6 күн бұрын

    Wewe mama hizo ng'ombe huuzwa kihalali!

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Жыл бұрын

    Leo ndio imedhihirisha Wabunge wetu wengi hovyo ila Spika yupo vizuri sana

  • @bobwhite9252
    @bobwhite9252 Жыл бұрын

    bunge limejaa wapiga makofii,ni aibu...as if ni kikundi flan cha watu waliojimilikisha nchi

  • @user-kq5si5pv9n
    @user-kq5si5pv9n15 күн бұрын

    Hamjitambui , mpina oyeee

  • @sebastianmwantuge5597
    @sebastianmwantuge559710 ай бұрын

    Tuna viongozi mshahara, critical thinking hakuna

  • @user-sr6tr7ko7w
    @user-sr6tr7ko7w Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂 nicheke mie, eti bunge tukufuu!! Wote wezi watupu.

  • @josephinamkono5183
    @josephinamkono5183Ай бұрын

    Sasa kama waziri mkuu anatoa maagizo arafu hayatekerezeki na yeye nimmoja wao Kwenye tatizo ndomana ndomana hayatekelezeki🎉

  • @user-zq8vf4kj8b
    @user-zq8vf4kj8bАй бұрын

    Ukweli wabunge hawana heshima kumdhalilisha mubunge anapo toa hotuba spika binafsi naomba ukemee tabia hii

  • @zakariamigeto3543
    @zakariamigeto3543 Жыл бұрын

    spika anafaa sana

  • @JofreySanga-lu8pn
    @JofreySanga-lu8pnАй бұрын

    Hapo kweli panabunge kwa makofi bila utaratibu

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule50176 ай бұрын

    Hayo majuha yanapiga makofi hata kuchangia hayachangii .

  • @Ibrahim-p7b2y
    @Ibrahim-p7b2y7 күн бұрын

    Asaiv hatuna bunge tunakikos cha ufisad kiukwel wachache sana ambao wapo na wanannch walio weng niwachumia tumbo

  • @omaryjudasymwanga7172
    @omaryjudasymwanga717210 ай бұрын

    Kuna wakati ukifanya.maamuzi.kama kiongozi usiangalie kule kuna mtoto wa shangazi ilimradi anasimamia utumbo wa kuangamiza wengi zibua don't accept double standard mtavuna laana badala ya baraka

  • @juliuszakayo6771
    @juliuszakayo67718 күн бұрын

    Mpina hapo hakuna wabunge wapo maga tu😁😁

Келесі