Hotuba ya uzinduzi wa Bunge la 11 dodoma Nov 20,2015

Hotuba ya uzinduzi wa Bunge la 11 dodoma Nov 20,2015

Пікірлер: 185

  • @pascoalphonce2911
    @pascoalphonce291110 ай бұрын

    Huwa namaliza MB zangu kusikiliza hii hotuba kila mala nailejea tena nani nipo nae leo 3/9/2023

  • @emanuelgunda4033

    @emanuelgunda4033

    2 ай бұрын

    Hakika ww Jpm ni ulikuwa Jembe na nusu

  • @haafidhaboubakary3097
    @haafidhaboubakary30972 жыл бұрын

    Who is watching this speech January 2022🔥🔥

  • @johnkanuda9355
    @johnkanuda9355 Жыл бұрын

    Pumzika kwa aman JPM, love u more our late beloved President of all in the world,,, mungu akupunguzie adhabu ya kaburi kipenzi chawatanzania.!

  • @usembiphonedar5632

    @usembiphonedar5632

    7 ай бұрын

    Ameni

  • @nyanjigamuyenjwa5192
    @nyanjigamuyenjwa51929 ай бұрын

    Moja ya hotuba bora kabisa karne ya 21 Napenda sana kusikiliza hotuba hii ,kwani haichoshi Tukubali Mh Magufuli alikuwa mtu na nusu Pumzika baba,uketi mkono wa kiume

  • @kevinmremi6312
    @kevinmremi631211 ай бұрын

    28 July 2023, I am here watching, and I don't believe that our dear beloved President JPM is REALLY gone. In most cases, we always remember the treasures we had, long after they are gone! You are a gem, a treasure, a true son of Africa, a Pan-Africanist and you are now gone! May your soul rest in eternal peace. Amen

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Жыл бұрын

    Na kweli Mzee HUKUWA na KIGUGUMIZI katika KUISHUGHULIKIA Ile MIJIZI.....R.I.P the GIANT PRESIDENT.....!

  • @dennismalima5365
    @dennismalima5365 Жыл бұрын

    Mwambaaaa 😢... Who is watching JPM SPEECH? 4TH OCT, 2022

  • @mwalumwakili2541
    @mwalumwakili25416 ай бұрын

    Watcing this on 10th January 2024😢😢😢 RIP POMBE huku kenya tuliahidiwa mengi ya uongo

  • @bannychanel9752
    @bannychanel97524 жыл бұрын

    Magufuli NI kiongozi Bora Sana kuwahi kutokea duniani...Na mengi aliyohaidi ametekeleza...big up my president

  • @mwitachacha-official
    @mwitachacha-official2 жыл бұрын

    Huyu alikuwa kiongozi wa aina yake na ilikuwa zawadi kutoka kwa mungu...sina hakika kama tunaweza kumpata kiongozi kama huyu..RIP magufuli.

  • @dennismalima5365
    @dennismalima53658 ай бұрын

    28.10.2023... Baba nipo hapa naifatilia hotuba yako na kesho ni birthday yako.. Happy Birthday in heaven JPM

  • @dennismalima5365
    @dennismalima53654 жыл бұрын

    Hotuba haichoshi aisee... Thanks God for this president.. He is intelligent! Alichokisema, ndo anachokifanya. Haina unafiki. Piga kazi Mzee, Tupo nyuma yako.

  • @hassanaloobaidan25
    @hassanaloobaidan253 жыл бұрын

    Kiukweli mimi nilimuelewa Sana mzeee kazi umefanya baba na umetufundisha namna bora ya kuheshimu kazi ahsante kwa kuja

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Жыл бұрын

    Nani yupo anatazama hiyi october 2022? Tujuane 😢😢😢

  • @organistsskills4921
    @organistsskills49213 жыл бұрын

    Hii Hotuba nairudia tena na tena... Dira ya Taifa ilianzia hapa.

  • @AggreyHamisi-og2fm
    @AggreyHamisi-og2fm5 ай бұрын

    Haya mm npo leo Date 3 feb 2024 Saturday, listening to the speech . But naona ambacho hajafanikiwa kutekeleza ni swala la " KATIBA " Na kuvutia wawekezaji weng tofaut yake alkua kama anawataka walipe kodi kubwa sn . But all ni all 95% ya vyote alvyoahidi katekeleza Lkn pia ithink ndo rais ambae matamanio ya wananchi weng wa TZ tulmsubr sn but kwa kua Mungu almpenda zaidi ,RIP Magu 😭😭😭😭😭😭 ( we loved u and we still needed u )

  • @josephnchunga1247
    @josephnchunga12472 жыл бұрын

    Hutuba zenye hisia za mh Magufuli zenye malengo yenye usawa dah daima mi binafsi nimepotelewa na Bonge la rais. Mungu akupe pumziko la milele amina

  • @samsonobedi3472
    @samsonobedi34722 жыл бұрын

    Safali umemaliza Iman umeilinda baba enda maguful. Enda kwa Amin

  • @masungajp1
    @masungajp1 Жыл бұрын

    Nyerere, Magufuli type of leaders are many in Tanzania. It's all about time or timing. May God rest the soul of this great man in peace. Tutakukumbuka daima kwa mema.

  • @nelsonpeter2112
    @nelsonpeter21124 жыл бұрын

    Mkuu umefanikiwa kwa asilimia zaidi ya 90% hongera sana 2020 hii

  • @nicsaelemanuelburra3486

    @nicsaelemanuelburra3486

    4 жыл бұрын

    Hongera sana kiongozi wangu

  • @dickmlawa8843

    @dickmlawa8843

    3 жыл бұрын

    99.9%

  • @agneomasonda2462
    @agneomasonda24625 жыл бұрын

    Shikamoo baba Magufuli hotuba hii imenifanya kuwa balozi kukutea nakuombea mema daima. Kazi nzuri sana tunaiona watanzania.

  • @mahelamnazaletinmm880

    @mahelamnazaletinmm880

    3 жыл бұрын

    Mjinga wew auna akili unamshukur MTU kwa matakwa yak

  • @Cyril_James-Jr.
    @Cyril_James-Jr.6 ай бұрын

    I am watching now it's 07.01.2024

  • @emanuelcharles3548
    @emanuelcharles35484 жыл бұрын

    2020 Umevuka malengo ya utekelezaji baba JPM.

  • @jojolee382
    @jojolee3824 жыл бұрын

    Jan 25 2020, Magufuli is the best....!! 2020 TANO TENA.

  • @ibrahimkambi9288
    @ibrahimkambi92884 жыл бұрын

    Mh.Rais uliahidi na umetekeleza kwa zaidi ya asilimia 98.99 Kongole sana kwako.

  • @yusuphkapilimka
    @yusuphkapilimka2 жыл бұрын

    Who is watching September 2021

  • @peaceisrael8158

    @peaceisrael8158

    2 жыл бұрын

    Im even here today December 9 uhuru day

  • @japhethgeriad4519

    @japhethgeriad4519

    2 жыл бұрын

    Here today 07TH April, 2022 KARUME DAY.

  • @josephmlela9757
    @josephmlela97573 жыл бұрын

    Pumzika Rais wangu niliekupenda Doctor John pombe Joseph Magufuri

  • @shabankawala6606
    @shabankawala66062 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani rais wetu Magufuli na mungu ailaze roho yako mahalipema peponi amina.

  • @isaacmwailinga8921
    @isaacmwailinga89216 ай бұрын

    This Was Very powerful Speech ever heard from The leader in our Country 😢 Powerful thought Thanks You For the God Seak

  • @dihajimaulidi3799
    @dihajimaulidi37992 жыл бұрын

    Me nimerud tena baada ya kifo chako 21 na hali ya Tanzania yetu umeme na mfumuko wa bei upo juu chini ya utawala wa mama samia

  • @motv3853
    @motv38534 жыл бұрын

    Hivi alikuja amekariri Maaana sioni akisoma. Anachungulia tu na kuendelea kutiririka. Big up for total reflexão

  • @organistsskills4921

    @organistsskills4921

    3 жыл бұрын

    Anatumia kifaa maalum ya presidential device kwaajili ya kusomea hotuba.. A teleprompter, also known as an autocue, is a display device that prompts the person speaking with an electronic visual text of a speech or script. Using a teleprompter is similar to using cue cards. The screen is in front of, and usually below, the lens of a professional video camera, and the words on the screen are reflected to the eyes of the presenter using a sheet of clear glass or other beam splitter, so that they are read by looking directly at the lens position, but are not imaged by the lens.

  • @issayamshana3750

    @issayamshana3750

    2 жыл бұрын

    @@organistsskills4921 Itakuwa hivyo mana teknolojia inakuwa sanaa....!! Lakini pia huyu Raisi alikuwa na kipaji binafsi. Katika kuzungumza mbele ya Watu, hata kama hotuba imeandikwa pia uwezo binafsi ni jambo la muhimu sanaa

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    2 жыл бұрын

    @@issayamshana3750 ah wapi unaambiwa anasoma Bado unang'ang'ania vitu ambavyo havina tija

  • @frankkashner
    @frankkashner3 жыл бұрын

    I love this Man Na yotee ametekeleza Mwamba

  • @nestor384
    @nestor3842 жыл бұрын

    Dr. Magufuli was the masterpiece Dr. Magufuli was the true pan africanist Dr. Magufuli showed how Africa can be transformed to the better place RIP Sir

  • @chabadeus6475

    @chabadeus6475

    Жыл бұрын

    Just waoh..... wonderfully....guy....how better him

  • @samsonobedi3472
    @samsonobedi34722 жыл бұрын

    Ww ndio rais kwanza kusema ss nitajili baba pia we ndio mtu ulitupenda ss makini Baba. Nakupenda San jpm

  • @mosesmussa3669
    @mosesmussa36694 жыл бұрын

    Daah nimesikiliza hotuba hii tena,sijutii kumpigia Kura mh JPM

  • @jafaryally2037
    @jafaryally20372 жыл бұрын

    Ukisikiliza tu kama ni mzalendo wa kweli lazima machozi yatoke tu. Kazi ya Mungu haina makosa

  • @stephenmutuli9441

    @stephenmutuli9441

    Жыл бұрын

    Pumzika salama kiongozi

  • @makalangakiselya5207
    @makalangakiselya52073 жыл бұрын

    sina la kusema zaidi ya R.I.P Jemedari hakika ulitawala vizuri

  • @mohamedhabibu3170
    @mohamedhabibu31702 жыл бұрын

    Magufuli wewe ni zaidi chuma si chuma kufanana na kingine mungu akulipe pepo Rais wangu

  • @mohamedhabibu3170

    @mohamedhabibu3170

    2 жыл бұрын

    Magufuli wewe ni daidi ya chuma si chuma ukafanana na kingine mungu akulipe pepo Raisi wangu

  • @aminihamisi3551
    @aminihamisi35512 жыл бұрын

    Daaah basi bwana Mungu mpumzishe mahali pema Magufuli wetu🤲🤲🤲

  • @issackdauda5071
    @issackdauda50712 жыл бұрын

    Yaani mungu alitupiga fimbo kwa huyu jamaa

  • @ramamohamed8392

    @ramamohamed8392

    9 ай бұрын

    Daaaah😭😭😭😭

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael81582 жыл бұрын

    Rais asiyeandikiwa speech na kila aongeacho ni point na speech haichoshi kuskiliza hata km ni masaa mengi bundle haliendi bure...RIP JPM tunakukumbuka kwa mengi

  • @winfredchaula1849
    @winfredchaula18494 жыл бұрын

    Wewe ni Rais Msema ukweli nimerudi tena kuiskiliza hii hotuba baada ya kuiangalia live mwaka 2015, Umeyatekeleza yote uliyoahidi .Hongera saana magufuli wewe ni Jembe kweli

  • @samsonobedi3472
    @samsonobedi34722 жыл бұрын

    Nitaman Kuna 2025 itakuwa wp inamn. Yangu Bado ipo juu ya baba nimejifunza meng katika maisha ukweli umakini uwazi upendo na kumjua mungu tz ingkuwa mpya baba

  • @jumachanewstrends6899
    @jumachanewstrends68992 жыл бұрын

    Nimerudiii kusikilizaa tenaa hotuba yako Leo tarehe 21/03/2022 baaada ya mwaka mmoja kututokaa

  • @loner_wolf
    @loner_wolf3 жыл бұрын

    Hao wanaotoka bungeni tuachie sisi mzee, sisi wenye nchi ndio tutamalizananao 2020

  • @lilykarim8968
    @lilykarim8968 Жыл бұрын

    Hilo libibi linasafiri na mdege wako mkubwa baba na msafara rukuki tunateseka sana likuskilize labda litajirekebisha ila linapenda starehe kwelikweli

  • @peterandrew2795
    @peterandrew27952 жыл бұрын

    Punzika baba angu kwa amani.....watanzania hawana masikio hujue hilo....utuombee baba mungu wetu.....hatusikiii....pole baba angu

  • @user-ys1ge5no8f
    @user-ys1ge5no8f11 ай бұрын

    Nilikupenda sana Rais wangu lakini mungu kakupenda sanakwakutoa Hutuba bila kusoma kimemo

  • @samsonobedi3472
    @samsonobedi34722 жыл бұрын

    Unapo sema unasema kwel baba tuliombea Sana kwa mungu ila mungu alikupend Zaid baba lala kwa Amina kwangu we ndio rais wangu

  • @brendanjiro1418
    @brendanjiro14185 ай бұрын

    Feb 14, 2024😔 Thank you Sir🙏 continue to RIP

  • @yusuphwella9651
    @yusuphwella96514 жыл бұрын

    Nilikuaga nikifuatiliaga hotuba za mwl nyerere sasa nimepata rais mwingine wakufuata hotuba zake

  • @ernestomwakababu6342
    @ernestomwakababu6342 Жыл бұрын

    Mwamba alitoa dira, na alipambana sana kugusa kila alipoahidi kufanya, japo alikwamishwa Kwa nguvu nyingi mnoooo.... Mwamba alisimama kwenye mstari .

  • @empbakumbafamily9072
    @empbakumbafamily90723 жыл бұрын

    Naangalia tena hotuba ya baba leo😔😭

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Жыл бұрын

    Huyu ndio alikua Rais Kwa Watanzania, alitaka mpk PENI ya ofisini ikinunuliwa BUKU iwe BUKU....na kweli ALIWADHIBITI walikua kama MASHETANI,....sisi maskini TULII ENJOY sana wakati wako , R.I.P the GIANT PRESIDENT 🙏

  • @loner_wolf
    @loner_wolf3 жыл бұрын

    Nimemuona Zitto anamkonyeza cameraman 42:25 asimmulike sana😂😂😂😂. KAMA UMEMUONA gonga like

  • @allankimaro4327
    @allankimaro4327 Жыл бұрын

    Yote uliyoahidi uliyatekeleza kwa kishindo kikubwa. Hakika hautasahaulika Baba Magufuli. Rest in paradise Magufuli

  • @user-pu8rn2pe8q
    @user-pu8rn2pe8q10 ай бұрын

    Huyu ndiye Aliyekuwa Rais mpenda haki na mtenda kazi ktk Kupigania wananchi wake Ni Mfano Bora Wa kuigwa

  • @nitumesokoni3164
    @nitumesokoni31643 жыл бұрын

    Tutaongea mengi sana ila kwa ufupi huyu mwamba alikuwa CHUMA. Yote aliyoyaongea mwaka 2015 leo hii yametekelezeka. Pumzika kwa amani baba. Umevipiga vita vilivyo vizuri, imani umeilinda, mwendo umeumaliza. Tutaonana baadae

  • @princessmohammed
    @princessmohammed3 ай бұрын

    I'm watchin now ts 27.03.2024

  • @zenj1986
    @zenj19863 жыл бұрын

    Kwakuwa hali ya nchi ilikuwa ni rushwa, kutokuwajibika serikalini, matumizi mabaya ya pesa za serikali na viongozi na familia zao, huduma mbovu ya afya, vilio vya huduma ya maji na umeme iliokuwa mzuri, wenye kipato cha juu kuona anaweza kufanya lolote bila ya kuambiwa lolote, watu kudhulumiwa ardhi na kujichukulia ardhi na kukopa pesa kwenye benki za nje lakini sio kwajili ya kuendeleza mambo yao nchini ili kutoa ajira kwa watanzania. Huyu alikuwa ni mtu muhimu sannnna kwa taifa letu. Magufuli alikuwa na uchungu juu ya nchi yake na watu wake.

  • @parmenaprosper3780
    @parmenaprosper37804 жыл бұрын

    One word from this clip “Always start with your internal problems then you will conquer anything”

  • @brianshomi722
    @brianshomi7224 ай бұрын

    Sichoki kukusikiliza kiongozi wangu 12-03-2024

  • @emmanuelnyangi6837
    @emmanuelnyangi68373 ай бұрын

    Niko hapa Leo trh 04/04/2024 kumcheki Mzee wetu jpm alchoongea

  • @frankmpanda3405
    @frankmpanda34055 ай бұрын

    Mimi leo nasikilza trh.13.02.2024

  • @mangolaayubu9114
    @mangolaayubu91144 жыл бұрын

    Good president in my country.Hongera sana mheshimiwa kwa kazi nzuri unayoifanya.

  • @mlokaferdinand

    @mlokaferdinand

    4 жыл бұрын

    Kama hua unarudiarudia hii hotuba hii Mara kwa Mara gonga like twende sawa....yaaani alio yaongea yoote yashatelekelezeka na mengine yanatekelezeka......haichoshi kuisikiliza....big up Mr president

  • @Gambasingu_Gilitu
    @Gambasingu_Gilitu2 ай бұрын

    15 May 2024 Bado naisikiliza hotuba hii Bora Bora kabisa.

  • @ElaviusSaulo
    @ElaviusSaulo10 күн бұрын

    Nawatch tena hii hotuba..4.7.2024...R.I.P JPM

  • @dickmlawa8843
    @dickmlawa88433 жыл бұрын

    Mungu tunakuomba utupe jembe kama hili hata likifanana kwa vitendo tu mungu tusaidie🙏

  • @emanuelcharles3548
    @emanuelcharles35486 ай бұрын

    9 January 2024, nimekuja tu hapa kujikumbusha maono yako na uhalisia wa jinsi ulivyotekeleza, we lost a father and a true patriot

  • @sishamtula2133
    @sishamtula21334 жыл бұрын

    2020 still here😊

  • @EliahParpulisEvalyneMkulati
    @EliahParpulisEvalyneMkulati3 жыл бұрын

    Dope!! Great work is done!! Keep it up!!

  • @abdurazzaq4356
    @abdurazzaq43567 ай бұрын

    Tena naskiliza hotuba yako mr president 13/12/2023

  • @daudimasebo4073
    @daudimasebo40732 жыл бұрын

    One of the greatest speech around the president of afrca

  • @7675kio
    @7675kio9 ай бұрын

    Tumepoteza jembe lililotembea juu ya maneno yake!

  • @bminawandu
    @bminawandu Жыл бұрын

    Magufuri nchi imeoza zaidi mkombozi magu

  • @zenj1986
    @zenj19863 жыл бұрын

    Yaani vigogo wanajitafuta vidole mana hawakujua kama JPM atakuwa mkali kiasi hiki.

  • @geoffreykossami1631
    @geoffreykossami16314 жыл бұрын

    Umetekeleza !

  • @samsonobedi3472
    @samsonobedi34722 жыл бұрын

    Ulijiamini Sana baba uketi kifuan kwq kwa elia

  • @edisonmaliva1719
    @edisonmaliva171911 ай бұрын

    Kumbe kila kitu alikiweka wazi mapema kabisa na hii hotuba ndio iliotoa mwongozo na dira ya uongozi wake.

  • @jacobche6288
    @jacobche6288 Жыл бұрын

    ....basi tu lakini tulikuwa TUNAMUHITAJI SANA...!

  • @kiliantereba6502
    @kiliantereba65022 жыл бұрын

    Wewe ulikuwa mkweli na yote uliyoyaahidi ulitekeleza. Ulikuwa kiongozi bora na wa pekee kuwahi kupatikana Tanzania na barani Afrika. Tutakukumbuka daima

  • @samsonobedi3472
    @samsonobedi34722 жыл бұрын

    Nimekaaa chin na kuangalia hutuba yak Rais meng uliyoyasema umefanya baba ukweli ulikuwa ni sehem ya maisha yak baba nilitaman uwep baba

  • @fadhiliwaleo5903
    @fadhiliwaleo5903 Жыл бұрын

    Hata mtoto wangu nitamsimulia kwa mama yako

  • @thomasmagoti9040
    @thomasmagoti9040 Жыл бұрын

    Dr magufuli 😭umelala mzee wetu mungu akusamehe akupe pumziko la milele

  • @abeljoseph4102
    @abeljoseph41022 жыл бұрын

    I miss u so much my love president 😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @hillarymuliro3135
    @hillarymuliro31352 жыл бұрын

    The best president off all times Rip rais

  • @dotoeliudi7197
    @dotoeliudi71972 жыл бұрын

    Natamana kila Kiongozi wetubwa juu, Rais na mawaziri na viongozi waandamiz wa Taifa hili waliopo n wanaokuja wasikilize hotuba za bunge zote mbili za Magufuli.

  • @hujulathkashaija7901
    @hujulathkashaija790111 ай бұрын

    😭magu amka uone wanavyo piga bei vile ulio vikakataa 😭😭. bandari watu wa dudai ndo wamiliki sasa

  • @samsonobedi3472
    @samsonobedi34722 жыл бұрын

    Sauti umelala baba

  • @kadirdhulfiqaar7820
    @kadirdhulfiqaar78202 жыл бұрын

    Memory

  • @drfrankfaustine5469
    @drfrankfaustine54694 жыл бұрын

    Kiukweli watanzania wenye akili na uwezo wa kufikilia hawawezi kubeza kiongo, i wetu uyu ananipa mwanaga wa kuonesha nia ya kuwa kiongozi pia ata mm apo badae kwa kuenzi aya anayo yafanya kiukweli nakuombea sana mwshimiwa

  • @drfrankfaustine5469

    @drfrankfaustine5469

    4 жыл бұрын

    Nakupenda sana mzee wang ww toka ukiwa waziri ulikuwa iv ivi

  • @mahelamnazaletinmm880

    @mahelamnazaletinmm880

    3 жыл бұрын

    @@drfrankfaustine5469 unaumwa wew

  • @organistsskills4921

    @organistsskills4921

    3 жыл бұрын

    Umwa na ww

  • @peterandrew2795
    @peterandrew27952 жыл бұрын

    Utakuwa baba kwangu milele.

  • @emmanuelbonifas2804
    @emmanuelbonifas2804 Жыл бұрын

    Ulienda wapi magufuri leo hii Tanzania inakulilia na watanzania pia maisha yamekuwa magumu ayaelezeki kila kitu kichungu

  • @samsonobedi3472
    @samsonobedi34722 жыл бұрын

    Nitakupenda adi cku yangu ya mwish nataman ata urud mm ndio niondk baba

  • @johnkanuda9355
    @johnkanuda9355 Жыл бұрын

    Ikiwa leo ni tar.29/09/2022...huku uchaguzi waviongozi ndani yachama ukiendelea....lkn.rushwa imetawala tenah baada ya wewe baba kututoka.JPM....pumzika kwa aman Neema twakuombea kipenzi cha wanyonge.mzalendo wakitanzania.!

  • @loner_wolf
    @loner_wolf3 жыл бұрын

    Chuma hiko.... Kinapounguruma kinamaanisha muungurumo huo huo ndio uko ktk heart beat yake

  • @bertinnaftari7026
    @bertinnaftari70263 ай бұрын

    Until now I'm watching

  • @braycetz99
    @braycetz992 жыл бұрын

    😭😭😭rip chumaa

  • @charlesmeshack9023
    @charlesmeshack90232 жыл бұрын

    😭😭😭unapaswa kuigwa mzee wangu

  • @nchagwamichael5959
    @nchagwamichael5959 Жыл бұрын

    Nimerudi leo kumsikiliza mwamba tena.

Келесі