Hotuba ya uzinduzi wa Bunge la 11 dodoma Nov 20,2015
Hotuba ya uzinduzi wa Bunge la 11 dodoma Nov 20,2015
Жүктеу.....
Пікірлер: 185
@pascoalphonce291110 ай бұрын
Huwa namaliza MB zangu kusikiliza hii hotuba kila mala nailejea tena nani nipo nae leo 3/9/2023
@emanuelgunda4033
2 ай бұрын
Hakika ww Jpm ni ulikuwa Jembe na nusu
@haafidhaboubakary30972 жыл бұрын
Who is watching this speech January 2022🔥🔥
@johnkanuda9355 Жыл бұрын
Pumzika kwa aman JPM, love u more our late beloved President of all in the world,,, mungu akupunguzie adhabu ya kaburi kipenzi chawatanzania.!
@usembiphonedar5632
7 ай бұрын
Ameni
@nyanjigamuyenjwa51929 ай бұрын
Moja ya hotuba bora kabisa karne ya 21 Napenda sana kusikiliza hotuba hii ,kwani haichoshi Tukubali Mh Magufuli alikuwa mtu na nusu Pumzika baba,uketi mkono wa kiume
@kevinmremi631211 ай бұрын
28 July 2023, I am here watching, and I don't believe that our dear beloved President JPM is REALLY gone. In most cases, we always remember the treasures we had, long after they are gone! You are a gem, a treasure, a true son of Africa, a Pan-Africanist and you are now gone! May your soul rest in eternal peace. Amen
@ismailmasoud6001 Жыл бұрын
Na kweli Mzee HUKUWA na KIGUGUMIZI katika KUISHUGHULIKIA Ile MIJIZI.....R.I.P the GIANT PRESIDENT.....!
@dennismalima5365 Жыл бұрын
Mwambaaaa 😢... Who is watching JPM SPEECH? 4TH OCT, 2022
@mwalumwakili25416 ай бұрын
Watcing this on 10th January 2024😢😢😢 RIP POMBE huku kenya tuliahidiwa mengi ya uongo
@bannychanel97524 жыл бұрын
Magufuli NI kiongozi Bora Sana kuwahi kutokea duniani...Na mengi aliyohaidi ametekeleza...big up my president
@mwitachacha-official2 жыл бұрын
Huyu alikuwa kiongozi wa aina yake na ilikuwa zawadi kutoka kwa mungu...sina hakika kama tunaweza kumpata kiongozi kama huyu..RIP magufuli.
@dennismalima53658 ай бұрын
28.10.2023... Baba nipo hapa naifatilia hotuba yako na kesho ni birthday yako.. Happy Birthday in heaven JPM
@dennismalima53654 жыл бұрын
Hotuba haichoshi aisee... Thanks God for this president.. He is intelligent! Alichokisema, ndo anachokifanya. Haina unafiki. Piga kazi Mzee, Tupo nyuma yako.
@hassanaloobaidan253 жыл бұрын
Kiukweli mimi nilimuelewa Sana mzeee kazi umefanya baba na umetufundisha namna bora ya kuheshimu kazi ahsante kwa kuja
@sonnyr1899 Жыл бұрын
Nani yupo anatazama hiyi october 2022? Tujuane 😢😢😢
@organistsskills49213 жыл бұрын
Hii Hotuba nairudia tena na tena... Dira ya Taifa ilianzia hapa.
@AggreyHamisi-og2fm5 ай бұрын
Haya mm npo leo Date 3 feb 2024 Saturday, listening to the speech . But naona ambacho hajafanikiwa kutekeleza ni swala la " KATIBA " Na kuvutia wawekezaji weng tofaut yake alkua kama anawataka walipe kodi kubwa sn . But all ni all 95% ya vyote alvyoahidi katekeleza Lkn pia ithink ndo rais ambae matamanio ya wananchi weng wa TZ tulmsubr sn but kwa kua Mungu almpenda zaidi ,RIP Magu 😭😭😭😭😭😭 ( we loved u and we still needed u )
@josephnchunga12472 жыл бұрын
Hutuba zenye hisia za mh Magufuli zenye malengo yenye usawa dah daima mi binafsi nimepotelewa na Bonge la rais. Mungu akupe pumziko la milele amina
@samsonobedi34722 жыл бұрын
Safali umemaliza Iman umeilinda baba enda maguful. Enda kwa Amin
@masungajp1 Жыл бұрын
Nyerere, Magufuli type of leaders are many in Tanzania. It's all about time or timing. May God rest the soul of this great man in peace. Tutakukumbuka daima kwa mema.
@nelsonpeter21124 жыл бұрын
Mkuu umefanikiwa kwa asilimia zaidi ya 90% hongera sana 2020 hii
@nicsaelemanuelburra3486
4 жыл бұрын
Hongera sana kiongozi wangu
@dickmlawa8843
3 жыл бұрын
99.9%
@agneomasonda24625 жыл бұрын
Shikamoo baba Magufuli hotuba hii imenifanya kuwa balozi kukutea nakuombea mema daima. Kazi nzuri sana tunaiona watanzania.
@mahelamnazaletinmm880
3 жыл бұрын
Mjinga wew auna akili unamshukur MTU kwa matakwa yak
@Cyril_James-Jr.6 ай бұрын
I am watching now it's 07.01.2024
@emanuelcharles35484 жыл бұрын
2020 Umevuka malengo ya utekelezaji baba JPM.
@jojolee3824 жыл бұрын
Jan 25 2020, Magufuli is the best....!! 2020 TANO TENA.
@ibrahimkambi92884 жыл бұрын
Mh.Rais uliahidi na umetekeleza kwa zaidi ya asilimia 98.99 Kongole sana kwako.
@yusuphkapilimka2 жыл бұрын
Who is watching September 2021
@peaceisrael8158
2 жыл бұрын
Im even here today December 9 uhuru day
@japhethgeriad4519
2 жыл бұрын
Here today 07TH April, 2022 KARUME DAY.
@josephmlela97573 жыл бұрын
Pumzika Rais wangu niliekupenda Doctor John pombe Joseph Magufuri
@shabankawala66062 жыл бұрын
Pumzika kwa amani rais wetu Magufuli na mungu ailaze roho yako mahalipema peponi amina.
@isaacmwailinga89216 ай бұрын
This Was Very powerful Speech ever heard from The leader in our Country 😢 Powerful thought Thanks You For the God Seak
@dihajimaulidi37992 жыл бұрын
Me nimerud tena baada ya kifo chako 21 na hali ya Tanzania yetu umeme na mfumuko wa bei upo juu chini ya utawala wa mama samia
@motv38534 жыл бұрын
Hivi alikuja amekariri Maaana sioni akisoma. Anachungulia tu na kuendelea kutiririka. Big up for total reflexão
@organistsskills4921
3 жыл бұрын
Anatumia kifaa maalum ya presidential device kwaajili ya kusomea hotuba.. A teleprompter, also known as an autocue, is a display device that prompts the person speaking with an electronic visual text of a speech or script. Using a teleprompter is similar to using cue cards. The screen is in front of, and usually below, the lens of a professional video camera, and the words on the screen are reflected to the eyes of the presenter using a sheet of clear glass or other beam splitter, so that they are read by looking directly at the lens position, but are not imaged by the lens.
@issayamshana3750
2 жыл бұрын
@@organistsskills4921 Itakuwa hivyo mana teknolojia inakuwa sanaa....!! Lakini pia huyu Raisi alikuwa na kipaji binafsi. Katika kuzungumza mbele ya Watu, hata kama hotuba imeandikwa pia uwezo binafsi ni jambo la muhimu sanaa
Dr. Magufuli was the masterpiece Dr. Magufuli was the true pan africanist Dr. Magufuli showed how Africa can be transformed to the better place RIP Sir
@chabadeus6475
Жыл бұрын
Just waoh..... wonderfully....guy....how better him
@samsonobedi34722 жыл бұрын
Ww ndio rais kwanza kusema ss nitajili baba pia we ndio mtu ulitupenda ss makini Baba. Nakupenda San jpm
@mosesmussa36694 жыл бұрын
Daah nimesikiliza hotuba hii tena,sijutii kumpigia Kura mh JPM
@jafaryally20372 жыл бұрын
Ukisikiliza tu kama ni mzalendo wa kweli lazima machozi yatoke tu. Kazi ya Mungu haina makosa
@stephenmutuli9441
Жыл бұрын
Pumzika salama kiongozi
@makalangakiselya52073 жыл бұрын
sina la kusema zaidi ya R.I.P Jemedari hakika ulitawala vizuri
@mohamedhabibu31702 жыл бұрын
Magufuli wewe ni zaidi chuma si chuma kufanana na kingine mungu akulipe pepo Rais wangu
@mohamedhabibu3170
2 жыл бұрын
Magufuli wewe ni daidi ya chuma si chuma ukafanana na kingine mungu akulipe pepo Raisi wangu
@aminihamisi35512 жыл бұрын
Daaah basi bwana Mungu mpumzishe mahali pema Magufuli wetu🤲🤲🤲
@issackdauda50712 жыл бұрын
Yaani mungu alitupiga fimbo kwa huyu jamaa
@ramamohamed8392
9 ай бұрын
Daaaah😭😭😭😭
@peaceisrael81582 жыл бұрын
Rais asiyeandikiwa speech na kila aongeacho ni point na speech haichoshi kuskiliza hata km ni masaa mengi bundle haliendi bure...RIP JPM tunakukumbuka kwa mengi
@winfredchaula18494 жыл бұрын
Wewe ni Rais Msema ukweli nimerudi tena kuiskiliza hii hotuba baada ya kuiangalia live mwaka 2015, Umeyatekeleza yote uliyoahidi .Hongera saana magufuli wewe ni Jembe kweli
@samsonobedi34722 жыл бұрын
Nitaman Kuna 2025 itakuwa wp inamn. Yangu Bado ipo juu ya baba nimejifunza meng katika maisha ukweli umakini uwazi upendo na kumjua mungu tz ingkuwa mpya baba
@jumachanewstrends68992 жыл бұрын
Nimerudiii kusikilizaa tenaa hotuba yako Leo tarehe 21/03/2022 baaada ya mwaka mmoja kututokaa
@loner_wolf3 жыл бұрын
Hao wanaotoka bungeni tuachie sisi mzee, sisi wenye nchi ndio tutamalizananao 2020
@lilykarim8968 Жыл бұрын
Hilo libibi linasafiri na mdege wako mkubwa baba na msafara rukuki tunateseka sana likuskilize labda litajirekebisha ila linapenda starehe kwelikweli
@peterandrew27952 жыл бұрын
Punzika baba angu kwa amani.....watanzania hawana masikio hujue hilo....utuombee baba mungu wetu.....hatusikiii....pole baba angu
@user-ys1ge5no8f11 ай бұрын
Nilikupenda sana Rais wangu lakini mungu kakupenda sanakwakutoa Hutuba bila kusoma kimemo
@samsonobedi34722 жыл бұрын
Unapo sema unasema kwel baba tuliombea Sana kwa mungu ila mungu alikupend Zaid baba lala kwa Amina kwangu we ndio rais wangu
@brendanjiro14185 ай бұрын
Feb 14, 2024😔 Thank you Sir🙏 continue to RIP
@yusuphwella96514 жыл бұрын
Nilikuaga nikifuatiliaga hotuba za mwl nyerere sasa nimepata rais mwingine wakufuata hotuba zake
@ernestomwakababu6342 Жыл бұрын
Mwamba alitoa dira, na alipambana sana kugusa kila alipoahidi kufanya, japo alikwamishwa Kwa nguvu nyingi mnoooo.... Mwamba alisimama kwenye mstari .
@empbakumbafamily90723 жыл бұрын
Naangalia tena hotuba ya baba leo😔😭
@ismailmasoud6001 Жыл бұрын
Huyu ndio alikua Rais Kwa Watanzania, alitaka mpk PENI ya ofisini ikinunuliwa BUKU iwe BUKU....na kweli ALIWADHIBITI walikua kama MASHETANI,....sisi maskini TULII ENJOY sana wakati wako , R.I.P the GIANT PRESIDENT 🙏
@loner_wolf3 жыл бұрын
Nimemuona Zitto anamkonyeza cameraman 42:25 asimmulike sana😂😂😂😂. KAMA UMEMUONA gonga like
@allankimaro4327 Жыл бұрын
Yote uliyoahidi uliyatekeleza kwa kishindo kikubwa. Hakika hautasahaulika Baba Magufuli. Rest in paradise Magufuli
@user-pu8rn2pe8q10 ай бұрын
Huyu ndiye Aliyekuwa Rais mpenda haki na mtenda kazi ktk Kupigania wananchi wake Ni Mfano Bora Wa kuigwa
@nitumesokoni31643 жыл бұрын
Tutaongea mengi sana ila kwa ufupi huyu mwamba alikuwa CHUMA. Yote aliyoyaongea mwaka 2015 leo hii yametekelezeka. Pumzika kwa amani baba. Umevipiga vita vilivyo vizuri, imani umeilinda, mwendo umeumaliza. Tutaonana baadae
@princessmohammed3 ай бұрын
I'm watchin now ts 27.03.2024
@zenj19863 жыл бұрын
Kwakuwa hali ya nchi ilikuwa ni rushwa, kutokuwajibika serikalini, matumizi mabaya ya pesa za serikali na viongozi na familia zao, huduma mbovu ya afya, vilio vya huduma ya maji na umeme iliokuwa mzuri, wenye kipato cha juu kuona anaweza kufanya lolote bila ya kuambiwa lolote, watu kudhulumiwa ardhi na kujichukulia ardhi na kukopa pesa kwenye benki za nje lakini sio kwajili ya kuendeleza mambo yao nchini ili kutoa ajira kwa watanzania. Huyu alikuwa ni mtu muhimu sannnna kwa taifa letu. Magufuli alikuwa na uchungu juu ya nchi yake na watu wake.
@parmenaprosper37804 жыл бұрын
One word from this clip “Always start with your internal problems then you will conquer anything”
@brianshomi7224 ай бұрын
Sichoki kukusikiliza kiongozi wangu 12-03-2024
@emmanuelnyangi68373 ай бұрын
Niko hapa Leo trh 04/04/2024 kumcheki Mzee wetu jpm alchoongea
@frankmpanda34055 ай бұрын
Mimi leo nasikilza trh.13.02.2024
@mangolaayubu91144 жыл бұрын
Good president in my country.Hongera sana mheshimiwa kwa kazi nzuri unayoifanya.
@mlokaferdinand
4 жыл бұрын
Kama hua unarudiarudia hii hotuba hii Mara kwa Mara gonga like twende sawa....yaaani alio yaongea yoote yashatelekelezeka na mengine yanatekelezeka......haichoshi kuisikiliza....big up Mr president
@Gambasingu_Gilitu2 ай бұрын
15 May 2024 Bado naisikiliza hotuba hii Bora Bora kabisa.
@ElaviusSaulo10 күн бұрын
Nawatch tena hii hotuba..4.7.2024...R.I.P JPM
@dickmlawa88433 жыл бұрын
Mungu tunakuomba utupe jembe kama hili hata likifanana kwa vitendo tu mungu tusaidie🙏
@emanuelcharles35486 ай бұрын
9 January 2024, nimekuja tu hapa kujikumbusha maono yako na uhalisia wa jinsi ulivyotekeleza, we lost a father and a true patriot
@sishamtula21334 жыл бұрын
2020 still here😊
@EliahParpulisEvalyneMkulati3 жыл бұрын
Dope!! Great work is done!! Keep it up!!
@abdurazzaq43567 ай бұрын
Tena naskiliza hotuba yako mr president 13/12/2023
@daudimasebo40732 жыл бұрын
One of the greatest speech around the president of afrca
@7675kio9 ай бұрын
Tumepoteza jembe lililotembea juu ya maneno yake!
@bminawandu Жыл бұрын
Magufuri nchi imeoza zaidi mkombozi magu
@zenj19863 жыл бұрын
Yaani vigogo wanajitafuta vidole mana hawakujua kama JPM atakuwa mkali kiasi hiki.
@geoffreykossami16314 жыл бұрын
Umetekeleza !
@samsonobedi34722 жыл бұрын
Ulijiamini Sana baba uketi kifuan kwq kwa elia
@edisonmaliva171911 ай бұрын
Kumbe kila kitu alikiweka wazi mapema kabisa na hii hotuba ndio iliotoa mwongozo na dira ya uongozi wake.
@jacobche6288 Жыл бұрын
....basi tu lakini tulikuwa TUNAMUHITAJI SANA...!
@kiliantereba65022 жыл бұрын
Wewe ulikuwa mkweli na yote uliyoyaahidi ulitekeleza. Ulikuwa kiongozi bora na wa pekee kuwahi kupatikana Tanzania na barani Afrika. Tutakukumbuka daima
@samsonobedi34722 жыл бұрын
Nimekaaa chin na kuangalia hutuba yak Rais meng uliyoyasema umefanya baba ukweli ulikuwa ni sehem ya maisha yak baba nilitaman uwep baba
@fadhiliwaleo5903 Жыл бұрын
Hata mtoto wangu nitamsimulia kwa mama yako
@thomasmagoti9040 Жыл бұрын
Dr magufuli 😭umelala mzee wetu mungu akusamehe akupe pumziko la milele
@abeljoseph41022 жыл бұрын
I miss u so much my love president 😭😭😭😭😭😭😭😭
@hillarymuliro31352 жыл бұрын
The best president off all times Rip rais
@dotoeliudi71972 жыл бұрын
Natamana kila Kiongozi wetubwa juu, Rais na mawaziri na viongozi waandamiz wa Taifa hili waliopo n wanaokuja wasikilize hotuba za bunge zote mbili za Magufuli.
@hujulathkashaija790111 ай бұрын
😭magu amka uone wanavyo piga bei vile ulio vikakataa 😭😭. bandari watu wa dudai ndo wamiliki sasa
@samsonobedi34722 жыл бұрын
Sauti umelala baba
@kadirdhulfiqaar78202 жыл бұрын
Memory
@drfrankfaustine54694 жыл бұрын
Kiukweli watanzania wenye akili na uwezo wa kufikilia hawawezi kubeza kiongo, i wetu uyu ananipa mwanaga wa kuonesha nia ya kuwa kiongozi pia ata mm apo badae kwa kuenzi aya anayo yafanya kiukweli nakuombea sana mwshimiwa
@drfrankfaustine5469
4 жыл бұрын
Nakupenda sana mzee wang ww toka ukiwa waziri ulikuwa iv ivi
@mahelamnazaletinmm880
3 жыл бұрын
@@drfrankfaustine5469 unaumwa wew
@organistsskills4921
3 жыл бұрын
Umwa na ww
@peterandrew27952 жыл бұрын
Utakuwa baba kwangu milele.
@emmanuelbonifas2804 Жыл бұрын
Ulienda wapi magufuri leo hii Tanzania inakulilia na watanzania pia maisha yamekuwa magumu ayaelezeki kila kitu kichungu
@samsonobedi34722 жыл бұрын
Nitakupenda adi cku yangu ya mwish nataman ata urud mm ndio niondk baba
@johnkanuda9355 Жыл бұрын
Ikiwa leo ni tar.29/09/2022...huku uchaguzi waviongozi ndani yachama ukiendelea....lkn.rushwa imetawala tenah baada ya wewe baba kututoka.JPM....pumzika kwa aman Neema twakuombea kipenzi cha wanyonge.mzalendo wakitanzania.!
@loner_wolf3 жыл бұрын
Chuma hiko.... Kinapounguruma kinamaanisha muungurumo huo huo ndio uko ktk heart beat yake
Пікірлер: 185
Huwa namaliza MB zangu kusikiliza hii hotuba kila mala nailejea tena nani nipo nae leo 3/9/2023
@emanuelgunda4033
2 ай бұрын
Hakika ww Jpm ni ulikuwa Jembe na nusu
Who is watching this speech January 2022🔥🔥
Pumzika kwa aman JPM, love u more our late beloved President of all in the world,,, mungu akupunguzie adhabu ya kaburi kipenzi chawatanzania.!
@usembiphonedar5632
7 ай бұрын
Ameni
Moja ya hotuba bora kabisa karne ya 21 Napenda sana kusikiliza hotuba hii ,kwani haichoshi Tukubali Mh Magufuli alikuwa mtu na nusu Pumzika baba,uketi mkono wa kiume
28 July 2023, I am here watching, and I don't believe that our dear beloved President JPM is REALLY gone. In most cases, we always remember the treasures we had, long after they are gone! You are a gem, a treasure, a true son of Africa, a Pan-Africanist and you are now gone! May your soul rest in eternal peace. Amen
Na kweli Mzee HUKUWA na KIGUGUMIZI katika KUISHUGHULIKIA Ile MIJIZI.....R.I.P the GIANT PRESIDENT.....!
Mwambaaaa 😢... Who is watching JPM SPEECH? 4TH OCT, 2022
Watcing this on 10th January 2024😢😢😢 RIP POMBE huku kenya tuliahidiwa mengi ya uongo
Magufuli NI kiongozi Bora Sana kuwahi kutokea duniani...Na mengi aliyohaidi ametekeleza...big up my president
Huyu alikuwa kiongozi wa aina yake na ilikuwa zawadi kutoka kwa mungu...sina hakika kama tunaweza kumpata kiongozi kama huyu..RIP magufuli.
28.10.2023... Baba nipo hapa naifatilia hotuba yako na kesho ni birthday yako.. Happy Birthday in heaven JPM
Hotuba haichoshi aisee... Thanks God for this president.. He is intelligent! Alichokisema, ndo anachokifanya. Haina unafiki. Piga kazi Mzee, Tupo nyuma yako.
Kiukweli mimi nilimuelewa Sana mzeee kazi umefanya baba na umetufundisha namna bora ya kuheshimu kazi ahsante kwa kuja
Nani yupo anatazama hiyi october 2022? Tujuane 😢😢😢
Hii Hotuba nairudia tena na tena... Dira ya Taifa ilianzia hapa.
Haya mm npo leo Date 3 feb 2024 Saturday, listening to the speech . But naona ambacho hajafanikiwa kutekeleza ni swala la " KATIBA " Na kuvutia wawekezaji weng tofaut yake alkua kama anawataka walipe kodi kubwa sn . But all ni all 95% ya vyote alvyoahidi katekeleza Lkn pia ithink ndo rais ambae matamanio ya wananchi weng wa TZ tulmsubr sn but kwa kua Mungu almpenda zaidi ,RIP Magu 😭😭😭😭😭😭 ( we loved u and we still needed u )
Hutuba zenye hisia za mh Magufuli zenye malengo yenye usawa dah daima mi binafsi nimepotelewa na Bonge la rais. Mungu akupe pumziko la milele amina
Safali umemaliza Iman umeilinda baba enda maguful. Enda kwa Amin
Nyerere, Magufuli type of leaders are many in Tanzania. It's all about time or timing. May God rest the soul of this great man in peace. Tutakukumbuka daima kwa mema.
Mkuu umefanikiwa kwa asilimia zaidi ya 90% hongera sana 2020 hii
@nicsaelemanuelburra3486
4 жыл бұрын
Hongera sana kiongozi wangu
@dickmlawa8843
3 жыл бұрын
99.9%
Shikamoo baba Magufuli hotuba hii imenifanya kuwa balozi kukutea nakuombea mema daima. Kazi nzuri sana tunaiona watanzania.
@mahelamnazaletinmm880
3 жыл бұрын
Mjinga wew auna akili unamshukur MTU kwa matakwa yak
I am watching now it's 07.01.2024
2020 Umevuka malengo ya utekelezaji baba JPM.
Jan 25 2020, Magufuli is the best....!! 2020 TANO TENA.
Mh.Rais uliahidi na umetekeleza kwa zaidi ya asilimia 98.99 Kongole sana kwako.
Who is watching September 2021
@peaceisrael8158
2 жыл бұрын
Im even here today December 9 uhuru day
@japhethgeriad4519
2 жыл бұрын
Here today 07TH April, 2022 KARUME DAY.
Pumzika Rais wangu niliekupenda Doctor John pombe Joseph Magufuri
Pumzika kwa amani rais wetu Magufuli na mungu ailaze roho yako mahalipema peponi amina.
This Was Very powerful Speech ever heard from The leader in our Country 😢 Powerful thought Thanks You For the God Seak
Me nimerud tena baada ya kifo chako 21 na hali ya Tanzania yetu umeme na mfumuko wa bei upo juu chini ya utawala wa mama samia
Hivi alikuja amekariri Maaana sioni akisoma. Anachungulia tu na kuendelea kutiririka. Big up for total reflexão
@organistsskills4921
3 жыл бұрын
Anatumia kifaa maalum ya presidential device kwaajili ya kusomea hotuba.. A teleprompter, also known as an autocue, is a display device that prompts the person speaking with an electronic visual text of a speech or script. Using a teleprompter is similar to using cue cards. The screen is in front of, and usually below, the lens of a professional video camera, and the words on the screen are reflected to the eyes of the presenter using a sheet of clear glass or other beam splitter, so that they are read by looking directly at the lens position, but are not imaged by the lens.
@issayamshana3750
2 жыл бұрын
@@organistsskills4921 Itakuwa hivyo mana teknolojia inakuwa sanaa....!! Lakini pia huyu Raisi alikuwa na kipaji binafsi. Katika kuzungumza mbele ya Watu, hata kama hotuba imeandikwa pia uwezo binafsi ni jambo la muhimu sanaa
@hassanmfaume4522
2 жыл бұрын
@@issayamshana3750 ah wapi unaambiwa anasoma Bado unang'ang'ania vitu ambavyo havina tija
I love this Man Na yotee ametekeleza Mwamba
Dr. Magufuli was the masterpiece Dr. Magufuli was the true pan africanist Dr. Magufuli showed how Africa can be transformed to the better place RIP Sir
@chabadeus6475
Жыл бұрын
Just waoh..... wonderfully....guy....how better him
Ww ndio rais kwanza kusema ss nitajili baba pia we ndio mtu ulitupenda ss makini Baba. Nakupenda San jpm
Daah nimesikiliza hotuba hii tena,sijutii kumpigia Kura mh JPM
Ukisikiliza tu kama ni mzalendo wa kweli lazima machozi yatoke tu. Kazi ya Mungu haina makosa
@stephenmutuli9441
Жыл бұрын
Pumzika salama kiongozi
sina la kusema zaidi ya R.I.P Jemedari hakika ulitawala vizuri
Magufuli wewe ni zaidi chuma si chuma kufanana na kingine mungu akulipe pepo Rais wangu
@mohamedhabibu3170
2 жыл бұрын
Magufuli wewe ni daidi ya chuma si chuma ukafanana na kingine mungu akulipe pepo Raisi wangu
Daaah basi bwana Mungu mpumzishe mahali pema Magufuli wetu🤲🤲🤲
Yaani mungu alitupiga fimbo kwa huyu jamaa
@ramamohamed8392
9 ай бұрын
Daaaah😭😭😭😭
Rais asiyeandikiwa speech na kila aongeacho ni point na speech haichoshi kuskiliza hata km ni masaa mengi bundle haliendi bure...RIP JPM tunakukumbuka kwa mengi
Wewe ni Rais Msema ukweli nimerudi tena kuiskiliza hii hotuba baada ya kuiangalia live mwaka 2015, Umeyatekeleza yote uliyoahidi .Hongera saana magufuli wewe ni Jembe kweli
Nitaman Kuna 2025 itakuwa wp inamn. Yangu Bado ipo juu ya baba nimejifunza meng katika maisha ukweli umakini uwazi upendo na kumjua mungu tz ingkuwa mpya baba
Nimerudiii kusikilizaa tenaa hotuba yako Leo tarehe 21/03/2022 baaada ya mwaka mmoja kututokaa
Hao wanaotoka bungeni tuachie sisi mzee, sisi wenye nchi ndio tutamalizananao 2020
Hilo libibi linasafiri na mdege wako mkubwa baba na msafara rukuki tunateseka sana likuskilize labda litajirekebisha ila linapenda starehe kwelikweli
Punzika baba angu kwa amani.....watanzania hawana masikio hujue hilo....utuombee baba mungu wetu.....hatusikiii....pole baba angu
Nilikupenda sana Rais wangu lakini mungu kakupenda sanakwakutoa Hutuba bila kusoma kimemo
Unapo sema unasema kwel baba tuliombea Sana kwa mungu ila mungu alikupend Zaid baba lala kwa Amina kwangu we ndio rais wangu
Feb 14, 2024😔 Thank you Sir🙏 continue to RIP
Nilikuaga nikifuatiliaga hotuba za mwl nyerere sasa nimepata rais mwingine wakufuata hotuba zake
Mwamba alitoa dira, na alipambana sana kugusa kila alipoahidi kufanya, japo alikwamishwa Kwa nguvu nyingi mnoooo.... Mwamba alisimama kwenye mstari .
Naangalia tena hotuba ya baba leo😔😭
Huyu ndio alikua Rais Kwa Watanzania, alitaka mpk PENI ya ofisini ikinunuliwa BUKU iwe BUKU....na kweli ALIWADHIBITI walikua kama MASHETANI,....sisi maskini TULII ENJOY sana wakati wako , R.I.P the GIANT PRESIDENT 🙏
Nimemuona Zitto anamkonyeza cameraman 42:25 asimmulike sana😂😂😂😂. KAMA UMEMUONA gonga like
Yote uliyoahidi uliyatekeleza kwa kishindo kikubwa. Hakika hautasahaulika Baba Magufuli. Rest in paradise Magufuli
Huyu ndiye Aliyekuwa Rais mpenda haki na mtenda kazi ktk Kupigania wananchi wake Ni Mfano Bora Wa kuigwa
Tutaongea mengi sana ila kwa ufupi huyu mwamba alikuwa CHUMA. Yote aliyoyaongea mwaka 2015 leo hii yametekelezeka. Pumzika kwa amani baba. Umevipiga vita vilivyo vizuri, imani umeilinda, mwendo umeumaliza. Tutaonana baadae
I'm watchin now ts 27.03.2024
Kwakuwa hali ya nchi ilikuwa ni rushwa, kutokuwajibika serikalini, matumizi mabaya ya pesa za serikali na viongozi na familia zao, huduma mbovu ya afya, vilio vya huduma ya maji na umeme iliokuwa mzuri, wenye kipato cha juu kuona anaweza kufanya lolote bila ya kuambiwa lolote, watu kudhulumiwa ardhi na kujichukulia ardhi na kukopa pesa kwenye benki za nje lakini sio kwajili ya kuendeleza mambo yao nchini ili kutoa ajira kwa watanzania. Huyu alikuwa ni mtu muhimu sannnna kwa taifa letu. Magufuli alikuwa na uchungu juu ya nchi yake na watu wake.
One word from this clip “Always start with your internal problems then you will conquer anything”
Sichoki kukusikiliza kiongozi wangu 12-03-2024
Niko hapa Leo trh 04/04/2024 kumcheki Mzee wetu jpm alchoongea
Mimi leo nasikilza trh.13.02.2024
Good president in my country.Hongera sana mheshimiwa kwa kazi nzuri unayoifanya.
@mlokaferdinand
4 жыл бұрын
Kama hua unarudiarudia hii hotuba hii Mara kwa Mara gonga like twende sawa....yaaani alio yaongea yoote yashatelekelezeka na mengine yanatekelezeka......haichoshi kuisikiliza....big up Mr president
15 May 2024 Bado naisikiliza hotuba hii Bora Bora kabisa.
Nawatch tena hii hotuba..4.7.2024...R.I.P JPM
Mungu tunakuomba utupe jembe kama hili hata likifanana kwa vitendo tu mungu tusaidie🙏
9 January 2024, nimekuja tu hapa kujikumbusha maono yako na uhalisia wa jinsi ulivyotekeleza, we lost a father and a true patriot
2020 still here😊
Dope!! Great work is done!! Keep it up!!
Tena naskiliza hotuba yako mr president 13/12/2023
One of the greatest speech around the president of afrca
Tumepoteza jembe lililotembea juu ya maneno yake!
Magufuri nchi imeoza zaidi mkombozi magu
Yaani vigogo wanajitafuta vidole mana hawakujua kama JPM atakuwa mkali kiasi hiki.
Umetekeleza !
Ulijiamini Sana baba uketi kifuan kwq kwa elia
Kumbe kila kitu alikiweka wazi mapema kabisa na hii hotuba ndio iliotoa mwongozo na dira ya uongozi wake.
....basi tu lakini tulikuwa TUNAMUHITAJI SANA...!
Wewe ulikuwa mkweli na yote uliyoyaahidi ulitekeleza. Ulikuwa kiongozi bora na wa pekee kuwahi kupatikana Tanzania na barani Afrika. Tutakukumbuka daima
Nimekaaa chin na kuangalia hutuba yak Rais meng uliyoyasema umefanya baba ukweli ulikuwa ni sehem ya maisha yak baba nilitaman uwep baba
Hata mtoto wangu nitamsimulia kwa mama yako
Dr magufuli 😭umelala mzee wetu mungu akusamehe akupe pumziko la milele
I miss u so much my love president 😭😭😭😭😭😭😭😭
The best president off all times Rip rais
Natamana kila Kiongozi wetubwa juu, Rais na mawaziri na viongozi waandamiz wa Taifa hili waliopo n wanaokuja wasikilize hotuba za bunge zote mbili za Magufuli.
😭magu amka uone wanavyo piga bei vile ulio vikakataa 😭😭. bandari watu wa dudai ndo wamiliki sasa
Sauti umelala baba
Memory
Kiukweli watanzania wenye akili na uwezo wa kufikilia hawawezi kubeza kiongo, i wetu uyu ananipa mwanaga wa kuonesha nia ya kuwa kiongozi pia ata mm apo badae kwa kuenzi aya anayo yafanya kiukweli nakuombea sana mwshimiwa
@drfrankfaustine5469
4 жыл бұрын
Nakupenda sana mzee wang ww toka ukiwa waziri ulikuwa iv ivi
@mahelamnazaletinmm880
3 жыл бұрын
@@drfrankfaustine5469 unaumwa wew
@organistsskills4921
3 жыл бұрын
Umwa na ww
Utakuwa baba kwangu milele.
Ulienda wapi magufuri leo hii Tanzania inakulilia na watanzania pia maisha yamekuwa magumu ayaelezeki kila kitu kichungu
Nitakupenda adi cku yangu ya mwish nataman ata urud mm ndio niondk baba
Ikiwa leo ni tar.29/09/2022...huku uchaguzi waviongozi ndani yachama ukiendelea....lkn.rushwa imetawala tenah baada ya wewe baba kututoka.JPM....pumzika kwa aman Neema twakuombea kipenzi cha wanyonge.mzalendo wakitanzania.!
Chuma hiko.... Kinapounguruma kinamaanisha muungurumo huo huo ndio uko ktk heart beat yake
Until now I'm watching
😭😭😭rip chumaa
😭😭😭unapaswa kuigwa mzee wangu
Nimerudi leo kumsikiliza mwamba tena.