HOTUBA YA DKT JOHN POMBE MAGUFULI UWANJA WA MAZAINA WILAYA YA CHATO JULAI 10,2017

HOTUBA YA DKT JOHN POMBE MAGUFULI UWANJA WA MAZAINA WILAYA YA CHATO JULAI 10,2017

Пікірлер: 109

  • @amosimnyili2165
    @amosimnyili21653 жыл бұрын

    Shujaaa wetu,mpambanaji wetu mtetezi wetu tunakushukuru mwenyezi munngu kwa kutupa Zawad ya magufuli asante sana

  • @aymalabdulmalick2876
    @aymalabdulmalick28767 жыл бұрын

    Ni watu wachache sana wanaoweza kutoa neno la shukrani mbele ya hadhara kama ilivyo kwa Mh Rais Dr JPM! Mungu ambariki sana Sir JPM ktk kutambua wazi wazi walio mfikisha hapo . Hakika neno la shikrani ni kauli stahiki kwa muungwana yeyote yule. Mungu ibariki Tanzania.

  • @joycemwati6619

    @joycemwati6619

    3 жыл бұрын

    Nimekukumbuka Rais wangu Punzika Kwa Aman Baba🙏🏽

  • @bennybenard2202

    @bennybenard2202

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @patricklembeli8523
    @patricklembeli85233 жыл бұрын

    Maraika arieko mbinguni anaishi ila mlohusika mungu anawajua cc hatuwajui ila 🇹🇿 tutaiacha

  • @stephanokigosi656
    @stephanokigosi6563 жыл бұрын

    nitakupenda DAIMA Rais wangu

  • @donaldmwahalende4841
    @donaldmwahalende48413 жыл бұрын

    Magufur ametoka chin ndiomana anajali anajali wanyonge maana alieyajua maisha

  • @estermathias8354
    @estermathias83543 жыл бұрын

    Acha nilie tu naimis hii sauti😭😭😭😭😢😢😢

  • @bennybenard2202
    @bennybenard22023 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu akulinde uko uliko, Watanza tunasema Tunashukuru kwayale mema uliyo tufanyia akika we ndie mfano wakuigwa Africa na dunia nzima kiujumla Mungu akulaze mahali pema peponi Ameeni.

  • @mwarabubahatliezer624
    @mwarabubahatliezer6243 жыл бұрын

    Dah kweli mimi binafsi nakukumbka sana na sitawahi kukusahau maishani wangu wote hakika ulikuwa shujaa wa ukweli na ulitumwa kuwa mfano kwa marais wote duniani

  • @shindapapaya9194
    @shindapapaya91947 жыл бұрын

    Shikamoooo JPM hapa kazi 2 💪 💪 💪

  • @babamijicho2324

    @babamijicho2324

    7 жыл бұрын

    Chuma chuku

  • @godfreybikukana7727
    @godfreybikukana77273 жыл бұрын

    Mungu mwenye upendo nakuombea akupokee kwenye ufalme wake Kama kunasehemu ulijikwaa akusamehe Sana

  • @michaelndilima6210

    @michaelndilima6210

    3 жыл бұрын

    Safi sàna

  • @rashidmohamedi1495
    @rashidmohamedi14953 жыл бұрын

    Nilichojifunza kitu ni kwamba Duniani tunapita hawa ote mungu kawachuka dah mungu awaweke mahali pema

  • @AbuuShaymaa
    @AbuuShaymaa3 жыл бұрын

    Atakumbukwa JPM

  • @frolianfabian6827

    @frolianfabian6827

    3 жыл бұрын

    💪💪💪💪

  • @ashamwandu6572
    @ashamwandu65723 жыл бұрын

    Asante kwa yote Mungu,sisi wote tunapita, magufuli lala Salama

  • @jackson-ly7ci

    @jackson-ly7ci

    3 жыл бұрын

    Waliohusika wapo

  • @ashamwandu6572

    @ashamwandu6572

    3 жыл бұрын

    Watamkuta Hilo ni deni mbele ya Mungu.unazani watatoka salama???

  • @teophilkayaula7335
    @teophilkayaula73357 жыл бұрын

    hongera sanaaaa RAIS wangu piga kazi

  • @aishamwinyi5048
    @aishamwinyi50483 жыл бұрын

    Tutakukumbuka sana jembe la Tanzania 🇹🇿 😭

  • @raymondbarawa5024

    @raymondbarawa5024

    3 жыл бұрын

    Makufuli kweli alikua jembe la tanzania

  • @aishamwinyi5048

    @aishamwinyi5048

    3 жыл бұрын

    @@raymondbarawa5024 umeona ee

  • @mkwindamussa1336
    @mkwindamussa13362 жыл бұрын

    Tunakukumbuka Sana lais wetu,mungu akupumzishe,

  • @ngarabaibrahimmzee5107
    @ngarabaibrahimmzee51073 жыл бұрын

    He was a great leader in Tanzania

  • @patricklembeli8523

    @patricklembeli8523

    3 жыл бұрын

    ,;:':+!)986&$_&;!!( Sijasoma

  • @anamayala8896
    @anamayala88963 жыл бұрын

    Umebaki ndani ya nafsi yangu na ya wayanzania wote kama nebo hatuwezi kukusahau tulalapo tusimamapo tukaapo kamwe hauwezi ukatutoka ndani ya fikira zetu na mionyo yetu daima tutakukumbuka milele

  • @stevensimtowe4511
    @stevensimtowe45113 жыл бұрын

    Apa nimejifunza kuwa Alie toka kwenye Umasikini Ndo mtu Anae jua shida ya Umasikini,Waelewa wataelewa

  • @athumanmpambije9476

    @athumanmpambije9476

    3 жыл бұрын

    I second you brother 👊

  • @donaldmwahalende4841

    @donaldmwahalende4841

    3 жыл бұрын

    Ni kweli

  • @kingdavidmoto6149

    @kingdavidmoto6149

    3 жыл бұрын

    kweli

  • @christophermedau9955
    @christophermedau99553 жыл бұрын

    Dah Rip jpm

  • @johnmathenge3406
    @johnmathenge34063 жыл бұрын

    Najua kitu kimoja kuwa Hayati Mzee Benjamin William Mkapa alikuwa rais mzuri kwa WaTanzania na wakati alipostaafu alikuja nchini Kenya baada ya machakufo ya ghasia 2007/2008 pamoja na Mzee Jakaya Mrisho Kikwete rais wa awamu ya nne. Kweli WaTanzania ni majirani wema na wakati mulipoteza rais JPM mwezi Machi ilikuwa huzuni kubwa lakini Mungu amewapa Mama Samia Suluhu Hassan.

  • @nickodemsimchimba594

    @nickodemsimchimba594

    3 жыл бұрын

    Samia hatumpendu

  • @johnmathenge3406

    @johnmathenge3406

    3 жыл бұрын

    Najua kama JPM angekuwa uhai bado angechukiwa sana maanake shida yetu kama Wafrika kiongozi akifanya maendeleo tunasema yeye ni mbaya, dikteta. Kwa mfano nchi kama Libya, Syria, Iraki, Yemen zilikuwa nchi nzuri na kulikuwa na amani lakini watu walidanganywa angalia sasa. Angalia ndungu yangu huku kwetu Kenya watu wanasema heri rais Mwai Kibaki kuliko rais Uhuru Kenyatta maanake tumeumia kiuchumi, ukabila umezidi na ufisadi inatutafuna kila siku kama jinsi ambavyo rais wenu wa awamu ya kwanza Mwalimu Julius Nyerere alisema. Shukuru mwenyezi Mungu kuwa muna rais mwanamke ambaye amefanya kazi nzuri hadi uchumi yenu iko nzuri kuliko yetu. Nitamalizia na msemo wa rais wenu wa awamu ya nne Dr Jakaya Mrisho Kikwete Akili za kuambiwa changanya na za kwako.

  • @nickodemsimchimba594

    @nickodemsimchimba594

    3 жыл бұрын

    @@johnmathenge3406 Tanzania Rais Magufuri ndio Nembo ya taifa,na ni kiongoz Pekee tutakae mkumbuka vizazi vyote,huyo mwanamke achana nae wew humjui,saivi anahangaika na barakoa, kuleta Chanjo za Corona vitu ambavyo mtangulizi wake hayati JPM alikua anapinga lakn yeye ndie ameanza kushikilia saivi.....huyu mama mbaya Sana,wizi ufisadi umeanza kurudi kama ulivyokua ktk utawala wa kikwete.... Tunashukuru kutambua utendaji kazi wa Hayati JPM lakn usije ukafikiri huyu mama kuna jambo jipya anafanya hakuna kabisa!

  • @mussaisaac
    @mussaisaac3 жыл бұрын

    Baba maneno yako yananitia huzuni sana.nakulilia mimi

  • @lugembefabianfabian7745
    @lugembefabianfabian77453 жыл бұрын

    Mungu akupumzishe kwa amani jembe letu

  • @ezekielnjau8830
    @ezekielnjau88303 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani baba, chumaa, mwamba wa Africa, will miss you kwakweli, mzalendo wa kweli

  • @henerkojuma2230
    @henerkojuma22303 жыл бұрын

    I love you dady

  • @happydionice355
    @happydionice3553 жыл бұрын

    RIP baba yetu mpendwa

  • @emmanuelpastory6074
    @emmanuelpastory60743 жыл бұрын

    Jembe Kama jembe

  • @christinamabula416
    @christinamabula4163 жыл бұрын

    Tutakukumbuka daima

  • @josephmsabila2592
    @josephmsabila25923 жыл бұрын

    Rip DK magufuli

  • @mossymtwana6422
    @mossymtwana64223 жыл бұрын

    Upumzike kwa Amani

  • @faithhumble3780
    @faithhumble37803 жыл бұрын

    Duuuh Pumzika kwa Amani Mzee wetu JPM

  • @davidjanta2799
    @davidjanta27993 жыл бұрын

    Kipenzi cha wengi umeachà pengo kubwa, kwa wazalendo, ,,kifo chako kimeamsha furaha kubwa kwa majambazi ya kitaifa na kimataifa, upigaji wa kupinukia utaendelea

  • @dicksonilugakingilamtalemw3944
    @dicksonilugakingilamtalemw39443 жыл бұрын

    Mungu akulaze maala pema peponi

  • @youngblack3203
    @youngblack32033 жыл бұрын

    Tuna kukumbuka rais wetu mungu akusamehe pale ulipo jikwaa

  • @zakayondaturu3149
    @zakayondaturu31493 жыл бұрын

    Baba ye2 kwa heri😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Kingnelbo
    @Kingnelbo5 жыл бұрын

    Mr president 🇹🇿

  • @mohamedingori8799
    @mohamedingori87997 жыл бұрын

    tunyoshe baba magufuri

  • @donimitwango3056
    @donimitwango30563 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani baba

  • @nicodemussalala8638
    @nicodemussalala86383 жыл бұрын

    Jembe letu pumzika kwa amani baba yetu

  • @andrymilanzi4720
    @andrymilanzi47203 жыл бұрын

    Never forget him

  • @josephkuyela2608
    @josephkuyela26083 жыл бұрын

    😭😭😭

  • @rugaziabaisi6199
    @rugaziabaisi61993 жыл бұрын

    Love you always

  • @geraldlazaro4523
    @geraldlazaro452310 ай бұрын

    Ameeeeeeeeeeeeeeeeeen

  • @dicksonmatulile1523
    @dicksonmatulile15233 жыл бұрын

    Milele tutakukumbuka mzee wetu

  • @harunarashid6404
    @harunarashid64043 жыл бұрын

    Huyu ndiye alikuwa rais😭😭😭

  • @kalolijuma3582
    @kalolijuma35823 жыл бұрын

    daaaa😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @burudatv751
    @burudatv7513 жыл бұрын

    Chuma endelea kupumzika kwa amani

  • @hamiarseif7299

    @hamiarseif7299

    3 жыл бұрын

    APUMZIKE KWA AMANI AMANI IYO AIPATE WAPII MUWAJI YULE

  • @zenaabdallah3797

    @zenaabdallah3797

    3 жыл бұрын

    @@hamiarseif7299 MUUAJI NI WW ULIOKOSA SHUKRANI ALIMUUA NANA ACHA UNAFIKI WW C MTOA HUKUMU.KILA MJA ANAMAPUNGUFU YAKE ILA C KWAWAPINGA MAENDELEO.MMEZOEA RUSHWA.

  • @hamiarseif7299

    @hamiarseif7299

    3 жыл бұрын

    @@zenaabdallah3797 WE NIMJINGA HUJUI ALO WAUWA AU UNA UPENZI TU NIKUHESABIE WAMEULIWA KWA ARI YANANI WALE WALO UWA WA

  • @zenaabdallah3797

    @zenaabdallah3797

    3 жыл бұрын

    @@hamiarseif7299 UCMHUKUMU MTU KWA VITU AMBAVYO HUNA UHAKIKAWALA USHAHIDI.ACHA NIWE MJINGA LAKINI NINAIMANI NA JPM HAKUWAHI KUFIKIRIA KUUA ACHA UNAFIKI

  • @hamiarseif7299

    @hamiarseif7299

    3 жыл бұрын

    @@zenaabdallah3797 NINA UHAKIKA KAUWA YE NIAMBIE KUNA UCHAGUZI GANI WATU WATU WALOKUFA KAMA HUU AU KUPOKONYWA MAJIMBO YAO YOTE KAMA MWAKA HUU. NIAMBIE AU HUKUONA. MIMI BINAFS KAKAANGU KSHINDA KWENYE JIMBO LAKE HAKUPEWA KAPEWA MTU KWA KURA 17 IYO NI. HAKI. WE VIPI NI MUUAJI

  • @magulufamily177
    @magulufamily1773 жыл бұрын

    Nenda lakini mipango yako sasa inahujumiwa na wakaribu yako

  • @priscahaule4523
    @priscahaule45233 жыл бұрын

    Wewe ndie rais wawanyonge

  • @mayaltv9441
    @mayaltv94417 жыл бұрын

    potential speech

  • @ezzyphilipo4357
    @ezzyphilipo43573 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭

  • @jackyemmanuel1126

    @jackyemmanuel1126

    3 жыл бұрын

    😭😭😭

  • @emmanuelmashishanga5057
    @emmanuelmashishanga50573 жыл бұрын

    😭

  • @user-nk5rq9fc6j
    @user-nk5rq9fc6j10 ай бұрын

    Pumzika Kwa amani jembe latu

  • @bashiteentertainment3298
    @bashiteentertainment32983 жыл бұрын

    Ulale pema yako mema daima tutayaenzi katika kuyafikia maemdelea ya nchi nawananchi pia

  • @mbarikiwalazarowatisa2086
    @mbarikiwalazarowatisa20867 жыл бұрын

    my president

  • @nellhaule303

    @nellhaule303

    3 жыл бұрын

    Yes

  • @emmamataru5059

    @emmamataru5059

    3 жыл бұрын

    daaaaaaaaa babaaaa

  • @mashallamazoya5080

    @mashallamazoya5080

    3 жыл бұрын

    My leader ever happened in in dz times

  • @pitachales1914

    @pitachales1914

    3 жыл бұрын

    Hautasahaulika kamwe daima tutakukumbuka mkombozi m beba maono we we umeletwa namungu sio wananchi vyetifeki mishahara hewa watanzanzania walikua hajuikui kua nchi inaliwa

  • @lazarousabraham9801
    @lazarousabraham980110 ай бұрын

    Ngorongoro

  • @MussaBudeba-sj7eb
    @MussaBudeba-sj7eb Жыл бұрын

    Magufuli abananisha muchina

  • @YamunguYb
    @YamunguYb7 жыл бұрын

    Mungu azidi kukupa Ulinzi Rais wetu

  • @heribandwa8028
    @heribandwa80283 жыл бұрын

    Heri

  • @kaizamulinda633
    @kaizamulinda6337 жыл бұрын

    Kwenye tukio la kitaifa kama hili sare za chama niza nini? huu umbumbumbu sijui utaisha lini

  • @ramadhanikaita9672

    @ramadhanikaita9672

    5 жыл бұрын

    Sasa ndugu yangu hizo sare walizovaa zinakuuma nini kwani wewe shida yako nini unakwama wapi fata maneno yake usifate matendo yake

  • @maxiwellndeleman4975

    @maxiwellndeleman4975

    5 жыл бұрын

    Chama kinachoongoza ndo hicho..

  • @AllyIssya-cy9yg
    @AllyIssya-cy9ygАй бұрын

    akika tinga tinga lime zimika, tuta kuku mbuka sana

  • @sponsor7882
    @sponsor78823 жыл бұрын

    Sasa bongo mambo shwar.

  • @zenaabdallah3797

    @zenaabdallah3797

    3 жыл бұрын

    USHWARI UNAUPATA WW MWENYE ROHO YA MKAANGA SUM USIEPENDA KUONA MAENDELEO YA NCHI YAKO KILA MTU KWAKO NI ADUI KINACHOKUFURAHISHA NI NN?YATAFIKA MAJUTO NDIO UTAPATA TAFISIRI YA SHWARI MUNGU YUPO

  • @charleskazimily2452

    @charleskazimily2452

    3 жыл бұрын

    Nyau wew

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila85627 жыл бұрын

    heshima kwako

  • @focusdaily2742
    @focusdaily27423 жыл бұрын

    From this speech I can confirm that Magafuli was not a dictator, but a discipline servants

  • @JayrosKidaga

    @JayrosKidaga

    Жыл бұрын

    ¹111¹¹¹¹¹1¹111q

  • @hamiarseif7299
    @hamiarseif72993 жыл бұрын

    KUONDOKA KWAKO NIFARAJA KUBWA KWA WATANZANIA IMEONDOKA ZULUMA

  • @awezaejohn4893

    @awezaejohn4893

    3 жыл бұрын

    Kila nafs itaonja mauti jichanganye sasa

  • @hamiarseif7299

    @hamiarseif7299

    3 жыл бұрын

    @@awezaejohn4893 NIJICHANGANYE NA NINI NA HUYU MTU ALIKUWA MBAYA SANAAA

  • @beatricehenry6776

    @beatricehenry6776

    3 жыл бұрын

    @@hamiarseif7299 Kama wewe ulivyo mbaya na mchawi wa mchana uchawi uliotumia kumloga jembe letu unakutafuna mpaka unaongea hadharani jifiche basi tusijue km Ni kundi kigogo

  • @hamiarseif7299

    @hamiarseif7299

    3 жыл бұрын

    @@beatricehenry6776 HILI NI JEMBE LAKINI LAKUZOLEA MAFI. HUKUMBUKI ALIVOTUUWA KWA MADARAKA TU UMESAHAU AU HUKUONA UBAYA ALOUFANYA KWENYE UCHAGUZI IMEWAHI KUTOKEA KAMA VILE JEMBE GANI MUUWAJI AFE TU

  • @hamiarseif7299

    @hamiarseif7299

    3 жыл бұрын

    @@beatricehenry6776 JEMBE MAVII LILE

Келесі