WANANCHI WAMCHANGANYA MAGUFULI, AMSHUSHA MLINZI WAKE KWENYE GARI "WAPUMBAVU SANA"
Жүктеу.....
Пікірлер: 144
@kerrykerry2548 ай бұрын
Am from Kenya lakini nikikumbuka kifo cha Magufuli huwa ninanusurika sana...very painful to us as Africans 😢
@ferouzmasoud47414 жыл бұрын
Asante Sanaa Baba magufuri Mw/MUNGU akujalie maisha marefu Zaid 🙏 🙏🙏 🙏
@roseemmanuel44924 жыл бұрын
Wanainchi wabaya Kama wajumbe ukiwatendea ubaya wanakupa ubaya nakupenda San Rais wangu Mungu akutunze maisha yote
@husseinshabani95224 жыл бұрын
Mungu Akulinde sana Rais wetu. Na nikupe pole sana kwa Majukumu Magumu sana Uliyonayo yakutatuwa kero za Watanzania.Mimi nashindwa kuelewa watendaji wanakwama wapi!!!,Wanakuumiza kichwa hivi!!!,kweli kutengeneza Gari la wagonjwa linakuwa shida.watuchukuwe Mafundi Mtaani waone. Yatapona yote.
@ismailmneka2967 Жыл бұрын
Daah hakika wewe ulikua Rais wa kweli😭😭😭😭pumzika Kwa hamani baba
@allymwilamba11804 жыл бұрын
Jamani huyu rais anafanya,kazi xna,yaan anauchungu na maendeleo ila baadhi ya mawaziri kichefuchefu na wakurungezi na DC wapo wapo tuuuuuuu
@maryoswad70224 жыл бұрын
Duuu raisi wetu Mungu akutunze upo vizuri sana mmmmm
@teychriss32484 жыл бұрын
Hatari sana ! JPM jembe langu kazi unayo! Wananchi wako umewapa ujasiri wa kujieleza mbele yako! Wanakuamini sana wewe unaewapa wananchi nafasi ya kukueleza ukaelewa! Unaamini wananchi wako! Kuliko viongozi uliowaweka! 🙏🏾 Mungu azidi kukuinua!
@Joseph-lu4yj
Жыл бұрын
now days hali ni mbaya daaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@peterminde4037 Жыл бұрын
Daah!!! Missing sana hii kazi ya anko. RIP dad /comrade JPM 😢
@gadinuru14544 жыл бұрын
Dawasco Tanesco Kila kitu yeye dah Mungu akubariki🙏🙏
@lovecorridor60394 жыл бұрын
Natumai Somalia tutawaikua na rais kama Rais maghufuli🙏🇸🇴♥️
@hamadshein498
4 жыл бұрын
Nyie mlimfanyia fitna hussen Adid
@lovecorridor6039
4 жыл бұрын
@@hamadshein498fitna?? aje kakangu??
@husseinshabani9522
4 жыл бұрын
In sha Allah.Allah Awafanyie Wepesi.
@teychriss3248
4 жыл бұрын
Hussein Shabani Mungu atawapatia
@husseinshabani9522
4 жыл бұрын
@@teychriss3248 Mungu ni mwema kwa kila jambo jema.
@marley4210 ай бұрын
Ila hapa john alicheza kicuba kwenye majibu.😂😂
@francissgodlove Жыл бұрын
R.I.P kitu kinachoniuma sana nikutokupigia kura 2020 Inaniuma sana, ingawa 2021 Nilianza kukupenda na kukuelewa shida moja tuu nikuchelewa kukuelewa "Pumzika mzee" ninajifunza
@dinapraygod3546
9 ай бұрын
Pole ndugu yangu
@salem9874 Жыл бұрын
Naomb like sote tuliangalia mwaka 2023
@abdulmajiddhamirramadhan23644 жыл бұрын
Yaani Rais wetu alivokuwa serious,hadi mlinzi wake anasitasita kujieleza mbele yake,asante sana Rais wangu,hivi ndivyo tunavyotaka sie wananchi wako wanyonge
@user-eg2wk4xx3h9 ай бұрын
Sichokagi kumsikikiza huyu Mwamba ila na mshukuru Mungu kwa yote Maana hata kwa hili atabaki kuwa Mungu Jehova
Mh anafanya kazi sana tatizo watendaji wake. Yaani hadi kutengenezwa gari mpk raisi asimamie si awafukuze wote wasiowajibika wasomi wapo kibao mtaani hawana hta ajira
@isaya43.124 жыл бұрын
Nakupenda Sana Rais wetu 2025 Mungu Atupe Tena Mtu kama wew
@Joseph-lu4yj
Жыл бұрын
daaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!
@josephmakalanga94534 жыл бұрын
Nakubali xna mkli taariza za uhakika your super nice
@edwingwesso68184 жыл бұрын
Huyu ni zaid ya mwanajeshi
@ramamtetu23274 жыл бұрын
Ninachompenda JPM Mwananchi Akizungumza tu Hata kama Akizungumza Kwa daraja la darasa la saba Chap Chap anamuelewa Kwamba Kuna Jamba fulani Huyo Mwananchi Anamaanisha
Mungu mjali rais wetu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania awamu ya tano
@edigoldkhadija56804 жыл бұрын
I like Mr President God bless you and give you strong health
@elibarikinelsonnsenga39494 жыл бұрын
Naomba uniambie mheshimiwa ,, unamkubuka komba,, naomba unijib mheshimiwa. Rais huyu ni tunu. Mlinzi wake mwenyewe amepata tabu kujieleza
@namelessunknown1377
4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁wabongo noma
@mjukuutvonline8373
4 жыл бұрын
Nameless Unknown Noma sana yani
@swaggerizedninjagoseprocom85234 жыл бұрын
Magufuli kamanda aiseeeh
@wokovumwazembe35053 ай бұрын
Kupata rais kama huyu itachukua muda sana Tanzania Mungu naomba msamehe dhambi zake pia utusamehe na wengine tulio hayi
@rechrontv24534 жыл бұрын
BIASHARA 8 ZA KUFANYA CHUONI (gusa link 👇👇👇 kutazama) kzread.info/dash/bejne/lJmet6aDe7XHYJM.html
@mpesmail18342 жыл бұрын
That dude lamenting about water "maji tatizo" without elaborating further was not even polite in his tone. Some people lack basic manners of talking. The Late JPM is an ever hero and an excellent role model, not only for Africa, but the whole world. RIP.
@robertpaul33154 жыл бұрын
Kazi yako inafaa sana
@liverpoolfootballclub998510 ай бұрын
Alhaji hoyee 🇰🇪
@suleimanali52704 жыл бұрын
Hongera sana Mh Rais unajitahidi sana na lengo lako tunalielewa ila wakati mwengine kua na subra kidogo unatisha sanaaa hata ninapokuangalia najaa hofu
@HaleluyaTv4 жыл бұрын
KARIBU KUTAZAMA IBADA YA JUMAPILI YA LEO 02.08.2020 KUTOKA HAPA OMEGA MINISTRIES CHURCH OF ALL NATIONS- KWA MTU WA MUNGU NABII SS ROLINGA, MBEZI BEACH DAR ES SALAAM PIA USISAHAU KU SUBSCRIBE CHANNEL HII UBARIKIWE, GUSA LINK HII CHINI kzread.info/dash/bejne/pI56x9yMoMKXqrA.html
@jalimpanga9315 Жыл бұрын
Magu magu ilabasitu hakuna namna
@user-en8tj4yz6n3 ай бұрын
Amka mzee magufuri taifa limekua la hovyo huku
@SIMULIZIZONE4 жыл бұрын
Angalia hapa makala ya #King #Mswati na mila za kuoa mademu bikra. kzread.info/dash/bejne/m4h7k8GmopW2lpM.html kzread.info/dash/bejne/m4h7k8GmopW2lpM.html
@godfreylyimo41774 жыл бұрын
Gari ya Mkurugenzi!! Bado watendaji hawajakuelewa kwamba kipaumbele chako ni mwananchi wa chini kupata huduna
@seifmtengela55964 жыл бұрын
Baba una kazi sana ... Inatakiwa sijui
@mwiganemwakajinga53684 жыл бұрын
Baba yetu kazi unayo hao ndio wananchi wako wanauchungu Sana tusaidie sisi wanyonge.
@khaldancarlos98593 жыл бұрын
Mungu amlinde Tundu Lissu
@teacherd4 жыл бұрын
Wanafunzi wote pita KWENYE CHANNEL yangu yapo MENGI mazuri uta yapata
@mohamedsuleiman25524 жыл бұрын
Mjomba magu kamshusha usalama duuh
@bjzee19814 жыл бұрын
Mafuriko yalichimba hadi makaburi mwaka huu
@omaryhathuman94444 жыл бұрын
Changamoto za maji ata Wilaya ya Masasi zimeenea kata ya Chiwata tunakunywa maji ya kushea na wanyama wakati mito iko mingi na maji yako mengi
@Joseph-lu4yj Жыл бұрын
Gari ya mkurugenzi ndoo iwe ambulance duuuuuuuuuu
@omarylukindo53064 жыл бұрын
Wananchi sio watu wazuri kabisa.Daah wanakuchoma huku onaona😂😂
@remmygashumba98654 жыл бұрын
Millard ayo low quality
@user-hx9fz7ee9r10 ай бұрын
V8 iwee🚑🚑🚑chap
@xbdbdgdgsbdbbxx42544 жыл бұрын
Yaani huyo kaka anahasira kweli, ana mrudishia kesi kwa m Rais 😂😂😂😂. Rais Magufuli oyee eee 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
@careenjunior8711
4 жыл бұрын
Fanya kazi baba unaweza.
@elibarikinelsonnsenga3949
4 жыл бұрын
Embu Rais niambie inakuwaje hapo,, yaani hadi raha🤣🤣🤣
@roi2554
4 жыл бұрын
@@elibarikinelsonnsenga3949 🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌
@bjzee1981
4 жыл бұрын
Atakua Chadema huyu
@lazarojohn6762 Жыл бұрын
Huyu jamaa alijua kucheza na akili za wajinga
@IronKing894 жыл бұрын
Kumbe maji tu ccm si mliichagua!
@thabitmkuu19294 жыл бұрын
Huyu Mjomba magu ni hatari
@kingswebe32514 жыл бұрын
hili gari nikisema lije hapa litakuja? hapana mkuu, wewe unagari? hapana, mkurugenzi yuko wapi? yupo dar ameenda na gari lake, kuanzia sasa gari ya mkurugenzi ianze kubeba wagonjwa mpaka watakapotengeneza ambulansi 👊👊
@Kingnelbo
4 жыл бұрын
Lol mungu azidi kumuongoza uyu mzee
@wannaproducts
4 жыл бұрын
Natamani nikuelewe...
@baikokokangamoko4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@jacklinejohn71544 жыл бұрын
Rais mpambanaji kiongoz wa wanyonge
@bobbiegatimu71244 жыл бұрын
21st century Africa this is shocking
@eischerschwederm78764 жыл бұрын
Tatizo ni uongozi mzima ivi tengeneza hayo magari jamani hadi huruma kwa rais
@baikokokangamoko4 жыл бұрын
Kimempata
@andrewkilave35324 жыл бұрын
Huyu DC kafanana na jengua daah
@thierybien70514 жыл бұрын
Yaan ciwaelewi kabisa wanavyojielezea
@salmasoso9839
4 жыл бұрын
Rais kawaelewa
@josephmanyama435
4 жыл бұрын
safi sana salma soso
@thierybien7051
4 жыл бұрын
@@josephmanyama435 oya manyama henry hapa
@martinemasanja1633
4 жыл бұрын
Mh.raisi ana uwezo mkubwa wa kuwaelewa Wana maanisha nini
@salmasoso9839
4 жыл бұрын
@@martinemasanja1633 fact
@manyotaskipper57654 жыл бұрын
Kumbe huyu ndio DC ALIOTUMBULIWA KAPELEKWA KANAL SASA HV
@jedidahbintidaudi82414 жыл бұрын
Magufuli nikugombezwa kwa kwenda mbele na wananchi lol @4:50
@sasha-ri7tf4 жыл бұрын
Magu na gari moshi mara atasema amerogwa, nchi mmeinajisi hakuna chochote zaid ya usanii milio 31 pesa ya (madafu) sasa mvua zikinyesha waizime mashine watumiye maji tope?.. Tatizo serikali imelaniwa hakuna kitakachokuwa. Mnatowa pesa mbili za madafu zitafanya nini buree tu.
@wannaproducts
4 жыл бұрын
Umelaaniwa weye na ukoo wako bila shaka... Ni ujinga wa kiafrika kudhani kila jambo mnaloshindwa kuwajibika nalo kuwa ni laana, na laana iko Africa tu. Acha uwehu
@mr.theory5871
4 жыл бұрын
Huyu jamaa kama anaongelea mkundu
@gracethomas683
4 жыл бұрын
sasha 2020 ni milioni 91
@hamisimussa2228
4 жыл бұрын
Uyu Sasha ni shoga
@rhassanimkomwa4 жыл бұрын
watu wanachomoa betri mbele dc pole sana
@jacksonamos2008
4 жыл бұрын
Duu ajali yake sio ya kitoto.
@kalaluwakisaka32114 жыл бұрын
Maguuuuu
@haikajohn75804 жыл бұрын
Wana,hila hao
@diuskaganda51054 жыл бұрын
Jaribu sana ndugu zangu kutumia nafasi ,pili angalie na mtu mnaeongea nae.na ww unaongea vip,hakika huyu ni rais wa pekee.mungu ampe maisha marefu raisi wetu
@saimonseleka8478
4 жыл бұрын
Uyu msemaji muislamu uyo duh! Kama nyaya haziko sawa
@robarttarimo1696
4 жыл бұрын
Unazingua sasa unaona alivyoekeza alupewa nafas kwenda kunyenyekea m2 au kueleza
@josephmanyama4354 жыл бұрын
Unajua wanamchanganya sana raisi wetu anamambo mengi sana kwani viongozi wa huko chini wanafanya kazi gani jamani mbona madaraka hamyajui jamani
@baikokokangamoko4 жыл бұрын
🤣🤣
@muhalamihabibu8490
4 жыл бұрын
Mambo vp
@videozaaj10694 жыл бұрын
We mheshmiwa weweeeee
@kingswebe32514 жыл бұрын
binafsi nimengundua kumbe upinzani nikupinga kila kitu, pia inakubidi usione mazuri anayoyafanya mtawala wako yote ni kupinga tu.
@adrophwilliam3225
4 жыл бұрын
Uwezo wako wa kufikili ndio unao kusumbua tangu lini Raisi alipo tatua shida za watu kwa njia za haki akalaumiwa? mfano kama hili la leo nani kamlaumu?
@kingswebe3251
4 жыл бұрын
@@adrophwilliam3225 yanayonisumbua mengi sana, sio tu uwezo wa kufikiri.
@bone102
4 жыл бұрын
@@adrophwilliam3225 ndege si mlimlaumu pale ubungo alivyokuwa anavunja majengo ili ajenge daraja si mlimlaumu leo daraja limekamilika mnaanza kumsifia nw ndege zinaleta mapato zmechukua ndugu zetu toka china kwa ndege mlizo sema watu hazitusaidii
@agogojrtz65324 жыл бұрын
P1
@maalickbintarish66584 жыл бұрын
Jembe la ccm
@haikajohn75804 жыл бұрын
Kweeli baba wanakuchanganya,kwani,kila,kitu raisi,afanye? Kwanii viongozi wangazi zachini kazi zao,nipi?
@hamisimustafa44154 жыл бұрын
Nakubari
@mrbenedicto56604 жыл бұрын
kzread.info/dron/9rRQdZ2IHlqMgvv1OJBqIQ.html *Ndugu, Jamaa,Rafiki ..watoto kwa wakubwa naombeni support yenu kwa kwa Ku like na Ku subscribe channel yangu hii kwa kubonyeza link hapo juu 👆🏻👆🏻kupata Nyimbo nitakazo zitarajia kuzitupia hivi karibuni pamoja na video za fani mbali mbali kutoka kwangu.Ahsanteni sana🙏🏻 na Mungu awabariki saana 🙌🏻*
@polycarpmicky41514 жыл бұрын
Duh huu wimbo mzuri shukuran kwa Mungukzread.info/dash/bejne/h4uW19Kpe8LWZ5s.html
@selemankishema57804 жыл бұрын
Mzee magufuli bwana sasa walinzi wako mbona unawachanganya hawatakiwi kushughulika na mambo mengine zaidi ya kukulinda wewe.
@husseinshabani9522
4 жыл бұрын
Analindwa na Mungu.Binadam Awezi kumlinda Mtu.Binadam Anakusaidia Usisumbuliwe na Watu.
@teychriss3248
4 жыл бұрын
Hussein Shabani safi
@kelvinjohn6851
4 жыл бұрын
Kwani kawauliza wote??? Si amemchukua mmoja tu kati yao.
@reginasoki50254 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆 pumbavu kabisa
@ernestdismaseryd16774 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/iYai1LmuiMudk6Q.html hatari sana
@bjzee19814 жыл бұрын
Lakini sasa utajuaje mafuriko yatatokea ilhali mvua za mwaka huu zilikua zakushtukizia.
@bone102
4 жыл бұрын
Sio kujua mafuriko walitakiwa kutoa hzo mashine baada ya kuona mvua kubwa
@bjzee1981
4 жыл бұрын
@@bone102 . Wakati mwingine mvua hunyesha usiku ukiamka kila kitu kime sombwa
@baikokokangamoko4 жыл бұрын
Haya kama unapenda mizigo mizigo 🍑🍑 njoo huku haraka
@selector728
4 жыл бұрын
🖕🖕🖕🖕🖕🖕
@hajimizozo93134 жыл бұрын
T
@jmnafaka94514 жыл бұрын
PETITMAN AANGUA KILIO MBELE YA WAANDISHI KISA ESMA KUOLEWA 😭💥💥🔥 LINK hapa 👇👇 kzread.info/dash/bejne/n21ll6yLpZe-c9Y.html
@halfanmundo6224 жыл бұрын
ameshituka aliposikia mrad wa maj unasimamiwa na luwasa akahis lowasa.
@amanimgaya9623
4 жыл бұрын
😄😄
@anthonyzambi4415
4 жыл бұрын
Hujitambui wewe unashindwa kuandika hata RUWASA, ray man mkubwa sana weee
@selector728
4 жыл бұрын
Hee we kwel boya hajasema luwasa,,,sema RUWASA
@husseinmkakile92064 жыл бұрын
YATAFURIKAJEEEEEE😂😂😂
@samsonkusupa81854 жыл бұрын
duuh kweli hapo mzee magu kakutana na wendawazimu
@martinemasanja1633
4 жыл бұрын
Lakini jamaa nimemkubali Sana kwani anajiamini na kingine jamaa kuna Jambo kalificha ndo maana akamwambia chunguza mwenyewe
@planmasta40834 жыл бұрын
Mtetezi wa wanyonge
@Amneamne-qi2du
4 жыл бұрын
Ama kweli huyu mtetezi wetu wanyonge Allah akupe umri na afya njema
@roseemmanuel44924 жыл бұрын
Wanainchi wabaya Kama wajumbe ukiwatendea ubaya wanakupa ubaya nakupenda San Rais wangu Mungu akutunze maisha yote
Пікірлер: 144
Am from Kenya lakini nikikumbuka kifo cha Magufuli huwa ninanusurika sana...very painful to us as Africans 😢
Asante Sanaa Baba magufuri Mw/MUNGU akujalie maisha marefu Zaid 🙏 🙏🙏 🙏
Wanainchi wabaya Kama wajumbe ukiwatendea ubaya wanakupa ubaya nakupenda San Rais wangu Mungu akutunze maisha yote
Mungu Akulinde sana Rais wetu. Na nikupe pole sana kwa Majukumu Magumu sana Uliyonayo yakutatuwa kero za Watanzania.Mimi nashindwa kuelewa watendaji wanakwama wapi!!!,Wanakuumiza kichwa hivi!!!,kweli kutengeneza Gari la wagonjwa linakuwa shida.watuchukuwe Mafundi Mtaani waone. Yatapona yote.
Daah hakika wewe ulikua Rais wa kweli😭😭😭😭pumzika Kwa hamani baba
Jamani huyu rais anafanya,kazi xna,yaan anauchungu na maendeleo ila baadhi ya mawaziri kichefuchefu na wakurungezi na DC wapo wapo tuuuuuuu
Duuu raisi wetu Mungu akutunze upo vizuri sana mmmmm
Hatari sana ! JPM jembe langu kazi unayo! Wananchi wako umewapa ujasiri wa kujieleza mbele yako! Wanakuamini sana wewe unaewapa wananchi nafasi ya kukueleza ukaelewa! Unaamini wananchi wako! Kuliko viongozi uliowaweka! 🙏🏾 Mungu azidi kukuinua!
@Joseph-lu4yj
Жыл бұрын
now days hali ni mbaya daaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Daah!!! Missing sana hii kazi ya anko. RIP dad /comrade JPM 😢
Dawasco Tanesco Kila kitu yeye dah Mungu akubariki🙏🙏
Natumai Somalia tutawaikua na rais kama Rais maghufuli🙏🇸🇴♥️
@hamadshein498
4 жыл бұрын
Nyie mlimfanyia fitna hussen Adid
@lovecorridor6039
4 жыл бұрын
@@hamadshein498fitna?? aje kakangu??
@husseinshabani9522
4 жыл бұрын
In sha Allah.Allah Awafanyie Wepesi.
@teychriss3248
4 жыл бұрын
Hussein Shabani Mungu atawapatia
@husseinshabani9522
4 жыл бұрын
@@teychriss3248 Mungu ni mwema kwa kila jambo jema.
Ila hapa john alicheza kicuba kwenye majibu.😂😂
R.I.P kitu kinachoniuma sana nikutokupigia kura 2020 Inaniuma sana, ingawa 2021 Nilianza kukupenda na kukuelewa shida moja tuu nikuchelewa kukuelewa "Pumzika mzee" ninajifunza
@dinapraygod3546
9 ай бұрын
Pole ndugu yangu
Naomb like sote tuliangalia mwaka 2023
Yaani Rais wetu alivokuwa serious,hadi mlinzi wake anasitasita kujieleza mbele yake,asante sana Rais wangu,hivi ndivyo tunavyotaka sie wananchi wako wanyonge
Sichokagi kumsikikiza huyu Mwamba ila na mshukuru Mungu kwa yote Maana hata kwa hili atabaki kuwa Mungu Jehova
😢😢😢 Tanzania yangu
nataka gari la mkurugenzi likawe ambulance likabebe wagonjwa.... MAGUFURI HOYEEEE 😁✌
Mh anafanya kazi sana tatizo watendaji wake. Yaani hadi kutengenezwa gari mpk raisi asimamie si awafukuze wote wasiowajibika wasomi wapo kibao mtaani hawana hta ajira
Nakupenda Sana Rais wetu 2025 Mungu Atupe Tena Mtu kama wew
@Joseph-lu4yj
Жыл бұрын
daaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!
Nakubali xna mkli taariza za uhakika your super nice
Huyu ni zaid ya mwanajeshi
Ninachompenda JPM Mwananchi Akizungumza tu Hata kama Akizungumza Kwa daraja la darasa la saba Chap Chap anamuelewa Kwamba Kuna Jamba fulani Huyo Mwananchi Anamaanisha
Magu :kwahyo hlo gari linaweza kauja hapa Ccm : HAPANA haliwezi kufika😀😁😁😁😁
Mungu akusaidie magufuri
Mungu mjali rais wetu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania awamu ya tano
I like Mr President God bless you and give you strong health
Naomba uniambie mheshimiwa ,, unamkubuka komba,, naomba unijib mheshimiwa. Rais huyu ni tunu. Mlinzi wake mwenyewe amepata tabu kujieleza
@namelessunknown1377
4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁wabongo noma
@mjukuutvonline8373
4 жыл бұрын
Nameless Unknown Noma sana yani
Magufuli kamanda aiseeeh
Kupata rais kama huyu itachukua muda sana Tanzania Mungu naomba msamehe dhambi zake pia utusamehe na wengine tulio hayi
BIASHARA 8 ZA KUFANYA CHUONI (gusa link 👇👇👇 kutazama) kzread.info/dash/bejne/lJmet6aDe7XHYJM.html
That dude lamenting about water "maji tatizo" without elaborating further was not even polite in his tone. Some people lack basic manners of talking. The Late JPM is an ever hero and an excellent role model, not only for Africa, but the whole world. RIP.
Kazi yako inafaa sana
Alhaji hoyee 🇰🇪
Hongera sana Mh Rais unajitahidi sana na lengo lako tunalielewa ila wakati mwengine kua na subra kidogo unatisha sanaaa hata ninapokuangalia najaa hofu
KARIBU KUTAZAMA IBADA YA JUMAPILI YA LEO 02.08.2020 KUTOKA HAPA OMEGA MINISTRIES CHURCH OF ALL NATIONS- KWA MTU WA MUNGU NABII SS ROLINGA, MBEZI BEACH DAR ES SALAAM PIA USISAHAU KU SUBSCRIBE CHANNEL HII UBARIKIWE, GUSA LINK HII CHINI kzread.info/dash/bejne/pI56x9yMoMKXqrA.html
Magu magu ilabasitu hakuna namna
Amka mzee magufuri taifa limekua la hovyo huku
Angalia hapa makala ya #King #Mswati na mila za kuoa mademu bikra. kzread.info/dash/bejne/m4h7k8GmopW2lpM.html kzread.info/dash/bejne/m4h7k8GmopW2lpM.html
Gari ya Mkurugenzi!! Bado watendaji hawajakuelewa kwamba kipaumbele chako ni mwananchi wa chini kupata huduna
Baba una kazi sana ... Inatakiwa sijui
Baba yetu kazi unayo hao ndio wananchi wako wanauchungu Sana tusaidie sisi wanyonge.
Mungu amlinde Tundu Lissu
Wanafunzi wote pita KWENYE CHANNEL yangu yapo MENGI mazuri uta yapata
Mjomba magu kamshusha usalama duuh
Mafuriko yalichimba hadi makaburi mwaka huu
Changamoto za maji ata Wilaya ya Masasi zimeenea kata ya Chiwata tunakunywa maji ya kushea na wanyama wakati mito iko mingi na maji yako mengi
Gari ya mkurugenzi ndoo iwe ambulance duuuuuuuuuu
Wananchi sio watu wazuri kabisa.Daah wanakuchoma huku onaona😂😂
Millard ayo low quality
V8 iwee🚑🚑🚑chap
Yaani huyo kaka anahasira kweli, ana mrudishia kesi kwa m Rais 😂😂😂😂. Rais Magufuli oyee eee 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
@careenjunior8711
4 жыл бұрын
Fanya kazi baba unaweza.
@elibarikinelsonnsenga3949
4 жыл бұрын
Embu Rais niambie inakuwaje hapo,, yaani hadi raha🤣🤣🤣
@roi2554
4 жыл бұрын
@@elibarikinelsonnsenga3949 🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌
@bjzee1981
4 жыл бұрын
Atakua Chadema huyu
Huyu jamaa alijua kucheza na akili za wajinga
Kumbe maji tu ccm si mliichagua!
Huyu Mjomba magu ni hatari
hili gari nikisema lije hapa litakuja? hapana mkuu, wewe unagari? hapana, mkurugenzi yuko wapi? yupo dar ameenda na gari lake, kuanzia sasa gari ya mkurugenzi ianze kubeba wagonjwa mpaka watakapotengeneza ambulansi 👊👊
@Kingnelbo
4 жыл бұрын
Lol mungu azidi kumuongoza uyu mzee
@wannaproducts
4 жыл бұрын
Natamani nikuelewe...
🤣🤣🤣🤣🤣
Rais mpambanaji kiongoz wa wanyonge
21st century Africa this is shocking
Tatizo ni uongozi mzima ivi tengeneza hayo magari jamani hadi huruma kwa rais
Kimempata
Huyu DC kafanana na jengua daah
Yaan ciwaelewi kabisa wanavyojielezea
@salmasoso9839
4 жыл бұрын
Rais kawaelewa
@josephmanyama435
4 жыл бұрын
safi sana salma soso
@thierybien7051
4 жыл бұрын
@@josephmanyama435 oya manyama henry hapa
@martinemasanja1633
4 жыл бұрын
Mh.raisi ana uwezo mkubwa wa kuwaelewa Wana maanisha nini
@salmasoso9839
4 жыл бұрын
@@martinemasanja1633 fact
Kumbe huyu ndio DC ALIOTUMBULIWA KAPELEKWA KANAL SASA HV
Magufuli nikugombezwa kwa kwenda mbele na wananchi lol @4:50
Magu na gari moshi mara atasema amerogwa, nchi mmeinajisi hakuna chochote zaid ya usanii milio 31 pesa ya (madafu) sasa mvua zikinyesha waizime mashine watumiye maji tope?.. Tatizo serikali imelaniwa hakuna kitakachokuwa. Mnatowa pesa mbili za madafu zitafanya nini buree tu.
@wannaproducts
4 жыл бұрын
Umelaaniwa weye na ukoo wako bila shaka... Ni ujinga wa kiafrika kudhani kila jambo mnaloshindwa kuwajibika nalo kuwa ni laana, na laana iko Africa tu. Acha uwehu
@mr.theory5871
4 жыл бұрын
Huyu jamaa kama anaongelea mkundu
@gracethomas683
4 жыл бұрын
sasha 2020 ni milioni 91
@hamisimussa2228
4 жыл бұрын
Uyu Sasha ni shoga
watu wanachomoa betri mbele dc pole sana
@jacksonamos2008
4 жыл бұрын
Duu ajali yake sio ya kitoto.
Maguuuuu
Wana,hila hao
Jaribu sana ndugu zangu kutumia nafasi ,pili angalie na mtu mnaeongea nae.na ww unaongea vip,hakika huyu ni rais wa pekee.mungu ampe maisha marefu raisi wetu
@saimonseleka8478
4 жыл бұрын
Uyu msemaji muislamu uyo duh! Kama nyaya haziko sawa
@robarttarimo1696
4 жыл бұрын
Unazingua sasa unaona alivyoekeza alupewa nafas kwenda kunyenyekea m2 au kueleza
Unajua wanamchanganya sana raisi wetu anamambo mengi sana kwani viongozi wa huko chini wanafanya kazi gani jamani mbona madaraka hamyajui jamani
🤣🤣
@muhalamihabibu8490
4 жыл бұрын
Mambo vp
We mheshmiwa weweeeee
binafsi nimengundua kumbe upinzani nikupinga kila kitu, pia inakubidi usione mazuri anayoyafanya mtawala wako yote ni kupinga tu.
@adrophwilliam3225
4 жыл бұрын
Uwezo wako wa kufikili ndio unao kusumbua tangu lini Raisi alipo tatua shida za watu kwa njia za haki akalaumiwa? mfano kama hili la leo nani kamlaumu?
@kingswebe3251
4 жыл бұрын
@@adrophwilliam3225 yanayonisumbua mengi sana, sio tu uwezo wa kufikiri.
@bone102
4 жыл бұрын
@@adrophwilliam3225 ndege si mlimlaumu pale ubungo alivyokuwa anavunja majengo ili ajenge daraja si mlimlaumu leo daraja limekamilika mnaanza kumsifia nw ndege zinaleta mapato zmechukua ndugu zetu toka china kwa ndege mlizo sema watu hazitusaidii
P1
Jembe la ccm
Kweeli baba wanakuchanganya,kwani,kila,kitu raisi,afanye? Kwanii viongozi wangazi zachini kazi zao,nipi?
Nakubari
kzread.info/dron/9rRQdZ2IHlqMgvv1OJBqIQ.html *Ndugu, Jamaa,Rafiki ..watoto kwa wakubwa naombeni support yenu kwa kwa Ku like na Ku subscribe channel yangu hii kwa kubonyeza link hapo juu 👆🏻👆🏻kupata Nyimbo nitakazo zitarajia kuzitupia hivi karibuni pamoja na video za fani mbali mbali kutoka kwangu.Ahsanteni sana🙏🏻 na Mungu awabariki saana 🙌🏻*
Duh huu wimbo mzuri shukuran kwa Mungukzread.info/dash/bejne/h4uW19Kpe8LWZ5s.html
Mzee magufuli bwana sasa walinzi wako mbona unawachanganya hawatakiwi kushughulika na mambo mengine zaidi ya kukulinda wewe.
@husseinshabani9522
4 жыл бұрын
Analindwa na Mungu.Binadam Awezi kumlinda Mtu.Binadam Anakusaidia Usisumbuliwe na Watu.
@teychriss3248
4 жыл бұрын
Hussein Shabani safi
@kelvinjohn6851
4 жыл бұрын
Kwani kawauliza wote??? Si amemchukua mmoja tu kati yao.
😆😆😆😆😆😆 pumbavu kabisa
kzread.info/dash/bejne/iYai1LmuiMudk6Q.html hatari sana
Lakini sasa utajuaje mafuriko yatatokea ilhali mvua za mwaka huu zilikua zakushtukizia.
@bone102
4 жыл бұрын
Sio kujua mafuriko walitakiwa kutoa hzo mashine baada ya kuona mvua kubwa
@bjzee1981
4 жыл бұрын
@@bone102 . Wakati mwingine mvua hunyesha usiku ukiamka kila kitu kime sombwa
Haya kama unapenda mizigo mizigo 🍑🍑 njoo huku haraka
@selector728
4 жыл бұрын
🖕🖕🖕🖕🖕🖕
T
PETITMAN AANGUA KILIO MBELE YA WAANDISHI KISA ESMA KUOLEWA 😭💥💥🔥 LINK hapa 👇👇 kzread.info/dash/bejne/n21ll6yLpZe-c9Y.html
ameshituka aliposikia mrad wa maj unasimamiwa na luwasa akahis lowasa.
@amanimgaya9623
4 жыл бұрын
😄😄
@anthonyzambi4415
4 жыл бұрын
Hujitambui wewe unashindwa kuandika hata RUWASA, ray man mkubwa sana weee
@selector728
4 жыл бұрын
Hee we kwel boya hajasema luwasa,,,sema RUWASA
YATAFURIKAJEEEEEE😂😂😂
duuh kweli hapo mzee magu kakutana na wendawazimu
@martinemasanja1633
4 жыл бұрын
Lakini jamaa nimemkubali Sana kwani anajiamini na kingine jamaa kuna Jambo kalificha ndo maana akamwambia chunguza mwenyewe
Mtetezi wa wanyonge
@Amneamne-qi2du
4 жыл бұрын
Ama kweli huyu mtetezi wetu wanyonge Allah akupe umri na afya njema
Wanainchi wabaya Kama wajumbe ukiwatendea ubaya wanakupa ubaya nakupenda San Rais wangu Mungu akutunze maisha yote
@retstyuternchimbi6379
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@burudanitv874
4 жыл бұрын
😭😭😭