Tazama Rais Magufuli alivyomtumbua DAS wa Kisarawe na kuteua mwingine hapo hapo
Спорт
Rais Magufuli leo ametengua uteuzi wa aliyekuwa katibu tawala wa Wilaya ya Kisarawe na kumteua hapo hapo katibu tawala mpya wa wilaya hiyo, Mwanana Msumi, tazama ilivyokuwa…
#AzamTVUpdates #AzamNews #JPMKisarawe
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Пікірлер: 76
Wangapi team magufuri tufahamiane Kwa like apo 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
Pumzika baba mungu akuondolee adhabu ya kabuli hakika tutakukumbuka🙏
Daaaah Huku DAS Mwanana Msumi kule DC JOCKATE, enzi hizo.
Lala salama babayetu.dkt john pombe magufuli.nanikweli.tunakukumbuka.tena kwamazuri.nasio kwa mabaya.emwenyezi mungu.ukampe pumziko la milele.amina.
Uyu ndio master wa urais..,mungu bado anazidi kutuumbia watu muhimu duniani
Napenda sana huyo security,, noma sana
Lala mahal pema mungu akupokee
Mungu amuweke salama huko uliko
@eliasnade7553
Жыл бұрын
Nandi
The best president in this country ❤️💯🙏
@KarokolaGrigory
23 күн бұрын
😢😢😮😅😅
keep resting in peace magufuli much love from Kenya
@lamechisanda8037
Жыл бұрын
4:03
@lamechisanda8037
Жыл бұрын
4:20
Hiyo ndio Tanzania ninayoitaka!!! Mwanana Msumi oyeeeee. Kisarawe oyeeeee!😂
My role model. My inspiration. My president
The best president in the history of Africa
Tunakupenda sana
bahati namatayarisho safi sana kwa dasi magufui kwakwery alikua kiongozi 💪
Hongera mkuu umeweza sana hapo big up
OMG yaani unabewa kazi direct tunataka president kama huyu lakini tutapata in Afrika kweli
Nataka kuona liv
Truly he was a PRESIDENT
I love you so much bdo tunakukumbuka
Mungu ailaze roho yake mahalo pema akhera😔
nimekuja kukusikiliza umetajwa kwa nabii mkuu
Mashaallah
Huyu mzee Mungu amrehemu
@instituteNgulube
Жыл бұрын
J
Hhhhhhh...... Magu alikuwa chizi mpaka raha
Alale pema peponi Mungu amusaidie
Perfect reader
Watching 2023 June. Tunakumiss mzee
❤❤❤
Mwanana msumi hoyeeeeeee🔥🔥🔥🔥🔥
❤ yo
RIP
Kwann viongoz wazur hawadumu lakin
RiP Mh Rais
Baba ngoa 🙌🙌✍️✍️✍️✍️
MH.CHAPA KAZI.Mungu anakuona unavyojitoa muhanga hapo kwa hapo kiongozi amepatika.Wewe ni wale linalowezekana leo lisingoje kesho.Hakuna kulaza damu.Mwenyezi Mungu atakuongoza na kukulinda.Inshallah.
@emmanuelchuwa9314
Жыл бұрын
Inshallah
Na wewe DC hufanye uolewe sasa uwezi ukawa mkuu wa wilaya halafu bado ujaolewa hahahaha ndugu zangu nilikua nachomekia tu
appreciate
Mungu alikuleta utuonyeshe njia hakika ulikua shujaa na kiongozi hatuna cha kusema ila tutaendelea kuku ombea siku zote.
Magu anamalizana na MTU hapo hapo
Macho yangu hajawahi kauka machozi kila nikimkumbuka baba
Natumiya yutubu
Watu watamkumbuka Kwa mengi,sijaona Africa nzima kiongozi mchapa Kazi kama John Joseph magufui
Tutakukumbuka
Chumaaaaaaaaa☀️☀️☀️
Rest in peace
Huna ubaya na mtu raisi wangu
Baba magufuri kama ungefufuka ukajakuona ichihii inavyo endeshwa ugekufatena hapohapo
Azam tv burudani kwa wote
Mze Umenda mapema KBS😭😭😭😭
Tulikupend san
Rudi baba
Magufuli wangu nakuliliaa yoo siku hizi nchi inaboaa sana mama anaupiga mwingi wa trab na trat
@johnsonsway6515
Жыл бұрын
😅
Rest in peace forever we will remember ue
Timu makufuri oyeeeeeeee
Magufufr
😅
.
Magufuri.morogoro
Jini mahaba
Huyu rais alikua jembe san
Mama msariti
Bg
najaribu kuwaza magu angekuepo.kisha joket abebe mimba nje ya ndoa
@halimarashid294
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@yahyahamad1802
Жыл бұрын
@@halimarashid294 enhee mana kuna mkurugenzi alimfukuza Hadharani.anasema muhuni.snatembea na wake za watu sasa joket.kama.ni.nje ya ndoa mimba yake ingekuaje? au kama kaolewa Kheri.inshallah