Tazama Rais Magufuli alivyomtumbua DAS wa Kisarawe na kuteua mwingine hapo hapo

Спорт

Rais Magufuli leo ametengua uteuzi wa aliyekuwa katibu tawala wa Wilaya ya Kisarawe na kumteua hapo hapo katibu tawala mpya wa wilaya hiyo, Mwanana Msumi, tazama ilivyokuwa…
#AzamTVUpdates #AzamNews #JPMKisarawe
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Пікірлер: 76

  • @wallesmdoe9164
    @wallesmdoe9164 Жыл бұрын

    Wangapi team magufuri tufahamiane Kwa like apo 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇

  • @viatoryadam1556
    @viatoryadam155614 күн бұрын

    Pumzika baba mungu akuondolee adhabu ya kabuli hakika tutakukumbuka🙏

  • @kindandakudingwa7514
    @kindandakudingwa7514 Жыл бұрын

    Daaaah Huku DAS Mwanana Msumi kule DC JOCKATE, enzi hizo.

  • @Fredykapande-vh6cv
    @Fredykapande-vh6cv5 ай бұрын

    Lala salama babayetu.dkt john pombe magufuli.nanikweli.tunakukumbuka.tena kwamazuri.nasio kwa mabaya.emwenyezi mungu.ukampe pumziko la milele.amina.

  • @jumahassan273
    @jumahassan273 Жыл бұрын

    Uyu ndio master wa urais..,mungu bado anazidi kutuumbia watu muhimu duniani

  • @jerrymcbride2230
    @jerrymcbride2230 Жыл бұрын

    Napenda sana huyo security,, noma sana

  • @mwashasaidi5358
    @mwashasaidi5358 Жыл бұрын

    Lala mahal pema mungu akupokee

  • @bilishanpilimbe9060
    @bilishanpilimbe90602 жыл бұрын

    Mungu amuweke salama huko uliko

  • @eliasnade7553

    @eliasnade7553

    Жыл бұрын

    Nandi

  • @gamalielmwanga5073
    @gamalielmwanga50734 жыл бұрын

    The best president in this country ❤️💯🙏

  • @KarokolaGrigory

    @KarokolaGrigory

    23 күн бұрын

    😢😢😮😅😅

  • @samsonmwangi2391
    @samsonmwangi2391 Жыл бұрын

    keep resting in peace magufuli much love from Kenya

  • @lamechisanda8037

    @lamechisanda8037

    Жыл бұрын

    4:03

  • @lamechisanda8037

    @lamechisanda8037

    Жыл бұрын

    4:20

  • @karaoglan9444
    @karaoglan9444 Жыл бұрын

    Hiyo ndio Tanzania ninayoitaka!!! Mwanana Msumi oyeeeee. Kisarawe oyeeeee!😂

  • @allankimaro4327
    @allankimaro4327 Жыл бұрын

    My role model. My inspiration. My president

  • @paulmumelo2884
    @paulmumelo2884 Жыл бұрын

    The best president in the history of Africa

  • @user-kx2yn1ke7p
    @user-kx2yn1ke7p4 ай бұрын

    Tunakupenda sana

  • @frankbenandi8764
    @frankbenandi87642 жыл бұрын

    bahati namatayarisho safi sana kwa dasi magufui kwakwery alikua kiongozi 💪

  • @makamemm6111
    @makamemm61114 жыл бұрын

    Hongera mkuu umeweza sana hapo big up

  • @ronaldlangat6210
    @ronaldlangat6210 Жыл бұрын

    OMG yaani unabewa kazi direct tunataka president kama huyu lakini tutapata in Afrika kweli

  • @vicentsamuel
    @vicentsamuel Жыл бұрын

    Nataka kuona liv

  • @anisethkumogola2818
    @anisethkumogola2818 Жыл бұрын

    Truly he was a PRESIDENT

  • @ahmedmbarouk3463
    @ahmedmbarouk3463 Жыл бұрын

    I love you so much bdo tunakukumbuka

  • @yusufdola7645
    @yusufdola764511 ай бұрын

    Mungu ailaze roho yake mahalo pema akhera😔

  • @maulidihassani8324
    @maulidihassani8324 Жыл бұрын

    nimekuja kukusikiliza umetajwa kwa nabii mkuu

  • @issakawaya8315
    @issakawaya83154 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @mwandisimfukwe326
    @mwandisimfukwe326 Жыл бұрын

    Huyu mzee Mungu amrehemu

  • @instituteNgulube

    @instituteNgulube

    Жыл бұрын

    J

  • @maulidmnukwa3171
    @maulidmnukwa3171 Жыл бұрын

    Hhhhhhh...... Magu alikuwa chizi mpaka raha

  • @IbrahimMpwage
    @IbrahimMpwage4 ай бұрын

    Alale pema peponi Mungu amusaidie

  • @musamligo-hd8hf
    @musamligo-hd8hf3 ай бұрын

    Perfect reader

  • @malikkb6444
    @malikkb6444 Жыл бұрын

    Watching 2023 June. Tunakumiss mzee

  • @EsterJohn-uk7em
    @EsterJohn-uk7emАй бұрын

    ❤❤❤

  • @nehemiambembela442
    @nehemiambembela442 Жыл бұрын

    Mwanana msumi hoyeeeeeee🔥🔥🔥🔥🔥

  • @aishakumbawene9040
    @aishakumbawene9040 Жыл бұрын

    ❤ yo

  • @abdillahkhamis2081
    @abdillahkhamis20818 ай бұрын

    RIP

  • @bujashidaniel5537
    @bujashidaniel5537 Жыл бұрын

    Kwann viongoz wazur hawadumu lakin

  • @romancatholic2946
    @romancatholic294610 ай бұрын

    RiP Mh Rais

  • @MrChachaboyKingmselfLinu-de6yx
    @MrChachaboyKingmselfLinu-de6yx11 ай бұрын

    Baba ngoa 🙌🙌✍️✍️✍️✍️

  • @rehemashabhay2205
    @rehemashabhay22054 жыл бұрын

    MH.CHAPA KAZI.Mungu anakuona unavyojitoa muhanga hapo kwa hapo kiongozi amepatika.Wewe ni wale linalowezekana leo lisingoje kesho.Hakuna kulaza damu.Mwenyezi Mungu atakuongoza na kukulinda.Inshallah.

  • @emmanuelchuwa9314

    @emmanuelchuwa9314

    Жыл бұрын

    Inshallah

  • @mikapmwalimu4555
    @mikapmwalimu45554 жыл бұрын

    Na wewe DC hufanye uolewe sasa uwezi ukawa mkuu wa wilaya halafu bado ujaolewa hahahaha ndugu zangu nilikua nachomekia tu

  • @Daniellemakaaya
    @Daniellemakaaya Жыл бұрын

    appreciate

  • @selemsigala4771
    @selemsigala4771 Жыл бұрын

    Mungu alikuleta utuonyeshe njia hakika ulikua shujaa na kiongozi hatuna cha kusema ila tutaendelea kuku ombea siku zote.

  • @phariahkhamayi8145
    @phariahkhamayi8145 Жыл бұрын

    Magu anamalizana na MTU hapo hapo

  • @user-dd2zi1oo2n
    @user-dd2zi1oo2n4 ай бұрын

    Macho yangu hajawahi kauka machozi kila nikimkumbuka baba

  • @JamalyJafali
    @JamalyJafali15 күн бұрын

    Natumiya yutubu

  • @mohamedyeslam5194
    @mohamedyeslam51942 ай бұрын

    Watu watamkumbuka Kwa mengi,sijaona Africa nzima kiongozi mchapa Kazi kama John Joseph magufui

  • @user-qu7wq2hw1w
    @user-qu7wq2hw1w10 ай бұрын

    Tutakukumbuka

  • @dalali_professionalwa_dodo8330
    @dalali_professionalwa_dodo8330 Жыл бұрын

    Chumaaaaaaaaa☀️☀️☀️

  • @BonifaceMaafiri
    @BonifaceMaafiri20 күн бұрын

    Rest in peace

  • @nelsonwolden6878
    @nelsonwolden68784 жыл бұрын

    Huna ubaya na mtu raisi wangu

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara884524 күн бұрын

    Baba magufuri kama ungefufuka ukajakuona ichihii inavyo endeshwa ugekufatena hapohapo

  • @shukrankyusa6963
    @shukrankyusa6963 Жыл бұрын

    Azam tv burudani kwa wote

  • @allyyoussouf8467
    @allyyoussouf8467 Жыл бұрын

    Mze Umenda mapema KBS😭😭😭😭

  • @HassaniWawaaa-zw2fo
    @HassaniWawaaa-zw2fo9 ай бұрын

    Tulikupend san

  • @adammveyange9638
    @adammveyange963810 ай бұрын

    Rudi baba

  • @neemarobert5490
    @neemarobert5490 Жыл бұрын

    Magufuli wangu nakuliliaa yoo siku hizi nchi inaboaa sana mama anaupiga mwingi wa trab na trat

  • @johnsonsway6515

    @johnsonsway6515

    Жыл бұрын

    😅

  • @ShakuruJuma-gk5ld
    @ShakuruJuma-gk5ld Жыл бұрын

    Rest in peace forever we will remember ue

  • @salumpazi4666
    @salumpazi4666 Жыл бұрын

    Timu makufuri oyeeeeeeee

  • @ayubumwaipinga4687
    @ayubumwaipinga4687 Жыл бұрын

    Magufufr

  • @bernadethakahemele4609
    @bernadethakahemele4609 Жыл бұрын

    😅

  • @johnchulla3740
    @johnchulla3740 Жыл бұрын

    .

  • @user-lq5kh8gi2w
    @user-lq5kh8gi2w9 ай бұрын

    Magufuri.morogoro

  • @konnepeneti2086
    @konnepeneti2086 Жыл бұрын

    Jini mahaba

  • @user-vk8hq3qj5l
    @user-vk8hq3qj5l3 күн бұрын

    Huyu rais alikua jembe san

  • @salha8799
    @salha8799 Жыл бұрын

    Mama msariti

  • @yunusamlani417
    @yunusamlani417 Жыл бұрын

    Bg

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Жыл бұрын

    najaribu kuwaza magu angekuepo.kisha joket abebe mimba nje ya ndoa

  • @halimarashid294

    @halimarashid294

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @yahyahamad1802

    @yahyahamad1802

    Жыл бұрын

    @@halimarashid294 enhee mana kuna mkurugenzi alimfukuza Hadharani.anasema muhuni.snatembea na wake za watu sasa joket.kama.ni.nje ya ndoa mimba yake ingekuaje? au kama kaolewa Kheri.inshallah

Келесі