TUKIO ZIMA: KUVISHWA CHEO NA KUAPISHWA MNADHIMU MKUU WA JWTZ, IKULU
Спорт
Hafla hii imefanyika Ikulu jijini Dar es Salaam, ambapo Rais Magufuli amemwapisha Luteni Jenerali Yakubu Hassan Mohammed kuwa Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi Tanzania.
Pia Mkuu wa Majeshi, Jenerali Venance Mabeyo awavisha vyeo vipya maafisa wengine waandamizi kumi waliopandishwa vyeo jana.
Пікірлер: 113
Jina langu Bruno Mubawa napatikana mashariki mwa DRC mji wa goma ambapo siku zimepita tulikuwa na huyo Général James Mwakibolwa alifanya kazi sahihi kabisa alikuwa akisimamiya kikosi maalum cha force intervention ya un na majeshi ya Tzd sisi wa kongo tunakuwa na kumbukumbu kwake kabisa
@miltonjohn9779
11 ай бұрын
Acha kunifanyia mkongo wewe, ww umekaa huko unalinda amani ndo mara hii tu ujifanye mkongo
Well said Lt. Gen. Samuel Ndomba. Leadership is not to be saved but to save. Congr. New TPDF Chief of Staff Lt. Gen. Mohammed
@Ambagaye
6 жыл бұрын
Hongera sana General Yakubu; Tabora school tulikuwa tukimtania General Yakubu Gowon, na kweli amekuwa General Yakubu. Kumbe hajabadilika sura yake; bado ni ile ile ya TS.
Magu tutaishia kukukumbuka sana na kuangalia picha zako R.I.P
Mungu aibariki sana Tanzania na Wa Tanzania wote.
@aymankhadija619
3 жыл бұрын
Aamin
kipindi ndomba anarudi kukaa ,, magufuli alimpiga jicho fulani.. kuona huyu mwamba ana kichwa smart sana..
Jenerali V.Mabeo namkubali sana,poa sana kiongozi wangu.
Good advice from Ndomba. i like it
@jumakapilima5674
4 жыл бұрын
Hamna kitu!!
Mungu hiongoze sana nchi yetu.
waislam waliowengi ni wazuri kiutawala,hivyo upole ni imani walio nayo kwa mungu najua itakua poa zaidi
Safi Sanaa,hao wanadhimu wastaaafu wamefunda vilivyo.kazi Kwake mnadhimu mpya.ALLAH amuongoze
hongereni sana mungu. awaongoze katika mikakati yakazi
R.I.P John we miss you and we remember you everytime😭😭😭😭😭
Big respect ✊🏽🇹🇿💪🏼
Mwakalindile ni kati ya wale waliokuwa watemi wa jeshi hili enzi zile
Hongera sana wakubwa
Huyu ndo alikuwa Rais bana, hakika maumivu hayataisha
Inapendeza sana.
I love magufuli may God rest his soul at peace
@williammwakipesile6571
2 жыл бұрын
iliandaliwa vizuri sanaa
Yaani ww kaka Mwini nakukubali saana
Enzi za mzee nidhamu ilikuwepo r.i.p.kamanda magu,hakika fikra zako zitaishi
Jabili
Hongera jeshi retu
Gen.Mabeo Na #Pacha Wake Wakiwavisha Cheo
mweshimiwa rais wa jamuhuri ya wa tazania amenyehsa wazi kua shuja sio yule ane kufa vitani bali pia anae rudisha ushindi nyumbani pia ni shuja vile vile .......hongera makufuli
Nisawa mwalimu wangu
Alikuwa akipandisha wasukuma vyeo..
Mungu ibariki Tanzania yetu
Nitafika hapo ln
Hakuna mwanamke😢😢
mzee wa tanga yuko na good advice.
A mkubwa wangu na mwalimu wangu jnr yakubu mungu akuongoze
Mugu ibaliki 1:09
Hamna mtu wa Zanzibar mbona ktk walopandishwa veoo
Harmonize alivyo gombana na diamond plut num
I wish one of the well disciplined soldiers could be the president of our nation rather than other wise.
Ongereni nyote mliopandishwa vyeo
Ninyi watu wakubwa mnaona tukinyanyaswa baada JPM kuondoka na mnatulia
R.I.P dady😢😢😢😢
Hogela sana
Mzee wa songea ushaur wako ameupokea na tumeupokea
habali
Wewe unaropoka tu majina ya kisukuma huyajui usitake kuleta chuki zako hapa. Wote waliotunukiwa vyeo wanastahili.
Tupo pamoja nawe baba
Nakushukuru baba magufuli kwa Mambo yako makubwa na yenye heshima kubwa
Ni muslam ila amekula kiapo cha utii wa kulitumikia taifa na sio Dini ya Uislam hivo cheaf msaaf ondoa shaka na pale tunapo pahitaj tutafika ili tueweze kuingia katika 10 bora military ulimwengun 🖐🖐
Mbona kama anakaribia kustafu?
kah..!
Kondoa laini
Sijaona barakoa au corona imekwisha
CCM na Magufuli punguzeni Kodi za Wafanya biashara kwani Uchumi Duniani umeanguka kutokana na ugonjwa wa Korona. Kwani CCM hamuwezi kuona mpaka mtukanwe. Ruhusuni Demokrasia nchini kuleta amani. Viongozi wote waliopita walikuwa hawapigi watu. Magufuli unapiga na kuua watu. Hata wewe uko njiani kuuwawa maana watu wamechoka wanataka kulipiza kisasi.
Rip MN mwakalindile
Ndoto, naana
Ukitaka kujinyoga bila kuguswa ingia humo halafu we utamke kwa herufi kubwa STOP..........
@adrianomushi1677
6 жыл бұрын
Duh kaka umetisha
@sonyomohmed2178
6 жыл бұрын
Hahahaha utajuta kwann umezaliwa
@hamimuswalehe6883
6 жыл бұрын
Duuu waislam wawili tu kundi lote ilo
@macborgevarest3435
6 жыл бұрын
I wish could be there! I would have said STOP!
@macborgevarest3435
6 жыл бұрын
Hamimu Swalehe ulitegemea wawe wangapi?
Kwaa makamanda Kama Hawa na kwa jeshi imara Kama hilo imara kuliko lote afrika waziri wake ni mwa
@cezarmelimeli5376
2 жыл бұрын
Waziri ni mwanamke duuuu!hata mungu alikataa mwanamke kuwa kiongozi wa mwanaume!sembuse kwenye ulinzi wa nchi???.???? Thanks
Afande ndomba.... mtu na nusu.
Samahan! Kuuliza c ujinga,...nini maana ya mnadhim na kaz zake katka jesh? Ahsante!
@raphaellukindo3581
5 жыл бұрын
mtendaji mkuu wa Jeshi
@charlevande8821
5 жыл бұрын
Msemaji mkuu wa jeshii
@RioIpo
4 жыл бұрын
Anaitwa Chief of Staff ndio kila kitu kwenye jeshi mana anakuwa ndio mtendaji mkuu
Kusa mwanawito
Haha wasukuma naona wana ishika nchi haaaa
@omarykikambaa3102
6 жыл бұрын
VALELIUS DIOCKILES acha ukabila diockiles acha uchongezi utakugalimu
waislam wako safi kiuongozi piga kazi
Ndoto
Hamisa mobeto
Mbona wote wanaume jamani??
@katujuwilson835
4 жыл бұрын
Lina Stinson-Ali wanawake wapo ila zamu kwa zamu
Vijana wote wasomi wenye elimu ya chuo kikuu mlio wazalendo kwa Taifa lenu ingieni Jeshini mkalitumikie Taifa. Kazi ya watu makini wenye Uzalendo usio na mashaka.
@masanjakiliano2855
5 жыл бұрын
Hahahaha udhan wanaingia tu kama ukumbini eeeeh mtumishi wa bwana hii kazi ni wateule sifa
@petermatonya6890
4 жыл бұрын
Ushaambiwa kwenda JKT sio ajira
@lukandotv8101
4 жыл бұрын
Wezi wote tz wanahistoria na majeshi kuwa walihudum kabsa au jkt
Sherehe
@edwinlukonge150
6 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania na Mubariki Rais wetu
@tatimeriedi2839
6 жыл бұрын
Mxonjo huyo ndo ayevaa
@lemtalaiza7937
6 жыл бұрын
Kassim Rajabu hongeren
Magufuri sita kusahau milele kwanimpaka sasa bado sija amini kama kweli umekufa, lakini nina imani kimwili aupo Bali kiroho upo unaona watanzania jinsi tunavyo kukumbuka na sijui tuta kusahu lini najua wewe ulitumwa na Mungu kuja kutuonyesha jinsi nchiyetu inavyo paswa kuwa nakweli ulionyesha na mwisho ukaondoka na jua kila kinacho endelea unaona pamoja na Mungu Baba yetu aliye kutuma, basi ata Yesu kristo wa Nazareth aliye hai alitumwa na Mungu akafanya yakwake baada ya muda mfupi aka rudi kupeleka report yake kwa Bsba yake na sasa Magufuri nahamini kwamba report yake iko kwa Mungu. Tukumbuke watu walio teuliwa na Mungu ukaa mda mfupi nakuondoka Mungu nakuomba upokee Roho ya Baba yetu John pombe Magufuli iweke mahali pema peponi Amina.
@salimmohammad3627
2 жыл бұрын
Aminaa
mbna wenye suti hawapig salute
@shedracksanga7308
6 жыл бұрын
Fam Ally hauruhusiw kupga salute kama hujavaa kiaskari
@mosesonyango2369
4 жыл бұрын
Suti ni kiraia,salute mpaka uvae full uniform.
@sabrysoudy684
4 жыл бұрын
1
Ushazeeka ndo vyeo ,
@shamimushittindi1418
3 жыл бұрын
Poleee
Jamani mbona naskia majina ya kisukuma tuuuuuuuuu,,uuuwi
@wazirikhamisi4828
4 жыл бұрын
Emmanuel Magesa NDIO WENYE ELIMU
duuuuu
@yohanaerenest5842
6 жыл бұрын
iko poa
UTENZI MPYA RAFIKI TANZANIA kzread.info/dash/bejne/oo1-tsyadcm3g9I.html
Magufuli tutafika tu
Prono
Jabili
Nitafika hapo ln
CCM na Magufuli punguzeni Kodi za Wafanya biashara kwani Uchumi Duniani umeanguka kutokana na ugonjwa wa Korona. Kwani CCM hamuwezi kuona mpaka mtukanwe. Ruhusuni Demokrasia nchini kuleta amani. Viongozi wote waliopita walikuwa hawapigi watu. Magufuli unapiga na kuua watu. Hata wewe uko njiani kuuwawa maana watu wamechoka wanataka kulipiza kisasi.
Jabili
@donardosward8413
6 жыл бұрын
Mambo vp
CCM na Magufuli punguzeni Kodi za Wafanya biashara kwani Uchumi Duniani umeanguka kutokana na ugonjwa wa Korona. Kwani CCM hamuwezi kuona mpaka mtukanwe. Ruhusuni Demokrasia nchini kuleta amani. Viongozi wote waliopita walikuwa hawapigi watu. Magufuli unapiga na kuua watu. Hata wewe uko njiani kuuwawa maana watu wamechoka wanataka kulipiza kisasi.
CCM na Magufuli punguzeni Kodi za Wafanya biashara kwani Uchumi Duniani umeanguka kutokana na ugonjwa wa Korona. Kwani CCM hamuwezi kuona mpaka mtukanwe. Ruhusuni Demokrasia nchini kuleta amani. Viongozi wote waliopita walikuwa hawapigi watu. Magufuli unapiga na kuua watu. Hata wewe uko njiani kuuwawa maana watu wamechoka wanataka kulipiza kisasi.
CCM na Magufuli punguzeni Kodi za Wafanya biashara kwani Uchumi Duniani umeanguka kutokana na ugonjwa wa Korona. Kwani CCM hamuwezi kuona mpaka mtukanwe. Ruhusuni Demokrasia nchini kuleta amani. Viongozi wote waliopita walikuwa hawapigi watu. Magufuli unapiga na kuua watu. Hata wewe uko njiani kuuwawa maana watu wamechoka wanataka kulipiza kisasi.