TUKIO ZIMA: KUVISHWA CHEO NA KUAPISHWA MNADHIMU MKUU WA JWTZ, IKULU

Спорт

Hafla hii imefanyika Ikulu jijini Dar es Salaam, ambapo Rais Magufuli amemwapisha Luteni Jenerali Yakubu Hassan Mohammed kuwa Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi Tanzania.
Pia Mkuu wa Majeshi, Jenerali Venance Mabeyo awavisha vyeo vipya maafisa wengine waandamizi kumi waliopandishwa vyeo jana.

Пікірлер: 113

  • @brunomubawa2276
    @brunomubawa22764 жыл бұрын

    Jina langu Bruno Mubawa napatikana mashariki mwa DRC mji wa goma ambapo siku zimepita tulikuwa na huyo Général James Mwakibolwa alifanya kazi sahihi kabisa alikuwa akisimamiya kikosi maalum cha force intervention ya un na majeshi ya Tzd sisi wa kongo tunakuwa na kumbukumbu kwake kabisa

  • @miltonjohn9779

    @miltonjohn9779

    11 ай бұрын

    Acha kunifanyia mkongo wewe, ww umekaa huko unalinda amani ndo mara hii tu ujifanye mkongo

  • @fadhilikiwera6501
    @fadhilikiwera65016 жыл бұрын

    Well said Lt. Gen. Samuel Ndomba. Leadership is not to be saved but to save. Congr. New TPDF Chief of Staff Lt. Gen. Mohammed

  • @Ambagaye

    @Ambagaye

    6 жыл бұрын

    Hongera sana General Yakubu; Tabora school tulikuwa tukimtania General Yakubu Gowon, na kweli amekuwa General Yakubu. Kumbe hajabadilika sura yake; bado ni ile ile ya TS.

  • @unismbalia5913
    @unismbalia59132 жыл бұрын

    Magu tutaishia kukukumbuka sana na kuangalia picha zako R.I.P

  • @jeanrobertdodo1244
    @jeanrobertdodo12446 жыл бұрын

    Mungu aibariki sana Tanzania na Wa Tanzania wote.

  • @aymankhadija619

    @aymankhadija619

    3 жыл бұрын

    Aamin

  • @stephenjonas4866
    @stephenjonas4866 Жыл бұрын

    kipindi ndomba anarudi kukaa ,, magufuli alimpiga jicho fulani.. kuona huyu mwamba ana kichwa smart sana..

  • @mohamedkitiku5231
    @mohamedkitiku52316 жыл бұрын

    Jenerali V.Mabeo namkubali sana,poa sana kiongozi wangu.

  • @danielmachibya7472
    @danielmachibya74726 жыл бұрын

    Good advice from Ndomba. i like it

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    4 жыл бұрын

    Hamna kitu!!

  • @salumhalfani9101
    @salumhalfani91015 жыл бұрын

    Mungu hiongoze sana nchi yetu.

  • @sebastianngimba4850
    @sebastianngimba48506 жыл бұрын

    waislam waliowengi ni wazuri kiutawala,hivyo upole ni imani walio nayo kwa mungu najua itakua poa zaidi

  • @aymankhadija619
    @aymankhadija6193 жыл бұрын

    Safi Sanaa,hao wanadhimu wastaaafu wamefunda vilivyo.kazi Kwake mnadhimu mpya.ALLAH amuongoze

  • @allybomba4125
    @allybomba41256 жыл бұрын

    hongereni sana mungu. awaongoze katika mikakati yakazi

  • @benjaminulanga6749
    @benjaminulanga67492 жыл бұрын

    R.I.P John we miss you and we remember you everytime😭😭😭😭😭

  • @anawa4326
    @anawa43263 жыл бұрын

    Big respect ✊🏽🇹🇿💪🏼

  • @Ambagaye
    @Ambagaye6 жыл бұрын

    Mwakalindile ni kati ya wale waliokuwa watemi wa jeshi hili enzi zile

  • @ambassadorkateme5903
    @ambassadorkateme59035 жыл бұрын

    Hongera sana wakubwa

  • @barakashadrack7695
    @barakashadrack76952 жыл бұрын

    Huyu ndo alikuwa Rais bana, hakika maumivu hayataisha

  • @lameckeliakimu8677
    @lameckeliakimu86775 жыл бұрын

    Inapendeza sana.

  • @sadikmwita8538
    @sadikmwita85382 жыл бұрын

    I love magufuli may God rest his soul at peace

  • @williammwakipesile6571

    @williammwakipesile6571

    2 жыл бұрын

    iliandaliwa vizuri sanaa

  • @bububuzanzibar9497
    @bububuzanzibar94974 жыл бұрын

    Yaani ww kaka Mwini nakukubali saana

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup682 жыл бұрын

    Enzi za mzee nidhamu ilikuwepo r.i.p.kamanda magu,hakika fikra zako zitaishi

  • @jovithmapela4067
    @jovithmapela40676 жыл бұрын

    Jabili

  • @enockkimase6764
    @enockkimase67642 жыл бұрын

    Hongera jeshi retu

  • @hazjay4671
    @hazjay46716 жыл бұрын

    Gen.Mabeo Na #Pacha Wake Wakiwavisha Cheo

  • @anthonykhisa892
    @anthonykhisa8925 жыл бұрын

    mweshimiwa rais wa jamuhuri ya wa tazania amenyehsa wazi kua shuja sio yule ane kufa vitani bali pia anae rudisha ushindi nyumbani pia ni shuja vile vile .......hongera makufuli

  • @amdaniamli7881
    @amdaniamli78815 жыл бұрын

    Nisawa mwalimu wangu

  • @mbwanarajab4756
    @mbwanarajab47562 жыл бұрын

    Alikuwa akipandisha wasukuma vyeo..

  • @rmussa7196
    @rmussa71965 жыл бұрын

    Mungu ibariki Tanzania yetu

  • @josepheliakim8486
    @josepheliakim84864 жыл бұрын

    Nitafika hapo ln

  • @alloycejames5285
    @alloycejames52853 ай бұрын

    Hakuna mwanamke😢😢

  • @eventelias3566
    @eventelias35666 жыл бұрын

    mzee wa tanga yuko na good advice.

  • @amdaniamli7881
    @amdaniamli78815 жыл бұрын

    A mkubwa wangu na mwalimu wangu jnr yakubu mungu akuongoze

  • @MudiBakali
    @MudiBakali19 күн бұрын

    Mugu ibaliki 1:09

  • @hajimakame1062
    @hajimakame10624 жыл бұрын

    Hamna mtu wa Zanzibar mbona ktk walopandishwa veoo

  • @jumaafadhili9066
    @jumaafadhili90662 жыл бұрын

    Harmonize alivyo gombana na diamond plut num

  • @macborgevarest3435
    @macborgevarest34356 жыл бұрын

    I wish one of the well disciplined soldiers could be the president of our nation rather than other wise.

  • @hamzaliganga7437
    @hamzaliganga74374 жыл бұрын

    Ongereni nyote mliopandishwa vyeo

  • @barikimollel7890
    @barikimollel78902 жыл бұрын

    Ninyi watu wakubwa mnaona tukinyanyaswa baada JPM kuondoka na mnatulia

  • @edrickniwamanya5665
    @edrickniwamanya56653 ай бұрын

    R.I.P dady😢😢😢😢

  • @joseflyfrancis1903
    @joseflyfrancis19034 жыл бұрын

    Hogela sana

  • @tubonemwakisonga6649
    @tubonemwakisonga66496 жыл бұрын

    Mzee wa songea ushaur wako ameupokea na tumeupokea

  • @jovithmapela4067
    @jovithmapela40676 жыл бұрын

    habali

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard59502 жыл бұрын

    Wewe unaropoka tu majina ya kisukuma huyajui usitake kuleta chuki zako hapa. Wote waliotunukiwa vyeo wanastahili.

  • @mcjabbyevents4938
    @mcjabbyevents49386 жыл бұрын

    Tupo pamoja nawe baba

  • @nalimwansumbule9235
    @nalimwansumbule92352 жыл бұрын

    Nakushukuru baba magufuli kwa Mambo yako makubwa na yenye heshima kubwa

  • @omarjinialy3356
    @omarjinialy33564 жыл бұрын

    Ni muslam ila amekula kiapo cha utii wa kulitumikia taifa na sio Dini ya Uislam hivo cheaf msaaf ondoa shaka na pale tunapo pahitaj tutafika ili tueweze kuingia katika 10 bora military ulimwengun 🖐🖐

  • @macborgevarest3435
    @macborgevarest34356 жыл бұрын

    Mbona kama anakaribia kustafu?

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu99716 жыл бұрын

    kah..!

  • @allyduwa9914
    @allyduwa99144 жыл бұрын

    Kondoa laini

  • @aishafransic8749
    @aishafransic87494 жыл бұрын

    Sijaona barakoa au corona imekwisha

  • @abdalahfarida2074
    @abdalahfarida20744 жыл бұрын

    CCM na Magufuli punguzeni Kodi za Wafanya biashara kwani Uchumi Duniani umeanguka kutokana na ugonjwa wa Korona. Kwani CCM hamuwezi kuona mpaka mtukanwe. Ruhusuni Demokrasia nchini kuleta amani. Viongozi wote waliopita walikuwa hawapigi watu. Magufuli unapiga na kuua watu. Hata wewe uko njiani kuuwawa maana watu wamechoka wanataka kulipiza kisasi.

  • @frednahson1759
    @frednahson17595 ай бұрын

    Rip MN mwakalindile

  • @salumubakari1855
    @salumubakari18554 жыл бұрын

    Ndoto, naana

  • @jaydon3361
    @jaydon33616 жыл бұрын

    Ukitaka kujinyoga bila kuguswa ingia humo halafu we utamke kwa herufi kubwa STOP..........

  • @adrianomushi1677

    @adrianomushi1677

    6 жыл бұрын

    Duh kaka umetisha

  • @sonyomohmed2178

    @sonyomohmed2178

    6 жыл бұрын

    Hahahaha utajuta kwann umezaliwa

  • @hamimuswalehe6883

    @hamimuswalehe6883

    6 жыл бұрын

    Duuu waislam wawili tu kundi lote ilo

  • @macborgevarest3435

    @macborgevarest3435

    6 жыл бұрын

    I wish could be there! I would have said STOP!

  • @macborgevarest3435

    @macborgevarest3435

    6 жыл бұрын

    Hamimu Swalehe ulitegemea wawe wangapi?

  • @cezarmelimeli5376
    @cezarmelimeli53762 жыл бұрын

    Kwaa makamanda Kama Hawa na kwa jeshi imara Kama hilo imara kuliko lote afrika waziri wake ni mwa

  • @cezarmelimeli5376

    @cezarmelimeli5376

    2 жыл бұрын

    Waziri ni mwanamke duuuu!hata mungu alikataa mwanamke kuwa kiongozi wa mwanaume!sembuse kwenye ulinzi wa nchi???.???? Thanks

  • @stephenjonas4866
    @stephenjonas4866 Жыл бұрын

    Afande ndomba.... mtu na nusu.

  • @dicksonisakwe3063
    @dicksonisakwe30636 жыл бұрын

    Samahan! Kuuliza c ujinga,...nini maana ya mnadhim na kaz zake katka jesh? Ahsante!

  • @raphaellukindo3581

    @raphaellukindo3581

    5 жыл бұрын

    mtendaji mkuu wa Jeshi

  • @charlevande8821

    @charlevande8821

    5 жыл бұрын

    Msemaji mkuu wa jeshii

  • @RioIpo

    @RioIpo

    4 жыл бұрын

    Anaitwa Chief of Staff ndio kila kitu kwenye jeshi mana anakuwa ndio mtendaji mkuu

  • @ksmally1985
    @ksmally19856 жыл бұрын

    Kusa mwanawito

  • @valeliusdiockiles4506
    @valeliusdiockiles45066 жыл бұрын

    Haha wasukuma naona wana ishika nchi haaaa

  • @omarykikambaa3102

    @omarykikambaa3102

    6 жыл бұрын

    VALELIUS DIOCKILES acha ukabila diockiles acha uchongezi utakugalimu

  • @sebastianngimba4850
    @sebastianngimba48506 жыл бұрын

    waislam wako safi kiuongozi piga kazi

  • @salumubakari1855
    @salumubakari18554 жыл бұрын

    Ndoto

  • @evodiamathias2542
    @evodiamathias25422 жыл бұрын

    Hamisa mobeto

  • @linastinson-ali4733
    @linastinson-ali47335 жыл бұрын

    Mbona wote wanaume jamani??

  • @katujuwilson835

    @katujuwilson835

    4 жыл бұрын

    Lina Stinson-Ali wanawake wapo ila zamu kwa zamu

  • @deusmauka9626
    @deusmauka96265 жыл бұрын

    Vijana wote wasomi wenye elimu ya chuo kikuu mlio wazalendo kwa Taifa lenu ingieni Jeshini mkalitumikie Taifa. Kazi ya watu makini wenye Uzalendo usio na mashaka.

  • @masanjakiliano2855

    @masanjakiliano2855

    5 жыл бұрын

    Hahahaha udhan wanaingia tu kama ukumbini eeeeh mtumishi wa bwana hii kazi ni wateule sifa

  • @petermatonya6890

    @petermatonya6890

    4 жыл бұрын

    Ushaambiwa kwenda JKT sio ajira

  • @lukandotv8101

    @lukandotv8101

    4 жыл бұрын

    Wezi wote tz wanahistoria na majeshi kuwa walihudum kabsa au jkt

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu78056 жыл бұрын

    Sherehe

  • @edwinlukonge150

    @edwinlukonge150

    6 жыл бұрын

    Mungu ibariki Tanzania na Mubariki Rais wetu

  • @tatimeriedi2839

    @tatimeriedi2839

    6 жыл бұрын

    Mxonjo huyo ndo ayevaa

  • @lemtalaiza7937

    @lemtalaiza7937

    6 жыл бұрын

    Kassim Rajabu hongeren

  • @ephraimkarugaba4137
    @ephraimkarugaba41372 жыл бұрын

    Magufuri sita kusahau milele kwanimpaka sasa bado sija amini kama kweli umekufa, lakini nina imani kimwili aupo Bali kiroho upo unaona watanzania jinsi tunavyo kukumbuka na sijui tuta kusahu lini najua wewe ulitumwa na Mungu kuja kutuonyesha jinsi nchiyetu inavyo paswa kuwa nakweli ulionyesha na mwisho ukaondoka na jua kila kinacho endelea unaona pamoja na Mungu Baba yetu aliye kutuma, basi ata Yesu kristo wa Nazareth aliye hai alitumwa na Mungu akafanya yakwake baada ya muda mfupi aka rudi kupeleka report yake kwa Bsba yake na sasa Magufuri nahamini kwamba report yake iko kwa Mungu. Tukumbuke watu walio teuliwa na Mungu ukaa mda mfupi nakuondoka Mungu nakuomba upokee Roho ya Baba yetu John pombe Magufuli iweke mahali pema peponi Amina.

  • @salimmohammad3627

    @salimmohammad3627

    2 жыл бұрын

    Aminaa

  • @famally7138
    @famally71386 жыл бұрын

    mbna wenye suti hawapig salute

  • @shedracksanga7308

    @shedracksanga7308

    6 жыл бұрын

    Fam Ally hauruhusiw kupga salute kama hujavaa kiaskari

  • @mosesonyango2369

    @mosesonyango2369

    4 жыл бұрын

    Suti ni kiraia,salute mpaka uvae full uniform.

  • @sabrysoudy684

    @sabrysoudy684

    4 жыл бұрын

    1

  • @kmotivation1130
    @kmotivation11303 жыл бұрын

    Ushazeeka ndo vyeo ,

  • @shamimushittindi1418

    @shamimushittindi1418

    3 жыл бұрын

    Poleee

  • @emmanuelmagesa1590
    @emmanuelmagesa15906 жыл бұрын

    Jamani mbona naskia majina ya kisukuma tuuuuuuuuu,,uuuwi

  • @wazirikhamisi4828

    @wazirikhamisi4828

    4 жыл бұрын

    Emmanuel Magesa NDIO WENYE ELIMU

  • @stanslauselias4576
    @stanslauselias45766 жыл бұрын

    duuuuu

  • @yohanaerenest5842

    @yohanaerenest5842

    6 жыл бұрын

    iko poa

  • @aminarashid3916
    @aminarashid39162 жыл бұрын

    UTENZI MPYA RAFIKI TANZANIA kzread.info/dash/bejne/oo1-tsyadcm3g9I.html

  • @bishopjohnfrancis89
    @bishopjohnfrancis896 жыл бұрын

    Magufuli tutafika tu

  • @joshuaciza3043
    @joshuaciza30432 жыл бұрын

    Prono

  • @jovithmapela4067
    @jovithmapela40676 жыл бұрын

    Jabili

  • @josepheliakim8486
    @josepheliakim84864 жыл бұрын

    Nitafika hapo ln

  • @abdalahfarida2074
    @abdalahfarida20744 жыл бұрын

    CCM na Magufuli punguzeni Kodi za Wafanya biashara kwani Uchumi Duniani umeanguka kutokana na ugonjwa wa Korona. Kwani CCM hamuwezi kuona mpaka mtukanwe. Ruhusuni Demokrasia nchini kuleta amani. Viongozi wote waliopita walikuwa hawapigi watu. Magufuli unapiga na kuua watu. Hata wewe uko njiani kuuwawa maana watu wamechoka wanataka kulipiza kisasi.

  • @jovithmapela4067
    @jovithmapela40676 жыл бұрын

    Jabili

  • @donardosward8413

    @donardosward8413

    6 жыл бұрын

    Mambo vp

  • @abdalahfarida2074
    @abdalahfarida20744 жыл бұрын

    CCM na Magufuli punguzeni Kodi za Wafanya biashara kwani Uchumi Duniani umeanguka kutokana na ugonjwa wa Korona. Kwani CCM hamuwezi kuona mpaka mtukanwe. Ruhusuni Demokrasia nchini kuleta amani. Viongozi wote waliopita walikuwa hawapigi watu. Magufuli unapiga na kuua watu. Hata wewe uko njiani kuuwawa maana watu wamechoka wanataka kulipiza kisasi.

  • @abdalahfarida2074
    @abdalahfarida20744 жыл бұрын

    CCM na Magufuli punguzeni Kodi za Wafanya biashara kwani Uchumi Duniani umeanguka kutokana na ugonjwa wa Korona. Kwani CCM hamuwezi kuona mpaka mtukanwe. Ruhusuni Demokrasia nchini kuleta amani. Viongozi wote waliopita walikuwa hawapigi watu. Magufuli unapiga na kuua watu. Hata wewe uko njiani kuuwawa maana watu wamechoka wanataka kulipiza kisasi.

  • @abdalahfarida2074
    @abdalahfarida20744 жыл бұрын

    CCM na Magufuli punguzeni Kodi za Wafanya biashara kwani Uchumi Duniani umeanguka kutokana na ugonjwa wa Korona. Kwani CCM hamuwezi kuona mpaka mtukanwe. Ruhusuni Demokrasia nchini kuleta amani. Viongozi wote waliopita walikuwa hawapigi watu. Magufuli unapiga na kuua watu. Hata wewe uko njiani kuuwawa maana watu wamechoka wanataka kulipiza kisasi.

Келесі