Kumbukizi ya miaka 10 ya Dk Magufuli akikagua mradi wa barabara ya Ndundu Somanga ya 65KM

#Magufuli #Tanzania #Magulificationoftanzania #short #shprts #shortvideo #shortsvideo #shorts
Kumbukizi ya miaka 10 ya Dk Magufuli akikagua mradi wa barabara ya Ndundu Somanga ya 65KM. Alipokuwa waziri wa ujenzi na usafirishaji.
DR MAGUFULI AKAGUA NDUNDU SOMANGA 65 KM II Jul 19, 2013
Licensed under a Creative commons AttribushareAlike 4.0 International License. Based on a work at https

Пікірлер: 47

  • @christophertanu1880
    @christophertanu1880Ай бұрын

    Magufuli ulikuwa Rais kweli kweli. Kifo chako ni pigo la maisha kwa nchi yetu. Umetuachia Shida baba😭

  • @nyandaephraim4039
    @nyandaephraim4039Ай бұрын

    Rais wangu Magufuli endelea kupumzika kwa Amani ulitupenda sana🌹

  • @godfreyhiza1075
    @godfreyhiza107510 ай бұрын

    Mzee miss you sanaaa!!!!ulikua na matumizi sahihi ya akili!!!

  • @MzunguNamungu
    @MzunguNamunguАй бұрын

    Ulikua vzr mno father,waliofanya mtandao wa kukuua wametutesa cn watanzania.hakika Leo tunalia

  • @user-vv6ox9xh9k
    @user-vv6ox9xh9kАй бұрын

    Hakika huyu ndie alikua kiongozi mpenda nchi yake, alikua mtu sahihi kwetu

  • @mamboshepea8888
    @mamboshepea888810 ай бұрын

    Hatuwezi elewa...unafki mwingi Afrika ukiwa mkweli hupendwi, kwa wenzetu wazungu hakunaga unafki...ndo maana kuna usemi unasema aheri mchawi kuliko mnafki anakuangamiza huku anakuchekea!!

  • @sonnyr1899
    @sonnyr189910 ай бұрын

    Huyu Mze hakuwa kuwa fake toka mwanzo wa maisha yake. 😢😢 Sijuwi kwa nini wa Afrika hatuelewi umuhimu wa hizi hazina😢😢

  • @geey7893

    @geey7893

    Ай бұрын

    Roho mbaya na uroho

  • @toymadebho7048

    @toymadebho7048

    Ай бұрын

    aise namm nashangaa kwnn ha2elew

  • @Jumacharlesmadale2958
    @Jumacharlesmadale2958Ай бұрын

    Baba ulikuwa kiongozi mzalendo sana siwezi kupingana na mipango ya MUNGU ulikuwa Rais

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    Ай бұрын

    Kweli

  • @zakariapaulowiliamuwiliamu1840
    @zakariapaulowiliamuwiliamu1840Ай бұрын

    kwangu bado n RAIS wangu hadi apatikane wakumzidi

  • @joelmnzava
    @joelmnzava10 ай бұрын

    Mzee alikua mtata tangu miaka akiwa wizara ya ujenzi

  • @geey7893

    @geey7893

    Ай бұрын

    Aisee ivi hawakuogopa kumpa uraisi mtu mkorofi hivi😂😂😂😂

  • @ananiachelesi1486

    @ananiachelesi1486

    Ай бұрын

    Na wewe ni miongoni mwa waafrika usiyeelewa ukorofi na ufatiliaji na uwajibikaji ni nini.mwisho umetafusili mkorofi aise pole.

  • @davykisabo875
    @davykisabo875Ай бұрын

    Dah huyu ndiye mwana halisi wa Africa, kazi yake mola Haina makosa umelala usingizi wa milele ila vitendo vyako , maneno yako yataishi vizazi na vizazi

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946Ай бұрын

    Alikuwa mwamba kweli kweli rip jpm

  • @innocent91044
    @innocent91044Ай бұрын

    Nnammiss Sana huyu Mzee Kila nikitizama yanayoendelea nnashindwa kuelewa ni kwanini aliondoka mapema hivi.

  • @user-dk6rc9kb3f
    @user-dk6rc9kb3f10 күн бұрын

    Huyu Mzee alikuwa ni mtu wa kutekeleza angepewa uraisi akiwa kijana tungeshafika mbali sana Tanzania na Africa kwa ujumla✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️

  • @johanesitembe2440
    @johanesitembe2440Ай бұрын

    Hapa kazi tu

  • @shakaurembo477
    @shakaurembo47710 ай бұрын

    Msema kweli Rip 🎉

  • @DaudiSaid-bj7dh
    @DaudiSaid-bj7dhАй бұрын

    Wapigaji hawakuwa na nafasi na tena. Saa hii wanaendelea na upigaji wao. Pumzika baba

  • @user-vf8wv8hi5b
    @user-vf8wv8hi5bАй бұрын

    Jpm nimekumiss sana Mzee wangu but sababu mungu kakuita bas sawa kapumzike kwa amani rais wangu naimai ww ndio rais wangu mpka natiweka duniani

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641Ай бұрын

    R. I. P Mjomba MAGU😭😭😭😭😭

  • @kaayafred3545
    @kaayafred354510 ай бұрын

    Otakumbukwa afrika nzima kwa ukweri wako ,Baba

  • @stevinmwanzaa1785
    @stevinmwanzaa178516 күн бұрын

    Hapo bado ni wazir

  • @geraldndila5172
    @geraldndila5172Ай бұрын

    Robert sidhani kama utakuwa naakili timamu aisee

  • @robertphilip385
    @robertphilip385Ай бұрын

    Huyu jamaa alikua kiongozi mzuri lkn kosa kubwa alilolifanya kua wapinzani dictetor wahatari

  • @user-sh3tr8cm1v

    @user-sh3tr8cm1v

    Ай бұрын

    Kiongozi lazma awe mang'a huku Bara la Africa, la si hivyo...

  • @bennie7239
    @bennie7239Ай бұрын

    Huko kanda ya ziwa misimamo ya hii bado ipo, wekeni chuma kingine nchi inyooke hii. Watu pwani wanabembeleza mno 😎

  • @babajohn8308
    @babajohn830810 ай бұрын

    Dah😢😢

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215Ай бұрын

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @kalokolamulumbe8445
    @kalokolamulumbe844525 күн бұрын

    Jaman jpm .

  • @JohnMongi-gp2zj
    @JohnMongi-gp2zjАй бұрын

    Hatar sana magufuli

  • @Bless-sk8uv
    @Bless-sk8uvАй бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @bogoheidaso2628
    @bogoheidaso2628Ай бұрын

    Tshet za jpm zinapatikana wapi

  • @mussahancy6591
    @mussahancy659129 күн бұрын

    R.I.P

  • @ElishaKalinabhene-mm2fr
    @ElishaKalinabhene-mm2frАй бұрын

    👊

  • @user-yq4wf4qo9t
    @user-yq4wf4qo9tАй бұрын

    Yupo mtu anaitwa Masunga hanafaa kuwa raisi wa nchi.

  • @HamadiRamadhani-y2n
    @HamadiRamadhani-y2n17 күн бұрын

    Hapakazi tu

  • @josephnyalomba860
    @josephnyalomba860Ай бұрын

    Leta futi 😂😂😂😂😂R.I.P J.P.M

  • @YoakimMsuha
    @YoakimMsuha19 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂 daaa

  • @edwardmwambene3748
    @edwardmwambene3748Ай бұрын

    RIp jpm

  • @kalokolamulumbe8445
    @kalokolamulumbe844525 күн бұрын

    Jaman jpm .

  • @ELISHAPHILLIPO
    @ELISHAPHILLIPOАй бұрын

    Baba tutakukumbuka

  • @kalokolamulumbe8445
    @kalokolamulumbe844525 күн бұрын

    Jaman jpm .

Келесі