Magufulification:
New Concept that Will Define Africa’s Future and the Man Who Makes Things Happen.
“To magulify is to create an environment where resources are used efficiently, to create an environment where leadership is disciplined, and to serve one’s country with dedication and in the spirit of patriotism. When you say and do that then you have been ‘magulified‘,”- PLO Lumumba
Пікірлер
Viongozi wetu wazalendo tuna waenzi Africa Mashariki
Mungu awa laze mahara pema pepon
id
Mafisadi walikipata pumzika kwa amani Amiri jeshi mkuu na Raisi wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania
tunakumiss sana baba😢
Hapo "sikuwatuma"...😂r.i.p legends.
❤❤❤❤❤eeeee baba ulale salama hiko uliko
Baaaaa mungu kupe pepo monono
Lile swali tunafaa kujiuliza,"ninani walikula mpaka wanatishia raisi wa nchi?..".. More questions than answers i swear
Tuta kukumbuka sana Jonh pombe magufuli
Hio million Moja ni kama elfu kumi za Kenya
Kz ni ngumu.tena yaajabu unaamrisha hata yasiyo
Maneno ya Ekima
😭😭😭😭👏👏👏👏👏
Ulale pema baba amka uone nchi ilipo kwa sasa
Magifuli
We miss you
Kweli mzee.
Mungu akurehemu mzee aiweke roho yako mahali pema peponi 😢
Mungu mtu sasa huy
Sasa hivi misafara imekuwa mingi mpaka wasanii pia wanachukuliwa kwenye msafara wa rais.
I love u daima magufuri you are the best
Nikweli Baba.mara uliletewa Moshi wa Ajabu kule Mtwara,....hotuba yako ya MWISHO ni paleeee.....mbezi stand ya MAGUFUL....ROHO inauma saaana,....😭😭😭😭
Huyu Mzee alikuwa ni mtu wa kutekeleza angepewa uraisi akiwa kijana tungeshafika mbali sana Tanzania na Africa kwa ujumla✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️
Nchi imebaki mikononi mwa machawa tu yanatamba kwa sasa
Watanzania tumepoteza kiongozi😢😢😢
Mungu umemchukua jembe.letu kwa haraka. Tulikuwa tunampenda sana. Rais wa wanyonge😢
Mungu akulaze mahali pema peponi tuna kukumbuka shujaa wetu.
Kweri ulijitolea kuwa sadaka ya watanzania kz uliifanya❤❤❤ mungu Akurehemu magufuli
Pole.baba.yetu mpendwa.tutakukumbuka
ALLAH AKBAR... Allah muhifadh sehem salama
R.i.p Dr. John Magufuli, alisema, "mutanikumbuka siku moja 🙁
Rais Bora wa Tanzania wa muda wote na karne zote
❤❤
Kiuhalisia inaweza kufikoa kiwango hicho kama tu imejengwa kwa viwango vya nyumba za serikali. Mlango mninga piwa, n.k
mungu endelea kumpumzisha salama Rais wawanyonge
R.I.P 😢😢
Mkulugenz mwenyewee kajaaa😅😅
😂😂😂😂pumzika tuu baba yaani
This guy🎉
Kwaheri jpm pumzika Kwa amani mema ulitenda 😂😂😂❤❤
Kwaheri jpm pumzika Kwa amani mema ulitenda 😂😂😂❤❤
Kwaheri jpm pumzika Kwa amani mema ulitenda 😂😂😂❤❤
Mungu huyu jmn😢😢😢
Kabisa
😢😢😢
The best ever speech, kwa kweli ulijitolea,
❤❤
❤
😢😢😢😢❤❤❤❤❤