Rais Magufuli afurahi kukutana na Pacha wake Mafinga Mjini
#OnTrending!
Msanii wa Komedi kutoka Mufindi maarufu kwa jina la Baraka Magufuli ambae huigiza sauti ya Mhe Rais amekutana uso kwa uso na kufanya haya ambayo yamemfaruhaisha sana Mhe. Rais Magufuli
Пікірлер: 337
💖💖💖konkiiii fireee jmn kamweneeee km unamkubali baraka like twende sawa
@mwaarimusasya7871
4 жыл бұрын
Baraka magufuli yupo vizur
This guy is dope greetings From Uganda
Safi sana nimempenda RAIS John p Kuwa simple na wanainchi wetu
@asifiwemsomba1048
5 жыл бұрын
Rais wamarais halisi
Safi sana mh...Raisi you make my day Kuwa nzuri.......like twende sawa
@GeorgeKapaya
5 жыл бұрын
Mamb
@GeorgeKapaya
5 жыл бұрын
Nanani uyo
Rest well Magufuli You touched every life
daaaah kama umeona magu kafurai gonga like hapa
@amosthomas1851
5 жыл бұрын
maplayo Diaz
@issakilemba3684
4 жыл бұрын
jaman dunian kila mtu amejaliw kipaj
@elishuaimatheboy8350
4 жыл бұрын
maplayo Diaz aixee baraka noma xana
@christophermalowoko5682
4 жыл бұрын
Kk
@raynoldmboya5291
4 жыл бұрын
maplayo Diaz waoooh
Uyuu ndie raisi nakupenda sana Raisi wangu
Mr.president MAGUFULI long live and long life
Mhe Raisi hongera. Unachapa kazi na sote tunaziona waziwazi.
Kwakwel broh uko vizul , big up
Nampenda san rais wangu👌🏻😘😘😘mungu azidi kukutunza
@marianicomedrickjojo9956
5 жыл бұрын
% Mungu aendeleee kumlinda
@umaimaalharthy3581
5 жыл бұрын
Amin
@simonndungu8675
5 жыл бұрын
@@marianicomedrickjojo9956 byfih
@martinimsigwa9797
4 жыл бұрын
@@simonndungu8675 cyyl7uuc
@martinimsigwa9797
4 жыл бұрын
@@simonndungu8675 c y
Mhe Magufuli....I just love and admire him,though.Am from Nigeria but good or bad, this guy is superb.
Hutu ndie rais wetu tunaejivunia all the way from london ,naive ad nchi yangu Tanzania
@mbunah255
3 жыл бұрын
Nitafutie tiket nije na mm huko
Am from Kenya and i like Magufuli
I wish we vote for Magufuli to be the first president of East Africa,, nice president
Magufuli wangu baba kweli umetuacha kabisa baba au bado naota ndoto mbaya sanaaa mmmh baba Jaman amka basi nimelia sanaaa kumpoteza baba Kama ww 😭😭😭😭😭😭😭💔
Love Tanzania
kumbe alikubal tuliyokuwa tunamuambia kuwa kama anataka kuigiza Sauti ya mheshimiwa lazma awe smart Kama hivo big up kijana wetu
@deusdeditmasinde7615
5 жыл бұрын
Iv ndo huyu alkua na litai Kama ulimi wa mbwa
@jacobkeleman8001
5 жыл бұрын
Ndio yeye
@georgerichard9534
5 жыл бұрын
nimekukumbuka mkuu, ulitoa ushauri huo kipindi fulani, jamaa kabadili mavazi sasa anapiga show za nje, ameshakuwa kwenye trending....
@ambelekalinga8860
4 жыл бұрын
Isaya Mwenga kwer
Mungu kweli yupo,amebarikiwa huyu kijana.
@mayusahussain8045
5 жыл бұрын
Yupo vizuri
@jumashabani7196
5 жыл бұрын
Mashindano Yakurani
@toharanyangwale4457
5 жыл бұрын
nicholas koech mbo
@methodiathomas8719
4 жыл бұрын
Hongela zake anaweza
Watching from Germany ....amaizing
I really like erick omondi comedies...na sifichi
All the Good work ulifanya enyewe kifo
Hahahahahhhhaaha nimeipenda hiii baraka uko juu big up Mr President
A man of the people. RIP Magu
@maricontendelwa397
2 жыл бұрын
Maliko ntendelwa
We will remember you legend rest in peace my PRESIDENT ❤🙏
@NdalahwaPius
9 ай бұрын
Neema Nhomango
Much respect my present JPM
Wow! Just wow! hata nimeshindwa kucomment..bonge la talanta. #GodblessTanzania
@GeorgeKapaya
5 жыл бұрын
Mamb
@GeorgeKapaya
5 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
Roho yako aikuwa ya kinyongo mungu akusamehe upumzike kwa aman daima nitakuombea
Mwenyezimngu Akubareek rais mwemaa mwenye roho safii na imani na rahmah kwa juu.hubaguwi kilaa mtu kwako sawaaa.mwenyezimnguuu umemuwekaaa mbeleee na kwa kulaa jambo lako litaendaaa mbelee.umriey mwema na Afiya na kwenye maisha yakoo.
Itabidi nimwachie kazi afanye yé-yé😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
@GeorgeKapaya
5 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@pilially5847
5 жыл бұрын
nice
Yeah you have the passion thanks
Rais anasisitiza kumtanguliza Mungu, ahsante wewe ndio rais.... Gonga like kama umeisikia hiyo
Jaman jaman jamaanii... Mungu ni Alfa&.... Hii Mwaamba aliileta kutuoneshaa hivii kuwa inawezekana .
Dah magu yuko pease sana ase nakubal sana
@abdallahkaifa4574
4 жыл бұрын
Uyu jamaa nampa bigap
hahahahaha jamani.............dah,you make my day!
We love you dady President maguful
walai hii ni real real real voice kabisa ngai
@salmabangababo659
5 жыл бұрын
asantee kijanaa
💃💃 daddy Magu God bless you.
Mungu uilaze roho yake mahala pema penye wema i miss you daddy you were a hero in Africa,
Shukran Sana Rais makufuli
I miss magufuli,love from Kenya.
Siamini baba kama umetuacha😭😭😭
@josephemmanuel3175
3 жыл бұрын
Baraka magufuli upo wapi jaman
Wow😍😍😍Superb😍😍😍Fantastic 😍😍😍
@zamdasaid5334
3 жыл бұрын
In m
❤❤❤❤😂penda sana
Kweli hakuna anaefata moto wa huyu chalii ila bora saivi ameeza kuvaa smati
Pumzika kwa amani rais wetu kipenzi
Rais John Pombe Joseph Magufuli anawapenda Sana Watu wake.... Nimefurahia Sana Kiongozi wetu.
Nikuja hapa baada magofuli jamani Rip
Aisee mheshimiwa yuko vzr kabisa, hadi watu wanaigiza sauti yake laiv? ama weli yuko peace
Wow i lik this
Nakupenda sana kijana Mungu akubariki
So talent
Magufuli is the best simplest president. Great example to follow. Bwana Magufuli wee Acha tuu
Hongera magufuri
Hyo baraka hatari Sana'a pongezi kwake
Nakumbuka miaka iliyopita vile redikulas ilianza Kenya. Wacheshi hao serikali ilitaka kuwashika kwa kuiga Moi na Waziri wake lakini Moi alikataa akasema wacha vijana wajipe riziki nayo badala wawe wezi. Redikulas led to Red Corner na baadaye Churchill show
Dah wahehe tuko juuu
Nakubali
BARAKA MAGUFULI ..
Yuko vzr
I appreciate the preSdent
Man of all the time Anko magufuli may God give u internal peace
Hahahahaha duuuh nimecheka jamani
Nice one
Wowww fantastic
Nitakupenda daima Raisi wangu
Mungu mubariki UNCLE MAGU
😂😂😂😂😂somaaaa iyoooooo 👏👏👏
@GeorgeKapaya
5 жыл бұрын
Oy
😂😂😂😂 Baraka Magufuli
Great comedian.
No president like magufuli god choice you to be a president of Tanzania god blless you
Aisee rais uongoze tu milele daah hadi raha
Makufuli kibongo yani huna wivu nakupenda tu bure
I love you Tanzania
KAMWENEEEEEEEE I LOVE YOU MY PRESIDENT MAGUFURI KWAKUA UNA JARIII. SASA KAZI KWAKO BARAKA MAGUFURII NAMUOMBA MUNGU WAKUPATIE KAMPENI 2020.
@GeorgeKapaya
5 жыл бұрын
Mama pg 😀😀😀😀
Ninakukubali mkuu wa nchi. Big up.
Good president
Yani hawa jamaa waliobeba siraha hata raisi achekeshe hawacheki hata kidogo. Salute kwao
@JophasJohn-oh8zu
5 ай бұрын
Hata sielewi kabisa
Wewe hakuna wa kufananaye magufuli oyee
@janethsanga6297
5 жыл бұрын
Mungu awe nawe
Safi Sana
@GeorgeKapaya
5 жыл бұрын
Poa
Maguu upoo chezea wee mafinga hahaha very funny
Du, Asante Sana RAISI.. Unapoamua Kuchangamsha Na Kufurahisha Umati Unakua Umemfurahisha Pia Mwenyezi Mungu. Mi Binafsi Sikukupa Kura 2015 Lakini Sasa Nimeamua 2020 Nikupe Kura Kwa Moyo Mmoja Tena Wenye Furaha Kubwa. Mungu Akubariki Na Akupe Maisha Marefu.
@fundieddy9164
5 жыл бұрын
Barry Ryoba, nice comment. Muumba akubariki sana.
@peninamgimba2343
5 жыл бұрын
Big up bro 2020 tuende sawa
@fundieddy9164
5 жыл бұрын
@@peninamgimba2343 Comment yako imekwenda shule kweli-kweli. Penina Mgimba, hapa tuongelee mwaka 2025 au zaidi (ikiwezekana: aendelee hadi atakapokuwa anatembea na mkongojo, wazungu wanaita 'walking stick age'). Ninamaanisha, aendelee kuliongoza taifa letu siku zote za afya yake njema au uhai wake. TUMUOMBEE KWA HILO.
@peninamgimba2343
5 жыл бұрын
@@fundieddy9164 yah
Real talent
Hahahaahah safi sana President Magu uko peace sana!!!
Jamani nimefurahi yani kama ndiye magufury mashaallah
Atari 🔥
Thanks
Dah Ivi Unajua dunian wawil wawil
Atarii fireeeee
rest in peace our hero JOHN MAGUFULI
Yan magu hd raha
P90 SMG to protect president nooo Nindogo sana
Pumzika kwa amani kiongozi😭😭😭
Hongera sana Mr president, Unatupatia raha sana.
kwa kweli kamwigizaa kweliii!!
Safiiiiiiiiii
Mungu hakunyimi vyote
Nimempenda magufuli kwa tabia yake nzuri na ni rahisi yuwafaa kuigwa kwa maraisi wote hongera raisi mpenda watu wote
Vyama pinzani kazi mnayo kumtoa rais kama huyu madarakani
@GeorgeKapaya
5 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
saf sana magufuri mm Getruda Toto ra Sara Dada