MAAJABU DARAJA LA MAGUFULI KIGONGO BUSISI, RASMI KUANZA KUTUMIKA, TANROADS WATOA TAARIFA HII KUBWA

#UhondoTV #Uhondo

Пікірлер: 19

  • @user-gv8yn9lg1i
    @user-gv8yn9lg1i19 күн бұрын

    Jp Makufuli 😅😅😅

  • @leokamil6284
    @leokamil628420 күн бұрын

    Mwendazake kweli ulibadilisha hii nchi kwa muda mfupi sana, sijui nisemeje umetuachia ukiwa nchi haieleweki kabisaa. Pumzika kwa Amani

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv20 күн бұрын

    Je mama hana mchango kweli? Au mnasahau kwa makusudi?

  • @KudraWanguvu-em1xw

    @KudraWanguvu-em1xw

    20 күн бұрын

    anao sana tena sana

  • @deniccgabriel6153

    @deniccgabriel6153

    20 күн бұрын

    ​@@KudraWanguvu-em1xwanamchango wakukabidhi bandari kwa waarabu siombaya😊😊😊

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq19 күн бұрын

    Tumuombe maisha bora akhera na huyu mama mwenyez mungu amsimamie kwa uwezo wake mungu maana bila mungu hatuwezi kitu jamani na kila hali mja njia ni moja tu

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi763720 күн бұрын

    Tanzania inanyanyuka.. .

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus919 күн бұрын

    Barabara unganishi za Daraja ziwe na urefu kilometa nyingi na upana wa kutosha ilikulipa thamani ya gharama iliyotumika kulijenga siyo mjenge vibarabara kama vya huku uswahilini kuliunganisha Daraja hilo.

  • @MashauriissaMohamed
    @MashauriissaMohamed3 күн бұрын

    Tutakukumbika Kwa mazuri yako

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo626320 күн бұрын

    Huyu msimulizi ni mgeni kutoka nchi jirani? Pili, anapotosha kudai ya kwamba kuvuka kwa ferry kutoka Busisi hadi Kigongo ferry unatumia saa mbili. Hata kwa kupiga kasia huwezi kutumia zaidi ya saa moja!

  • @Worldunite
    @Worldunite18 күн бұрын

    Mbona mnaleta mfarakano? Hili jambo liko wazi kwamba hayati JPM aliona umuhimu wa kujenga hili daraja na akaanza kulijenga, halikuwa jambo rahisi, na baada ya kifo chake mama ndo analimalizia, sasa, tunachoshindania hapa ni lipi?

  • @fauzseif7344
    @fauzseif734420 күн бұрын

    Sio meta ni metet

  • @justardzelphine6526

    @justardzelphine6526

    20 күн бұрын

    Umekosoa nini?

  • @user-gv8yn9lg1i

    @user-gv8yn9lg1i

    17 күн бұрын

    @@justardzelphine6526 😂😂

  • @MalamboSelijusi
    @MalamboSelijusi20 күн бұрын

    Mbona nguzo zajuu zinaonekana sio imara mjitafakari

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    20 күн бұрын

    Kutalipuliwa sasa mfuatiliaji ayupo

  • @kambamazig02024

    @kambamazig02024

    17 күн бұрын

    Engineer wewe? Yaani kwa picha tayari umeshaona ubovu wa daraja?🤣

  • @MalamboSelijusi

    @MalamboSelijusi

    17 күн бұрын

    @@kambamazig02024 tulia mmh jambo dogo Hilo unapo ambiwa jambo lifanyie kazi

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi763720 күн бұрын

    Mchango wa mama upo.....

Келесі