MAAJABU DARAJA LA MAGUFULI KIGONGO BUSISI, RASMI KUANZA KUTUMIKA, TANROADS WATOA TAARIFA HII KUBWA
#UhondoTV #Uhondo
Жүктеу.....
Пікірлер: 19
@user-gv8yn9lg1i19 күн бұрын
Jp Makufuli 😅😅😅
@leokamil628420 күн бұрын
Mwendazake kweli ulibadilisha hii nchi kwa muda mfupi sana, sijui nisemeje umetuachia ukiwa nchi haieleweki kabisaa. Pumzika kwa Amani
@Kim19onlinetv20 күн бұрын
Je mama hana mchango kweli? Au mnasahau kwa makusudi?
@KudraWanguvu-em1xw
20 күн бұрын
anao sana tena sana
@deniccgabriel6153
20 күн бұрын
@@KudraWanguvu-em1xwanamchango wakukabidhi bandari kwa waarabu siombaya😊😊😊
@Aida-qh3jq19 күн бұрын
Tumuombe maisha bora akhera na huyu mama mwenyez mungu amsimamie kwa uwezo wake mungu maana bila mungu hatuwezi kitu jamani na kila hali mja njia ni moja tu
@zobakazizi763720 күн бұрын
Tanzania inanyanyuka.. .
@modestwenceslaus919 күн бұрын
Barabara unganishi za Daraja ziwe na urefu kilometa nyingi na upana wa kutosha ilikulipa thamani ya gharama iliyotumika kulijenga siyo mjenge vibarabara kama vya huku uswahilini kuliunganisha Daraja hilo.
@MashauriissaMohamed3 күн бұрын
Tutakukumbika Kwa mazuri yako
@sylvestercameo626320 күн бұрын
Huyu msimulizi ni mgeni kutoka nchi jirani? Pili, anapotosha kudai ya kwamba kuvuka kwa ferry kutoka Busisi hadi Kigongo ferry unatumia saa mbili. Hata kwa kupiga kasia huwezi kutumia zaidi ya saa moja!
@Worldunite18 күн бұрын
Mbona mnaleta mfarakano? Hili jambo liko wazi kwamba hayati JPM aliona umuhimu wa kujenga hili daraja na akaanza kulijenga, halikuwa jambo rahisi, na baada ya kifo chake mama ndo analimalizia, sasa, tunachoshindania hapa ni lipi?
Пікірлер: 19
Jp Makufuli 😅😅😅
Mwendazake kweli ulibadilisha hii nchi kwa muda mfupi sana, sijui nisemeje umetuachia ukiwa nchi haieleweki kabisaa. Pumzika kwa Amani
Je mama hana mchango kweli? Au mnasahau kwa makusudi?
@KudraWanguvu-em1xw
20 күн бұрын
anao sana tena sana
@deniccgabriel6153
20 күн бұрын
@@KudraWanguvu-em1xwanamchango wakukabidhi bandari kwa waarabu siombaya😊😊😊
Tumuombe maisha bora akhera na huyu mama mwenyez mungu amsimamie kwa uwezo wake mungu maana bila mungu hatuwezi kitu jamani na kila hali mja njia ni moja tu
Tanzania inanyanyuka.. .
Barabara unganishi za Daraja ziwe na urefu kilometa nyingi na upana wa kutosha ilikulipa thamani ya gharama iliyotumika kulijenga siyo mjenge vibarabara kama vya huku uswahilini kuliunganisha Daraja hilo.
Tutakukumbika Kwa mazuri yako
Huyu msimulizi ni mgeni kutoka nchi jirani? Pili, anapotosha kudai ya kwamba kuvuka kwa ferry kutoka Busisi hadi Kigongo ferry unatumia saa mbili. Hata kwa kupiga kasia huwezi kutumia zaidi ya saa moja!
Mbona mnaleta mfarakano? Hili jambo liko wazi kwamba hayati JPM aliona umuhimu wa kujenga hili daraja na akaanza kulijenga, halikuwa jambo rahisi, na baada ya kifo chake mama ndo analimalizia, sasa, tunachoshindania hapa ni lipi?
Sio meta ni metet
@justardzelphine6526
20 күн бұрын
Umekosoa nini?
@user-gv8yn9lg1i
17 күн бұрын
@@justardzelphine6526 😂😂
Mbona nguzo zajuu zinaonekana sio imara mjitafakari
@leokamil6284
20 күн бұрын
Kutalipuliwa sasa mfuatiliaji ayupo
@kambamazig02024
17 күн бұрын
Engineer wewe? Yaani kwa picha tayari umeshaona ubovu wa daraja?🤣
@MalamboSelijusi
17 күн бұрын
@@kambamazig02024 tulia mmh jambo dogo Hilo unapo ambiwa jambo lifanyie kazi
Mchango wa mama upo.....