#kivumbi

LEMA AANGUA KILIO WANAICHI WAMEWACHOSHA BOLA WAHAMIE CCM WOTE HAYO AMEYASEMA AKIWA KATIKA MKUTANO ALIPOKUA AKIZUNGUMZA NA WANA NCHI AKIYASEMA KWA UCHUNGU MKUBWA

Пікірлер: 159

  • @mackrankagenzi5236
    @mackrankagenzi523613 күн бұрын

    Mwenyezi Mungu Tunakuomba Ibariki CHADEMA na Mwenyekiti Mbowe kwa jinsi anavyojitolea kwa hali na mali kuwezesha viongozi wake kuelimisha wananchi kuhusu mambo mengi ya Nchi hii ,Hakika najifunza mengi kupitia siasa za CHADEMA .#M4C #CDM .❤

  • @ndogoroedson199

    @ndogoroedson199

    13 күн бұрын

    Mungu hawezi kukibariki chama cha wahuni

  • @graysonpastory1918

    @graysonpastory1918

    12 күн бұрын

    Wapenda uhuru wa ushoga hawa, labda sera zao wazibadili upya ,uhuru uwe na mipaka,.​@@ndogoroedson199

  • @nyerere1259

    @nyerere1259

    12 күн бұрын

    Anajitolea vp na chama ni mali ya familiar

  • @TegemeaFutemakatifu

    @TegemeaFutemakatifu

    12 күн бұрын

    ​@@ndogoroedson199Wahuni ni Ccm wanao hujum wananchi wao nakufundisha watoto wetu idadi ya miguu ya panzi wakati Hio idadi ya miguu ya Panzi haiwasaidii ktk maisha

  • @damianmcba9525

    @damianmcba9525

    12 күн бұрын

    Ccm au walimu wanaofundisha miguu ya panzi?​@@TegemeaFutemakatifu

  • @shikuhata
    @shikuhata9 күн бұрын

    Nakukubali tuu kwa kuishauri ccm kuboresha huduma kwa njia tofauti tofauti

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda131913 күн бұрын

    Point god bless lema

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz13 күн бұрын

    Mashaaalah lema,huna baya,

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga623813 күн бұрын

    Hoaja zako zinaeleweka Mhe Lema nadhani Mungu ni mwaminifu naye atafanya kwa wakati wake. Watanganyika kama hatuelewi tupo tu kufikiria betting na michezo ya timu za nje tunazojua majina ya wachezaji wote ambayo haina faida kabisa katika ustawi wetu, lakni hatuna habari na jinsi gani mali zetu zinavyotumiwa. Laiti watu wangejifunza kutoka kwa Gen Z ya jirani. Mungu atuhurumie

  • @malikeyndotopopote

    @malikeyndotopopote

    12 күн бұрын

    Salute bro

  • @Anordgration
    @Anordgration12 күн бұрын

    Mzee democrasia ipi mnaongelea jamanii? Tengeneza kwanza democrasia ya chama chenu ndo muongelee hiyo democrasia

  • @stanastana3199
    @stanastana319913 күн бұрын

    Nenda ccm lema,chadema utafulia sana

  • @ramadhanchenga4606

    @ramadhanchenga4606

    13 күн бұрын

    Hakuzaliwa hivo

  • @usembiphonedar5632

    @usembiphonedar5632

    13 күн бұрын

    Akili zako na kufikiri kwako ndiyo kumeishia hapo! Lema siyo type yako kununuliwa kwa tamaa kama mnavyonunua wengine! Hovyoooo kabisa!

  • @stanastana3199

    @stanastana3199

    13 күн бұрын

    @@usembiphonedar5632 hii komment naitunza,ni swala la mda tu

  • @halimamasai2234

    @halimamasai2234

    7 күн бұрын

    Anakaribishwa hata Msigwa mlisema hataenda CCM yako wapi na Lema ajee tu chadema wamekwisha ki siyasa wanaimba taarbu tu sasa 🤣🤣🤣🤣

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf11 күн бұрын

    #TUNAIMANI NA SAMIA MITANO TENA,MAMA SAMIA OYEE, MAKONDA OYEEE, PITER MSIGWA OYEEE, BASHE OYEEE, CCM OYEEE.

  • @olivermwakikuti

    @olivermwakikuti

    11 күн бұрын

    Oyeeeeeeeeeeeeeeee

  • @halimamasai2234

    @halimamasai2234

    7 күн бұрын

    Oyeeeee CCM oyeee Msigwa oyeeee mama Samia oyeee Makonda oyeee ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Flaviosafari
    @Flaviosafari13 күн бұрын

    Wanataka Mungu ashuke labda aongee mwenyewe ? Wakati unakuja.

  • @JamesMatondo-fk4bh
    @JamesMatondo-fk4bh13 күн бұрын

    Hongera kwa mawazo mazur

  • @JeremiaholendikaMakeseni
    @JeremiaholendikaMakeseni13 күн бұрын

    Hogera sana kiongozi makini

  • @MnyamaTolu-kd5ct
    @MnyamaTolu-kd5ct13 күн бұрын

    Nakukubali Mwamba

  • @foibennjeje7730
    @foibennjeje773013 күн бұрын

    Mbalikiwe Mungu ndugu zangu

  • @user-kc6hg1se7b
    @user-kc6hg1se7b11 күн бұрын

    Mungu atusaidie WA Tanzania ambao hatuna uelewa, pipooooosss

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi824113 күн бұрын

    ila hawa wapinzani wameteseka kweli

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb13 күн бұрын

    Kama Lema ni mwongo basi mkweli atashuka kutoka juu

  • @user-vb8ki3jo9t
    @user-vb8ki3jo9t10 күн бұрын

    Ulipo kuwa mbunge ulishindwaje kufanya hayo muzeeee acha uongo watanzania wanaakili

  • @talentshow2024

    @talentshow2024

    9 күн бұрын

    Mh

  • @user-vr1ly3rw4h

    @user-vr1ly3rw4h

    8 күн бұрын

    Mbunge kazi yake ni kuishauri serikali wewe

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb13 күн бұрын

    Leo wanasema Tanzania ya viwanda

  • @allyalijai7143
    @allyalijai714316 сағат бұрын

    Hamna kitu hapoo, utawadanganya wasiojitambuaa.

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja257513 күн бұрын

    Lema hebu acha story njooni kwenye Mada ya chaguzi zijazo na jinsi gani tunaleta mabadiliko.!!

  • @ShamteMaganga

    @ShamteMaganga

    13 күн бұрын

    Subiri kampeni zianze

  • @karolikisaka8991

    @karolikisaka8991

    13 күн бұрын

    Hii ndiyo hoja ndugu ambayo itakutia wewe uchungu uiondoe ccm Kisha ndo tuje tutengeneze katiba. Ccm hawataki kabisa kusikia hiyo kitu

  • @carloschikawe3244
    @carloschikawe324412 күн бұрын

    Aisee Mungu atusaidie

  • @mwaramimbuya5443
    @mwaramimbuya54435 күн бұрын

    amina ccm mwamba

  • @user-od1pl6ox5m
    @user-od1pl6ox5m11 күн бұрын

    Mungu awenawe mwambaaa 🙏🙏

  • @edgeredson9691
    @edgeredson969110 күн бұрын

    Chama hiki kinazungumzia wabunge kukamatwa mara lema kuwa na kesi mara risasi,, sasa hik chama kitazungumzia matatzo ya wananchi? Hiki chama kila mtu ni selfish

  • @thomasrobert-bf1mf
    @thomasrobert-bf1mf12 күн бұрын

    mbona kipindi ukiwa ukiwa mubunge mbona hujawai kusikika

  • @JoshuaSabu-r2p

    @JoshuaSabu-r2p

    9 күн бұрын

    Unamfaham vzr alipokuwa bungeni

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine652613 күн бұрын

    Kapunga wameiua wenyewe, halafu wanaagiza mchele kutoka

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    13 күн бұрын

    Na mashamba ya Basuto enzi hizi😮😮

  • @MnubiMm

    @MnubiMm

    13 күн бұрын

    Lema mnalipwa pesa za Wabunge Wabunge VT Maalum mmelipa pesa za Ruzuku ya chama zaidi ya bilioni 2 useme na hayo Kama kweli wewe na chama chako ni wakweli chama chenu lema sio chama Cha kutawala nchi ni kwa sbb sio chama Maamuzi yote yako kwa Mtu mmoja ni hatali hataki kupingwa ww lema na ubabe wako wote ww unamuogopa Mbowe kazi yenu kudumisha fikra za MWENYEKITI hayo unayosema aliyasema Ruto siku mia moja Leo kafeli Kila kitu Kodi mmpaka kwenye mkate kusema kitu kingine kutenda kingine lema nchi sio Jimbo usirahisishe Kila kitu wenye Akili wanaelewa hiyo katiba mpya tume huru ndio iliyomuweka Dr Ruto Madarakani Kama ndio hoja Leo Kenya ingekuwa Paradiso lakini Kenya hapakaliki kisa Kodi Matunda ya katiba mpya na tume huru katiba mpya tume huru sio dawa Dawa Nani Mtawala ingekuwa dawa tungeona Kenya

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz13 күн бұрын

    Lema umeongea jambo sahihi sana

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k13 күн бұрын

    Kweli tunaongozwa na watu wasio na uwezo

  • @TarimoMangi
    @TarimoMangi13 күн бұрын

    Nabii ikulu ni yenu #CHADEMA# WANAMAPINDUZI.

  • @MilloWamilonga-ft8ir

    @MilloWamilonga-ft8ir

    13 күн бұрын

    Thubutuu kwa huyo mkimbizi wa saccos ya mfalme mbowe makengeza?

  • @UmmyDaud
    @UmmyDaud9 күн бұрын

    Sema lema inatakiwa tushikamane hakuna kujali kitu😂

  • @heriethmsambili5711
    @heriethmsambili571110 күн бұрын

    😂😂😂hapo kwenye tunaongozwa na machiziiiii😅😅😅

  • @MohamedHamsini
    @MohamedHamsini12 күн бұрын

    LEMA MUONGO SANA WEWE ULIKUWA MBUNGE ULIFANYA NINI?

  • @ericlowasa3097

    @ericlowasa3097

    9 күн бұрын

    Ulitegemea atafanya nini na bajeti ya utekelezaji wa maendeleo kwenye majimbo wanatoa ccm kunachakufanya happ

  • @sarikielimbise447
    @sarikielimbise44712 күн бұрын

    Peleka huko,wewe hata familia inakulalamikia, licha ya Nchi,mkimbizi

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga284813 күн бұрын

    Kwa hiyo tukudaidie.nini

  • @thomasrobert-bf1mf
    @thomasrobert-bf1mf12 күн бұрын

    mbona ujawai kuongelea bungeni

  • @rehemakarafuu-xi1py
    @rehemakarafuu-xi1py13 күн бұрын

    kichwa san mwamba

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole743813 күн бұрын

    Sasa wewe unawatetea wanyonge yajaze hayo maji acha ngonjera zako

  • @RwegoshoraPatt-os2ik
    @RwegoshoraPatt-os2ik12 күн бұрын

    Lema zuri gani umewafanyia watanzani?

  • @abubakarimchani8362
    @abubakarimchani836211 күн бұрын

    Iko sawa mkuu wangu

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa804311 күн бұрын

    Hamna mtu hapo lema ni hewa nenda machame

  • @sadicksingogo260
    @sadicksingogo26012 күн бұрын

    Unasikika mwanaume

  • @user-qh5lq7gx2b
    @user-qh5lq7gx2b12 күн бұрын

    Hongera sana kamanda lema

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy439113 күн бұрын

    Mungu akubariki Lema. Kweli tupuu unayoiongea.

  • @AbdallahBabu-jl8ld
    @AbdallahBabu-jl8ld13 күн бұрын

    Mngefanya hata moja lamaana sio kusambaza maneno hata kwenye kanga yapo

  • @user-rk9gr9yf3i
    @user-rk9gr9yf3i13 күн бұрын

    Huna mpango kilichobaki kakojoe ukalale unataka siasa ndo hiyo

  • @samwelsimon7392
    @samwelsimon739213 күн бұрын

    umesahau na kesi ya mkeo

  • @edsonmoris
    @edsonmoris13 күн бұрын

    Nimekuelewa lema

  • @HashimuAbubakar-ej8gc
    @HashimuAbubakar-ej8gc13 күн бұрын

    Wananchi siku wakiweelewa hoja zenu amtatumia nguvu kushawshi watu

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb13 күн бұрын

    Nabii wa Mungu piga kazi Ikulu safari hii ni yenu

  • @DanisNwita-il8zg

    @DanisNwita-il8zg

    13 күн бұрын

    Kaka ikilu ipi ,kwa katiba gani?

  • @molenicharles9107
    @molenicharles910713 күн бұрын

    Napita tu...ila njaa mbaya

  • @emmanuelmashishanga7141
    @emmanuelmashishanga714113 күн бұрын

    Nisuala la muda tu

  • @emmanuelkyandochali990
    @emmanuelkyandochali99012 күн бұрын

    Mnatoa wap pesa

  • @barakamanga5502
    @barakamanga550212 күн бұрын

    Upo sawa

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa517913 күн бұрын

    kweli chadema mnazidiwa na mwamposa

  • @AnaniaBulaya-rc3jv
    @AnaniaBulaya-rc3jv13 күн бұрын

    Kama hampati Hela yoyote.Hela ya ruzuku imetoka juzi imeenda wapi?

  • @frankjoely3313

    @frankjoely3313

    11 күн бұрын

    We ni mpuuzi tu

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki12 күн бұрын

    Tulikupa ubunge ukaenda bungen kupinga kilsa kitu tuambie kipindi chako ulifanya nini

  • @daudibukuku6490
    @daudibukuku649013 күн бұрын

    Hao watu au mchanga???? People's!!!!!!!!!!!!!!!

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    13 күн бұрын

    PAMBANENI. KARIBU KUNAKUCHA

  • @KaburuKimath-eu5nf

    @KaburuKimath-eu5nf

    13 күн бұрын

    Cha msingi watu wajiandikishe tukutane kw sanduku la a kura

  • @user-px1tc1nj1w
    @user-px1tc1nj1w13 күн бұрын

    Unachongea tu

  • @sarahdeograthias9097
    @sarahdeograthias909713 күн бұрын

    Mungu mbariki Makonda

  • @TegemeaFutemakatifu

    @TegemeaFutemakatifu

    12 күн бұрын

    Makonda Kwa nafasi yake si haba Lakini Hawa jamaa wanafanya Kazi kubwa sana kutufungua faham zetu, vinginevo Ccm watatuumiza sana

  • @pennymahombo9528
    @pennymahombo952813 күн бұрын

    Great visionary

  • @user-bj9nb1yh3o
    @user-bj9nb1yh3o9 күн бұрын

    Luzuku mnapeleka wapi wacheni usani

  • @ngwandukadama4229
    @ngwandukadama422913 күн бұрын

    Kwa hiyo

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa615913 күн бұрын

    Fisiyemu ni korona ya taifa la tanganyika

  • @samwelsimon7392

    @samwelsimon7392

    13 күн бұрын

    chadema bado sana nyie pigeni kelele tu mtimize wajibu wenu wa kupayuka mchoke mpate usingizi vizuri

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya295013 күн бұрын

    Hiyo kauli ya magufuli umeiba

  • @TegemeaFutemakatifu

    @TegemeaFutemakatifu

    12 күн бұрын

    Kauli Gani? Au Kauli zikigongana ni kosa? Acheni Ushamba nyie ma Ccm

  • @godhelpmassam3480
    @godhelpmassam348010 күн бұрын

    Ee Mwenyenzi Mungu tusaidie.

  • @MeshackKaboja
    @MeshackKaboja13 күн бұрын

    Hamna lolote mjingatuu ndo atakuerewa

  • @ramadhanchenga4606

    @ramadhanchenga4606

    13 күн бұрын

    Zero brain ww

  • @user-mo3ik6go6r

    @user-mo3ik6go6r

    13 күн бұрын

    Kuwa na hakili kidog

  • @davidchihimba9489
    @davidchihimba948913 күн бұрын

    Asee mungu anaona yote haya hao mambwa wachache kwa nini tusiwauwe tu mizoga hao wanatesa watu kwa faida gani

  • @azizimangara9024
    @azizimangara902413 күн бұрын

    Watanzania wapo Timamu. Tofauti na mnavyo wafikiria., Bora kibaya ulichonacho, kuliko kibaya zaidi, ambacho Aupo nacho. Wa Tz tunawafahamu vizuri saana, walio madarakani na nyinyi msio kuwa madarakani. Toa sera safisha Kwanza kwako ndo umwambie jirani uchafu wake, unamsema mwenzio ajaoga siku mbili wakati wewe mwenyewe ujaoga mwezi!!!!

  • @user-lw3tg3yg5b

    @user-lw3tg3yg5b

    13 күн бұрын

    Viongozi

  • @noelyhaule5695

    @noelyhaule5695

    13 күн бұрын

    wew n hasara kwa taifa

  • @erickmsigala138

    @erickmsigala138

    13 күн бұрын

    Ulipatikana Guest akili mgando ndiyo maana mnajiita Chawa wachafu wakubwa nyie miccm

  • @pennymahombo9528

    @pennymahombo9528

    13 күн бұрын

    Huwezi misquote ukimya,bora ukae kimya kuliko kuzungumza ujinga wenye akili watakudharau,

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l13 күн бұрын

    nai penda chadema sana wa sema kweli siyo wale uki sema ukweli una tolewa bungeni muongo ana pigiwa makofi

  • @eliasnshashi3196
    @eliasnshashi319613 күн бұрын

    Upon sawa

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka899113 күн бұрын

    Kateshi ulikuwa na ngano saafi,wengi hamjui lkn sisi tunaona ulikuwa ni kama ulaya

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l13 күн бұрын

    Kenya demokrasia sasa inawatesa.

  • @dunstankihaa2383
    @dunstankihaa238312 күн бұрын

    Majitu ya Tanzania hayaelew kabsa

  • @athumanmtunguja4412
    @athumanmtunguja441212 күн бұрын

    tatizo hapo kunawapiga hela kila mtu anatetea tumbo lake

  • @dianamakyara4210
    @dianamakyara421013 күн бұрын

    ✌️✌️✌️

  • @nabimanyafesto5014
    @nabimanyafesto501413 күн бұрын

    Tunawaomba Karagwe jamani

  • @NusraMwalyawa
    @NusraMwalyawa9 күн бұрын

    Wachane hao

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko13 күн бұрын

    Chadema mna Kura nyingi

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine652613 күн бұрын

    Yeye amepata wapi?

  • @ibrahimgwasma1223
    @ibrahimgwasma122311 күн бұрын

    Lema lkn ulikuwa Mbunge hapa Arusha miaka 10 je huduma inayopatikana Arusha ni tofauti na majimbo ambayo ni ccm ?. Au ndo kusema mpaka serikali

  • @KudraWanguvu-em1xw
    @KudraWanguvu-em1xw13 күн бұрын

    Huyu huwa hamna kitu ungekuwa mkweli mngelekebisha chama cha cdm

  • @hanujoseph8809

    @hanujoseph8809

    12 күн бұрын

    We ndo hamna k2

  • @Flaviosafari

    @Flaviosafari

    11 күн бұрын

    @@KudraWanguvu-em1xw wewe ndio zaidi

  • @nasibuabasi4701
    @nasibuabasi470112 күн бұрын

    Ruzuku ya chama inatumika kwenye nini?

  • @TonyTrans-xw3bb
    @TonyTrans-xw3bb13 күн бұрын

    Hapa wapi?

  • @hamiltonmzee6120
    @hamiltonmzee612013 күн бұрын

    😢😢😢😢😢😢😢

  • @abuuawalina2625
    @abuuawalina262511 күн бұрын

    Chama ni CCM tu. Nchi hii, tunajuwa baadhi ya makabila yenye ukabila. Tunajuwa watu wa kaskazini asili yao wanaukabila sana, huo ndio ukweli. Haito tokea nchi kuchukuwa Chadema, labda chama kingine

  • @olivermwakikuti

    @olivermwakikuti

    11 күн бұрын

    Hakika ccm ni chama dume chama imara kigum kutoka madarakan

  • @MajaliwaTalali
    @MajaliwaTalali12 күн бұрын

    ❤⁹ooo😊

  • @MichaelEliasmwampamba
    @MichaelEliasmwampamba10 күн бұрын

    Wakati wewe ni mbunge mbona hayo haukufanya nakwenye jimbo lako ulifanya nini wewe

  • @ombenipenieli1432
    @ombenipenieli143211 күн бұрын

    Hakuna anaelipwa mshahara ila nyie mnapiga hela milioni hizo mnatoa wapi?acheni kutudanganya lema hiyo hela mngefanyia maendeleo madarasa zahanati mimi ningewaelewa acheni porojo

  • @ZakayoYohana

    @ZakayoYohana

    11 күн бұрын

    Yani Kodi akusanye mwigulu harafu zahanati ajenge lema huna Akiri

  • @samsongazika8908
    @samsongazika890811 күн бұрын

    Unatembea faida yako nn

  • @ShamteMohmed-ed2kk
    @ShamteMohmed-ed2kk13 күн бұрын

    Ruzuku kazi yake nini?

  • @philemonsnyanda9450

    @philemonsnyanda9450

    13 күн бұрын

    Haitoshi ndugu

  • @lorubaadvocates
    @lorubaadvocates13 күн бұрын

    Business

  • @DanielManumbo
    @DanielManumbo9 күн бұрын

    😅😅

  • @jumashimba9620
    @jumashimba962013 күн бұрын

    Lema wewe ni mzalendo

  • @kiyabolnjemu9646

    @kiyabolnjemu9646

    13 күн бұрын

    Mzalendo kwenye nn? Halopwi mshahara na hayo matumizi anapata wapi?

  • @YassinRajabu

    @YassinRajabu

    13 күн бұрын

    😂😂😂😂😂​@@kiyabolnjemu9646

  • @user-px1tc1nj1w
    @user-px1tc1nj1w13 күн бұрын

    Sasa hapo kuna sera gani

  • @MenelusCzar
    @MenelusCzar13 күн бұрын

    🥹

  • @JosephM.meiliari
    @JosephM.meiliari10 күн бұрын

    Sasa mheshimiwa kama hulipwi nini kinakutesa ww mpaka uteseke hivyo?mm naona una maslahi binafsi.hakuna mtu yyte anafanya kazi isiyo na malipo isipokuwa yesu kristo pekee mwingine yeyote ni anapambania ugali wake

  • @nasibuabasi4701
    @nasibuabasi470112 күн бұрын

    Propaganda nyingi

  • @MosesKamba-tk3lp
    @MosesKamba-tk3lp13 күн бұрын

    Una lolote mchumia tumbo

  • @MakameAbdallah-wn3hc
    @MakameAbdallah-wn3hc13 күн бұрын

    Upuuzi mtupu

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele779613 күн бұрын

    Mganga njaaa tu wewe

Келесі