LEMA AANGUA KILIO WANAICHI WAMEWACHOSHA BOLA WAHAMIE CCM WOTE HAYO AMEYASEMA AKIWA KATIKA MKUTANO ALIPOKUA AKIZUNGUMZA NA WANA NCHI AKIYASEMA KWA UCHUNGU MKUBWA
Жүктеу.....
Пікірлер: 159
@mackrankagenzi523613 күн бұрын
Mwenyezi Mungu Tunakuomba Ibariki CHADEMA na Mwenyekiti Mbowe kwa jinsi anavyojitolea kwa hali na mali kuwezesha viongozi wake kuelimisha wananchi kuhusu mambo mengi ya Nchi hii ,Hakika najifunza mengi kupitia siasa za CHADEMA .#M4C #CDM .❤
@ndogoroedson199
13 күн бұрын
Mungu hawezi kukibariki chama cha wahuni
@graysonpastory1918
12 күн бұрын
Wapenda uhuru wa ushoga hawa, labda sera zao wazibadili upya ,uhuru uwe na mipaka,.@@ndogoroedson199
@nyerere1259
12 күн бұрын
Anajitolea vp na chama ni mali ya familiar
@TegemeaFutemakatifu
12 күн бұрын
@@ndogoroedson199Wahuni ni Ccm wanao hujum wananchi wao nakufundisha watoto wetu idadi ya miguu ya panzi wakati Hio idadi ya miguu ya Panzi haiwasaidii ktk maisha
@damianmcba9525
12 күн бұрын
Ccm au walimu wanaofundisha miguu ya panzi?@@TegemeaFutemakatifu
@shikuhata9 күн бұрын
Nakukubali tuu kwa kuishauri ccm kuboresha huduma kwa njia tofauti tofauti
@abdalahgunda131913 күн бұрын
Point god bless lema
@HamisMghuna-fj3vz13 күн бұрын
Mashaaalah lema,huna baya,
@sammykateregga623813 күн бұрын
Hoaja zako zinaeleweka Mhe Lema nadhani Mungu ni mwaminifu naye atafanya kwa wakati wake. Watanganyika kama hatuelewi tupo tu kufikiria betting na michezo ya timu za nje tunazojua majina ya wachezaji wote ambayo haina faida kabisa katika ustawi wetu, lakni hatuna habari na jinsi gani mali zetu zinavyotumiwa. Laiti watu wangejifunza kutoka kwa Gen Z ya jirani. Mungu atuhurumie
@malikeyndotopopote
12 күн бұрын
Salute bro
@Anordgration12 күн бұрын
Mzee democrasia ipi mnaongelea jamanii? Tengeneza kwanza democrasia ya chama chenu ndo muongelee hiyo democrasia
@stanastana319913 күн бұрын
Nenda ccm lema,chadema utafulia sana
@ramadhanchenga4606
13 күн бұрын
Hakuzaliwa hivo
@usembiphonedar5632
13 күн бұрын
Akili zako na kufikiri kwako ndiyo kumeishia hapo! Lema siyo type yako kununuliwa kwa tamaa kama mnavyonunua wengine! Hovyoooo kabisa!
@stanastana3199
13 күн бұрын
@@usembiphonedar5632 hii komment naitunza,ni swala la mda tu
@halimamasai2234
7 күн бұрын
Anakaribishwa hata Msigwa mlisema hataenda CCM yako wapi na Lema ajee tu chadema wamekwisha ki siyasa wanaimba taarbu tu sasa 🤣🤣🤣🤣
@sasha-ri7tf11 күн бұрын
#TUNAIMANI NA SAMIA MITANO TENA,MAMA SAMIA OYEE, MAKONDA OYEEE, PITER MSIGWA OYEEE, BASHE OYEEE, CCM OYEEE.
Wanataka Mungu ashuke labda aongee mwenyewe ? Wakati unakuja.
@JamesMatondo-fk4bh13 күн бұрын
Hongera kwa mawazo mazur
@JeremiaholendikaMakeseni13 күн бұрын
Hogera sana kiongozi makini
@MnyamaTolu-kd5ct13 күн бұрын
Nakukubali Mwamba
@foibennjeje773013 күн бұрын
Mbalikiwe Mungu ndugu zangu
@user-kc6hg1se7b11 күн бұрын
Mungu atusaidie WA Tanzania ambao hatuna uelewa, pipooooosss
@jedidahbintidaudi824113 күн бұрын
ila hawa wapinzani wameteseka kweli
@MageAwe-hl5zb13 күн бұрын
Kama Lema ni mwongo basi mkweli atashuka kutoka juu
@user-vb8ki3jo9t10 күн бұрын
Ulipo kuwa mbunge ulishindwaje kufanya hayo muzeeee acha uongo watanzania wanaakili
@talentshow2024
9 күн бұрын
Mh
@user-vr1ly3rw4h
8 күн бұрын
Mbunge kazi yake ni kuishauri serikali wewe
@MageAwe-hl5zb13 күн бұрын
Leo wanasema Tanzania ya viwanda
@allyalijai714316 сағат бұрын
Hamna kitu hapoo, utawadanganya wasiojitambuaa.
@tibbsminja257513 күн бұрын
Lema hebu acha story njooni kwenye Mada ya chaguzi zijazo na jinsi gani tunaleta mabadiliko.!!
@ShamteMaganga
13 күн бұрын
Subiri kampeni zianze
@karolikisaka8991
13 күн бұрын
Hii ndiyo hoja ndugu ambayo itakutia wewe uchungu uiondoe ccm Kisha ndo tuje tutengeneze katiba. Ccm hawataki kabisa kusikia hiyo kitu
@carloschikawe324412 күн бұрын
Aisee Mungu atusaidie
@mwaramimbuya54435 күн бұрын
amina ccm mwamba
@user-od1pl6ox5m11 күн бұрын
Mungu awenawe mwambaaa 🙏🙏
@edgeredson969110 күн бұрын
Chama hiki kinazungumzia wabunge kukamatwa mara lema kuwa na kesi mara risasi,, sasa hik chama kitazungumzia matatzo ya wananchi? Hiki chama kila mtu ni selfish
@thomasrobert-bf1mf12 күн бұрын
mbona kipindi ukiwa ukiwa mubunge mbona hujawai kusikika
@JoshuaSabu-r2p
9 күн бұрын
Unamfaham vzr alipokuwa bungeni
@justardzelphine652613 күн бұрын
Kapunga wameiua wenyewe, halafu wanaagiza mchele kutoka
@adelinelyaruu3036
13 күн бұрын
Na mashamba ya Basuto enzi hizi😮😮
@MnubiMm
13 күн бұрын
Lema mnalipwa pesa za Wabunge Wabunge VT Maalum mmelipa pesa za Ruzuku ya chama zaidi ya bilioni 2 useme na hayo Kama kweli wewe na chama chako ni wakweli chama chenu lema sio chama Cha kutawala nchi ni kwa sbb sio chama Maamuzi yote yako kwa Mtu mmoja ni hatali hataki kupingwa ww lema na ubabe wako wote ww unamuogopa Mbowe kazi yenu kudumisha fikra za MWENYEKITI hayo unayosema aliyasema Ruto siku mia moja Leo kafeli Kila kitu Kodi mmpaka kwenye mkate kusema kitu kingine kutenda kingine lema nchi sio Jimbo usirahisishe Kila kitu wenye Akili wanaelewa hiyo katiba mpya tume huru ndio iliyomuweka Dr Ruto Madarakani Kama ndio hoja Leo Kenya ingekuwa Paradiso lakini Kenya hapakaliki kisa Kodi Matunda ya katiba mpya na tume huru katiba mpya tume huru sio dawa Dawa Nani Mtawala ingekuwa dawa tungeona Kenya
@MathewNathan-yb2bz13 күн бұрын
Lema umeongea jambo sahihi sana
@user-rc1dp6ux3k13 күн бұрын
Kweli tunaongozwa na watu wasio na uwezo
@TarimoMangi13 күн бұрын
Nabii ikulu ni yenu #CHADEMA# WANAMAPINDUZI.
@MilloWamilonga-ft8ir
13 күн бұрын
Thubutuu kwa huyo mkimbizi wa saccos ya mfalme mbowe makengeza?
LEMA MUONGO SANA WEWE ULIKUWA MBUNGE ULIFANYA NINI?
@ericlowasa3097
9 күн бұрын
Ulitegemea atafanya nini na bajeti ya utekelezaji wa maendeleo kwenye majimbo wanatoa ccm kunachakufanya happ
@sarikielimbise44712 күн бұрын
Peleka huko,wewe hata familia inakulalamikia, licha ya Nchi,mkimbizi
@epifaniamilinga284813 күн бұрын
Kwa hiyo tukudaidie.nini
@thomasrobert-bf1mf12 күн бұрын
mbona ujawai kuongelea bungeni
@rehemakarafuu-xi1py13 күн бұрын
kichwa san mwamba
@margarethpolepole743813 күн бұрын
Sasa wewe unawatetea wanyonge yajaze hayo maji acha ngonjera zako
@RwegoshoraPatt-os2ik12 күн бұрын
Lema zuri gani umewafanyia watanzani?
@abubakarimchani836211 күн бұрын
Iko sawa mkuu wangu
@davidmalisa804311 күн бұрын
Hamna mtu hapo lema ni hewa nenda machame
@sadicksingogo26012 күн бұрын
Unasikika mwanaume
@user-qh5lq7gx2b12 күн бұрын
Hongera sana kamanda lema
@ceciliamagalabajimmy439113 күн бұрын
Mungu akubariki Lema. Kweli tupuu unayoiongea.
@AbdallahBabu-jl8ld13 күн бұрын
Mngefanya hata moja lamaana sio kusambaza maneno hata kwenye kanga yapo
@user-rk9gr9yf3i13 күн бұрын
Huna mpango kilichobaki kakojoe ukalale unataka siasa ndo hiyo
@samwelsimon739213 күн бұрын
umesahau na kesi ya mkeo
@edsonmoris13 күн бұрын
Nimekuelewa lema
@HashimuAbubakar-ej8gc13 күн бұрын
Wananchi siku wakiweelewa hoja zenu amtatumia nguvu kushawshi watu
@MageAwe-hl5zb13 күн бұрын
Nabii wa Mungu piga kazi Ikulu safari hii ni yenu
@DanisNwita-il8zg
13 күн бұрын
Kaka ikilu ipi ,kwa katiba gani?
@molenicharles910713 күн бұрын
Napita tu...ila njaa mbaya
@emmanuelmashishanga714113 күн бұрын
Nisuala la muda tu
@emmanuelkyandochali99012 күн бұрын
Mnatoa wap pesa
@barakamanga550212 күн бұрын
Upo sawa
@kaaakwakutuliaa517913 күн бұрын
kweli chadema mnazidiwa na mwamposa
@AnaniaBulaya-rc3jv13 күн бұрын
Kama hampati Hela yoyote.Hela ya ruzuku imetoka juzi imeenda wapi?
@frankjoely3313
11 күн бұрын
We ni mpuuzi tu
@mbikamtanganaki12 күн бұрын
Tulikupa ubunge ukaenda bungen kupinga kilsa kitu tuambie kipindi chako ulifanya nini
@daudibukuku649013 күн бұрын
Hao watu au mchanga???? People's!!!!!!!!!!!!!!!
@adelinelyaruu3036
13 күн бұрын
PAMBANENI. KARIBU KUNAKUCHA
@KaburuKimath-eu5nf
13 күн бұрын
Cha msingi watu wajiandikishe tukutane kw sanduku la a kura
@user-px1tc1nj1w13 күн бұрын
Unachongea tu
@sarahdeograthias909713 күн бұрын
Mungu mbariki Makonda
@TegemeaFutemakatifu
12 күн бұрын
Makonda Kwa nafasi yake si haba Lakini Hawa jamaa wanafanya Kazi kubwa sana kutufungua faham zetu, vinginevo Ccm watatuumiza sana
@pennymahombo952813 күн бұрын
Great visionary
@user-bj9nb1yh3o9 күн бұрын
Luzuku mnapeleka wapi wacheni usani
@ngwandukadama422913 күн бұрын
Kwa hiyo
@rebekakulwa615913 күн бұрын
Fisiyemu ni korona ya taifa la tanganyika
@samwelsimon7392
13 күн бұрын
chadema bado sana nyie pigeni kelele tu mtimize wajibu wenu wa kupayuka mchoke mpate usingizi vizuri
@gracemairusya295013 күн бұрын
Hiyo kauli ya magufuli umeiba
@TegemeaFutemakatifu
12 күн бұрын
Kauli Gani? Au Kauli zikigongana ni kosa? Acheni Ushamba nyie ma Ccm
@godhelpmassam348010 күн бұрын
Ee Mwenyenzi Mungu tusaidie.
@MeshackKaboja13 күн бұрын
Hamna lolote mjingatuu ndo atakuerewa
@ramadhanchenga4606
13 күн бұрын
Zero brain ww
@user-mo3ik6go6r
13 күн бұрын
Kuwa na hakili kidog
@davidchihimba948913 күн бұрын
Asee mungu anaona yote haya hao mambwa wachache kwa nini tusiwauwe tu mizoga hao wanatesa watu kwa faida gani
@azizimangara902413 күн бұрын
Watanzania wapo Timamu. Tofauti na mnavyo wafikiria., Bora kibaya ulichonacho, kuliko kibaya zaidi, ambacho Aupo nacho. Wa Tz tunawafahamu vizuri saana, walio madarakani na nyinyi msio kuwa madarakani. Toa sera safisha Kwanza kwako ndo umwambie jirani uchafu wake, unamsema mwenzio ajaoga siku mbili wakati wewe mwenyewe ujaoga mwezi!!!!
@user-lw3tg3yg5b
13 күн бұрын
Viongozi
@noelyhaule5695
13 күн бұрын
wew n hasara kwa taifa
@erickmsigala138
13 күн бұрын
Ulipatikana Guest akili mgando ndiyo maana mnajiita Chawa wachafu wakubwa nyie miccm
@pennymahombo9528
13 күн бұрын
Huwezi misquote ukimya,bora ukae kimya kuliko kuzungumza ujinga wenye akili watakudharau,
@user-md7sd3hk6l13 күн бұрын
nai penda chadema sana wa sema kweli siyo wale uki sema ukweli una tolewa bungeni muongo ana pigiwa makofi
@eliasnshashi319613 күн бұрын
Upon sawa
@karolikisaka899113 күн бұрын
Kateshi ulikuwa na ngano saafi,wengi hamjui lkn sisi tunaona ulikuwa ni kama ulaya
@user-sj3wf5vz7l13 күн бұрын
Kenya demokrasia sasa inawatesa.
@dunstankihaa238312 күн бұрын
Majitu ya Tanzania hayaelew kabsa
@athumanmtunguja441212 күн бұрын
tatizo hapo kunawapiga hela kila mtu anatetea tumbo lake
@dianamakyara421013 күн бұрын
✌️✌️✌️
@nabimanyafesto501413 күн бұрын
Tunawaomba Karagwe jamani
@NusraMwalyawa9 күн бұрын
Wachane hao
@MusaOgwoko13 күн бұрын
Chadema mna Kura nyingi
@justardzelphine652613 күн бұрын
Yeye amepata wapi?
@ibrahimgwasma122311 күн бұрын
Lema lkn ulikuwa Mbunge hapa Arusha miaka 10 je huduma inayopatikana Arusha ni tofauti na majimbo ambayo ni ccm ?. Au ndo kusema mpaka serikali
@KudraWanguvu-em1xw13 күн бұрын
Huyu huwa hamna kitu ungekuwa mkweli mngelekebisha chama cha cdm
@hanujoseph8809
12 күн бұрын
We ndo hamna k2
@Flaviosafari
11 күн бұрын
@@KudraWanguvu-em1xw wewe ndio zaidi
@nasibuabasi470112 күн бұрын
Ruzuku ya chama inatumika kwenye nini?
@TonyTrans-xw3bb13 күн бұрын
Hapa wapi?
@hamiltonmzee612013 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢😢
@abuuawalina262511 күн бұрын
Chama ni CCM tu. Nchi hii, tunajuwa baadhi ya makabila yenye ukabila. Tunajuwa watu wa kaskazini asili yao wanaukabila sana, huo ndio ukweli. Haito tokea nchi kuchukuwa Chadema, labda chama kingine
@olivermwakikuti
11 күн бұрын
Hakika ccm ni chama dume chama imara kigum kutoka madarakan
@MajaliwaTalali12 күн бұрын
❤⁹ooo😊
@MichaelEliasmwampamba10 күн бұрын
Wakati wewe ni mbunge mbona hayo haukufanya nakwenye jimbo lako ulifanya nini wewe
@ombenipenieli143211 күн бұрын
Hakuna anaelipwa mshahara ila nyie mnapiga hela milioni hizo mnatoa wapi?acheni kutudanganya lema hiyo hela mngefanyia maendeleo madarasa zahanati mimi ningewaelewa acheni porojo
@ZakayoYohana
11 күн бұрын
Yani Kodi akusanye mwigulu harafu zahanati ajenge lema huna Akiri
@samsongazika890811 күн бұрын
Unatembea faida yako nn
@ShamteMohmed-ed2kk13 күн бұрын
Ruzuku kazi yake nini?
@philemonsnyanda9450
13 күн бұрын
Haitoshi ndugu
@lorubaadvocates13 күн бұрын
Business
@DanielManumbo9 күн бұрын
😅😅
@jumashimba962013 күн бұрын
Lema wewe ni mzalendo
@kiyabolnjemu9646
13 күн бұрын
Mzalendo kwenye nn? Halopwi mshahara na hayo matumizi anapata wapi?
@YassinRajabu
13 күн бұрын
😂😂😂😂😂@@kiyabolnjemu9646
@user-px1tc1nj1w13 күн бұрын
Sasa hapo kuna sera gani
@MenelusCzar13 күн бұрын
🥹
@JosephM.meiliari10 күн бұрын
Sasa mheshimiwa kama hulipwi nini kinakutesa ww mpaka uteseke hivyo?mm naona una maslahi binafsi.hakuna mtu yyte anafanya kazi isiyo na malipo isipokuwa yesu kristo pekee mwingine yeyote ni anapambania ugali wake
Пікірлер: 159
Mwenyezi Mungu Tunakuomba Ibariki CHADEMA na Mwenyekiti Mbowe kwa jinsi anavyojitolea kwa hali na mali kuwezesha viongozi wake kuelimisha wananchi kuhusu mambo mengi ya Nchi hii ,Hakika najifunza mengi kupitia siasa za CHADEMA .#M4C #CDM .❤
@ndogoroedson199
13 күн бұрын
Mungu hawezi kukibariki chama cha wahuni
@graysonpastory1918
12 күн бұрын
Wapenda uhuru wa ushoga hawa, labda sera zao wazibadili upya ,uhuru uwe na mipaka,.@@ndogoroedson199
@nyerere1259
12 күн бұрын
Anajitolea vp na chama ni mali ya familiar
@TegemeaFutemakatifu
12 күн бұрын
@@ndogoroedson199Wahuni ni Ccm wanao hujum wananchi wao nakufundisha watoto wetu idadi ya miguu ya panzi wakati Hio idadi ya miguu ya Panzi haiwasaidii ktk maisha
@damianmcba9525
12 күн бұрын
Ccm au walimu wanaofundisha miguu ya panzi?@@TegemeaFutemakatifu
Nakukubali tuu kwa kuishauri ccm kuboresha huduma kwa njia tofauti tofauti
Point god bless lema
Mashaaalah lema,huna baya,
Hoaja zako zinaeleweka Mhe Lema nadhani Mungu ni mwaminifu naye atafanya kwa wakati wake. Watanganyika kama hatuelewi tupo tu kufikiria betting na michezo ya timu za nje tunazojua majina ya wachezaji wote ambayo haina faida kabisa katika ustawi wetu, lakni hatuna habari na jinsi gani mali zetu zinavyotumiwa. Laiti watu wangejifunza kutoka kwa Gen Z ya jirani. Mungu atuhurumie
@malikeyndotopopote
12 күн бұрын
Salute bro
Mzee democrasia ipi mnaongelea jamanii? Tengeneza kwanza democrasia ya chama chenu ndo muongelee hiyo democrasia
Nenda ccm lema,chadema utafulia sana
@ramadhanchenga4606
13 күн бұрын
Hakuzaliwa hivo
@usembiphonedar5632
13 күн бұрын
Akili zako na kufikiri kwako ndiyo kumeishia hapo! Lema siyo type yako kununuliwa kwa tamaa kama mnavyonunua wengine! Hovyoooo kabisa!
@stanastana3199
13 күн бұрын
@@usembiphonedar5632 hii komment naitunza,ni swala la mda tu
@halimamasai2234
7 күн бұрын
Anakaribishwa hata Msigwa mlisema hataenda CCM yako wapi na Lema ajee tu chadema wamekwisha ki siyasa wanaimba taarbu tu sasa 🤣🤣🤣🤣
#TUNAIMANI NA SAMIA MITANO TENA,MAMA SAMIA OYEE, MAKONDA OYEEE, PITER MSIGWA OYEEE, BASHE OYEEE, CCM OYEEE.
@olivermwakikuti
11 күн бұрын
Oyeeeeeeeeeeeeeeee
@halimamasai2234
7 күн бұрын
Oyeeeee CCM oyeee Msigwa oyeeee mama Samia oyeee Makonda oyeee ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wanataka Mungu ashuke labda aongee mwenyewe ? Wakati unakuja.
Hongera kwa mawazo mazur
Hogera sana kiongozi makini
Nakukubali Mwamba
Mbalikiwe Mungu ndugu zangu
Mungu atusaidie WA Tanzania ambao hatuna uelewa, pipooooosss
ila hawa wapinzani wameteseka kweli
Kama Lema ni mwongo basi mkweli atashuka kutoka juu
Ulipo kuwa mbunge ulishindwaje kufanya hayo muzeeee acha uongo watanzania wanaakili
@talentshow2024
9 күн бұрын
Mh
@user-vr1ly3rw4h
8 күн бұрын
Mbunge kazi yake ni kuishauri serikali wewe
Leo wanasema Tanzania ya viwanda
Hamna kitu hapoo, utawadanganya wasiojitambuaa.
Lema hebu acha story njooni kwenye Mada ya chaguzi zijazo na jinsi gani tunaleta mabadiliko.!!
@ShamteMaganga
13 күн бұрын
Subiri kampeni zianze
@karolikisaka8991
13 күн бұрын
Hii ndiyo hoja ndugu ambayo itakutia wewe uchungu uiondoe ccm Kisha ndo tuje tutengeneze katiba. Ccm hawataki kabisa kusikia hiyo kitu
Aisee Mungu atusaidie
amina ccm mwamba
Mungu awenawe mwambaaa 🙏🙏
Chama hiki kinazungumzia wabunge kukamatwa mara lema kuwa na kesi mara risasi,, sasa hik chama kitazungumzia matatzo ya wananchi? Hiki chama kila mtu ni selfish
mbona kipindi ukiwa ukiwa mubunge mbona hujawai kusikika
@JoshuaSabu-r2p
9 күн бұрын
Unamfaham vzr alipokuwa bungeni
Kapunga wameiua wenyewe, halafu wanaagiza mchele kutoka
@adelinelyaruu3036
13 күн бұрын
Na mashamba ya Basuto enzi hizi😮😮
@MnubiMm
13 күн бұрын
Lema mnalipwa pesa za Wabunge Wabunge VT Maalum mmelipa pesa za Ruzuku ya chama zaidi ya bilioni 2 useme na hayo Kama kweli wewe na chama chako ni wakweli chama chenu lema sio chama Cha kutawala nchi ni kwa sbb sio chama Maamuzi yote yako kwa Mtu mmoja ni hatali hataki kupingwa ww lema na ubabe wako wote ww unamuogopa Mbowe kazi yenu kudumisha fikra za MWENYEKITI hayo unayosema aliyasema Ruto siku mia moja Leo kafeli Kila kitu Kodi mmpaka kwenye mkate kusema kitu kingine kutenda kingine lema nchi sio Jimbo usirahisishe Kila kitu wenye Akili wanaelewa hiyo katiba mpya tume huru ndio iliyomuweka Dr Ruto Madarakani Kama ndio hoja Leo Kenya ingekuwa Paradiso lakini Kenya hapakaliki kisa Kodi Matunda ya katiba mpya na tume huru katiba mpya tume huru sio dawa Dawa Nani Mtawala ingekuwa dawa tungeona Kenya
Lema umeongea jambo sahihi sana
Kweli tunaongozwa na watu wasio na uwezo
Nabii ikulu ni yenu #CHADEMA# WANAMAPINDUZI.
@MilloWamilonga-ft8ir
13 күн бұрын
Thubutuu kwa huyo mkimbizi wa saccos ya mfalme mbowe makengeza?
Sema lema inatakiwa tushikamane hakuna kujali kitu😂
😂😂😂hapo kwenye tunaongozwa na machiziiiii😅😅😅
LEMA MUONGO SANA WEWE ULIKUWA MBUNGE ULIFANYA NINI?
@ericlowasa3097
9 күн бұрын
Ulitegemea atafanya nini na bajeti ya utekelezaji wa maendeleo kwenye majimbo wanatoa ccm kunachakufanya happ
Peleka huko,wewe hata familia inakulalamikia, licha ya Nchi,mkimbizi
Kwa hiyo tukudaidie.nini
mbona ujawai kuongelea bungeni
kichwa san mwamba
Sasa wewe unawatetea wanyonge yajaze hayo maji acha ngonjera zako
Lema zuri gani umewafanyia watanzani?
Iko sawa mkuu wangu
Hamna mtu hapo lema ni hewa nenda machame
Unasikika mwanaume
Hongera sana kamanda lema
Mungu akubariki Lema. Kweli tupuu unayoiongea.
Mngefanya hata moja lamaana sio kusambaza maneno hata kwenye kanga yapo
Huna mpango kilichobaki kakojoe ukalale unataka siasa ndo hiyo
umesahau na kesi ya mkeo
Nimekuelewa lema
Wananchi siku wakiweelewa hoja zenu amtatumia nguvu kushawshi watu
Nabii wa Mungu piga kazi Ikulu safari hii ni yenu
@DanisNwita-il8zg
13 күн бұрын
Kaka ikilu ipi ,kwa katiba gani?
Napita tu...ila njaa mbaya
Nisuala la muda tu
Mnatoa wap pesa
Upo sawa
kweli chadema mnazidiwa na mwamposa
Kama hampati Hela yoyote.Hela ya ruzuku imetoka juzi imeenda wapi?
@frankjoely3313
11 күн бұрын
We ni mpuuzi tu
Tulikupa ubunge ukaenda bungen kupinga kilsa kitu tuambie kipindi chako ulifanya nini
Hao watu au mchanga???? People's!!!!!!!!!!!!!!!
@adelinelyaruu3036
13 күн бұрын
PAMBANENI. KARIBU KUNAKUCHA
@KaburuKimath-eu5nf
13 күн бұрын
Cha msingi watu wajiandikishe tukutane kw sanduku la a kura
Unachongea tu
Mungu mbariki Makonda
@TegemeaFutemakatifu
12 күн бұрын
Makonda Kwa nafasi yake si haba Lakini Hawa jamaa wanafanya Kazi kubwa sana kutufungua faham zetu, vinginevo Ccm watatuumiza sana
Great visionary
Luzuku mnapeleka wapi wacheni usani
Kwa hiyo
Fisiyemu ni korona ya taifa la tanganyika
@samwelsimon7392
13 күн бұрын
chadema bado sana nyie pigeni kelele tu mtimize wajibu wenu wa kupayuka mchoke mpate usingizi vizuri
Hiyo kauli ya magufuli umeiba
@TegemeaFutemakatifu
12 күн бұрын
Kauli Gani? Au Kauli zikigongana ni kosa? Acheni Ushamba nyie ma Ccm
Ee Mwenyenzi Mungu tusaidie.
Hamna lolote mjingatuu ndo atakuerewa
@ramadhanchenga4606
13 күн бұрын
Zero brain ww
@user-mo3ik6go6r
13 күн бұрын
Kuwa na hakili kidog
Asee mungu anaona yote haya hao mambwa wachache kwa nini tusiwauwe tu mizoga hao wanatesa watu kwa faida gani
Watanzania wapo Timamu. Tofauti na mnavyo wafikiria., Bora kibaya ulichonacho, kuliko kibaya zaidi, ambacho Aupo nacho. Wa Tz tunawafahamu vizuri saana, walio madarakani na nyinyi msio kuwa madarakani. Toa sera safisha Kwanza kwako ndo umwambie jirani uchafu wake, unamsema mwenzio ajaoga siku mbili wakati wewe mwenyewe ujaoga mwezi!!!!
@user-lw3tg3yg5b
13 күн бұрын
Viongozi
@noelyhaule5695
13 күн бұрын
wew n hasara kwa taifa
@erickmsigala138
13 күн бұрын
Ulipatikana Guest akili mgando ndiyo maana mnajiita Chawa wachafu wakubwa nyie miccm
@pennymahombo9528
13 күн бұрын
Huwezi misquote ukimya,bora ukae kimya kuliko kuzungumza ujinga wenye akili watakudharau,
nai penda chadema sana wa sema kweli siyo wale uki sema ukweli una tolewa bungeni muongo ana pigiwa makofi
Upon sawa
Kateshi ulikuwa na ngano saafi,wengi hamjui lkn sisi tunaona ulikuwa ni kama ulaya
Kenya demokrasia sasa inawatesa.
Majitu ya Tanzania hayaelew kabsa
tatizo hapo kunawapiga hela kila mtu anatetea tumbo lake
✌️✌️✌️
Tunawaomba Karagwe jamani
Wachane hao
Chadema mna Kura nyingi
Yeye amepata wapi?
Lema lkn ulikuwa Mbunge hapa Arusha miaka 10 je huduma inayopatikana Arusha ni tofauti na majimbo ambayo ni ccm ?. Au ndo kusema mpaka serikali
Huyu huwa hamna kitu ungekuwa mkweli mngelekebisha chama cha cdm
@hanujoseph8809
12 күн бұрын
We ndo hamna k2
@Flaviosafari
11 күн бұрын
@@KudraWanguvu-em1xw wewe ndio zaidi
Ruzuku ya chama inatumika kwenye nini?
Hapa wapi?
😢😢😢😢😢😢😢
Chama ni CCM tu. Nchi hii, tunajuwa baadhi ya makabila yenye ukabila. Tunajuwa watu wa kaskazini asili yao wanaukabila sana, huo ndio ukweli. Haito tokea nchi kuchukuwa Chadema, labda chama kingine
@olivermwakikuti
11 күн бұрын
Hakika ccm ni chama dume chama imara kigum kutoka madarakan
❤⁹ooo😊
Wakati wewe ni mbunge mbona hayo haukufanya nakwenye jimbo lako ulifanya nini wewe
Hakuna anaelipwa mshahara ila nyie mnapiga hela milioni hizo mnatoa wapi?acheni kutudanganya lema hiyo hela mngefanyia maendeleo madarasa zahanati mimi ningewaelewa acheni porojo
@ZakayoYohana
11 күн бұрын
Yani Kodi akusanye mwigulu harafu zahanati ajenge lema huna Akiri
Unatembea faida yako nn
Ruzuku kazi yake nini?
@philemonsnyanda9450
13 күн бұрын
Haitoshi ndugu
Business
😅😅
Lema wewe ni mzalendo
@kiyabolnjemu9646
13 күн бұрын
Mzalendo kwenye nn? Halopwi mshahara na hayo matumizi anapata wapi?
@YassinRajabu
13 күн бұрын
😂😂😂😂😂@@kiyabolnjemu9646
Sasa hapo kuna sera gani
🥹
Sasa mheshimiwa kama hulipwi nini kinakutesa ww mpaka uteseke hivyo?mm naona una maslahi binafsi.hakuna mtu yyte anafanya kazi isiyo na malipo isipokuwa yesu kristo pekee mwingine yeyote ni anapambania ugali wake
Propaganda nyingi
Una lolote mchumia tumbo
Upuuzi mtupu
Mganga njaaa tu wewe