Kisa Wasanii, Msukuma Awalipua TRA kwa JPM, Maagizo Mazito Yatolewa
Kisa Wasanii, Musukuma Awalipua TRA kwa JPM, Maagizo Mazito Yatolewa
MSUKUMA Alivyoibua SHANGWE Kwa WASANII, Ailipua TRA Kwa JPM
Mbunge wa jimbo la Geita vijijini Joseph Kasheku Msukuma ameibua shangwe katika kikao cha wafanyabiashara kilichofanyika ikulu na Rais Magufuli kwa kusema "Mimi ni balozi wa wasanii hapa nchini, wasanii wanaazungushwa na kusumbuliwa sana.
#MSUKUMA#JPM
/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Пікірлер: 59
Kwa kweli Wafanyabiashara wengi wamefunga biashara kwa sababu ya watu wa TRA.
@abedkirway3640
5 жыл бұрын
Msukuma hongera kaz nzury
Akili ya kuzaliwa ya Kisukuma
@venancemagodi5913
5 жыл бұрын
Kwakweli kuwa wazili sikujuwa kuongea ,hongela msukuma:
Safi Sana'a Msukumaa true definition of leader
Maana unavyojilipua kwa ukaribu sana na kufatilia sema ulishatuacha pale kwenye ngo'mbe,ukaenda kwenye madini akuenda kwenye mabasi ukamalizia CD ndo ikawa kwikwi apo ila uko nyuma pia kwikwi mh kweli msukuma upo vizuri ulivyopangilia asee Allah akulinde na husda na akupe mwisho mwema msukuma kwa kuongea ukweli kutoka moyoni inshaallah
Msukuma asante kabisa
Msukuma uko vizuri unauwezo mkubwa wa kutengeneza hoja na kuisimamia hongera sana
@kamauthestory9402
5 жыл бұрын
Deus Mgema pics
bado hawajauheshimu uongozi uncle magu
Yaani ni kweli kabisa uonevu ili wachukue hela,hawana fair tena wanakwambia nenda hata kwa waziri.
Thanx President magu bless you 😁
Amen
Big up msukuma
Mungu akuweke Mh. Rais
Mungu akulinde mh raisi
Haya tutayamisi sana kuyaona dah Rip magu
Wekeni vijana haya mazee yameishanyonya sana Mali za watu
@rosemarymsulwa203
5 жыл бұрын
Vijana ndiyo wezi.
Watanzania wenzangu tuzidi kuwaombea viongozi wetu kwa mwenyez MUNGU azidi kuwaongoza vyema
Msukuma pamoja na kuwa darasa la saba, ningekuwa na uwezo ungekuwa waziri angalau uwe wa mifugo
@johnlumanija9493
5 жыл бұрын
simba vs nkana
Kumbe magu ana hotel 😱😱😱😰
Nakubar sana msukuma
Thats why I said Musukuma his new president off Tanzania.
Watumbue kabisaa
Daaa uyu jamaa angekua mkoani kwangu hasimami tena jukwaani kura yangu ingekua ya milele
Hiii speech iendeleee iwekenii yotee
Huwa Kuna mda niache kuangaliya izi video , napatwa na uchungu sana.
Emanuel saimon kasongj
Baadhi ya watendaji wa serikali ni ovyoo
👏👏👏👍👍👍👍👍
@tomaskijigo8341
5 жыл бұрын
Kweli
@tomaskijigo8341
5 жыл бұрын
Kweli muzee magafuri nakukubari
@uswegemwakyusa3950
5 жыл бұрын
Umenena mr Msukuma, inasikitisha sana kuona jambo linaloleta maendeleo linapingwa na watu wachache...iyo idara ichunguzwe
Ujumbe umefika
umenena king hao T E R wanasumbua xna tena xna hasa ifakara
@neemalaizer1871
5 жыл бұрын
Maneno Alex I will 8m:yy:y77th :676;u7777777:9# to get get 7u
Jembe hili
Msukuma inabid upewe uwaziri wa biashala
😎
It's better Rais akateua watu walio na uchungu na hii nchi sio wapigaji tu ..kuna wasomi vijana wengi tupo tu mtaani tuna hasira na maendeleo ya nchi yetu...wazee waliostaafu achana nao kidogo
@saimonmangembe6353
5 жыл бұрын
ngasika joel
kwa kweli TRA ni kero sana! mh. Rais pole sana maana hawa walishazoea kupiga dili kuna uchafu mwingi sana kungekuwa na uwezekano ukawasikiliza na wafanyabiashara wa kati ungejua madudud mengi zaid ushaur wa msukuma kuweka jeshi ni sahihi kabisa! walau kwa mwez mmoja tu!!
turiomariza darasa rasaba tunajitaidi kupembua mambo makubwa tena mazito tunauhujasiri natena tunaweza Kira jambo zito josefu msukuma unatosha sana
Musukuma nakupenda sana ispokua bangi tu ndiyo naipinga ktk maoni yako.
@mrope348
5 жыл бұрын
Bangi ni dawa ndio inampa misimamo yakutoa nondo zote hizo, bangi ni mmea mtakatifu believe or not
@leilainnocent6532
5 жыл бұрын
@@mrope348 no way
@mufasamufas6023
5 жыл бұрын
@@mrope348 kweli
@zuleyvendor6577
5 жыл бұрын
@@mrope348 that's true👏
Hapo umeongea msukuma
Uyo jamaa wa pemben kwa msukuma ananyonga jicho
@lisajackson5867
5 жыл бұрын
hahahaa kumbe n wewe umemuona
Wee
@shamsuleiman8320
5 жыл бұрын
madebe
@edwardhotel3411
5 жыл бұрын
Uchanguzi ujao msukuma apewe uwazili viwanda
Kitu msukuma
Zuchu
Mungu akuweke Mh. Rais