Kisa Wasanii, Msukuma Awalipua TRA kwa JPM, Maagizo Mazito Yatolewa

Kisa Wasanii, Musukuma Awalipua TRA kwa JPM, Maagizo Mazito Yatolewa
MSUKUMA Alivyoibua SHANGWE Kwa WASANII, Ailipua TRA Kwa JPM
Mbunge wa jimbo la Geita vijijini Joseph Kasheku Msukuma ameibua shangwe katika kikao cha wafanyabiashara kilichofanyika ikulu na Rais Magufuli kwa kusema "Mimi ni balozi wa wasanii hapa nchini, wasanii wanaazungushwa na kusumbuliwa sana.
#MSUKUMA#JPM
/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Пікірлер: 59

  • @zenaamani371
    @zenaamani3715 жыл бұрын

    Kwa kweli Wafanyabiashara wengi wamefunga biashara kwa sababu ya watu wa TRA.

  • @abedkirway3640

    @abedkirway3640

    5 жыл бұрын

    Msukuma hongera kaz nzury

  • @deograthiusalphonce6977
    @deograthiusalphonce69775 жыл бұрын

    Akili ya kuzaliwa ya Kisukuma

  • @venancemagodi5913

    @venancemagodi5913

    5 жыл бұрын

    Kwakweli kuwa wazili sikujuwa kuongea ,hongela msukuma:

  • @fidelismukandara932
    @fidelismukandara9325 жыл бұрын

    Safi Sana'a Msukumaa true definition of leader

  • @punguwasasa7975
    @punguwasasa79755 жыл бұрын

    Maana unavyojilipua kwa ukaribu sana na kufatilia sema ulishatuacha pale kwenye ngo'mbe,ukaenda kwenye madini akuenda kwenye mabasi ukamalizia CD ndo ikawa kwikwi apo ila uko nyuma pia kwikwi mh kweli msukuma upo vizuri ulivyopangilia asee Allah akulinde na husda na akupe mwisho mwema msukuma kwa kuongea ukweli kutoka moyoni inshaallah

  • @ALOYCE007
    @ALOYCE0075 жыл бұрын

    Msukuma asante kabisa

  • @deusmgema1204
    @deusmgema12045 жыл бұрын

    Msukuma uko vizuri unauwezo mkubwa wa kutengeneza hoja na kuisimamia hongera sana

  • @kamauthestory9402

    @kamauthestory9402

    5 жыл бұрын

    Deus Mgema pics

  • @yangoshatv5327
    @yangoshatv53275 жыл бұрын

    bado hawajauheshimu uongozi uncle magu

  • @margarethsaramaki1100
    @margarethsaramaki11005 жыл бұрын

    Yaani ni kweli kabisa uonevu ili wachukue hela,hawana fair tena wanakwambia nenda hata kwa waziri.

  • @user-cl2jr3re4s
    @user-cl2jr3re4s5 жыл бұрын

    Thanx President magu bless you 😁

  • @magrethsanga942
    @magrethsanga9425 жыл бұрын

    Amen

  • @kelvinmarisi6825
    @kelvinmarisi68255 жыл бұрын

    Big up msukuma

  • @binlubawa8387
    @binlubawa83875 жыл бұрын

    Mungu akuweke Mh. Rais

  • @augustinomwakanyamale9887
    @augustinomwakanyamale98875 жыл бұрын

    Mungu akulinde mh raisi

  • @user-gy3bv7nm7d
    @user-gy3bv7nm7d2 ай бұрын

    Haya tutayamisi sana kuyaona dah Rip magu

  • @fabianfaustine444
    @fabianfaustine4445 жыл бұрын

    Wekeni vijana haya mazee yameishanyonya sana Mali za watu

  • @rosemarymsulwa203

    @rosemarymsulwa203

    5 жыл бұрын

    Vijana ndiyo wezi.

  • @athumanomary1438
    @athumanomary14385 жыл бұрын

    Watanzania wenzangu tuzidi kuwaombea viongozi wetu kwa mwenyez MUNGU azidi kuwaongoza vyema

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni75165 жыл бұрын

    Msukuma pamoja na kuwa darasa la saba, ningekuwa na uwezo ungekuwa waziri angalau uwe wa mifugo

  • @johnlumanija9493

    @johnlumanija9493

    5 жыл бұрын

    simba vs nkana

  • @gottacheckintorehab7697
    @gottacheckintorehab76975 жыл бұрын

    Kumbe magu ana hotel 😱😱😱😰

  • @yasinjumahamis6267
    @yasinjumahamis626710 ай бұрын

    Nakubar sana msukuma

  • @josekaze7710
    @josekaze77102 жыл бұрын

    Thats why I said Musukuma his new president off Tanzania.

  • @zakiazakia4552
    @zakiazakia45525 жыл бұрын

    Watumbue kabisaa

  • @athumandoka9168
    @athumandoka91685 жыл бұрын

    Daaa uyu jamaa angekua mkoani kwangu hasimami tena jukwaani kura yangu ingekua ya milele

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard9332 жыл бұрын

    Hiii speech iendeleee iwekenii yotee

  • @nyanziratatou5404
    @nyanziratatou5404Ай бұрын

    Huwa Kuna mda niache kuangaliya izi video , napatwa na uchungu sana.

  • @user-ds5iw1ok1w
    @user-ds5iw1ok1w4 ай бұрын

    Emanuel saimon kasongj

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k3 ай бұрын

    Baadhi ya watendaji wa serikali ni ovyoo

  • @zackrichard3617
    @zackrichard36175 жыл бұрын

    👏👏👏👍👍👍👍👍

  • @tomaskijigo8341

    @tomaskijigo8341

    5 жыл бұрын

    Kweli

  • @tomaskijigo8341

    @tomaskijigo8341

    5 жыл бұрын

    Kweli muzee magafuri nakukubari

  • @uswegemwakyusa3950

    @uswegemwakyusa3950

    5 жыл бұрын

    Umenena mr Msukuma, inasikitisha sana kuona jambo linaloleta maendeleo linapingwa na watu wachache...iyo idara ichunguzwe

  • @allymahamudu9492
    @allymahamudu94923 жыл бұрын

    Ujumbe umefika

  • @manenoalex7453
    @manenoalex74535 жыл бұрын

    umenena king hao T E R wanasumbua xna tena xna hasa ifakara

  • @neemalaizer1871

    @neemalaizer1871

    5 жыл бұрын

    Maneno Alex I will 8m:yy:y77th :676;u7777777:9# to get get 7u

  • @madirishasimon9692
    @madirishasimon96923 жыл бұрын

    Jembe hili

  • @punguwasasa7975
    @punguwasasa79755 жыл бұрын

    Msukuma inabid upewe uwaziri wa biashala

  • @emmanuelzao
    @emmanuelzao4 жыл бұрын

    😎

  • @ngasikajoel9576
    @ngasikajoel95765 жыл бұрын

    It's better Rais akateua watu walio na uchungu na hii nchi sio wapigaji tu ..kuna wasomi vijana wengi tupo tu mtaani tuna hasira na maendeleo ya nchi yetu...wazee waliostaafu achana nao kidogo

  • @saimonmangembe6353

    @saimonmangembe6353

    5 жыл бұрын

    ngasika joel

  • @emanuelmuna2296
    @emanuelmuna22965 жыл бұрын

    kwa kweli TRA ni kero sana! mh. Rais pole sana maana hawa walishazoea kupiga dili kuna uchafu mwingi sana kungekuwa na uwezekano ukawasikiliza na wafanyabiashara wa kati ungejua madudud mengi zaid ushaur wa msukuma kuweka jeshi ni sahihi kabisa! walau kwa mwez mmoja tu!!

  • @jumannejuma4796
    @jumannejuma47962 жыл бұрын

    turiomariza darasa rasaba tunajitaidi kupembua mambo makubwa tena mazito tunauhujasiri natena tunaweza Kira jambo zito josefu msukuma unatosha sana

  • @leilainnocent6532
    @leilainnocent65325 жыл бұрын

    Musukuma nakupenda sana ispokua bangi tu ndiyo naipinga ktk maoni yako.

  • @mrope348

    @mrope348

    5 жыл бұрын

    Bangi ni dawa ndio inampa misimamo yakutoa nondo zote hizo, bangi ni mmea mtakatifu believe or not

  • @leilainnocent6532

    @leilainnocent6532

    5 жыл бұрын

    @@mrope348 no way

  • @mufasamufas6023

    @mufasamufas6023

    5 жыл бұрын

    @@mrope348 kweli

  • @zuleyvendor6577

    @zuleyvendor6577

    5 жыл бұрын

    @@mrope348 that's true👏

  • @godfreypaulo236
    @godfreypaulo2365 жыл бұрын

    Hapo umeongea msukuma

  • @menicomichael9345
    @menicomichael93455 жыл бұрын

    Uyo jamaa wa pemben kwa msukuma ananyonga jicho

  • @lisajackson5867

    @lisajackson5867

    5 жыл бұрын

    hahahaa kumbe n wewe umemuona

  • @tomaskijigo8341
    @tomaskijigo83415 жыл бұрын

    Wee

  • @shamsuleiman8320

    @shamsuleiman8320

    5 жыл бұрын

    madebe

  • @edwardhotel3411

    @edwardhotel3411

    5 жыл бұрын

    Uchanguzi ujao msukuma apewe uwazili viwanda

  • @niokoemahenge4312
    @niokoemahenge43123 жыл бұрын

    Kitu msukuma

  • @SmilingBowtieCat-yn2dm
    @SmilingBowtieCat-yn2dm6 ай бұрын

    Zuchu

  • @binlubawa8387
    @binlubawa83875 жыл бұрын

    Mungu akuweke Mh. Rais