Salama Na Shikana Ep 17 | DYNAMITE Part 2
Ойын-сауық
#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Mi na rafiki yangu huyu tumepishana zaidi ya miaka kumi na nne, wakati anazaliwa mimi nilikua nagombana na makondakta kupata nafasi kwenye chai maharagwe ya kutoka Buguruni kuelekea Posta. Ila kupishana kwetu kwa umri naamini ndo kunaufanya ushoga wetu uwe special zaidi, maana yeye akiwa ananikhadithia kinachokiki kwenye umri wake, nami nakua namuelezea challenges za unapozidi kukua na naamini hii inatufanya tuwe bora zaidi. Na ki ukweli mara nyingi yeye amekua shujaa wangu, maana kuna mengine mazito kwake yanakua mepesi tu na hunisaidia kuona mambo kwa picha tofauti. Kwa hilo namshukuru sana. Wakati mwengine wanasema umri sio kipimo cha busara, rafiki yangu huyu kupitia mengi, kwahiyo moyo wake wa ‘chuma’ unatusaidia wengi kwenye kuweza kupambana na dhurba mbali mbali.
Hapa sina haja hata ya kukuambia alipitia mitihani kiasi gani maana dunia nzima inajua, ila naweza tu kukuambia kwamba hakuna binti mwenye moyo wa utayari na ambae hana uwoga pale anapokua anasimamia lake kama Elizabeth Michael Kimemeta. Kwanza akiweka nia kwenye jambo lake lazima liwe... Atafunga, atakesha asali, ataweka akili na mawazo yake yote humo mpaka Mwenyezi Mungu amtimizie, nishashuhudia hilo sio mara moja wala mbili na naweza nikasema binafsi ameni inspire sana kwenye suala zima la funga na sala. Nani kamfundisha hayo? Kwa umri wake aliokua nao wakati matatizo mazito yalipomfika pengine usingedhani angekua binti wa dizaini hiyo. Miaka minne au mitano ambayo Alikutwa na yale matatizo ya kesi na mpaka akatumikia kifungo ni miaka ambayo ilimfaya akue sana. Ki imani na kiakili.
Kwenye kipindi hiki hakua bado tayari kuzungumzia usiku ule ulobadilisha maisha yake ila kaniahidi akiwa tayari basi atafiria kutushirikisha kwenye hayo maongezi ila inawezekana pia hiyo siku isifike, nna hisia hiyo ni kurasa ya kwenye kitabu ambayo amechagua kuiruka kwa sasa au pengine milele, na maamuzi hayo mimi na wenzangu tuliyaheshimu.
Sote tunakumbuka wakati anakua, kila kukicha yuko kwenye gazeti ila kwa sasa huyo si yule, amekua ki mwili, ki akili na hata ki sanaa pia. Mambo yake si ‘hadharani’ tena kama ilivyokua miaka ya nyuma. Sasa amekua influencer ambaye kampuni kubwa kadhaa zinamuamini yeye kuwatangazia biashara yao. Amekua Mama kwa mdogo wake Eric ambaye naye tumemuona akikua kwenye macho yetu. Mama kwa watoto wawili ambao amewakuta wakiwa wanaishi na mchumba wake nyumba moja.
Kwenye haya maongezi yetu tuligusia hilo la hao watoto, na watoto wengine, kazi, yeye kama binti ambae amekua akikutana na mawe mengi. Muonekano wake. Familia kwa upande wa Mama na Baba na mambo mengine kadhaa. Niko hapa kukutakia uangaliaji mwema wa kipindi hiki na yangu matumaini utavutiwa na jambo ambalo litakufanya ubadili maisha yako kwa uzuri zaidi. Tafadhali enjoy.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Пікірлер: 248
Elizabeth Michael lulu is very bright, very intelligent 👌💕
Sikujua Lulu is intelligent and wise like this....nimeanza kumpenda bure leo😀😀😀...nilikua namchukulia kawaida tu..Dogo atafika mbali sana#GodBlessHerMore
@salomewandya7257
3 жыл бұрын
Yaan nimempenda sana ana akili sana😍😍
Kama unampenda Lulu kama Mimi ,karibu na subscribe Channel yangu 🙏 📢
Shikana akiri kubwa una nipa nguvu sana za kupambana na kua na Imani .mungu akurinde girl 😘
Cheating is ur choice km umesikia gonga like hapa?
@khadijaali3688
4 жыл бұрын
It's truth haki amesema poit hapa
Salama npenda kipnd chako kwasababu hakun no answer 😏cwapend wale no comment wanakera mtu unaharbu bando kwa ajil ya kuwapa sapot halfu wao no answer 😏no comment,,kipnd chako ni cha uwaz yaan nlpokuwa naanglia kun maswal nlidhan lulu atakataa kujibu lkn alijibu vizur na cyo yey tu wengi wkij wapo vizur wafunguka vizur tu🙌🙌❤️
Jamani hamna interview nimeenjoy kama hii soo really soo lovely soo happy natamani mwendele 😍
@subiradalabu6616
4 жыл бұрын
🙊🙅🙅🙅
The only part I liked about this interview was when she suggested let's not be selfish to only think for ourselves rushing to have babies but rather make preparations about the baby you're going to bring to the world. What environment have you prepared for the new born now and even when you won't be around...? i think that was sensible thing to say.
Asanten kwa kuja. Lulu Ana ongea duh ila amenifuraisha. MUNGU AZID KUKUTIA NGUVU. umenona!!
Powerful, mmekutana makonki wote, muuliza maswali Konki na Mjibu maswali Konki. I love you both.
She is so beautiful and bright. Love you so much.
This interview change my life complete ♥️🥀ilyu salama keep it up you such inspiration i swear 🌈🧚♀️
Sema kati marafiki zako Salama Shikana kashikana na msosi wa Jesca kinoma noma, mtoto ana appetite huyu.
@annedavienyamhanga4738
4 жыл бұрын
😀😀😀umeomba kukaribishwa umeamua kumsema mwenzio
@princemujuni9803
4 жыл бұрын
@@annedavienyamhanga4738 Hahahahahaha msosi wa samaki samaki dada angu udenda watoka mie. Sema she dont joke with a food.
@annedavienyamhanga4738
4 жыл бұрын
@@princemujuni9803 yeye anajijua n anasemaga waziwaz😀😀😀ko mvumilie hivohv,,,ndo uende samaki samaki sasa n ww ukajisamak samak
@princemujuni9803
4 жыл бұрын
@@annedavienyamhanga4738 nimeckia chakula hapo 65,000 yan nimecheka mwenyewe tu
@veronicadaniel1122
4 жыл бұрын
prince mujuni hahaha
All the ladies Salama has interviewed Lulu na Jokate wako sawa very mature. People as used to bashing Lulu n still see her as a young kid but guys asha grow whtvr hppnd was in the pass n she moved on n she's doing fine more thn some of this so called celebs
Hizi interview mtu anahitaji kupewa maswali kabla ya kufika kujiandaa 😂😂🤣🙆♀️all in all this is one of the best after Gigy’s interview
Good as ever Never Knew she’s this Smart
Smart sana lulu.. salama napenda maswali yako kipindi chako very educative much love sisters...
I always pray for the best kwa Lulu maana aliyopitia ni makubwa mno kwa umri wake. Safari yake ni mafundisho tosha kwetu sisi juu ya kumtegemea Mungu katika kila jambo. Hakika nilitokwa na machozi siku ya hukumu yake. Mungu azidi kumfanyia wepesi kwa kila analopitia. And my dada Salama, you are the best 👌
Shout out to another brilliant interview 💪 hakika huyu dada ni lulu she is bright and internally very matured!!! Baada ya giggy huyu anatufaa tena for another episode 🙏
I really love this girl very inteligent
@benbola3283
4 жыл бұрын
J'aime cette fille. Lulu
Hezi zile ulikua unafanana na speaker 🔈 😂😂😂😂😂😂 jmn hii interview 🔥🔥🔥😘😘😘😘😘😘😘😘
@juliaayieta2578
4 жыл бұрын
Change Mindset kabisaaa......amemtania vyakutosha mimi nilikua nafa na kicheko tu 😂
Huyu dem mkali kwanzia mind asew. She’s very young afu anathink big. She’s beautiful kinyama asew
MI nimependa chemistry yenu tu
These interviews are addictive 😢
Wow cant wait for this hop kutakuwa na maswali yale tunayoyatarajia
Very powerful!!!i love everything..full of wisdom. Kip up the gud work!
Aaah Salama! We need her again pleeeeaaaase😣😣
Nimejifunza vitu vingi leo kupitia wewe God bless you abundantly 🙏
Hongera sana dada salama unajua kuulza maswali
Sawa eliza
Pendaaa sanaaa lulu very smart girl...nikutakie long life na mafanikio ya kheri Inn sha Allah.😍
Amekuwa sana, Mimi huwa naamini ukifanikiwa hata maovu yanapungua hasa mafanikio ya kweli siyo ya njia za mkato , Lulu amekomaa na kitu amevutia ana maono hongera lulu Mungu akubariki ufike mbali zaidi nimejifunza vitu vingi sana kwako ....
@veronicadaniel1122
4 жыл бұрын
Joseph Nchungila Amina
She is very intelligent I swear
Salama you are very creative 👌🏻👌🏻👌🏻👌🏻
Nimeenjoy interview nzuri, nimejifunza so really, soo lovely..... 😘😘
kama unampenda lulu gonga like
Very good interview..big up Shikana na Salama
Kwenye mateso ndo kwenye mafanikio 👍🏽
@irenemina2059
4 жыл бұрын
Exactly👌
I really enjoyed this, Salama Wewe ni interviewer mzuri umejua kuuliza maswali ambayo yako vichwani mwetu. Shikana, you have through so much endelea kung'ang'ana na Yesu ataendelea kukuvusha kwenye mengi
"Baba yangu; mikaeli".....😁😁😁😁
Waiting salama
Awesome and beautiful souls 🥰
Lovely Shikana...nice name Very intelligent 😘
I love dis interview enjoyed enough Lulu karelax Kama yupo home Raha sanaaaa
Na Salama ana maswali ya mambele kama Oprah
Two smart heads😘
Was A great interview that made shikana talk out alot of things to her fans.... she could be so private but this was so much enough for us to know!!! Inanifanya nmeelewa zaidi hichi kipindi kiukweli.. there's majic ndani ya daftari na karamu Salama😂😂!!! She's not Tuff but she just don't say things in public kama sio conveying a message to the society (script-acting)!!! I don't know her but just a fan 💙 All in all this was A great interview Salama!
This absolutely fantastic you put subtitles. Finally. This will make you get higher views around Africa and around the world. Thank you. Continue subtitling all your videos. Please don't forget to subtitle part 1 of lulu's interview
It's an excellent interview salama na shikana Mimi nimejifunza kitu kikubwa sana because nothing comes easy
Very talented girl, natamani kuona wakina Lulu 500 kama wewe
Nakupenda sana Dada Salama sijawahi China interview zako..na lulu u are so young but intellectual.. Keep moving u are such my role model...
Salama na Shikana.... Warembo wangu haooo. 💞💞
Dada salama napenda unavocheka
Luluuu uwaga sichoki kukuangalia nakupenda sana
I love lulu you can answer well and good.
Love you
Nice interview
I like the way unavojibu...very matured😘😘
U r brain enough sure vile lulu unanfundxh meng xn 💕
lovely interview salama na luluuuu😘😘😘😘
Lakini lulu uwe mankini Sana mwanaume akikupenda sana na kukupa kila kitu na kama hagongani kila Leo, muangalie kwa jicho la saba
@emilykai7866
4 жыл бұрын
Mahusiano mkikaa sana miaka 6 bado tu hajakuoa.hata kama hufikirii kuzaa karibuni basi si uolewe .ndio upange uzazi. Hapo alipo hajui anazaa au ni nitasa.afadhali azae ajue kuwa ni tasa au la.atumie dawa mwisho wa siku dawa zimehari kizazi
I love this channel now❤️
Hongereni Sana, interview tamuuu, Shikana Hongera.
Nafulahi kuwona tabasamlako🥰💞💞👌😘
She is mature enough
Gal...you are smart
Kwenye maumivu ndo kwenye mafanikio, tunawapenda kwakweli
@prisscakalasa4996
4 жыл бұрын
Kabisaaaa
I love the way they talk like they a not in interview, i love u guys keep it up
Mrudishe darasa anamengi sana ajasema aseeee
Gud salama na Lulu! Nimejifunza kitu love you my friends!!
Yani Elizabeth wew upo God mahan huna yare ya kuongea kiswailih Kisha kizungu Hongera
Nimependa kila kitu alichongea anaonyesha jinsi gani kweli amekuwa
Nakupendaga bure pacha wangu Mungu akubariki sana🙏
Lulu nakupenda saaana jmn😍😍😘😘😘
Good interview like always
Salama Hongera sana...yani lulu anajibu maswali vizuri..
Awesome show lulu ni mwanamke mzur na anaendelea may God help her katika maisha yake😘
Duh salama bhana...eti umeshawahi kutoa mimba?swali ambalo hata muulizwaji hakuamini.
Mashallah, madini mengi hapa.
Salama Najifunza vitu vingi sana kutoka kwako you inspire me alot
Kwny mateso kunamafanikio ,madini sana lulu
nice and simple
Watoto wakulea ni watoto ila mara nyingi wanaweza kubdlika especially ikiwa umeachana na baba yao na ww sio mama mzazi basi jua unaweza ukabaki historia tu kwenye maisha yao na usiwe mmoja wa familia yao kwa akili yangu fupi ningekushauri ufunge ndoa ili upate watoto wako hapo ndo utakuwa huwezi kutenguka kwenye familia pia unasema ww mlokole but why unaishi na mtu kinyumba wakati hamjahalalisha iyo si zinaa hapo ni sawa na kwamba umechagua mazambi yakufanya yaani unajihalalishia ili mambo yko yaende na unajipa moyo upo sahihi
@Mr_smart.code_10
4 жыл бұрын
Well said
@veronicadaniel1122
4 жыл бұрын
Sass Boy mungu atusaidie ila ni haramu
@damariszuckschwert9489
4 жыл бұрын
Kama yule wa lady Jay Dee na gardner.
Gud interview
Nimenjoy kipindi sanaa
Nawapendaga mko vzr mtu Na shoga yake..👌
Nimesubiria sana hii interview
@merynjau5614
4 жыл бұрын
Jmn km mm nilikuwa kila saa naangalia jmn lulu huyu nampenda sana na nimejifunza mengi
Sure.
Kwa hiyo walianza kutongozana akiwa kwenye mausiano!! Jibu ni kwamba ulimtoa kwa mtu akuna swali
always loved this lady!! so smart..
Shikana mroho shavu ka lote🤣🤣🤣usinenepe sana utazid ufupi
I love this girl
kaongea vizuri sana about wokovu
japokuwa lulu kacheka ila hilo swali ni sensitive sana... kutoa mimba?
@esabelfadhili8432
4 жыл бұрын
Exactly
Pete bila ndoa dada hapo usijidanganye you deserves better than that but choice is yours. Watoto wakulea ni baraka and it feels good lakini ukiongezea hapo na wakuzaa mwenyewe baraka kama zote. Your young and very smart tho, with beautiful soul.
Exclusive interview!
@omanimujsa9756
4 жыл бұрын
Sjutiiag kabisa kufungua vidio ya inayomuhusu huyu kiumbe lulu upo kwadam yangu tu sajui kwann
@salehalbasam41
3 жыл бұрын
@@omanimujsa9756 napenda interview ya lulu yn uwa anajielewa
Kabisa kuombea kitu ambacho kitaleta majibu magumu
I love lulu. She is tarented and still very brainy.. #lovululu
Haina part3🥺
The song in the background at last is just 😍😍
@MarcoChali
4 жыл бұрын
✊🏾
@jamesnatai7430
4 жыл бұрын
inaitwa yeah zaid ngoma kali na somo kutoka kwa marco chali.