Salama Na Shikana Ep 17 | DYNAMITE Part 2

Ойын-сауық

#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Mi na rafiki yangu huyu tumepishana zaidi ya miaka kumi na nne, wakati anazaliwa mimi nilikua nagombana na makondakta kupata nafasi kwenye chai maharagwe ya kutoka Buguruni kuelekea Posta. Ila kupishana kwetu kwa umri naamini ndo kunaufanya ushoga wetu uwe special zaidi, maana yeye akiwa ananikhadithia kinachokiki kwenye umri wake, nami nakua namuelezea challenges za unapozidi kukua na naamini hii inatufanya tuwe bora zaidi. Na ki ukweli mara nyingi yeye amekua shujaa wangu, maana kuna mengine mazito kwake yanakua mepesi tu na hunisaidia kuona mambo kwa picha tofauti. Kwa hilo namshukuru sana. Wakati mwengine wanasema umri sio kipimo cha busara, rafiki yangu huyu kupitia mengi, kwahiyo moyo wake wa ‘chuma’ unatusaidia wengi kwenye kuweza kupambana na dhurba mbali mbali.
Hapa sina haja hata ya kukuambia alipitia mitihani kiasi gani maana dunia nzima inajua, ila naweza tu kukuambia kwamba hakuna binti mwenye moyo wa utayari na ambae hana uwoga pale anapokua anasimamia lake kama Elizabeth Michael Kimemeta. Kwanza akiweka nia kwenye jambo lake lazima liwe... Atafunga, atakesha asali, ataweka akili na mawazo yake yote humo mpaka Mwenyezi Mungu amtimizie, nishashuhudia hilo sio mara moja wala mbili na naweza nikasema binafsi ameni inspire sana kwenye suala zima la funga na sala. Nani kamfundisha hayo? Kwa umri wake aliokua nao wakati matatizo mazito yalipomfika pengine usingedhani angekua binti wa dizaini hiyo. Miaka minne au mitano ambayo Alikutwa na yale matatizo ya kesi na mpaka akatumikia kifungo ni miaka ambayo ilimfaya akue sana. Ki imani na kiakili.
Kwenye kipindi hiki hakua bado tayari kuzungumzia usiku ule ulobadilisha maisha yake ila kaniahidi akiwa tayari basi atafiria kutushirikisha kwenye hayo maongezi ila inawezekana pia hiyo siku isifike, nna hisia hiyo ni kurasa ya kwenye kitabu ambayo amechagua kuiruka kwa sasa au pengine milele, na maamuzi hayo mimi na wenzangu tuliyaheshimu.
Sote tunakumbuka wakati anakua, kila kukicha yuko kwenye gazeti ila kwa sasa huyo si yule, amekua ki mwili, ki akili na hata ki sanaa pia. Mambo yake si ‘hadharani’ tena kama ilivyokua miaka ya nyuma. Sasa amekua influencer ambaye kampuni kubwa kadhaa zinamuamini yeye kuwatangazia biashara yao. Amekua Mama kwa mdogo wake Eric ambaye naye tumemuona akikua kwenye macho yetu. Mama kwa watoto wawili ambao amewakuta wakiwa wanaishi na mchumba wake nyumba moja.
Kwenye haya maongezi yetu tuligusia hilo la hao watoto, na watoto wengine, kazi, yeye kama binti ambae amekua akikutana na mawe mengi. Muonekano wake. Familia kwa upande wa Mama na Baba na mambo mengine kadhaa. Niko hapa kukutakia uangaliaji mwema wa kipindi hiki na yangu matumaini utavutiwa na jambo ambalo litakufanya ubadili maisha yako kwa uzuri zaidi. Tafadhali enjoy.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown

Пікірлер: 248

  • @cieremim7357
    @cieremim73574 жыл бұрын

    Elizabeth Michael lulu is very bright, very intelligent 👌💕

  • @esterdanford5563
    @esterdanford55634 жыл бұрын

    Sikujua Lulu is intelligent and wise like this....nimeanza kumpenda bure leo😀😀😀...nilikua namchukulia kawaida tu..Dogo atafika mbali sana#GodBlessHerMore

  • @salomewandya7257

    @salomewandya7257

    3 жыл бұрын

    Yaan nimempenda sana ana akili sana😍😍

  • @grandmaempiresecret
    @grandmaempiresecret4 жыл бұрын

    Kama unampenda Lulu kama Mimi ,karibu na subscribe Channel yangu 🙏 📢

  • @elizalwakatare8070
    @elizalwakatare80704 жыл бұрын

    Shikana akiri kubwa una nipa nguvu sana za kupambana na kua na Imani .mungu akurinde girl 😘

  • @maryflorenceinvestment7532
    @maryflorenceinvestment75324 жыл бұрын

    Cheating is ur choice km umesikia gonga like hapa?

  • @khadijaali3688

    @khadijaali3688

    4 жыл бұрын

    It's truth haki amesema poit hapa

  • @villanjimmy7625
    @villanjimmy76254 жыл бұрын

    Salama npenda kipnd chako kwasababu hakun no answer 😏cwapend wale no comment wanakera mtu unaharbu bando kwa ajil ya kuwapa sapot halfu wao no answer 😏no comment,,kipnd chako ni cha uwaz yaan nlpokuwa naanglia kun maswal nlidhan lulu atakataa kujibu lkn alijibu vizur na cyo yey tu wengi wkij wapo vizur wafunguka vizur tu🙌🙌❤️

  • @daughterofgod9185
    @daughterofgod91854 жыл бұрын

    Jamani hamna interview nimeenjoy kama hii soo really soo lovely soo happy natamani mwendele 😍

  • @subiradalabu6616

    @subiradalabu6616

    4 жыл бұрын

    🙊🙅🙅🙅

  • @newbeginnings9019
    @newbeginnings90194 жыл бұрын

    The only part I liked about this interview was when she suggested let's not be selfish to only think for ourselves rushing to have babies but rather make preparations about the baby you're going to bring to the world. What environment have you prepared for the new born now and even when you won't be around...? i think that was sensible thing to say.

  • @ashnaom2270
    @ashnaom22704 жыл бұрын

    Asanten kwa kuja. Lulu Ana ongea duh ila amenifuraisha. MUNGU AZID KUKUTIA NGUVU. umenona!!

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda25264 жыл бұрын

    Powerful, mmekutana makonki wote, muuliza maswali Konki na Mjibu maswali Konki. I love you both.

  • @prhairsalon314
    @prhairsalon3144 жыл бұрын

    She is so beautiful and bright. Love you so much.

  • @marryjackson1442
    @marryjackson14424 жыл бұрын

    This interview change my life complete ♥️🥀ilyu salama keep it up you such inspiration i swear 🌈🧚‍♀️

  • @princemujuni9803
    @princemujuni98034 жыл бұрын

    Sema kati marafiki zako Salama Shikana kashikana na msosi wa Jesca kinoma noma, mtoto ana appetite huyu.

  • @annedavienyamhanga4738

    @annedavienyamhanga4738

    4 жыл бұрын

    😀😀😀umeomba kukaribishwa umeamua kumsema mwenzio

  • @princemujuni9803

    @princemujuni9803

    4 жыл бұрын

    @@annedavienyamhanga4738 Hahahahahaha msosi wa samaki samaki dada angu udenda watoka mie. Sema she dont joke with a food.

  • @annedavienyamhanga4738

    @annedavienyamhanga4738

    4 жыл бұрын

    @@princemujuni9803 yeye anajijua n anasemaga waziwaz😀😀😀ko mvumilie hivohv,,,ndo uende samaki samaki sasa n ww ukajisamak samak

  • @princemujuni9803

    @princemujuni9803

    4 жыл бұрын

    @@annedavienyamhanga4738 nimeckia chakula hapo 65,000 yan nimecheka mwenyewe tu

  • @veronicadaniel1122

    @veronicadaniel1122

    4 жыл бұрын

    prince mujuni hahaha

  • @nellymatalanga5033
    @nellymatalanga50334 жыл бұрын

    All the ladies Salama has interviewed Lulu na Jokate wako sawa very mature. People as used to bashing Lulu n still see her as a young kid but guys asha grow whtvr hppnd was in the pass n she moved on n she's doing fine more thn some of this so called celebs

  • @dellah2673
    @dellah26734 жыл бұрын

    Hizi interview mtu anahitaji kupewa maswali kabla ya kufika kujiandaa 😂😂🤣🙆‍♀️all in all this is one of the best after Gigy’s interview

  • @michaelmatthias6108
    @michaelmatthias61084 жыл бұрын

    Good as ever Never Knew she’s this Smart

  • @raypray3449
    @raypray34494 жыл бұрын

    Smart sana lulu.. salama napenda maswali yako kipindi chako very educative much love sisters...

  • @yahyamohamed3507
    @yahyamohamed35074 жыл бұрын

    I always pray for the best kwa Lulu maana aliyopitia ni makubwa mno kwa umri wake. Safari yake ni mafundisho tosha kwetu sisi juu ya kumtegemea Mungu katika kila jambo. Hakika nilitokwa na machozi siku ya hukumu yake. Mungu azidi kumfanyia wepesi kwa kila analopitia. And my dada Salama, you are the best 👌

  • @masalugusessa3702
    @masalugusessa37024 жыл бұрын

    Shout out to another brilliant interview 💪 hakika huyu dada ni lulu she is bright and internally very matured!!! Baada ya giggy huyu anatufaa tena for another episode 🙏

  • @monicahwangui4756
    @monicahwangui47564 жыл бұрын

    I really love this girl very inteligent

  • @benbola3283

    @benbola3283

    4 жыл бұрын

    J'aime cette fille. Lulu

  • @juliaayieta2578
    @juliaayieta25784 жыл бұрын

    Hezi zile ulikua unafanana na speaker 🔈 😂😂😂😂😂😂 jmn hii interview 🔥🔥🔥😘😘😘😘😘😘😘😘

  • @juliaayieta2578

    @juliaayieta2578

    4 жыл бұрын

    Change Mindset kabisaaa......amemtania vyakutosha mimi nilikua nafa na kicheko tu 😂

  • @brownbryson9293
    @brownbryson92934 жыл бұрын

    Huyu dem mkali kwanzia mind asew. She’s very young afu anathink big. She’s beautiful kinyama asew

  • @babyhamisi5331
    @babyhamisi53314 жыл бұрын

    MI nimependa chemistry yenu tu

  • @Iamcameronboyce
    @Iamcameronboyce2 жыл бұрын

    These interviews are addictive 😢

  • @myseramatamu7409
    @myseramatamu74094 жыл бұрын

    Wow cant wait for this hop kutakuwa na maswali yale tunayoyatarajia

  • @lucymwanri6479
    @lucymwanri64794 жыл бұрын

    Very powerful!!!i love everything..full of wisdom. Kip up the gud work!

  • @alimakame3529
    @alimakame35294 жыл бұрын

    Aaah Salama! We need her again pleeeeaaaase😣😣

  • @alaikemode4596
    @alaikemode45964 жыл бұрын

    Nimejifunza vitu vingi leo kupitia wewe God bless you abundantly 🙏

  • @alhajbau9987
    @alhajbau99874 жыл бұрын

    Hongera sana dada salama unajua kuulza maswali

  • @jumadoctor7479
    @jumadoctor74794 жыл бұрын

    Sawa eliza

  • @kibabysaid6692
    @kibabysaid66923 жыл бұрын

    Pendaaa sanaaa lulu very smart girl...nikutakie long life na mafanikio ya kheri Inn sha Allah.😍

  • @josephnchungila4017
    @josephnchungila40174 жыл бұрын

    Amekuwa sana, Mimi huwa naamini ukifanikiwa hata maovu yanapungua hasa mafanikio ya kweli siyo ya njia za mkato , Lulu amekomaa na kitu amevutia ana maono hongera lulu Mungu akubariki ufike mbali zaidi nimejifunza vitu vingi sana kwako ....

  • @veronicadaniel1122

    @veronicadaniel1122

    4 жыл бұрын

    Joseph Nchungila Amina

  • @shangwemagilani5669
    @shangwemagilani56694 жыл бұрын

    She is very intelligent I swear

  • @adelynkemmyichaka8170
    @adelynkemmyichaka81704 жыл бұрын

    Salama you are very creative 👌🏻👌🏻👌🏻👌🏻

  • @joanharold9055
    @joanharold90554 жыл бұрын

    Nimeenjoy interview nzuri, nimejifunza so really, soo lovely..... 😘😘

  • @nazifanuru5306
    @nazifanuru53064 жыл бұрын

    kama unampenda lulu gonga like

  • @lenageorge2254
    @lenageorge22544 жыл бұрын

    Very good interview..big up Shikana na Salama

  • @latriciah01augustino67
    @latriciah01augustino674 жыл бұрын

    Kwenye mateso ndo kwenye mafanikio 👍🏽

  • @irenemina2059

    @irenemina2059

    4 жыл бұрын

    Exactly👌

  • @moonpatienceongara5607
    @moonpatienceongara56074 жыл бұрын

    I really enjoyed this, Salama Wewe ni interviewer mzuri umejua kuuliza maswali ambayo yako vichwani mwetu. Shikana, you have through so much endelea kung'ang'ana na Yesu ataendelea kukuvusha kwenye mengi

  • @simondickson859
    @simondickson8594 жыл бұрын

    "Baba yangu; mikaeli".....😁😁😁😁

  • @anitakamene5073
    @anitakamene50734 жыл бұрын

    Waiting salama

  • @loisesophie8446
    @loisesophie84464 жыл бұрын

    Awesome and beautiful souls 🥰

  • @rehemarwanda6039
    @rehemarwanda60394 жыл бұрын

    Lovely Shikana...nice name Very intelligent 😘

  • @gracestephano886
    @gracestephano8863 жыл бұрын

    I love dis interview enjoyed enough Lulu karelax Kama yupo home Raha sanaaaa

  • @naasamson4905
    @naasamson49054 жыл бұрын

    Na Salama ana maswali ya mambele kama Oprah

  • @tigerchristmas5491
    @tigerchristmas54914 жыл бұрын

    Two smart heads😘

  • @medyamon
    @medyamon4 жыл бұрын

    Was A great interview that made shikana talk out alot of things to her fans.... she could be so private but this was so much enough for us to know!!! Inanifanya nmeelewa zaidi hichi kipindi kiukweli.. there's majic ndani ya daftari na karamu Salama😂😂!!! She's not Tuff but she just don't say things in public kama sio conveying a message to the society (script-acting)!!! I don't know her but just a fan 💙 All in all this was A great interview Salama!

  • @simp1eone
    @simp1eone3 жыл бұрын

    This absolutely fantastic you put subtitles. Finally. This will make you get higher views around Africa and around the world. Thank you. Continue subtitling all your videos. Please don't forget to subtitle part 1 of lulu's interview

  • @ajaxjunior4151
    @ajaxjunior41513 жыл бұрын

    It's an excellent interview salama na shikana Mimi nimejifunza kitu kikubwa sana because nothing comes easy

  • @TheTemba1
    @TheTemba14 жыл бұрын

    Very talented girl, natamani kuona wakina Lulu 500 kama wewe

  • @vulfridakessy7148
    @vulfridakessy71484 жыл бұрын

    Nakupenda sana Dada Salama sijawahi China interview zako..na lulu u are so young but intellectual.. Keep moving u are such my role model...

  • @queenseptember4640
    @queenseptember46404 жыл бұрын

    Salama na Shikana.... Warembo wangu haooo. 💞💞

  • @omaiim4014
    @omaiim40144 жыл бұрын

    Dada salama napenda unavocheka

  • @G.S985
    @G.S9854 жыл бұрын

    Luluuu uwaga sichoki kukuangalia nakupenda sana

  • @kwangupaul7855
    @kwangupaul78554 жыл бұрын

    I love lulu you can answer well and good.

  • @lovepower9908
    @lovepower99084 жыл бұрын

    Love you

  • @oyay2821
    @oyay28214 жыл бұрын

    Nice interview

  • @joanharold9055
    @joanharold90554 жыл бұрын

    I like the way unavojibu...very matured😘😘

  • @rechocolin493
    @rechocolin4934 жыл бұрын

    U r brain enough sure vile lulu unanfundxh meng xn 💕

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga83184 жыл бұрын

    lovely interview salama na luluuuu😘😘😘😘

  • @babyhamisi5331
    @babyhamisi53314 жыл бұрын

    Lakini lulu uwe mankini Sana mwanaume akikupenda sana na kukupa kila kitu na kama hagongani kila Leo, muangalie kwa jicho la saba

  • @emilykai7866

    @emilykai7866

    4 жыл бұрын

    Mahusiano mkikaa sana miaka 6 bado tu hajakuoa.hata kama hufikirii kuzaa karibuni basi si uolewe .ndio upange uzazi. Hapo alipo hajui anazaa au ni nitasa.afadhali azae ajue kuwa ni tasa au la.atumie dawa mwisho wa siku dawa zimehari kizazi

  • @anniemmacy6909
    @anniemmacy69093 жыл бұрын

    I love this channel now❤️

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili96794 жыл бұрын

    Hongereni Sana, interview tamuuu, Shikana Hongera.

  • @uwimanacitegetse9926
    @uwimanacitegetse99264 жыл бұрын

    Nafulahi kuwona tabasamlako🥰💞💞👌😘

  • @ChantalBulambo
    @ChantalBulambo4 жыл бұрын

    She is mature enough

  • @sheen2756
    @sheen27564 жыл бұрын

    Gal...you are smart

  • @najma3268
    @najma32684 жыл бұрын

    Kwenye maumivu ndo kwenye mafanikio, tunawapenda kwakweli

  • @prisscakalasa4996

    @prisscakalasa4996

    4 жыл бұрын

    Kabisaaaa

  • @prisilahadolf2145
    @prisilahadolf21454 жыл бұрын

    I love the way they talk like they a not in interview, i love u guys keep it up

  • @amgang4079
    @amgang40794 жыл бұрын

    Mrudishe darasa anamengi sana ajasema aseeee

  • @roselinenjau6417
    @roselinenjau64174 жыл бұрын

    Gud salama na Lulu! Nimejifunza kitu love you my friends!!

  • @elizabethelizabethngajiro8755
    @elizabethelizabethngajiro87554 жыл бұрын

    Yani Elizabeth wew upo God mahan huna yare ya kuongea kiswailih Kisha kizungu Hongera

  • @ruhjanangulukuta1356
    @ruhjanangulukuta13564 жыл бұрын

    Nimependa kila kitu alichongea anaonyesha jinsi gani kweli amekuwa

  • @leonidawilliam5525
    @leonidawilliam55252 жыл бұрын

    Nakupendaga bure pacha wangu Mungu akubariki sana🙏

  • @chany9950
    @chany99504 жыл бұрын

    Lulu nakupenda saaana jmn😍😍😘😘😘

  • @hardatgiven6357
    @hardatgiven63574 жыл бұрын

    Good interview like always

  • @mariamkapesa9154
    @mariamkapesa91544 жыл бұрын

    Salama Hongera sana...yani lulu anajibu maswali vizuri..

  • @mariamkitiku8129
    @mariamkitiku81294 жыл бұрын

    Awesome show lulu ni mwanamke mzur na anaendelea may God help her katika maisha yake😘

  • @sirajidadi6570
    @sirajidadi65704 жыл бұрын

    Duh salama bhana...eti umeshawahi kutoa mimba?swali ambalo hata muulizwaji hakuamini.

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Mashallah, madini mengi hapa.

  • @blessedtillah
    @blessedtillah4 жыл бұрын

    Salama Najifunza vitu vingi sana kutoka kwako you inspire me alot

  • @maryflorenceinvestment7532
    @maryflorenceinvestment75324 жыл бұрын

    Kwny mateso kunamafanikio ,madini sana lulu

  • @neemachoteka873
    @neemachoteka8734 жыл бұрын

    nice and simple

  • @sassboy9360
    @sassboy93604 жыл бұрын

    Watoto wakulea ni watoto ila mara nyingi wanaweza kubdlika especially ikiwa umeachana na baba yao na ww sio mama mzazi basi jua unaweza ukabaki historia tu kwenye maisha yao na usiwe mmoja wa familia yao kwa akili yangu fupi ningekushauri ufunge ndoa ili upate watoto wako hapo ndo utakuwa huwezi kutenguka kwenye familia pia unasema ww mlokole but why unaishi na mtu kinyumba wakati hamjahalalisha iyo si zinaa hapo ni sawa na kwamba umechagua mazambi yakufanya yaani unajihalalishia ili mambo yko yaende na unajipa moyo upo sahihi

  • @Mr_smart.code_10

    @Mr_smart.code_10

    4 жыл бұрын

    Well said

  • @veronicadaniel1122

    @veronicadaniel1122

    4 жыл бұрын

    Sass Boy mungu atusaidie ila ni haramu

  • @damariszuckschwert9489

    @damariszuckschwert9489

    4 жыл бұрын

    Kama yule wa lady Jay Dee na gardner.

  • @difficultkidima9035
    @difficultkidima90354 жыл бұрын

    Gud interview

  • @allymatilda7519
    @allymatilda75194 жыл бұрын

    Nimenjoy kipindi sanaa

  • @claraemmanuel1911
    @claraemmanuel19114 жыл бұрын

    Nawapendaga mko vzr mtu Na shoga yake..👌

  • @happyluena3214
    @happyluena32144 жыл бұрын

    Nimesubiria sana hii interview

  • @merynjau5614

    @merynjau5614

    4 жыл бұрын

    Jmn km mm nilikuwa kila saa naangalia jmn lulu huyu nampenda sana na nimejifunza mengi

  • @franciscomazigo7163
    @franciscomazigo71633 жыл бұрын

    Sure.

  • @ashafatuma3167
    @ashafatuma31674 жыл бұрын

    Kwa hiyo walianza kutongozana akiwa kwenye mausiano!! Jibu ni kwamba ulimtoa kwa mtu akuna swali

  • @ElimikaTz
    @ElimikaTz4 жыл бұрын

    always loved this lady!! so smart..

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu70394 жыл бұрын

    Shikana mroho shavu ka lote🤣🤣🤣usinenepe sana utazid ufupi

  • @ptstore7918
    @ptstore7918 Жыл бұрын

    I love this girl

  • @nancyfrancis5251
    @nancyfrancis52514 жыл бұрын

    kaongea vizuri sana about wokovu

  • @Salimfulla
    @Salimfulla4 жыл бұрын

    japokuwa lulu kacheka ila hilo swali ni sensitive sana... kutoa mimba?

  • @esabelfadhili8432

    @esabelfadhili8432

    4 жыл бұрын

    Exactly

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert94894 жыл бұрын

    Pete bila ndoa dada hapo usijidanganye you deserves better than that but choice is yours. Watoto wakulea ni baraka and it feels good lakini ukiongezea hapo na wakuzaa mwenyewe baraka kama zote. Your young and very smart tho, with beautiful soul.

  • @misukamikwini5809
    @misukamikwini58094 жыл бұрын

    Exclusive interview!

  • @omanimujsa9756

    @omanimujsa9756

    4 жыл бұрын

    Sjutiiag kabisa kufungua vidio ya inayomuhusu huyu kiumbe lulu upo kwadam yangu tu sajui kwann

  • @salehalbasam41

    @salehalbasam41

    3 жыл бұрын

    @@omanimujsa9756 napenda interview ya lulu yn uwa anajielewa

  • @pendondossy2158
    @pendondossy21584 жыл бұрын

    Kabisa kuombea kitu ambacho kitaleta majibu magumu

  • @shukranimwambene6311
    @shukranimwambene63114 жыл бұрын

    I love lulu. She is tarented and still very brainy.. #lovululu

  • @mubaally1449
    @mubaally14494 жыл бұрын

    Haina part3🥺

  • @niyisyegekitta6160
    @niyisyegekitta61604 жыл бұрын

    The song in the background at last is just 😍😍

  • @MarcoChali

    @MarcoChali

    4 жыл бұрын

    ✊🏾

  • @jamesnatai7430

    @jamesnatai7430

    4 жыл бұрын

    inaitwa yeah zaid ngoma kali na somo kutoka kwa marco chali.

Келесі