Salama Na MAJIZZO SE6 EP17 | MPIMAJI PART 2 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460
Ойын-сауық
#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
MPIMAJI
Francis Ciza that’s the name, anastahili heshima yake kwa ujasiri mkubwa ambao ameuonyesha kabla hajafika hapa alipo leo. Njia yake kwa mujibu wa haya maongezi yetu ilikua ya kulazimisha sana na yeye hakuwahi kukata tamaa, au tuseme neno au wazo la kukata tamaa halijawahi kuwa mawazoni mwake.
Majay ndo jina la umaarufu wake, Dj Majay au RDJ Majay au Majizzo moja ya ma Dj walokua wakiunda kundi la ‘Kwa Fujo DJ’s’ akiwa pamoja na Abubakar Sadique na ma Dj wengine wakati huo. Jinsi gani walikutana na nini kiliwafanya wawe na umoja huo? Tulimuuliza Majay kwenye maongezi haya na akaniambia waliona kitu ambacho hakuna mtu mwengine alikiona wakati huo na kweli kilifanya kazi.
Nini sasa kilisababisha umoja wao kuvunjika? Nini special kwake ambacho anadhani kinamfanya aendelee kuwa mwenye mafanikio na relevant kuliko wenzake? Huku sasa anatuelezea rasilimali yake aliyopewa na Mwenyezi Mungu, ya KUTOKATA TAMAA. Ambayo ndo imemfanya yeye anendelee kubaki kuwa nahodha wa boti yake ambayo imeweza kupambana na dhurba nyingi za baharini na nchi kavu lakini bado inaendelea na safari.
Majay alianza kutafuta kwake kama fundi nguo, wengi tunawaita fundi cherehani, anatuambia mtaani kwake kulikua na MC mmoja wa harusi ambaye yeye ndo alikua anamshonea nguo zake na siku ambayo alimchukua Majay kwenye moja ya kazi zake ndo siku ambayo maisha ya Majay YALIBADILIKA.
Sasa ni CEO wa moja ya Radio zenye nguvu hapa Tanzania na mpambanaji ambaye anahakikisha vijana na mziki wetu wa kizazi kipya unazidi kwenda mbali, yeye ni mtu ambaye anawavutia vijana wengi kwa kuwapa matumaini kwamba kuna siku mazuri yatakuja tu, at least hiyo ndo vibe ambayo mimi naipata kwake. Ashakataliwa sana. Ashakosea sana, ashafungiwa milango sana, ashakimbiwa sana na marafiki ambao walikua hawaamini kwenye ndoto yake na amesha anza upya mara kadhaa kwa kuamini kwamba kama aliweza kukipata mwanzo, basi inawezekana kukipata tena, na hivyo ndo jinsi ambavyo ilikua na inaendelea kuwa mpaka leo hii.
Kama unahitaji inspiration au mtu wa kumtazama ndoto zake ili na wewe uweze kuzitimiza za kwako basi Francis Ciza anaweza kukusadia sana.
Tafadhali enjoy mazungumzo yetu haya ambayo yamejaa safari ndefu ya kuanzia kwenye kupima watu viuno na kifua mpaka kuwapangia watu burudani isiyochosha.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Пікірлер: 164
Aisee sijawah kumsiliza majizzo aiesee huyu jamaa ni mtu sana na mpambanaji sana. Kama tupo pamoja gonga like nyingi kwa kumsupport jamaa
Aiseee kumbe Tanzania iko na wanaume wenye true love,yani haumii aliyoyapitia yeye ila anaumia juu ya maumivu ya mwanamke wake!!! Aiseeee be blessed Majizo na awatunze
Naendelea Kujifunza Kila Siku, MAISHA Ni Mapambano na Hakuna Kukubali Kukata Tamaa. GOD Bless You MAJIZZO...Thank You Salama J
Majizzo SALUTE Sana Kaka, nimegundua una IQ kubwa Sana ya maisha
Dah aisee nimejifunza sana sana TANZANIA ni nchi pekee ambayo mtu akifanikiwa watu wanawaza uchawi madawa bila kuangalia mahali tulikopita. Ooo Lord help us. I must work so hard mpaka siku moja nifanikiwe niitwe kwenye interview
Majizo Mungu amekupa wisdom kubwa sanahata Eliza anayo mmekutana wa kufanana
NATAMANI VIJANA wote wangefuatilia na kusikiliza hii show. Salama uko vizuri sana.Hongera Francis /MAJIZO
@gastonchonya7790
2 жыл бұрын
Dada mm nafuatilia
Huyu kijana ni mtu mzuri sana. Mungu aendelee kukubariki wewe pamoja na familia yako.
Majizo ana vingi ila sio mtu anaweza kujieleza sana...! All in all hongera ❤
A real-life journey with a determined heart and vision. Congrats Majizzo.
Nime fatiliya kwa umakini part 1 and 2 Asante sana kunakitu nime jifuza Allah akupe mwisho mwema na aendeley kukubariki wewe na mkeo na family kwa ujumula🙏🙏Salama ubarikiwe from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@damaskinkela2265
2 жыл бұрын
Like from 257
Mwanaume yoyote mwenye huruma ni mwanaume ambae anajielewa sana. Majizzo ni mwema pia ni muaminifu Mungu amtunze na kumbarik pamoja na familia yake
@salomewandya7257
2 жыл бұрын
Kabisaaa 💯
@janemuhumba5823
Жыл бұрын
💯💯💯
Hivi vitu vinainspire sana vijana na kupitia hizi interview watu wanabadilisha maisha yao na kufungua ukurasa mpya hongera sana Salama unafanya kitu kizuri sana
Majizo you have inspired me so much....i know am not there yet but in shaa Allah will be there by God's grace. Salama Nakupenda sanaaa keep up the Good work 👏❤
This guy has a golden heart. Imagine he isn't bothered with his own personal lowest moments in his life and career but he is touched with his woman .we always complains about Tanzanians men not being gentleman but he stands as one trophy to proud of.
Salama tunamuomba Kondeboy hapa please
Mungu akubariki sana Majjizo kumbe wewe ni mwaminifu na unampenda kiukweli mke wako mubarikiwe ktk maisha yenu
@aaaaaah290
2 жыл бұрын
KAONA/KASIKIA LA MKE TUU 😀😀😀
Majizzo needed 2 more episodes.
Lulu unapendwa mama! Huyu ni mwanaume 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
The man with a big heart .......... Nimejifunza mengi sana.... Acha Mungu amshinishe aisee he deserves that
@mariamkibindo1741
Жыл бұрын
💯🤝
Interview nzur san Mashaa Allah Mungu akujaalie baba kaka uzidi kufanikiwa zaidi ya hapo na akutunzie familia n kizaz chako Ameen,,,
Unaweza ukawaambia na bado wakakuona huna mana,unaishi na watu vizuri wenzio wanakung'ong'a Kisogo bora uachane nao uwe na 50 zako tu
Najikuta na lia sana Majizzo unaupendo Mungu akubariki sana nauzidi kumutuza mukewako
Dah kaka Anamapenzi ya dhati Huyu Mungu awasimamie hadi mzikane😭😭🙏🙏
Nice majiz umenifunz mengi mmoja wak kam unampnd mtu mpend hat awe kweny mazingiz yapi
Huyu jamaa n very humble aisee he and lulu they deserve each other indeed
Salama we need Fred vunjabei if possible
Best interview ever........am officially a fan of majizzo❤️❤️
Very inspirational... Majizzo is so smart. 6:55 - 7:20 📌📌📌 Keep up the good work Ace Jay...👏👏👏
Ni bonge la entervew so poa maisha safari unatakiwa uwe mmbishi nakukubali sana majizo forshizo mi binafsi sijaona dj kama wewe Tanzania nzima Yani uwezo binafsi ndio uliokufikisha hapo ulipo much respect my bro
Nimeielewa sana hii hili ufanikiwe ni razima ujihamini kwanza wewe 🙌🙌🙌🙌
Asante sana mwenye kipindi hiki nimejifunza mengi kwa Majj
Nimekupenda bure maj hasa hapo kwenye watoto mashallah
Aseee, BONGE MOJA LA INTERVIEW S/O TO SALAMA, KWA HILI PINDI LA KIBABE, BIG UP CHAMP MAJIZZO.✨👑💪🏾👊🏾✊🏾 🎥🎬🎞️📽️🔥🔥🔥🔥🔥
Inspiration kama hizi ndio tunatakiwa kusikiliza na sio zile za motivation speakers za kuchanganya akili
@ch-tvonlinegr8125
2 жыл бұрын
Realy
@khadijahali4837
Жыл бұрын
🤣🤣
Big up na harus yko cz ata mm nimeanza kufikiria kuowa!👍
we need this kind of staff salama na. great job
Asante Salama! Bro Majei.. Mungu azidi kukubariki...
Tunawapenda papa G na maman G🥰🥰🥰🥰🥰🥰
it's a very good interview am truly inspired but salama please mda hautoshi aise like alikuwa na vingi ila inabidi akarishe
Interview nzuri Sana sijui kwanini nimechelewa kuiangalia majizzo ni mwanaume wa kupigiwa mfanoooo
Big fan of the show. Salute from Nairobi
Was waiting for this aisee...Najifunza SAAANA.
Sema yule mwanamke mange anatakiwa kutafutwa na kufyatwa anapotosha Sana jamii
@khadijangozi4324
2 жыл бұрын
Naomba uniambie lulu ametajwa wapi
@khadijahali4837
Жыл бұрын
@@khadijangozi4324 Eliza hukulisikia jina lk
Hii show Kali Sana! Big Up Yahstone
Great work salama keep it up
Nimejifunza Sana Acha niendelee kupambana mungu akupe nguvu ya kutuletea watu Wa kutueleimisha za kutufungua
Waoooooo, Hongera sana Baba G
This man is genius...
Very inspirational story, hope this will motivate a lot of youth towards their life destiny, personally I'm much inspired and encouraged by your efforts, big up foxy
Majizo kama ruge namkubali uyu boss
From Kenya 🇰🇪 this is very inspirational
Woow interesting big up Maj
nimeipenda story Mungu ambariki sana
This guy is so smart 🔥
One of the best interviews
Mzazi wa E F.M kwa maongezi ya ki smart, kizazi kipya kwa jina yake CIZA? mwana wetu wa Tanganyika. Kutoka hapa ubeljiji, nikitoa pongezi ya dhati kwako mtangazaji bingwa SALAMA JABBIR. Ndoto yangu ni ya kukutana na wewe na Kunihoji hapo; mkasi au kwangu inshaALLAH
Yes, I will be there In Jesus name
I like this interview nilikuwa simfahau majizo now kdg nimepata picha kuhusu yeye ni mtu wa aina gani
Nimeipenda sana ya Kiheshima
Asante Salama Nakupenda unafanya kazi nzuri
The show is 🔥🔥🔥
Endelea kubarikiwa Majizzo,umenijenga sana
Thanks ❤
Nice interview🥰
Mashallah, mimi namkubali sana Majizo,barikiwa sana brother 🙏
Hustler😊❤️
Nakukubali Sana Kk Ma..J
Interview smart Sana jabir.. Mardam mm nipenda Sana .majizo yangu hardworking person..
Nilikuwa nakuckiaga tu ckujua ww ni mtu mzuri na unahuruma na kujali.kaka mzuri sn and Smart
Dude’s smart 🔥👏🏾👏🏾
Very inspiring story
dah genius majizoo
Daaaa nimejifunza
Akili nyingi hiii🔥🔥
Hayo ndio mapenzi tena mapenzi ya Samani sana Mashallah
Huyu kaka ni smart sana👏🏽👏🏽👏🏽
Nasubiri SALAMA NA ADAMU MCHOMVU
Safi,,natamani hii meza angekaa Ruge nae ateme madini.
Daah Jamaa kapambana sana asee
Very nice
Salama tuletee Gwajima
Endelea kubarikiwa bro 💪🏿
Majjizo umeniinspire Sana
Hakuna kukata tamaa big up bro Majizzo
Ece Jay. Unajua kuuframe swali right to point. Hongera Sana 🙌
@othumanlorenzo260
2 жыл бұрын
Angekuwa mwanasheria ingekuwa hatari katika x examinations
Salute #Majizzo........Lulu she got a really hubby
@carlosmzena548
2 жыл бұрын
That's the face of business my dear he's not who you think he is
Good interview
Namkubali San kaka majizo yani ntaishi na vitendo vyak
Big up
KWA MAJIZO FORSHIZO LULU ANAMTU MAJAY NI MTU MWENYE ROHO TOFAUTI SANA ANAFORCUS SANA KWENYE UTU NA MAENDELEO
Asanteni Sana
Wow
Kama wanakuja kukamata gaidi wabongo duuh
Apo kwa Elizabeth pamenigusa Sana Mungu awaweke
Big men for now
Huyu jamaa mwamba sana
Intelligent one,tunamuomba na Idris Sultan
@veeJesus
2 жыл бұрын
Tayar alishakuja hapa
@lilianjulius917
2 жыл бұрын
Ooooh ngoja nisearch
Nimejufunza kitu kutoka kwa majizo kwenye maisha no kukata tamaa halafu usiogope kufanya kitu ambacho unacho
Yupo vizuri