Salama Na MAJIZZO SE6 EP17 | MPIMAJI PART 2 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460

Ойын-сауық

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
MPIMAJI
Francis Ciza that’s the name, anastahili heshima yake kwa ujasiri mkubwa ambao ameuonyesha kabla hajafika hapa alipo leo. Njia yake kwa mujibu wa haya maongezi yetu ilikua ya kulazimisha sana na yeye hakuwahi kukata tamaa, au tuseme neno au wazo la kukata tamaa halijawahi kuwa mawazoni mwake.
Majay ndo jina la umaarufu wake, Dj Majay au RDJ Majay au Majizzo moja ya ma Dj walokua wakiunda kundi la ‘Kwa Fujo DJ’s’ akiwa pamoja na Abubakar Sadique na ma Dj wengine wakati huo. Jinsi gani walikutana na nini kiliwafanya wawe na umoja huo? Tulimuuliza Majay kwenye maongezi haya na akaniambia waliona kitu ambacho hakuna mtu mwengine alikiona wakati huo na kweli kilifanya kazi.
Nini sasa kilisababisha umoja wao kuvunjika? Nini special kwake ambacho anadhani kinamfanya aendelee kuwa mwenye mafanikio na relevant kuliko wenzake? Huku sasa anatuelezea rasilimali yake aliyopewa na Mwenyezi Mungu, ya KUTOKATA TAMAA. Ambayo ndo imemfanya yeye anendelee kubaki kuwa nahodha wa boti yake ambayo imeweza kupambana na dhurba nyingi za baharini na nchi kavu lakini bado inaendelea na safari.
Majay alianza kutafuta kwake kama fundi nguo, wengi tunawaita fundi cherehani, anatuambia mtaani kwake kulikua na MC mmoja wa harusi ambaye yeye ndo alikua anamshonea nguo zake na siku ambayo alimchukua Majay kwenye moja ya kazi zake ndo siku ambayo maisha ya Majay YALIBADILIKA.
Sasa ni CEO wa moja ya Radio zenye nguvu hapa Tanzania na mpambanaji ambaye anahakikisha vijana na mziki wetu wa kizazi kipya unazidi kwenda mbali, yeye ni mtu ambaye anawavutia vijana wengi kwa kuwapa matumaini kwamba kuna siku mazuri yatakuja tu, at least hiyo ndo vibe ambayo mimi naipata kwake. Ashakataliwa sana. Ashakosea sana, ashafungiwa milango sana, ashakimbiwa sana na marafiki ambao walikua hawaamini kwenye ndoto yake na amesha anza upya mara kadhaa kwa kuamini kwamba kama aliweza kukipata mwanzo, basi inawezekana kukipata tena, na hivyo ndo jinsi ambavyo ilikua na inaendelea kuwa mpaka leo hii.
Kama unahitaji inspiration au mtu wa kumtazama ndoto zake ili na wewe uweze kuzitimiza za kwako basi Francis Ciza anaweza kukusadia sana.
Tafadhali enjoy mazungumzo yetu haya ambayo yamejaa safari ndefu ya kuanzia kwenye kupima watu viuno na kifua mpaka kuwapangia watu burudani isiyochosha.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 164

  • @NassTwin
    @NassTwin Жыл бұрын

    Aisee sijawah kumsiliza majizzo aiesee huyu jamaa ni mtu sana na mpambanaji sana. Kama tupo pamoja gonga like nyingi kwa kumsupport jamaa

  • @bahatirngulika4493
    @bahatirngulika44932 жыл бұрын

    Aiseee kumbe Tanzania iko na wanaume wenye true love,yani haumii aliyoyapitia yeye ila anaumia juu ya maumivu ya mwanamke wake!!! Aiseeee be blessed Majizo na awatunze

  • @tanzaniatourismboard8395
    @tanzaniatourismboard83952 жыл бұрын

    Naendelea Kujifunza Kila Siku, MAISHA Ni Mapambano na Hakuna Kukubali Kukata Tamaa. GOD Bless You MAJIZZO...Thank You Salama J

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu21162 жыл бұрын

    Majizzo SALUTE Sana Kaka, nimegundua una IQ kubwa Sana ya maisha

  • @deusdedit789
    @deusdedit7892 жыл бұрын

    Dah aisee nimejifunza sana sana TANZANIA ni nchi pekee ambayo mtu akifanikiwa watu wanawaza uchawi madawa bila kuangalia mahali tulikopita. Ooo Lord help us. I must work so hard mpaka siku moja nifanikiwe niitwe kwenye interview

  • @elizabethhonere2931
    @elizabethhonere29312 жыл бұрын

    Majizo Mungu amekupa wisdom kubwa sanahata Eliza anayo mmekutana wa kufanana

  • @hildaminja5148
    @hildaminja51482 жыл бұрын

    NATAMANI VIJANA wote wangefuatilia na kusikiliza hii show. Salama uko vizuri sana.Hongera Francis /MAJIZO

  • @gastonchonya7790

    @gastonchonya7790

    2 жыл бұрын

    Dada mm nafuatilia

  • @namsamson3443
    @namsamson34432 жыл бұрын

    Huyu kijana ni mtu mzuri sana. Mungu aendelee kukubariki wewe pamoja na familia yako.

  • @fefenailsandmakeup1353
    @fefenailsandmakeup13532 жыл бұрын

    Majizo ana vingi ila sio mtu anaweza kujieleza sana...! All in all hongera ❤

  • @jofrasful
    @jofrasful Жыл бұрын

    A real-life journey with a determined heart and vision. Congrats Majizzo.

  • @nsazabahizirehema7897
    @nsazabahizirehema78972 жыл бұрын

    Nime fatiliya kwa umakini part 1 and 2 Asante sana kunakitu nime jifuza Allah akupe mwisho mwema na aendeley kukubariki wewe na mkeo na family kwa ujumula🙏🙏Salama ubarikiwe from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @damaskinkela2265

    @damaskinkela2265

    2 жыл бұрын

    Like from 257

  • @rithamarrow5716
    @rithamarrow57162 жыл бұрын

    Mwanaume yoyote mwenye huruma ni mwanaume ambae anajielewa sana. Majizzo ni mwema pia ni muaminifu Mungu amtunze na kumbarik pamoja na familia yake

  • @salomewandya7257

    @salomewandya7257

    2 жыл бұрын

    Kabisaaa 💯

  • @janemuhumba5823

    @janemuhumba5823

    Жыл бұрын

    💯💯💯

  • @christiannyamamba9089
    @christiannyamamba90892 жыл бұрын

    Hivi vitu vinainspire sana vijana na kupitia hizi interview watu wanabadilisha maisha yao na kufungua ukurasa mpya hongera sana Salama unafanya kitu kizuri sana

  • @tunudachitalks6575
    @tunudachitalks65752 жыл бұрын

    Majizo you have inspired me so much....i know am not there yet but in shaa Allah will be there by God's grace. Salama Nakupenda sanaaa keep up the Good work 👏❤

  • @addeypentacos9014
    @addeypentacos90142 жыл бұрын

    This guy has a golden heart. Imagine he isn't bothered with his own personal lowest moments in his life and career but he is touched with his woman .we always complains about Tanzanians men not being gentleman but he stands as one trophy to proud of.

  • @aminiismail3371
    @aminiismail33712 жыл бұрын

    Salama tunamuomba Kondeboy hapa please

  • @rossarutasha9391
    @rossarutasha93912 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana Majjizo kumbe wewe ni mwaminifu na unampenda kiukweli mke wako mubarikiwe ktk maisha yenu

  • @aaaaaah290

    @aaaaaah290

    2 жыл бұрын

    KAONA/KASIKIA LA MKE TUU 😀😀😀

  • @Juxton
    @Juxton2 жыл бұрын

    Majizzo needed 2 more episodes.

  • @marianajohn5415
    @marianajohn5415 Жыл бұрын

    Lulu unapendwa mama! Huyu ni mwanaume 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @johnlihawa4145
    @johnlihawa4145 Жыл бұрын

    The man with a big heart .......... Nimejifunza mengi sana.... Acha Mungu amshinishe aisee he deserves that

  • @mariamkibindo1741

    @mariamkibindo1741

    Жыл бұрын

    💯🤝

  • @azinarashidi5204
    @azinarashidi52042 жыл бұрын

    Interview nzur san Mashaa Allah Mungu akujaalie baba kaka uzidi kufanikiwa zaidi ya hapo na akutunzie familia n kizaz chako Ameen,,,

  • @hadijajumanne5493
    @hadijajumanne54932 жыл бұрын

    Unaweza ukawaambia na bado wakakuona huna mana,unaishi na watu vizuri wenzio wanakung'ong'a Kisogo bora uachane nao uwe na 50 zako tu

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes31612 жыл бұрын

    Najikuta na lia sana Majizzo unaupendo Mungu akubariki sana nauzidi kumutuza mukewako

  • @user-gi1ez6fc1y
    @user-gi1ez6fc1y2 жыл бұрын

    Dah kaka Anamapenzi ya dhati Huyu Mungu awasimamie hadi mzikane😭😭🙏🙏

  • @zuuqueenhilson3135
    @zuuqueenhilson31352 жыл бұрын

    Nice majiz umenifunz mengi mmoja wak kam unampnd mtu mpend hat awe kweny mazingiz yapi

  • @zawadisalum5684
    @zawadisalum56842 жыл бұрын

    Huyu jamaa n very humble aisee he and lulu they deserve each other indeed

  • @flexturnertv8585
    @flexturnertv85852 жыл бұрын

    Salama we need Fred vunjabei if possible

  • @fauziayusuf235
    @fauziayusuf2352 жыл бұрын

    Best interview ever........am officially a fan of majizzo❤️❤️

  • @maryshirima1234
    @maryshirima12342 жыл бұрын

    Very inspirational... Majizzo is so smart. 6:55 - 7:20 📌📌📌 Keep up the good work Ace Jay...👏👏👏

  • @user-ii7yy5is1y
    @user-ii7yy5is1y7 ай бұрын

    Ni bonge la entervew so poa maisha safari unatakiwa uwe mmbishi nakukubali sana majizo forshizo mi binafsi sijaona dj kama wewe Tanzania nzima Yani uwezo binafsi ndio uliokufikisha hapo ulipo much respect my bro

  • @mwalimualiaminialiamini8623
    @mwalimualiaminialiamini86232 жыл бұрын

    Nimeielewa sana hii hili ufanikiwe ni razima ujihamini kwanza wewe 🙌🙌🙌🙌

  • @evamday2896
    @evamday28962 жыл бұрын

    Asante sana mwenye kipindi hiki nimejifunza mengi kwa Majj

  • @sakinamixpambe2602
    @sakinamixpambe26022 жыл бұрын

    Nimekupenda bure maj hasa hapo kwenye watoto mashallah

  • @abduly.snootie
    @abduly.snootie2 жыл бұрын

    Aseee, BONGE MOJA LA INTERVIEW S/O TO SALAMA, KWA HILI PINDI LA KIBABE, BIG UP CHAMP MAJIZZO.✨👑💪🏾👊🏾✊🏾 🎥🎬🎞️📽️🔥🔥🔥🔥🔥

  • @editatairo9667
    @editatairo96672 жыл бұрын

    Inspiration kama hizi ndio tunatakiwa kusikiliza na sio zile za motivation speakers za kuchanganya akili

  • @ch-tvonlinegr8125

    @ch-tvonlinegr8125

    2 жыл бұрын

    Realy

  • @khadijahali4837

    @khadijahali4837

    Жыл бұрын

    🤣🤣

  • @abdulpires9091
    @abdulpires90912 жыл бұрын

    Big up na harus yko cz ata mm nimeanza kufikiria kuowa!👍

  • @watsonmwanjelwa4535
    @watsonmwanjelwa45352 жыл бұрын

    we need this kind of staff salama na. great job

  • @sheshem5453
    @sheshem54532 жыл бұрын

    Asante Salama! Bro Majei.. Mungu azidi kukubariki...

  • @yvetteuwase2740
    @yvetteuwase27402 жыл бұрын

    Tunawapenda papa G na maman G🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @agricolamirinde6111
    @agricolamirinde61112 жыл бұрын

    it's a very good interview am truly inspired but salama please mda hautoshi aise like alikuwa na vingi ila inabidi akarishe

  • @prettypretty9745
    @prettypretty97452 жыл бұрын

    Interview nzuri Sana sijui kwanini nimechelewa kuiangalia majizzo ni mwanaume wa kupigiwa mfanoooo

  • @JustArkon
    @JustArkon2 жыл бұрын

    Big fan of the show. Salute from Nairobi

  • @alinagwemwaselela9053
    @alinagwemwaselela90532 жыл бұрын

    Was waiting for this aisee...Najifunza SAAANA.

  • @johnkabadi8732
    @johnkabadi87322 жыл бұрын

    Sema yule mwanamke mange anatakiwa kutafutwa na kufyatwa anapotosha Sana jamii

  • @khadijangozi4324

    @khadijangozi4324

    2 жыл бұрын

    Naomba uniambie lulu ametajwa wapi

  • @khadijahali4837

    @khadijahali4837

    Жыл бұрын

    @@khadijangozi4324 Eliza hukulisikia jina lk

  • @selemanimuhanga4018
    @selemanimuhanga40182 жыл бұрын

    Hii show Kali Sana! Big Up Yahstone

  • @saidalssa3409
    @saidalssa34092 жыл бұрын

    Great work salama keep it up

  • @mohamedrajab358
    @mohamedrajab3582 жыл бұрын

    Nimejifunza Sana Acha niendelee kupambana mungu akupe nguvu ya kutuletea watu Wa kutueleimisha za kutufungua

  • @rosemofuga8101
    @rosemofuga81012 жыл бұрын

    Waoooooo, Hongera sana Baba G

  • @hahmadhabibu2076
    @hahmadhabibu20762 жыл бұрын

    This man is genius...

  • @franknsato6373
    @franknsato63732 жыл бұрын

    Very inspirational story, hope this will motivate a lot of youth towards their life destiny, personally I'm much inspired and encouraged by your efforts, big up foxy

  • @salumuseif3324
    @salumuseif33242 жыл бұрын

    Majizo kama ruge namkubali uyu boss

  • @julietdawa5518
    @julietdawa5518 Жыл бұрын

    From Kenya 🇰🇪 this is very inspirational

  • @florabuzoya2109
    @florabuzoya21092 жыл бұрын

    Woow interesting big up Maj

  • @yusufurahabiamu6052
    @yusufurahabiamu60522 жыл бұрын

    nimeipenda story Mungu ambariki sana

  • @CHITUS
    @CHITUS2 жыл бұрын

    This guy is so smart 🔥

  • @xw6427
    @xw64272 жыл бұрын

    One of the best interviews

  • @mutumbisalash923
    @mutumbisalash9232 жыл бұрын

    Mzazi wa E F.M kwa maongezi ya ki smart, kizazi kipya kwa jina yake CIZA? mwana wetu wa Tanganyika. Kutoka hapa ubeljiji, nikitoa pongezi ya dhati kwako mtangazaji bingwa SALAMA JABBIR. Ndoto yangu ni ya kukutana na wewe na Kunihoji hapo; mkasi au kwangu inshaALLAH

  • @Agatee01
    @Agatee012 жыл бұрын

    Yes, I will be there In Jesus name

  • @daudgrayson8534
    @daudgrayson85342 жыл бұрын

    I like this interview nilikuwa simfahau majizo now kdg nimepata picha kuhusu yeye ni mtu wa aina gani

  • @AfiSoul103
    @AfiSoul103 Жыл бұрын

    Nimeipenda sana ya Kiheshima

  • @ApipaTV
    @ApipaTV2 жыл бұрын

    Asante Salama Nakupenda unafanya kazi nzuri

  • @irenengatia4289
    @irenengatia42892 жыл бұрын

    The show is 🔥🔥🔥

  • @elizabethmwakalinga5271
    @elizabethmwakalinga52712 жыл бұрын

    Endelea kubarikiwa Majizzo,umenijenga sana

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo832 жыл бұрын

    Thanks ❤

  • @winifridambilinyi8043
    @winifridambilinyi80432 жыл бұрын

    Nice interview🥰

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Mashallah, mimi namkubali sana Majizo,barikiwa sana brother 🙏

  • @estermwakafwila9890
    @estermwakafwila98902 жыл бұрын

    Hustler😊❤️

  • @zainabubakari4156
    @zainabubakari41562 жыл бұрын

    Nakukubali Sana Kk Ma..J

  • @rsautoservice984
    @rsautoservice984 Жыл бұрын

    Interview smart Sana jabir.. Mardam mm nipenda Sana .majizo yangu hardworking person..

  • @evajames2514
    @evajames25142 жыл бұрын

    Nilikuwa nakuckiaga tu ckujua ww ni mtu mzuri na unahuruma na kujali.kaka mzuri sn and Smart

  • @isdoripascal1967
    @isdoripascal19672 жыл бұрын

    Dude’s smart 🔥👏🏾👏🏾

  • @georgelugwisha8798
    @georgelugwisha87982 жыл бұрын

    Very inspiring story

  • @wilbroadgrarcian1259
    @wilbroadgrarcian12592 жыл бұрын

    dah genius majizoo

  • @deboraezekiel784
    @deboraezekiel7842 жыл бұрын

    Daaaa nimejifunza

  • @mtaalamwamambo2099
    @mtaalamwamambo20992 жыл бұрын

    Akili nyingi hiii🔥🔥

  • @fatmaahamadabass8080
    @fatmaahamadabass8080 Жыл бұрын

    Hayo ndio mapenzi tena mapenzi ya Samani sana Mashallah

  • @susancharles1660
    @susancharles16602 жыл бұрын

    Huyu kaka ni smart sana👏🏽👏🏽👏🏽

  • @mrfashion1687
    @mrfashion16872 жыл бұрын

    Nasubiri SALAMA NA ADAMU MCHOMVU

  • @melkizedeckelsonmbise4424
    @melkizedeckelsonmbise44245 ай бұрын

    Safi,,natamani hii meza angekaa Ruge nae ateme madini.

  • @azikamujulius3530
    @azikamujulius35302 жыл бұрын

    Daah Jamaa kapambana sana asee

  • @ingabireritha3740
    @ingabireritha37402 жыл бұрын

    Very nice

  • @nsajigwamwanjati5119
    @nsajigwamwanjati51192 жыл бұрын

    Salama tuletee Gwajima

  • @dedsecmalis2005
    @dedsecmalis20052 жыл бұрын

    Endelea kubarikiwa bro 💪🏿

  • @charlesbakari7265
    @charlesbakari72652 жыл бұрын

    Majjizo umeniinspire Sana

  • @lawizeentertainment5021
    @lawizeentertainment5021 Жыл бұрын

    Hakuna kukata tamaa big up bro Majizzo

  • @harysonnyobuya9601
    @harysonnyobuya96012 жыл бұрын

    Ece Jay. Unajua kuuframe swali right to point. Hongera Sana 🙌

  • @othumanlorenzo260

    @othumanlorenzo260

    2 жыл бұрын

    Angekuwa mwanasheria ingekuwa hatari katika x examinations

  • @maggiepeter8936
    @maggiepeter89362 жыл бұрын

    Salute #Majizzo........Lulu she got a really hubby

  • @carlosmzena548

    @carlosmzena548

    2 жыл бұрын

    That's the face of business my dear he's not who you think he is

  • @sarajoseph4253
    @sarajoseph4253 Жыл бұрын

    Good interview

  • @mbechajumaa7966
    @mbechajumaa79662 жыл бұрын

    Namkubali San kaka majizo yani ntaishi na vitendo vyak

  • @justinemwenda2292
    @justinemwenda22922 жыл бұрын

    Big up

  • @user-ii7yy5is1y
    @user-ii7yy5is1y7 ай бұрын

    KWA MAJIZO FORSHIZO LULU ANAMTU MAJAY NI MTU MWENYE ROHO TOFAUTI SANA ANAFORCUS SANA KWENYE UTU NA MAENDELEO

  • @niriacatering172
    @niriacatering1722 жыл бұрын

    Asanteni Sana

  • @ARAFATVSHOW
    @ARAFATVSHOW2 жыл бұрын

    Wow

  • @hadijajumanne5493
    @hadijajumanne54932 жыл бұрын

    Kama wanakuja kukamata gaidi wabongo duuh

  • @leaherasto929
    @leaherasto9292 жыл бұрын

    Apo kwa Elizabeth pamenigusa Sana Mungu awaweke

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana87762 жыл бұрын

    Big men for now

  • @mashalamusicempire1158
    @mashalamusicempire11582 жыл бұрын

    Huyu jamaa mwamba sana

  • @lilianjulius917
    @lilianjulius9172 жыл бұрын

    Intelligent one,tunamuomba na Idris Sultan

  • @veeJesus

    @veeJesus

    2 жыл бұрын

    Tayar alishakuja hapa

  • @lilianjulius917

    @lilianjulius917

    2 жыл бұрын

    Ooooh ngoja nisearch

  • @shukurubashiry9117
    @shukurubashiry91172 жыл бұрын

    Nimejufunza kitu kutoka kwa majizo kwenye maisha no kukata tamaa halafu usiogope kufanya kitu ambacho unacho

  • @happinessjohn607
    @happinessjohn607 Жыл бұрын

    Yupo vizuri

Келесі