Salama Na KING AliKiba SE6 Ep 03 FULL SHOW | DELIGHTFUL Part 2 |SendTip MPESA LIPA NO 5578460
Ойын-сауық
#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Пікірлер: 264
Alikiba na kikwete kuna udungu;ongea na muonekano wafanana;mpaka busara
Hii ndo interview ,Cyo uchonganishi wa baadhi ya media ,ndo maana kiba huwa anawajibu vibaya
Ukimsikiliza Alikiba anavyojibu Maswali Na Kuongea .. Unaweza Kudhani Ndo Msanii Mwenye Tuzo Nyingi Kuliko Wasanii Wengi Sana 😂😂😂😂....He Is Very Smart &Calm
@adamhashimu4462
2 жыл бұрын
True
Huyu jamaa kweli king anajua kupangilia maneno aongee nini anajua ajibu vipi pia ngoma zake ni nzuri naikubali bwana mdogo
Daaah nimegundua kumbe Alikiba anawatuwake wa kum-enterview, yaani ni bonge moja ya kitu. Daaah nimeenjoy Sana
@ashurahatibu5069
2 жыл бұрын
Yani huyu yupo anakuangalia akikuuliza ushubwada na ye anakujibu ushubwada ila kuna sehem tulivu kama hapo aaaa ananyooka
@adamhashimu4462
2 жыл бұрын
@@ashurahatibu5069 kweli kabsa
Wale wapumbavu wengine wanaotaja taja hovyo tu majina Diamond diamond midomoni nwao haishi sasa waje hapa wasikilize ufundi wa maswali bila kitumia majina ya wahusika ila anaeulizwa anaelewa anachoulizwa na anajibu akiwa huru jabisa.
We love you more king kiba 🇰🇪 kenya unapendwa sanaa
Hawa wandishi wa online wajifunze kitu apa jinsi ya kuuliza maswali salama big up😘
Salama huyu brother umemleta late sana kwa show zake, but we still loved King and we love your show.. ❤️❤️❤️
@homan_nkwama
2 жыл бұрын
Nikwamba SALAMA akifanya show inabaki kwenye ubongo aswaaah sababu anajua anachofanya ndio mana unahisi kafanya nyingi ILA bado snaa azitoshi Kwa ukubwa na consistent ya KIBA aiwezi fanana na ferooz au embdog au jafarai
@user-zh8wg3lc4i
2 жыл бұрын
Hakika Salama nimefurahi sana kumwona Alli Kiba leo ni mwanamziki ninayempenda sana sana. Mungu akuzidishie Alli the King.
Muhudumu nae aliyesave meza kusema na ukweli anamali jmn tusijifanye tunapotezea wakulungwa wenzangu😜🤣🤣🤣 afya ya mwili anayoo nasisitiza TU🤣🤣🤣...!!
@mumyhendry2919
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mbinguni huendi David....yaan ulivyo insist tuu🙌🙌🙌
@cobrachristian3685
2 жыл бұрын
😂😂😂Yaani wewe... Umenifanya nirudie interview
@johnteonas3144
2 жыл бұрын
😂😂😂😂duh
@maulidrehani
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@mozasaid3869
2 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
Alikiba ameimprove sana katika kujibu maswali... interview zake za nyuma alikua anazingua sana kwenye kujibu... safi sana and keep on shining
@alicenice1711
2 жыл бұрын
Amekua anazingua aje mbona kiherehere ivo
@Machafukoyajiji
2 жыл бұрын
Sema hakikutana Na waandish wa mchongo ndo anajibu hovyo
Alikiba nakupenda saana kaka Niko burundi
We love Tanzania sana Mimi napenda kiba, rose muhando, Martha mwapaji 🌹
Nakupenda sana KING👑KIBA na vile upo na mwanamke wa kizanzibar na ungazija ndani yake imekaa poa sana
Salama imebid nitafute enterviewr yako na kiba ya kwanza kabisa nimecheka sana
Napenda unavyo post hunakwenda na wakati coz now days alikiba upo kwa fire na ww unatupa more details about him. I love this show. 🔥🔥🔥😏🔥🔥🔥🔥
✌🏾Kumbe Una majibu mazuri utazani maswali ya interview unalalaga nayo kabla ya mahojiano…!!?? 🤔
Joho Na Alikiba 💗💯
I real love king Alikiba❤❤ akuje Kenya jaman tumemiss yeye sana
"We love to have yo men"❤said by Salama💙 We love him (AliKiba) for real👑🎶🔥💕 Moree...We love SalamaJ too❤🎬💖💕 #SalamaNa #AliKiba
Kipezi shawatu kingi alikimba love you so much
I'm from Kenya am proud of you king 👑 kiba.
Interview Kali mbaka naona mda machache mmetumia kuongea salama irudiwe na alikiba Kuna vingi atuvijui bado
Kwa kweli kenya tunampenda sana ali kiba, kama shemeji wetu, na mziki wako uko vizuri,
🤣🤣🤣anafurahisha sana ali kiba anasema interview ya kiingereza unafikiria swali pia unafikiria jinsi ya kujibu kiingereza ni kweli kabisa very funny guy .
Nimependa Ki-Swanglish cha King Kiba. Ame improve sana. Nina hakika atakuwa anajinoa. Pia Napenda nyimbo zake sana.
Nimefurahi san, nilkuwa naitafuta San hii interview,,,👏👏👏👏👏👏
🇺🇬pia twakupenda japo hujawahi kutemberea big up my king
Jamaa alikua na njaa kweli, liko very bez na chakula
@ismailally2549
2 жыл бұрын
N ndomaana kasem ukwel kama ana njaa kali sema nimkweli
Ali kiba is so way cool brother...May God bless this man and all the cast of YahStone crew
@iddyally7127
2 жыл бұрын
natamani kwandika mu français J'aime beaucoup ally kiba et puis je m'ai salama depuis que elle journaliste de TBC et même aujourd'hui jtm fort mon cœur salama
Napenda unapenda kuwa really alikiba hufake maisha
Hahaha salama banana it's your brother kumukosoa ni vizuri I naonyesha upendo nimefurai kusikia Alikiba na seven wako on business good 👍interview
Ofcourse we kenyans we love kiba🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nauchungulia mpaja Wa salama nauona kwa mbali
Yah Tommy ni kijana mzuri ukimtazama vizur unaiona nidhamu dhan yake, MUNGU awatangulie mfike mbalii
What I love about the interview. 1 bcz the guest is Alikiba, 2 mme ongeya freely yaani 😍🤗well done you guys 👏🏾
Very true I'm from Kenya 🇰🇪 n I love ali so much God bless you kaka ameen ❤
Yaaaaah yebaba 🔥🔥🔥💪💪nakubali sana uongo dhambi mziki mzuri
Ni kweli Kenya tupenda King kiba sana
👑 watching you from abroad 🇺🇸🇺🇸🇺🇸 but a Congolese 🇨🇩 🙏🙏🙏🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇨🇩🇨🇩🇨🇩🛌🎧
Mwanzo niljuaga mko differ kumbe mko poa tyuu Toka nimuone kwenye uznduz wa album ya only one king nikakubali
Alikiba we love you
Wow nice one good job salama and king Kiba magic interview 🛋️👑🔥🔥
Who watched this video without skipping. Like this 😆.
Interview ya lini hii make umeichelewesha Sana!!!
Alikiba,joh,salama respect to you guys
Very humble man
Daaaah salama your amazing 👏 this is interview is the best 👌 life is a journey ❤✨ ilove you both
Best interview big up salama 😊 king kiba your the best😍😍😍😍😍
Huyu kiba n bingwa hapa 🇰🇪
kingkiba💞Real Man
This man......we gat love for you both... 🇹🇿
Dada hunaho hoji mflm bona hunamahulizo mazuri sana ila mfalm ana kujibu vizuri naww nimzuri sana dada by alackson swagg mcongomani
May you bring for us our own an iconic hiphop star ONE THE INCREDIBLE 💥✌🏾
Tuwekee Salama na T.I.D full interview,I have missed his swaggs and the way he speaks his perfect English that other musicians are unable to speak.
@officialbntrasool5223
2 жыл бұрын
M pia
@beepiper9132
2 жыл бұрын
😂😂😂 daah
Safi salama Sasa unaweka interview kwa urefu
This was the best interview salama big up sana on point 💯💯💯💯💯💯💯💯
Walahi sikutaka kiishe ... Yaani kama mlikuo mnapana story ... Hadi raha... Arudi Tena jamaniiii💖💖💖💖💖
Salama na king congratulations your selves
Best interview Salama and King Kiba ,I like that🙌
I'm you fan from 254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 #kingkiba
Kiba kiba kibaaaaaaaaaaaa daaah i real love this man
Dah nimefurahi sana interview bora ya mwaka
Mlete Dr. kumbuka tuvunje mbavu kdg.
Salama na Kala Jeremiah ni lini jaman😂😂 kp it up kiba
Amazing Show!
Salama: Do you consider him(Diamond) aduii? Kiba: Sina adui.. labda cjuii Kibaa banaa 💯❤️ majibu mazuri sanaaa😂
I love love love love love King Kiba 🤴 ❤ 🇰🇪
I watch kiba i live kiba your the best man salam am your big fan since kitmbo sana kipindi kikarii
love it❤️🇨🇦🇹🇿
Kiba he is a Legend
Nice interview I love
ToB honest we Kenya love u MO🔥
Hio ya kuitwa Mombasa kwa sasa sahau kabisa. Wa Mombasa tumekataa kabisa ulanisi huo.
we salama hilo paja vipi..mbona zuri mashaallah 😋
@dogobk7796
2 жыл бұрын
😄😄😄😄 uchokozi
@princekarani7836
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 wewe jamaa wewe
Enjoyed this . Salama great job , just vibe with the people on your show !
Salama💟👌kiba😍
Ukiniapiza Hahah kocha bwana
Our king 🤴🏾
King forever
Super interview.... Only one King..
"Kati ya binadamu na binadamu kuna mapenzi kati yake" Alikiba
Ata mm nilikesha kwaajili ya kharos ya king kiba
Speshoz alikula bila kunawa haha 🤣🤣🤣🤣
🇹🇿 🇰🇪 🇺🇬 🇷🇼 🇧🇮 🇸🇸 🇸🇴 all these people likes Alikiba
Ilove this show
Was amazing show 👏 🙌 😍
Yohoooooo papileeeee , team kiba , sister salama mungu akubalikii Sana unatuletea kila sk vitu vizuri na kutufunza menjgii
Good interview
Namkubal knoma xana huyo jamaa anapnda kuongea ukwel kankoxha kwny Chakula kula kwa mkono is good in our religion I loved dat ..alikiba 4real
My favorite artist
Love much my king
The true king 🤗🇨🇩🇨🇩🇨🇩
My favorite Artist king KIBA
I really...really appreciate dis show i like u dada #salama i started 4rm today to concentrate dis showw💜✌️😊
Salama noma sana interview nzuri sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
O melhor de todos #kingkiba
Interview king ni 👌👌👌👌👌
Apo penye anatumwa kunawa imenifurahisha😂😂😂
King mmoja tu