OMMY DIMPOZ ASIMULIA KIBA ALIVYOOKOA MAISHA YAKE "HATA NIKIMFUMANIA NA MKE WANGU NA MSAMEHE"

Kutoka kwenye listening party ya Album mpya ya msanii Alikiba iliyopewa jina la 'Only one king' ambapo wamealikwa mastaa mbalimbali. PLAY KUTAZAMA VIDEO

Пікірлер: 42

  • @jumannesaid4873
    @jumannesaid48732 жыл бұрын

    Naongezea tu dimpoz sio mmetoka mbali na alikiba unaweza sema pia amekutoa mbali alikiba maana kipindi alikiba anakupa saport katika nai nai tayari alikiba ni star tayari in tz and worldwide

  • @nyamwinukankwera3749
    @nyamwinukankwera37492 жыл бұрын

    Waooo Alikiba Mwenyezi Mungu akuzidishie

  • @samiraahmed8966
    @samiraahmed89662 жыл бұрын

    Allah azidi kuwasimamia undugu wenu udumu milele Ommy mungu azidi kukupa afya tele amen🙏🙏

  • @thresherjordan6829
    @thresherjordan68292 жыл бұрын

    Kaka ali jamn kiba hana roh mbaya jamn huyu azid kubarikiwaaàa

  • @jedidahorondo8092
    @jedidahorondo80922 жыл бұрын

    A man with a big heart king kiba

  • @editharwabasola8436
    @editharwabasola84362 жыл бұрын

    Mngu ni mwema nakutakia mema zikuwa na Imani moyo wasubira bila kumsahau aliy

  • @jemaluganolugano6987
    @jemaluganolugano69872 жыл бұрын

    Nice i like Alikiba

  • @khadijalambo2138
    @khadijalambo21382 жыл бұрын

    ♥️♥️♥️♥️binafsi Ally ni mwanamuziki ninaemkubali Sana sana hali kadhalika ommy

  • @gradnessshitindishitindi4881
    @gradnessshitindishitindi48812 жыл бұрын

    Hongera king kiba

  • @assynanibigira370
    @assynanibigira3702 жыл бұрын

    Congratulations only on king bwana mudogo

  • @abduli-karimkhamadi1409
    @abduli-karimkhamadi14092 жыл бұрын

    God bless

  • @omarathuman5813
    @omarathuman58132 жыл бұрын

    King kiba

  • @alyhamad7529
    @alyhamad75292 жыл бұрын

    King

  • @mariamonorberto920
    @mariamonorberto9202 жыл бұрын

    Waooh 👏🏽👏🏽

  • @stewartsylvester2353
    @stewartsylvester23532 жыл бұрын

    ❤️

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo72362 жыл бұрын

    Aaaaawwww 😭❤️❤️❤️

  • @jacoblusana1082
    @jacoblusana10822 жыл бұрын

    ,♥️♥️♥️

  • @annantete8406
    @annantete84062 жыл бұрын

    Haha ila alikiba ety wacha bwanaa daa nmecheka sanaa lkn nampend sn kibaa

  • @Donrugi
    @Donrugi2 жыл бұрын

    Unaongea tu kwakuwa unajua hauwezi kuwa na mke 😂😂😂

  • @oyay2821

    @oyay2821

    2 жыл бұрын

    Msenge nini?

  • @victorguapo7827

    @victorguapo7827

    2 жыл бұрын

    Ana mke mzungu fatilia.

  • @mataunasharifu6249

    @mataunasharifu6249

    2 жыл бұрын

    Kwanini asiwe na mke

  • @djrichsingelifreva8245
    @djrichsingelifreva82452 жыл бұрын

    Omy fala kweli

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi98442 жыл бұрын

    🤣🤣🤣Nimecheke kwa sauti

  • @mahmoodmohammed1679
    @mahmoodmohammed16792 жыл бұрын

    Ata kma we ni chawa kumshobokea mwanaume mwenzako ivo ni laaana

  • @makulaikuku6909

    @makulaikuku6909

    2 жыл бұрын

    Loooo roho mbaya kuwa ba shukraan hata mtu akikupa ubuyu

  • @selemankishema5780
    @selemankishema57802 жыл бұрын

    Shukran gani hiyo? Kaka mbona kama unakosea!!!

  • @oyay2821
    @oyay28212 жыл бұрын

    Anasema hivyo vile sasa hana mke

  • @ikrammahonda4566
    @ikrammahonda45662 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂Aweeeeee

  • @mauricempinga935
    @mauricempinga9352 жыл бұрын

    Amekonda izo diponz zatokea wapi bora tu kumuita ommy

  • @chief2177

    @chief2177

    2 жыл бұрын

    watu kama nyinyi hamna huruma 😅😅😅

  • @hawahabibu661

    @hawahabibu661

    2 жыл бұрын

    @@chief2177Umeonaee? Yan mtu anaongea tu kwa kuwa anajiona ana Afya bac hajui Mungu anaweza kukubadilisha wkt wowote

  • @chief2177

    @chief2177

    2 жыл бұрын

    @@hawahabibu661 aina zote za watu hazikosekani sokoni

  • @naomisamsoni1040
    @naomisamsoni10402 жыл бұрын

    Weee.!

  • @be...........
    @be...........2 жыл бұрын

    😂😂

  • @muzyexperience
    @muzyexperience2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @marrowog8975
    @marrowog89752 жыл бұрын

    Acha weee

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri85012 жыл бұрын

    SASA OMMY DIMPOZ MBONA KAVAA MSALABA SHINGONI NA YEYE MUISLAMU ?????

  • @jackisonmagera4271

    @jackisonmagera4271

    2 жыл бұрын

    Najua sio macho yako hy n akili ya bang

  • @sitiabubakar2892

    @sitiabubakar2892

    2 жыл бұрын

    @@jackisonmagera4271 😂😂😂😂😂😂😂uwiiii..... Nimecheka sana

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri85012 жыл бұрын

    HAKUNA ZAIDI YA USHETANI MTUPU UMEWATALA KATIKA MAISHA YA HAWA WATU

  • @Tiktome1228

    @Tiktome1228

    2 жыл бұрын

    Hakuna mkamilifu duniani atasie tuna madhaifu yetu natabia zetu zisizopendeza tusinyooshee kidole wenzetu wakat nasi mioyoyetu ina tusuta mwishowamtu anajua Mungu leo unaweza ukawaona wanatabia za ushetani lkn mwishowao wakamkiri na kumrudia Mungu wakamaliza salama sie tunaijiona malaika au wasaf tukawashiwa moto tuweke akiba yamaneno kwa wenzetu,kwsb sie sio Mungu adi tuwahukumu.

Келесі