Salama Na OMMY DIMPOZ SE6 EP31 | ELEGANT PART 1 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460

Ойын-сауық

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Kama kukiwa kuna mkutano wa Chama cha Watanashati hapa Africa na pengine Duniani basi Ommy Dimpoz anaweza kuwa mmoja wa viongozi wa juu kabisa wa Chama hiko na pengine anaweza kuwa hata Mwenyekiti. Hakuna swali juu ya utanashati wake kuanzia vivazi hadi nywele na hata kuongea. Anakumbuka utanashati wake ulianza toka alipokua mdogo sana, na wakati anakua si kama kila kitu alichokua anakitaka alikua anakipata ila alihakikisha vile vile vichache alivyokua navyo alihakikisha vinakua visaaafi na vinamkaa kweli kweli. Na tabia hiyo ya kujipenda na kuvaa vizuri ndo inamtambulisha Ommy Dimpoz kuwa ni mmoja wa wasanii wanaovaa vizuri zaidi hapa barani Afrika.
Omary amekua analelewa na Bibi yake baada ya Mama yake kufariki akiwa mdogo. Anakumbuka mapenzi ambayo amekua akimuonyesha toka zamani, ni kweli kama mtoto lazima utakua unamkumbuka Mama yako, ila Bibi yake alihakikisha anapata vile vyote ambavyo mtoto anakua anahitaji.
Mimi na Omary ni mtu na Rafiki yake kwahiyo mazungumzo haya zaidi yalikua ni kwaajili yako, uweze kumuelewa na kuifahamu milima na mabonde ambayo ameyapitia mpaka leo hii unamuona kasimama imara.
Kama mtoto siku zote unakua unataka kumjua Baba yako na haikua tofauti kwa Ommy pia. Shuleni watoto huitwa na wazazi wao, ukiwaona wenzako wanawaleta Baba zao na wewe hujawahi kumuona au pengine ni kwa nadra sana lazima likutie unyonge. Anakumbuka Mama yake alivyofariki na jinsi ambavyo Mzee wake alikata mawasiliano ki lazima kabisa, anakumbuka kwamba Mzee wake tayari alikua na familia nyengine lakini kama mtoto anaamini na yeye pia alikua na haki ya kupata mapenzi hata kidogo tu kutoka kwake.
Miaka ya hivi karibuni Mzee wake ameonekana kuutaka ukaribu nae kwa kasi kubwa sana ila kwa Omary huo umekua kama mtihani hivi, ana kinyongo nae bado na anaamini kwamba Mzee wake anataka kuwa karibu na yeye kwasababu tu ameona mwanae amekua maarufu na pengine anaonekana mambo yake mazuri. Hapo ndo panapo mtatiza yeye maana anaamini huo si upendo wa dhati, na hiyo ni sababu ya yeye kuendelea na maisha yake bila ya Baba yake. Pengine kuna siku itafika wawili hawa wataacha tofauti zao zipite na pengine watafahamiana vizuri na kuyafanya mahusiano kama Baba na mwana yastawi.
Pia tunafahamu kwamba miaka miwili na nusu au mitatu iliyopita Ommy aliumwa sana, na baadhi ya watu walithubutu kusema pengine hata kuimba inaweza isiwezekane tena ila kwa Rehma za Mwenyezi Mungu alimponya na kazi yake ya muziki anaendelea kuifanya kama kawaida. Nimekua nikispend nae muda mwingi kipindi ambacho tumekua tukifanya Bongo Star Search msimu wa kumi na mbili mimi na yeye, na kwasababu tumekua tukifahamiana kwa muda nimemuona kabisa hayuko 100% ila mimi na yeye tunamshkuru Mungu kwa hali alonayo sasa maana mitihani aliyopitia ni mingi sana. Haya maisha ambayo anaishi sasa ni zawadi kubwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu, na hatuna budi kumshukuru yeye kwa kumpa watu kwenye maisha yake ambao walihakikisha anapata matibabu yote ya hali ya juu ili maisha yake yaweze kurudi kama zamani.
Huku hilo hatukulizungumzia sana maana limeshaongelewa sana, ila tume ongea suala la ukuaji wake na mahusioano yake na familia. Urafiki wake na TID na jinsi walivyokutana. Urafiki wake na Ally Kiba, maisha yake ya shuleni na jinsi alivyokua. Urafiki wake na Diamond Platnumz na nini kilitokea kati yao. Muziki wa kizazi kipya na faida ambazo watu wana pata sasa na mahusiano yake na Chriatine ‘Seven’ Mosha na nini ambacho kimemfanya yeye afanye nae kazi. Pia tumezungumzia kutofahamiana kwake na meneja wa Diamond Platnumz Bwana Sallam Sharaff na Ommy emetuambia pia wawili hao maneno hasa yalianza kutoka wapi.
Yangu matumaini uta enjoy maongezi haya na utaokota mawili matatu pia ambayo yatakusaidia kwenye maisha yako ili mambo yazidi kuwa mswano.
Tafadhali Enjoy.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 80

  • @susannesusie3217
    @susannesusie3217 Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂 nilivyoona tuu salama na ommy nilijua leo nikuchekaaa saana na kujifunza saanaaa one love ❤️ salama❤️❤️❤️❤️❤️

  • @sayeedmash6928
    @sayeedmash6928 Жыл бұрын

    Salama thanks so much for inviting him actually he is a very nice guy very handsome and Ana kaa mpele na heshima zaka ata the way he talks he is very polite person I like him so much he is one of celebrities na mkubali sana👌🔥🔥🔥🔥🥰🥰🥰🥰❤️♥️💋🌹🌹❤️♥️🥰🥰

  • @HOLY10092
    @HOLY10092 Жыл бұрын

    Salama naomba siku moja umhoji joel nanauka motivational speaker 🔊 👏

  • @abdulraazzaqshamsan6482

    @abdulraazzaqshamsan6482

    Жыл бұрын

    Hapo hata me nakuunga mkono tutapata mengi sana ya muhimu

  • @xasaxuma9835
    @xasaxuma9835 Жыл бұрын

    One thing Salama Gonna do is keep her Notes!!!

  • @thebeneficialknowledge3399
    @thebeneficialknowledge3399 Жыл бұрын

    The best podcast in East Africa, no cap. Salute 😊

  • @jonahbirgen6946
    @jonahbirgen6946 Жыл бұрын

    Ommy Dimpos much love from Kenya

  • @msafirimsafiritraveller8392
    @msafirimsafiritraveller8392 Жыл бұрын

    Salama na haujawahi niangusha big up sana madam 👊👊👏

  • @tanm2122
    @tanm2122 Жыл бұрын

    For sure salama muda hautoshiiiiii..............tuongezee muda wa interview jmn...we need moreeeee

  • @christianshayo1797
    @christianshayo1797 Жыл бұрын

    More appreciation to you salama....

  • @arleneilunga9202
    @arleneilunga9202 Жыл бұрын

    Kweli nimeanza ku kupenda kupitia nai nai 😍 na mpaka leo iko kati ya nyimbo zangu pendwa duniani🤗🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @AfiSoul103
    @AfiSoul103 Жыл бұрын

    Salama naomba ombi moja.. naomba umlete Joel Arthur Nanauka.. mwandishi na mhamasishaji, anamengi ya kutujuza... Much love.. Afi.. from Spain 🌻

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Жыл бұрын

    Mungu nimwema Sana nimeuona ukuu waMungu kupitia Ommy nakuombea usimuache Mungu endelea kumuamini kila siku nakumtumikia

  • @abdallahyombe4434
    @abdallahyombe4434 Жыл бұрын

    Napenda sana kipindindi chako I love you Salama

  • @mkaapwekekariakoo6417
    @mkaapwekekariakoo6417 Жыл бұрын

    Mungu Amrehemu "napenda sana Salama anavojali"

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas3809 Жыл бұрын

    😂🤣🤣🤣 Omi anazingua sana ujue

  • @bakariomary5781
    @bakariomary5781 Жыл бұрын

    Ni yeyeeeeee watoto wadogoooo hahahahaha napenda sana vibweka vya T.I.D

  • @Alex25Mapesa
    @Alex25Mapesa Жыл бұрын

    Watching from Seychelles

  • @salimbazmul5806
    @salimbazmul5806 Жыл бұрын

    Salama Binti Jabir Show Zako Hazijawahi niangusha Big Up Kila Hatua Zaidi#Bigup

  • @irenejohn6909
    @irenejohn6909 Жыл бұрын

    nimpendae

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣 ati Testar 😉❤ 🇹🇿🇨🇭

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын

    *Dimpoz* umenichekesha😀😀😀, na kutembea pia nikujifunza

  • @fathumramadhan7567
    @fathumramadhan7567 Жыл бұрын

    napenda sana vipindi chako sana watching from Qatar Doha nakubali sana

  • @ziyandamhlana8776

    @ziyandamhlana8776

    Жыл бұрын

    Jah bress you mungu akubaliki

  • @stevewanga957

    @stevewanga957

    Жыл бұрын

    huko pande gani Fatma...mm niko Wakra

  • @athmanrajab7740

    @athmanrajab7740

    Жыл бұрын

    Kwangu Pia From Doha

  • @fathumramadhan7567

    @fathumramadhan7567

    Жыл бұрын

    @@stevewanga957 mi niko umm salal Muhammad Al kheesa

  • @sulleyally5040

    @sulleyally5040

    Жыл бұрын

    Mambo vp

  • @yusuphwilliam5343
    @yusuphwilliam5343 Жыл бұрын

    Kipindi kizurii sana🇹🇿❤

  • @godwinbayda133
    @godwinbayda133 Жыл бұрын

    Rockeeee

  • @Hassanchora
    @Hassanchora Жыл бұрын

    Great interview salama from zanzibar

  • @desderyanatory6671
    @desderyanatory6671 Жыл бұрын

    Nakuona bwana LAVEES

  • @malolo_tv1243
    @malolo_tv1243 Жыл бұрын

    Pozi kwa pozi

  • @binkhalidame2754
    @binkhalidame2754 Жыл бұрын

    🤩🤩🙏🏻

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 Жыл бұрын

    Salama ni mmoja

  • @violetsangamysongs1815
    @violetsangamysongs1815 Жыл бұрын

    Uko vzr sana dada, dada, Yesu anakupenda sana na anakuita uje kwake

  • @yolamshaban4387

    @yolamshaban4387

    5 ай бұрын

    😮😮😮

  • @Bbwaoy
    @Bbwaoy Жыл бұрын

    Swali la Neymar na Pele. Ommy kali jibu kisomi naki technical zaidi… safi. Exposure nzuri.. angekua mwingine hapo ange leta tantalita nyiiingiii.

  • @bongoklan274
    @bongoklan274 Жыл бұрын

    Hiyo ya Pele v Neymar.. binafsi naona tofauti .. Pele alifanya yale maajabu kwenye mfumo duni; ingekua sasa hivi, with all stuff related to soccer, angekua even better .. way better than Neymar

  • @muniramunira9941
    @muniramunira9941 Жыл бұрын

    🔥🔥🔥

  • @pena_tz
    @pena_tz Жыл бұрын

    dimpoz hiyo album unaanda miaka sita 😂😂

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Жыл бұрын

    🌟

  • @kamilagwajuma8384
    @kamilagwajuma8384 Жыл бұрын

    Ana jua kuimba ila sio mwandishi mzuri

  • @mimiummie
    @mimiummie Жыл бұрын

    💯

  • @rahyakikoti9537
    @rahyakikoti9537 Жыл бұрын

    Ommy😅😅😅🤣🤣🤣

  • @sabanajr6455
    @sabanajr6455 Жыл бұрын

    Shangazi naomba mlete na p funk majani

  • @yusufmalangu9797
    @yusufmalangu9797 Жыл бұрын

    salama tuongeze muda

  • @donatelouzi54
    @donatelouzi54 Жыл бұрын

    🚀

  • @yusufmalangu9797
    @yusufmalangu9797 Жыл бұрын

    mchiz ana unyama

  • @gracejosephy2242
    @gracejosephy2242 Жыл бұрын

    Mlete abby chams

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 Жыл бұрын

    Is true this is interview Doctar dre alihangaika

  • @ramseyjissah5030
    @ramseyjissah5030 Жыл бұрын

    My favourite ❤ yahstone town

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Жыл бұрын

    Hiyo juice ya baridi vipi nawe una tatizo la Koo?!

  • @egnokapinga16
    @egnokapinga16 Жыл бұрын

    Ommy akili kubwa.

  • @tausonsamwel8736
    @tausonsamwel8736 Жыл бұрын

    Ommy dimpoz guy never disappoint

  • @jamillahshabani7961
    @jamillahshabani7961 Жыл бұрын

    Salama fight basi tuwe tunakuona na Azam kipindi chako ni kizur sana

  • @siyamanda7073
    @siyamanda7073 Жыл бұрын

    I SEE THAT OMMYDIMPOZ IS IN BIG RISK OF HIS HEALTH. I DONT DEE HIM IS IN GOOD CONDITION

  • @zulekha2007
    @zulekha2007 Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @SamirBSam
    @SamirBSam Жыл бұрын

    uyu demu mzuri mashaallah, nipeni number plz nitowe mahari kwa uyu mtoto wakizanzibar💙💙

  • @evancetarimo900

    @evancetarimo900

    Жыл бұрын

    Maliza kwenye lipa namba hapo juu tukale pilau mwanangu

  • @justinmganiwa2790
    @justinmganiwa2790 Жыл бұрын

    mlete nanauka

  • @user-sp3gg7id8q
    @user-sp3gg7id8q Жыл бұрын

    Ommy dimpoz aliposema diamond ananunuwa views diamond alipanic nakumtuka ommy matusi ya laana but ommy twajuwa kuwa ulikuwa unatetea mziki wa tanzania na east African one day watu wengi watakupa respect unayo deserves huyo diamond ni mwizi wa views na subscribers feki ni times ya basata kumwita huyu mwizi maana anakandamiza wanamziki watanzania na east African yeye mondi anajibostia views wamilioni 50,00000+ karibu kila video na wasanii wake anawabostia 20,000000 na hizo views humpelekea apate nomination kwenye awards za nje ya nchi na kualikwa kwenye vile vitamasha lkn shows zake huko London or marekani anaparfome kwenye kitchen party kama harmonize.

  • @saidjumasaid3924

    @saidjumasaid3924

    Жыл бұрын

    Usikubali kubebeshwa chuki, chuki maisha yote humiathiri mtu aliokuwa nayo Kwanini diamond akipata views kidogo hausemi kitu,akipata nying kanunua, akikosa tunzo husem kitu,akipata nyingi kanunua, akijaza show show sio yake, Mungu amempa diamond na nafas yake anaitumia vizuur Punguza chuki NB Jambo lolote unaloliona linakuletea maslahi kwa maisha yako basi lifanye Kama kweli anafanya hivo kwa kuona maslahi basi mwache afanye na hao wengine kama wanataka kufanya basi wafanye

  • @user-sp3gg7id8q

    @user-sp3gg7id8q

    Жыл бұрын

    @@saidjumasaid3924 sasa wewe brother una IQ ngapi ? Maana haujiulizi huyo mondi ana views kuliko burna boy, wizkid, davido hata uwaunganishe watatu hawamfiki kwa views na kama hiyo haiku surprised anampita hata Kanye West kwa views 😀 but show zake huko marekani na London anaparfome kwenye kitchen party lkn hao wenye views na subscribers kidogo wanaparfome kwenye o2 arena London siku 3 mfululizo watu 20,000 tena tickets dakika 2 zishaisha, na unaposema wasanii wengine wanunue nao ! are you serious? Au unajipumbaza? Wasanii watanzania wengi kupata ile pesa ya kushoot video ni tabu alafu umwambie atoe pesa nyengine ya kuboost views ili nyimbo na video yake iyonekane imeenda mjini! Suluhisho ni hao wizi wa views wakatazwe kuiba.

  • @saidjumasaid3924

    @saidjumasaid3924

    Жыл бұрын

    @@user-sp3gg7id8q huna kingine zaid ya chuki kaka Hicho sio kipimo cha kusema kuwa ananunua views Hoja hizi ndio unajiona una IQ kubwa Hizi hata mtoto mdogo anakujibu ati

  • @mrmweusi592
    @mrmweusi592 Жыл бұрын

    Mlete nanauka

  • @rashidsuleiman2641
    @rashidsuleiman2641 Жыл бұрын

    Kipindi nikizuri

  • @muniramunira9941
    @muniramunira9941 Жыл бұрын

    🤣🤣

  • @rashidsuleiman2641
    @rashidsuleiman2641 Жыл бұрын

    Kipindi nikizuri

Келесі