KWA MARA YA KWANZA OMMY DIMPOZ AFUNGUKA YA BABA YAKE WA SUMBAWANGA “HAKUMZIKA MAMA,SINA MAPENZI NAE”
Жүктеу.....
Пікірлер: 949
@dianamsangawale9925 Жыл бұрын
Ommy muombee baba yako aishi maisha marefu ili azidi kuona mafanikio yako na iwe fundisho kwa wengine
@realscholarships-bolde.2344
Жыл бұрын
Ndio maana kasema ana muheshimu sana
@sauda1236
Жыл бұрын
Pole Kaka
@annwanjiru8897 Жыл бұрын
Umeogea ukeli kaa mimi baba mtoto wangu alikataa mtoto wangu nikiwa na miba.sasa hivi ajitokeze siwezi kubali na hiyo May God bless you
@elishajuma2615
Жыл бұрын
Xaxa xikaja kukusaidia kulea au nawew mtoto kaixhakua star
@lalyilaoman5800
Жыл бұрын
Tena huyo mzee chizi, haupati laana yoyote mm mtt wang hajawai hata kumuona baba yake mm ndio kila kitu anasubir kesho na kesho kutwa waje walalamike mm baba wafulan nawachukia mababa suruali
Mjifunz sasa dad zetu msipend kutegeshea wat mimba kila kitu ni makubalian ya wawil uko sik zako za hatr tumia soksi atak sepa mtakuw masing parent wa kutosh kam hamjitambui..
@HellenRanny Жыл бұрын
Kwa yeyote anaeona kama OMMY anakosea, trust me hajavaa viatu vyake pindi alipokua anapitia ugumu wa maisha..cz am sure if u do sidhan km kuna mtu angekaa upande wa baba mtu!!!🥺🥺🥺 🙏🏾Tusiwe wepesi kuJUDGE na kumkandamiza mtt kusamehe au kumuhudumia mzaz wake cz nobody knows a story behind maisha ya kutelekezwa!! 🙇🏽♀️I can relate ndomana namuelewa Dimpoz.. “THE STRUGGLE IS REAL!!!!🙌🏿” Acheni tu..🤦🏽♀️
@biggysantos4903
Жыл бұрын
Especially siku alimppoteza mamake alafu hakupata hata pole kutoka kwa baba!!! you feel like dunia imeisha!
@restitutorcharles4253
Жыл бұрын
Ni kweli kbx jmn unakuta baba anaombwa tu ht kumhudumia mtt anakujibu anavyojua
@lgdnce8309
Жыл бұрын
upo saiii hata mm iyo imenitokea
@kallandoshija5121
Жыл бұрын
Msamaha ni kila kitu kwa maisha yake
@kelvinmasele9008
Жыл бұрын
P
@Baby-ps3xk Жыл бұрын
Story yako ommy ni kama ya mwanangu mungu akusimamie kwa kila japo mkatae saba mara sabini
@ladyr.hamsini2311 Жыл бұрын
Wa llahi 😭 dimpozy tupo pamoja 🤝 Sana kakangu,na nimekupenda buree 🥰wa nataka waume hii iwe dawa kwa waume wote
@makoledukani6425
Жыл бұрын
Nikwel
@husnasamdia4176
Жыл бұрын
Alhamdulilla, Mimi nimelea mtoto wangu ,ikiwa na mimba aliambiwa ukinitaja nitakuwa,basi nimelea mtoto wangu, kwakweli nashukuru mwenyenzi Mungu,Leo hii mwanangu ananipenda
@eugeniaevarist1697 Жыл бұрын
Kuwa baba sio kuwa na watoto, kuwa baba ni kuwajibika kwa wototo. Ommy D big up brother. Hakuna laana yeyote itakayokupata kutoka kwa mtu ambaye hakuwajibika
@paskaziasholla7471
Жыл бұрын
Anatakiwa kusamehe
@ahz6907
Жыл бұрын
Kwanza anayetoa laana ni mungu si binadamu
@aishajuma18
Жыл бұрын
Yana watu banah wanaona rahisi sana kusamehe sijui wao wangeweza kusamehe gafra gafra tu
@lailaoman3856
Жыл бұрын
Sana,na baba ana zambi itakompata kumtenga omi,maana siwa alali yake,zambi itabakia kwenye uzinifutu
@lailaoman3856
Жыл бұрын
@@ahz6907 nakwanza amusu kwasababu si baba yake,yani omi kapatikana nnje yandoa uslam,ndounavyo sema mtoto wannje yandoa ni wamama, siwa baba duniani mbaka fil akhera
@elizabethmwalukomo9949 Жыл бұрын
Wazazi upande wa wanaume mjifunze hapa jamani,, Wazazi kama hawa wapo wengi sana,, ukijua kuzaa jua na kulea watoto bila kubagua,FUNZO HILO. Pole sana Ommy I wish angekuwepo mama yako aenjoy maisha😪
@katetejoseph7290 Жыл бұрын
Safi sanaaaa Ommy, kila mtu apambane n hali yake...
@evajoseph2491
Жыл бұрын
Mwijaku anatabia za hovyo sana
@itNeza Жыл бұрын
Ommy Big Up Mafunzo Haya tena yanatufunza Sisi Vijana. ( Nipo na Wewe 100% ) ❤️✅☑️
@dinnahsamwel9607 Жыл бұрын
Well said jamani 🥺 Mungu anipe umri mrefu nimlee mwanangu Imani♥️🙏
Najiulizaga kila siku mzazi mwenzangu aliniambia hataki mtoto wa kike kwa mdomo wake na kwa vitendo hajawahi kumhudumia Toka mimba mpaka Leo hajui anaitwa nani hajui anaishi wapi miakq kumi na mitano sasa namwomba Mungu tu anikuzie asome amche Mwenyezi Mungu awe na maisha mazur na mwisho akifanikiwa kumwona baba yake amuulize kwa nini alisema hataki mtoto wa kike kwa nn hakumtunza kwa nn hakua anajua hata jina lake na kwa nn sasa amwite baba ?
@nurukiwia93
Жыл бұрын
pole tupo wengi mama
@mamananga2849
Жыл бұрын
Khaaaaa mawazo yake tasa kweli
@reganshao
Жыл бұрын
Dah ! Natamani nikufaham zaid lakin basi tu dada yangu ,pole sana , mtumaini Mungu kila wakati na usiongee chochote kuhusu huyo mwanaume nyamaza tu ,kuna siri kubwa katika kunyamaza ,hakika inaumiza ila we nyamaza tu
@sarahgaula2220
Жыл бұрын
Utasikia na yeye analalamika mtoto kamkataa
@raphaelnkwabi9676
Жыл бұрын
itakusaidia nini ?
@samwelizetii4479 Жыл бұрын
Nimekubali Sana broo tumetelekezwa wengi saivi maisha safi hata Mimi natamani Sana babayangu anitafute
Duh...hiii ni fact tupu I say...wababa tunafeli wapi kushindwa kuwashughulikia watoto zetu na wakati tumekula raha na mama zao kitanda kimoja then tunawaachia wamama wanateseka maskini na kudhalilika mitaani....Ila pia kijana OMY umeongea point kwny uislamu mtoto wa nje ya ndoa sio wa baba na hawarithiani hawa..So hili la kukutupa na kuzaa nje ya ndoa inatosha kumuwacha na yeye akala nyota ya jiwe....Imeisha hiyo iwe funzo kwa mababa wengine...I swear ya kwamba ntakula, kuvaa, kuishi na kulala na wanangu mpaka roho yangu itapochukuliwa...Love u my children.
@sherryeverest2522 Жыл бұрын
Ommy pole sana watoto wengi mnoo wanapitia hayo maisha wanaume wengi awapendi majukumu wanapenda ule muda wa kustaregeshana baada hapo wanasubiri wasikie mtoto wako ni mtu flan anaingiza mkwanja hapo ndipo anapotaka kuwa baba Wanaume tambuen ile mimba unayoikataa au yule mtoto unamtelekeza na kumkimbia ipo siku utatamani utambulike kupitia jina lake
@erickjmgema3923 Жыл бұрын
Mwijaku siku zote uwa ni mnafiki..sasa kama alikuwa ana jua hayo yote ali yaonyesha ya nini..ni kweli ata mimi baba yangu alini chukia ivyo ivyo ommy kama wewe..we piga kazi mungu ata kusimamia..
@sadamramadhan9887
Жыл бұрын
Mujaku katusaidia hadi tukajuwa stori hiyo
@kadilamore802
Жыл бұрын
Mwijaku mjinga..mnafiki mnafiki mnafiki tena
@somji_tz5389 Жыл бұрын
Mungu Anizidishie Kipato.. Kamwe Siji Kutelekeza Watoto Wangu.. Watoto Ndiyo Ndugu Wa Ukweli... Ommy Amkazie Huyo Dingi Mpaka Mwisho..
@rehemarwanda6039 Жыл бұрын
Pole sana Ommy Dimpoz wahenga walisema Fainali Uzeeni.....alidhani atakufa mapema Mungu kataka ayaone Matunda yako...Relax Happy birthday to U darling.
Watu wambezi tujuwane hapa omy kasema atakula nasisi ,💞💞
@blandiblandiblandi.blandi3063
Жыл бұрын
Ujakosea.kaka..baba.asiye.leya.mtt.ana.mana
@mtausi6995 Жыл бұрын
Kukosea kupo na kusamehe kupo,Achana na mitandao Omary msamehe baba yako alijikwaa na huna mzazi mwengine ebu rudisha upendo huyo ndio mzazi wako aliebaki mpendw maisha yaendelee .Hivi ndivyo pepo inavyotafutwa maneno ya watu yasikuvuruge. Nakushauri msamehe baba alafu utaona maisha yako yatavyonyooka zaidi
@zaitungosbert9495 Жыл бұрын
Dah inauma.sanaaa MUNGU nisaidie nimlee mwanangu awe na moyo kama wako nakupendaaa
@rehemabryson5101 Жыл бұрын
Uko vizuri ommy,wababa kama hawa wanastahiki na kupigwa na bastla kabisa,enzi anakula bataaa alijiona maisha yotee kayapitia fainali sasa ndio anaiona uzeeni shenzi kabisa.
@djkayumba Жыл бұрын
Mwijaku hanaga akili timamu huyo jamaa ni chizi mi nawambia
@einsteinmboje4730 Жыл бұрын
Mwijaku Ana Mambo Ya Kitoto Sana .. Anyways Utoto Ni Wa Kwake.... But ommy Yuko Sawa ,Mm Binafsi Nampenda Baba Yangu Coz Amenilea Na Kunipenda Na Mama Yangu The Same ... But Wasingefanya Hvyo Nisingekuwa Na Mapenz Nao .. Fullstop
@saraphinasahani5104
Жыл бұрын
Kama mie
@sergiopauloagostinho7322
Жыл бұрын
Ommy a djakoseia amioguea visury alikua na mama bila o pendo WA Baba Sasa leu mungu ka mbariki a me pata rizik ,Sasa uyo baba anataka kudjisogueza kwa Ommy sio visury aendelee na maicha yake,Samany mimi ni Moçambicano sidjui kwandica viry lugayeno.
@queenmollel6739 Жыл бұрын
Ila Ommy samehe mtendee wema japo kidogo, Mungu mwenyewe atakubariki
@bettymasitsa9504 Жыл бұрын
Ommy uko sawa kabisa ❤️❤️❤️wanajitokeza wakati watoto wako sawa
@mussangali1694 Жыл бұрын
Namuunga mkono ommy dimpoz maana yaliyonikuta yanafanana na situation ya maisha niliyopitia kabisa yani wazee wetu mfumo wa hovyo sana bila kujua anayepanga maisha ni mungu na sio mwanadamu maana nakumbuka hata me toka nimezaliwa sikuwahi kupata malezi wala huduma yoyote kutoka upande wa mzazi wangu wa kiume sasa je nitakuwaje na upendo zaidi kwao
@fatmachambo1188 Жыл бұрын
Pole sn kua n msimamu huo huo mungu azidi kukupigania inshallah kakangu
@onetoanotherglory2024 Жыл бұрын
Ommy Baba ni Baba analo la kukupa ,hata kama sio tajiri Amin nakuambia
@sanurahaji5194 Жыл бұрын
Mwijaku mnafiki sana na mchonganishi baba mtu mzima Hana hekma
@fredrickallan5437 Жыл бұрын
Umeongea ukweli kaka na mwijaku anakosea sana hasitumie njia ya kutafuta ugali wake kwa kuwatumia wazazi wa aina hiyo.
@michaelmotika5250 Жыл бұрын
Mwijaku hajitambui mnafiki Sana na yeye amuo yeshe baba yake!
@jamilalucas5274 Жыл бұрын
Yani umenitonesha ommy umenitonesha kidonda changu nakuombea kwa mw/mungu uwe baba Bora kwenye kizazi chako ♥️♥️🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@bigdad1816 Жыл бұрын
Well said Brother msamehe mzee wako sisi wote hapana duniani sisi wote ni wapita njia mimi mwenyewe Baba yangu Mungu hamrehemu alinitupa lakini nilipofanikiwa nikamsamehe na mpaka mauti yanamkuta nilimuuguza bila kuwa na chuki moyoni wala hasira wewe endelea kupigana lakini mzee msamehe wazee wetu wa zamani wengi uelewa wao ulikuwa mdogo na mazingila waliyokulia sio kama Leo our generation ni tofauti. Pls toa hasira chuki uchungu moyoni naona wewe ni mcha Mungu so forgive him and let it go na pia epuka kujibishana kwenye mitandao. Talk to him try to educated him.
@lalyilaoman5800
Жыл бұрын
Hakuna kusamehewa ale raha yy kwa msaada upi alioutoa kwake
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
Si babaake ndo mana kidini hawana uhusiano Wa baba na mtoto
@sarahgaula2220
Жыл бұрын
Huyo Mzee hautaji msamaha anachotaka ni msaada angekuwa anataka msamaha angekuja wakati hajafanikiwa
@bobjulieoneheartband
Жыл бұрын
Exactly hii dunia tunapitaaa amsamehe
@bobjulieoneheartband
Жыл бұрын
Ilaaa Mwijako has a very shallow Mind
@allysimon2800 Жыл бұрын
Hakuna aliyesahihi katika haya maisha msamehe baba yako amejifunza.
@kadilamore802
Жыл бұрын
Nyamaza wewe hayajakufika
@kilengagasper3924
Жыл бұрын
Kweli pengine angelelewa na baba now angekuwa mtu wa kawaida tu
@karibunyumbani3824 Жыл бұрын
Yaani ommy unetumia hekima Sana MUNGU akusimamie tu upo sahihi kabisa
@pujimontanapachino4958 Жыл бұрын
Ommy hupo sahii sana mpe mtaa tu huyo mzee ana mpango bro hata ukitazama maojiano ya yule mzee unatambua tu mzee yupo duniani kwaji yakuongeza idadi ya watu
@mariamone2406 Жыл бұрын
Msiterekeze watoto hata Kama humpendi mama wa toto mtumie hata matumizi kidogo
@zaydelabay9776 Жыл бұрын
SAFI SANA, WABABA NDIO WALIVYO KUKIMBIA WATOTO. IVYOIVYO
@harmonymattondo4042
Жыл бұрын
Mm Mama alinikibia na hajawahi kufanya chochote ktk maisha yangu.Hata aliposikia baba angu amefariki hakuja msibani wala hajawahi kuja kunijulia hali....
@zaydelabay9776
Жыл бұрын
@@harmonymattondo4042 pole sana lakini wababa ndio wanaongoza. Pole ulipata mama mbaya
@nurukidakule9468 Жыл бұрын
Barikiwa kaka sana, Mungu akutunze tu, Mungu HUWA ni wa huruma, hatuchukulii kama wanadamu wanavyotuchukulia, ukionekana ni wa nini leo, kesho thamani YAKO itaonekana
@petersimba3663 Жыл бұрын
Pole sana ommy dimpoz mungu alikunyanyua wewe kwasb baba yak alimsaliti vibay sana mama yak we usijl hakuna laana itakupat mungu yuko na ww ndo mana uko juu
@ameenaameena1224 Жыл бұрын
Naomba mungu watoto wangu wajekuwa na maisha mazuri baba yao ajeaumbuke kama huyu Mzee ninavyoteseka hivi mungu Ndo anajua
@dotnatajoseph2620
Жыл бұрын
Inshallah mungu yu pamoja nawe
@salumally926
Жыл бұрын
Ommy hakuna kitu kinauma kama kuishi na mzee mmoja alafu mtu anakukimbia anakuja kujileta piga chini kula Bata tu dogo.
@ameenaameena1224
Жыл бұрын
@@dotnatajoseph2620 Ameen🤲🤲
@fridamusa8152
Жыл бұрын
Inshallah mungu atamuumbua zaidi ya huyu
@aflahabdula4084
Жыл бұрын
Ameen Ameen atakufanyia wepesi mmungu
@mtanzaniahalisimungunimwem673 Жыл бұрын
Baba yako amekosea Sana.Lkn jukumu lako kumsamehe tyu bure na kushea nae baraka alizokupa Mungu. Usihesabu makosa maana Mungu angetuhesabia makosa Yetu, kweli tusingelikuwepo Leo.Shetani alimpotosha Baba yako akakukimbia,chunga shetani huyo huyo asikupotoshe na wewe umkimbue baba yako, ,maana mbele za Mungu mtakuwa na makosa yaliyo fanana wewe na baba pia
@ibrahimmakasi4690
Жыл бұрын
Usirahisishe hakuna shetani hapo.... Acha mzee nae asote kama alivyosota jamaa na hata laana haipo hapo
@juliusdonard933 Жыл бұрын
Pole ommy wazaz wa hvii weng sanaa ,hata mm nkiwa na jina baba angu aitokeza anadaim mm mwanae ,duuu ntachukua mdaa kumsameheee,ila msamehee tuu kaka
@sophierseyyd1162 Жыл бұрын
Achana nae asikuumize kichwa kula maisha alijua utakuja kuwa mwiz au alijua utkua mtu ambae haelewek Mungu anajua kuwaumbuwa watu km hao kajua utateseka ndo Kwanza Mungu anazid kukunyooshea Mm hap mjmzt mwanaume kanikataa akinambia nitoe au nitafute mwanaume mwingine sina mama Sina baba nailea mimb yang kwa tabu Sana Nina iman ipo siku CZ Allah hulipa hapahapa dunian shd ninazopitia kesh uje useme Nina mtt Wang ooh MTT Wang Aiseee 🙌🏼🙌🏼🙌🏼 Allah anipe nguvu nielee MTT Wang vyema InshaAllah 🙏🏼
@sheckycobb5240
Жыл бұрын
Asee nitafute wewe Dada, please,
@sophierseyyd1162
Жыл бұрын
@@sheckycobb5240 nakutafutaje
@hidayyahharoonsulhi8911 Жыл бұрын
Thnx bro for narrating such an inspirational story luv udea
@tifahhamiar8739 Жыл бұрын
Umeongea point Sana ommy..na hio iwafikie wababa kama Hao wenye roho za ubinafsi....na adhabu kwa juu Sana...yaani siwapendi na sio Sawa hata Kwa mwenyezi Mungu....sisi wote ni binadamu tunaitaji faraja na upendo niwe wa nje au wa ndani kwani mi mtoto kosa langu...hana aibu huyo mzee na wazee wote wenye tabia kama hizo
@alicembulumi6903 Жыл бұрын
sio wewe tu ommy ata sio wewe tu wengine baba walitukataa mpk mzaz kafa awakukubali kbs mungu anawaona wababa wote wanao kataa watto
@annababuya233 Жыл бұрын
Uko sahihi kabisa omy, maana wanaume wanachukulia pow sana kuwatelekeza watoto, haya ndo yanayotokea baadae, mungu akupe maisha zaidi ya hapo! Mungu pekee ndo anaratiba ya maisha ya Kila mtu
@African511 Жыл бұрын
Wazee wa sasa wanafer sana,hii situation inatokea sana kwenye hii life ikiwagonga hawa wazee,ndio wanaanza kufuatilia vijana wao,wakiwa wako safi kwa uchumi,wababa badilikeni acheni mambo hizi ninyi wazee.
@khadijashabaninimba7890
Жыл бұрын
Hakika kaka
@machachehardware5975 Жыл бұрын
Hapana mzee kwa jinsi alivyo si kwamba anashida sana. Mahitaji yake anakidhi mbona yuko vizuri anavyoonekana cha msingi amsamehe mzee wake maisha yaendelee kuna mengi katika ndoa
@sheckycobb5240
Жыл бұрын
Huyo Mzee mpenda kitonga, Mzee wa mjini
@gracemrope6198 Жыл бұрын
Ommy umenikumbusha mbaaali sana..umenipa mawazo sàana.ila pia umenitoa machozi🤲🤲🤲 🙏🙏🙏🙏
@zainasalum1110 Жыл бұрын
Mtoto wa nje ya ndoa ni mtoto wa mama kwahyo usiwe na wasiwasi upo sahihi
@sheckycobb5240
Жыл бұрын
Wasitokee mashehe waje wamuambie Dimpoz anakosea Kama Dini yenu tu inaagiza hivyo.
@stellakagemlo8095
Жыл бұрын
Kumbe hata alipokuwa anaumwa ommy baba hakuonekana .inasikitisha sn
@Legends_Interviews
Жыл бұрын
Yeah
@zainabujuma7870 Жыл бұрын
Nakuelewa sana dimpozi anaekulaumu hajajuauchungu wakulelewa namam pekeyake wakati baba yupo hataki kujua majukumiyake halafu leo anajitokeza baba fulani inauma Sana napole Sana nimeumia Sana wababa wanatakiwa wajifunze kutekeleza majukumu yawatoto hata kamaunamaisha magumu kiasigani hataupendo tu wamtoto muonyeshe lakini wapi mtu unakuta tangu azaliwe hamjui baba nababa yupo kweli hivi kweli mtoto akikua wataka akutambue Kama baba
@goldengordian6835 Жыл бұрын
Pole sn Bro... ua not alone! Tupo wengi! Kubwa ni Kusamehe na Kumtanguliza Mungu.
@charlesmatesorehani5012 Жыл бұрын
Uko sahihi kaka Mungu akubariki kwa kauri nzuri umetowa
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
Itambilike hiyi Mtoto wa nje ya ndoa sio wa Haramu Haram nikile kitendo walicho fanya wazazi Hamna Mtoto Anae tambua twaja kujuwa ukubwani Mungu Atusameh pole sana kweli Inaumaa wazazi wanao telekeza watoto sio poa hakki teseka na mwanao hujuwi ya kesho 🙏😥
@eyabdimaha3698
Жыл бұрын
Ni kweli
@naomymbuyu3058
Жыл бұрын
Kweli umefunza kitu
@dancun217 Жыл бұрын
Clouds maboya,,,,mwijaku mnafki
@anastaziajoseph7682 Жыл бұрын
Huyu mwijaku ni kichaa.hajuagi hata kuwa kuna mapito katika maisha ya watu wengine
@nasraabdallah850 Жыл бұрын
Kwanza Waleykum slm warhmatullah wabarakatu kaka ang hujaongea kibaya kaka uyomwijaku anasifa zakijinga kweli.unahaki yakutokuwa namapez kwamze wako. Wamezid kutelekeza watt hawa kinababa sas acha wjutie kwaza
@zubeirkhamisabdallah8090 Жыл бұрын
Ila dini inakuruhusu kama ulkuwa mtoto wa nnje ya ndoa sio babako huyo mama ndio kila kitu achana nae.
@stevenlugojeremia2323
Жыл бұрын
Zabeir Khamis Abdallah...Ni Dini Gani hiyo inayo elemea upande mmoja?? kuwa ukiwa mtoto wa nje ya ndoa kuwa huna baba?? na kwanini usiseme mama yake pia sio mama yake??
@mwajumayassir2251
Жыл бұрын
Dini inakataza mtoto ila zinaa inaruhusu
@abdallahally1309
Жыл бұрын
Umesha ommy una baya sio ww wazee Kam hao wapo wengi tu usjar
@isackmichael1571
Жыл бұрын
mwijaku unamamboo ya kishoga mbog
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
@@mwajumayassir2251 unakufuru,,,
@salmaadil7122 Жыл бұрын
Kwa dini yetu yakiislam huyo sio baba yako nawala humrithi wala hakurithi chochote kama ww umezaliwa nje ya ndoa...so upo sahihi tu wala huna dhambi broo ishi maisha yako...na jitahid umfanyie sadaka mamaako zitamfikia huko aliko nakumueka pahala pazuri.ammin
@bintik2311
Жыл бұрын
Salma nimependa ushauri wk.Safi.Allah akulipe
@Sheba4651
Жыл бұрын
Bila shaka yupo sahihi. Si babake.
@neemalema5312 Жыл бұрын
Tuacheni kumsema na kumlalamikia Mwijaku , Hili limetokea ni mipango ya Mungu tu kuwakumbusha wazazi wote wana wajibu wa kuwalelea watoto au mtoto. Pole Ommy
@mtonigamba8993
Жыл бұрын
Mwijaku needs to be human enougj not to cross certain bounderies regardless of his profession viti vingine ni personal sio for promotion he is heartless.
@zipporahogembo142 Жыл бұрын
Is a touching story but.. you have to forgive him manaake mahali ulipo ni kwa neema yake mwenyezi Mungu
@suleymanally1465 Жыл бұрын
Mwijaku uchale umezidi mpaka unakuwa bwege, hicho unachokifanya sio sfa Bali unamtia unyonge dimpoz kwa kutaka kwako misifa, na wote wenye akili timamu tumekudharau mnoo
@OmanCom-ky8tn Жыл бұрын
Vizuri omary achana nae mtt wa nnje ya ndoa ni mtt wa mama
@yfhff5268
Жыл бұрын
Safi sana ommy dimpoz endelea na maisha yako mazuri hakuna laana yoyote itakayo kupata kwa kumkataa baba alie kutelekezw ukiwa mdogo.kwanini mwinjanku asimchukue km baba wa ziada amsaidie.
@lailaoman3856
Жыл бұрын
Ujakosea nikweli
@tahiyasaeed Жыл бұрын
NAKU-SUPPORT 100% OMMY DIMPOZ HUYO MZEE ACHANA NAE KABISA KM ULIVOSEMA KIDINI KWANZA SIO HATA BABA YAKO. HUMRITHI WALA YY HAKURITHI ACHANA NAE…….
@restitutorcharles4253 Жыл бұрын
Nimejikuta natoa machozi😭 bro nisiongee sana Mungu awatunze wamama wote
@marckione5100 Жыл бұрын
Uko sahihi ila msamehe maana hata Mungu atajitukuza juu wema wako
@zamdakimaro8040
Жыл бұрын
UMEONGEA POINT
@mammam4701
Жыл бұрын
Kabsa
@angelraphael8754
Жыл бұрын
Hamna kumsamehe,ili wengine wajifunze siku hizi wengi wanakimbia majukum ilighali wanajua watasamehewa.
@realscholarships-bolde.2344
Жыл бұрын
Kusamehe kasemehe...kunatofauti kubwa ya kusamehe na kujifunza. Kusamehe ni kuponya jeraha ila kujifunza hakuna hisia za mapenzi yeyote.
@saralema4589
Жыл бұрын
Naona hujamuelewa keshakwambia kua dini yke inasema mtt wa nje ya ndoa ni mtt wa mama Sasa wewe unasema amsamehe amsamehe hyo vpi lbda?
@fralex_1276 Жыл бұрын
Mwinjaku kayataka yote haya...SALUTE kwa dimpozi...
@mdta8161
Жыл бұрын
Mwijaku mie naona yupo sawa Sasa tungepata wapi ubuyu
@bettymasitsa9504 Жыл бұрын
The same way napitia ,baba mtoto wangu amekataa mtoto wangu now ako form one and ako poa
@dotnatajoseph2620 Жыл бұрын
Wababa wanajisahau Sana wanaona ya leo ya kesho hawayaon mungu akutie nguvu ommy
@sanaayetu4615 Жыл бұрын
Omyy dimpoz brother,!! Nakubali ulichokiongea nifact na ni point sana !! Wew pekeeako ndiye unayejua maisha uliyo yapitia kaka lakini ikumbukwe tuuh!! Hata kwenye kitabu cha Allah inajulikana kuwa ndie baba alie kutaa kiunoni mwake, haina budi kumweshu nakusamehe yote fadhila zitatoka kwa Mungu kakaangu mfanyie kheri baba ako kwakumshukuru kwanamna ya kukuleta duniani broo Nakuomba mpe fadhila ata kidogo coz ni baba mzazi uyo kula nae meza moja mwonyeshe upendo nayeye ndiye alie mpa furaha marehem mamaako kabula ya yote ayo huwez jua season behind ila muone ni mzazi roho ya kisasi kwenye damu yako usithubutu kurehemu Ndo ibaada kuu utamwambia nin Allah ikiwa kwa baba umesema Nooh!! 🙏🙏🙏 Naomba huu ujumbe umfikie ommy kwanamna yeyote please@mirady Ayotv
@fortunataangelo5575
Жыл бұрын
Mh! Mungu anisamehe
@abdallahathman8306
Жыл бұрын
Sio rahis kam unavodhan alaf ksheria mtoto wa nje ya ndoa hatambulk kidin yaan:baba hawez kumrth mtoto wala mtoto hawez kumrth baba kwahyo ksheria ya din hatambulk mtoto ni wamama kam ni wa nje yand0a
@winny973 Жыл бұрын
Ni kweli namjua huyo mzee tena huwa anajitangaza kabisa yeye ni baba wa ommy dimpoz, anajisifu balaa na bajaji yake pale sumbawanga mjini
@japhedoctor5040 Жыл бұрын
Ommy nimekuelewa sana piga kazi weweee
@aishafahdi8355 Жыл бұрын
Safi Sanaa nakuelewa Ommy na mim nakusii simama na msimamo wako huo huo!❤️❤️👍. Wengine watajifunza
@leiratykisura6718 Жыл бұрын
Wanaume wa kibongo wengi waho wanaroho mbaya wakisha gombana na mama watto wao wanaweka chuki mbaka kwa watto wanawasusa sio vzr mjue mtto unaemtelekeza kesho mungu anamuinua kuriko hao watto hunaowapenda kwa muda huo,sisi wa mama turiochiwa watto tunaptia mengi sana wababa wengi wapo ivyo wanakimbia majukum kwa kigezo atanitafuta tu sasa bola mnavyo wakomesha ivyo ivyo my bro nimefurai sana urivyo toa ushauri kwa waze wanaokimbia majukum mtto akikuwa hanajifanya ndio vidume na.ndio baba?
@aishaarusha894
Жыл бұрын
We hao sio wa bongo wakigoma
@unjuinkuganda1991 Жыл бұрын
STORY Yako na Yangu hazitofautiani sana.
@omarymakota8252
Жыл бұрын
Yaan na me
@lipulifreightforwarders1054
Жыл бұрын
tofaut ye kapga pcha na ronaldo
@floramlowe7078 Жыл бұрын
Mungu atusaidie tu kina baba mjifunze na ndo mnaongoza kwa kutelekeza watoto
@nasorhaji3064 Жыл бұрын
Dimpoz# msameh Baba na usiongelee yaliopita " inatosha "
@user-ob4ud6qh3j Жыл бұрын
Simpendi mwijaku mnafki Sana huyu Kaka 😠
@amanishiughaaa6345 Жыл бұрын
hakuna raan hap om huy Mzee hajakosa uchawi kwanza kaa naeh mbar
@ladyr.hamsini2311 Жыл бұрын
Upo sahii kaka omiy dimpozy hakuna laana yoyote itakayokupata
@husseinmaula5914 Жыл бұрын
Hapa tunacho Cha kujifunza wanaume tusikatae watoto hata kama wa nje ya ndoa hatujui kesho yetu.
@bahatikyusa8864 Жыл бұрын
Story yako ni kama ya mwanangu babaake arimkataa tangia yupo tumboni mpaka kazariwa bado anamkataa sasa anaumri wa miaka kumi na 2 napambana nae mwenyewe mungu yupo na hajawahi kutuacha
@simbaboymawe435
Жыл бұрын
Umalay wenu pia nao unachangia akuna chiz akatae mtot kama hamkua na migogoro ya fumaniz kweny mahusian
@allyrashid3732
Жыл бұрын
@@simbaboymawe435 yaan sababu za mtoto kukataliwa hawasemagi,kazi yao kulalamika tu ht ukweli wa jambo kasababisha yeye
@Sheba4651
Жыл бұрын
@Bahati Kyusa Huyo mwanaume alikuowa ama mlikutana guest tu. Sisi wanaume watoto wa short time huwa tunajua wana mababa hata mia, ukiwa uliolewa tena unatekelezwa hapo nakupa pole.
@fatimamv2723 Жыл бұрын
We are the same mm pia simjui babayng alinikataaa inauma sn 🥲
@hamed_nassoro
Жыл бұрын
Pole sana fatima
@fatimamv2723
Жыл бұрын
@@hamed_nassoro Asante ndo hivyo nmeshakuwa unajua watoto w kukataliwa ndo wengi wao ufanikiwa mm sai hata babangu atokee nitamwambia cjui
@rehemakasebele4232 Жыл бұрын
Naikumbuka nyimbo yako ya mama ulivyolia kwa uchungu kumbe ilikuwa kweli huna mama duu pole mzee
@majidisalumu3260 Жыл бұрын
Upo Sahihi Ommy, Ila Ayo Yote Achananayo Kaka, Nazani Hii Itawasaidia Wazazi Wengi Kujifunza Hili, Pia Ata Mimi Na Wengine Pia Bila Shaka Ni Wazazi Wajao Kwa Watoto Wajao, Vumilia, Msamehe Na Ikiwezekana Mpigie Simu Na Uzungumzenae Kama Mzazi.
@latifaalsh5421 Жыл бұрын
Yani ommiy wewe hiyo story yako ni Mimi kabisa kinaga ubanga hata mimi baba angu Sina mapenzi naye hata chembe Maan nimeteseka na mama angu hadi leo bado mungu ni mwema na dua la kuku halimpati mwewe dayma acha atangaze Lakin Allah ndo kinga yetu
@mubarakatwaha7776 Жыл бұрын
Hayo maisha tunayo wengi lkn tulisamehe kwa sababu mama zetu walituasa kusamehe, halafu ktk maisha yako Kama umeweza kutengeneza watu na wakakuthamini, na niwengi kuliko baba yako basi wanatosha kuwa baba zako, acha kisasi binaadamu tunakasoro nyingi sana, na uisilamu hauna deni ktk watoto wa aina zetu.
@selestinemchome7154
Жыл бұрын
Mambo ni mengi kwa ground,sema tu maza katangulia mbele za haki so hatujui ukweli,unawezakuta hata mama alimwambiaga huyu sio mwanao..ndio dingii akala kona
@lailaasked3570 Жыл бұрын
Da inauzunisha sana Pole sana huyu mwijaku ifike mahali ajiheshimu bwana kula raha zako kaja ommy achana nae
@marthakimia4075 Жыл бұрын
Pole sana na Hongera sana umewafundisha wa baba wengi wanaotelekeza watoto
@aishaaisha4082 Жыл бұрын
Ommy, i must commend you for having the courage to tell off that man how life goes. What makes you a man is not the ability to make a child, it is the courage to raise it. Ommy this man could be your biological father but he was not in your journey. Dont let him trap you na sarakasi zake
@kallandoshija5121
Жыл бұрын
Acha wenge wewe bila baba yake angekuwepo?? Msipende kuropokaropoka!! Heshima kwa baba lazima iwepo haijalishi ni baba wa dhambi gani!! Au unaongea kwa sababu ushabiki kuwa halisi
@gracekabuje4183
Жыл бұрын
Ommy uko sahihi kibisa nakuunga mkono bat wengi tumebitia hayo maisha mungu yuko pamoja nawewe sawa na ndomana Kuna maisha mengine baada ya maisha mengine
@truthmediatz861
Жыл бұрын
@@kallandoshija5121 huyo sio baba yake na dimpoz ni mzee aliyesaidia kurutubisha yai la mama dimpoz mataCall wewe
@kallandoshija5121
Жыл бұрын
@@truthmediatz861 kitanda hakizai haramu upo tena awe na heshima na adabu kwa legend wake!!
@truthmediatz861
Жыл бұрын
@@kallandoshija5121 kitanda cha nyoko !! ndo alishindwa ata kumzika mzaz mwenzie ! Oky hakua mkewe hamhusu , ata kumpa pole mwanae hakueza !! akala bati mazima ! uyo mzee ni kuma tu hakuna cha Legend ni kuma !!
@rehemamshiko6753 Жыл бұрын
Umeongea vizuri sana ommy kwakweri
@clementbulabo7771
Жыл бұрын
Kizazi hiki Mungu atusaidie mzazi ni mzazi tuu hatakama hakutoa hata mia kwako hizo ni bengu zake umetoka kiunoni mwake ujajileta duniani nawala usihisi kama unamukomoa kusema asiwe ukaribu nawewe mari tutaziacha hapa hapa duniani hatukuja na vitu hivyo nivitu vya kupita ila mzazi hapiti samahani ya mzazi iko pare pare hatakama alitaka kukua ukapona ila itabaki kuwa mzazi wako tuu nawaote mnao sapot mtu kutengana na baba yake fikirini kwa mara nyingine mzazi ni mzazi tuu
@mkadammkadam Жыл бұрын
Pole sana Ommy Dimpose pia hongera kwa ufafanuzi wako mzuri. Ni mtihani mkubwa lakini Mwenyezi Mungu Muumba atakuongoza.
@michaeljohn9070 Жыл бұрын
kazi ya kumuadhibu baba ako ,,sio yako ommy,,niya Mungu mwenyewe,,kumbuka pepo yako ipo chini yake,,, sisi watoto tunapaswa kuwa samehe wazazi wetu,,hatakama walitukosea sana,,lakini wao ndio chanzo cha uhai wetu,,wana daraja kubwa sana kwenye maisha yetu,,msamehe ,na muishi mazuri,,Mungu anapendezwa na maisha ya mapatano sio ugomvi,,mna mpa shetani nguvu na kuwa vuruga familia nzima ,,nakusihi sana ommy,,msamehe baba ako
Пікірлер: 949
Ommy muombee baba yako aishi maisha marefu ili azidi kuona mafanikio yako na iwe fundisho kwa wengine
@realscholarships-bolde.2344
Жыл бұрын
Ndio maana kasema ana muheshimu sana
@sauda1236
Жыл бұрын
Pole Kaka
Umeogea ukeli kaa mimi baba mtoto wangu alikataa mtoto wangu nikiwa na miba.sasa hivi ajitokeze siwezi kubali na hiyo May God bless you
@elishajuma2615
Жыл бұрын
Xaxa xikaja kukusaidia kulea au nawew mtoto kaixhakua star
@lalyilaoman5800
Жыл бұрын
Tena huyo mzee chizi, haupati laana yoyote mm mtt wang hajawai hata kumuona baba yake mm ndio kila kitu anasubir kesho na kesho kutwa waje walalamike mm baba wafulan nawachukia mababa suruali
@jackyluns8224
Жыл бұрын
@@lalyilaoman5800 pole,Mimi naita madumeee misuruali haswaa
@umarwa6915
Жыл бұрын
Ata mm
@123kerim23
Жыл бұрын
Mjifunz sasa dad zetu msipend kutegeshea wat mimba kila kitu ni makubalian ya wawil uko sik zako za hatr tumia soksi atak sepa mtakuw masing parent wa kutosh kam hamjitambui..
Kwa yeyote anaeona kama OMMY anakosea, trust me hajavaa viatu vyake pindi alipokua anapitia ugumu wa maisha..cz am sure if u do sidhan km kuna mtu angekaa upande wa baba mtu!!!🥺🥺🥺 🙏🏾Tusiwe wepesi kuJUDGE na kumkandamiza mtt kusamehe au kumuhudumia mzaz wake cz nobody knows a story behind maisha ya kutelekezwa!! 🙇🏽♀️I can relate ndomana namuelewa Dimpoz.. “THE STRUGGLE IS REAL!!!!🙌🏿” Acheni tu..🤦🏽♀️
@biggysantos4903
Жыл бұрын
Especially siku alimppoteza mamake alafu hakupata hata pole kutoka kwa baba!!! you feel like dunia imeisha!
@restitutorcharles4253
Жыл бұрын
Ni kweli kbx jmn unakuta baba anaombwa tu ht kumhudumia mtt anakujibu anavyojua
@lgdnce8309
Жыл бұрын
upo saiii hata mm iyo imenitokea
@kallandoshija5121
Жыл бұрын
Msamaha ni kila kitu kwa maisha yake
@kelvinmasele9008
Жыл бұрын
P
Story yako ommy ni kama ya mwanangu mungu akusimamie kwa kila japo mkatae saba mara sabini
Wa llahi 😭 dimpozy tupo pamoja 🤝 Sana kakangu,na nimekupenda buree 🥰wa nataka waume hii iwe dawa kwa waume wote
@makoledukani6425
Жыл бұрын
Nikwel
@husnasamdia4176
Жыл бұрын
Alhamdulilla, Mimi nimelea mtoto wangu ,ikiwa na mimba aliambiwa ukinitaja nitakuwa,basi nimelea mtoto wangu, kwakweli nashukuru mwenyenzi Mungu,Leo hii mwanangu ananipenda
Kuwa baba sio kuwa na watoto, kuwa baba ni kuwajibika kwa wototo. Ommy D big up brother. Hakuna laana yeyote itakayokupata kutoka kwa mtu ambaye hakuwajibika
@paskaziasholla7471
Жыл бұрын
Anatakiwa kusamehe
@ahz6907
Жыл бұрын
Kwanza anayetoa laana ni mungu si binadamu
@aishajuma18
Жыл бұрын
Yana watu banah wanaona rahisi sana kusamehe sijui wao wangeweza kusamehe gafra gafra tu
@lailaoman3856
Жыл бұрын
Sana,na baba ana zambi itakompata kumtenga omi,maana siwa alali yake,zambi itabakia kwenye uzinifutu
@lailaoman3856
Жыл бұрын
@@ahz6907 nakwanza amusu kwasababu si baba yake,yani omi kapatikana nnje yandoa uslam,ndounavyo sema mtoto wannje yandoa ni wamama, siwa baba duniani mbaka fil akhera
Wazazi upande wa wanaume mjifunze hapa jamani,, Wazazi kama hawa wapo wengi sana,, ukijua kuzaa jua na kulea watoto bila kubagua,FUNZO HILO. Pole sana Ommy I wish angekuwepo mama yako aenjoy maisha😪
Safi sanaaaa Ommy, kila mtu apambane n hali yake...
@evajoseph2491
Жыл бұрын
Mwijaku anatabia za hovyo sana
Ommy Big Up Mafunzo Haya tena yanatufunza Sisi Vijana. ( Nipo na Wewe 100% ) ❤️✅☑️
Well said jamani 🥺 Mungu anipe umri mrefu nimlee mwanangu Imani♥️🙏
@mufamozmufash166
Жыл бұрын
Amiin sote ln Sha Allahu
@dinnahsamwel9607
Жыл бұрын
🙏🙏
@mwalimumasoudy4699
Жыл бұрын
Ameen
BigUp brooo nimekubali ndo inavyotakiwa...Mimi nakuunga mkono 👊👊
Najiulizaga kila siku mzazi mwenzangu aliniambia hataki mtoto wa kike kwa mdomo wake na kwa vitendo hajawahi kumhudumia Toka mimba mpaka Leo hajui anaitwa nani hajui anaishi wapi miakq kumi na mitano sasa namwomba Mungu tu anikuzie asome amche Mwenyezi Mungu awe na maisha mazur na mwisho akifanikiwa kumwona baba yake amuulize kwa nini alisema hataki mtoto wa kike kwa nn hakumtunza kwa nn hakua anajua hata jina lake na kwa nn sasa amwite baba ?
@nurukiwia93
Жыл бұрын
pole tupo wengi mama
@mamananga2849
Жыл бұрын
Khaaaaa mawazo yake tasa kweli
@reganshao
Жыл бұрын
Dah ! Natamani nikufaham zaid lakin basi tu dada yangu ,pole sana , mtumaini Mungu kila wakati na usiongee chochote kuhusu huyo mwanaume nyamaza tu ,kuna siri kubwa katika kunyamaza ,hakika inaumiza ila we nyamaza tu
@sarahgaula2220
Жыл бұрын
Utasikia na yeye analalamika mtoto kamkataa
@raphaelnkwabi9676
Жыл бұрын
itakusaidia nini ?
Nimekubali Sana broo tumetelekezwa wengi saivi maisha safi hata Mimi natamani Sana babayangu anitafute
Safi sana Ommy! Ungekuwa maskini acngekutafuta.
Mmmmh Mzee umeongeaa kiumeee🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥 asa Mwijaku nae wakuumiza kichwaa Akili hamnaa yulee
Duh...hiii ni fact tupu I say...wababa tunafeli wapi kushindwa kuwashughulikia watoto zetu na wakati tumekula raha na mama zao kitanda kimoja then tunawaachia wamama wanateseka maskini na kudhalilika mitaani....Ila pia kijana OMY umeongea point kwny uislamu mtoto wa nje ya ndoa sio wa baba na hawarithiani hawa..So hili la kukutupa na kuzaa nje ya ndoa inatosha kumuwacha na yeye akala nyota ya jiwe....Imeisha hiyo iwe funzo kwa mababa wengine...I swear ya kwamba ntakula, kuvaa, kuishi na kulala na wanangu mpaka roho yangu itapochukuliwa...Love u my children.
Ommy pole sana watoto wengi mnoo wanapitia hayo maisha wanaume wengi awapendi majukumu wanapenda ule muda wa kustaregeshana baada hapo wanasubiri wasikie mtoto wako ni mtu flan anaingiza mkwanja hapo ndipo anapotaka kuwa baba Wanaume tambuen ile mimba unayoikataa au yule mtoto unamtelekeza na kumkimbia ipo siku utatamani utambulike kupitia jina lake
Mwijaku siku zote uwa ni mnafiki..sasa kama alikuwa ana jua hayo yote ali yaonyesha ya nini..ni kweli ata mimi baba yangu alini chukia ivyo ivyo ommy kama wewe..we piga kazi mungu ata kusimamia..
@sadamramadhan9887
Жыл бұрын
Mujaku katusaidia hadi tukajuwa stori hiyo
@kadilamore802
Жыл бұрын
Mwijaku mjinga..mnafiki mnafiki mnafiki tena
Mungu Anizidishie Kipato.. Kamwe Siji Kutelekeza Watoto Wangu.. Watoto Ndiyo Ndugu Wa Ukweli... Ommy Amkazie Huyo Dingi Mpaka Mwisho..
Pole sana Ommy Dimpoz wahenga walisema Fainali Uzeeni.....alidhani atakufa mapema Mungu kataka ayaone Matunda yako...Relax Happy birthday to U darling.
Umejitambua kijana dimpoz huyu mshikaji kakwama Kwann asikuite?
Watu wambezi tujuwane hapa omy kasema atakula nasisi ,💞💞
@blandiblandiblandi.blandi3063
Жыл бұрын
Ujakosea.kaka..baba.asiye.leya.mtt.ana.mana
Kukosea kupo na kusamehe kupo,Achana na mitandao Omary msamehe baba yako alijikwaa na huna mzazi mwengine ebu rudisha upendo huyo ndio mzazi wako aliebaki mpendw maisha yaendelee .Hivi ndivyo pepo inavyotafutwa maneno ya watu yasikuvuruge. Nakushauri msamehe baba alafu utaona maisha yako yatavyonyooka zaidi
Dah inauma.sanaaa MUNGU nisaidie nimlee mwanangu awe na moyo kama wako nakupendaaa
Uko vizuri ommy,wababa kama hawa wanastahiki na kupigwa na bastla kabisa,enzi anakula bataaa alijiona maisha yotee kayapitia fainali sasa ndio anaiona uzeeni shenzi kabisa.
Mwijaku hanaga akili timamu huyo jamaa ni chizi mi nawambia
Mwijaku Ana Mambo Ya Kitoto Sana .. Anyways Utoto Ni Wa Kwake.... But ommy Yuko Sawa ,Mm Binafsi Nampenda Baba Yangu Coz Amenilea Na Kunipenda Na Mama Yangu The Same ... But Wasingefanya Hvyo Nisingekuwa Na Mapenz Nao .. Fullstop
@saraphinasahani5104
Жыл бұрын
Kama mie
@sergiopauloagostinho7322
Жыл бұрын
Ommy a djakoseia amioguea visury alikua na mama bila o pendo WA Baba Sasa leu mungu ka mbariki a me pata rizik ,Sasa uyo baba anataka kudjisogueza kwa Ommy sio visury aendelee na maicha yake,Samany mimi ni Moçambicano sidjui kwandica viry lugayeno.
Ila Ommy samehe mtendee wema japo kidogo, Mungu mwenyewe atakubariki
Ommy uko sawa kabisa ❤️❤️❤️wanajitokeza wakati watoto wako sawa
Namuunga mkono ommy dimpoz maana yaliyonikuta yanafanana na situation ya maisha niliyopitia kabisa yani wazee wetu mfumo wa hovyo sana bila kujua anayepanga maisha ni mungu na sio mwanadamu maana nakumbuka hata me toka nimezaliwa sikuwahi kupata malezi wala huduma yoyote kutoka upande wa mzazi wangu wa kiume sasa je nitakuwaje na upendo zaidi kwao
Pole sn kua n msimamu huo huo mungu azidi kukupigania inshallah kakangu
Ommy Baba ni Baba analo la kukupa ,hata kama sio tajiri Amin nakuambia
Mwijaku mnafiki sana na mchonganishi baba mtu mzima Hana hekma
Umeongea ukweli kaka na mwijaku anakosea sana hasitumie njia ya kutafuta ugali wake kwa kuwatumia wazazi wa aina hiyo.
Mwijaku hajitambui mnafiki Sana na yeye amuo yeshe baba yake!
Yani umenitonesha ommy umenitonesha kidonda changu nakuombea kwa mw/mungu uwe baba Bora kwenye kizazi chako ♥️♥️🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Well said Brother msamehe mzee wako sisi wote hapana duniani sisi wote ni wapita njia mimi mwenyewe Baba yangu Mungu hamrehemu alinitupa lakini nilipofanikiwa nikamsamehe na mpaka mauti yanamkuta nilimuuguza bila kuwa na chuki moyoni wala hasira wewe endelea kupigana lakini mzee msamehe wazee wetu wa zamani wengi uelewa wao ulikuwa mdogo na mazingila waliyokulia sio kama Leo our generation ni tofauti. Pls toa hasira chuki uchungu moyoni naona wewe ni mcha Mungu so forgive him and let it go na pia epuka kujibishana kwenye mitandao. Talk to him try to educated him.
@lalyilaoman5800
Жыл бұрын
Hakuna kusamehewa ale raha yy kwa msaada upi alioutoa kwake
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
Si babaake ndo mana kidini hawana uhusiano Wa baba na mtoto
@sarahgaula2220
Жыл бұрын
Huyo Mzee hautaji msamaha anachotaka ni msaada angekuwa anataka msamaha angekuja wakati hajafanikiwa
@bobjulieoneheartband
Жыл бұрын
Exactly hii dunia tunapitaaa amsamehe
@bobjulieoneheartband
Жыл бұрын
Ilaaa Mwijako has a very shallow Mind
Hakuna aliyesahihi katika haya maisha msamehe baba yako amejifunza.
@kadilamore802
Жыл бұрын
Nyamaza wewe hayajakufika
@kilengagasper3924
Жыл бұрын
Kweli pengine angelelewa na baba now angekuwa mtu wa kawaida tu
Yaani ommy unetumia hekima Sana MUNGU akusimamie tu upo sahihi kabisa
Ommy hupo sahii sana mpe mtaa tu huyo mzee ana mpango bro hata ukitazama maojiano ya yule mzee unatambua tu mzee yupo duniani kwaji yakuongeza idadi ya watu
Msiterekeze watoto hata Kama humpendi mama wa toto mtumie hata matumizi kidogo
SAFI SANA, WABABA NDIO WALIVYO KUKIMBIA WATOTO. IVYOIVYO
@harmonymattondo4042
Жыл бұрын
Mm Mama alinikibia na hajawahi kufanya chochote ktk maisha yangu.Hata aliposikia baba angu amefariki hakuja msibani wala hajawahi kuja kunijulia hali....
@zaydelabay9776
Жыл бұрын
@@harmonymattondo4042 pole sana lakini wababa ndio wanaongoza. Pole ulipata mama mbaya
Barikiwa kaka sana, Mungu akutunze tu, Mungu HUWA ni wa huruma, hatuchukulii kama wanadamu wanavyotuchukulia, ukionekana ni wa nini leo, kesho thamani YAKO itaonekana
Pole sana ommy dimpoz mungu alikunyanyua wewe kwasb baba yak alimsaliti vibay sana mama yak we usijl hakuna laana itakupat mungu yuko na ww ndo mana uko juu
Naomba mungu watoto wangu wajekuwa na maisha mazuri baba yao ajeaumbuke kama huyu Mzee ninavyoteseka hivi mungu Ndo anajua
@dotnatajoseph2620
Жыл бұрын
Inshallah mungu yu pamoja nawe
@salumally926
Жыл бұрын
Ommy hakuna kitu kinauma kama kuishi na mzee mmoja alafu mtu anakukimbia anakuja kujileta piga chini kula Bata tu dogo.
@ameenaameena1224
Жыл бұрын
@@dotnatajoseph2620 Ameen🤲🤲
@fridamusa8152
Жыл бұрын
Inshallah mungu atamuumbua zaidi ya huyu
@aflahabdula4084
Жыл бұрын
Ameen Ameen atakufanyia wepesi mmungu
Baba yako amekosea Sana.Lkn jukumu lako kumsamehe tyu bure na kushea nae baraka alizokupa Mungu. Usihesabu makosa maana Mungu angetuhesabia makosa Yetu, kweli tusingelikuwepo Leo.Shetani alimpotosha Baba yako akakukimbia,chunga shetani huyo huyo asikupotoshe na wewe umkimbue baba yako, ,maana mbele za Mungu mtakuwa na makosa yaliyo fanana wewe na baba pia
@ibrahimmakasi4690
Жыл бұрын
Usirahisishe hakuna shetani hapo.... Acha mzee nae asote kama alivyosota jamaa na hata laana haipo hapo
Pole ommy wazaz wa hvii weng sanaa ,hata mm nkiwa na jina baba angu aitokeza anadaim mm mwanae ,duuu ntachukua mdaa kumsameheee,ila msamehee tuu kaka
Achana nae asikuumize kichwa kula maisha alijua utakuja kuwa mwiz au alijua utkua mtu ambae haelewek Mungu anajua kuwaumbuwa watu km hao kajua utateseka ndo Kwanza Mungu anazid kukunyooshea Mm hap mjmzt mwanaume kanikataa akinambia nitoe au nitafute mwanaume mwingine sina mama Sina baba nailea mimb yang kwa tabu Sana Nina iman ipo siku CZ Allah hulipa hapahapa dunian shd ninazopitia kesh uje useme Nina mtt Wang ooh MTT Wang Aiseee 🙌🏼🙌🏼🙌🏼 Allah anipe nguvu nielee MTT Wang vyema InshaAllah 🙏🏼
@sheckycobb5240
Жыл бұрын
Asee nitafute wewe Dada, please,
@sophierseyyd1162
Жыл бұрын
@@sheckycobb5240 nakutafutaje
Thnx bro for narrating such an inspirational story luv udea
Umeongea point Sana ommy..na hio iwafikie wababa kama Hao wenye roho za ubinafsi....na adhabu kwa juu Sana...yaani siwapendi na sio Sawa hata Kwa mwenyezi Mungu....sisi wote ni binadamu tunaitaji faraja na upendo niwe wa nje au wa ndani kwani mi mtoto kosa langu...hana aibu huyo mzee na wazee wote wenye tabia kama hizo
sio wewe tu ommy ata sio wewe tu wengine baba walitukataa mpk mzaz kafa awakukubali kbs mungu anawaona wababa wote wanao kataa watto
Uko sahihi kabisa omy, maana wanaume wanachukulia pow sana kuwatelekeza watoto, haya ndo yanayotokea baadae, mungu akupe maisha zaidi ya hapo! Mungu pekee ndo anaratiba ya maisha ya Kila mtu
Wazee wa sasa wanafer sana,hii situation inatokea sana kwenye hii life ikiwagonga hawa wazee,ndio wanaanza kufuatilia vijana wao,wakiwa wako safi kwa uchumi,wababa badilikeni acheni mambo hizi ninyi wazee.
@khadijashabaninimba7890
Жыл бұрын
Hakika kaka
Hapana mzee kwa jinsi alivyo si kwamba anashida sana. Mahitaji yake anakidhi mbona yuko vizuri anavyoonekana cha msingi amsamehe mzee wake maisha yaendelee kuna mengi katika ndoa
@sheckycobb5240
Жыл бұрын
Huyo Mzee mpenda kitonga, Mzee wa mjini
Ommy umenikumbusha mbaaali sana..umenipa mawazo sàana.ila pia umenitoa machozi🤲🤲🤲 🙏🙏🙏🙏
Mtoto wa nje ya ndoa ni mtoto wa mama kwahyo usiwe na wasiwasi upo sahihi
@sheckycobb5240
Жыл бұрын
Wasitokee mashehe waje wamuambie Dimpoz anakosea Kama Dini yenu tu inaagiza hivyo.
@stellakagemlo8095
Жыл бұрын
Kumbe hata alipokuwa anaumwa ommy baba hakuonekana .inasikitisha sn
@Legends_Interviews
Жыл бұрын
Yeah
Nakuelewa sana dimpozi anaekulaumu hajajuauchungu wakulelewa namam pekeyake wakati baba yupo hataki kujua majukumiyake halafu leo anajitokeza baba fulani inauma Sana napole Sana nimeumia Sana wababa wanatakiwa wajifunze kutekeleza majukumu yawatoto hata kamaunamaisha magumu kiasigani hataupendo tu wamtoto muonyeshe lakini wapi mtu unakuta tangu azaliwe hamjui baba nababa yupo kweli hivi kweli mtoto akikua wataka akutambue Kama baba
Pole sn Bro... ua not alone! Tupo wengi! Kubwa ni Kusamehe na Kumtanguliza Mungu.
Uko sahihi kaka Mungu akubariki kwa kauri nzuri umetowa
Itambilike hiyi Mtoto wa nje ya ndoa sio wa Haramu Haram nikile kitendo walicho fanya wazazi Hamna Mtoto Anae tambua twaja kujuwa ukubwani Mungu Atusameh pole sana kweli Inaumaa wazazi wanao telekeza watoto sio poa hakki teseka na mwanao hujuwi ya kesho 🙏😥
@eyabdimaha3698
Жыл бұрын
Ni kweli
@naomymbuyu3058
Жыл бұрын
Kweli umefunza kitu
Clouds maboya,,,,mwijaku mnafki
Huyu mwijaku ni kichaa.hajuagi hata kuwa kuna mapito katika maisha ya watu wengine
Kwanza Waleykum slm warhmatullah wabarakatu kaka ang hujaongea kibaya kaka uyomwijaku anasifa zakijinga kweli.unahaki yakutokuwa namapez kwamze wako. Wamezid kutelekeza watt hawa kinababa sas acha wjutie kwaza
Ila dini inakuruhusu kama ulkuwa mtoto wa nnje ya ndoa sio babako huyo mama ndio kila kitu achana nae.
@stevenlugojeremia2323
Жыл бұрын
Zabeir Khamis Abdallah...Ni Dini Gani hiyo inayo elemea upande mmoja?? kuwa ukiwa mtoto wa nje ya ndoa kuwa huna baba?? na kwanini usiseme mama yake pia sio mama yake??
@mwajumayassir2251
Жыл бұрын
Dini inakataza mtoto ila zinaa inaruhusu
@abdallahally1309
Жыл бұрын
Umesha ommy una baya sio ww wazee Kam hao wapo wengi tu usjar
@isackmichael1571
Жыл бұрын
mwijaku unamamboo ya kishoga mbog
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
@@mwajumayassir2251 unakufuru,,,
Kwa dini yetu yakiislam huyo sio baba yako nawala humrithi wala hakurithi chochote kama ww umezaliwa nje ya ndoa...so upo sahihi tu wala huna dhambi broo ishi maisha yako...na jitahid umfanyie sadaka mamaako zitamfikia huko aliko nakumueka pahala pazuri.ammin
@bintik2311
Жыл бұрын
Salma nimependa ushauri wk.Safi.Allah akulipe
@Sheba4651
Жыл бұрын
Bila shaka yupo sahihi. Si babake.
Tuacheni kumsema na kumlalamikia Mwijaku , Hili limetokea ni mipango ya Mungu tu kuwakumbusha wazazi wote wana wajibu wa kuwalelea watoto au mtoto. Pole Ommy
@mtonigamba8993
Жыл бұрын
Mwijaku needs to be human enougj not to cross certain bounderies regardless of his profession viti vingine ni personal sio for promotion he is heartless.
Is a touching story but.. you have to forgive him manaake mahali ulipo ni kwa neema yake mwenyezi Mungu
Mwijaku uchale umezidi mpaka unakuwa bwege, hicho unachokifanya sio sfa Bali unamtia unyonge dimpoz kwa kutaka kwako misifa, na wote wenye akili timamu tumekudharau mnoo
Vizuri omary achana nae mtt wa nnje ya ndoa ni mtt wa mama
@yfhff5268
Жыл бұрын
Safi sana ommy dimpoz endelea na maisha yako mazuri hakuna laana yoyote itakayo kupata kwa kumkataa baba alie kutelekezw ukiwa mdogo.kwanini mwinjanku asimchukue km baba wa ziada amsaidie.
@lailaoman3856
Жыл бұрын
Ujakosea nikweli
NAKU-SUPPORT 100% OMMY DIMPOZ HUYO MZEE ACHANA NAE KABISA KM ULIVOSEMA KIDINI KWANZA SIO HATA BABA YAKO. HUMRITHI WALA YY HAKURITHI ACHANA NAE…….
Nimejikuta natoa machozi😭 bro nisiongee sana Mungu awatunze wamama wote
Uko sahihi ila msamehe maana hata Mungu atajitukuza juu wema wako
@zamdakimaro8040
Жыл бұрын
UMEONGEA POINT
@mammam4701
Жыл бұрын
Kabsa
@angelraphael8754
Жыл бұрын
Hamna kumsamehe,ili wengine wajifunze siku hizi wengi wanakimbia majukum ilighali wanajua watasamehewa.
@realscholarships-bolde.2344
Жыл бұрын
Kusamehe kasemehe...kunatofauti kubwa ya kusamehe na kujifunza. Kusamehe ni kuponya jeraha ila kujifunza hakuna hisia za mapenzi yeyote.
@saralema4589
Жыл бұрын
Naona hujamuelewa keshakwambia kua dini yke inasema mtt wa nje ya ndoa ni mtt wa mama Sasa wewe unasema amsamehe amsamehe hyo vpi lbda?
Mwinjaku kayataka yote haya...SALUTE kwa dimpozi...
@mdta8161
Жыл бұрын
Mwijaku mie naona yupo sawa Sasa tungepata wapi ubuyu
The same way napitia ,baba mtoto wangu amekataa mtoto wangu now ako form one and ako poa
Wababa wanajisahau Sana wanaona ya leo ya kesho hawayaon mungu akutie nguvu ommy
Omyy dimpoz brother,!! Nakubali ulichokiongea nifact na ni point sana !! Wew pekeeako ndiye unayejua maisha uliyo yapitia kaka lakini ikumbukwe tuuh!! Hata kwenye kitabu cha Allah inajulikana kuwa ndie baba alie kutaa kiunoni mwake, haina budi kumweshu nakusamehe yote fadhila zitatoka kwa Mungu kakaangu mfanyie kheri baba ako kwakumshukuru kwanamna ya kukuleta duniani broo Nakuomba mpe fadhila ata kidogo coz ni baba mzazi uyo kula nae meza moja mwonyeshe upendo nayeye ndiye alie mpa furaha marehem mamaako kabula ya yote ayo huwez jua season behind ila muone ni mzazi roho ya kisasi kwenye damu yako usithubutu kurehemu Ndo ibaada kuu utamwambia nin Allah ikiwa kwa baba umesema Nooh!! 🙏🙏🙏 Naomba huu ujumbe umfikie ommy kwanamna yeyote please@mirady Ayotv
@fortunataangelo5575
Жыл бұрын
Mh! Mungu anisamehe
@abdallahathman8306
Жыл бұрын
Sio rahis kam unavodhan alaf ksheria mtoto wa nje ya ndoa hatambulk kidin yaan:baba hawez kumrth mtoto wala mtoto hawez kumrth baba kwahyo ksheria ya din hatambulk mtoto ni wamama kam ni wa nje yand0a
Ni kweli namjua huyo mzee tena huwa anajitangaza kabisa yeye ni baba wa ommy dimpoz, anajisifu balaa na bajaji yake pale sumbawanga mjini
Ommy nimekuelewa sana piga kazi weweee
Safi Sanaa nakuelewa Ommy na mim nakusii simama na msimamo wako huo huo!❤️❤️👍. Wengine watajifunza
Wanaume wa kibongo wengi waho wanaroho mbaya wakisha gombana na mama watto wao wanaweka chuki mbaka kwa watto wanawasusa sio vzr mjue mtto unaemtelekeza kesho mungu anamuinua kuriko hao watto hunaowapenda kwa muda huo,sisi wa mama turiochiwa watto tunaptia mengi sana wababa wengi wapo ivyo wanakimbia majukum kwa kigezo atanitafuta tu sasa bola mnavyo wakomesha ivyo ivyo my bro nimefurai sana urivyo toa ushauri kwa waze wanaokimbia majukum mtto akikuwa hanajifanya ndio vidume na.ndio baba?
@aishaarusha894
Жыл бұрын
We hao sio wa bongo wakigoma
STORY Yako na Yangu hazitofautiani sana.
@omarymakota8252
Жыл бұрын
Yaan na me
@lipulifreightforwarders1054
Жыл бұрын
tofaut ye kapga pcha na ronaldo
Mungu atusaidie tu kina baba mjifunze na ndo mnaongoza kwa kutelekeza watoto
Dimpoz# msameh Baba na usiongelee yaliopita " inatosha "
Simpendi mwijaku mnafki Sana huyu Kaka 😠
hakuna raan hap om huy Mzee hajakosa uchawi kwanza kaa naeh mbar
Upo sahii kaka omiy dimpozy hakuna laana yoyote itakayokupata
Hapa tunacho Cha kujifunza wanaume tusikatae watoto hata kama wa nje ya ndoa hatujui kesho yetu.
Story yako ni kama ya mwanangu babaake arimkataa tangia yupo tumboni mpaka kazariwa bado anamkataa sasa anaumri wa miaka kumi na 2 napambana nae mwenyewe mungu yupo na hajawahi kutuacha
@simbaboymawe435
Жыл бұрын
Umalay wenu pia nao unachangia akuna chiz akatae mtot kama hamkua na migogoro ya fumaniz kweny mahusian
@allyrashid3732
Жыл бұрын
@@simbaboymawe435 yaan sababu za mtoto kukataliwa hawasemagi,kazi yao kulalamika tu ht ukweli wa jambo kasababisha yeye
@Sheba4651
Жыл бұрын
@Bahati Kyusa Huyo mwanaume alikuowa ama mlikutana guest tu. Sisi wanaume watoto wa short time huwa tunajua wana mababa hata mia, ukiwa uliolewa tena unatekelezwa hapo nakupa pole.
We are the same mm pia simjui babayng alinikataaa inauma sn 🥲
@hamed_nassoro
Жыл бұрын
Pole sana fatima
@fatimamv2723
Жыл бұрын
@@hamed_nassoro Asante ndo hivyo nmeshakuwa unajua watoto w kukataliwa ndo wengi wao ufanikiwa mm sai hata babangu atokee nitamwambia cjui
Naikumbuka nyimbo yako ya mama ulivyolia kwa uchungu kumbe ilikuwa kweli huna mama duu pole mzee
Upo Sahihi Ommy, Ila Ayo Yote Achananayo Kaka, Nazani Hii Itawasaidia Wazazi Wengi Kujifunza Hili, Pia Ata Mimi Na Wengine Pia Bila Shaka Ni Wazazi Wajao Kwa Watoto Wajao, Vumilia, Msamehe Na Ikiwezekana Mpigie Simu Na Uzungumzenae Kama Mzazi.
Yani ommiy wewe hiyo story yako ni Mimi kabisa kinaga ubanga hata mimi baba angu Sina mapenzi naye hata chembe Maan nimeteseka na mama angu hadi leo bado mungu ni mwema na dua la kuku halimpati mwewe dayma acha atangaze Lakin Allah ndo kinga yetu
Hayo maisha tunayo wengi lkn tulisamehe kwa sababu mama zetu walituasa kusamehe, halafu ktk maisha yako Kama umeweza kutengeneza watu na wakakuthamini, na niwengi kuliko baba yako basi wanatosha kuwa baba zako, acha kisasi binaadamu tunakasoro nyingi sana, na uisilamu hauna deni ktk watoto wa aina zetu.
@selestinemchome7154
Жыл бұрын
Mambo ni mengi kwa ground,sema tu maza katangulia mbele za haki so hatujui ukweli,unawezakuta hata mama alimwambiaga huyu sio mwanao..ndio dingii akala kona
Da inauzunisha sana Pole sana huyu mwijaku ifike mahali ajiheshimu bwana kula raha zako kaja ommy achana nae
Pole sana na Hongera sana umewafundisha wa baba wengi wanaotelekeza watoto
Ommy, i must commend you for having the courage to tell off that man how life goes. What makes you a man is not the ability to make a child, it is the courage to raise it. Ommy this man could be your biological father but he was not in your journey. Dont let him trap you na sarakasi zake
@kallandoshija5121
Жыл бұрын
Acha wenge wewe bila baba yake angekuwepo?? Msipende kuropokaropoka!! Heshima kwa baba lazima iwepo haijalishi ni baba wa dhambi gani!! Au unaongea kwa sababu ushabiki kuwa halisi
@gracekabuje4183
Жыл бұрын
Ommy uko sahihi kibisa nakuunga mkono bat wengi tumebitia hayo maisha mungu yuko pamoja nawewe sawa na ndomana Kuna maisha mengine baada ya maisha mengine
@truthmediatz861
Жыл бұрын
@@kallandoshija5121 huyo sio baba yake na dimpoz ni mzee aliyesaidia kurutubisha yai la mama dimpoz mataCall wewe
@kallandoshija5121
Жыл бұрын
@@truthmediatz861 kitanda hakizai haramu upo tena awe na heshima na adabu kwa legend wake!!
@truthmediatz861
Жыл бұрын
@@kallandoshija5121 kitanda cha nyoko !! ndo alishindwa ata kumzika mzaz mwenzie ! Oky hakua mkewe hamhusu , ata kumpa pole mwanae hakueza !! akala bati mazima ! uyo mzee ni kuma tu hakuna cha Legend ni kuma !!
Umeongea vizuri sana ommy kwakweri
@clementbulabo7771
Жыл бұрын
Kizazi hiki Mungu atusaidie mzazi ni mzazi tuu hatakama hakutoa hata mia kwako hizo ni bengu zake umetoka kiunoni mwake ujajileta duniani nawala usihisi kama unamukomoa kusema asiwe ukaribu nawewe mari tutaziacha hapa hapa duniani hatukuja na vitu hivyo nivitu vya kupita ila mzazi hapiti samahani ya mzazi iko pare pare hatakama alitaka kukua ukapona ila itabaki kuwa mzazi wako tuu nawaote mnao sapot mtu kutengana na baba yake fikirini kwa mara nyingine mzazi ni mzazi tuu
Pole sana Ommy Dimpose pia hongera kwa ufafanuzi wako mzuri. Ni mtihani mkubwa lakini Mwenyezi Mungu Muumba atakuongoza.
kazi ya kumuadhibu baba ako ,,sio yako ommy,,niya Mungu mwenyewe,,kumbuka pepo yako ipo chini yake,,, sisi watoto tunapaswa kuwa samehe wazazi wetu,,hatakama walitukosea sana,,lakini wao ndio chanzo cha uhai wetu,,wana daraja kubwa sana kwenye maisha yetu,,msamehe ,na muishi mazuri,,Mungu anapendezwa na maisha ya mapatano sio ugomvi,,mna mpa shetani nguvu na kuwa vuruga familia nzima ,,nakusihi sana ommy,,msamehe baba ako
Umeniumiza stori yako ni kama yangu😭😭