No video

EXCLUSIVE: Baba Ommy Dimpoz Afunguka A-Z baada ya Maneno ya Ommy | "Nitazikwa na Manispaa"

FOLLOW US
Instagram: / tanzaniatrends
Facebook: web. tanzaniatren...
Twitter: / tanzaniatrends
EXCLUSIVE: Baba Ommy Dimpoz Afunguka A-Z baada ya Maneno ya Ommy | "Nitazikwa na Manispaa"

Пікірлер: 130

  • @bobsalim4285
    @bobsalim4285 Жыл бұрын

    Wacheni ujinga nyote wawili. Omy hajakasirika kuhusu interview zako,ameeleza ukweli kuwa hakujui kama baba koz hukuwepo katika maisha yake. Swali ni' ulikuwa wapi na kwann hukuwa ukimshughulikia. Omy hana 15yrs,ni mtu mzima,so maisha yoote utokee leo. Ushindwe.

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 Жыл бұрын

    Mm namsifu sana Mzee Kwa nn umbembeleze mtoto safi sana kuwa na msimamo huo Mzee mradi unajiweza mwenyewe piga kazi

  • @jesuspower2390
    @jesuspower2390 Жыл бұрын

    kwanza vyombo vya biashara ungeachana navyo tu vitakuvuruga muulize baba diamond

  • @tahiyasaeed
    @tahiyasaeed Жыл бұрын

    Mzee kwanza una dhambi ya zinaa, pili umemtia mimba mwanamke wa watu then ukamtelekeza. Tatu mtoto aliezaliwa pia hukumhudumia kwa chochote mpaka kawa mtu mzima tena star, halafu ww ndo unajitokeza kifua mbele ati baba yake. Mzee nakusihi bora ungekomaa vile vile ukauchuna tuu, kwanza ulikuwa sawa kumhudumia was ur choice haikuwa lazima kwako cos ni mtoto wa nje ya ndoa kidini sio mwanao. Lkn sasa hivi unaanza kufuja unang’ang’ania awe mwanao na unajuwa fika kuwa si mwanao kidini na humrithi na wala yy hakurithi. Bora tuliza mshono endelea na maisha yako na yy muwache na maisha yake km ulivomuwacha alipokuwa mtoto, period.

  • @jesuspower2390

    @jesuspower2390

    Жыл бұрын

    PILI maandiko yanasema '' UKIRICHO KWA KINYWA NDICHO UPOKEACHO'' huyu baba alisema yeye huya hatafuti watoto ila watoto ndio wanamtafuta yeye... sasa OMARY bado mdogo akikua atamtafuta analeta kelele za nini... ningekuwa OMARI ningemjibu baba bado sijakua nikikua ntakutafuta.😄

  • @actionscene4753

    @actionscene4753

    Жыл бұрын

    Kwani ww kwenu hakuna mtoto wa Zina na huenda hata ww ni wa Zina

  • @bakariathumani8105

    @bakariathumani8105

    Жыл бұрын

    Kabla yakutaja aibu yamwenzako.. je,wewe hujawahi kuzini?

  • @wilsonjonas5481

    @wilsonjonas5481

    Жыл бұрын

    Mbona maelezo mengi ommy kakosea Kwan Mzee alimuomba hela au kama ni dam yake ulitaka aseme nn maana Yale ni mayai yake

  • @innocentmtashobya1257

    @innocentmtashobya1257

    Жыл бұрын

    Ulivyoorozesha makosa ya mwenzio utafikiri ww huna dhambi..mnafiki mkubwa

  • @kushcultureralph568
    @kushcultureralph568 Жыл бұрын

    DAh kumbe mzee hana time!mzee wewe ni mwanaume hasa tena hasa!huyo bwege atakusaidia nini kwanza unaonekana huitaj msaada wa mtu!big up sana jembe wewe ni baba wa kuigwa!skia mzee huko dar wanaume wamekua mashoga!huyu tupa kule atafte baba yake anae mjua kwani anakusaidia nini wanskuza maada wakajua labda ni omba omba kama mzee abdul

  • @ashobozakabalimu9212
    @ashobozakabalimu9212 Жыл бұрын

    Kwa ufupi ulikimbia majukumu. Imeisha hiyo.

  • @mteulemnyama7858

    @mteulemnyama7858

    Жыл бұрын

    Ulikuwepo

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 Жыл бұрын

    Unajisifia au sio

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Жыл бұрын

    😂😂😂Nimeamini ukiwanajina ni shida baba ulikuwa wapi wakat ana teseka kijan wako mam alimtoka mapem

  • @badaral6167
    @badaral6167 Жыл бұрын

    Mzee ulikua na uwezo wa kulea omaly lakini ulimuacha baci endelea kumuacha Acha maneno mengi

  • @aishaally4831
    @aishaally4831 Жыл бұрын

    Mzee unababaika ujui hata unachoongea hiyo ndio inaitwa fainali uzeeni, ujana maji ya moto,

  • @siwonikewiliam5104

    @siwonikewiliam5104

    Жыл бұрын

    Huyo mzee yupo vizuri Hana njaa km unavyofikiria wewe

  • @mariamselemani1366

    @mariamselemani1366

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @rithatarimo2
    @rithatarimo2 Жыл бұрын

    Huyu mzee atulie kabisaaa abatapatapa hakumjua mtoto wakati wa shida na wakati wa raha iwe ivoivo sio mtu wakuhudumia watoto uyo

  • @gladnesskennedy6238
    @gladnesskennedy6238 Жыл бұрын

    Kwa hiyo huyo mzee ni mkongo tuanzie hapo kwanza

  • @landmadvdmbeyacity9561

    @landmadvdmbeyacity9561

    Жыл бұрын

    Hahahahaha

  • @fawzalbusayid7232
    @fawzalbusayid7232 Жыл бұрын

    Anajifanya kuongea kwa feelings ili aonewe huruma mm si kublock tu ninge sahau kabisa kama nna baba😂😏

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 Жыл бұрын

    Pole sana Mzee, ndii Uzazi huo na watoto wanalishwa Sumu nyingi sana na kina Mama bora huna unyonge Mzee wangu simamia Kwa unachoamini.

  • @truthmediatz861

    @truthmediatz861

    Жыл бұрын

    Mtoto atalishwa sumu sawa lakini actions speak loudeer than words ! Huyu mzee angekua na mapenzi na mwanae in any way mtt mwnyw anajiongeza lkn inavoonekana tabia za mzee na sumu za mama yalikua yanaendana

  • @ramaosman8060
    @ramaosman8060 Жыл бұрын

    ♥️ ! #Ljaystunner #LuckyHavana #LjayKitchens #NyamaChoma

  • @nuruabraham3769
    @nuruabraham3769 Жыл бұрын

    Ommy kaza Buti achana nae huyo, hata nyani ana baba asikusumbueeeee. Ambambane na Hali yake.

  • @ayubuomondi4911
    @ayubuomondi4911 Жыл бұрын

    Jina ulimpa ukiwa hujui kesho atakuwa nani kwahyo usijisifie kwa kumpa jina

  • @ericnzabonimpa765
    @ericnzabonimpa765 Жыл бұрын

    Alizaa kama nyoka na ajipiga kifua ‘´pumbavu

  • @providencekusinza7122
    @providencekusinza7122 Жыл бұрын

    Wewe uko mu congo original kabisa kwa majigambo ayo 😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @mariamibrahim6738
    @mariamibrahim6738 Жыл бұрын

    Mzazi ni mzazi tuiu ndugu zanguuu hata km akukulea bado ni mzazi tusitowe maneno mabay kwa mzazi

  • @sixbertmwakaluwa5665

    @sixbertmwakaluwa5665

    Жыл бұрын

    Kbs ndiyo maana ommy dimpoz hajaacha kutumia ubini wa baba yake

  • @sarahgaula2220

    @sarahgaula2220

    Жыл бұрын

    Kwani Ommy katoa neno gani Baya? Kasema Hana mapenzi nae mlitaka ajilazimishe na hakumlea?

  • @sixbertmwakaluwa5665

    @sixbertmwakaluwa5665

    Жыл бұрын

    @@sarahgaula2220 mengine ya family bhn

  • @s.flavor38
    @s.flavor38 Жыл бұрын

    Bora www kuliko mwenzio anajing'atang'ata Kule Tandale 😬😬😬

  • @litangongo2451

    @litangongo2451

    Жыл бұрын

    Mmaniema hawezi kujing'ata hata kdg akisema mafu basi kwisha hiy

  • @nyasizobonny805
    @nyasizobonny805 Жыл бұрын

    🙃🙃😉

  • @barakanatus5676
    @barakanatus5676 Жыл бұрын

    Omba msamaha kama kuna shm ulikosea siyo huna hoja

  • @truthmediatz861
    @truthmediatz861 Жыл бұрын

    Mzee kufa tu kibudu ! Unavuna umanyema wako leo ..

  • @angellamwanri8414
    @angellamwanri8414 Жыл бұрын

    Mzee huyu mkorofi... Jeuri... Roho mbaya... Halifai

  • @evanjau4481
    @evanjau4481 Жыл бұрын

    Ulikuwa baba bata kwan bata ajuwi kulea watoto mkisha ona watoto wamefanikiwa ndiyo wa baba lakini kabla ya hapo ni wamama egeandika ata kuku nini omy

  • @rosekaiza2716
    @rosekaiza2716 Жыл бұрын

    Mzee wa hovyooo! huyu mwe!

  • @fawzalbusayid7232
    @fawzalbusayid7232 Жыл бұрын

    Sio sababu kutokua na mawasiliano kipindi iko huyu mzee anatufa umaarufu na sifa

  • @mshikamanojames7610
    @mshikamanojames7610 Жыл бұрын

    Hamna mzee umefeli unajitafunasana

  • @omarimohammed8892
    @omarimohammed8892 Жыл бұрын

    Kaka Omi kwamaelezo yababa yako inaonekana anakutafutia matatizo anae ukumu mungu ulicho nacho msaidie auna bac ucongee mengi kaka we mtoto najua unaumia nanaelewa maumivu yakukosa malez yababa maana mmi mwenyewe nimepitia umoumo kaka kinywa maji pambana namaisha yako ucereze mengi utajiongeza maumivu kaka

  • @kushcultureralph568
    @kushcultureralph568 Жыл бұрын

    Jamani naombeni namba ya huyu mzee nna zawadi yake

  • @adaboychibu1659
    @adaboychibu1659 Жыл бұрын

    Kweli wee mzee wa kigoma mana watu wa huko kwa misifa hata wahaya wanasubiri

  • @hamzaswaibu9470

    @hamzaswaibu9470

    Жыл бұрын

    Ww kabira gani achana na kabira za watu

  • @stevenfumbi9566
    @stevenfumbi9566 Жыл бұрын

    Wananzengo wenzangu tuwe na uelewa wakutosha, mzee amesema hatafuti msaada wala hataki kusaidiwa

  • @mgallason...5686

    @mgallason...5686

    Жыл бұрын

    Wajinga hawawezi kumuelewa na wengi wanaangalia upande mmoja na kuhukumu bila kujua kilichotokea awali.

  • @faithkapondo5383
    @faithkapondo5383 Жыл бұрын

    Yaan hyu baba km mwanaume wng nlyezaa naye watoto wawil yaan wanapenda kujitetea ikiwa wamekosea,,,jmn Mung aniweke Dunian nlee watoto wng kwa roho nyeupe yeye ale tu ujana wanaume siku hz n shda kwa kwel

  • @omarimohammed8892
    @omarimohammed8892 Жыл бұрын

    Nymbani wanamkubar ungemtelekeza wee mzee nimshezi tu

  • @zahorokasentisenti6761
    @zahorokasentisenti6761 Жыл бұрын

    Mzaz ni mzazi tu alafu mzee hana shida ya msaada dimpoz acha maneno ya kuambiwa

  • @sarahgaula2220

    @sarahgaula2220

    Жыл бұрын

    Kaambiwa nini kwani matunzo yanahitaji kuambiww si unajua tu.

  • @wanaupendotv7183
    @wanaupendotv7183 Жыл бұрын

    Mmanyema wa Kwetu

  • @mwitamalwa2773
    @mwitamalwa2773 Жыл бұрын

    Mzee ww ndo ulikosea unapiga mimba mtoto wawatu unalaza mbee kwel

  • @gracekessy9150
    @gracekessy9150 Жыл бұрын

    Mungu anawapa umri mrefu ili mteseke kama hivi😂

  • @tukolivemedia

    @tukolivemedia

    Жыл бұрын

    Wewe ndo wale wakina mama mnaojaza watoto ujinga ety wawachukie wazee wao f***

  • @gracekessy9150

    @gracekessy9150

    Жыл бұрын

    @@tukolivemedia unawashwa ee kajambe mbele🖕🏽

  • @aimfetty1641

    @aimfetty1641

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂 nimecheka sana walah

  • @tukolivemedia

    @tukolivemedia

    Жыл бұрын

    @@gracekessy9150 ukweli unauma Kafiri mkubwa wewe

  • @jesuspower2390

    @jesuspower2390

    Жыл бұрын

    PILI maandiko yanasema '' UKIRICHO KWA KINYWA NDICHO UPOKEACHO'' huyu baba alisema yeye huya hatafuti watoto ila watoto ndio wanamtafuta yeye... sasa OMARY bado mdogo akikua atamtafuta analeta kelele za nini... ningekuwa OMARI ningemjibu baba bado sijakua nikikua ntakutafuta.😄

  • @janembalinga7074
    @janembalinga7074 Жыл бұрын

    Mtu yeyeote ambaye anajua nafasi yake hatumii nguvu kujitambulisha kuwa mm diye baba ukiona unatumia nguvu ujue hukuijua nafasi yako ipasavyo😏😏😏

  • @bosschick2417
    @bosschick2417 Жыл бұрын

    Tala kaka, mafout hahaha 😆 😂

  • @Mimi.Official
    @Mimi.Official Жыл бұрын

    Mmmm huyu mzee analo jambo, Anajitahidi kueleza lakini ndani kuna uongo ,amekuwa mtumzima ndio unamwita mwanao .

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Жыл бұрын

    ah Kumbe ulimzaa nje ya ndoa? ulitakiwa ukae kimya mana ulishafanya Dhambi ya zinaa utubie usijitangaze

  • @mspwjjjso6261
    @mspwjjjso6261 Жыл бұрын

    Wewe Mzee huna inshu kuwatelekeza watoto

  • @janethhendry6734
    @janethhendry6734 Жыл бұрын

    Dua la kuku likurudie wewe bwege

  • @lujuomjanja2866
    @lujuomjanja2866 Жыл бұрын

    Mzee Mmanyema huyu hatari !

  • @mazagazagaonlinetv9775
    @mazagazagaonlinetv9775 Жыл бұрын

    Mzee unalolote

  • @hassansuleiman4139
    @hassansuleiman4139 Жыл бұрын

    Fala om hana akili pumbavu zake

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 Жыл бұрын

    .

  • @sarahsulubu8587
    @sarahsulubu8587 Жыл бұрын

    Baba jamani so ommy wanni kama huna shobo nae wazazi wengine jamani sasa madharau haya piA

  • @bakariathumani8105
    @bakariathumani8105 Жыл бұрын

    Mzee huenda anauwezo kuliko omy.. sizani kama,Mzee anaziki

  • @maryamsaid3297
    @maryamsaid3297 Жыл бұрын

    sumbawangahio wachainyeshe tuonepanapovuja

  • @zaidankasamya2211
    @zaidankasamya2211 Жыл бұрын

    Ommy ajui vinzur istory ya utoto wake..yeye Anajua vitu jujuu tu

  • @sarahgaula2220

    @sarahgaula2220

    Жыл бұрын

    Muelezeee kama unaijua

  • @sadikijuma4560
    @sadikijuma4560 Жыл бұрын

    Acha ujinga ww mzee , endelea na maish yk hutakiwi, mtoto star ndio unajipendekeza, pumbavuuuuu😏😏

  • @husseingabo5497

    @husseingabo5497

    Жыл бұрын

    Ana ustar gani huyo chokoo jinga sana huyu

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 Жыл бұрын

    Acha wehu Mzee huyo mama yake kafa miaka ungetaka kumtafuta ungemtafuta. Watu walikuwa wanapata Taarifa mbali miaka hiyo na walitembeleana na kuzikana. Mtoto asomeshwe ujombani unaona sawa. Mzeee pambana na Hali yako.

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Жыл бұрын

    Fadha, kubaliana na pigo la matendo yako ya ujana. Allah anasema “Laa takrabu zzinaa(Wala msiikaribie zinaa.” Wewe ukaikaribia na ukazini. Tena ukatelekeza. Tumikia jeuri yako kwa Amri ya Muumba. Wacha mikwara ambayo itaishia kukuletea presha ambayo ulisha msababishia Omar na mama yake!

  • @janethhendry6734
    @janethhendry6734 Жыл бұрын

    We mzee huna akili ,eti wakimsomesha kuna shida gani ,,bwege wewe

  • @milliondollarvoice4055
    @milliondollarvoice4055 Жыл бұрын

    Tumejifunza laikini Mzazi ni mzazi Tu.... Ommy ajishushe Tu, bila kukutana na mama yake asingekuwepo, vitabu vya dini vinasema muheshimu Baba yko na mama yko siku zako zipate kuwa nyingi hawakusema mambo ya maleZi wala Tabia za mzazi, Watu wenye akili wamshauri ommy

  • @lm6373
    @lm6373 Жыл бұрын

    Anaona wivu vile kamuona Cristiano ronaldo . wa baba wa ki Africa ndo sana wanatupa watoto sasa kaona mtoto kawa maaruff maneno yanamtoka toka uko .mzeee hata sura yako unaonekana mkorofi,

  • @elizabethamon7454
    @elizabethamon7454 Жыл бұрын

    We mzee unaonekana jeuri huna hekima sasa damu yako imekuwa jeur

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 Жыл бұрын

    Bado na yeye anapambana na mitandao kama Baba wa Diamond.

  • @mariamselemani1366

    @mariamselemani1366

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣😂

  • @robertoantonio5682
    @robertoantonio5682 Жыл бұрын

    Mimi baharia wewe ni mkongo

  • @lazarojoseph7541
    @lazarojoseph7541 Жыл бұрын

    Ulimsomesha

  • @mgallason...5686

    @mgallason...5686

    Жыл бұрын

    Kwani ommy kasoma mpaka Elimu ya level gani? Msishabikie msivyovijua.

  • @wilsonjonas5481

    @wilsonjonas5481

    Жыл бұрын

    Kumsomesha sio shida yeye kumzaa tu inatosha kitu kikubwa sana

  • @dylanmingi5064
    @dylanmingi5064 Жыл бұрын

    Story na familia za watu wacheni kabisa..Mzee katoroka Majukumu wakati umefika akule ukatili wake...

  • @mgallason...5686

    @mgallason...5686

    Жыл бұрын

    Unakosea

  • @pachaerick8057
    @pachaerick8057 Жыл бұрын

    Safk

  • @mtktv597
    @mtktv597 Жыл бұрын

    Kuna maboya wanabwabwaja kumsema huyu mzee vibaya ivi mnajua process ya kutia mimba mtoto akazaliwa ? Kuma nyie wote

  • @sarahgaula2220

    @sarahgaula2220

    Жыл бұрын

    Ipi mana waliopata ndani ya siku 1

  • @jeniferemmanuel4251
    @jeniferemmanuel4251 Жыл бұрын

    Mmayema yyte hana haja ya kutafta mtoto....duuh aisee huy mzee mwehu

  • @husseingabo5497

    @husseingabo5497

    Жыл бұрын

    Sasa amtafute ili nini we vip hata nyie wanawake mnashida sana hakuna watu makatiri kama wanawake shenzi nyie

  • @mteulemnyama7858

    @mteulemnyama7858

    Жыл бұрын

    Kama wewe ulivyo mwehu

  • @jeniferemmanuel4251

    @jeniferemmanuel4251

    Жыл бұрын

    @@mteulemnyama7858 hahahaa Acha hasira

  • @goodwellmutambo7607

    @goodwellmutambo7607

    Жыл бұрын

    Mwehu mwenyewe Malaya mkubwa ww pumbavu

  • @jeniferemmanuel4251

    @jeniferemmanuel4251

    Жыл бұрын

    Ujalelewa vzr dear c makosa yako .... . Tafuta pesa hasira za bure zitapungua🤣🤣🤣

  • @sportsarenakingsoffootball8635
    @sportsarenakingsoffootball8635 Жыл бұрын

    Ila Ommy siku zake zinahesabika, nimeanza kuelewa kwanini alinyweshwa sumu! Laana hii🤭

  • @ayubuomondi4911

    @ayubuomondi4911

    Жыл бұрын

    We kenge nn au na ww ndo wale wale wakutelekeza watoto wakijakuwa na uwezo mnaanza kujipendekeza

  • @husseingabo5497

    @husseingabo5497

    Жыл бұрын

    @@ayubuomondi4911 we mbona unhukum sehem Moja we unajua mama omy alimfanyia vituko gani huyu Mzee we wanawake unawajua au unawasikia

  • @mwanaidhassan9977

    @mwanaidhassan9977

    Жыл бұрын

    @@husseingabo5497 hakuna vituko vya mwanamke eti umsuse mtoto nyumba ngapi zina migogoro na baba analea watoto yaani mateso tunayopitia wakati wa ujauzito na wakati wa kuzaa mtoto wko akikosa mahitaji mama anaumia mnooo chuki inayojaa moyoni sio ndogo sawa mama ulikua na ugomvi nae vip alipofariki ilikuaje bado alikua na chuki na marehemu wakati mtoto mdogo kaachwa mwenyewe na vip ommy dimpoz alipoumwa alikua wapi mbona hatukumuona hapo hakuna laana hata aongee nn hakuna kitu apo ww ni muislam kama dini unaijua hakuna laana hapo

  • @tugabiz4286

    @tugabiz4286

    Жыл бұрын

    @@husseingabo5497 mama yake amekufa Ommy akiwa bado shule ya msingi. Sasa kama baba alikua na ugomvi na mama je baada ya mama kufariki kwanini yeye baba hajaenda kumchukua mtoto wake na kumtunza?

  • @maryammorekhamis6703
    @maryammorekhamis6703 Жыл бұрын

    Mzee wewe mzazi usiendekeze vyombo vya habari huyo ni mtoto wako mambo ya family yatabaki kuwa family

  • @mgallason...5686

    @mgallason...5686

    Жыл бұрын

    Vyombo vinamfuata bwana Kwani hujui vinatafuta airtime

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 Жыл бұрын

    Kwa kweli huyu Baba ni boya anajikanyaga kanyaga tu hana lolote. Pambana na hali yako huna wasiwasi kaa kimya interview zote za nini kaa na msimamo wako. Unamvua nguo ama akuvue nguo?

  • @sharonyasin7521
    @sharonyasin7521 Жыл бұрын

    Mbona ulimuomba canter

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 Жыл бұрын

    Ww taiya auna dhambi ww? Ujafanya zinaa ww?

  • @vradmirlenin8290
    @vradmirlenin8290 Жыл бұрын

    Mzee amna kunyenyekea mtu makaratasi kaza adi mwisho huyo choko asikubabaishe wapo walio lelewa na wazazi na hawatoi msaada wowote

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 Жыл бұрын

    Uko sahihi mzee yule mwanao limbukeni hata dini haijui maana hajui kusamehe kishakuwa shetani

  • @svt3

    @svt3

    Жыл бұрын

    Frank Mwinuka: mzee kakinbia majukumu kwa Omy, ila ana watoto alio chukuwa majukumu sababu walikuwa wa ndoa mbona hawafuate hao ila anafuatana na haramu, mzee afuatane na hao watoto wengine

  • @jeniferemmanuel4251

    @jeniferemmanuel4251

    Жыл бұрын

    Yaan mnajifanya mnahukum ...watu wanateseka huku njee jmn ...mzee anaonekana mwehu

  • @svt3

    @svt3

    Жыл бұрын

    @@jeniferemmanuel4251 kweli ni mwehu na hakuchukuwa majukumu, ila anaona mtoto amepata ka kitu ana kuwa mimi baba, mbona haendi kwa hao wa toto alichukuwa majukumu yao? Ama hao sio wa kujivunia

  • @jeniferemmanuel4251

    @jeniferemmanuel4251

    Жыл бұрын

    @@svt3 yaan hana lolote lile na anajiproud et mm mmanyema siwez mtafta mtoto atajileta yeye..ni ujinga na upuuz tu..af mm sipend mtu mzima anajisifia sana....ukimwangalia tu unajua alikuwa mwehu sana enzi zake.....watu msijifanye wema kumsapot ndo kuendekeza ujinga wa wazee kama hawa

  • @svt3

    @svt3

    Жыл бұрын

    @@jeniferemmanuel4251 nakubaliana na wewe kabisa huyu mzee mhuni saana

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura6718 Жыл бұрын

    Omy arihumwa koho muda mlefu mbon hakumtafuta mtto na kujitokeza mitandaon miaka yote hakumlea wala alivyo humwa hakumjari ungu mzee hapambane na hari yake

Келесі