No video
EXCLUSIVE: Baba Ommy Dimpoz Afunguka A-Z baada ya Maneno ya Ommy | "Nitazikwa na Manispaa"
FOLLOW US
Instagram: / tanzaniatrends
Facebook: web. tanzaniatren...
Twitter: / tanzaniatrends
EXCLUSIVE: Baba Ommy Dimpoz Afunguka A-Z baada ya Maneno ya Ommy | "Nitazikwa na Manispaa"
Пікірлер: 130
Wacheni ujinga nyote wawili. Omy hajakasirika kuhusu interview zako,ameeleza ukweli kuwa hakujui kama baba koz hukuwepo katika maisha yake. Swali ni' ulikuwa wapi na kwann hukuwa ukimshughulikia. Omy hana 15yrs,ni mtu mzima,so maisha yoote utokee leo. Ushindwe.
Mm namsifu sana Mzee Kwa nn umbembeleze mtoto safi sana kuwa na msimamo huo Mzee mradi unajiweza mwenyewe piga kazi
kwanza vyombo vya biashara ungeachana navyo tu vitakuvuruga muulize baba diamond
Mzee kwanza una dhambi ya zinaa, pili umemtia mimba mwanamke wa watu then ukamtelekeza. Tatu mtoto aliezaliwa pia hukumhudumia kwa chochote mpaka kawa mtu mzima tena star, halafu ww ndo unajitokeza kifua mbele ati baba yake. Mzee nakusihi bora ungekomaa vile vile ukauchuna tuu, kwanza ulikuwa sawa kumhudumia was ur choice haikuwa lazima kwako cos ni mtoto wa nje ya ndoa kidini sio mwanao. Lkn sasa hivi unaanza kufuja unang’ang’ania awe mwanao na unajuwa fika kuwa si mwanao kidini na humrithi na wala yy hakurithi. Bora tuliza mshono endelea na maisha yako na yy muwache na maisha yake km ulivomuwacha alipokuwa mtoto, period.
@jesuspower2390
Жыл бұрын
PILI maandiko yanasema '' UKIRICHO KWA KINYWA NDICHO UPOKEACHO'' huyu baba alisema yeye huya hatafuti watoto ila watoto ndio wanamtafuta yeye... sasa OMARY bado mdogo akikua atamtafuta analeta kelele za nini... ningekuwa OMARI ningemjibu baba bado sijakua nikikua ntakutafuta.😄
@actionscene4753
Жыл бұрын
Kwani ww kwenu hakuna mtoto wa Zina na huenda hata ww ni wa Zina
@bakariathumani8105
Жыл бұрын
Kabla yakutaja aibu yamwenzako.. je,wewe hujawahi kuzini?
@wilsonjonas5481
Жыл бұрын
Mbona maelezo mengi ommy kakosea Kwan Mzee alimuomba hela au kama ni dam yake ulitaka aseme nn maana Yale ni mayai yake
@innocentmtashobya1257
Жыл бұрын
Ulivyoorozesha makosa ya mwenzio utafikiri ww huna dhambi..mnafiki mkubwa
DAh kumbe mzee hana time!mzee wewe ni mwanaume hasa tena hasa!huyo bwege atakusaidia nini kwanza unaonekana huitaj msaada wa mtu!big up sana jembe wewe ni baba wa kuigwa!skia mzee huko dar wanaume wamekua mashoga!huyu tupa kule atafte baba yake anae mjua kwani anakusaidia nini wanskuza maada wakajua labda ni omba omba kama mzee abdul
Kwa ufupi ulikimbia majukumu. Imeisha hiyo.
@mteulemnyama7858
Жыл бұрын
Ulikuwepo
Unajisifia au sio
😂😂😂Nimeamini ukiwanajina ni shida baba ulikuwa wapi wakat ana teseka kijan wako mam alimtoka mapem
Mzee ulikua na uwezo wa kulea omaly lakini ulimuacha baci endelea kumuacha Acha maneno mengi
Mzee unababaika ujui hata unachoongea hiyo ndio inaitwa fainali uzeeni, ujana maji ya moto,
@siwonikewiliam5104
Жыл бұрын
Huyo mzee yupo vizuri Hana njaa km unavyofikiria wewe
@mariamselemani1366
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
Huyu mzee atulie kabisaaa abatapatapa hakumjua mtoto wakati wa shida na wakati wa raha iwe ivoivo sio mtu wakuhudumia watoto uyo
Kwa hiyo huyo mzee ni mkongo tuanzie hapo kwanza
@landmadvdmbeyacity9561
Жыл бұрын
Hahahahaha
Anajifanya kuongea kwa feelings ili aonewe huruma mm si kublock tu ninge sahau kabisa kama nna baba😂😏
Pole sana Mzee, ndii Uzazi huo na watoto wanalishwa Sumu nyingi sana na kina Mama bora huna unyonge Mzee wangu simamia Kwa unachoamini.
@truthmediatz861
Жыл бұрын
Mtoto atalishwa sumu sawa lakini actions speak loudeer than words ! Huyu mzee angekua na mapenzi na mwanae in any way mtt mwnyw anajiongeza lkn inavoonekana tabia za mzee na sumu za mama yalikua yanaendana
♥️ ! #Ljaystunner #LuckyHavana #LjayKitchens #NyamaChoma
Ommy kaza Buti achana nae huyo, hata nyani ana baba asikusumbueeeee. Ambambane na Hali yake.
Jina ulimpa ukiwa hujui kesho atakuwa nani kwahyo usijisifie kwa kumpa jina
Alizaa kama nyoka na ajipiga kifua ‘´pumbavu
Wewe uko mu congo original kabisa kwa majigambo ayo 😀😀😀😀😀😀😀😀
Mzazi ni mzazi tuiu ndugu zanguuu hata km akukulea bado ni mzazi tusitowe maneno mabay kwa mzazi
@sixbertmwakaluwa5665
Жыл бұрын
Kbs ndiyo maana ommy dimpoz hajaacha kutumia ubini wa baba yake
@sarahgaula2220
Жыл бұрын
Kwani Ommy katoa neno gani Baya? Kasema Hana mapenzi nae mlitaka ajilazimishe na hakumlea?
@sixbertmwakaluwa5665
Жыл бұрын
@@sarahgaula2220 mengine ya family bhn
Bora www kuliko mwenzio anajing'atang'ata Kule Tandale 😬😬😬
@litangongo2451
Жыл бұрын
Mmaniema hawezi kujing'ata hata kdg akisema mafu basi kwisha hiy
🙃🙃😉
Omba msamaha kama kuna shm ulikosea siyo huna hoja
Mzee kufa tu kibudu ! Unavuna umanyema wako leo ..
Mzee huyu mkorofi... Jeuri... Roho mbaya... Halifai
Ulikuwa baba bata kwan bata ajuwi kulea watoto mkisha ona watoto wamefanikiwa ndiyo wa baba lakini kabla ya hapo ni wamama egeandika ata kuku nini omy
Mzee wa hovyooo! huyu mwe!
Sio sababu kutokua na mawasiliano kipindi iko huyu mzee anatufa umaarufu na sifa
Hamna mzee umefeli unajitafunasana
Kaka Omi kwamaelezo yababa yako inaonekana anakutafutia matatizo anae ukumu mungu ulicho nacho msaidie auna bac ucongee mengi kaka we mtoto najua unaumia nanaelewa maumivu yakukosa malez yababa maana mmi mwenyewe nimepitia umoumo kaka kinywa maji pambana namaisha yako ucereze mengi utajiongeza maumivu kaka
Jamani naombeni namba ya huyu mzee nna zawadi yake
Kweli wee mzee wa kigoma mana watu wa huko kwa misifa hata wahaya wanasubiri
@hamzaswaibu9470
Жыл бұрын
Ww kabira gani achana na kabira za watu
Wananzengo wenzangu tuwe na uelewa wakutosha, mzee amesema hatafuti msaada wala hataki kusaidiwa
@mgallason...5686
Жыл бұрын
Wajinga hawawezi kumuelewa na wengi wanaangalia upande mmoja na kuhukumu bila kujua kilichotokea awali.
Yaan hyu baba km mwanaume wng nlyezaa naye watoto wawil yaan wanapenda kujitetea ikiwa wamekosea,,,jmn Mung aniweke Dunian nlee watoto wng kwa roho nyeupe yeye ale tu ujana wanaume siku hz n shda kwa kwel
Nymbani wanamkubar ungemtelekeza wee mzee nimshezi tu
Mzaz ni mzazi tu alafu mzee hana shida ya msaada dimpoz acha maneno ya kuambiwa
@sarahgaula2220
Жыл бұрын
Kaambiwa nini kwani matunzo yanahitaji kuambiww si unajua tu.
Mmanyema wa Kwetu
Mzee ww ndo ulikosea unapiga mimba mtoto wawatu unalaza mbee kwel
Mungu anawapa umri mrefu ili mteseke kama hivi😂
@tukolivemedia
Жыл бұрын
Wewe ndo wale wakina mama mnaojaza watoto ujinga ety wawachukie wazee wao f***
@gracekessy9150
Жыл бұрын
@@tukolivemedia unawashwa ee kajambe mbele🖕🏽
@aimfetty1641
Жыл бұрын
😂😂😂😂 nimecheka sana walah
@tukolivemedia
Жыл бұрын
@@gracekessy9150 ukweli unauma Kafiri mkubwa wewe
@jesuspower2390
Жыл бұрын
PILI maandiko yanasema '' UKIRICHO KWA KINYWA NDICHO UPOKEACHO'' huyu baba alisema yeye huya hatafuti watoto ila watoto ndio wanamtafuta yeye... sasa OMARY bado mdogo akikua atamtafuta analeta kelele za nini... ningekuwa OMARI ningemjibu baba bado sijakua nikikua ntakutafuta.😄
Mtu yeyeote ambaye anajua nafasi yake hatumii nguvu kujitambulisha kuwa mm diye baba ukiona unatumia nguvu ujue hukuijua nafasi yako ipasavyo😏😏😏
Tala kaka, mafout hahaha 😆 😂
Mmmm huyu mzee analo jambo, Anajitahidi kueleza lakini ndani kuna uongo ,amekuwa mtumzima ndio unamwita mwanao .
ah Kumbe ulimzaa nje ya ndoa? ulitakiwa ukae kimya mana ulishafanya Dhambi ya zinaa utubie usijitangaze
Wewe Mzee huna inshu kuwatelekeza watoto
Dua la kuku likurudie wewe bwege
Mzee Mmanyema huyu hatari !
Mzee unalolote
Fala om hana akili pumbavu zake
.
Baba jamani so ommy wanni kama huna shobo nae wazazi wengine jamani sasa madharau haya piA
Mzee huenda anauwezo kuliko omy.. sizani kama,Mzee anaziki
sumbawangahio wachainyeshe tuonepanapovuja
Ommy ajui vinzur istory ya utoto wake..yeye Anajua vitu jujuu tu
@sarahgaula2220
Жыл бұрын
Muelezeee kama unaijua
Acha ujinga ww mzee , endelea na maish yk hutakiwi, mtoto star ndio unajipendekeza, pumbavuuuuu😏😏
@husseingabo5497
Жыл бұрын
Ana ustar gani huyo chokoo jinga sana huyu
Acha wehu Mzee huyo mama yake kafa miaka ungetaka kumtafuta ungemtafuta. Watu walikuwa wanapata Taarifa mbali miaka hiyo na walitembeleana na kuzikana. Mtoto asomeshwe ujombani unaona sawa. Mzeee pambana na Hali yako.
Fadha, kubaliana na pigo la matendo yako ya ujana. Allah anasema “Laa takrabu zzinaa(Wala msiikaribie zinaa.” Wewe ukaikaribia na ukazini. Tena ukatelekeza. Tumikia jeuri yako kwa Amri ya Muumba. Wacha mikwara ambayo itaishia kukuletea presha ambayo ulisha msababishia Omar na mama yake!
We mzee huna akili ,eti wakimsomesha kuna shida gani ,,bwege wewe
Tumejifunza laikini Mzazi ni mzazi Tu.... Ommy ajishushe Tu, bila kukutana na mama yake asingekuwepo, vitabu vya dini vinasema muheshimu Baba yko na mama yko siku zako zipate kuwa nyingi hawakusema mambo ya maleZi wala Tabia za mzazi, Watu wenye akili wamshauri ommy
Anaona wivu vile kamuona Cristiano ronaldo . wa baba wa ki Africa ndo sana wanatupa watoto sasa kaona mtoto kawa maaruff maneno yanamtoka toka uko .mzeee hata sura yako unaonekana mkorofi,
We mzee unaonekana jeuri huna hekima sasa damu yako imekuwa jeur
Bado na yeye anapambana na mitandao kama Baba wa Diamond.
@mariamselemani1366
Жыл бұрын
🤣🤣🤣😂
Mimi baharia wewe ni mkongo
Ulimsomesha
@mgallason...5686
Жыл бұрын
Kwani ommy kasoma mpaka Elimu ya level gani? Msishabikie msivyovijua.
@wilsonjonas5481
Жыл бұрын
Kumsomesha sio shida yeye kumzaa tu inatosha kitu kikubwa sana
Story na familia za watu wacheni kabisa..Mzee katoroka Majukumu wakati umefika akule ukatili wake...
@mgallason...5686
Жыл бұрын
Unakosea
Safk
Kuna maboya wanabwabwaja kumsema huyu mzee vibaya ivi mnajua process ya kutia mimba mtoto akazaliwa ? Kuma nyie wote
@sarahgaula2220
Жыл бұрын
Ipi mana waliopata ndani ya siku 1
Mmayema yyte hana haja ya kutafta mtoto....duuh aisee huy mzee mwehu
@husseingabo5497
Жыл бұрын
Sasa amtafute ili nini we vip hata nyie wanawake mnashida sana hakuna watu makatiri kama wanawake shenzi nyie
@mteulemnyama7858
Жыл бұрын
Kama wewe ulivyo mwehu
@jeniferemmanuel4251
Жыл бұрын
@@mteulemnyama7858 hahahaa Acha hasira
@goodwellmutambo7607
Жыл бұрын
Mwehu mwenyewe Malaya mkubwa ww pumbavu
@jeniferemmanuel4251
Жыл бұрын
Ujalelewa vzr dear c makosa yako .... . Tafuta pesa hasira za bure zitapungua🤣🤣🤣
Ila Ommy siku zake zinahesabika, nimeanza kuelewa kwanini alinyweshwa sumu! Laana hii🤭
@ayubuomondi4911
Жыл бұрын
We kenge nn au na ww ndo wale wale wakutelekeza watoto wakijakuwa na uwezo mnaanza kujipendekeza
@husseingabo5497
Жыл бұрын
@@ayubuomondi4911 we mbona unhukum sehem Moja we unajua mama omy alimfanyia vituko gani huyu Mzee we wanawake unawajua au unawasikia
@mwanaidhassan9977
Жыл бұрын
@@husseingabo5497 hakuna vituko vya mwanamke eti umsuse mtoto nyumba ngapi zina migogoro na baba analea watoto yaani mateso tunayopitia wakati wa ujauzito na wakati wa kuzaa mtoto wko akikosa mahitaji mama anaumia mnooo chuki inayojaa moyoni sio ndogo sawa mama ulikua na ugomvi nae vip alipofariki ilikuaje bado alikua na chuki na marehemu wakati mtoto mdogo kaachwa mwenyewe na vip ommy dimpoz alipoumwa alikua wapi mbona hatukumuona hapo hakuna laana hata aongee nn hakuna kitu apo ww ni muislam kama dini unaijua hakuna laana hapo
@tugabiz4286
Жыл бұрын
@@husseingabo5497 mama yake amekufa Ommy akiwa bado shule ya msingi. Sasa kama baba alikua na ugomvi na mama je baada ya mama kufariki kwanini yeye baba hajaenda kumchukua mtoto wake na kumtunza?
Mzee wewe mzazi usiendekeze vyombo vya habari huyo ni mtoto wako mambo ya family yatabaki kuwa family
@mgallason...5686
Жыл бұрын
Vyombo vinamfuata bwana Kwani hujui vinatafuta airtime
Kwa kweli huyu Baba ni boya anajikanyaga kanyaga tu hana lolote. Pambana na hali yako huna wasiwasi kaa kimya interview zote za nini kaa na msimamo wako. Unamvua nguo ama akuvue nguo?
Mbona ulimuomba canter
Ww taiya auna dhambi ww? Ujafanya zinaa ww?
Mzee amna kunyenyekea mtu makaratasi kaza adi mwisho huyo choko asikubabaishe wapo walio lelewa na wazazi na hawatoi msaada wowote
Uko sahihi mzee yule mwanao limbukeni hata dini haijui maana hajui kusamehe kishakuwa shetani
@svt3
Жыл бұрын
Frank Mwinuka: mzee kakinbia majukumu kwa Omy, ila ana watoto alio chukuwa majukumu sababu walikuwa wa ndoa mbona hawafuate hao ila anafuatana na haramu, mzee afuatane na hao watoto wengine
@jeniferemmanuel4251
Жыл бұрын
Yaan mnajifanya mnahukum ...watu wanateseka huku njee jmn ...mzee anaonekana mwehu
@svt3
Жыл бұрын
@@jeniferemmanuel4251 kweli ni mwehu na hakuchukuwa majukumu, ila anaona mtoto amepata ka kitu ana kuwa mimi baba, mbona haendi kwa hao wa toto alichukuwa majukumu yao? Ama hao sio wa kujivunia
@jeniferemmanuel4251
Жыл бұрын
@@svt3 yaan hana lolote lile na anajiproud et mm mmanyema siwez mtafta mtoto atajileta yeye..ni ujinga na upuuz tu..af mm sipend mtu mzima anajisifia sana....ukimwangalia tu unajua alikuwa mwehu sana enzi zake.....watu msijifanye wema kumsapot ndo kuendekeza ujinga wa wazee kama hawa
@svt3
Жыл бұрын
@@jeniferemmanuel4251 nakubaliana na wewe kabisa huyu mzee mhuni saana
Omy arihumwa koho muda mlefu mbon hakumtafuta mtto na kujitokeza mitandaon miaka yote hakumlea wala alivyo humwa hakumjari ungu mzee hapambane na hari yake