Zembwela Afunguka Ukweli Wote Mpaka Kuacha Kazi East Africa | SALAMA NA ZEMBWELA PART 1

Ойын-сауық

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
MSAFIRI HUFIKIRI
Moja ya jambo ambalo nimejifunza kuhusu maisha na kufanikiwa ni KUTOKATA TAMAA wakati unatafuta ila kubwa kuliko ni wajibu wetu kutojiona tuko JUU zaidi ya wengine na kuamini kwamba pale ulipo hakuna siku ambayo utakuja KUTETEREKA. Katika makosa ambayo unaweza kuyafanya ni kuamini hilo jambo KUBWA.
Hillary Daudi ni Kaka yangu na Rafiki yangu, mimi nilianza kwa kumuona yeye kwenye TV kabla sijakutana naye rasmi kwenye mwanzo kwa miaka ya 2013 kupitia Rafiki yangu mwengine aneyeitwa Mussa Hussein, Mussa na Zembwela ni washkaji ambao wali click tu mara ya kwanza walivyoonana na Mussa alipomsikia tu Zembwela aliona atamfaa sana kama atakua partner wake kwenye kile kipindi alichokua akifanya cha kuanzia saa tatu asubuhi pale EA Radio.
Zembwela alikua mmoja wa waanzilishi wa kipindi cha vichekesho pale ITV akiwa na Rafiki yake Marehemu Max, na jambo ambalo mimi nilikua silijui ni kwamba Zembwela yeye ndiye aliyekua muandishi wa yale maigizo mafupi mafupi waliyokua wanafanya, na hilo swali nilimuuliza baada ya kusikia tetesi mtaani kwamba toka Max atangulie mbele ya haki yeye Zembwela amepoteza kabisa ile ladha na kwamba sasa si yule wa zamani. Ki kawaida tu kwanza hawezi kuwa kama yule wa zamani na zaidi ni kweli ladha pengine lazima ipotee maana sasa hivi yuko peke yake, ila je kipaji? Binafsi nadhani Zembwela ana kipaji na utashi wa hali ya juu ambao unamfanya aendelee kuwepo pale alipo na sasa akiwa anasimama kama Ndimu kwenye Radio ya Wasafi FM pale asubuhi anapokua anachambua magazeti.
Mwanzo nilikuambia Zembwela alianzia EA Radio baada ya kuvutwa na Mussa pale, na alikaa kwa kipindi hata baada ya Mussa kuondoka yeye aliendelea kuzungusha gurudumu la Super Mix ila baadae mambo yakabadilika na ikambidi aende kutafuta ustaarabu mwengine na sehemu nyengine. Maisha yako wakati mwengine yanaweza kukupeleka sehemu ambayo wala ulikua huitarajii.
Sasa pia amerudi kwenye TV na kaniibia siri pia kwamba hivi karibuni anatarajia kuanza series ambayo wao kama Wasafi TV wamekua wakiipika kwa kipindi sasa. Naamini hii itakua habari njema kwa wengi ambao wamekua wakiisubiria kwa hamu.
Na pia kasema itaanza hivi karibuni.
Mimi na Zembwela pia tumeongelea maisha yake binafsi, kuondoa kwa Max, kazi za kileo na mustakabali wa Siasa na wana Siasa na mengine tele. Moja kubwa ambalo naweza kukuahidi ni enjoyment na kucheka, hakika haya UTAYAPATA.
Tafadhali enjoy,
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 229

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh2 жыл бұрын

    Afya ya Akili, afya ya kinywa na Afya ya Mwili...So Powerful. ✊🏾💯

  • @christophertemba6915
    @christophertemba69152 жыл бұрын

    huyu mwamba zembwela ni fundi sana wa maneno mpka salama anabaki kucheka tu.

  • @davidnchoji
    @davidnchoji2 жыл бұрын

    Poor Me😥, namfahamu Zembwela lakini sikuwahi kutenga muda wa kumfuatilia zaidi, na kumbe nimekuwa nikikosa maneno ya busara kutoka kwa mtu mwenyewe busara na akili pana sana. Keep it up Da Salama kwa kutuletea mtu wa aina ya Zembwela...😍❤️

  • @rogathesarwatt
    @rogathesarwatt2 жыл бұрын

    ZEMBWELA NA SALAMA MNAITENDEA HAKI LUGHA ADHIMU YA KISWAHILI KUNA LADHA YAKIPEKEE SANA

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga53232 жыл бұрын

    Zembwella na Gabo wakikaa meza moja wanaweza fanya kitu fulani kikapendwa na watanzania wote

  • @mkaapwekekariakoo6417
    @mkaapwekekariakoo64172 жыл бұрын

    Mali iliyotafutwa na mtu, na wale wasioitafuta kuja kuihitaji hata kama hawahusiki nayo... KInywa, afya ya akili na mwili. Dah.... karibu kila neno la Zembwera ni msumali wa mabadiliko kwa hata kwa wanaozipata simulizi kwa walisikiliza wenyewe. Asante Salama na....Natamani kipindi kisiishe maana hawa hakika marafiki kufa kupona, maaana si kwa cheko na furaha hizo

  • @dastonamichaels1854
    @dastonamichaels18542 жыл бұрын

    From 🇰🇪Huyu bro nilianza kumcheki zamani na maxi kwa comedy flani alikuwa mpangaji mkorofi 😅🤣

  • @josephngowoambroce418
    @josephngowoambroce4182 жыл бұрын

    Hapo salama hajaolewa....sema mume wangu

  • @echolude
    @echolude2 жыл бұрын

    finally someone who treats Swahili with proper respect and depth

  • @mpendakiswahili3053

    @mpendakiswahili3053

    Жыл бұрын

    Una maanisha nini??

  • @AlesiusAndrea1991
    @AlesiusAndrea19912 жыл бұрын

    Babu Zembwera beberuuuu 👍🙏💪

  • @slimmuhabesh2400
    @slimmuhabesh24002 жыл бұрын

    Zembwela Una Madini Mengi Sanaaa

  • @mjkinyonga38
    @mjkinyonga382 жыл бұрын

    Mahojiano bora zaidi 2022

  • @saedymkomwa7866
    @saedymkomwa78662 жыл бұрын

    I wish Salam Uwe Mke wang Tukiwa Ndan Tupige Mastory yaniii... Una Madini Mengi Sana

  • @ismailmasoud6001

    @ismailmasoud6001

    2 жыл бұрын

    Upige nae story au umpelekee MOTO....!

  • @mozasaid3869
    @mozasaid38692 жыл бұрын

    Penda sana Zembwela❤❤❤👊👊👊

  • @sevelinamartin7752
    @sevelinamartin77522 жыл бұрын

    Namuelewa Zembwela nakupenda salama,so nimeinjoi sn

  • @mbakomileakim1783
    @mbakomileakim17832 жыл бұрын

    Iyo background music ni ngoma ya nan anaejua please

  • @universitylink
    @universitylink2 жыл бұрын

    Asante sana brother zembwela ya kwanza gonga kwnza kisha ya pili ndio u act, nimependa hiyo uko very honest bro, na sister salama nakusalimia sana napenda sana kipindi chako uko juu sana sister keep it up

  • @mnenedrogba1218
    @mnenedrogba12182 жыл бұрын

    Now I get the reason or reasons as to why Diamond keep mentioning Zembwela babu, this man is very wise and he is on point in almost everything question sent.respect big bro 🤝🙏💯

  • @emmanuelkiyovu5175

    @emmanuelkiyovu5175

    Жыл бұрын

    L

  • @emmanuelkiyovu5175

    @emmanuelkiyovu5175

    Жыл бұрын

    0l Ppl

  • @emmanuelkiyovu5175

    @emmanuelkiyovu5175

    Жыл бұрын

    P

  • @floramlowe7078
    @floramlowe70782 жыл бұрын

    Hiyo nimeipenda hilo nichaguo sahihi John pombe magufuli apumzike kwa amani mzee wetu tulimpenda sana hata kama alikuwa anaogopwa.

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz47172 жыл бұрын

    Nimefurai sana Leo kumuona zembwela na nimejifunza mengi toka kwako. Big up salama toto ya zenji. Unajua kuliza maswali na yenye mahana. Awa wandishi wengine wajifunze kutoka kwako.

  • @paulmgoli4853
    @paulmgoli48532 жыл бұрын

    Mambo - Matamu 😁

  • @jonahbirgen6946
    @jonahbirgen69462 жыл бұрын

    I use to enjoy his show at East Africa radio sometimes back from Kenya cheers

  • @nyamarasapeter4302
    @nyamarasapeter4302 Жыл бұрын

    Mazungumzo na Hayati Magufuli yamenenwa kwa hekima na ufundi mkubwa.

  • @thomaslyimo1729
    @thomaslyimo17292 жыл бұрын

    Nashtuka tu muda umeisha bila kuchoka nadhani hii ni moja ya Interview bora kwangu

  • @Tysumafrica

    @Tysumafrica

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣 Kabisa maongezi matam ile mbaya

  • @pachamalota4455
    @pachamalota44552 жыл бұрын

    Umetisha kaka mkuu

  • @hilarymark7583
    @hilarymark75832 жыл бұрын

    Naona sio vizuri chakula au kinywaji kukatiza mtiririko wa stori. Director angeweza kupiga pozi kidogo mpaka mnenaji aweke nukta

  • @msusasandali5833
    @msusasandali58332 жыл бұрын

    Ni moja ya interview niliyokuwa naisubiri kwa hamu kubwa Sana.... ☺️

  • @dankirunda3368

    @dankirunda3368

    2 жыл бұрын

    Mimi pia ✌❤

  • @bazlsamyo954
    @bazlsamyo9542 жыл бұрын

    Hapo kitelevision au nilivyozoea 😅😅😅😅

  • @dayocha1855
    @dayocha18552 жыл бұрын

    Hii interview ya leo bomba sana ila zembwela katisha sana bila kumsahau salama kwa maswali yake mazuri

  • @uzungupoint
    @uzungupoint2 жыл бұрын

    UMENIUA KWA JPM TU 🔥🔥🙌

  • @majidypapeny1527

    @majidypapeny1527

    2 жыл бұрын

    Na bonge la fumbo ambalo m2 wakawaida hawezi kulijua kwa haraka R.I.P magufur

  • @uzungupoint

    @uzungupoint

    2 жыл бұрын

    @@majidypapeny1527 Kabisa kaka

  • @josephlorri431

    @josephlorri431

    2 жыл бұрын

    Majambazi na wezi wa mali zetu ndo tunawashangilia..

  • @lotilazaro8845
    @lotilazaro88452 жыл бұрын

    Zimbwera Madini mengi xaaana kwa kichwa chako

  • @mangisenya4012
    @mangisenya40122 жыл бұрын

    Zembwela uko vizuri sana kwenye kujieleza

  • @floramlowe7078
    @floramlowe70782 жыл бұрын

    Mpuuzi kweli anamasiala mengi sana

  • @tangaoldtv1067
    @tangaoldtv10672 жыл бұрын

    SALAMA KIUKWELI KIPINDI HIKI UMEJIKAZA SANA ILA KATIKA KIPINDI CHAKO CHA MAHOJIANO NA KAKA ZEMBWELA KABALIAO ALA 1 HALIKAI PANGA 2UNACHEK NA

  • @marcoemanuel6892
    @marcoemanuel68922 жыл бұрын

    Kari sanaaa hii interview

  • @richardfaustine8802
    @richardfaustine88022 жыл бұрын

    Salama nakukubali sana. Yaan hivyo tu. You are the best.

  • @antonykimario5764
    @antonykimario57642 жыл бұрын

    Nakubal sana Salama na Zembwela

  • @shd12m55
    @shd12m552 жыл бұрын

    Juice ya awamu ya kwanza kwa zembwela 🔥🔥

  • @salomewandya7257

    @salomewandya7257

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @yohanayohana199
    @yohanayohana1992 жыл бұрын

    Zebwera wewe ni mkweli sana nakumbuka uliwahi kuomba mkombozi wa Tanzania ulipiga magoti ktk redio

  • @lovenessselemani4949
    @lovenessselemani49492 жыл бұрын

    Bonge moja ya interview

  • @rashidomar1558

    @rashidomar1558

    2 жыл бұрын

    Lessons zinapatikana kwa kufanya interview za maana kama hizi

  • @mustaphareginald3264
    @mustaphareginald32642 жыл бұрын

    Big up sister salama...Mungu akuweke sana

  • @nelsoncosmas5639
    @nelsoncosmas56392 жыл бұрын

    Salama tuletee helisi rais wa wananchi

  • @lilianmmbaga7373
    @lilianmmbaga73739 ай бұрын

    Nimefurahia sana hii meeting ni ya kiakil sana imeongelewa na watu makini saana❤

  • @makantaafrika
    @makantaafrika2 жыл бұрын

    Nime enjoy sana hii episode 🙌🏿🙌🏿 Blessings

  • @kassimoludara4746
    @kassimoludara47462 жыл бұрын

    very informative kudos

  • @ballisticsound4796
    @ballisticsound47962 жыл бұрын

    Bila kupindisha Maneno IPP Media imetoa mchango mkubwa sana kwenye tasnia ya Habari ahapa TZ... pamoja na kutoa vichwa mahiri kabisa

  • @rukiaasnawi9134

    @rukiaasnawi9134

    2 жыл бұрын

    San sana Sanaa lazima tuwe na fadhira tuseme ukweli IPP🔥

  • @elizagichogo3881

    @elizagichogo3881

    Жыл бұрын

    Hyo haina mbishi mbona

  • @salomecomedyofficial
    @salomecomedyofficial2 жыл бұрын

    Zembwela tunaomba kwa heshima umrudishe kwenye game Mr 20%, ni mwandishi na mwimbaji mwenye mziki wa kuelimisha

  • @tuliadamson3422
    @tuliadamson34222 жыл бұрын

    Nmejifunzaaa....👍👍👍

  • @omariathuman9998
    @omariathuman99982 жыл бұрын

    i just comparing mkasi na hii show guest zembwela aisee zembwela ananifanya nisome nje ya syllabus ....salama nakuona kama ellen wa ellen show america

  • @iddyrashidi8961
    @iddyrashidi89612 жыл бұрын

    hongereni sana kwa hichi kipindi kinatuelimisha sana 🙏

  • @husseinpogwa9954
    @husseinpogwa99542 жыл бұрын

    🔥🔥🔥

  • @flavianchuwa4370
    @flavianchuwa43702 жыл бұрын

    Zembwela akili Mingi sana🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @jameskimei5438
    @jameskimei54382 жыл бұрын

    Nice one l love it

  • @ditrickhinju9684
    @ditrickhinju96842 жыл бұрын

    Good interview ujawai kukosea kwahilo interview killer u sister nice

  • @loiceamugune6711
    @loiceamugune67112 жыл бұрын

    I love what you are doing my gal. I would love to do just like you are doing

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel56772 жыл бұрын

    Duh Zembwela ni mtu na nusu aseee

  • @buberwajohn1312
    @buberwajohn13122 жыл бұрын

    Daaaah!! Popcorn 🍿 zimeishaaa.

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana87762 жыл бұрын

    Good interview salama u do in your life big up

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Mashallah, hongera sana Babu, nakuelewa sana 😀😀😀

  • @allyomary8264
    @allyomary82642 жыл бұрын

    Good interview keep it up

  • @gashugibruno2122
    @gashugibruno21222 жыл бұрын

    Zembwela nakupenda sana apo umemzungumzia Magufuri, kila mtu angependa kuchangiya na Magufuri ili tumpe habari za wasaliti, alikuwa nao karibu. Amewaamini. Tanzaniya imerudi nyuma kabisa

  • @lazarobituro8644

    @lazarobituro8644

    2 жыл бұрын

    utakuwa umemiss point mkuu 😂

  • @ilhamsalum6815
    @ilhamsalum68152 жыл бұрын

    😂😂😂ninavompenda salama nataman ata apate copy yake💞 mtoto ,akiondoka awepo atakae chukua muonekan na tabia zake NAKUPENDAA😣😩🥰

  • @tuladavid4223

    @tuladavid4223

    2 жыл бұрын

    Ana mtoto mkubwa

  • @edwinmbugua7738

    @edwinmbugua7738

    2 жыл бұрын

    @@tuladavid4223 uongo

  • @farhatkhamis4401

    @farhatkhamis4401

    2 жыл бұрын

    @@edwinmbugua7738 kweli anae wa kiume

  • @edwinmbugua7738

    @edwinmbugua7738

    2 жыл бұрын

    @@farhatkhamis4401 mapya hayo. Kazaa lini na nani?

  • @rashidomar1558
    @rashidomar15582 жыл бұрын

    Good interview

  • @rachelkristellagodlove2404
    @rachelkristellagodlove2404 Жыл бұрын

    Best episode kwa mwaka huo zembwela ana madini mengi sana

  • @othumanlorenzo260
    @othumanlorenzo2602 жыл бұрын

    Salama ni hatari sana....,

  • @alfonsisimoni3080
    @alfonsisimoni30802 жыл бұрын

    Sharp sana istafrika

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh2 жыл бұрын

    Glas ya kwanza ilivyonyongwa nilipause ⏸️ kwa kucheka kwanza🤣🤣🤣

  • @kweka14l35

    @kweka14l35

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ya Pili amesema imekuja ya Kuektia 😂

  • @neemaokechi1729

    @neemaokechi1729

    7 ай бұрын

    Nlikuwa namtafuta mwenzang mwenye hii comments yan nmecheka saana 😅😅😅

  • @edenngiluke8493
    @edenngiluke84932 жыл бұрын

    Interview Kali Sana.. One Of The Best

  • @khamissasita4559
    @khamissasita45592 жыл бұрын

    Joseph John Pombe Magufuri daaaah!!. R.I.P daddy 👨....

  • @hijazhija316

    @hijazhija316

    2 жыл бұрын

    Pole sana

  • @stevenasunga3917
    @stevenasunga39172 жыл бұрын

    Umeongea point sana

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu21162 жыл бұрын

    Nimeisubiri Sana hii muda mrefu

  • @halimamasai2234
    @halimamasai22342 жыл бұрын

    Zembwela ❤❤❤❤

  • @jacobmsigwa383
    @jacobmsigwa3832 жыл бұрын

    "Gari bovu huvutwa gari zima" ha ha ha

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles43852 жыл бұрын

    Great mind zembwela

  • @fatmaahamadabass8080
    @fatmaahamadabass8080 Жыл бұрын

    Zembwela nakukubali sana brother nakupenda huzarau maskini

  • @dilipdab3714
    @dilipdab37142 жыл бұрын

    Salamaa.nakupenda.sanaa

  • @mbarakasaidi8243
    @mbarakasaidi82432 жыл бұрын

    salama please naomba umlete chid benz nakuomba 😔

  • @kisamogoodservicesTv
    @kisamogoodservicesTv2 жыл бұрын

    The big show in town, big up kwa team yote. #SalamaNaZembwela

  • @fanuelkatoto8913
    @fanuelkatoto89132 жыл бұрын

    Kongole sana kwa kipindi kizuri.. Heshima kubwa kwa babu Zembwela

  • @akkidume8312
    @akkidume83122 жыл бұрын

    Hahahahahaha nimeipenda

  • @tangaoldtv1067
    @tangaoldtv10672 жыл бұрын

    SALAMA KATKA MAHOJIANO YA WATU TOFAUTI NANI ALIKUWA MAJIBU YAKE YALIKUWA YA KUCHEKESH SAN NA ULICHEK KIASI KUJIKAZA?

  • @nobbylovetv4977

    @nobbylovetv4977

    2 жыл бұрын

    Hii ni siku akimuhoji joti

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela39262 жыл бұрын

    Zembwela Babu Mswahili 🔥

  • @khalidbalala7753
    @khalidbalala77532 жыл бұрын

    Salama vpi ile interview na zuchu bado huja ipost

  • @theresiatarimo3616
    @theresiatarimo36162 жыл бұрын

    Hapo kwa maguful nimemuelewa...hongera zmbwela...

  • @cineplus-tv255

    @cineplus-tv255

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/ZXutptlwo8u8o6Q.html

  • @bennyframa4505
    @bennyframa4505 Жыл бұрын

    Kweli Max amefariki zamani sanaa mpaka zembwela swaiba wake ameshamsahau. Sikutegemea kama asingetamani kumuona tena kwenye meza pamoja

  • @tricemollel6739
    @tricemollel6739 Жыл бұрын

    Zembwela very big up men!!!

  • @sharmallamossi7856
    @sharmallamossi78562 жыл бұрын

    😆😆😆 wallah uyu kka namependag saan anamaneno ni muwazi mashaallah Allah akubariki

  • @laylapagae6324

    @laylapagae6324

    2 жыл бұрын

    Amiin

  • @josephngowoambroce418
    @josephngowoambroce4182 жыл бұрын

    Salamaaa

  • @husseinyusuph5458
    @husseinyusuph54582 жыл бұрын

    Huo ni uzarendo mkubwa sana kuwa mkweli sio kama harmonize anaejiona tembo asie na mama wala mkubwa

  • @ramamsukuma
    @ramamsukuma2 жыл бұрын

    Nilitamani kusikia zembwela kwenye swali la Kula na watu walio tangulia mbele za haki Angemtaja #makisi mtu alie Anza nae Safari ya kujitafta

  • @BongoCryptos
    @BongoCryptos2 жыл бұрын

    JPM! SAFI SANA ZEMBWELA

  • @Kingmizo711
    @Kingmizo711 Жыл бұрын

    Imetishaa sana🙏🤣🔥🔥

  • @brendachibura6040
    @brendachibura60402 жыл бұрын

    I love this man ana busara mno

  • @cineplus-tv255

    @cineplus-tv255

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/ZXutptlwo8u8o6Q.html

  • @thedygeorge4548
    @thedygeorge45482 жыл бұрын

    Kwa kufupisha angesema tu anawapenda wasanii wote maana bila kukatishwa angewataja wote...🤣🤣🤣

  • @agustinohizza1395
    @agustinohizza13952 жыл бұрын

    Hiyo juice ulivyo ipiga tarupeta!!!

  • @tresorkabongo8758
    @tresorkabongo87582 жыл бұрын

    Mpaka leo kipindi mlichokifanya cha mkasi 😂😂

  • @josephngowoambroce418
    @josephngowoambroce4182 жыл бұрын

    Kwenye juice noma saaaana bro

  • @eliakimeliakim7082
    @eliakimeliakim7082 Жыл бұрын

    Interview nzur sana .

  • @salomewandya7257
    @salomewandya72572 жыл бұрын

    Hahaha nimecheka Zembwela alivyoangalia chakula 🤣🤣

  • @shd12m55

    @shd12m55

    2 жыл бұрын

    😀

  • @cineplus-tv255

    @cineplus-tv255

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/ZXutptlwo8u8o6Q.html

  • @florenceblack4492
    @florenceblack44922 жыл бұрын

    Nimekupanda bure zembwela

Келесі