Zembwela Afunguka Ukweli Wote Mpaka Kuacha Kazi East Africa | SALAMA NA ZEMBWELA PART 1
Ойын-сауық
#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
MSAFIRI HUFIKIRI
Moja ya jambo ambalo nimejifunza kuhusu maisha na kufanikiwa ni KUTOKATA TAMAA wakati unatafuta ila kubwa kuliko ni wajibu wetu kutojiona tuko JUU zaidi ya wengine na kuamini kwamba pale ulipo hakuna siku ambayo utakuja KUTETEREKA. Katika makosa ambayo unaweza kuyafanya ni kuamini hilo jambo KUBWA.
Hillary Daudi ni Kaka yangu na Rafiki yangu, mimi nilianza kwa kumuona yeye kwenye TV kabla sijakutana naye rasmi kwenye mwanzo kwa miaka ya 2013 kupitia Rafiki yangu mwengine aneyeitwa Mussa Hussein, Mussa na Zembwela ni washkaji ambao wali click tu mara ya kwanza walivyoonana na Mussa alipomsikia tu Zembwela aliona atamfaa sana kama atakua partner wake kwenye kile kipindi alichokua akifanya cha kuanzia saa tatu asubuhi pale EA Radio.
Zembwela alikua mmoja wa waanzilishi wa kipindi cha vichekesho pale ITV akiwa na Rafiki yake Marehemu Max, na jambo ambalo mimi nilikua silijui ni kwamba Zembwela yeye ndiye aliyekua muandishi wa yale maigizo mafupi mafupi waliyokua wanafanya, na hilo swali nilimuuliza baada ya kusikia tetesi mtaani kwamba toka Max atangulie mbele ya haki yeye Zembwela amepoteza kabisa ile ladha na kwamba sasa si yule wa zamani. Ki kawaida tu kwanza hawezi kuwa kama yule wa zamani na zaidi ni kweli ladha pengine lazima ipotee maana sasa hivi yuko peke yake, ila je kipaji? Binafsi nadhani Zembwela ana kipaji na utashi wa hali ya juu ambao unamfanya aendelee kuwepo pale alipo na sasa akiwa anasimama kama Ndimu kwenye Radio ya Wasafi FM pale asubuhi anapokua anachambua magazeti.
Mwanzo nilikuambia Zembwela alianzia EA Radio baada ya kuvutwa na Mussa pale, na alikaa kwa kipindi hata baada ya Mussa kuondoka yeye aliendelea kuzungusha gurudumu la Super Mix ila baadae mambo yakabadilika na ikambidi aende kutafuta ustaarabu mwengine na sehemu nyengine. Maisha yako wakati mwengine yanaweza kukupeleka sehemu ambayo wala ulikua huitarajii.
Sasa pia amerudi kwenye TV na kaniibia siri pia kwamba hivi karibuni anatarajia kuanza series ambayo wao kama Wasafi TV wamekua wakiipika kwa kipindi sasa. Naamini hii itakua habari njema kwa wengi ambao wamekua wakiisubiria kwa hamu.
Na pia kasema itaanza hivi karibuni.
Mimi na Zembwela pia tumeongelea maisha yake binafsi, kuondoa kwa Max, kazi za kileo na mustakabali wa Siasa na wana Siasa na mengine tele. Moja kubwa ambalo naweza kukuahidi ni enjoyment na kucheka, hakika haya UTAYAPATA.
Tafadhali enjoy,
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Пікірлер: 229
Afya ya Akili, afya ya kinywa na Afya ya Mwili...So Powerful. ✊🏾💯
huyu mwamba zembwela ni fundi sana wa maneno mpka salama anabaki kucheka tu.
Poor Me😥, namfahamu Zembwela lakini sikuwahi kutenga muda wa kumfuatilia zaidi, na kumbe nimekuwa nikikosa maneno ya busara kutoka kwa mtu mwenyewe busara na akili pana sana. Keep it up Da Salama kwa kutuletea mtu wa aina ya Zembwela...😍❤️
ZEMBWELA NA SALAMA MNAITENDEA HAKI LUGHA ADHIMU YA KISWAHILI KUNA LADHA YAKIPEKEE SANA
Zembwella na Gabo wakikaa meza moja wanaweza fanya kitu fulani kikapendwa na watanzania wote
Mali iliyotafutwa na mtu, na wale wasioitafuta kuja kuihitaji hata kama hawahusiki nayo... KInywa, afya ya akili na mwili. Dah.... karibu kila neno la Zembwera ni msumali wa mabadiliko kwa hata kwa wanaozipata simulizi kwa walisikiliza wenyewe. Asante Salama na....Natamani kipindi kisiishe maana hawa hakika marafiki kufa kupona, maaana si kwa cheko na furaha hizo
From 🇰🇪Huyu bro nilianza kumcheki zamani na maxi kwa comedy flani alikuwa mpangaji mkorofi 😅🤣
Hapo salama hajaolewa....sema mume wangu
finally someone who treats Swahili with proper respect and depth
@mpendakiswahili3053
Жыл бұрын
Una maanisha nini??
Babu Zembwera beberuuuu 👍🙏💪
Zembwela Una Madini Mengi Sanaaa
Mahojiano bora zaidi 2022
I wish Salam Uwe Mke wang Tukiwa Ndan Tupige Mastory yaniii... Una Madini Mengi Sana
@ismailmasoud6001
2 жыл бұрын
Upige nae story au umpelekee MOTO....!
Penda sana Zembwela❤❤❤👊👊👊
Namuelewa Zembwela nakupenda salama,so nimeinjoi sn
Iyo background music ni ngoma ya nan anaejua please
Asante sana brother zembwela ya kwanza gonga kwnza kisha ya pili ndio u act, nimependa hiyo uko very honest bro, na sister salama nakusalimia sana napenda sana kipindi chako uko juu sana sister keep it up
Now I get the reason or reasons as to why Diamond keep mentioning Zembwela babu, this man is very wise and he is on point in almost everything question sent.respect big bro 🤝🙏💯
@emmanuelkiyovu5175
Жыл бұрын
L
@emmanuelkiyovu5175
Жыл бұрын
0l Ppl
@emmanuelkiyovu5175
Жыл бұрын
P
Hiyo nimeipenda hilo nichaguo sahihi John pombe magufuli apumzike kwa amani mzee wetu tulimpenda sana hata kama alikuwa anaogopwa.
Nimefurai sana Leo kumuona zembwela na nimejifunza mengi toka kwako. Big up salama toto ya zenji. Unajua kuliza maswali na yenye mahana. Awa wandishi wengine wajifunze kutoka kwako.
Mambo - Matamu 😁
I use to enjoy his show at East Africa radio sometimes back from Kenya cheers
Mazungumzo na Hayati Magufuli yamenenwa kwa hekima na ufundi mkubwa.
Nashtuka tu muda umeisha bila kuchoka nadhani hii ni moja ya Interview bora kwangu
@Tysumafrica
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣 Kabisa maongezi matam ile mbaya
Umetisha kaka mkuu
Naona sio vizuri chakula au kinywaji kukatiza mtiririko wa stori. Director angeweza kupiga pozi kidogo mpaka mnenaji aweke nukta
Ni moja ya interview niliyokuwa naisubiri kwa hamu kubwa Sana.... ☺️
@dankirunda3368
2 жыл бұрын
Mimi pia ✌❤
Hapo kitelevision au nilivyozoea 😅😅😅😅
Hii interview ya leo bomba sana ila zembwela katisha sana bila kumsahau salama kwa maswali yake mazuri
UMENIUA KWA JPM TU 🔥🔥🙌
@majidypapeny1527
2 жыл бұрын
Na bonge la fumbo ambalo m2 wakawaida hawezi kulijua kwa haraka R.I.P magufur
@uzungupoint
2 жыл бұрын
@@majidypapeny1527 Kabisa kaka
@josephlorri431
2 жыл бұрын
Majambazi na wezi wa mali zetu ndo tunawashangilia..
Zimbwera Madini mengi xaaana kwa kichwa chako
Zembwela uko vizuri sana kwenye kujieleza
Mpuuzi kweli anamasiala mengi sana
SALAMA KIUKWELI KIPINDI HIKI UMEJIKAZA SANA ILA KATIKA KIPINDI CHAKO CHA MAHOJIANO NA KAKA ZEMBWELA KABALIAO ALA 1 HALIKAI PANGA 2UNACHEK NA
Kari sanaaa hii interview
Salama nakukubali sana. Yaan hivyo tu. You are the best.
Nakubal sana Salama na Zembwela
Juice ya awamu ya kwanza kwa zembwela 🔥🔥
@salomewandya7257
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
Zebwera wewe ni mkweli sana nakumbuka uliwahi kuomba mkombozi wa Tanzania ulipiga magoti ktk redio
Bonge moja ya interview
@rashidomar1558
2 жыл бұрын
Lessons zinapatikana kwa kufanya interview za maana kama hizi
Big up sister salama...Mungu akuweke sana
Salama tuletee helisi rais wa wananchi
Nimefurahia sana hii meeting ni ya kiakil sana imeongelewa na watu makini saana❤
Nime enjoy sana hii episode 🙌🏿🙌🏿 Blessings
very informative kudos
Bila kupindisha Maneno IPP Media imetoa mchango mkubwa sana kwenye tasnia ya Habari ahapa TZ... pamoja na kutoa vichwa mahiri kabisa
@rukiaasnawi9134
2 жыл бұрын
San sana Sanaa lazima tuwe na fadhira tuseme ukweli IPP🔥
@elizagichogo3881
Жыл бұрын
Hyo haina mbishi mbona
Zembwela tunaomba kwa heshima umrudishe kwenye game Mr 20%, ni mwandishi na mwimbaji mwenye mziki wa kuelimisha
Nmejifunzaaa....👍👍👍
i just comparing mkasi na hii show guest zembwela aisee zembwela ananifanya nisome nje ya syllabus ....salama nakuona kama ellen wa ellen show america
hongereni sana kwa hichi kipindi kinatuelimisha sana 🙏
🔥🔥🔥
Zembwela akili Mingi sana🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Nice one l love it
Good interview ujawai kukosea kwahilo interview killer u sister nice
I love what you are doing my gal. I would love to do just like you are doing
Duh Zembwela ni mtu na nusu aseee
Daaaah!! Popcorn 🍿 zimeishaaa.
Good interview salama u do in your life big up
Mashallah, hongera sana Babu, nakuelewa sana 😀😀😀
Good interview keep it up
Zembwela nakupenda sana apo umemzungumzia Magufuri, kila mtu angependa kuchangiya na Magufuri ili tumpe habari za wasaliti, alikuwa nao karibu. Amewaamini. Tanzaniya imerudi nyuma kabisa
@lazarobituro8644
2 жыл бұрын
utakuwa umemiss point mkuu 😂
😂😂😂ninavompenda salama nataman ata apate copy yake💞 mtoto ,akiondoka awepo atakae chukua muonekan na tabia zake NAKUPENDAA😣😩🥰
@tuladavid4223
2 жыл бұрын
Ana mtoto mkubwa
@edwinmbugua7738
2 жыл бұрын
@@tuladavid4223 uongo
@farhatkhamis4401
2 жыл бұрын
@@edwinmbugua7738 kweli anae wa kiume
@edwinmbugua7738
2 жыл бұрын
@@farhatkhamis4401 mapya hayo. Kazaa lini na nani?
Good interview
Best episode kwa mwaka huo zembwela ana madini mengi sana
Salama ni hatari sana....,
Sharp sana istafrika
Glas ya kwanza ilivyonyongwa nilipause ⏸️ kwa kucheka kwanza🤣🤣🤣
@kweka14l35
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ya Pili amesema imekuja ya Kuektia 😂
@neemaokechi1729
7 ай бұрын
Nlikuwa namtafuta mwenzang mwenye hii comments yan nmecheka saana 😅😅😅
Interview Kali Sana.. One Of The Best
Joseph John Pombe Magufuri daaaah!!. R.I.P daddy 👨....
@hijazhija316
2 жыл бұрын
Pole sana
Umeongea point sana
Nimeisubiri Sana hii muda mrefu
Zembwela ❤❤❤❤
"Gari bovu huvutwa gari zima" ha ha ha
Great mind zembwela
Zembwela nakukubali sana brother nakupenda huzarau maskini
Salamaa.nakupenda.sanaa
salama please naomba umlete chid benz nakuomba 😔
The big show in town, big up kwa team yote. #SalamaNaZembwela
Kongole sana kwa kipindi kizuri.. Heshima kubwa kwa babu Zembwela
Hahahahahaha nimeipenda
SALAMA KATKA MAHOJIANO YA WATU TOFAUTI NANI ALIKUWA MAJIBU YAKE YALIKUWA YA KUCHEKESH SAN NA ULICHEK KIASI KUJIKAZA?
@nobbylovetv4977
2 жыл бұрын
Hii ni siku akimuhoji joti
Zembwela Babu Mswahili 🔥
Salama vpi ile interview na zuchu bado huja ipost
Hapo kwa maguful nimemuelewa...hongera zmbwela...
@cineplus-tv255
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/ZXutptlwo8u8o6Q.html
Kweli Max amefariki zamani sanaa mpaka zembwela swaiba wake ameshamsahau. Sikutegemea kama asingetamani kumuona tena kwenye meza pamoja
Zembwela very big up men!!!
😆😆😆 wallah uyu kka namependag saan anamaneno ni muwazi mashaallah Allah akubariki
@laylapagae6324
2 жыл бұрын
Amiin
Salamaaa
Huo ni uzarendo mkubwa sana kuwa mkweli sio kama harmonize anaejiona tembo asie na mama wala mkubwa
Nilitamani kusikia zembwela kwenye swali la Kula na watu walio tangulia mbele za haki Angemtaja #makisi mtu alie Anza nae Safari ya kujitafta
JPM! SAFI SANA ZEMBWELA
Imetishaa sana🙏🤣🔥🔥
I love this man ana busara mno
@cineplus-tv255
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/ZXutptlwo8u8o6Q.html
Kwa kufupisha angesema tu anawapenda wasanii wote maana bila kukatishwa angewataja wote...🤣🤣🤣
Hiyo juice ulivyo ipiga tarupeta!!!
Mpaka leo kipindi mlichokifanya cha mkasi 😂😂
Kwenye juice noma saaaana bro
Interview nzur sana .
Hahaha nimecheka Zembwela alivyoangalia chakula 🤣🤣
@shd12m55
2 жыл бұрын
😀
@cineplus-tv255
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/ZXutptlwo8u8o6Q.html
Nimekupanda bure zembwela