"Nilibadili Dini, Marafiki Wakaanza Kunitisha, Ilikuwa Inanitesa Sana" |SALAMA NA GODLIVER PT1
Ойын-сауық
#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
LUVVIE
Jina la episode litosheleze kumuelezea mgeni wetu wa wiki hii, hodari, mahiri, mcheshi na mwenye kujielewa ila kikubwa kuliko yote ni Mwanamke. Alipotoka na mipango yake ya maisha ilikua ni moja ya chachu zilizotufanya mimi na wenzangu tuone anastahili kukaa kitako kwenye kiti chetu kile kilichopauka. Na hakukua na mjadala juu ya yeye kuipata nafasi hii.
Godliver kwa sasa ndo nyota yetu ing’arayo kila kona ya bara na dunia kwa ujumla, kwa imani niliyonayo kwake naamini huu ni mwanzo tu wa mengi makubwa na mazuri na pengine ya kushangaza na kuiandikia historia Taifa letu yanakuja, kiu hiyo ya kupata hayo na zaidi unaiona kwenye macho yake na kujiamini alikonako. Ukibahatika na kuangalia kazi zake basi ndo utazidi kuamini na kumtakia kila lenye kheri.
Mitihani na kupanda na kushuka kwenye maisha yake naye alipitia kama kila mmoja wetu, jinsi alivyokua anayapangua na kutengeneza kinywaji kila mara alipokua anarushiwa malimao kumemfanya awe na kiu zaidi na kutaka kusonga mbele zaidi kwa kasi ya majaaliwa.
Alianza kama mas’hara tu na mengine ni historia tu kwa sasa. Mama wa mtoto mmoja ambaye ni kila kitu kwake, Godliver ananihadithia moja ya mikasa mingi ilowahi kumkuta maishani mwake, na pia amenikumbusha umuhimu wa kuchagua marafiki na watu ambao unawaweka karibu kwenye maisha yako.
Alishawahi kubadili dini na kuwa Muislamu, bahati nzuri alikua na wazazi ambao ni waelewa sana, hakuna aliyekua anamhukumu kwenye maamuzi yake, pengine walikua disappointed kwa kiasi fulani, zaidi Mzee wake lakini wala hakuonyesha kushutushwa au kutaka kumsema vibaya kwa maamuzi yake, badala yake waliheshimu na kumpa support tu kwenye maamuzi na maisha yake.
Maisha yamemumfundisha mengi tu, pengine kwa adhabu zaidi yamemfundisha kuwa marafiki ambao ndo aliwaona wanampenda sana waliishia kumhusisha na mambo ambayo si mazuri na ambayo yalimfanya ajaribu imani yake kwa kiasi kikubwa sana.
Humu anakumbuka jinsi alivyokua anahangaika kwa waganga na kujaribu kwa nguvu vitu ambayo vilikua hata havihitaji hiyo njia ambayo alikua anaaminishwa kama ndo zilikua sahihi.
Anakumbuka Imani yake ilivyo jaribiwa na utukufu wa Mungu alipokuja kumuongoza.
Hapo juu nilisema huyo ndo muigizaji BORA wa kike kwa sasa, pengine wengine wanaweza wakawa na mawazo tofauti kidogo na haikatazwi, ila kwenye vitabu vyangu? Kwa hesabu ya leo? Huyu ndo Mama yao.
Sasa aliwezaje kutoka huko? Alikutana vipi na Baba wa mtoto wake? Na filamu au kazi yake ya kwanza ilikua inatwaje? Na aliipataje hasa? Nani ndo anamuangalia sana maishani mwake? Ambaye angependa kuwa kama yeye? Wapi anajiona huko mbele kwenye kazi yake hii?
Natumai utajifunza mawili matatu kutoka kwa Dada Mkali na uta enjoy pia.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Пікірлер: 425
Usiwe mkristo tu kua sister kabisaa afu uwone kama aloumba mbingu atapungukiwa kitu uislamu ndo dini Tu no duscas
Jina la YESU ni dawa ni faraja linaponyaa linauwisha Lina fariji aisee kam ww umebahatikaa kumpata Yesu , mashukuru Mungu aisee hii ni NEEMA , NEEMA nikwamba umepata kitu ambacho hukistaili so aiseee tushukuru kuwa wakristo 💒🙏👍💪❤️😘
@FaridaSilwani
Жыл бұрын
🙏🙏
@hamadmohamed3056
Жыл бұрын
Yesu awe Mungu Kisha wanaadamu wamkamate wamuuwe!
@Oldskulgemini9991
Жыл бұрын
@@hamadmohamed3056 punguzeni kutupia watu majini mnazingua kinoma😂😂
Umeniletea mtu ninayempenda sana, personality yake tu mimi inanikosha mno. Big love Anna 😍
Wow!Godliver umesema vizur umeokoka na unampenda Yesu:Nakupenda unajua kuigiza pia luv❤
Kila ulimi utakiri Yesu ni Bwana
@user-ls8rn4tz5m
Жыл бұрын
Make apo kwanza nicheke 😂😂😂
@mishyomar3567
9 ай бұрын
@@user-ls8rn4tz5m😅😂
Mungu wa mbinguni akubariki sana na uzidi kumpenda mungu na mungu bila shaka ataoneka ndani yako
Kwa hiyo ana uliacha uislam kwa sababu ya marafiki wabaya wewe hukua na msimamo usitudanyanye bana
Godliva is awesome in each way, Salama unajua mpka unaboa yani ni balaa
mskini , nilikuhukumu ktk nafsi yangu kumbe kosa lilitokana na waislam wenyewe. ungepata misingi sahihi ya dini usingerudi kwenye ukristo
Umeongea vizuri...Pili uislamu na ushirkina ni vitu viwili tofauti ulipata watu sio sahihi kabisa
Mi pia nakupenda sana Godliver Mungu atukuzwe kwa ajili yako
Hao marafiki ni sababu tu ya ww kurud ukristo coz haukua na Imani na amani na ujasir w kutosha w kufocus na dini ambayo ni ngeni kwko ata muislam ambaye ange shift ukristo ange do the same even if asingekutana na marafiki hovyo.
Qur an inatosha sana kikubwa ni kujuwa vipi utaitumia kwa shida zako
Nazani Interview hii itakuwa Nzuri sana ngoja tuone
Nawapenda Wote Kwaajili Ya M/MUNGU 🙏🙏🙏😘😘😘
Uliwekwa huru dada, baada ya Uhuru na gharama zake! Inafurahisha!
She is story teller, she is good and smart.
Nakupenda God live
Kumbe nishomile mwenzangu🥰🥰
Polesana ulikutana na waislamu jina afu ukisema dini unakihukumu uislamu kwajiri ya hao matapeli umejichanganya sana mana hayo majini kanisani ndo kilasiku wanaombea sasa mwamposa na wenzie ndo kaziako yesu anafanyinini
Ulikuwa ukipendeza sana ulipokuwa ukivaaa ushungi
Ila salama ni mrembo jamani ❤️❤️ I love you 💚
@khadijasalama6074
Жыл бұрын
Ahsante ila ndivyo tulivyo masalama ama vp
Nlikuwa najiuliza kwa nini nampenda kumbe ndo maana 💞💞 Nakupenda wewe Dada jamani
@atuganileabrahamu4582
Жыл бұрын
Tupe Sababu Ya Kumpenda By Loveness Ibrahimu
@neemaandera5514
Жыл бұрын
Nakupenda wewe Dada
Tha beautiful story of testimony of the blood of Jesus very powerful
Nakupenda Sana dada kazi yako nzuri sana
She is very humble
Godliver my favourite and the best actress
Huyu salama ana jua kuuliza sana
LOVE HER SO MUCH❤❤❤
yote maisha cha muhimu kumjua Mungu
💙Yeah nakupend sana 😘
Woooh ubarikiwe sana anna
Thank you for coming back to Christian 🙏
unafanya kazi yako vizuli dada Ana mungu akubariki
Sio tuu nakupenda nakupenda zaidi yasana
It's marvelous interview waited along time .
Yan salama na Godliver❤️❤️❤️❤️💋💋💋
Nampenda salama
I LOVE YOU GODLIVER..YOU ARE SUCH AN INSPIRATION!!! 🔥🔥❤❤❤💥💥
Nakupenda❤❤ dada Ana MUNGU awe nawe
God bless u sanaaa
Great interview ila part 2 siioni
Salma my dada kaz nzuri sana na godlvar
Nakupenda maira
Godliver 🔥🔥🔥🔥🔥❤️🏆
Nice interview
Nakukumbuka kweny nusura ulikuw mke wa cheche❤
Dada huo ni mtihami ujue wislamu ni dini ya kweli Sasa wanachikifanya watu wengi hawaamini maandiko wànawafuata watu Hilo balaa Quran haijabakisha kitu, manake hata hao wanaosali halafu wanaroga au kwenda kwa wagani wote motoni
@nicholousmtemi3902
Жыл бұрын
Kwa yesu ndo mahali sahihi hajakosea
@rizoibrahimovich605
Жыл бұрын
Inategemea unaenda Kwa mganga kufanya nn, kama unaenda kujikinga sidhani kama ni dhambi
@winfridahaule4364
11 ай бұрын
@@rizoibrahimovich605Mungu ataki kuchanganywa Kinga ni Mungu pekee
@lilianmoyo9369
26 күн бұрын
Tuonyeshe alierudi kutoka wafu akakwambia hayo au ndio bendera fuata upepo
Takbir
Shout out kwa Mwanangu Mboghochov...
Penda sana❤❤
Hawa waganga Mtihani sana
Dunia ni gereza kwa waislam na dunia ni dunia ni pepo kwa makafiri unajihisi km maisha umeyapatia kumbe ni starrehe ya dunia tu
@user-ke8yz8eu2l
Ай бұрын
Allah akuongoze
Salama mnafiki et hata mimi nampenda Yesu😂😂😂😂😂
Jaman kitu cha bk hicho nakupenda mno anna
Asante YESU aliekurudisha mtoto wake! There was a reason @godlivergordian
@MsAggie5
Жыл бұрын
Akikuchagua hupotea, utaenda na kurudi nyumbani Kwa Bwana, hallelujah on that. Sifa na utukufu anao yeye.
I never watch interview za kiswahili like this hadi mwisho, I love this actress.
@ngoni7944
Жыл бұрын
But English belong to white people
Hukuingia kweny uislam. Si kwa7bu mungu
Thank u Jesus ulirudi ukristo nilikua nimeanza kkuchukia kujua kumbe we muislam tena fata mkumbo, abarikiwe baba aliekuombea, atukuzwe Yesu alikurwjesha
@brigithadidas5128
Жыл бұрын
Sasa hata kama angekuwa muislam tena why umchukie?
@fatmazullu4933
Жыл бұрын
@@brigithadidas5128 chizi huyo!
@happyhousekeeper
Жыл бұрын
Chuki haitakiwi
@agnessjohn1222
Жыл бұрын
Wenzetu ushirikina nikawaida Yao ninao ndugu zangu ndio maisha Yao wamefilisika kwakuendekeza waganga wanaishi maisha ya hofu Sana wao kilamtu ni mchawi wanaishi maisha ya hofu siku zote
@annahulilo6719
Жыл бұрын
@@brigithadidas5128 Yes! Chuki sio mbele za Mungu.
Mzur
I love this gal
Safi dada una ujasiri wa kusema habari za Yesu kwa ujasiri mkubwa
Salama,, ni mzuri ,,hazeeki,,,love salama,,❤❤
It's true. Getrude she is the best
Hakuna muislam yeyote anemchukia yesu. ila nyiny wa kristo sio waelewa
Ubungo kisiwani my best school,,
Dah umemleta mtu Makin Sanaa🥰💓
Nampenda huyu dada sana
Nawachukia hao marafik waliokusumbua Kupitia uislam but I love 💞 so much anna
I love u Anna wa jua kal.....
nampenda sna hyu dada kutoka moyoni i wish nije kuwa kma yy mbelen coz napend sn uigizaji
Salama umenenepa Mashaallah
@maisarahnassoro814
Жыл бұрын
Tena kanenepa na nusu
Nice show
Wooh 😍🥰G
Nakupenda wewe ni kitu usicho kijua❤
Nampenda sana huyu dada jamani
Jaman nampenda uyu dada...
Nampenda huyo dada htr
She knows what she is doing 🔥🔥
Ni dhairi waislamu wanatumia majini, sule akuwa wazi Kwa ilo,lakini DAMU,ya YESU Iko na nguvu ya toa Kila nguvu za giza
My biggest brother khaaaa kinge hiki hahahaha, my Elder brother
Big up
Ulishajua sio watu sahihi ungetafuta watu sahihi wangekusaidia km kweli ulikua na nia na unaupenda uislamu
Godliver 🥰🥰❤
Nampenda.ana.kama.ninavyo.kupenda.madam.salama.mmmmwaaaaaa
Ulikutana na matapeli. Hawakuwa Muslims.
Asante yesu aliyekurudisha mikononi mwake
Safi
Wewe umeongea UKWELI
We dada ninakupenda mpaka najishangaa natamani siku nionane nawew lakini naona hixhokibali sina ila nakupenda sana Anna
@aminarichard4302
Жыл бұрын
Inshaallh utamuon tu
Yan huyu dada jmn...nampenda mno mno
Wooow
Nakupenda wwe dda hujuwitu na omba siku moja tukutane my
aww i love her jamn 🥰🥰
Nice..Waoo
I love your story sstr GODLVR
I love you my Ana wa jua kali
Kipenzi changu Godliver
Nagalia hiki kipindi leo nipo hapa Woodland Hills, nje ya Jiji la Los Angeles, California. Ahsante sana kwa kipindi na maswali mazuri.
@Catherine-mh8sw
Жыл бұрын
Njoo vegas😂
Mwaaaa ana love you so much