"Nilibadili Dini, Marafiki Wakaanza Kunitisha, Ilikuwa Inanitesa Sana" |SALAMA NA GODLIVER PT1

Ойын-сауық

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
LUVVIE
Jina la episode litosheleze kumuelezea mgeni wetu wa wiki hii, hodari, mahiri, mcheshi na mwenye kujielewa ila kikubwa kuliko yote ni Mwanamke. Alipotoka na mipango yake ya maisha ilikua ni moja ya chachu zilizotufanya mimi na wenzangu tuone anastahili kukaa kitako kwenye kiti chetu kile kilichopauka. Na hakukua na mjadala juu ya yeye kuipata nafasi hii.
Godliver kwa sasa ndo nyota yetu ing’arayo kila kona ya bara na dunia kwa ujumla, kwa imani niliyonayo kwake naamini huu ni mwanzo tu wa mengi makubwa na mazuri na pengine ya kushangaza na kuiandikia historia Taifa letu yanakuja, kiu hiyo ya kupata hayo na zaidi unaiona kwenye macho yake na kujiamini alikonako. Ukibahatika na kuangalia kazi zake basi ndo utazidi kuamini na kumtakia kila lenye kheri.
Mitihani na kupanda na kushuka kwenye maisha yake naye alipitia kama kila mmoja wetu, jinsi alivyokua anayapangua na kutengeneza kinywaji kila mara alipokua anarushiwa malimao kumemfanya awe na kiu zaidi na kutaka kusonga mbele zaidi kwa kasi ya majaaliwa.
Alianza kama mas’hara tu na mengine ni historia tu kwa sasa. Mama wa mtoto mmoja ambaye ni kila kitu kwake, Godliver ananihadithia moja ya mikasa mingi ilowahi kumkuta maishani mwake, na pia amenikumbusha umuhimu wa kuchagua marafiki na watu ambao unawaweka karibu kwenye maisha yako.
Alishawahi kubadili dini na kuwa Muislamu, bahati nzuri alikua na wazazi ambao ni waelewa sana, hakuna aliyekua anamhukumu kwenye maamuzi yake, pengine walikua disappointed kwa kiasi fulani, zaidi Mzee wake lakini wala hakuonyesha kushutushwa au kutaka kumsema vibaya kwa maamuzi yake, badala yake waliheshimu na kumpa support tu kwenye maamuzi na maisha yake.
Maisha yamemumfundisha mengi tu, pengine kwa adhabu zaidi yamemfundisha kuwa marafiki ambao ndo aliwaona wanampenda sana waliishia kumhusisha na mambo ambayo si mazuri na ambayo yalimfanya ajaribu imani yake kwa kiasi kikubwa sana.
Humu anakumbuka jinsi alivyokua anahangaika kwa waganga na kujaribu kwa nguvu vitu ambayo vilikua hata havihitaji hiyo njia ambayo alikua anaaminishwa kama ndo zilikua sahihi.
Anakumbuka Imani yake ilivyo jaribiwa na utukufu wa Mungu alipokuja kumuongoza.
Hapo juu nilisema huyo ndo muigizaji BORA wa kike kwa sasa, pengine wengine wanaweza wakawa na mawazo tofauti kidogo na haikatazwi, ila kwenye vitabu vyangu? Kwa hesabu ya leo? Huyu ndo Mama yao.
Sasa aliwezaje kutoka huko? Alikutana vipi na Baba wa mtoto wake? Na filamu au kazi yake ya kwanza ilikua inatwaje? Na aliipataje hasa? Nani ndo anamuangalia sana maishani mwake? Ambaye angependa kuwa kama yeye? Wapi anajiona huko mbele kwenye kazi yake hii?
Natumai utajifunza mawili matatu kutoka kwa Dada Mkali na uta enjoy pia.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 425

  • @AyubuKalukula
    @AyubuKalukula24 күн бұрын

    Usiwe mkristo tu kua sister kabisaa afu uwone kama aloumba mbingu atapungukiwa kitu uislamu ndo dini Tu no duscas

  • @floramarinyo3517
    @floramarinyo3517 Жыл бұрын

    Jina la YESU ni dawa ni faraja linaponyaa linauwisha Lina fariji aisee kam ww umebahatikaa kumpata Yesu , mashukuru Mungu aisee hii ni NEEMA , NEEMA nikwamba umepata kitu ambacho hukistaili so aiseee tushukuru kuwa wakristo 💒🙏👍💪❤️😘

  • @FaridaSilwani

    @FaridaSilwani

    Жыл бұрын

    🙏🙏

  • @hamadmohamed3056

    @hamadmohamed3056

    Жыл бұрын

    Yesu awe Mungu Kisha wanaadamu wamkamate wamuuwe!

  • @Oldskulgemini9991

    @Oldskulgemini9991

    Жыл бұрын

    @@hamadmohamed3056 punguzeni kutupia watu majini mnazingua kinoma😂😂

  • @_fizzle
    @_fizzle Жыл бұрын

    Umeniletea mtu ninayempenda sana, personality yake tu mimi inanikosha mno. Big love Anna 😍

  • @neemashao5328
    @neemashao532811 ай бұрын

    Wow!Godliver umesema vizur umeokoka na unampenda Yesu:Nakupenda unajua kuigiza pia luv❤

  • @magiehermess9949
    @magiehermess9949 Жыл бұрын

    Kila ulimi utakiri Yesu ni Bwana

  • @user-ls8rn4tz5m

    @user-ls8rn4tz5m

    Жыл бұрын

    Make apo kwanza nicheke 😂😂😂

  • @mishyomar3567

    @mishyomar3567

    9 ай бұрын

    ​@@user-ls8rn4tz5m😅😂

  • @user-wo8dz3tu5b
    @user-wo8dz3tu5b Жыл бұрын

    Mungu wa mbinguni akubariki sana na uzidi kumpenda mungu na mungu bila shaka ataoneka ndani yako

  • @halimajumanne9778
    @halimajumanne9778 Жыл бұрын

    Kwa hiyo ana uliacha uislam kwa sababu ya marafiki wabaya wewe hukua na msimamo usitudanyanye bana

  • @luckyshija6649
    @luckyshija6649 Жыл бұрын

    Godliva is awesome in each way, Salama unajua mpka unaboa yani ni balaa

  • @WahidYahya-bf4lq
    @WahidYahya-bf4lq Жыл бұрын

    mskini , nilikuhukumu ktk nafsi yangu kumbe kosa lilitokana na waislam wenyewe. ungepata misingi sahihi ya dini usingerudi kwenye ukristo

  • @choggysly3541
    @choggysly3541 Жыл бұрын

    Umeongea vizuri...Pili uislamu na ushirkina ni vitu viwili tofauti ulipata watu sio sahihi kabisa

  • @jacquelinelukambuzi5085
    @jacquelinelukambuzi5085 Жыл бұрын

    Mi pia nakupenda sana Godliver Mungu atukuzwe kwa ajili yako

  • @Fatmafo6gojh
    @Fatmafo6gojh Жыл бұрын

    Hao marafiki ni sababu tu ya ww kurud ukristo coz haukua na Imani na amani na ujasir w kutosha w kufocus na dini ambayo ni ngeni kwko ata muislam ambaye ange shift ukristo ange do the same even if asingekutana na marafiki hovyo.

  • @majaliwamussa1343
    @majaliwamussa1343 Жыл бұрын

    Qur an inatosha sana kikubwa ni kujuwa vipi utaitumia kwa shida zako

  • @noahyavinmlela859
    @noahyavinmlela859 Жыл бұрын

    Nazani Interview hii itakuwa Nzuri sana ngoja tuone

  • @yassintaibrahim3541
    @yassintaibrahim3541 Жыл бұрын

    Nawapenda Wote Kwaajili Ya M/MUNGU 🙏🙏🙏😘😘😘

  • @pastorvincent9851
    @pastorvincent985127 күн бұрын

    Uliwekwa huru dada, baada ya Uhuru na gharama zake! Inafurahisha!

  • @thomaslyimo1729
    @thomaslyimo1729 Жыл бұрын

    She is story teller, she is good and smart.

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 Жыл бұрын

    Nakupenda God live

  • @alphredinaalphonce7043
    @alphredinaalphonce7043 Жыл бұрын

    Kumbe nishomile mwenzangu🥰🥰

  • @AyubuKalukula
    @AyubuKalukula24 күн бұрын

    Polesana ulikutana na waislamu jina afu ukisema dini unakihukumu uislamu kwajiri ya hao matapeli umejichanganya sana mana hayo majini kanisani ndo kilasiku wanaombea sasa mwamposa na wenzie ndo kaziako yesu anafanyinini

  • @user-mo1ui4qm7x
    @user-mo1ui4qm7x5 ай бұрын

    Ulikuwa ukipendeza sana ulipokuwa ukivaaa ushungi

  • @laoiyadi1176
    @laoiyadi1176 Жыл бұрын

    Ila salama ni mrembo jamani ❤️❤️ I love you 💚

  • @khadijasalama6074

    @khadijasalama6074

    Жыл бұрын

    Ahsante ila ndivyo tulivyo masalama ama vp

  • @gracejasson8690
    @gracejasson8690 Жыл бұрын

    Nlikuwa najiuliza kwa nini nampenda kumbe ndo maana 💞💞 Nakupenda wewe Dada jamani

  • @atuganileabrahamu4582

    @atuganileabrahamu4582

    Жыл бұрын

    Tupe Sababu Ya Kumpenda By Loveness Ibrahimu

  • @neemaandera5514

    @neemaandera5514

    Жыл бұрын

    Nakupenda wewe Dada

  • @hilaryarande-gs8ht
    @hilaryarande-gs8ht24 күн бұрын

    Tha beautiful story of testimony of the blood of Jesus very powerful

  • @deborahkabwe6057
    @deborahkabwe6057 Жыл бұрын

    Nakupenda Sana dada kazi yako nzuri sana

  • @amazing_grace5392
    @amazing_grace5392 Жыл бұрын

    She is very humble

  • @virendavictoria5174
    @virendavictoria5174 Жыл бұрын

    Godliver my favourite and the best actress

  • @isacksaimon4532
    @isacksaimon4532 Жыл бұрын

    Huyu salama ana jua kuuliza sana

  • @cailesatieno4998
    @cailesatieno4998 Жыл бұрын

    LOVE HER SO MUCH❤❤❤

  • @jacquelinekahamba7872
    @jacquelinekahamba787211 ай бұрын

    yote maisha cha muhimu kumjua Mungu

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Жыл бұрын

    💙Yeah nakupend sana 😘

  • @BhokeWarioba
    @BhokeWarioba Жыл бұрын

    Woooh ubarikiwe sana anna

  • @laurenciam2i459
    @laurenciam2i459 Жыл бұрын

    Thank you for coming back to Christian 🙏

  • @mwanahamishassan8017
    @mwanahamishassan8017 Жыл бұрын

    unafanya kazi yako vizuli dada Ana mungu akubariki

  • @user-lm2rc7qm5d
    @user-lm2rc7qm5d Жыл бұрын

    Sio tuu nakupenda nakupenda zaidi yasana

  • @michaelchuwa1879
    @michaelchuwa1879 Жыл бұрын

    It's marvelous interview waited along time .

  • @pendondossy4181
    @pendondossy4181 Жыл бұрын

    Yan salama na Godliver❤️❤️❤️❤️💋💋💋

  • @ahiakkessy5949
    @ahiakkessy5949 Жыл бұрын

    Nampenda salama

  • @jacksonkendavis8689
    @jacksonkendavis8689 Жыл бұрын

    I LOVE YOU GODLIVER..YOU ARE SUCH AN INSPIRATION!!! 🔥🔥❤❤❤💥💥

  • @user-xw6ml2uy9v
    @user-xw6ml2uy9v Жыл бұрын

    Nakupenda❤❤ dada Ana MUNGU awe nawe

  • @rosegideon336
    @rosegideon336 Жыл бұрын

    God bless u sanaaa

  • @bustani-inn7328
    @bustani-inn7328 Жыл бұрын

    Great interview ila part 2 siioni

  • @lucydelina1749
    @lucydelina1749 Жыл бұрын

    Salma my dada kaz nzuri sana na godlvar

  • @pendozakariya2601
    @pendozakariya2601 Жыл бұрын

    Nakupenda maira

  • @dullydullahsenior756
    @dullydullahsenior756 Жыл бұрын

    Godliver 🔥🔥🔥🔥🔥❤️🏆

  • @azinarashidi5204
    @azinarashidi5204 Жыл бұрын

    Nice interview

  • @rukiaussi2764
    @rukiaussi2764 Жыл бұрын

    Nakukumbuka kweny nusura ulikuw mke wa cheche❤

  • @ramadhaninkondeja2018
    @ramadhaninkondeja2018 Жыл бұрын

    Dada huo ni mtihami ujue wislamu ni dini ya kweli Sasa wanachikifanya watu wengi hawaamini maandiko wànawafuata watu Hilo balaa Quran haijabakisha kitu, manake hata hao wanaosali halafu wanaroga au kwenda kwa wagani wote motoni

  • @nicholousmtemi3902

    @nicholousmtemi3902

    Жыл бұрын

    Kwa yesu ndo mahali sahihi hajakosea

  • @rizoibrahimovich605

    @rizoibrahimovich605

    Жыл бұрын

    Inategemea unaenda Kwa mganga kufanya nn, kama unaenda kujikinga sidhani kama ni dhambi

  • @winfridahaule4364

    @winfridahaule4364

    11 ай бұрын

    ​@@rizoibrahimovich605Mungu ataki kuchanganywa Kinga ni Mungu pekee

  • @lilianmoyo9369

    @lilianmoyo9369

    26 күн бұрын

    Tuonyeshe alierudi kutoka wafu akakwambia hayo au ndio bendera fuata upepo

  • @omarkhamis4220
    @omarkhamis4220 Жыл бұрын

    Takbir

  • @rodrickmataba8999
    @rodrickmataba8999 Жыл бұрын

    Shout out kwa Mwanangu Mboghochov...

  • @neemaandera5514
    @neemaandera5514 Жыл бұрын

    Penda sana❤❤

  • @majaliwamussa1343
    @majaliwamussa1343 Жыл бұрын

    Hawa waganga Mtihani sana

  • @user-mo1ui4qm7x
    @user-mo1ui4qm7x5 ай бұрын

    Dunia ni gereza kwa waislam na dunia ni dunia ni pepo kwa makafiri unajihisi km maisha umeyapatia kumbe ni starrehe ya dunia tu

  • @user-ke8yz8eu2l

    @user-ke8yz8eu2l

    Ай бұрын

    Allah akuongoze

  • @arjunelly540
    @arjunelly54011 ай бұрын

    Salama mnafiki et hata mimi nampenda Yesu😂😂😂😂😂

  • @jacklinenestory9945
    @jacklinenestory9945 Жыл бұрын

    Jaman kitu cha bk hicho nakupenda mno anna

  • @mercynina6288
    @mercynina6288 Жыл бұрын

    Asante YESU aliekurudisha mtoto wake! There was a reason @godlivergordian

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    Жыл бұрын

    Akikuchagua hupotea, utaenda na kurudi nyumbani Kwa Bwana, hallelujah on that. Sifa na utukufu anao yeye.

  • @hawasapi5480
    @hawasapi5480 Жыл бұрын

    I never watch interview za kiswahili like this hadi mwisho, I love this actress.

  • @ngoni7944

    @ngoni7944

    Жыл бұрын

    But English belong to white people

  • @user-sh7vv6wd3l
    @user-sh7vv6wd3l Жыл бұрын

    Hukuingia kweny uislam. Si kwa7bu mungu

  • @gaspamgasa2366
    @gaspamgasa2366 Жыл бұрын

    Thank u Jesus ulirudi ukristo nilikua nimeanza kkuchukia kujua kumbe we muislam tena fata mkumbo, abarikiwe baba aliekuombea, atukuzwe Yesu alikurwjesha

  • @brigithadidas5128

    @brigithadidas5128

    Жыл бұрын

    Sasa hata kama angekuwa muislam tena why umchukie?

  • @fatmazullu4933

    @fatmazullu4933

    Жыл бұрын

    @@brigithadidas5128 chizi huyo!

  • @happyhousekeeper

    @happyhousekeeper

    Жыл бұрын

    Chuki haitakiwi

  • @agnessjohn1222

    @agnessjohn1222

    Жыл бұрын

    Wenzetu ushirikina nikawaida Yao ninao ndugu zangu ndio maisha Yao wamefilisika kwakuendekeza waganga wanaishi maisha ya hofu Sana wao kilamtu ni mchawi wanaishi maisha ya hofu siku zote

  • @annahulilo6719

    @annahulilo6719

    Жыл бұрын

    @@brigithadidas5128 Yes! Chuki sio mbele za Mungu.

  • @zakhiamsuya4922
    @zakhiamsuya4922 Жыл бұрын

    Mzur

  • @alonto8159
    @alonto8159 Жыл бұрын

    I love this gal

  • @upendokiwanga9538
    @upendokiwanga95383 ай бұрын

    Safi dada una ujasiri wa kusema habari za Yesu kwa ujasiri mkubwa

  • @Nadia-fg8yr
    @Nadia-fg8yr Жыл бұрын

    Salama,, ni mzuri ,,hazeeki,,,love salama,,❤❤

  • @magiehermess9949
    @magiehermess9949 Жыл бұрын

    It's true. Getrude she is the best

  • @user-sh7vv6wd3l
    @user-sh7vv6wd3l Жыл бұрын

    Hakuna muislam yeyote anemchukia yesu. ila nyiny wa kristo sio waelewa

  • @angelraphael4500
    @angelraphael4500 Жыл бұрын

    Ubungo kisiwani my best school,,

  • @jelistinajoel5888
    @jelistinajoel5888 Жыл бұрын

    Dah umemleta mtu Makin Sanaa🥰💓

  • @modestamashoke9038
    @modestamashoke9038 Жыл бұрын

    Nampenda huyu dada sana

  • @abdul-razaksheha7793
    @abdul-razaksheha7793 Жыл бұрын

    Nawachukia hao marafik waliokusumbua Kupitia uislam but I love 💞 so much anna

  • @catherinemathew5742
    @catherinemathew5742 Жыл бұрын

    I love u Anna wa jua kal.....

  • @ilhamrachel8474
    @ilhamrachel8474 Жыл бұрын

    nampenda sna hyu dada kutoka moyoni i wish nije kuwa kma yy mbelen coz napend sn uigizaji

  • @mariambakari7796
    @mariambakari7796 Жыл бұрын

    Salama umenenepa Mashaallah

  • @maisarahnassoro814

    @maisarahnassoro814

    Жыл бұрын

    Tena kanenepa na nusu

  • @saidimtera6665
    @saidimtera6665 Жыл бұрын

    Nice show

  • @nasekilebwaya8925
    @nasekilebwaya8925 Жыл бұрын

    Wooh 😍🥰G

  • @melinaferuzi7842
    @melinaferuzi784211 ай бұрын

    Nakupenda wewe ni kitu usicho kijua❤

  • @irenemlay9769
    @irenemlay9769 Жыл бұрын

    Nampenda sana huyu dada jamani

  • @christermademla5802
    @christermademla5802 Жыл бұрын

    Jaman nampenda uyu dada...

  • @ashahajji6876
    @ashahajji6876 Жыл бұрын

    Nampenda huyo dada htr

  • @magiehermess9949
    @magiehermess9949 Жыл бұрын

    She knows what she is doing 🔥🔥

  • @hilaryarande-gs8ht
    @hilaryarande-gs8ht24 күн бұрын

    Ni dhairi waislamu wanatumia majini, sule akuwa wazi Kwa ilo,lakini DAMU,ya YESU Iko na nguvu ya toa Kila nguvu za giza

  • @brendagabriel2052
    @brendagabriel2052 Жыл бұрын

    My biggest brother khaaaa kinge hiki hahahaha, my Elder brother

  • @fatmasaidi5965
    @fatmasaidi5965 Жыл бұрын

    Big up

  • @lovelyliliy5822
    @lovelyliliy58223 ай бұрын

    Ulishajua sio watu sahihi ungetafuta watu sahihi wangekusaidia km kweli ulikua na nia na unaupenda uislamu

  • @annamerykamala4152
    @annamerykamala4152 Жыл бұрын

    Godliver 🥰🥰❤

  • @mwajumasuleiman9767
    @mwajumasuleiman9767 Жыл бұрын

    Nampenda.ana.kama.ninavyo.kupenda.madam.salama.mmmmwaaaaaa

  • @shangweyussuf640
    @shangweyussuf640 Жыл бұрын

    Ulikutana na matapeli. Hawakuwa Muslims.

  • @jamespilimo8986
    @jamespilimo8986 Жыл бұрын

    Asante yesu aliyekurudisha mikononi mwake

  • @moses_2555
    @moses_2555 Жыл бұрын

    Safi

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 Жыл бұрын

    Wewe umeongea UKWELI

  • @queenmwaweya9691
    @queenmwaweya9691 Жыл бұрын

    We dada ninakupenda mpaka najishangaa natamani siku nionane nawew lakini naona hixhokibali sina ila nakupenda sana Anna

  • @aminarichard4302

    @aminarichard4302

    Жыл бұрын

    Inshaallh utamuon tu

  • @samsoniadamu2727
    @samsoniadamu2727 Жыл бұрын

    Yan huyu dada jmn...nampenda mno mno

  • @tynercolin5060
    @tynercolin5060 Жыл бұрын

    Wooow

  • @leauwikunze3903
    @leauwikunze390311 ай бұрын

    Nakupenda wwe dda hujuwitu na omba siku moja tukutane my

  • @kennedybernard564
    @kennedybernard564 Жыл бұрын

    aww i love her jamn 🥰🥰

  • @rebecapeter8694
    @rebecapeter8694 Жыл бұрын

    Nice..Waoo

  • @sophiamfikwa7340
    @sophiamfikwa7340 Жыл бұрын

    I love your story sstr GODLVR

  • @josephernest4500
    @josephernest4500 Жыл бұрын

    I love you my Ana wa jua kali

  • @ceyengineeringcontractors9364
    @ceyengineeringcontractors9364 Жыл бұрын

    Kipenzi changu Godliver

  • @yuniea2670
    @yuniea2670 Жыл бұрын

    Nagalia hiki kipindi leo nipo hapa Woodland Hills, nje ya Jiji la Los Angeles, California. Ahsante sana kwa kipindi na maswali mazuri.

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    Жыл бұрын

    Njoo vegas😂

  • @aishasalehe9710
    @aishasalehe9710 Жыл бұрын

    Mwaaaa ana love you so much

Келесі