Mimi Mars: Tulipigana sana na Vanessa utotoni, ilinichukua miaka kukubali kifo cha baba yangu
Mimi Mars anaelezea kuhusu maisha yake ya utotoni, familia yao, alivyokuwa akigombana na dada yake, Vanessa Mdee utotoni na jinsi alivyotumia miaka mingi kukubali kifo cha baba yake
#ChillnaSky #Part1
Пікірлер: 107
Tupoleni wote tulio ondokewa na mzazi /wazazi kiukweli inauma sana na uchungu wake hauelezeki😭 Allah awasamehe makosa yao in shaa Allah
@blandinamnyinga8318
4 жыл бұрын
Emen in JESUS NAME.
@nsanyasote9357
4 жыл бұрын
Amen
@magreth7981
4 жыл бұрын
🙏😢😢😢😢
@zakyahya4645
4 жыл бұрын
Ameen
@berthairungu6746
3 жыл бұрын
Amina
Familia ya Mdee Safi Sana wako juuu!!
Interview ikiwa mda mrefu inachosha. Mimimars nakapendaga kwajinc ninavoona kana roho nzuri mashalaah
She’s sooo beautiful ❤️❤️❤️😍😍❤️❤️❤️ now I understand why Vanessa character is sooo good kumbe charity begins at home ❤️❤️❤️
Nakupenda bure love from USA
Sauti Nzuri sana mtangazaji....Tafuta Kazi Kenya 🇰🇪 Media houses. Pesa Kibao!!!!
Huyu dada ana kisauti kitraaaam sasa kikikutana na hicho kisauti cha sky moto unawaka kabisaaaa guys nime enjoy maongezi yenu hamchoshi kuwasikiliza 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@magreth7981
4 жыл бұрын
☝️😂😂
Mungu awalaze pema peponi wazazi wetu Ameen inshallah 🙏
@nsanyasote9357
4 жыл бұрын
Amina
@nyererechacha5657
3 жыл бұрын
Amin
Mungu anaumba jamani Maashallah...kazuri
@nyererechacha5657
3 жыл бұрын
Ahhhhhhhhhhh
Hii family naipenda kwakwel ❤️❤️
Kanaongea vizuri jamani😘😘😘
Nampenda sana huyu mtangazaji. Yuko makini
We mdada ni mzuri please usichezewe na domo. Tafuta mwanaume msomi achana na hawa waku pata mali bila elimu halafu hawajui kuitumia isipokua kwenye uzinzi. Bora hata kina Laizer ni watu walio pambana kwa miaka
@janetshao6423
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
AFADHALI MMETUWEKEA NILIKUWA NAINGOJEA PIGA KELELEEE KWA MARS AKEEE
Mm pia nimefanyika hivo hivo nikiwa na baba yangu zaidi ya rafiki matatizo nayaficha sitaki kumchokesha mom pole sanaa mungu azilaze roho zao pahali pema peponi
Mimi mwenye mars zake big up
Ata hunaaja ulizwa mashallah u look alike...love u guys.
Mungu ailaze roho za wazazi wetu mahali pema, nimelia upyaaa oooh dady
@irakozesania1680
2 жыл бұрын
Pol mway
Dah 😭😭pole kipenz nilifiliwa na baba ang ucku ten tulikuwa tunakunywa chai wote hafla aliangka nakufa
@SalmaSalma-ee4nx
4 жыл бұрын
Pole sana
@carenalphonce5013
3 жыл бұрын
Dah pole sana
@hasnasaif1075
3 жыл бұрын
Pole sana may
@qwnlynuzlah3115
3 жыл бұрын
Pole sana dia
@gloryjulius1108
3 жыл бұрын
Polee
Very Nc interview big up bro
Nakupendaga ww Tang kwenye kile kipind cha gossiping cha TV 1
Mtangazaji anamaswali mazuri sana
I love it...😍
i just love the way u are
Nakupendaga mim mars
#MimiMars mrembo sana, Unajituma,hutaki watu wapitie dadako #vanessa ili kukujua wewe, napenda hicho wakujue kama wewe #MimiMars Nakupenda bure
Diamasio # i love you mrembo #elimina busara
Finally this conversation inapostiwa😍I was waiting for it sana❤
@user-dn7gn6ib4k
4 жыл бұрын
Hi chidera is that ur really name?
Inauma sana kwakweli mimi ilikuwa kama wewe ninvyoambiwa nilipoteza faham masaa manne, niliondokewa na babaangu pia
Dah Vanessa sijuiii anakwama wap mkukuza mdogo wake mziki anafanya lakin hauend kam Dada yake
Safi
Jamani mbona fupi hivo jamani bro Sky
Waliokuja kufata hii interview baada ya Mimi kuonekana kwa Diamond, tujuane. September 27, 2020
@bjzee1981
3 жыл бұрын
Sikujua ni ka Demu kazuri hivi. Pale ulikua kama zombie na zile sunglasses
KILA MTU ANA FURAHIA LUGHA ALIYO ZALIWA NAYO NAZANI ,KISWAHILI SAFI SANA
Ko Mimi mars sura ya baba😢 duuuh🤣🤣
Mimi mars😍😍
Maumivu ya kufiwa na mzazi jamani hayasahauliki hata kidogo mm nimefiwa na mama mwaka 1 sasa lkn naona kama ni jana
@hamidangitu227
3 жыл бұрын
Uyu dada mzuri jamani
Nakupend mim mars san
Pole
Afadhali mmetuwekea maana usiku nimeitafut had nimechok Pig kelele moja kwa mimi mars wake weuweeeee
@hatamimnimempendabulejaman1596
4 жыл бұрын
Haha nasor
@hatamimnimempendabulejaman1596
4 жыл бұрын
Mimi mwenyewe nilikuwa napendaga mambo ya uandishi wa habar nilikuwa napiga kutangaza
@hatamimnimempendabulejaman1596
4 жыл бұрын
Kumbe kaanza mdogo miaka 9.kama red jd alianza mziki mdogo
@hatamimnimempendabulejaman1596
4 жыл бұрын
Kina vanesa wazur hafu Wanafanana hila uyu ana mwili
@fredykwenzo8040
3 жыл бұрын
@@hatamimnimempendabulejaman1596 o
mimi mars 🥰🥰🥰🥰
Pisiiii fulanii hivii daaah safii
Amejieleza vizur had kaeleweka
Kumtofautisha hyu na vanessa siwez wamefanana sana
Buetifully
Time stamp 16:18 , she was on denial. Just like i was
Mimi ndie huyu.....ni yeye
Apoleni saaaana
namkubali sasa huyu dada namfurahia sana kwenye juakali
Nafananishwa na ww sana mpk imebidi nije nikuone duh
Bundala napemda sauti yako sana
Yan uwo kaka anasauti nzur ata5
96 uko darasa la 6 sky seriously
@jeanneandfrancislifestyle1518
4 жыл бұрын
Grace Kaniki when I born wow
@gracekaniki789
4 жыл бұрын
@@jeanneandfrancislifestyle1518 I don't know ndio maana nataka kujua nimesikia 96 yuko darasa la sita au nimesikia vibaya jmni
Lkn kukataa lugha yetu na kupenda zaidi zawenzetu huu niutumwa
@albs1448
4 жыл бұрын
Wewe kama haujui kiingereza tulia tuu🤣🤣
@fadhiliibrahim9702
4 жыл бұрын
Labda Kwa mtazamo wako huo Wa kimaskini, au sababu hukijui?
@raheemaqasim2477
3 жыл бұрын
@@fadhiliibrahim9702 😂😂😂😂
@raheemaqasim2477
3 жыл бұрын
@@albs1448 Jmn😂😂😂😂😂
@youngmasamah9864
3 жыл бұрын
Kuijuaaa lugha ni utumwa Kwan
Broo Y unaangalia Camera! Just zungumza na mlengwa sio unaangalia camera mara nyinginyingi! #ushauri
@SimuliziNaSauti
4 жыл бұрын
Inaitwa connecting with your audience! Watu wamesomea hivi vitu usidhani vinaenda holela holela tu! Hii sio tamthilia
@iamsadoc234
4 жыл бұрын
@@SimuliziNaSauti Sawa wakuu, Bt mimi namfuatilia Millard AYO, naangaliaga kipindi cha Ellen (marekani huko), kuna proper timing ya kuangalia Camera sio kila wakati. Unatushirikisha pale tunapotakiwa kushirikishwa.. #ushauri
@bintimkitosi6187
3 жыл бұрын
@@iamsadoc234 program imerushwa dewani kwa ajili ya watazamaji. Hata hugo Allen connects with the audience and millard does more of reporting than presenting in his interviews. Every program has a format for different target audiences especially if you are pitching it for different revenue streams. Hivi vipindi lazima viwe tofauti.
Macho haya danganyi kazuri
Mar she look old than vanessa 😎😎❤❤❤❤❤
@sarahmohamed337
3 жыл бұрын
Offcoz nliona Mimi mars ndio mkubwa kuliko V. Mdee
@prudenceoloo6645
3 жыл бұрын
Yeah
@jescajulius8023
2 жыл бұрын
Kweli
Chombo ya simba
😅😅😅😅😅
E
😂😂😂😂wah kenya inavituko walai😂🤣i kif up, 🏃🏃 kzread.info/dash/bejne/lX-Nm8-zn7qTmco.html
Rubbish pia mtapigana na mondi ady akuache
huyu jamaa professional sana...