DEO SUKAMBI AFICHUA WANANDOA KUISHI MIAKA MINGI BILA TENDO -"WANAWAKE WAMEGEUKA WANAUME" | HARD TALK

DEO SUKAMBI AFICHUA WANANDOA KUISHI MIAKA MINGI BILA TENDO -"WANAWAKE WAMEGEUKA WANAUME" | HARD TALK
#HARDTALK #HARDTALK #HARDTALK #HARDTALK
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 37

  • @globaltv_online
    @globaltv_online5 ай бұрын

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @kemijohn5978

    @kemijohn5978

    5 ай бұрын

    Du😢😢

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay5 ай бұрын

    sukambi yupo vizuri kwa kweli somo zuri sana!!

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479Ай бұрын

    Nimependa hapo mwisho, ni kweli sio Mungu ndo anawajibu ....

  • @happychildren7003
    @happychildren70034 ай бұрын

    Na ndo mana uislam unamtaka mwanamke kukaa nyumbani na mwanaume amhangaikie kwa kila kitu

  • @MamaNabii
    @MamaNabii5 ай бұрын

    Asante kwa mafundisho nimesaidika🎉🎉🎉

  • @neemajacob6407
    @neemajacob64075 ай бұрын

    Wasn't boring for me. Nimejifunza

  • @claudiajames2003
    @claudiajames20035 ай бұрын

    Ametalk sense kabisa

  • @SM-xt2yi
    @SM-xt2yi5 ай бұрын

    Jamani tunaomba mpunguze au mtoe hiyo background sound/music. Binafsi napata shida kusikiliza kinachosemwa.

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu39855 ай бұрын

    Mungu anajibu kila mtu 🎉🎉

  • @preciouspeter6126
    @preciouspeter61265 ай бұрын

    Pastor Deo umejibu vema issue ya Lesbians. I agree with you 💯 %

  • @user-di1pp7ud3g
    @user-di1pp7ud3g5 ай бұрын

    Mbarikiwe sana watumish

  • @queenmilan2024
    @queenmilan20245 ай бұрын

    JAMANI TULIKI MISS SANA KIPINDI. NEXT TIME MLETE CHRIS MAUKI

  • @hamidamussa593
    @hamidamussa5935 ай бұрын

    Golden voice # Lilian Mwasha💪

  • @happynescostat7420
    @happynescostat74204 ай бұрын

    Ongereeni sana sana mnaongelea maisha ya watu wengi,lakini ongeeni kiswahili sahihi acheni kizungu,mbona mchungaji EZEKIEL wa kenya anaongea kiswahili tu,!!

  • @shabanibussara8454
    @shabanibussara84545 ай бұрын

    THAT'S Deo Sukambi...

  • @HasnutMfuruki
    @HasnutMfurukiАй бұрын

    Sijui huujumbe utaupataje.mshirikiane kujenga hili

  • @nsiadawson7633
    @nsiadawson76334 ай бұрын

    Nimejifunza kitu 👏👏👏

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe45785 ай бұрын

    Bila Dr. Elie kwa kweli hapanogi

  • @gracepatric4371
    @gracepatric43715 ай бұрын

    😮uko kunena kwaa lilian ndo kunaniachaga hoi😅😅😅😅😅

  • @preciouspeter6126

    @preciouspeter6126

    5 ай бұрын

    Mungu anisamehe ila huwa naona km ni kitu tu ambacho amekizoea😂, sio kunena kwa maana ya kunena kweli

  • @vickydan2869

    @vickydan2869

    4 ай бұрын

    Nakwambia cjui anajua na maana yake😅

  • @yusraramadhan8203
    @yusraramadhan82035 ай бұрын

  • @WinfridaNdege
    @WinfridaNdege5 ай бұрын

    kweli mnajiita watumishi wa Mungu alafu mnashangaa Mungu kujibu maombi ya ma lesbian? Mbona hamshangai Mungu kujibu maombi yetu sisi waongo, wazinzi, walevi , mafisadi n.k !! Mungu huwanyeshea mvua wema na waovu, Mungu anachukia DHAMBI ila hamchukii MTENDA DHAMBI! na anatusubiri sote turejee tobani

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu39855 ай бұрын

    Ukiachia hao akina dada je nani anafikiri jana dhambi na anastahili kujibiwa na Mungu, Mungu habagui mtu

  • @michaelmgege4600
    @michaelmgege46005 ай бұрын

    Doctor mwaka next time

  • @sadasaid7212
    @sadasaid72125 ай бұрын

    Kama naona ishu ya mke wa masanja na katibu yanahadiliwa kinamna!!😊

  • @imanimwakinga4934

    @imanimwakinga4934

    5 ай бұрын

    Ulikuwepo?? Au nawewe unadakia uliyoyakuta mitandaoni?? 😂😂😂😂😂 Kwanini hamuwezagi kusikiliza Tu kipindi bila kuwaza watu na maisha yao mazuri wewe huna hata mia 😂😂😂😂😂.

  • @pendomwaiteleke1636
    @pendomwaiteleke16365 ай бұрын

    Sukambi yupo vizuri sana lakini tumemmiss Dr Ellie utuletee jamani

  • @neponova8988
    @neponova89885 ай бұрын

    Positive content🔥🔥🔥

  • @user-ho5wn8di5h
    @user-ho5wn8di5h4 ай бұрын

    Wanaumiza sana sitaki hata kuwa sikia uchungu nilionao munguvanajua

  • @presidentofafrica.5038
    @presidentofafrica.50385 ай бұрын

    HUYU DADA ANAPENDA MAPENZI😂😂😂😂

  • @hellenmassawe7284

    @hellenmassawe7284

    5 ай бұрын

    Mapenzi ndiyo habarii ya mjin

  • @user-ho5wn8di5h
    @user-ho5wn8di5h4 ай бұрын

    Dada mie Ni mmoja wa hao wanao chukia wanaume sana lla s

  • @nyiranzimami728
    @nyiranzimami7284 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu39855 ай бұрын

    Mama mwanamme hatapata mtu wa kumfanya feel like a man ndio wale huwa wanakuja kuwa wanawake na kuingia kwenye mapenzi ya jinsia moja kwa nini lazima awepo mtu wa kukufanya ujisikie kama mwanamme wakati wewe tayari ni mwanamme ina maana uanamme unatengenezwa na mtu mwingine na sio nature ulivyo zavyozaliwa?

  • @queenmilan2024
    @queenmilan20245 ай бұрын

    Ilikuwa bored. Tuletee mauki then turudishie Dr Elie

Келесі