Mkuu wa Majeshi wa Kwanza JENERALI SARAKIKYA, Asimulia Alivyoshiriki Kuliunda Jeshi

#wizarayaulinzi #jwtz #jkt

Пікірлер: 50

  • @user-cy2vl6yh8p
    @user-cy2vl6yh8p Жыл бұрын

    Babu hongera sana nakupenda sana babu yangu mungu akulinde

  • @user-rt7cj8nj1z
    @user-rt7cj8nj1z10 ай бұрын

    Hongera sana baba yangu.Umeupiga mwingi.Najivunia kuwa na baba huyu kwenye familia ya kwetu.

  • @denismabubu291
    @denismabubu2912 жыл бұрын

    Mungu mbariki huyu mzee afike mwika 100 na wabariki pia viongozi wetu waliopo uzarendo km wa mzee huyu

  • @patrickmarko4467
    @patrickmarko44672 жыл бұрын

    Hongera Jenerali Kwa kuunda jeshi letu na kuliwekea misingi imara

  • @herryshabanimakomberasimba9722
    @herryshabanimakomberasimba97222 жыл бұрын

    MZEE MRISHO SARAKIKYA MJUKUU WAKO REHEMA .M.SARAKIKYA ALIKUWA MTUKUTU SAANA

  • @fadhilially8446
    @fadhilially84462 жыл бұрын

    Asante mzee wetu kwa mchango wako mzuri kwa taifa letu.We proud u and we love our army 💪💪

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho59472 жыл бұрын

    Hongera Mzee wetu Gen Sarakikya. Mungu akujalie Maisha marefu.

  • @IBENGM
    @IBENGM5 ай бұрын

    Asante Mzee wetu kwa mchango wako kwa Taifa letu! Mungu akubariki

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha63934 ай бұрын

    Hongera mzee Generali Sarakìkya kwa ùzalendo wako ,umesaidia kuweka historia ya Tanzania sawa, wewe ni mojawapo wa wanajeshi muhimu kwa ulinzi wa Taifa letu na msomi mzuri wa jeshi letu, Mungu akupe maisha marefu , ili nchi iendelee kupata mawaidha yako bora ya kizalendo.

  • @ishimwejoe
    @ishimwejoe2 жыл бұрын

    Sandhurst graduate 🔝🙌🏾🔥

  • @rashidnagasangula2032
    @rashidnagasangula20322 жыл бұрын

    Huyu mzee pamoja na umri wake mkubwa akili yake ipo imara sana. Mwenyezi Mungu ampe umri mrefu.

  • @andrewlwilla8831
    @andrewlwilla88312 жыл бұрын

    Big up Mzee Sarakikya, tunakutakia maisha marefu.

  • @roymbeko6361

    @roymbeko6361

    2 жыл бұрын

    BADO YUKO HAI.?

  • @emilianchibinda82
    @emilianchibinda822 жыл бұрын

    Afande ametoa darasa LA kutosha.Mliopo kazini, msikilizeni kwa makini.Tanzania tupo vizuri

  • @mhochibiliclintony8625
    @mhochibiliclintony8625 Жыл бұрын

    Ofcoz huyu kamanda yuko very bright by nature

  • @maselemasele5959
    @maselemasele59592 жыл бұрын

    Afande wewe ndio msingi wa Kwanza wa jeshi letu jwtz hongera Sana kwa kwa uzalendo na kujitolea kwa ujenzi wa msingi mkubwa nahuta sahaulika kwa jeshi na Inchi yako

  • @abelalpha441
    @abelalpha4412 жыл бұрын

    Mungu ibariki African Mungu ibariki Tanzazia Amen

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema2 жыл бұрын

    Wazee ni Hazina. Jeshi Imara Ulinzi wa Mipaka yetu Uendelee. Tanzania Imara Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿

  • @jumannerizimbura6750
    @jumannerizimbura67502 жыл бұрын

    Madini tupu, mzee MUNGU AKULINDE TUNAKUHITAJI SAAANA

  • @pthegentleman4293
    @pthegentleman4293 Жыл бұрын

    Thank You General for your Service! ( Hii ni Hazina Kubwa kwa Taifa na Uongozi kiujumla )

  • @daudkhatib4678
    @daudkhatib46782 жыл бұрын

    General. Ssrakiky. Nakupenda. Kwa. Ukatmu. Wako

  • @alfredcharles8029
    @alfredcharles80292 жыл бұрын

    Wonderful Jamaa brain yake bado iko intact kabisa ana flow vyema bila kumung'unya neno

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula96422 жыл бұрын

    Kweli tumetokea mbali aise,Mungu ashukuriwe sana!♥️🙏

  • @clausemsemwa297
    @clausemsemwa2972 жыл бұрын

    Hawa watu wapo hamuwahoji watupe madini....mpo bize na kina baba Revo na Hamp Rappa

  • @alphonceephulaim1274
    @alphonceephulaim12742 жыл бұрын

    Father nimekusikiriza vizuri hapa lwaha tatizo lahuyu nikutengeneza picha lenyegarama kubwa harafu halinafaida siborakutama picha ya mr.maganga dar to Lagos et Loyola laninisasa

  • @ericklaura7511
    @ericklaura75112 жыл бұрын

    Longlive mzee sarakikya

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai11402 жыл бұрын

    Aliongoza Jeshi akiwa kijana na Mdogo kwa Gen Musuguri ingawa alifuata baadae yy ana enda 100 yrs

  • @abelsariko1788
    @abelsariko17882 жыл бұрын

    Imekatikia njiani....tunaomba ndugu zetu wa ulinzi channel mtuletee muendelezo wake. Afande Sarakikya ni hazina kubwa sana kwataifa letu na historia. Tuendelee kufaidi kwake kwa kumshirikisha katika vipindi mbalimbali

  • @isaacngomuo5586

    @isaacngomuo5586

    2 жыл бұрын

    Naunga. mkono huyu babu Generali mstaafu vyombo vya habari vimtumie kuchimba mambo mazuri ya zama I.

  • @ngosicheleso5745
    @ngosicheleso57452 жыл бұрын

    Good news keep it up

  • @clementhiddi1486
    @clementhiddi1486 Жыл бұрын

    Salute

  • @sdeshnjwetr6707
    @sdeshnjwetr67072 жыл бұрын

    VIVA TANZANIA ♥️🇹🇿♥️♥️♥️💪🇹🇿♥️🇹🇿

  • @abdillahchikota4303
    @abdillahchikota43035 ай бұрын

    Mungu akulipe kila la kheli

  • @michaelobunde753
    @michaelobunde7532 жыл бұрын

    Yule aliyeongoza Vita kagera ndio nguli haswaaa

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele2 жыл бұрын

    Anenepa, alikuwa mwembambaaa

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA2 жыл бұрын

    Huyo kamishna alikuwa na makosa,kumnyima general chuo,hajui jeshi ndo uti wa mgongo wa taifa hili?

  • @mkizercypher125
    @mkizercypher1252 жыл бұрын

    Saf mike

  • @khalidbelhasa2137
    @khalidbelhasa21375 ай бұрын

    Huyu sio mkuu wa majeshi wa kwanza Tanzania, baada ya uhuru

  • @kelvinalex9982
    @kelvinalex99822 жыл бұрын

    General Wa Kwanza Si Abdallah Twalipo Sio

  • @patrickmarko4467

    @patrickmarko4467

    2 жыл бұрын

    Lkn Sarakikya ndio mkuu wa majeshi wa kwanza wa TPDF

  • @williamdetkvant1313

    @williamdetkvant1313

    2 жыл бұрын

    Ni hyu bro

  • @williamdetkvant1313

    @williamdetkvant1313

    2 жыл бұрын

    Hyo ndiye mkuu WA majeshi wa kwanza bro ndie akafuata Twalipo,na ndio mkuu wa majeshi aliyekuwa mdogo

  • @binahmedjuma8681

    @binahmedjuma8681

    2 жыл бұрын

    Mzee huyu ndio wa kwanza, Abdallah Twalipo ni wa pili.

  • @patricknyiti5303

    @patricknyiti5303

    Жыл бұрын

    Huyu alichelewa sana kua General...Ila Cha kushangaza ndio mkuu wa Jeshi wa kwanza

  • @ibrahimgwasma1223
    @ibrahimgwasma12232 жыл бұрын

    Hivi huyo ndo WA Kwanza? Msuguri ni wangapi

  • @rashidnagasangula2032

    @rashidnagasangula2032

    2 жыл бұрын

    General Musuguri alikuwa wa tatu baada ya General Abdallah Twalipo

  • @salvatorymtunga2802

    @salvatorymtunga2802

    2 жыл бұрын

    Huyo ni mkuu wa majeshi wa kwanza TZ.

  • @vicentelias491

    @vicentelias491

    2 жыл бұрын

    Kwa lugha nyepesi yeye ndie alieliunda jeshi la wananchi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu25812 жыл бұрын

    .

Келесі