Mkuu wa Majeshi wa Kwanza JENERALI SARAKIKYA, Asimulia Alivyoshiriki Kuliunda Jeshi
#wizarayaulinzi #jwtz #jkt
Жүктеу.....
Пікірлер: 50
@user-cy2vl6yh8p Жыл бұрын
Babu hongera sana nakupenda sana babu yangu mungu akulinde
@user-rt7cj8nj1z10 ай бұрын
Hongera sana baba yangu.Umeupiga mwingi.Najivunia kuwa na baba huyu kwenye familia ya kwetu.
@denismabubu2912 жыл бұрын
Mungu mbariki huyu mzee afike mwika 100 na wabariki pia viongozi wetu waliopo uzarendo km wa mzee huyu
@patrickmarko44672 жыл бұрын
Hongera Jenerali Kwa kuunda jeshi letu na kuliwekea misingi imara
@herryshabanimakomberasimba97222 жыл бұрын
MZEE MRISHO SARAKIKYA MJUKUU WAKO REHEMA .M.SARAKIKYA ALIKUWA MTUKUTU SAANA
@fadhilially84462 жыл бұрын
Asante mzee wetu kwa mchango wako mzuri kwa taifa letu.We proud u and we love our army 💪💪
@benedictmrisho59472 жыл бұрын
Hongera Mzee wetu Gen Sarakikya. Mungu akujalie Maisha marefu.
@IBENGM5 ай бұрын
Asante Mzee wetu kwa mchango wako kwa Taifa letu! Mungu akubariki
@simonnaivasha63934 ай бұрын
Hongera mzee Generali Sarakìkya kwa ùzalendo wako ,umesaidia kuweka historia ya Tanzania sawa, wewe ni mojawapo wa wanajeshi muhimu kwa ulinzi wa Taifa letu na msomi mzuri wa jeshi letu, Mungu akupe maisha marefu , ili nchi iendelee kupata mawaidha yako bora ya kizalendo.
@ishimwejoe2 жыл бұрын
Sandhurst graduate 🔝🙌🏾🔥
@rashidnagasangula20322 жыл бұрын
Huyu mzee pamoja na umri wake mkubwa akili yake ipo imara sana. Mwenyezi Mungu ampe umri mrefu.
@andrewlwilla88312 жыл бұрын
Big up Mzee Sarakikya, tunakutakia maisha marefu.
@roymbeko6361
2 жыл бұрын
BADO YUKO HAI.?
@emilianchibinda822 жыл бұрын
Afande ametoa darasa LA kutosha.Mliopo kazini, msikilizeni kwa makini.Tanzania tupo vizuri
@mhochibiliclintony8625 Жыл бұрын
Ofcoz huyu kamanda yuko very bright by nature
@maselemasele59592 жыл бұрын
Afande wewe ndio msingi wa Kwanza wa jeshi letu jwtz hongera Sana kwa kwa uzalendo na kujitolea kwa ujenzi wa msingi mkubwa nahuta sahaulika kwa jeshi na Inchi yako
@abelalpha4412 жыл бұрын
Mungu ibariki African Mungu ibariki Tanzazia Amen
@Hillary_Daudi_Mrema2 жыл бұрын
Wazee ni Hazina. Jeshi Imara Ulinzi wa Mipaka yetu Uendelee. Tanzania Imara Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
@jumannerizimbura67502 жыл бұрын
Madini tupu, mzee MUNGU AKULINDE TUNAKUHITAJI SAAANA
@pthegentleman4293 Жыл бұрын
Thank You General for your Service! ( Hii ni Hazina Kubwa kwa Taifa na Uongozi kiujumla )
@daudkhatib46782 жыл бұрын
General. Ssrakiky. Nakupenda. Kwa. Ukatmu. Wako
@alfredcharles80292 жыл бұрын
Wonderful Jamaa brain yake bado iko intact kabisa ana flow vyema bila kumung'unya neno
@raphaelmwamakimbula96422 жыл бұрын
Kweli tumetokea mbali aise,Mungu ashukuriwe sana!♥️🙏
@clausemsemwa2972 жыл бұрын
Hawa watu wapo hamuwahoji watupe madini....mpo bize na kina baba Revo na Hamp Rappa
@alphonceephulaim12742 жыл бұрын
Father nimekusikiriza vizuri hapa lwaha tatizo lahuyu nikutengeneza picha lenyegarama kubwa harafu halinafaida siborakutama picha ya mr.maganga dar to Lagos et Loyola laninisasa
@ericklaura75112 жыл бұрын
Longlive mzee sarakikya
@ambokileasheengai11402 жыл бұрын
Aliongoza Jeshi akiwa kijana na Mdogo kwa Gen Musuguri ingawa alifuata baadae yy ana enda 100 yrs
@abelsariko17882 жыл бұрын
Imekatikia njiani....tunaomba ndugu zetu wa ulinzi channel mtuletee muendelezo wake. Afande Sarakikya ni hazina kubwa sana kwataifa letu na historia. Tuendelee kufaidi kwake kwa kumshirikisha katika vipindi mbalimbali
@isaacngomuo5586
2 жыл бұрын
Naunga. mkono huyu babu Generali mstaafu vyombo vya habari vimtumie kuchimba mambo mazuri ya zama I.
@ngosicheleso57452 жыл бұрын
Good news keep it up
@clementhiddi1486 Жыл бұрын
Salute
@sdeshnjwetr67072 жыл бұрын
VIVA TANZANIA ♥️🇹🇿♥️♥️♥️💪🇹🇿♥️🇹🇿
@abdillahchikota43035 ай бұрын
Mungu akulipe kila la kheli
@michaelobunde7532 жыл бұрын
Yule aliyeongoza Vita kagera ndio nguli haswaaa
@edwardmkwelele2 жыл бұрын
Anenepa, alikuwa mwembambaaa
@sir_ENOCKMACHA2 жыл бұрын
Huyo kamishna alikuwa na makosa,kumnyima general chuo,hajui jeshi ndo uti wa mgongo wa taifa hili?
@mkizercypher1252 жыл бұрын
Saf mike
@khalidbelhasa21375 ай бұрын
Huyu sio mkuu wa majeshi wa kwanza Tanzania, baada ya uhuru
@kelvinalex99822 жыл бұрын
General Wa Kwanza Si Abdallah Twalipo Sio
@patrickmarko4467
2 жыл бұрын
Lkn Sarakikya ndio mkuu wa majeshi wa kwanza wa TPDF
@williamdetkvant1313
2 жыл бұрын
Ni hyu bro
@williamdetkvant1313
2 жыл бұрын
Hyo ndiye mkuu WA majeshi wa kwanza bro ndie akafuata Twalipo,na ndio mkuu wa majeshi aliyekuwa mdogo
@binahmedjuma8681
2 жыл бұрын
Mzee huyu ndio wa kwanza, Abdallah Twalipo ni wa pili.
@patricknyiti5303
Жыл бұрын
Huyu alichelewa sana kua General...Ila Cha kushangaza ndio mkuu wa Jeshi wa kwanza
@ibrahimgwasma12232 жыл бұрын
Hivi huyo ndo WA Kwanza? Msuguri ni wangapi
@rashidnagasangula2032
2 жыл бұрын
General Musuguri alikuwa wa tatu baada ya General Abdallah Twalipo
@salvatorymtunga2802
2 жыл бұрын
Huyo ni mkuu wa majeshi wa kwanza TZ.
@vicentelias491
2 жыл бұрын
Kwa lugha nyepesi yeye ndie alieliunda jeshi la wananchi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania
Пікірлер: 50
Babu hongera sana nakupenda sana babu yangu mungu akulinde
Hongera sana baba yangu.Umeupiga mwingi.Najivunia kuwa na baba huyu kwenye familia ya kwetu.
Mungu mbariki huyu mzee afike mwika 100 na wabariki pia viongozi wetu waliopo uzarendo km wa mzee huyu
Hongera Jenerali Kwa kuunda jeshi letu na kuliwekea misingi imara
MZEE MRISHO SARAKIKYA MJUKUU WAKO REHEMA .M.SARAKIKYA ALIKUWA MTUKUTU SAANA
Asante mzee wetu kwa mchango wako mzuri kwa taifa letu.We proud u and we love our army 💪💪
Hongera Mzee wetu Gen Sarakikya. Mungu akujalie Maisha marefu.
Asante Mzee wetu kwa mchango wako kwa Taifa letu! Mungu akubariki
Hongera mzee Generali Sarakìkya kwa ùzalendo wako ,umesaidia kuweka historia ya Tanzania sawa, wewe ni mojawapo wa wanajeshi muhimu kwa ulinzi wa Taifa letu na msomi mzuri wa jeshi letu, Mungu akupe maisha marefu , ili nchi iendelee kupata mawaidha yako bora ya kizalendo.
Sandhurst graduate 🔝🙌🏾🔥
Huyu mzee pamoja na umri wake mkubwa akili yake ipo imara sana. Mwenyezi Mungu ampe umri mrefu.
Big up Mzee Sarakikya, tunakutakia maisha marefu.
@roymbeko6361
2 жыл бұрын
BADO YUKO HAI.?
Afande ametoa darasa LA kutosha.Mliopo kazini, msikilizeni kwa makini.Tanzania tupo vizuri
Ofcoz huyu kamanda yuko very bright by nature
Afande wewe ndio msingi wa Kwanza wa jeshi letu jwtz hongera Sana kwa kwa uzalendo na kujitolea kwa ujenzi wa msingi mkubwa nahuta sahaulika kwa jeshi na Inchi yako
Mungu ibariki African Mungu ibariki Tanzazia Amen
Wazee ni Hazina. Jeshi Imara Ulinzi wa Mipaka yetu Uendelee. Tanzania Imara Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
Madini tupu, mzee MUNGU AKULINDE TUNAKUHITAJI SAAANA
Thank You General for your Service! ( Hii ni Hazina Kubwa kwa Taifa na Uongozi kiujumla )
General. Ssrakiky. Nakupenda. Kwa. Ukatmu. Wako
Wonderful Jamaa brain yake bado iko intact kabisa ana flow vyema bila kumung'unya neno
Kweli tumetokea mbali aise,Mungu ashukuriwe sana!♥️🙏
Hawa watu wapo hamuwahoji watupe madini....mpo bize na kina baba Revo na Hamp Rappa
Father nimekusikiriza vizuri hapa lwaha tatizo lahuyu nikutengeneza picha lenyegarama kubwa harafu halinafaida siborakutama picha ya mr.maganga dar to Lagos et Loyola laninisasa
Longlive mzee sarakikya
Aliongoza Jeshi akiwa kijana na Mdogo kwa Gen Musuguri ingawa alifuata baadae yy ana enda 100 yrs
Imekatikia njiani....tunaomba ndugu zetu wa ulinzi channel mtuletee muendelezo wake. Afande Sarakikya ni hazina kubwa sana kwataifa letu na historia. Tuendelee kufaidi kwake kwa kumshirikisha katika vipindi mbalimbali
@isaacngomuo5586
2 жыл бұрын
Naunga. mkono huyu babu Generali mstaafu vyombo vya habari vimtumie kuchimba mambo mazuri ya zama I.
Good news keep it up
Salute
VIVA TANZANIA ♥️🇹🇿♥️♥️♥️💪🇹🇿♥️🇹🇿
Mungu akulipe kila la kheli
Yule aliyeongoza Vita kagera ndio nguli haswaaa
Anenepa, alikuwa mwembambaaa
Huyo kamishna alikuwa na makosa,kumnyima general chuo,hajui jeshi ndo uti wa mgongo wa taifa hili?
Saf mike
Huyu sio mkuu wa majeshi wa kwanza Tanzania, baada ya uhuru
General Wa Kwanza Si Abdallah Twalipo Sio
@patrickmarko4467
2 жыл бұрын
Lkn Sarakikya ndio mkuu wa majeshi wa kwanza wa TPDF
@williamdetkvant1313
2 жыл бұрын
Ni hyu bro
@williamdetkvant1313
2 жыл бұрын
Hyo ndiye mkuu WA majeshi wa kwanza bro ndie akafuata Twalipo,na ndio mkuu wa majeshi aliyekuwa mdogo
@binahmedjuma8681
2 жыл бұрын
Mzee huyu ndio wa kwanza, Abdallah Twalipo ni wa pili.
@patricknyiti5303
Жыл бұрын
Huyu alichelewa sana kua General...Ila Cha kushangaza ndio mkuu wa Jeshi wa kwanza
Hivi huyo ndo WA Kwanza? Msuguri ni wangapi
@rashidnagasangula2032
2 жыл бұрын
General Musuguri alikuwa wa tatu baada ya General Abdallah Twalipo
@salvatorymtunga2802
2 жыл бұрын
Huyo ni mkuu wa majeshi wa kwanza TZ.
@vicentelias491
2 жыл бұрын
Kwa lugha nyepesi yeye ndie alieliunda jeshi la wananchi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania
.