Mkuu wa zamani wa JWTZ, Jenerali Musuguri kutimiza miaka 100
Mkuu wa zamani wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) Jenerali David Musuguri anatarajia kusherehekea miaka 100 ya kuzaliwa kwake siku ya Jumamosi Januari 4 mwaka huu.
Katika kuelekea kwenye sherehe hiyo Azam News imefanya nae mazungumzo mahsusi.
Пікірлер: 40
Huyu kweli mjeda Maana ni mzee alafu yuko strong ana memory ya kutosha good Grand
Hongera sana, Mhe mstaafu Generali Msuguri kwa zawadi ya kishindo. Wema na moyo wako wa uzalendo hakika umekuzawadi kufikisha na kuiona miaka 100 ya umri wa maisha yako, ugali na nguvu, lakini zaidi ya yote, bado ujasiri wako unaunguruma kama simba alive nyikani. Hata Iddi Amini alikimbia asingehimili kishindo cha uzalendo wako. Nazidi kukuombea maisha marefu MHE GRNERALI MSUGURI. 🙏
MMungu azidi kukulinda na akupe Afya njema na mwisho mwema shukran sana kutukomboa mikononi wma Iddi Amini Sisi wenyeji wa Kagera asante sana. Pole na kuumwa MMungu akuponye
maisha marefu General Msuguri Mungu akubariki
Mkakamavu sana kwa ajili ya mazoezi ya kijeshi hongera zake sana
Yani alimfundisha Idd Amin jeshini 🙌🙌
Hongera Sana Azam tv...kutusogezea uyu mzee jamani... Mimi nilikuwa na ham Sana ya kumuona...nimeinjoi...asante Sana!
Chuma km chuma hiki.. Mzee anakumbukumbu nzur sana though ana miaka mingi
Wonderful icon. Msuguri live may you leave long. From dr.mugisha rogers
Hongera Gen Musuguri
Hongera mzee wetu, sifa na utukufu kwa Mungu.
Dooh hongera zake mzee
Huyo ni sawa na baba yangu nae alipigana vita ya pili alizaliwa 1922 mzee polepole
Afande salute kwako
Well done Sir
Hongera sana mzee wetu
Huyu mzee nimtu wa tofauti Sana namwombea Sana awe na miaka zaidi ya hapo
Kamanda kama Kamanda.... General Daud....
National treasure 🙏🏽💪🏾
Mungu ampe nguvu huyu ni askari sana mkakamavu sana
Hongera kamanda
Legend
Amazing
Dah aisee ni Noma sana
LEGEND🇹🇿
Hongera msuguli
Njo gisi na museveni yupo uvamizi wa maichi
Duh. Mungu akupe uzima na afya njema.
100
Hakika
Kesho vp tunaweza kuuona muchezo live wa simba na yanga
Kuishi muda mrefu si utashi wa anaeishi bali ni makadirio ya alietuumba wanakufa si kwasababu ya kukosa matunzo
@GibsonNtamamilo
16 күн бұрын
Hujui lolote.
Daah halafu chuma bado kipo ngangari
@andrewmsuguri7671
3 жыл бұрын
Mazoez safi
Saf
Huyu mzee ni jirani yang kule butiama, am proud of him and nyerere and other patriots from Mara and lake zone without forgetting Magufuli, our patriotism is always high unlike other leaders from coast region always taking the nation wrong direction
@donaldpama9370
2 жыл бұрын
Hongera sana kwa kutimiza miaka hiyo 100 Mungu azidi kukulinda ili tuwe tunakuja ufafanuzi wa mambo ambayo yatakuwa tumeyasahau sisi watoto wako na wajukuu zaka udumu
@ejelanta7829
2 жыл бұрын
Umeanza vizuri,mwisho ukaandika nonsense
MANENO.HUUMBA KEMEA KWA JINA LA YESU YOTE YANASHINDWA KUPITIA JINA LA YESU KUU