Mkuu wa zamani wa JWTZ, Jenerali Musuguri kutimiza miaka 100

Mkuu wa zamani wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) Jenerali David Musuguri anatarajia kusherehekea miaka 100 ya kuzaliwa kwake siku ya Jumamosi Januari 4 mwaka huu.
Katika kuelekea kwenye sherehe hiyo Azam News imefanya nae mazungumzo mahsusi.

Пікірлер: 40

  • @sagreymduda6569
    @sagreymduda65692 жыл бұрын

    Huyu kweli mjeda Maana ni mzee alafu yuko strong ana memory ya kutosha good Grand

  • @ndeshukurwakaaya4385
    @ndeshukurwakaaya43853 жыл бұрын

    Hongera sana, Mhe mstaafu Generali Msuguri kwa zawadi ya kishindo. Wema na moyo wako wa uzalendo hakika umekuzawadi kufikisha na kuiona miaka 100 ya umri wa maisha yako, ugali na nguvu, lakini zaidi ya yote, bado ujasiri wako unaunguruma kama simba alive nyikani. Hata Iddi Amini alikimbia asingehimili kishindo cha uzalendo wako. Nazidi kukuombea maisha marefu MHE GRNERALI MSUGURI. 🙏

  • @salminasalim5630
    @salminasalim56303 жыл бұрын

    MMungu azidi kukulinda na akupe Afya njema na mwisho mwema shukran sana kutukomboa mikononi wma Iddi Amini Sisi wenyeji wa Kagera asante sana. Pole na kuumwa MMungu akuponye

  • @mwasisobajohan7641
    @mwasisobajohan76413 жыл бұрын

    maisha marefu General Msuguri Mungu akubariki

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74382 жыл бұрын

    Mkakamavu sana kwa ajili ya mazoezi ya kijeshi hongera zake sana

  • @TM.Sullusi
    @TM.Sullusi3 жыл бұрын

    Yani alimfundisha Idd Amin jeshini 🙌🙌

  • @mpendwacravery1665
    @mpendwacravery16652 жыл бұрын

    Hongera Sana Azam tv...kutusogezea uyu mzee jamani... Mimi nilikuwa na ham Sana ya kumuona...nimeinjoi...asante Sana!

  • @gipsonmosha1857
    @gipsonmosha18573 жыл бұрын

    Chuma km chuma hiki.. Mzee anakumbukumbu nzur sana though ana miaka mingi

  • @rogermoosh
    @rogermoosh3 жыл бұрын

    Wonderful icon. Msuguri live may you leave long. From dr.mugisha rogers

  • @clementhiddi1486
    @clementhiddi14864 жыл бұрын

    Hongera Gen Musuguri

  • @tulisamwel41
    @tulisamwel412 жыл бұрын

    Hongera mzee wetu, sifa na utukufu kwa Mungu.

  • @gabrieldenicc4502
    @gabrieldenicc45024 жыл бұрын

    Dooh hongera zake mzee

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74382 жыл бұрын

    Huyo ni sawa na baba yangu nae alipigana vita ya pili alizaliwa 1922 mzee polepole

  • @festokiraryo.6107
    @festokiraryo.61074 жыл бұрын

    Afande salute kwako

  • @mercyshabuwe724
    @mercyshabuwe7242 жыл бұрын

    Well done Sir

  • @mbogomgoma4886
    @mbogomgoma48864 жыл бұрын

    Hongera sana mzee wetu

  • @andrewmsuguri7671
    @andrewmsuguri76713 жыл бұрын

    Huyu mzee nimtu wa tofauti Sana namwombea Sana awe na miaka zaidi ya hapo

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon41592 жыл бұрын

    Kamanda kama Kamanda.... General Daud....

  • @kimkarldelon5059
    @kimkarldelon50592 жыл бұрын

    National treasure 🙏🏽💪🏾

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74382 жыл бұрын

    Mungu ampe nguvu huyu ni askari sana mkakamavu sana

  • @michaelgwantemi8534
    @michaelgwantemi85342 жыл бұрын

    Hongera kamanda

  • @lonelypatientor7348
    @lonelypatientor73484 жыл бұрын

    Legend

  • @harunncheye1909
    @harunncheye19092 жыл бұрын

    Amazing

  • @kambiyusufu7709
    @kambiyusufu77092 жыл бұрын

    Dah aisee ni Noma sana

  • @wanderaothumani4919
    @wanderaothumani49194 жыл бұрын

    LEGEND🇹🇿

  • @stevensinkara2938
    @stevensinkara29382 жыл бұрын

    Hongera msuguli

  • @kasendelukadi2047
    @kasendelukadi20472 жыл бұрын

    Njo gisi na museveni yupo uvamizi wa maichi

  • @janethpallangyo2633
    @janethpallangyo26332 жыл бұрын

    Duh. Mungu akupe uzima na afya njema.

  • @victorjames3730
    @victorjames37303 жыл бұрын

    100

  • @josephatmakuka4860
    @josephatmakuka48602 жыл бұрын

    Hakika

  • @juliusfesto9251
    @juliusfesto92514 жыл бұрын

    Kesho vp tunaweza kuuona muchezo live wa simba na yanga

  • @mohamedsheikh6618
    @mohamedsheikh66182 жыл бұрын

    Kuishi muda mrefu si utashi wa anaeishi bali ni makadirio ya alietuumba wanakufa si kwasababu ya kukosa matunzo

  • @GibsonNtamamilo

    @GibsonNtamamilo

    16 күн бұрын

    Hujui lolote.

  • @abdulmillanzi7355
    @abdulmillanzi73554 жыл бұрын

    Daah halafu chuma bado kipo ngangari

  • @andrewmsuguri7671

    @andrewmsuguri7671

    3 жыл бұрын

    Mazoez safi

  • @malelabmalela5016
    @malelabmalela50162 жыл бұрын

    Saf

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo2 жыл бұрын

    Huyu mzee ni jirani yang kule butiama, am proud of him and nyerere and other patriots from Mara and lake zone without forgetting Magufuli, our patriotism is always high unlike other leaders from coast region always taking the nation wrong direction

  • @donaldpama9370

    @donaldpama9370

    2 жыл бұрын

    Hongera sana kwa kutimiza miaka hiyo 100 Mungu azidi kukulinda ili tuwe tunakuja ufafanuzi wa mambo ambayo yatakuwa tumeyasahau sisi watoto wako na wajukuu zaka udumu

  • @ejelanta7829

    @ejelanta7829

    2 жыл бұрын

    Umeanza vizuri,mwisho ukaandika nonsense

  • @brunomirambi8792
    @brunomirambi87922 жыл бұрын

    MANENO.HUUMBA KEMEA KWA JINA LA YESU YOTE YANASHINDWA KUPITIA JINA LA YESU KUU