Waziri Kwandikwa Amtembela Jenerali Musuguli (Mstaafu)

#wizarayaulinzi #jwtz #jkt

Пікірлер: 46

  • @brunomirambi8792
    @brunomirambi87922 жыл бұрын

    PUMZIKA MY FRIEND KWANDIKWA WASUKUMA NAWAPENDA MNA ROHO NZURI KUPITA MAKABILA YOTE TANZANIA

  • @kaizamulinda633

    @kaizamulinda633

    2 жыл бұрын

    Lkn huwa hawa ahidi matetemeko.

  • @maryjoseph7931
    @maryjoseph79313 жыл бұрын

    Heshima kwako Mhe.Waziri inatia moyo kukumbuka Malejendari wetu,nimependa courage .

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed88742 жыл бұрын

    This waziri touched my heart indeed May his soul rest in peace

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon41592 жыл бұрын

    Jeshi ni Zuri na Tamu Sana.... Ona mjeda Huyo mpaka Sasa neema ya Mungu ipo juu yake....Amepambania Kagera huyo....

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel56772 жыл бұрын

    Duh Mwamba kazeeka asee Mungu ampe Maisha MAREFU

  • @mohammednyemaga4793
    @mohammednyemaga47939 ай бұрын

    Duuuuuuuh Mzee kazeheka Sana mpaka kumbukumbu inamtoka amakweli sisi pia tunaelekea huko

  • @joycesamweli1219
    @joycesamweli12193 жыл бұрын

    Mzee anasoma bila miwani Mungu aendelee kukutunza Pumzika kwa amani Mh kwandikwa

  • @ally2nyiii318
    @ally2nyiii3183 жыл бұрын

    Safiii inapendeza xna asante wazir kwa ufunuo wa kumtembelea mzee

  • @maambalameck1215
    @maambalameck12152 жыл бұрын

    Dah nimeumia sana kumpoteza

  • @mohammednyemaga4793
    @mohammednyemaga47939 ай бұрын

    WAZIRI hongera sana

  • @abdallahmtale4060
    @abdallahmtale4060 Жыл бұрын

    Ana miaka 103 sasa

  • @osodowilberforce2321
    @osodowilberforce23212 жыл бұрын

    Huyo Waziri amefanya kitu cha maana sana kumutembelea Generali Msitaafu.Nawapongeza sana.

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna20582 жыл бұрын

    Haya bwana🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @shukurkatembo2807
    @shukurkatembo28073 жыл бұрын

    Hao ndiyo wababe wa miaka hiyo "wanyampala"...

  • @jongwemomumo8729
    @jongwemomumo87292 жыл бұрын

    R. I. P Mhe. Waziri ulikuwa creative

  • @njiwapori.oursongsismedium2594
    @njiwapori.oursongsismedium25942 жыл бұрын

    Hyo general.aliepigana,vita, ajapata,general class hyo kapata,kwenye mapambano ya kumgonga,nduli idd

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba84487 ай бұрын

    General Musuguli mwamba huyo,

  • @allyfleva8920
    @allyfleva89203 жыл бұрын

    kaka yangu kiongozi wangu kwandikwa upunzike kwa amani

  • @maidamwaipopo9603
    @maidamwaipopo96032 жыл бұрын

    Wanao watanguliza wenzao kufa mungu anawaona

  • @giriadbirusha7006
    @giriadbirusha70063 жыл бұрын

    Nawakubali sana Medani Tv ila bado Combat karate ya passing out parade ya hivi karibuni ya effendi wetu pale nanii .... ... 😀😀 hamjatuwekea.

  • @shukurkatembo2807

    @shukurkatembo2807

    3 жыл бұрын

    Kabisa yani 😁😁

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo3 жыл бұрын

    Mzee hana mvi

  • @ip_header
    @ip_header2 жыл бұрын

    Dunia ni mapito

  • @emmanueljohn1357
    @emmanueljohn13572 жыл бұрын

    Ana miaka 101

  • @yaledhozza3545
    @yaledhozza35453 жыл бұрын

    R.I.P

  • @geofreynjanga6794
    @geofreynjanga67942 жыл бұрын

    R.i.p

  • @subirajohn728
    @subirajohn7283 жыл бұрын

    R.i.p Kwandika,z!

  • @hassanmfaume4522
    @hassanmfaume45222 жыл бұрын

    Kumbukumbu imekata hapo ni kumchosha tu..!

  • @simonmlangu1388

    @simonmlangu1388

    2 жыл бұрын

    😁😁😁

  • @gracesamson924
    @gracesamson9242 жыл бұрын

    RIP

  • @virejiangingo288
    @virejiangingo2882 жыл бұрын

    R I P

  • @ashamwandu6572
    @ashamwandu65722 жыл бұрын

    Dunia hii tutaiacha tu,ukitaka usitake,kikubwa ni kuwa na matendo mema,

  • @humoudmohammad3125
    @humoudmohammad31252 жыл бұрын

    .

  • @felixmagulu6142
    @felixmagulu61422 жыл бұрын

    R. I.P Mh .kwandikwa, Mungu akujalie afya njema Mzee wetu Jenerali David Msuguri mbabe wa vita vya Kagera( 1978 hadi 1979).

  • @mzeeahmadi8836

    @mzeeahmadi8836

    2 жыл бұрын

    Kumbe ndio huyu nilikuwa simjui

  • @mzeeahmadi8836

    @mzeeahmadi8836

    2 жыл бұрын

    Ndo kule mbezi kwa msuguli wamechukua jina la huyu jen

  • @felixmagulu6142

    @felixmagulu6142

    2 жыл бұрын

    @@mzeeahmadi8836 ndiyo huyu ukisikia makamanda waliomng'oa Nduli Idd Amin mmoja wao ndiyo huyu, Walimpa kichapo kuanzia kagera mpaka ndani ya Uganda akakimbilia Sudan.

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole77143 жыл бұрын

    Ana miaka mingapiuyu jamani mzee netwerk inaanza kukata

  • @ebronjeremiah880

    @ebronjeremiah880

    3 жыл бұрын

    Miaka 100.. katimiza mwaka jana

  • @dicksonmatulile1523

    @dicksonmatulile1523

    3 жыл бұрын

    100+

  • @francisemmanuel1551

    @francisemmanuel1551

    3 жыл бұрын

    Anamiaka 100 naa

  • @sirsebaonline9106

    @sirsebaonline9106

    2 жыл бұрын

    Mwaka jana alitimiza 100

  • @ndennkya5253

    @ndennkya5253

    2 жыл бұрын

    Hahahaa mungu anakuona

  • @ben_digital
    @ben_digital2 жыл бұрын

    MIAKA 100 SIO MCHEZO

Келесі