This waziri touched my heart indeed May his soul rest in peace
@kalumbugideon41592 жыл бұрын
Jeshi ni Zuri na Tamu Sana.... Ona mjeda Huyo mpaka Sasa neema ya Mungu ipo juu yake....Amepambania Kagera huyo....
@angellomarcel56772 жыл бұрын
Duh Mwamba kazeeka asee Mungu ampe Maisha MAREFU
@mohammednyemaga47939 ай бұрын
Duuuuuuuh Mzee kazeheka Sana mpaka kumbukumbu inamtoka amakweli sisi pia tunaelekea huko
@joycesamweli12193 жыл бұрын
Mzee anasoma bila miwani Mungu aendelee kukutunza Pumzika kwa amani Mh kwandikwa
@ally2nyiii3183 жыл бұрын
Safiii inapendeza xna asante wazir kwa ufunuo wa kumtembelea mzee
@maambalameck12152 жыл бұрын
Dah nimeumia sana kumpoteza
@mohammednyemaga47939 ай бұрын
WAZIRI hongera sana
@abdallahmtale4060 Жыл бұрын
Ana miaka 103 sasa
@osodowilberforce23212 жыл бұрын
Huyo Waziri amefanya kitu cha maana sana kumutembelea Generali Msitaafu.Nawapongeza sana.
@cheiknamouna20582 жыл бұрын
Haya bwana🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
@shukurkatembo28073 жыл бұрын
Hao ndiyo wababe wa miaka hiyo "wanyampala"...
@jongwemomumo87292 жыл бұрын
R. I. P Mhe. Waziri ulikuwa creative
@njiwapori.oursongsismedium25942 жыл бұрын
Hyo general.aliepigana,vita, ajapata,general class hyo kapata,kwenye mapambano ya kumgonga,nduli idd
@jeanmusamba84487 ай бұрын
General Musuguli mwamba huyo,
@allyfleva89203 жыл бұрын
kaka yangu kiongozi wangu kwandikwa upunzike kwa amani
@maidamwaipopo96032 жыл бұрын
Wanao watanguliza wenzao kufa mungu anawaona
@giriadbirusha70063 жыл бұрын
Nawakubali sana Medani Tv ila bado Combat karate ya passing out parade ya hivi karibuni ya effendi wetu pale nanii .... ... 😀😀 hamjatuwekea.
@shukurkatembo2807
3 жыл бұрын
Kabisa yani 😁😁
@patrickKitambo3 жыл бұрын
Mzee hana mvi
@ip_header2 жыл бұрын
Dunia ni mapito
@emmanueljohn13572 жыл бұрын
Ana miaka 101
@yaledhozza35453 жыл бұрын
R.I.P
@geofreynjanga67942 жыл бұрын
R.i.p
@subirajohn7283 жыл бұрын
R.i.p Kwandika,z!
@hassanmfaume45222 жыл бұрын
Kumbukumbu imekata hapo ni kumchosha tu..!
@simonmlangu1388
2 жыл бұрын
😁😁😁
@gracesamson9242 жыл бұрын
RIP
@virejiangingo2882 жыл бұрын
R I P
@ashamwandu65722 жыл бұрын
Dunia hii tutaiacha tu,ukitaka usitake,kikubwa ni kuwa na matendo mema,
@humoudmohammad31252 жыл бұрын
.
@felixmagulu61422 жыл бұрын
R. I.P Mh .kwandikwa, Mungu akujalie afya njema Mzee wetu Jenerali David Msuguri mbabe wa vita vya Kagera( 1978 hadi 1979).
@mzeeahmadi8836
2 жыл бұрын
Kumbe ndio huyu nilikuwa simjui
@mzeeahmadi8836
2 жыл бұрын
Ndo kule mbezi kwa msuguli wamechukua jina la huyu jen
@felixmagulu6142
2 жыл бұрын
@@mzeeahmadi8836 ndiyo huyu ukisikia makamanda waliomng'oa Nduli Idd Amin mmoja wao ndiyo huyu, Walimpa kichapo kuanzia kagera mpaka ndani ya Uganda akakimbilia Sudan.
@msowamhokole77143 жыл бұрын
Ana miaka mingapiuyu jamani mzee netwerk inaanza kukata
Пікірлер: 46
PUMZIKA MY FRIEND KWANDIKWA WASUKUMA NAWAPENDA MNA ROHO NZURI KUPITA MAKABILA YOTE TANZANIA
@kaizamulinda633
2 жыл бұрын
Lkn huwa hawa ahidi matetemeko.
Heshima kwako Mhe.Waziri inatia moyo kukumbuka Malejendari wetu,nimependa courage .
This waziri touched my heart indeed May his soul rest in peace
Jeshi ni Zuri na Tamu Sana.... Ona mjeda Huyo mpaka Sasa neema ya Mungu ipo juu yake....Amepambania Kagera huyo....
Duh Mwamba kazeeka asee Mungu ampe Maisha MAREFU
Duuuuuuuh Mzee kazeheka Sana mpaka kumbukumbu inamtoka amakweli sisi pia tunaelekea huko
Mzee anasoma bila miwani Mungu aendelee kukutunza Pumzika kwa amani Mh kwandikwa
Safiii inapendeza xna asante wazir kwa ufunuo wa kumtembelea mzee
Dah nimeumia sana kumpoteza
WAZIRI hongera sana
Ana miaka 103 sasa
Huyo Waziri amefanya kitu cha maana sana kumutembelea Generali Msitaafu.Nawapongeza sana.
Haya bwana🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Hao ndiyo wababe wa miaka hiyo "wanyampala"...
R. I. P Mhe. Waziri ulikuwa creative
Hyo general.aliepigana,vita, ajapata,general class hyo kapata,kwenye mapambano ya kumgonga,nduli idd
General Musuguli mwamba huyo,
kaka yangu kiongozi wangu kwandikwa upunzike kwa amani
Wanao watanguliza wenzao kufa mungu anawaona
Nawakubali sana Medani Tv ila bado Combat karate ya passing out parade ya hivi karibuni ya effendi wetu pale nanii .... ... 😀😀 hamjatuwekea.
@shukurkatembo2807
3 жыл бұрын
Kabisa yani 😁😁
Mzee hana mvi
Dunia ni mapito
Ana miaka 101
R.I.P
R.i.p
R.i.p Kwandika,z!
Kumbukumbu imekata hapo ni kumchosha tu..!
@simonmlangu1388
2 жыл бұрын
😁😁😁
RIP
R I P
Dunia hii tutaiacha tu,ukitaka usitake,kikubwa ni kuwa na matendo mema,
.
R. I.P Mh .kwandikwa, Mungu akujalie afya njema Mzee wetu Jenerali David Msuguri mbabe wa vita vya Kagera( 1978 hadi 1979).
@mzeeahmadi8836
2 жыл бұрын
Kumbe ndio huyu nilikuwa simjui
@mzeeahmadi8836
2 жыл бұрын
Ndo kule mbezi kwa msuguli wamechukua jina la huyu jen
@felixmagulu6142
2 жыл бұрын
@@mzeeahmadi8836 ndiyo huyu ukisikia makamanda waliomng'oa Nduli Idd Amin mmoja wao ndiyo huyu, Walimpa kichapo kuanzia kagera mpaka ndani ya Uganda akakimbilia Sudan.
Ana miaka mingapiuyu jamani mzee netwerk inaanza kukata
@ebronjeremiah880
3 жыл бұрын
Miaka 100.. katimiza mwaka jana
@dicksonmatulile1523
3 жыл бұрын
100+
@francisemmanuel1551
3 жыл бұрын
Anamiaka 100 naa
@sirsebaonline9106
2 жыл бұрын
Mwaka jana alitimiza 100
@ndennkya5253
2 жыл бұрын
Hahahaa mungu anakuona
MIAKA 100 SIO MCHEZO