PART 1; MTAZANIA MSOMI ZAIDI/HILI NDILO KABURI LANGU/NIMEIMBA NA MKE WA KIKWETE

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media

Пікірлер: 145

  • @salymkitumbika8644
    @salymkitumbika8644 Жыл бұрын

    Daah mzee anashukrani sana kwa waliomshika MKONO mbali na Madigrii yote hasahau mtu na kama amefariki anamuombea alale mahalapema Peponi hivyo NDIVYO watu hubarikiwa Mungu aendelee kuntunza huyu mzee MWENYE moyo safi

  • @patsonmophat9456

    @patsonmophat9456

    Жыл бұрын

    ?❤£

  • @summanelson5523
    @summanelson5523 Жыл бұрын

    Mzee yuko vizuri sana!!! Kanunua eneo kubwa sana la kuishi!!!! Big up mzee!!!! Oooh!!! Mdogo wake Da Tully!!!

  • @upendoeliya9329
    @upendoeliya9329 Жыл бұрын

    Hongera sana Prof hujasahau lugha yetu!! Maana Hapa Tz Watu waliobahatika kusoma mpka degree moja tu wakiongea Kiswahili huwa wanajifanyaga wanesahau lugha yao ya Taifa iliyowakuza.

  • @wilsonkaseha2034
    @wilsonkaseha2034 Жыл бұрын

    Hata zungumza yake tu inasadifu yaliyomo kichwani na moyoni. Pongezi kwa viuno vya babaye na tumbo la mamaye lililomleta duniani. Hazina njema.

  • @mzadomwongozo3671
    @mzadomwongozo3671 Жыл бұрын

    Mwandishi upo vizuri sanaa, umeendesha interview kisomi haichoshi. Umepata new follower mkuu Heko kwa Profesor the tax guru

  • @KelvinMtavangu-ow8yo
    @KelvinMtavangu-ow8yo Жыл бұрын

    Hongera sana Prof. Ingawa mara nyingi wasomi hutengeneza gape kubwa sana ya mahusiano na ndugu zake. Vinginevyo huyu Mgonile ni mfano wa kuigwa. Ombi: Serikali imutumie kama wenzetu kule Ulaya. Mungu akubariki babu Mafwenga.

  • @princesschii4090
    @princesschii4090 Жыл бұрын

    Hongera Prof uko na maarifa mob......inspired

  • @user-xm4gs9gk9v
    @user-xm4gs9gk9v Жыл бұрын

    Kweli kila kitu chini ya jua kinawezekana big up Professor 😂

  • @gemamwakyusa6100
    @gemamwakyusa6100 Жыл бұрын

    Heshima kwako Prof

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Жыл бұрын

    MSOMI MNYAKYUSA. UBARIKIWE SANAA.

  • @dynamicmwakibinga4371
    @dynamicmwakibinga4371 Жыл бұрын

    Ahsante fijo mzee!!!!

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 Жыл бұрын

    Duh... eenheeee! huyu ni mwamba! Admin asante sana kumleta huyu multisectoral!

  • @alinuwilamwamlima9797
    @alinuwilamwamlima97979 ай бұрын

    Hongera Mpoki mate wangu Sangu sec kweli alikuwa naFujo

  • @eliasaloyce3180
    @eliasaloyce3180 Жыл бұрын

    👏👏👏👏 ndaga Baba 😊

  • @theonestruganisa9886
    @theonestruganisa9886 Жыл бұрын

    Vizuri Sana Prof tunapashwa kukutumia kuzalisha wasomi wengine, uzee nchi unaiachia nini? Basi type ushauri jinsi biashara kariakoo iweje, inaumiza viongozi wetu wapendwa

  • @DoriceSawaki-vg4sb
    @DoriceSawaki-vg4sb10 ай бұрын

    Daaaah,,, story ya Mzee imeni inspire sana kusoma.

  • @salaita2829
    @salaita282910 ай бұрын

    Pumzika kwa amani prof

  • @user-ub4tu5rb7e
    @user-ub4tu5rb7e10 ай бұрын

    Pole familia Ya prof

  • @husseinmwanjela8644
    @husseinmwanjela8644 Жыл бұрын

    Congratulations father kwa mapambano

  • @user-nd4ge2ih5u
    @user-nd4ge2ih5u Жыл бұрын

    Heshima kwake

  • @SasaMediaOnline
    @SasaMediaOnline Жыл бұрын

    nyie ambae mna degree moja mkihojiwa mnajiona mmesoma kingereza kingi angalia mwamba huyu hapa

  • @jumakisailo8496

    @jumakisailo8496

    Жыл бұрын

    😅😅😅😅❤

  • @kefajoseph158

    @kefajoseph158

    Жыл бұрын

    Kweli bhana maringo mengi kadigrii kamoja

  • @jacksonjasson8823
    @jacksonjasson8823 Жыл бұрын

    Safi sana

  • @mizingayaudongo1097
    @mizingayaudongo1097 Жыл бұрын

    Excellent !!❤

  • @hildegardchafwila5076

    @hildegardchafwila5076

    Жыл бұрын

    Safi Sana.

  • @maryjoseph6973
    @maryjoseph697310 ай бұрын

    Mimi imependa uamuzi wako na usomi wako wakujenga kaburi Yako mapema mungu akubari sana amina

  • @nemecymsanya4952
    @nemecymsanya4952 Жыл бұрын

    Na kubaliana Prof

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Жыл бұрын

    stanslaus nakufatilia sana unaeleweka nini unafanya unampa.mtu.nafasi kujieleza namaswali ya umuhimu

  • @juliusmagoti5650
    @juliusmagoti565010 ай бұрын

    Daaa, mzee hakua mtu wa kukata tamaa katika malengo yake. Ana uwezo mkubwa sana wa kumbukumbu kuhusu hatua zote alizozipitia. CV yake yote iko kichwani RIP Prof.

  • @reginameitavan4032
    @reginameitavan4032 Жыл бұрын

    Prof hongera sana,Ila ulivyotaja tu jina la Gwamaka umenichefua sana .Gwamaka ni mnyonyaji wa wanyonge sana ila Mungu yupo

  • @gregoryadriano724

    @gregoryadriano724

    Жыл бұрын

    Tupe ufafanuzi unyonyaji wake nini

  • @sheckycobb5240

    @sheckycobb5240

    Жыл бұрын

    Alikunyonya damu?

  • @masetomuhafiwa4546

    @masetomuhafiwa4546

    Жыл бұрын

    😄😄😄😄

  • @andrewisaac171

    @andrewisaac171

    Жыл бұрын

    Kisa amefungia bar kupiga kelele.? Yeye anafuata sheria tu ambazo amezikuta hapo NEMC

  • @AgripinaJosephMushi-hw2xw
    @AgripinaJosephMushi-hw2xw Жыл бұрын

    Watu Kama hawa serikali haitawataka maana atafanya kitu

  • @salimlossindilo8712
    @salimlossindilo8712 Жыл бұрын

    Daaah, mwamba alipambanaaa😔😔😔

  • @jumaalmasjuma1700
    @jumaalmasjuma170010 ай бұрын

    Mungu akulaze mahala pema uliongea haya miezi minne nawe Sasa umekuwa Marehem sijui NAMI nimekomenti miaka au miezi mingapi NAMI nitakuwa marehemu

  • @user-xe4mi6cl4d
    @user-xe4mi6cl4d Жыл бұрын

    ❤❤

  • @henryyuda2989
    @henryyuda2989 Жыл бұрын

    Aiseeee kwel mwambaaas

  • @CharlesBaltmore
    @CharlesBaltmore Жыл бұрын

    💪💪💪

  • @bjsilver1264
    @bjsilver1264 Жыл бұрын

    😮

  • @azizihfarijala5307
    @azizihfarijala5307 Жыл бұрын

    watanzania wasomi tunao wengi kwa sasa tunahitaji wabunifu na wagunduzi tumechoka na watu wakukalili

  • @serafinamalecela4728

    @serafinamalecela4728

    Жыл бұрын

    Kalili na wewe kama kazi rahisi😂

  • @saidyussuf2291

    @saidyussuf2291

    9 ай бұрын

    @@serafinamalecela4728 hhhhhh

  • @libetztanzania-kiswahilina2845
    @libetztanzania-kiswahilina284510 ай бұрын

    Apumzike kwa amani

  • @wastaragijoslove8933
    @wastaragijoslove8933 Жыл бұрын

    Safi sa

  • @robertabel6984
    @robertabel698410 ай бұрын

    R.I.P prof handlaley.

  • @abelkilumbu9205
    @abelkilumbu9205 Жыл бұрын

    ✍✍

  • @mwakyusa7609
    @mwakyusa7609 Жыл бұрын

    Mzee ana jua majina mengi sana

  • @pendomwaipaja6067
    @pendomwaipaja606710 ай бұрын

    Pumzika Kwa Amani Mzee wetu😭😭

  • @athumanfuko199

    @athumanfuko199

    10 ай бұрын

    kwani amekufa

  • @robertmwakingili4255
    @robertmwakingili425510 ай бұрын

    Hayo maghorofa kuna siku utayaacha lakini elimu uliyonayo utaenda nayo kwa Mungu wako.

  • @emmanuelmtundi3754
    @emmanuelmtundi3754 Жыл бұрын

    Hawa watu walikua sio Wala rushwa mpaka unamsikia mtu aliefanya kazi adi TRA anasema mshahara ulikua hautoshi akaamua kufanya kazi za ziada huyu mtu hakua mla rushwa. Hawa wazee wanakumbukumbu sana yaan Kila alichokutana nacho anakumbuka. Hii inamaanisha watu wa zaman kidogo hawakua na mambo mengi tofauti na Sasa kwenye utandawazi vichwa vinajaa mambo yasiyo na msingi.

  • @sylvestrengwelu2012

    @sylvestrengwelu2012

    Жыл бұрын

    Hongera sana Pro.Mungu AKUTUNZE

  • @festokemibala5832

    @festokemibala5832

    10 ай бұрын

    RIP Prof. Mwafwenga tutkumiss sana. Huyu jamaa tulikuwa naye IFM miaka hiyo ya 1992-95 akisoma kozi ya Taxation nasi tukiwa Accountancy. Alikuwa hapendi dhuruma kiasi Viongozi wasiyo wajibika walimuona ni mkorofi. Mungu ailaze roho ya Marehemu mahala pema peponi, Amin

  • @Waberoya
    @Waberoya10 ай бұрын

    RIP uncle, I will miss you

  • @severinaseverinanyoni707
    @severinaseverinanyoni707 Жыл бұрын

    Ongera baba wa la saba 😅 ata siwez ongea chochote ila nakupenda vile ulivyo na kumbukumbu ya kuwashukulu.wote waliokusaidia ongela sana baba

  • @nikymatela7013
    @nikymatela7013 Жыл бұрын

    Class mate wako wakowapii gademit n mwendo wa wakurugenzi na ma CE

  • @misambo7539
    @misambo753910 ай бұрын

    R. I. P Professor 😢😢😢

  • @vedastusngaiza5960
    @vedastusngaiza596010 ай бұрын

    I profesa lakini sio bright maana alifeli Sana

  • @celestinshayo7295

    @celestinshayo7295

    9 ай бұрын

    Mtu anayefeli sana lakini hakati tamaa mpaka anafaulu ujue huyo ndiye bright sasa anakuja kuwa mtaalamu mkubwa!

  • @saidkhamisi9592
    @saidkhamisi9592 Жыл бұрын

    Ellimu ya nchi hii ni butu kabisaaa

  • @happybalama3591
    @happybalama3591 Жыл бұрын

    Dah hadi raha jamaniii but kwann asiwe waziri

  • @personpeter2221

    @personpeter2221

    Жыл бұрын

    Hajakiz vgezo waziri lazma awe mbunge

  • @DoriceSawaki-vg4sb
    @DoriceSawaki-vg4sb10 ай бұрын

    Kumbe mke wake Tundu lisu ni msomi mkubwaaaa

  • @lwitikomaclean1407
    @lwitikomaclean1407 Жыл бұрын

    Mcuba huyo mzee wetu

  • @drisayaambulatoryvetclinic1514
    @drisayaambulatoryvetclinic1514 Жыл бұрын

    ada alikuwa anakulipia nani kote huko mzee prof.

  • @josephthomas9472
    @josephthomas9472 Жыл бұрын

    mwendelezo mbona hakuna ? weken mwendelezo tufatilie ili tujifunze mengi kutoka kwake maana anaonekana nikioo cha jamii

  • @obijoha2877
    @obijoha2877 Жыл бұрын

    Khaaa

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu10 ай бұрын

    Wewe ni msomi gani mkuu unaejenga kaburi na matofali kaburi Bora linajengwa na matendo mema ,lisha mayatima,WAJANE,MASKINI nk,vinginevyo unachezea pesa mzee wetu.

  • @husseinyusuph5458
    @husseinyusuph5458 Жыл бұрын

    Duuh!

  • @slimpeewee1426
    @slimpeewee1426 Жыл бұрын

    Prof anavyoongea kama vile anasoma sehemuu hiv yani vitu anavitoa step kwa step...

  • @twaliblilungulu7582
    @twaliblilungulu7582 Жыл бұрын

    Mafwenga nilikuwa fundi wake kwa mda mrefu hasa hapo nyumbani kwake namfahamu mno na ni kweli alihamia hapo nyumba haina mlango hata mmoja lakini wahuni kwake hawasogei da

  • @danimark3300

    @danimark3300

    Жыл бұрын

    Wanaogopa nini hasa Mkuu

  • @aidanhamis7913
    @aidanhamis791310 ай бұрын

    R. I. P Prof

  • @princesinko4073
    @princesinko4073 Жыл бұрын

    Huyu mzee yupo vizuri sana, lakini mbona naona kama anaishi mwenyewe bila familia?

  • @ismailchibonda5005

    @ismailchibonda5005

    Жыл бұрын

    Wako ulaya.

  • @danieldavid4733
    @danieldavid4733 Жыл бұрын

    Hazina ya taifa

  • @lucianoshija1292
    @lucianoshija12929 ай бұрын

    Hata mimi namtamani japo mimi ni Mwalimu

  • @asueddy1465
    @asueddy1465 Жыл бұрын

    Ila ndugu zangu wanyakyusa wana kaupekee flani hivi

  • @amenyemwansile6919

    @amenyemwansile6919

    Жыл бұрын

    Wana vipaji vya pekee

  • @ivankivinge2987
    @ivankivinge298710 ай бұрын

    RIP Prof Mafwenga

  • @aswileisaya7200
    @aswileisaya7200 Жыл бұрын

    Afungue one person coy Ltd maana pekeake ni taasisi kubwa

  • @josephndimi6135
    @josephndimi613510 ай бұрын

    Ikumbukwe huyu Ni mtoto was mwisho kwaoo🤣🤣

  • @gloriamasaka7635
    @gloriamasaka7635 Жыл бұрын

    jambo la ajabu kwenye hii interview sikusikia kama huyu Mwalimu ameoa na watoto wake wanafanya nini, am curious to know

  • @user-rg7tx2cc1l
    @user-rg7tx2cc1l9 ай бұрын

    (This particular time)

  • @ludanishirima5102
    @ludanishirima5102 Жыл бұрын

    maprofessa nchi hii ni wakina mengi wakina Azam wakina mohamed hawa wengine majina tu

  • @hawakiza6067

    @hawakiza6067

    Жыл бұрын

    Ha ha ha ha ha ha ha

  • @jojigeorige1056

    @jojigeorige1056

    Жыл бұрын

    😂😂 ni mtazamo mzuri. Wanasema money power & respect! Hao uliowataja kua wana pesa ni kwa sababu walikuta wasomi kama huyu mzee wanaumiza vichwa kutengeneza sera, na kuboresha mazingira ya biashara ili hao uliowataja waweze kushiriki shughuli za uchumi ili serikali ipate kodi nayo iboreshe shughuli za kijamii na miundombinu. Kwa pamoja ndio Taifa linajengwa ikiwa kunakuwapo na specialisations. Wote hatuwezi kua traders na merchants, wote hatuwezi kua wasomi kama huyu mzee. Bustani haiwezi kua na ua moja, haitovutia!

  • @zawadichalale4047

    @zawadichalale4047

    Жыл бұрын

    Hao uliowataja ni matajiri na hana elimu kubwa ki hivyo waliosomasana hawawagi. matajiri kihiiivyo

  • @jojigeorige1056

    @jojigeorige1056

    Жыл бұрын

    @@zawadichalale4047 ila Mohamed Dewji "Mo" ana elimu kubwa ( sio dr or professor) lakini ni msomi mkubwa

  • @amenyemwansile6919

    @amenyemwansile6919

    Жыл бұрын

    Wachaga roho mbaya nadhani angekuwa wa kaskazini ungemuunga mkono tuu wachaga mnaubaguzi nyie?

  • @salymkitumbika8644
    @salymkitumbika864410 ай бұрын

    Pumzika pema Mzee we2

  • @josephndilwa2445
    @josephndilwa24459 ай бұрын

    nasikia ameshafariki. r.i.p

  • @user-gy1lb9fo2b
    @user-gy1lb9fo2b10 ай бұрын

    Rip

  • @benjaminnyimbo9032
    @benjaminnyimbo9032 Жыл бұрын

    Sasa wote ma degree

  • @MrJackpull
    @MrJackpull9 ай бұрын

    Hakuna sauti

  • @milley7185
    @milley718510 ай бұрын

    anamuach8q mtu degree azitumie au anaxikwa nazoo

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Жыл бұрын

    Hongera Kwa degree hizo, Ila mchango wa degree hizo katika maendeleo ya nchi yetu ni upi?

  • @petersume2780

    @petersume2780

    Жыл бұрын

    Unataka mchango upi na ametumikia serikalini?

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    @@petersume2780 hahahaha,,,, najua umeelewa nilichomaanisha Ila inawezekana ukawa ndio wale wapenzi wa elimu ya makaratasi

  • @petersume2780

    @petersume2780

    Жыл бұрын

    @@jumakapilima7295 fanya research kwanza

  • @bongomastory791
    @bongomastory791 Жыл бұрын

    Hao ndio ukija kumuuliza atakuambia hana mke wala mtoto muda wote amamalizia kusoma

  • @Chemba67

    @Chemba67

    Жыл бұрын

    Ni kweli tupo wengi tulioathirika na kukaa darasani muda mrefu .......leo hiii tunajuta

  • @sheckycobb5240

    @sheckycobb5240

    Жыл бұрын

    @@Chemba67 khaaa si uoe ata saiv🤣

  • @Chemba67

    @Chemba67

    Жыл бұрын

    @@sheckycobb5240 Ni ngumu mno kumpata utakae mwelewa ,,🤣🤣🤣🤣

  • @Chemba67

    @Chemba67

    Жыл бұрын

    Ndio hivyo............ni ngumu mno kumpata utakae mwelewa 🤣🤣

  • @DeoKimbe-gt4op
    @DeoKimbe-gt4op Жыл бұрын

    Amengundua Ninia kwa taifa?mh msukuma katoa ajila kwa vijana kanunua mabasi mlipakodi mnzuri

  • @jojigeorige1056

    @jojigeorige1056

    Жыл бұрын

    Ila huyu katumia elimu yake na jitihada zake katika kushauri, kuandaa sera mbali mbali za uchumi n.k. vingi alivyofanya ni vitu visivyoonekana au kushikika " non tangible " . Binafsi naweza sema hakuwa bilionea, ila mchangonwake kama ungekua na copyright angekula pesa yeye na kikazi chake chote. Huyu alikua mtumishi wa serikali.

  • @celestinshayo7295

    @celestinshayo7295

    Жыл бұрын

    Usiseme Msukuma kafanya hivi ama vile tuambie wewe umefanikisha nini katika dunia hii. Je unayo hata hiyo degree moja?

  • @tupokengwala2027
    @tupokengwala2027 Жыл бұрын

    Ndaga dogo

  • @japhetlungu8636

    @japhetlungu8636

    Жыл бұрын

    Safi professor

  • @shindanoshija8919
    @shindanoshija8919 Жыл бұрын

  • @abdalahsuleiman8989
    @abdalahsuleiman8989 Жыл бұрын

    Profesa nakupongeza sanaa lakini nakushauri usome Quran tukufu sanaa pamoja siyo muislamu utapata digrii kubwa sanaa mimi kama mwalimu ntaanza kukufunza kiarabu

  • @hobokelageorge1207

    @hobokelageorge1207

    Жыл бұрын

    Wewe mwenyewe kiarabu hujui

  • @madetetv6576

    @madetetv6576

    10 ай бұрын

    Kiarabu kitamsaidia nn sasa?

  • @vincentmushi1247
    @vincentmushi1247 Жыл бұрын

    Hongera zake kwa degree na masters... ingawa amesoma sana na maelezo yake lkn sijajifunza chochote na sijaelewa maana ya hizo degree zote ...nimepoteza mb zangu tuu,afadhali ningeangalia mashamsham..😅nina mashaka nyingine amenunua ili aonekane kuwa ni msomi...hahahaaaaa

  • @jojigeorige1056

    @jojigeorige1056

    Жыл бұрын

    Ni content adimu sana. Ndio maana unastruggle ku connect. Nikusaidie tu kwamba katika maisha usibweteke na kile ulichokishika sasa, pambaka kupata changamoto kubwa zaidi katika kujijengea kitu unachokitamani. Sasa ifanye katika kutafuta chochote kile, iwe pesa, elimu, umaarufu, uongozi kisiasa etc

  • @vincentmushi1247

    @vincentmushi1247

    Жыл бұрын

    @@jojigeorige1056 akili nyingi uondoa maharifa

  • @amenyemwansile6919

    @amenyemwansile6919

    Жыл бұрын

    Wachaga wwngi wanakasumba kujiona wao ni bora zaidi wakati serkalini ndiyo wanaongoza kwa kuwa na vyeti feki

  • @vincentmushi1247

    @vincentmushi1247

    Жыл бұрын

    @@amenyemwansile6919 hilo povu kaka kafulie nguo za huyo mzee..hahahaaaaa

  • @asueddy1465

    @asueddy1465

    Жыл бұрын

    Akili ndogo haiwezi kuelewa

  • @israelkisserei524
    @israelkisserei524 Жыл бұрын

    NILITEGEMEA KUSIKIA KUWA AMEGUNDUA MAGARI YAENDAYO KASI KWA KUTUMIA MIONZI YA MWEZI... KUMBE NI KABURI TU... AMA KWELI ELIMU YETU BADO NI SHIDA.

  • @ramadhanidilunga1926

    @ramadhanidilunga1926

    Жыл бұрын

    '

  • @myunaniniahmad6463

    @myunaniniahmad6463

    Жыл бұрын

    😁

  • @aminmohammed4249

    @aminmohammed4249

    Жыл бұрын

    Watu kama hawa wamefanya makubwa sana behind the scene! Huwezi elewa

  • @israelkisserei524

    @israelkisserei524

    Жыл бұрын

    SAFARI YETU KWA MAENDELEO BADO NI NDEFU SANA, KWA KUWA TUMEZOEA KUKUZA VITU VIDOGO VIDOGO NA KUPONGEZANA KWA VITU VISIVYOKUWA NA FAIDA.

  • @aloycekarlum3702

    @aloycekarlum3702

    Жыл бұрын

    Agundue gari yy alisomea uhandisi. Mbona maelezo yake mm yamenijenga. Ndugu tuwe na kiasi.

  • @eugeniayaheze932
    @eugeniayaheze9329 ай бұрын

    😅

Келесі