PART 1; MTAZANIA MSOMI ZAIDI/HILI NDILO KABURI LANGU/NIMEIMBA NA MKE WA KIKWETE
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Пікірлер: 145
Daah mzee anashukrani sana kwa waliomshika MKONO mbali na Madigrii yote hasahau mtu na kama amefariki anamuombea alale mahalapema Peponi hivyo NDIVYO watu hubarikiwa Mungu aendelee kuntunza huyu mzee MWENYE moyo safi
@patsonmophat9456
Жыл бұрын
?❤£
Mzee yuko vizuri sana!!! Kanunua eneo kubwa sana la kuishi!!!! Big up mzee!!!! Oooh!!! Mdogo wake Da Tully!!!
Hongera sana Prof hujasahau lugha yetu!! Maana Hapa Tz Watu waliobahatika kusoma mpka degree moja tu wakiongea Kiswahili huwa wanajifanyaga wanesahau lugha yao ya Taifa iliyowakuza.
Hata zungumza yake tu inasadifu yaliyomo kichwani na moyoni. Pongezi kwa viuno vya babaye na tumbo la mamaye lililomleta duniani. Hazina njema.
Mwandishi upo vizuri sanaa, umeendesha interview kisomi haichoshi. Umepata new follower mkuu Heko kwa Profesor the tax guru
Hongera sana Prof. Ingawa mara nyingi wasomi hutengeneza gape kubwa sana ya mahusiano na ndugu zake. Vinginevyo huyu Mgonile ni mfano wa kuigwa. Ombi: Serikali imutumie kama wenzetu kule Ulaya. Mungu akubariki babu Mafwenga.
Hongera Prof uko na maarifa mob......inspired
Kweli kila kitu chini ya jua kinawezekana big up Professor 😂
Heshima kwako Prof
MSOMI MNYAKYUSA. UBARIKIWE SANAA.
Ahsante fijo mzee!!!!
Duh... eenheeee! huyu ni mwamba! Admin asante sana kumleta huyu multisectoral!
Hongera Mpoki mate wangu Sangu sec kweli alikuwa naFujo
👏👏👏👏 ndaga Baba 😊
Vizuri Sana Prof tunapashwa kukutumia kuzalisha wasomi wengine, uzee nchi unaiachia nini? Basi type ushauri jinsi biashara kariakoo iweje, inaumiza viongozi wetu wapendwa
Daaaah,,, story ya Mzee imeni inspire sana kusoma.
Pumzika kwa amani prof
Pole familia Ya prof
Congratulations father kwa mapambano
Heshima kwake
nyie ambae mna degree moja mkihojiwa mnajiona mmesoma kingereza kingi angalia mwamba huyu hapa
@jumakisailo8496
Жыл бұрын
😅😅😅😅❤
@kefajoseph158
Жыл бұрын
Kweli bhana maringo mengi kadigrii kamoja
Safi sana
Excellent !!❤
@hildegardchafwila5076
Жыл бұрын
Safi Sana.
Mimi imependa uamuzi wako na usomi wako wakujenga kaburi Yako mapema mungu akubari sana amina
Na kubaliana Prof
stanslaus nakufatilia sana unaeleweka nini unafanya unampa.mtu.nafasi kujieleza namaswali ya umuhimu
Daaa, mzee hakua mtu wa kukata tamaa katika malengo yake. Ana uwezo mkubwa sana wa kumbukumbu kuhusu hatua zote alizozipitia. CV yake yote iko kichwani RIP Prof.
Prof hongera sana,Ila ulivyotaja tu jina la Gwamaka umenichefua sana .Gwamaka ni mnyonyaji wa wanyonge sana ila Mungu yupo
@gregoryadriano724
Жыл бұрын
Tupe ufafanuzi unyonyaji wake nini
@sheckycobb5240
Жыл бұрын
Alikunyonya damu?
@masetomuhafiwa4546
Жыл бұрын
😄😄😄😄
@andrewisaac171
Жыл бұрын
Kisa amefungia bar kupiga kelele.? Yeye anafuata sheria tu ambazo amezikuta hapo NEMC
Watu Kama hawa serikali haitawataka maana atafanya kitu
Daaah, mwamba alipambanaaa😔😔😔
Mungu akulaze mahala pema uliongea haya miezi minne nawe Sasa umekuwa Marehem sijui NAMI nimekomenti miaka au miezi mingapi NAMI nitakuwa marehemu
❤❤
Aiseeee kwel mwambaaas
💪💪💪
😮
watanzania wasomi tunao wengi kwa sasa tunahitaji wabunifu na wagunduzi tumechoka na watu wakukalili
@serafinamalecela4728
Жыл бұрын
Kalili na wewe kama kazi rahisi😂
@saidyussuf2291
9 ай бұрын
@@serafinamalecela4728 hhhhhh
Apumzike kwa amani
Safi sa
R.I.P prof handlaley.
✍✍
Mzee ana jua majina mengi sana
Pumzika Kwa Amani Mzee wetu😭😭
@athumanfuko199
10 ай бұрын
kwani amekufa
Hayo maghorofa kuna siku utayaacha lakini elimu uliyonayo utaenda nayo kwa Mungu wako.
Hawa watu walikua sio Wala rushwa mpaka unamsikia mtu aliefanya kazi adi TRA anasema mshahara ulikua hautoshi akaamua kufanya kazi za ziada huyu mtu hakua mla rushwa. Hawa wazee wanakumbukumbu sana yaan Kila alichokutana nacho anakumbuka. Hii inamaanisha watu wa zaman kidogo hawakua na mambo mengi tofauti na Sasa kwenye utandawazi vichwa vinajaa mambo yasiyo na msingi.
@sylvestrengwelu2012
Жыл бұрын
Hongera sana Pro.Mungu AKUTUNZE
@festokemibala5832
10 ай бұрын
RIP Prof. Mwafwenga tutkumiss sana. Huyu jamaa tulikuwa naye IFM miaka hiyo ya 1992-95 akisoma kozi ya Taxation nasi tukiwa Accountancy. Alikuwa hapendi dhuruma kiasi Viongozi wasiyo wajibika walimuona ni mkorofi. Mungu ailaze roho ya Marehemu mahala pema peponi, Amin
RIP uncle, I will miss you
Ongera baba wa la saba 😅 ata siwez ongea chochote ila nakupenda vile ulivyo na kumbukumbu ya kuwashukulu.wote waliokusaidia ongela sana baba
Class mate wako wakowapii gademit n mwendo wa wakurugenzi na ma CE
R. I. P Professor 😢😢😢
I profesa lakini sio bright maana alifeli Sana
@celestinshayo7295
9 ай бұрын
Mtu anayefeli sana lakini hakati tamaa mpaka anafaulu ujue huyo ndiye bright sasa anakuja kuwa mtaalamu mkubwa!
Ellimu ya nchi hii ni butu kabisaaa
Dah hadi raha jamaniii but kwann asiwe waziri
@personpeter2221
Жыл бұрын
Hajakiz vgezo waziri lazma awe mbunge
Kumbe mke wake Tundu lisu ni msomi mkubwaaaa
Mcuba huyo mzee wetu
ada alikuwa anakulipia nani kote huko mzee prof.
mwendelezo mbona hakuna ? weken mwendelezo tufatilie ili tujifunze mengi kutoka kwake maana anaonekana nikioo cha jamii
Khaaa
Wewe ni msomi gani mkuu unaejenga kaburi na matofali kaburi Bora linajengwa na matendo mema ,lisha mayatima,WAJANE,MASKINI nk,vinginevyo unachezea pesa mzee wetu.
Duuh!
Prof anavyoongea kama vile anasoma sehemuu hiv yani vitu anavitoa step kwa step...
Mafwenga nilikuwa fundi wake kwa mda mrefu hasa hapo nyumbani kwake namfahamu mno na ni kweli alihamia hapo nyumba haina mlango hata mmoja lakini wahuni kwake hawasogei da
@danimark3300
Жыл бұрын
Wanaogopa nini hasa Mkuu
R. I. P Prof
Huyu mzee yupo vizuri sana, lakini mbona naona kama anaishi mwenyewe bila familia?
@ismailchibonda5005
Жыл бұрын
Wako ulaya.
Hazina ya taifa
Hata mimi namtamani japo mimi ni Mwalimu
Ila ndugu zangu wanyakyusa wana kaupekee flani hivi
@amenyemwansile6919
Жыл бұрын
Wana vipaji vya pekee
RIP Prof Mafwenga
Afungue one person coy Ltd maana pekeake ni taasisi kubwa
Ikumbukwe huyu Ni mtoto was mwisho kwaoo🤣🤣
jambo la ajabu kwenye hii interview sikusikia kama huyu Mwalimu ameoa na watoto wake wanafanya nini, am curious to know
(This particular time)
maprofessa nchi hii ni wakina mengi wakina Azam wakina mohamed hawa wengine majina tu
@hawakiza6067
Жыл бұрын
Ha ha ha ha ha ha ha
@jojigeorige1056
Жыл бұрын
😂😂 ni mtazamo mzuri. Wanasema money power & respect! Hao uliowataja kua wana pesa ni kwa sababu walikuta wasomi kama huyu mzee wanaumiza vichwa kutengeneza sera, na kuboresha mazingira ya biashara ili hao uliowataja waweze kushiriki shughuli za uchumi ili serikali ipate kodi nayo iboreshe shughuli za kijamii na miundombinu. Kwa pamoja ndio Taifa linajengwa ikiwa kunakuwapo na specialisations. Wote hatuwezi kua traders na merchants, wote hatuwezi kua wasomi kama huyu mzee. Bustani haiwezi kua na ua moja, haitovutia!
@zawadichalale4047
Жыл бұрын
Hao uliowataja ni matajiri na hana elimu kubwa ki hivyo waliosomasana hawawagi. matajiri kihiiivyo
@jojigeorige1056
Жыл бұрын
@@zawadichalale4047 ila Mohamed Dewji "Mo" ana elimu kubwa ( sio dr or professor) lakini ni msomi mkubwa
@amenyemwansile6919
Жыл бұрын
Wachaga roho mbaya nadhani angekuwa wa kaskazini ungemuunga mkono tuu wachaga mnaubaguzi nyie?
Pumzika pema Mzee we2
nasikia ameshafariki. r.i.p
Rip
Sasa wote ma degree
Hakuna sauti
anamuach8q mtu degree azitumie au anaxikwa nazoo
Hongera Kwa degree hizo, Ila mchango wa degree hizo katika maendeleo ya nchi yetu ni upi?
@petersume2780
Жыл бұрын
Unataka mchango upi na ametumikia serikalini?
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
@@petersume2780 hahahaha,,,, najua umeelewa nilichomaanisha Ila inawezekana ukawa ndio wale wapenzi wa elimu ya makaratasi
@petersume2780
Жыл бұрын
@@jumakapilima7295 fanya research kwanza
Hao ndio ukija kumuuliza atakuambia hana mke wala mtoto muda wote amamalizia kusoma
@Chemba67
Жыл бұрын
Ni kweli tupo wengi tulioathirika na kukaa darasani muda mrefu .......leo hiii tunajuta
@sheckycobb5240
Жыл бұрын
@@Chemba67 khaaa si uoe ata saiv🤣
@Chemba67
Жыл бұрын
@@sheckycobb5240 Ni ngumu mno kumpata utakae mwelewa ,,🤣🤣🤣🤣
@Chemba67
Жыл бұрын
Ndio hivyo............ni ngumu mno kumpata utakae mwelewa 🤣🤣
Amengundua Ninia kwa taifa?mh msukuma katoa ajila kwa vijana kanunua mabasi mlipakodi mnzuri
@jojigeorige1056
Жыл бұрын
Ila huyu katumia elimu yake na jitihada zake katika kushauri, kuandaa sera mbali mbali za uchumi n.k. vingi alivyofanya ni vitu visivyoonekana au kushikika " non tangible " . Binafsi naweza sema hakuwa bilionea, ila mchangonwake kama ungekua na copyright angekula pesa yeye na kikazi chake chote. Huyu alikua mtumishi wa serikali.
@celestinshayo7295
Жыл бұрын
Usiseme Msukuma kafanya hivi ama vile tuambie wewe umefanikisha nini katika dunia hii. Je unayo hata hiyo degree moja?
Ndaga dogo
@japhetlungu8636
Жыл бұрын
Safi professor
⁸
Profesa nakupongeza sanaa lakini nakushauri usome Quran tukufu sanaa pamoja siyo muislamu utapata digrii kubwa sanaa mimi kama mwalimu ntaanza kukufunza kiarabu
@hobokelageorge1207
Жыл бұрын
Wewe mwenyewe kiarabu hujui
@madetetv6576
10 ай бұрын
Kiarabu kitamsaidia nn sasa?
Hongera zake kwa degree na masters... ingawa amesoma sana na maelezo yake lkn sijajifunza chochote na sijaelewa maana ya hizo degree zote ...nimepoteza mb zangu tuu,afadhali ningeangalia mashamsham..😅nina mashaka nyingine amenunua ili aonekane kuwa ni msomi...hahahaaaaa
@jojigeorige1056
Жыл бұрын
Ni content adimu sana. Ndio maana unastruggle ku connect. Nikusaidie tu kwamba katika maisha usibweteke na kile ulichokishika sasa, pambaka kupata changamoto kubwa zaidi katika kujijengea kitu unachokitamani. Sasa ifanye katika kutafuta chochote kile, iwe pesa, elimu, umaarufu, uongozi kisiasa etc
@vincentmushi1247
Жыл бұрын
@@jojigeorige1056 akili nyingi uondoa maharifa
@amenyemwansile6919
Жыл бұрын
Wachaga wwngi wanakasumba kujiona wao ni bora zaidi wakati serkalini ndiyo wanaongoza kwa kuwa na vyeti feki
@vincentmushi1247
Жыл бұрын
@@amenyemwansile6919 hilo povu kaka kafulie nguo za huyo mzee..hahahaaaaa
@asueddy1465
Жыл бұрын
Akili ndogo haiwezi kuelewa
NILITEGEMEA KUSIKIA KUWA AMEGUNDUA MAGARI YAENDAYO KASI KWA KUTUMIA MIONZI YA MWEZI... KUMBE NI KABURI TU... AMA KWELI ELIMU YETU BADO NI SHIDA.
@ramadhanidilunga1926
Жыл бұрын
'
@myunaniniahmad6463
Жыл бұрын
😁
@aminmohammed4249
Жыл бұрын
Watu kama hawa wamefanya makubwa sana behind the scene! Huwezi elewa
@israelkisserei524
Жыл бұрын
SAFARI YETU KWA MAENDELEO BADO NI NDEFU SANA, KWA KUWA TUMEZOEA KUKUZA VITU VIDOGO VIDOGO NA KUPONGEZANA KWA VITU VISIVYOKUWA NA FAIDA.
@aloycekarlum3702
Жыл бұрын
Agundue gari yy alisomea uhandisi. Mbona maelezo yake mm yamenijenga. Ndugu tuwe na kiasi.
😅