Mbarikiwa ahoji. Je kikwete atakamatwa na simu yake...

Пікірлер: 901

  • @Focusm-se2sd
    @Focusm-se2sd Жыл бұрын

    Kikwete ni mtu mbaya sana ila mungu atasimama juu ya nchi hii

  • @khalfaniutaly1303

    @khalfaniutaly1303

    Жыл бұрын

    wewe ni mtu jeuri mwache mzee apumzike acha roho mbaya itakusaidia nn

  • @NokorenKuluo-xd7wn
    @NokorenKuluo-xd7wn Жыл бұрын

    Pole San mtumishi wamungu kwaunayo yapitia hao wote mungu atawajibu kwayote yanayo fanya kwa mtumishi wa mungu na kwa watanzania wote mungu yu hai

  • @honoratamafala6968
    @honoratamafala6968 Жыл бұрын

    Huyu Mchungaji,alifiwa na mwanae ,badala ya kuliwazwa aliendelea kuchomwa moyo.anahitaji sana kutulizwa na kusikilizwa kwa ukaribu.

  • @princemahamba242

    @princemahamba242

    Жыл бұрын

    Atulizwe na mme wake tuko busy

  • @youngsachafurniture5482

    @youngsachafurniture5482

    11 ай бұрын

    @@princemahamba242 ww choko ujafiwa

  • @popekatalango9409

    @popekatalango9409

    11 ай бұрын

    hebu nifahamishe hapo kikwete kamchomaje moto huyu bwana?

  • @kavulatikivurunzi

    @kavulatikivurunzi

    11 ай бұрын

    Sanasana unachokisema kweli MUNGU Ana ahadi nakikwete mnaemchukia

  • @AbdulqadirChamakope

    @AbdulqadirChamakope

    2 ай бұрын

    Wapi kamtaja Samia, acha kuchanganya mafile mchungaji. Wewe, mara humuogopi Mungu 😂

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Жыл бұрын

    Ameeen yawarudie wenyewe kwakweli🙏🤲

  • @personalitiesan9806
    @personalitiesan9806 Жыл бұрын

    Human beings of this caliber are very few and they're ever straight away, discerned and very strong in their spiritual world......he literally speaks from his very bottom of his heart and He's been injured internally please jmn mwacheni Aishi vizuri kama watanzania wengine.#let Mr mbarikiwa live peacefully and let's not hold grudges over each other please please please 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @HamzaFamily-sw4td
    @HamzaFamily-sw4td Жыл бұрын

    Machungu ya wa Tanzania 🇹🇿 yatajibiwa na mungu asiye lala .

  • @davisnkoba2683
    @davisnkoba2683 Жыл бұрын

    Mtumishi wa BWANA Mbarikiwa Daniel wa sasa God be with you in all in Jesus mighty name amen

  • @user-ie2to4iz8m

    @user-ie2to4iz8m

    Жыл бұрын

    Taarifa kwa yeyete aliyeshiriki kifo Cha mtoto huyu wa mtumishi huyu malipo haya hapa hapa duniani😢

  • @agustinohizza1395

    @agustinohizza1395

    Жыл бұрын

    Kama unauwezo wa kuona mbali muiteni mmalizane kutatokea kitu kibaya mbele

  • @psgospel3490
    @psgospel3490 Жыл бұрын

    Mtumishi wa Mungu, Mungu akutie nguvu zaidi ulivuke hili nalo. Naweza pata mawasiliano yako kama hutojali🙏

  • @mnanasuly2585

    @mnanasuly2585

    11 ай бұрын

    Mtumishi gani mpumbavu kama huyu

  • @NellyMadeni-yv6fd
    @NellyMadeni-yv6fd Жыл бұрын

    Mbarikiwa ni mtu mwenyehaki, Mungu hawezi kumwacha. Poleni mnyemtesa mtu huyu kwakua hamjui nguvu ya Mungu, mtajuta sana

  • @mzuandamlalli8654
    @mzuandamlalli8654 Жыл бұрын

    🎉❤baba mungu yupo nasi

  • @sayunimkongwa9830
    @sayunimkongwa9830 Жыл бұрын

    R c o mbeya yatakurudia sio muda.

  • @WillBat-gc9ex
    @WillBat-gc9ex2 ай бұрын

    Mbarikiwa kakaangu umtumishi wa mungu wa walio hai mungu akulinde sana watoto wako wako salama kwa jina la yesu usihangaike nao maumivu uliyo nayo ni makali sana najua unafahamu kwa habari ya mungu wa dunia hii hagai alishaongea mungu anasema usiogope

  • @jacksoncharles5411
    @jacksoncharles5411 Жыл бұрын

    Walikuwepo watu kama HERODE nk,but mwisho wao haukuwa mzuri,hakuna aliyewaumiza watu wa MUNGU wakabaki salama,R.C.O mbeya na wenzako mnaotumia vyeo vyenu kuwaumiza watu kwa nia OVU,kuna haja ya kujitafakari,hayo madaraka hamjazaliwa nayo,hivyo hamtakufa nayo,kumbukeni nje ya vyeo kuna maisha mengine.NB:Mmezaa na mnavizazi,hawa mnaowatesa nao wamezaa na wanavizazi,kuweni makini sana ktk kila mfanyalo juu ya bin Adam wenzenu,yatakuja kuwaghalimu ninyi au vizazi vyenu.

  • @DanielOrkijape-qi4xk

    @DanielOrkijape-qi4xk

    Жыл бұрын

    Na nikweli amekamatwa au niongo tuu kama nikweli alikamatwa makofi kwa kila mwananchi

  • @gwaatemaalaay

    @gwaatemaalaay

    10 ай бұрын

    I'm

  • @marleymwampashe8896

    @marleymwampashe8896

    10 ай бұрын

    ​@@DanielOrkijape-qi4xkpum 3:11

  • @leahmhanze611

    @leahmhanze611

    10 ай бұрын

    Vita yetu si juu ya damu na nyama

  • @zainabumohamed8541

    @zainabumohamed8541

    10 ай бұрын

    Mungu ana Siri nyingi tumwachie yeye

  • @getitdoneright1938
    @getitdoneright1938 Жыл бұрын

    Huyu msoga anacheza kete anajua kuwa swala la a bandari limenuka na litawalipukia na anatafuta mahala pa kujinasua yeye na familia na genge lake.

  • @aristidesvedasto7855

    @aristidesvedasto7855

    Жыл бұрын

    Kabisa kanafiki tu kumbe unakajua eee!

  • @mashramadhani1989

    @mashramadhani1989

    Жыл бұрын

    Pamoja na yoooote anayohusishwa kikwete lkn ktk utawala wake alitoa Uhuru wa kukosolewa Kwa SERIKALI yake

  • @getitdoneright1938

    @getitdoneright1938

    Жыл бұрын

    @@mashramadhani1989 uhuru wa kukosolewa hautoki kwa raisi bali katiba ndiyo inayoruhusu freedom of speech

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Жыл бұрын

    @@getitdoneright1938 kweli, ila wakati wa magufuli hakuna freedom of speach. Jee katiba ilibadilika au?

  • @sifawayesu7079

    @sifawayesu7079

    Жыл бұрын

    Ni sasa unamsikiliza??

  • @SamweliZaburi
    @SamweliZaburi Жыл бұрын

    Wape vidonge vyao kwani serikali hii inaonea sana kuanzia serikali kuu hadi vijijini mungu anawaona

  • @linkreuben3108
    @linkreuben3108 Жыл бұрын

    Serikali ingeyamaliza tu na huyu Pastor; UPANGA unaokuja mbele ni HATARI!!!

  • @Pharadge

    @Pharadge

    Жыл бұрын

    kama ya Mackenzie

  • @sifawayesu7079

    @sifawayesu7079

    Жыл бұрын

    ​​@@Pharadgea Mackenzi amekujaje hapa??

  • @mamboshepea8888

    @mamboshepea8888

    Жыл бұрын

    @@sifawayesu7079 Amekuja kwa bajaji😆😆😆

  • @mohdsaid7488

    @mohdsaid7488

    Жыл бұрын

    Sasa wewe mungu humuogopi then yeye tu ndie atakaekuokoa hebu tuliza fuvu kwanza

  • @yohanayohana5558

    @yohanayohana5558

    2 ай бұрын

    Hakika huyu baba ameongea kwa ukali sana

  • @GeraldYamoya-hx3wc
    @GeraldYamoya-hx3wc Жыл бұрын

    Pole sana kuishi kwetu ni Kristo kufa ni faida usiogope

  • @ThadeoJohn-or2uw
    @ThadeoJohn-or2uw Жыл бұрын

    Kweli mtumishi wa mungu hawatakuwa salama na hio bandali maana wananchi wengi wameumizwa

  • @edsonnelson4464

    @edsonnelson4464

    Жыл бұрын

    Sema bandari siyo bandali

  • @rosemarysulle9288

    @rosemarysulle9288

    11 ай бұрын

    Tumeumizwa sana wa Tz mioyo yetu inavuja damu.lkn mwenye dunia yake yupo,naye ni Mungu naye atahukumu kwa haki.Amen

  • @user-uo9tv6cb2z
    @user-uo9tv6cb2z2 ай бұрын

    Pole Sana mtumishi wa mungu japo mungu yuko upande ya watumishi wake soma yeremia 29,11 usijali mungu yuko upande wako

  • @gloriousmwankotwa882
    @gloriousmwankotwa882 Жыл бұрын

    Vita si yenu bali ni ya Bwana , Bwana atawapigania nanyi mtanyamaza kimya. Nyamaza kimya mtumikie Mungu aliyekuita naye atapigana vita yako mtumishi wa Bwana. Haya yanatokea kukutoa kwenye mstari, mwache Mungu akutetee.

  • @sifawayesu7079

    @sifawayesu7079

    Жыл бұрын

    Mbona sasa wewe haujanyamaza na komenti haijajiweka yenyewe??

  • @gloriousmwankotwa882

    @gloriousmwankotwa882

    Жыл бұрын

    Ni neno LA Mungu ndo linasema hivyo mpendwa, kwamba Bwana atatupigania nasi tutanyamaza kimya, sio maneno yangu.

  • @juliusjohnii7823
    @juliusjohnii7823 Жыл бұрын

    Mungu mkubwa, Tunakaribia kufika, na tuta fika kwa kishindo kikubwaaa.

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 Жыл бұрын

    Wamemkosea Mtumishi wa Mungu Sasa watakula ujinga wao tuko pamoja mtumishi

  • @PMMakula
    @PMMakula Жыл бұрын

    Zaburi 89:7 [7]Mungu huogopwa sana barazani pa watakatifu, Ni wa kuhofiwa kuliko wote wanaomzunguka.

  • @RobertGwelela

    @RobertGwelela

    Жыл бұрын

    Hiyo Zaburi 89:7 Mungu huogopwa Sana barazani pa watakatifu wake.Anachomaanisha hapa Ni kwamba Mungu anaheshimiwa Sana.Mtu wa haki hatakiwi kuwa mwoga.2Tim 1:7 Mungu hakutupa roho ya woga.hata ufunuo 21:8 Mungu anawakataa waoga.Sisi tunatakiwa tuogope kutenda dhambi ila Mungu tumheshimu Sana.Mtu utamwogopa Mungu endapo unatenda dhambi,,Kama ni mwema Basi Mungu utamheshimu na kumfurahia Sana,na hauwezi kumfurahia unayemuogopa.Hata ktk familia mtoto anayemuogopa sana baba ni yule anayetenda mabaya lkn anayetenda mema Sana anakuwa rafiki mkubwa wa baba.Mungu anapenda sisi tuwe huru Sana kwake kwa maana ya kwamba kila tunaloliona gumu kwetu tuwe radhi kumweleza ili atusaidie,Sasa tutamwelezaje Kama tunamuogopa?.Hata falsafa pastor aliyosema ame copy kwa Marehemu Ruge Mtahaba kuwa Muogope Sana Mungu na teknolojia,Maana yake tumuheshimu Mungu,yaani tuwe makini na tunayoyafanya ili tusikosane na Mungu.Lkn tuziheshimu teknolojia kwa maana ya kwamba tuwe makini na tunayoyafanya kwenye teknolojia kwakuwa yanaweza kuhifadhi kumbu kumbu za tuliyowahi kuyafanya kwenye teknolojia.Kama yalikuwa ni mabaya kisha sisi tukakataa basi teknolojia inaweza kuyaonyesha kwa dunia nzima.hata ukisikia mtu anakwambia wewe uwe na hofu ya Mungu,anamaanisha Mheshimu Mungu,au uwe makini ktk matendo yako usimkosee au usimkere Mungu,Maana unayemshimu ni lazima utapenda utendee mema sio mabaya.

  • @sifawayesu7079

    @sifawayesu7079

    Жыл бұрын

    Mungu huogopwa na waovu ila wema humsogelea na amesema maovu ya wanadamu ndio hufanya Mungu aonekane ni mbaya.

  • @user-wv9wc6yr1u

    @user-wv9wc6yr1u

    Ай бұрын

    Amina

  • @emanuelkinoko9126
    @emanuelkinoko9126 Жыл бұрын

    Huyu ndo mtumishi wa Mungu sasa siyo hao wengine wasaka tonge! Hakuna wa kukugusa mtumishi watakufa wao kwa jina la YESU MWANA WA MUNGU ALIYE HAI.

  • @eleonorabokewarioba4420
    @eleonorabokewarioba4420 Жыл бұрын

    Sikutegemea kama Tanzania inaweza kutesa wana inchi wake kwa namna hiyo juteni kabla siku za Bwana hazijatimia kwani Bwana alisema ukiua kwa upanga kwa upanga itakufa

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 Жыл бұрын

    Amen mtumishi wa mungu, ongea mtu wa mungu,,

  • @user-on3sb4fn7w
    @user-on3sb4fn7w Жыл бұрын

    Mungu akutangulie mtumishi pole sana kwa pito lako mwachie mungu ashugulikenao🙏

  • @alloycejames5285
    @alloycejames52853 ай бұрын

    Sijui ndugu yangu kama ni Mungu kakutuma...ila kwa maoni yangu ungefanya kazi ya Mungu uliyoitiwa...

  • @mckobatz5861

    @mckobatz5861

    Ай бұрын

    Kama ipo sauti na maoni ya Mungu juu ya anachofanya hakuna wa kumzuwia ndugu

  • @laurentngussa1735
    @laurentngussa1735 Жыл бұрын

    Apandaye ubaya atavuna ubaya anaoupanda kwa wakati asioutarajia, Mungu ni mhukumu wa haki siku zote.

  • @sifawayesu7079
    @sifawayesu7079 Жыл бұрын

    Huyo RCO Mbeya anashindana na Mungu mwenyewe na apandae ubaya atavuna ubaya alioupanda.

  • @stevennjalika-in1fo
    @stevennjalika-in1fo Жыл бұрын

    Baba mungu atasimama kwa RCO na wenzake hao mungu yupo ,mungu yupo,,,,,,,,,!

  • @GabrielPetro-qj2mk
    @GabrielPetro-qj2mk Жыл бұрын

    Amen San, masihi wa mungu

  • @prisilakimario2102
    @prisilakimario210210 ай бұрын

    Kila mtu aombe kwa iman yake,maan MUNGU ndo hana mpinzan.Nimwanzo na mwisho.🙏🙏

  • @petermwenda6470
    @petermwenda6470 Жыл бұрын

    Hawa watu wanataka kujamba wajambe wao Tu, tukijamba Sisi tunaharisha

  • @nurdinahmed9063
    @nurdinahmed9063 Жыл бұрын

    Wallahi wabillahi naapa mbele za Allah hii himaya Ni uovu utupu na Mungu tupe majibu kwa mahasdi wa tz

  • @ShukuruHashim-re4kb
    @ShukuruHashim-re4kb Жыл бұрын

    pole sana pastor kwa mapito yote

  • @user-pd1kk3xd4u
    @user-pd1kk3xd4u Жыл бұрын

    Samia ni dictator na ni jambazi alishauza nchi hii long time

  • @nurdinahmed9063
    @nurdinahmed9063 Жыл бұрын

    Huyo rcu mbeya mwisho wake mbaya na Mungu atampiga pigo kubwa sana Ila!

  • @shahiidabdallah3579
    @shahiidabdallah3579 Жыл бұрын

    Hakuna tatizo hapo tatizo niufahamu walugha ,mchungaji afunzwe kiswahili,na sanaa yalugha.

  • @user-dv8lm4ko5i

    @user-dv8lm4ko5i

    Ай бұрын

    Kaka Mchungaji amechanganyikiwa

  • @mohammedgogo3327
    @mohammedgogo3327 Жыл бұрын

    Shida ni kwamba shamba la Bwana heri, ng' ombe za Bwana heri, majani ya Bwana heri, mwendesha mashitaka ni Bwana heri, mtoa hukumu ni Bwana heri, mahakama ni ya Bwana heri, kwahiyo watanzania hatuthaminiwi Ila asiye na mtu ana Mungu. Wana wa Israeli walilia mbele za Mungu baada ya mateso, lakin Bwana wa majeshi aliwasikia kilio chao na hatimaye Mungu aliunyosha mkono wake. Wakawa guru.

  • @user-gv9zo3os2m

    @user-gv9zo3os2m

    11 ай бұрын

    😊😅

  • @NywageTv
    @NywageTv Жыл бұрын

    R c o mbeya mabaya haya anayopitia mchungaji huyu yatakua juu yako

  • @omarhemed448
    @omarhemed448 Жыл бұрын

    Watanganyika waoga. Muche ni mbarikiwa atememadini

  • @PiusMapunda-gx8pu

    @PiusMapunda-gx8pu

    Ай бұрын

    Na woga wetu ndio unaotuumiza,Nchi inatawaliwa na wapemba. jamani watznia tuamke wachache wanauza Nnchi jamani tuamke.tuamke.

  • @PiusMapunda-gx8pu

    @PiusMapunda-gx8pu

    Ай бұрын

    Rais wa katika huyo hatufai hatujamchagua cc.Oooh Bai bai Tanzania tukija kushtuka hatuna kitu.

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed887511 ай бұрын

    mashetana tutawakabili kwa dua za mangamizi ALLAH atadilili nao madamu watu wana dai haki NAWAKABIZI KWA, ALLAH ANAJUA KULIPAMACHUNGU MWENYE NGUVU ANAYEBIGA MAPIGO MAZITO YASIO NA MFANO AMEEN

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 Жыл бұрын

    USITUMIE MANENO YA KIKWETE VIBAYA KIKWETE ANAONGRLEA UONGOZI KWA UJUMLA UNAVYOPASWA KUA

  • @user-oh8sk4wy3r
    @user-oh8sk4wy3r10 ай бұрын

    Ila huyu mwamba nimeekuwa nikimfatilia kwa karib sana ila mwisho wa siku kwa udogo wa elimu yang na ufaham wang nahis huwenda afya yake ya akil haiko vizur ,sawa umefanyiwa ubaya lakn ww umekuwa mtu wa kulaum kila siku ,na siku zote unaambiwa unapo laumu usimalize maneno mana kuna siku utashindwa pa kuanzia ,we n mtu mzima eb kuna mambo jarb kuyapotezea mana hata mtu akikufatilia inafikia hatua anakuchoka mana unaongea upumbavu ,ni mtu wa guru chuki zimekujaa ww eb tupumzishe mchunguj unazingua...hata hy clip ukiangalia n ya mda sana ila una ungamisha unganisha ili kuwaaminisha watu na unachokieleza

  • @Mbarikiwa_Mwakipesile

    @Mbarikiwa_Mwakipesile

    10 ай бұрын

    @user-oh8sk4wy3r. Yeye katuma ujumbe wewe unaanza kumsikiliza si utakuwa mpumbavu? Ukiona clip yake we pita. Hivi kuna haja gani kumfuatilia mtu anaye kukera?

  • @philemonkageleja3858

    @philemonkageleja3858

    9 ай бұрын

    Kaa kimya kuhusu Mwakipesire wewe! Tunampenda na wamtoe gerezani haraka sana!.

  • @GraceMhoja-zc7yg

    @GraceMhoja-zc7yg

    6 ай бұрын

    Mungu ndo ajuaye

  • @titonsimbazi5532
    @titonsimbazi5532 Жыл бұрын

    Mikataba ya badali hatuitaki.

  • @edsonnelson4464

    @edsonnelson4464

    Жыл бұрын

    Sema bandari siyo badali

  • @salomewandya7257

    @salomewandya7257

    Жыл бұрын

    ​@@edsonnelson4464writing error

  • @KabonekeFathili
    @KabonekeFathili3 ай бұрын

    Dah,,,,, mbarikiwa baba MUNGU akutunze mtumishi,, jaribu ni kipimo Cha imani yakupasa uvumilie mtumishi kwa uchungu nakuskiliza 😢😢

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Жыл бұрын

    Asanteni wa Tanganyika hatujielewi hatuwawezi hawa mungu atusaidie Tena Kama mwaka uleee,

  • @JosephKulwa-rc7en
    @JosephKulwa-rc7en Жыл бұрын

    Utawala ulikua kwa magufuli saivi maumivutu

  • @user-ny1tf2gg8g
    @user-ny1tf2gg8g Жыл бұрын

    Mungu wangu akulinde na maadui kila wakati mtumishi wa Mungu, vita ni vya Bwana mwenyewe

  • @fatmaallyabdul1732
    @fatmaallyabdul1732 Жыл бұрын

    Mungu akuponye na hasira Mch.

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 Жыл бұрын

    Shujaa wa Mungu hongera sana. Hao watu tunawatumia kitu kizito chenye ncha kali toka kwa Mungu

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz Жыл бұрын

    Huyu mwamba aise anaongea kwa hisia sn

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Жыл бұрын

    Viongozi wa serkali wanacheka watanganyika wanalia

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Жыл бұрын

    Kumbe Hata Rais Kikwete anajua Kuna Kukamatana Kuzuia Watu wasitoe Maoni, Kwa Hiyo Anajua Watu Wanagogwa!

  • @ShepherdMfuse
    @ShepherdMfuse11 ай бұрын

    Mtu wa Mungu yaache Haya Mambo hayana Manufaa Kwako wala kwa Watu wa Kanisani Kwako kama Unahitaji Kuingia kwenye Siasa sawa ila Kama hauna Maono na Siasa tuendelee kuihubiri Injili tuliyoagizwa haya ya Siasa hata Samweli aliyempaka Sauli Mafuta ya Ufalme alikaa nayo Mbali

  • @kombo8785
    @kombo8785 Жыл бұрын

    Aaaaaa hii Sasa Ni hatari nikwa ajili ya tamaa.ila bwana mjue hakuna aliye juu ya wote

  • @mghuna
    @mghuna Жыл бұрын

    Huyu r.c.o analalamikiwa sana ajiangalia sana hata km ni kiongozi watachokaa watu

  • @gloryngowo2663
    @gloryngowo26638 ай бұрын

    Wewe mwenyewe umesema haumwogopi mungu na wewe ni mtumishi wa mungu je wao wanawezaje kumwogopa mungu mmmmmmm

  • @user-sr3vb7fs9y
    @user-sr3vb7fs9y10 ай бұрын

    Ni lazima uteswe kama kristo achilia umpe Mungu nafasi akujibie wala usijitaabishe maana kisasi chetu ni Bwana atulipiae ebu nyamaza Mungu akuonyeshe namna anashughulika na mambo yetu

  • @GabrielPetro-qj2mk
    @GabrielPetro-qj2mk Жыл бұрын

    Amen masihi wa mungu

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 Жыл бұрын

    Tanzania tunakoelekea kubaya wazi wananchi walishaumia sana na wizi mkubwa kwa mali ya umma na hasa pale wanapoona baadhi ya viongozi wanashiriki kuhujumu uchumi

  • @abi-onlinetv4181

    @abi-onlinetv4181

    Жыл бұрын

    Ndugu yangu. Unafuata hizi propaganda bila kujua

  • @Jal210

    @Jal210

    Жыл бұрын

    Hasa hao walikuwa wakiendesha nchi hapo awali

  • @mnanasuly2585

    @mnanasuly2585

    11 ай бұрын

    Yes tena kanisa katoliki wapetuibia sana kwa kupitisha vitu vingi bandarini bila kulipa kodi

  • @prophetislael5265
    @prophetislael5265 Жыл бұрын

    Daaaaa machoz yananitoka nilivyokuwa nampenda huyu mtumishi sasa hv kila nikimfatilia ana pambana nawatu Mungu amsaidie sana

  • @caljersilverhabor464

    @caljersilverhabor464

    Жыл бұрын

    Yea. angeendelea tu kuhubiri injili aachane na watu....Yesu pia alifanya vibaya kwa kukemea wafarisayo na wasadukayo. Angeubiri tu na anyamaze bila kusema watu. Mbona alivutana na watu mpaka wakamuua? Paulo mwenyewe ndo huyo huyo. Alikemea wagalatia mpaka akawaita wajinga.😁😁. Angeachana nao aubiri tu mungu. Umesema kweli. Tumuombee mbarikiwa asikemee yeyote na asiseme juu ya mtu yeyote. Alitufurahisha wakati alikuwa anaubiri tu mungu. Ata sijui aliubiri mungu lini. Huyu si amekuwa akikemea watu mwazo mwisho. Tumuombee aachane na watu juu dhambi za watu hazituhusu sisi kama walokole wa sasa.

  • @user-ou9sq6dl9b

    @user-ou9sq6dl9b

    5 ай бұрын

    Ána maumivu makali Hadi ameshindwa kujizuia anahitaji neema ya MUNGU.

  • @LusajoMwajeka-tf1nj
    @LusajoMwajeka-tf1nj6 ай бұрын

    Daah loho yangu inauma kumfunga mtu kama mbalikiw daaa hakik mungu anajua

  • @masoudamini8623
    @masoudamini862311 ай бұрын

    Mbarikiwa una mapepo ya chadema Una mapepo ya chadema Nenda ukaombewe😂😂😂

  • @alfrediaugustino1026
    @alfrediaugustino1026 Жыл бұрын

    Hii tabia ya police kunyang'a cm ipo Tanzania tu pekee

  • @user-vi3xx5ew5i

    @user-vi3xx5ew5i

    Жыл бұрын

    Nchi zingine haina haja ya police kuchukuwa cmu wao wanadukiwa cmu tuu na kuchukuwa ushaidi na km wakichukuwa kesi ikiisha au ukimaliza kifungo wanarudisha cmu yaani lever ya kuiba cmu hakuna

  • @sifawayesu7079

    @sifawayesu7079

    Жыл бұрын

    Labda wanafidia na kulipa hasira zote kwa raia yaani hawatosheki na mishahara yao.

  • @alfrediaugustino1026

    @alfrediaugustino1026

    Жыл бұрын

    Wana singizia et wanaenda kufanya uchunguzi kwenye cm kama unawasiliana na wahalifu wakija wanakuambia eti ulikuwa ulikuwa unawasiliana na magaidi kwaiyo cm yako utaacha Kwa uchunguzi zaidi .yaani hii nchi mahaskari wengi ni wezi Sana vituoni wanakuibia bila kukunyang'a cm unawapa mwenye, kituo cha mbagala maturubai nimeacha cm kituoni na laini yake Hadi leo sijarudishiwa toka mwaka 2016 na ukipiga haipatikani yaani hii nchi ujinga mwingi upo Kwa mahasikari wengi wao ni wezi wananyang'anya Mali ya mwananchi kupitia nafasi ya uongozi alionayo kuonea watanzania sababu hawana nguvu ya dola .

  • @hoseakavubu2844
    @hoseakavubu2844 Жыл бұрын

    Nafikiri kufanya kazi kwa kumfurahisha mtu ni hatari kwa mwelekeo wa maisha yako nje ya yule unaemfurahisha.

  • @thomasrichard7465

    @thomasrichard7465

    10 ай бұрын

    Hakuna Mapinduzi marahisi,,,,Taifa lishafika pabaya acha watu wapambane kutafuta haki zao, ukiona wewe dhaifu Kaa utulie.

  • @OmAn-jw4jt
    @OmAn-jw4jt9 ай бұрын

    Mungu akutie nguvu mtumishi wa bwana akuwezeshe kushinda hayo unayopitia

  • @emmanuelmodest7457
    @emmanuelmodest7457 Жыл бұрын

    Kikwete alisema kweli kbsa

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 Жыл бұрын

    Brother mi nakushauri kitu kimoja haya mambo ungeyaacha tu, utapotea pastor!

  • @DonMooSTUDIO_Express

    @DonMooSTUDIO_Express

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @PASTOR_SHITINDI

    @PASTOR_SHITINDI

    Жыл бұрын

    Wameua mtoto wake hawezi KUNYAMAZA hata kama ningekua mimi

  • @mestonisimzosha203

    @mestonisimzosha203

    Жыл бұрын

    Tangu walipo uwa MTOTO wake walimpoteza hawezi kunyamaza

  • @DonMooSTUDIO_Express

    @DonMooSTUDIO_Express

    Жыл бұрын

    @@mestonisimzosha203 mtoto wake aliuwawa akiwa kakaa kinya au akiongea!?. Na akiendelea kuongea ndio wataogopa wakae kimya!?. Dsasa endeleeni kumpa moyo yakimkuta mabaya sijui kama na nyie yatawahusu

  • @kiatu

    @kiatu

    Жыл бұрын

    Kuna kitu bongo hakiko sawa.

  • @emanuelandedela7901
    @emanuelandedela790111 ай бұрын

    Mtumishi kafanyaje jamani mbona sielewi!! Hadi naogopa anavyoongea

  • @FrankNzombo-ps8gw
    @FrankNzombo-ps8gw Жыл бұрын

    Mungu anaweza ukimtumainia na kuzishika sheri za ukristo

  • @issaabdi9129
    @issaabdi9129 Жыл бұрын

    Wewe nyamaza acha kutafuta umaarufu. Baki sehemu yako ulipo.

  • @kawiche4911

    @kawiche4911

    Жыл бұрын

    TUNALAANI UGANDAMIZAJI NCHINI WATANZANIA TUNALAANI UFISADI NCHINI TUNALAANI UBADILIFU WA FEDHA ZA UUMA TUNALAANI MKATABA WA DPW USIOKUWA NA TIJA KWA WATANZANIA HATUTARUDI NYUMA KUTETEA TAIFA HILI WIZI WA MALI YA UMMA TUTASIMAMA WANAMAPINDUZI NI WATANZANIA

  • @sifawayesu7079

    @sifawayesu7079

    Жыл бұрын

    Mbona haujanyamaza wewe chawa??

  • @IbrahimuJaphet-hx2ns

    @IbrahimuJaphet-hx2ns

    Жыл бұрын

    Wewe hauna haki ya kumyamazisha mtu anapo onesha hisia na maumivu aliyopewa Kwa udharimu wa serikali wewe ni nani umyamazishe mtu unahaki gani,?

  • @user-fw6dp9iy4i
    @user-fw6dp9iy4i Жыл бұрын

    Broo inatosha nyamaza

  • @williamsenkoro2210

    @williamsenkoro2210

    Жыл бұрын

    Kauliwa mtoto wake mkuu

  • @noeleliasi8401

    @noeleliasi8401

    Жыл бұрын

    akinyamanza mawe yataongea

  • @sifawayesu7079

    @sifawayesu7079

    Жыл бұрын

    Mbona haujanyamaza wewe na komenti yako ya kipumbavu hapa??

  • @juliusjohnii7823

    @juliusjohnii7823

    Жыл бұрын

    ​​@@sifawayesu7079ibu kistahaa mpendwa sifa. comment ya huyu ndugu haina ubaya wowote, hata Mimi ningemshauri mtumishi wa Mungu kuwa tabu hii sasa inatosha,, hivyo tumlilie Mungu wetu pekee , twende mbele zake kwa hoja tumkumbushe tunavyo simama upande wake siku zote,na yeye sasa asimame upande wetu ye ni mwaminifu anafanya kabisaaaaa sawa na haja zetu. Kuliko kuwapigia gitaa mbuzi, wasipocheza tunawaona wapuuzi. Wakati wao hawaelewi mziki. Tunakosa maarifa, fahamu wengine hawamjui Mungu wetu kama farao, hivyo wataendelea kupingana na mapenzi ya Mungu,, hawa wanahitaji saaana miujiza inayo tokana na maombi makuuuu ya kumlilia Mungu bila mzaha.

  • @ashaomari-rb1uu
    @ashaomari-rb1uu Жыл бұрын

    Mungu akulinde na kila baya mtumishi wa mungu

  • @mohdkhamis1031
    @mohdkhamis1031 Жыл бұрын

    Mbona makanisa yanatoka povu kipindi hiki😂😂😂

  • @katwigayona8041

    @katwigayona8041

    Жыл бұрын

    Acha watoe povu shida yako nini

  • @kawiche4911

    @kawiche4911

    Жыл бұрын

    Makanisa Ni jingo Wananchi wamechoka ufisadi tangu uhuru Sasa ndugu tetea haki . Pigania haki za Taifa hili Serikali yetu mikataba hovyo kila kukikucha sasa tusimame pamoja. HAKUNA WA KUTUTETEA TUSIMAME WENYEWE KUOKOA TAIFA LETU

  • @abi-onlinetv4181

    @abi-onlinetv4181

    Жыл бұрын

    Wamechanganyikiwa hawa

  • @agustinohizza1395

    @agustinohizza1395

    Жыл бұрын

    Yanaong'ozwa na roho wa bwana nyinyi mnaongwa na nani.

  • @janethpallangyo3855

    @janethpallangyo3855

    Жыл бұрын

    ​@@abi-onlinetv4181 na wewe je???????

  • @popekatalango9409
    @popekatalango940911 ай бұрын

    kuna mtu anaweza kunieleza uhusiano wa clip ya kikwete na hiki anachozungumza huyu bwana? kauli ya kikwete ilikuwa ni kupinga na kukosoa wale wenye kuzuia mawazo ya watu kifupi wale wenye tabia ya kuwanyima watu uhuru wa kutoa mawazo yao,na yeye ndivyo alivyokuwa hakuwanyima watu fursa ya kutoa mawazo yenu,sasa kosa la kikwete ni lipi hapo? jiepusheni na chuki zisizo na msingi, chuki ikizidi huondoa maarifa, kama kuna mambo yalimpata huyo bwana pole zake lkn amejaa chuki na ghadhabu tena inazielekeza au kuzihusinisha na clip ambayo haina uhusiano wowote na anachokizungumza,wengi humu wanasapoti na kupongeza eti sababu anaezungumza ni mchungaji au ni shekh,tukatae haya mambo kama shekh au mchungaji amezungumza lililo sawa yapasa kulipokea kama sio la sawa yatapasa tulikatae,sio kupongeza tu sababu ni mchungaj

  • @mohamedmagongo9348

    @mohamedmagongo9348

    11 ай бұрын

    Huyu Jamaa ni chizi, anadai hamuogopi Mungu.

  • @mimimimi-pg5uk

    @mimimimi-pg5uk

    11 ай бұрын

    mohamed huna akili. tafakari maana ya alichokisema sio unajamba tu@@mohamedmagongo9348

  • @thomasrichard7465

    @thomasrichard7465

    10 ай бұрын

    Si arudishe sim zao, Serikali hii ni honevu sana

  • @MaxyimillianyValelian-ey6hl

    @MaxyimillianyValelian-ey6hl

    9 ай бұрын

    Et hat mie nashangaa cion uhusiano

  • @ibrahimallyweunaijuahiyoco8608

    @ibrahimallyweunaijuahiyoco8608

    9 ай бұрын

    huyu mwehu bila kufanya uchungaji huko kondoo wako wanapotea

  • @tielyelibariki8958
    @tielyelibariki895811 ай бұрын

    Mungu akatende bandari yetu haiwekezwe wenye nchi pamoja na wanasheria wetu tumegoma

  • @popekatalango9409

    @popekatalango9409

    11 ай бұрын

    ni ujinga mtupu,mmejazwa kwa ujinga wenu,TICTS waliomaliza mda wao pale bandarini walikuwa ni wawekezaji wamedumu pale kwa miaka 30 wameingia toka utawala wa mkapa wamemaliza mkataba wao juzi tu hapa walikuwa ni wawekezaji wewe mbumbumbu hilo ulikuwa hujui

  • @victorkivuyo6126
    @victorkivuyo61264 ай бұрын

    HUYU JAMAA ALICHOKUWA ANATAFUTA KAKIPATA, MWANA KULITAFUTA MWANA KULIPATA, KAMA NI KAZI YA UTUMISHI FANYA UTUMISHI ACHANA NA WATU WAKUBWA, JELA WELLCOME,😂😂😂, MR

  • @user-fr2op2ss6v
    @user-fr2op2ss6v Жыл бұрын

    Wewe Acha kupiga mikwara povu la nini? Unamapepo? Mtu mzima unaongea hovyo? Acha afande afanye kazi yake kama unamakosa uachwe?

  • @fredrickjohnson2692

    @fredrickjohnson2692

    Жыл бұрын

    wewe unaongea hivo kwakuwa usha kufa, na unakufa sikusio nyingi. ajari, bunduki, magonjwa ya kansa, na wanyama pori, mbwa mwitu, vitakutafuna

  • @MUSSAPAUL-qo8hj

    @MUSSAPAUL-qo8hj

    Жыл бұрын

    Nyie bila shaka chakula chenu ni Damu za watu et!!!?????? Nyie ndio mapepo na majini Wala Damu ila Mungu wa kweli wa haki atayalipa tu

  • @josimo7083

    @josimo7083

    Жыл бұрын

    Kakojoe kalale

  • @janethpallangyo3855

    @janethpallangyo3855

    Жыл бұрын

    Mpumbavu wewe

  • @sifawayesu7079

    @sifawayesu7079

    Жыл бұрын

    Sawa mtakatifu usie na mapepo unaeiwazia mema Tanzania hata hutoi mapovu kama yeye

  • @mathiasmanonga3939
    @mathiasmanonga3939 Жыл бұрын

    Pastor bora ungehubiri tu siasa itakuponza huiwezi waachie wanasiasa wewe hubiri tu ndugu

  • @DonMooSTUDIO_Express

    @DonMooSTUDIO_Express

    Жыл бұрын

    Kweli

  • @modestapeter2997

    @modestapeter2997

    Жыл бұрын

    wewe unajua maana ya neno siasa? au umekalili tu hata hujui kua hata baba yako au wewe kama unafamilia na kunamambo una amua basi nawewe ni mwanasiasa

  • @DonMooSTUDIO_Express

    @DonMooSTUDIO_Express

    Жыл бұрын

    @@modestapeter2997 neno hubadilika maana linapokuwa kwenye sentesi fulani. Alicho kikushudia ni serikali. Anamaanisha aache kuisema serikali ahubili dini yake.

  • @Mbarikiwa_Mwakipesile

    @Mbarikiwa_Mwakipesile

    Жыл бұрын

    Ujuacho wewe kuwa ni siasa mimi najua ni injili. Kwani kwangu injili ni kupinga ubaya tu mwanzo mwisho. Hivyo hicho ujuacho wewe kuwa ni injili hubiri wewe.

  • @DonMooSTUDIO_Express

    @DonMooSTUDIO_Express

    Жыл бұрын

    @@Mbarikiwa_Mwakipesile nitumie link ya video zako nione na wewe mahubili yako ili niweze kuelewa kweli na wewe unapenda injili

  • @frankmanyama5979
    @frankmanyama5979 Жыл бұрын

    Nahisi haya Mambo tumwombe mungu atuondolee Hawa watu

  • @winnyleonardkapere661
    @winnyleonardkapere66111 ай бұрын

    Tusicheze na mtumishi wa Mungu!

  • @jumamnemo8383
    @jumamnemo8383 Жыл бұрын

    Huyu ni mgojwa anaumwa akili.

  • @user-wv9wc6yr1u
    @user-wv9wc6yr1uАй бұрын

    Yesu alipigwa mpaka akauwawa lakini wale walomtenda hayo wako wapi Mungu akiwa anamsukuma kufanya haya muacheni aseme msimzuie wala kumkamata

  • @johnsonjohn-qz7cq
    @johnsonjohn-qz7cq Жыл бұрын

    Mungu tunakuomba sana shughulikia adui zetu piga hao kwa mkono wako

  • @manjoriwakunesa7006
    @manjoriwakunesa7006 Жыл бұрын

    Ninegundua wewe nimwehu

  • @Mbarikiwa_Mwakipesile

    @Mbarikiwa_Mwakipesile

    Жыл бұрын

    Wewe sio mwehu. Umeshinda anza kushangilia

  • @ladislausmoris9638

    @ladislausmoris9638

    11 ай бұрын

    Jinga ww subr yakukute utamuunga mkono

  • @kombomakame5778
    @kombomakame5778 Жыл бұрын

    Mchungaji gani ambaye huna adabu kama unajisifu unajisifu humuogopi Mungu,unaonekana hata akili inahitaji kupimwa, Mtumishi feki uliyejaa hasira na chuki, unatoa povu lisiloisha, umeshindwa hata kuficha chuki zako, una gubu kama mwanamke, unatoa clip ya kikwete ambayo haina uhusiano na Mh.Rais Samia, hiyo habari inahusiana na uongozi wa mwenda zake. Utawatisha wasiojielewa, huna lolote, njaa inakusumbua, Mungu hapangiwi kwa utumbo wako.

  • @luganomunuwavanu9369

    @luganomunuwavanu9369

    Жыл бұрын

    Kama huyu ni mchungaji feki basi tunayo kazi ngumu kuwapata wachungaji wa kweli

  • @user-hd7nf3xs1r

    @user-hd7nf3xs1r

    Жыл бұрын

    Huyu ndiye mchungaji wakweli siwengine watafuta ugali

  • @Mbarikiwa_Mwakipesile

    @Mbarikiwa_Mwakipesile

    Жыл бұрын

    Kaifuatilie full ukaone maswali alikuwa anaulizwa kuhusu nani? Adamu alimwogopa Mungu kwa sababu ya dhambi. Hata wewe unamwogopa Mungu kwa sababu ya midhambi. Ila kwa watu wake ametaka wasimuogope bali wamkaribie. Mwogope Mungu ikiwa unatenda midhambi. Fuatilia clip nzima uone swali lilihusisha uongozi wa samia au Magufuli kzread.infoxrP98R31iDc?feature=share

  • @wilfredlukowo9476

    @wilfredlukowo9476

    Жыл бұрын

    Mpumbavu huchangia kipumbavu.yuko sahihi

  • @allylumba8860

    @allylumba8860

    Жыл бұрын

    BASI SASA NASEMA BADALA YA .MTUMISHI WA MUNGU MBARIKIWA NIMELAAN MAISHA YAKO MAGONJWA NA TAAB YATAKUWA JUU YAKO USIMGUSE MASIHI WA BWANA

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in10 ай бұрын

    Wachungaji wa mbeya Wana majungu 🤣🤣🤣🤣

  • @user-or8ow5vr7m
    @user-or8ow5vr7m Жыл бұрын

    Endru kantimbo mungu alaaniwe au mppteze mungu

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1shАй бұрын

    Mungu atajibu kwa wakati pole baba

  • @atomicexposior6012
    @atomicexposior6012 Жыл бұрын

    Awo watoto wa pwan kumama zao wanatuma sungu sungu wawapige wavuvi Awana resen ya elfu ishilini watu wanaiba mabilion ya era Kofi awapigwii

  • @user-jf1yq9fc6d
    @user-jf1yq9fc6d10 ай бұрын

    Umechanganyikiwa jaribukuwa mtulivu bro

  • @abrahamnyagawa1304
    @abrahamnyagawa1304 Жыл бұрын

    Asante Sana, mtumishi wa MUNGU aliye juu!Kwamba,who are they,by the way,unanitia nguvu na ujasiri mkuu.keep it up, God's there,with you endeed!

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy152311 ай бұрын

    Pimwa akili kwanza. Yaani kupewa uhuru wa kuabudu mnajidai kumaliza amani ya nchi. Acheni ubinafsi kwani mambo hayaongeleki. Acha zako😊😊😊😊😊

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 Жыл бұрын

    Mungu msaidie Mtumishi wako.

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses68602 ай бұрын

    Maneno ya Kikwete yanahusika viipi hadi unaanza kumtuhumu Baba wa watu. Nimesikiliza kwa umakini maneno ya kikwete ,kwanza alikua anajibu maswali aliyokuwa anaulizwa na waandishi wa habari. Kikwete hakufahamu bro, hawezi kuhangaika na wewe!! Watumishi wa Mungu tuungane kumuombea mwenzetu hajatulia kiakili bado!!!.

  • @joelandekile3933

    @joelandekile3933

    2 ай бұрын

    Usilojua ni sawa na usiku WA Giza

  • @IbrahimuJaphet-hx2ns
    @IbrahimuJaphet-hx2ns Жыл бұрын

    Haki ya kuwa hai sheria ya 1984 na. 15 ib.6, Kama serikali wameshindwa kusikiliza kero na malakamiko ya huyu mtu ni dhahiri kuwa wanajua alichokifanya mtu wao wa usalama wa taifa na badala yake kumpa mtu wa MUNGU kesi ya jinai N.k hiyo sheria wametunga wao Hakuna mwenyehaki ya kutoa uhai wa mwenzake inakuwaje huyo jamaa bado yupo uraiani na kwenye ajira wakati mwenzake analalamika kamuulia mtoto alafu kunawatu wapuuzi humu wanakujaku comment utumbo aise kama haki haita tokea kwa kuongea kunawatu watajilipua nawaambia tunaomba haki ionekane maana jambo hili lipo wazi.

  • @NorbethJosphath-hm1zb
    @NorbethJosphath-hm1zb Жыл бұрын

    Pole Mungu awenawe mch

  • @BennRich
    @BennRich Жыл бұрын

    Iv huyo mkuu wa mkoa anajidai nini au yeye ananguvu sana kuliko wananchi akome kuwatisha watumish wa Mungu

Келесі