EXCLUSIVE NA KISHIMBA:SIRI YA UTAJIRI WANGU/ WATOTO WAFUNDISHWE KUTAFUTA HELA/SIJAWARITHISHA WANANGU

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media

Пікірлер: 142

  • @josephzenda3827
    @josephzenda3827 Жыл бұрын

    Hayati Rais John Joseph Pombe Magufuli amewafungua wananchi swala la kufikiri,kujaji na kuunda hoja.Mungu amuweke mahala pema peponi Amina

  • @Ohhvio
    @Ohhvio11 ай бұрын

    Best interview 👌 Kuanzia Mwandishi hadi Interviewer! Ni Elimu Kubwa Sana hii Hongereni Dar24media

  • @nkondokubini7618
    @nkondokubini7618 Жыл бұрын

    Uko vizuri brother katika kuuliza Maswali umenifurahisha utafika mbali

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Жыл бұрын

    Shule aliyosoma Prof kishimba ameisoma sehemu tofauti na amelipia gharama kubwa sana kuliko elimu ya kawaida.

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda5005 Жыл бұрын

    Wewe mwandishi uko vizuri Sana utafika mbali Sana big up.

  • @amaningalla9420
    @amaningalla9420 Жыл бұрын

    Mh. Kishimba nakusaluti,upo vizuri sana with your critical thinking,unaona maisha katika uhalisia wake.Ahsante

  • @3107young
    @3107young Жыл бұрын

    Uyu mbunge ni baraka kwa serikari kama haya mawazo yangefuatiliwa kiundani tungefika mbali sana kama Tanzania 👏👏

  • @homeofvideos8893
    @homeofvideos8893 Жыл бұрын

    "Sio waoga kwasababu hajui madhara saa nyingine kutokujua madhara ni faida pia". Quote imenyooka sana

  • @ujenziwanyumbakisasatanzan6343
    @ujenziwanyumbakisasatanzan6343 Жыл бұрын

    Jamaa alikuwaga radio station mbeya, nimetoka school likizo nikafungulia radio, sikujua kuwa ni radio ya mkoani mpk kipindi kilipoisha. Its good ni hatua kubwa, anatakiwa aende hatua kubwa zaidi, mosi uelewa, kujua kwenda na mabadiliko, kipawa na consistency Hongera sana

  • @israelgershom4198
    @israelgershom4198 Жыл бұрын

    Huhuuu Yani uyu ndobaba anajua vingi wazazi wengine wapo kimya tui

  • @praymbasha6309
    @praymbasha6309 Жыл бұрын

    Mzee kishimb💥💥💥anafikilia Sana na anaongea vitu vizuli Sana na vyakweli kiuhalisia

  • @user-fu7on1nz7i
    @user-fu7on1nz7i Жыл бұрын

    Mungu azidi kukubariki Mzee kishimba...unaongea ukweli mchungu ambao Sisi wa Afrika wengi atutaki kukubari

  • @suleimanjokoro
    @suleimanjokoro Жыл бұрын

    Hizo ndio channel za kuangalia Sasa!,Hongera Sana🙏

  • @saadyusuph6554

    @saadyusuph6554

    Жыл бұрын

    Mzee Yuko sawa kabisa

  • @kelvinkissanga4075
    @kelvinkissanga4075 Жыл бұрын

    Huyu mzee tuangalie bhana tumpe uraisi itakuwa nchi ya tofauti sana😅

  • @praygodmbisse-cc1tx
    @praygodmbisse-cc1tx11 ай бұрын

    Professor tuko pamoja the change should start with us to change our country system

  • @nyanchokachacha9954
    @nyanchokachacha9954 Жыл бұрын

    Huyu Mzee nashauri Tasisi za Elimu ya Juu wampe Honorary Doctorate!

  • @salehmohammedsaleh7015
    @salehmohammedsaleh7015 Жыл бұрын

    Tumpee waziri mkuu🎉🎉🎉🎉🎉

  • @johnminja2025
    @johnminja2025 Жыл бұрын

    Big up sana Mzee Kishimba. Nakumbuka tulivyokupokea Harare ukafungua kiwanda Ginery na ukarudi nyumbani kugombea ubunge. Wewe ni jembe.

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 Жыл бұрын

    🤔Kila swali ni hekima na kila jawabu ni elimu. Asante kwa udadisi ufafanuzi na habari nzuri za kutuamsha tusijisahau

  • @nyanchokachacha9954
    @nyanchokachacha9954 Жыл бұрын

    Hongera Sana Prof.

  • @amosenock9635
    @amosenock9635 Жыл бұрын

    Kazi nzuri kaka Lambet

  • @LucasLagos-dq4mh
    @LucasLagos-dq4mh Жыл бұрын

    Hongela sana mh kwehekima nauerewa waasili mungu akubaliki sana

  • @nyanchokachacha9954
    @nyanchokachacha9954 Жыл бұрын

    Kaka wewe ni Mtangazaji Bora sana,Nakuomba siku Moja nikuone kwenye Chombo kikubwa Cha Utangazaji kama BBC,VOA,DW ,TBC,AZAM and so on.

  • @user-ry3yb9du8d

    @user-ry3yb9du8d

    Жыл бұрын

    Nakukubali sana Mzee wangu kishimba

  • @noahfilimoni4703

    @noahfilimoni4703

    Жыл бұрын

    Ili uwe tbc uwe CCM

  • @hamisihassankengejr4375

    @hamisihassankengejr4375

    Жыл бұрын

    Wewe unataka aondoke Nyumbani

  • @sautikuu212

    @sautikuu212

    Жыл бұрын

    Hapo ondoa TBC na AZAM

  • @alphadreammedia

    @alphadreammedia

    Жыл бұрын

    @@sautikuu212 tbc na AZAM???😂😂😂

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya326813 күн бұрын

    Huyu mbunge nimempenda sana sana

  • @yunusmsanguka2313
    @yunusmsanguka23137 ай бұрын

    Huyu mzee yupo sahihi sana,wengi wetu tumewachia watoto kwa kuamini elimu zao wamewadondosha sana wazee wao

  • @edisonmaliva1719
    @edisonmaliva1719 Жыл бұрын

    Safi sana mwandishi wa habar unauliza maswali ya msingi mno,pia umenyooka na unajiamini

  • @directorimmah_vfx3043
    @directorimmah_vfx3043 Жыл бұрын

    Changamoto saut ipo chin sanaa

  • @hashimmziray7416
    @hashimmziray7416 Жыл бұрын

    hongera saaana moja wa matajiri wakubwa wazawa waliobakia ,baada ya Kufariki Dr.Reginald Mengi.

  • @MtuSafi

    @MtuSafi

    Жыл бұрын

    Anamiliki nini huyu mzee?

  • @hadijamandanje6189

    @hadijamandanje6189

    Жыл бұрын

    @@MtuSafi isikilze vizuri hii Crip Kuna vingi walivyovitaja

  • @MujuniKamugisha

    @MujuniKamugisha

    7 ай бұрын

    ​@@MtuSafidar free market

  • @MujuniKamugisha

    @MujuniKamugisha

    7 ай бұрын

    ​@@MtuSafireal estate na migodi ya dhahabu

  • @edisonmaliva1719
    @edisonmaliva1719 Жыл бұрын

    Mheshimiwa.Kishimbaa anafaa apewe PhD ya heshima #huyu mzee n mtu na nusu

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Жыл бұрын

    Hiyo mifumo iliwekwa kunyonya waafrica hapo ni mahesabu wacoloni wanafanya Leo ufaramsa eti bado kuna pesa unapata kutoka Africa Hilo ni wizi WA mifumo.

  • @user-ky3uh2sy1u
    @user-ky3uh2sy1u6 ай бұрын

    Mh mm nakuelewa sana hongera endelea kutufungua

  • @nyanchokachacha9954
    @nyanchokachacha9954 Жыл бұрын

    Tunaomba interview NYINGINE Mr.Lambert

  • @directorimmah_vfx3043
    @directorimmah_vfx3043 Жыл бұрын

    Apa interview imekamilkaa

  • @samuelmajule54
    @samuelmajule54 Жыл бұрын

    Nampongeza sanaaa mzee Kishimba unastahili kupongezwa na mwanahabari pia nakukubali kipindi kimefana weledi umeshiba God bless you all, big up sanaaa

  • @user-cz7bd9tc5k
    @user-cz7bd9tc5k4 ай бұрын

    Kishimba yuko vizuri sana Tusomeshe wajue kutafuta fedha hiyo namba moja

  • @mbonabuchabucha9657
    @mbonabuchabucha9657 Жыл бұрын

    Daaah!!! Drs 7 kichwa sanaaa! Tunajifinza sana kupitia wewe

  • @user-jv6ty5sw6l
    @user-jv6ty5sw6l2 ай бұрын

    mheshiwa kishimba big up

  • @user-uy2dk2yv2c
    @user-uy2dk2yv2c Жыл бұрын

    Genius

  • @davsylivester7701
    @davsylivester770111 ай бұрын

    🙏👏👏

  • @machoguhameri7757
    @machoguhameri7757 Жыл бұрын

    MH. Kishimba kasema ukweli Wahindi Hawasomeshi watoto waajiliwe watoto wao wakiwa shule akija likizo nyumbani hufunzwa biashara na elimu ya kujitegemea sisi tunawasomesha waajiliwe.

  • @hamisitajiri8666
    @hamisitajiri8666 Жыл бұрын

    Yuko vizuri kuliko wasomi wengi

  • @user-ff4fr1my5m
    @user-ff4fr1my5m Жыл бұрын

    My favorite

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid29063 ай бұрын

    Upo sawa

  • @edisonmaliva1719
    @edisonmaliva1719 Жыл бұрын

    Sema nini umesahau kumuuliza profesa mtazamo wake juu ya mambo ya huko bandarini. Bt the rest is good.

  • @obadiamtawa1279
    @obadiamtawa12794 ай бұрын

    hongera sana mzee kishimba

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Жыл бұрын

    Nashukulu sasa MH kishimba kama serikali ingeweza kuwa na watu wenye akili hiyo ingeweza kubadili miji na kuwa kama dunia zingine hiyo idea wanazo wazungu kuna Aina tatu za mijego

  • @Ramaah28
    @Ramaah28 Жыл бұрын

    Natamani kuonana siju moja na uyu mzee ana madinii sana

  • @nyanchokachacha9954
    @nyanchokachacha9954 Жыл бұрын

    Unajua kuhoji na Umetulia sana.

  • @jumakauli
    @jumakauli Жыл бұрын

    Sijambo. Hamjambo? TUWAFUNDISHE WATOTO WETU KULA SAMAKI NA KUVUA SAMAKI. (Tuwafundishe watoto wetu kutumia vitu na kuunda vitu). Tuwafundishe watoto wetu kwa maneno na vitendo kuanzia wanapokuwa shuleni hadi vyuoni.

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 Жыл бұрын

    Mtangazaji uko vizuri ila sauti mliibana sana

  • @hammy7664
    @hammy7664 Жыл бұрын

    Nakuona unazidi kukuwa , Lambet

  • @erickartist4557
    @erickartist4557 Жыл бұрын

    Nchi iendelee kumsikiliza huyu Jamaa kwa ukaribu sana ANA MADINI YA THAMANI KTK UBONGO WAKE!!

  • @masoudymichael
    @masoudymichael Жыл бұрын

    Huyu ndiyo mpeni uprofesa siyo taletale

  • @homeofvideos8893
    @homeofvideos8893 Жыл бұрын

    "Ambao hawajasoma sio waoga kuchukua hatua kwasababu hawajui madhara saa nyingine kutokujua madhara ni faida pia". Quote imenyooka sana

  • @user-uy2dk2yv2c

    @user-uy2dk2yv2c

    Жыл бұрын

    Aise bro umeongea bonge la point ya sirini ama rohoni

  • @jameskileo955
    @jameskileo955 Жыл бұрын

    Brother mtangazaji Hongera unefanya Interview ya Nguvu mno hawa ndiyo watu unaonatakiwa kuwa nao na siii Hao Wasomii wa Vyeti kama Yule mzee uliyemuita Msomi kuliko Yeyote Tz Maisha halis na Ya Mafanikio Hayaelezeki ndiyo maana mzee amesema Hakuna kitabu cha Biashara...

  • @eliezerwamungu4614
    @eliezerwamungu4614 Жыл бұрын

    Huy mzee namkubali saan kwa haya majibu

  • @christinesulle5051
    @christinesulle5051 Жыл бұрын

    Mzee yupo vizuri tunahitaji kufikiria sana mfano mdogo tuu ni kwa nn watoto wa darasa la kwanza wasisome kiingereza la kwanza ?maana hii itasaidia waalimu na watoto kuelewa mapema kwa nn watoto wanaanza darasa la tatu?

  • @hadijamandanje6189

    @hadijamandanje6189

    Жыл бұрын

    Kiingereza kiliondolewa si miaka Mungu baada ya kuona mtoto wa Drs la kwanza anapewa masomo mengi hivyo anashindwa kuyamudu na Sasa kinarejeshwa tena

  • @40kstore
    @40kstore4 ай бұрын

    Mzee yuko humble sana 😅

  • @benardmwinuka6948
    @benardmwinuka6948 Жыл бұрын

    Confusion

  • @richardibrahim5609
    @richardibrahim560911 ай бұрын

    Jamaaa ana akili sana💪💪💪💪🔥🔥🔥

  • @YusuphJilala-it9bo
    @YusuphJilala-it9bo11 ай бұрын

    Sureeeeeee

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan734611 ай бұрын

    namkubali sana huyu mzee kishimba

  • @mubarakmohammed7311
    @mubarakmohammed7311 Жыл бұрын

    Kwa upeo mzuri wa mzee huyu, natamani atupie macho sana Mahakama zetu pia ili aweze kutusaidia, maana kuna madudu mengi yanayopelekea haki kutopatikana. Mola akupe kila la kheir mzee Kishimba.

  • @richardibrahim5609

    @richardibrahim5609

    11 ай бұрын

    Jamaa yuko vzur sana

  • @simonmalegesi414
    @simonmalegesi414 Жыл бұрын

    Sauti iko chini Sana

  • @ummahmed3354
    @ummahmed3354 Жыл бұрын

    Shule ni upotofu tu kama hujui lengo hasa la elimu na hupati ...na kama hupati elimu yenye ubora wa ukweli...watu wanaofundishwa biashara utotoni na wazazi wao au fani nyingine za ujuzi...hutokea kuwa na mafanikio katika kutumia ujuzi huo Kim kimaisha kuliko watu waliokwenda Shule au wenye vyeti fulani...majority of our legacy education system of colonialism is nothing but brainwashing. ..you only get to learn a little. Here in the USA...majority of famous successful entrepreneurs who made big impact not only in business but also in life in general, were dropouts from college such as Bill Gates, Steve Jobs , Mark Zuckerberg etc... Mzee Kishimba yupo sahihi nami namkubali kabisa....elimu aliyokuwa nayo ni zaidi ya Phd...na wengi wenye vertical vya Phd ni viiyo tu. wengine wananunua na kukariri theories only we need to change the whole education system to revive every sector of our country's economy...

  • @EnockaHaruni-et5cn

    @EnockaHaruni-et5cn

    6 ай бұрын

    ❤❤

  • @user-eh2bg3pd4b
    @user-eh2bg3pd4b3 ай бұрын

    Hilo ni somo mh kishimba

  • @mussachambazi3463
    @mussachambazi34633 ай бұрын

    Broken people act rich And rich act broken😢..

  • @masungajp1
    @masungajp1 Жыл бұрын

    Nakubaliana na Kishimba. Japan ilikuwa kiboko kwa mafia. Polisi ilibidi ijiingize Kwenye umafia na kufanikiwa kupunguza. So Kishimba is Genius. Tumtumie ndugu yetu HUYU.

  • @kassimibrahim4776
    @kassimibrahim4776 Жыл бұрын

    Mtu na nusu......mzee kishimba huwa sikosi kusikiliza interview zako

  • @farajamwakifuna303
    @farajamwakifuna3033 ай бұрын

    I wish siku hata tukapata kuona anachoona kwa ukubwa zaidi huyu baba anachozungumza….

  • @petrojames1145
    @petrojames1145 Жыл бұрын

    Hongera sana

  • @petrojames1145

    @petrojames1145

    Жыл бұрын

    MTOTO AFUNDISHWE KUTAFUTA PESA AKIWA MDOGO. SERIKALI NA WAZAZI WANAPATA SHIDA NA WATOTO WASOMI 😂

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 Жыл бұрын

    Kumbe Darasa la Saba wako wengi na sio Msukuma tuu

  • @jamalijamali347
    @jamalijamali347 Жыл бұрын

    My role model mzee anajua mfumo wa maisha huyu akiongea huwa naacha mambo yote namsikiliza

  • @perfectmassawe4758
    @perfectmassawe4758 Жыл бұрын

    Baba una mawazo ya ajabu....pale bungeni pangefaa angalau robo ya Wabunge wawe wa aina hii

  • @janmsekela

    @janmsekela

    Жыл бұрын

    Ndg. Lamert, wewe ni miongoni mwa ‘journalists’ wazuri, lakini unahitaji kuongeza ufahamu wa eneo husika ili uulize maswali bora zaidi. Pili, usijisahau sana hata ukadhani unayemhoji ni wa rika lako. Muhimu utunze urasmi. Mh. Kishimba ni Mbunge, na pia ana umri wa baba yako. Kuna wakati unamtamka bila itifaki anayostahili - siyo sawa kwa wewe kudharau itifaki, na kudhani sasa ‘unalingana’ na Mh. Kishimba! Katika interviews zako zote, kutokujali itifaki muda wote ni udhaifu wako mkubwa.

  • @AlexKAudax

    @AlexKAudax

    Жыл бұрын

    The man

  • @AbduAmstafa-od6vf
    @AbduAmstafa-od6vf Жыл бұрын

    Tatizo mnaokomemt weng sio wakazi wakahama uyo mzee utajir niwakwak nafamilia yake atuletei maendeleo khm barabar Kila Kona mbovu

  • @fatmarashid3137

    @fatmarashid3137

    Жыл бұрын

    Sie tunapenda mawazo yake acha hizo

  • @michaelshija3601

    @michaelshija3601

    Жыл бұрын

    Kahama tuko vizuri Meh. Kishimba simama hivyohivyo dunia imeona umuhimu wako. Hoja zako ni ukombozi WA mwafrika.

  • @farajamwakifuna303

    @farajamwakifuna303

    3 ай бұрын

    Umekaa unafikiri utaletewa mkononi Hilo sahau piga kazi hakuna atakayekupa maendeleo yako binafsi mpaka unaingia vumbini

  • @AbduAmstafa-od6vf
    @AbduAmstafa-od6vf Жыл бұрын

    Uyo mzee amnakit anamaendeleo yoyot kwenye jimbo lak barabar zimeoza kilakona

  • @marwaisack374

    @marwaisack374

    3 ай бұрын

    Kazi ya mbunge ikiwa ni kutengeneza Barabara na kazi ya serikali inakuwa ni ipi?.

  • @robertmalindi8427
    @robertmalindi8427 Жыл бұрын

    kishimba hiyo ni machine

  • @African511
    @African511 Жыл бұрын

    Watu wenye maadili kama hawa wanachukuliwa poa poa tu,wapumbufu ndiyo wanasikilizwa.

  • @MARTINMLINGWA
    @MARTINMLINGWA10 ай бұрын

    Baba huyu ni mwalimu mzuri wa kuelimisha jamii kuhusu uchumi

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi Жыл бұрын

    Mzee Kishimba anamiliki Imalaseko, Dar Free Market lkn anasema sio tajiri , Imagine hzo ni baadhi tu ya biashara zake, huyu mzee ni genius ndio maana anajitambua kuliko wasomi.

  • @luganosimon4111

    @luganosimon4111

    Жыл бұрын

    Mzee wangu nakuelewa sana na best mbunge kwa ssa

  • @MtuSafi

    @MtuSafi

    Жыл бұрын

    wee darFree Market ni yake lile jengo?

  • @MtuSafi

    @MtuSafi

    Жыл бұрын

    imalaseko ni nini sifaham

  • @seifkulwa3346

    @seifkulwa3346

    Жыл бұрын

    @@MtuSafi Imalaseko ilikuwa supermarket mwanza, Arusha na Dar

  • @michaeldoroleo4864
    @michaeldoroleo4864Ай бұрын

    Nimeanza kuamini wasukuma wana kitu,kama taifa tuache kuwachukulia poa na kuwatania ushamba,kumbe sisi ndio hatujui😂

  • @salehmohammedsaleh7015
    @salehmohammedsaleh7015 Жыл бұрын

    Mimi nashauri kama mtamzania huyu Mzee kishimba awe waziri mkuu wa Tanzania anachokiongea ni mdaa wa sasa Nina maada Anaenda na mdaaa

  • @geeva99
    @geeva99 Жыл бұрын

    Hapo kwenye watoto mzee kapotea, watoto wa matajiri wanapata shida sana za kuwa na pressure kuwa wawe watu flani alafu kiongozi wa familia akiwa na mindset ngumu hapo inakuwa hell tu, awasikilize hao watoto wanampango gani awasupport ni simple sana hakuna mtu mtupu kichwani, nawalio fanikiwa ni wengi sana, mzee inabidi a study zaidi jamii za walio fanikiwa asiishi sana kwenye kichwa chake ufalme wa kiti kimoja sio ufalme is a matter of time tu

  • @samuelmajule54

    @samuelmajule54

    Жыл бұрын

    Swala la watoto si mchezo ndugu unaweza ku train mtoto lkn kila ukimtizama vision yake haiendani na business zako kabisa ni kum-support tu aendelee na mambo yake

  • @geeva99

    @geeva99

    Жыл бұрын

    @@samuelmajule54 kabisa, wazee wengi wana penda kulisisha talent zao, ilo ni kosa kubwa sana alafu linahatarisha economy ya generations kama utalisisha watu aina ya mambo yako na talent zako wakati wao sio mambo yao maanake iyo wealth lazima ije kufa then inarudi square one, na ndo mataifa yaliyofanikiwa from family level na jamii kwa ujuma wanatuzidi hapo

  • @fidelismyovela2834
    @fidelismyovela2834 Жыл бұрын

    Anawaza sana

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Жыл бұрын

    Uyu mzee akilikubwa nasapoti sana mawazoyake big up

  • @user-li7zm3zg3t
    @user-li7zm3zg3t5 ай бұрын

    Huyu mtangazaji huwa namkubali sana

  • @edibilalfakisadi1491
    @edibilalfakisadi1491 Жыл бұрын

    Kwakweli huyu mzeee namkubali Sana na uwezo wake wakufikili na kuleta hoja zinazo gusa jamii moja kwa moja

  • @mohamedykisuda6401

    @mohamedykisuda6401

    Жыл бұрын

    Huyu Mzee anatosha kabisa kuitwa Professor zaidi ya ma professor wa darasani

  • @josephokumu9666

    @josephokumu9666

    Жыл бұрын

    ​@@mohamedykisuda6401hy

  • @jamokitili
    @jamokitili4 ай бұрын

    Tuko kwenye confusion

  • @sabinahobe3478
    @sabinahobe3478 Жыл бұрын

    Hivi huyu mtangazaji hii online tv ni ya kwake? Mbona kama nilishamsikia times fm?

  • @ummahmed3354
    @ummahmed3354 Жыл бұрын

    Shule ya wizi concept is simply a Cybersecurity education in Ethical Hacking training...wizi wa digital unahitaji mafunzo mkabala wa kujua ili uweze kuuzuia... Professor Kishimba is 💯 correct

  • @maduuikangira9864
    @maduuikangira986411 ай бұрын

    Mitaani tunatumia kombi yetu ya pmk unaijua hiyo siyo elimu ya wazungu

  • @emmanuelpius5479
    @emmanuelpius5479 Жыл бұрын

    Nimejifunza

  • @jameskileo955
    @jameskileo955 Жыл бұрын

    Mzee Kishimba ni Hazina adhim mno ktk Taifa Letu haswa kwa vijana MUNGU akupe Maisha marefu baba

  • @directorimmah_vfx3043
    @directorimmah_vfx3043 Жыл бұрын

    yaaan interviewer n interviwee wte mko vzuriii

  • @erickartist4557
    @erickartist4557 Жыл бұрын

    Hii ni mbwa yenye akili nyingi sana.. akili alizonazo maprofesa wa university hawana

  • @kevinmary7129
    @kevinmary71295 ай бұрын

    Amesoma amejiendeleza huko Zimbambwe ana degree ya biashara na uchumi

  • @japharymwangu1905
    @japharymwangu1905 Жыл бұрын

    nikikumbuka walivyokuwa wanamdhihaki huyu mzee ule upande wa pili eti kishimba la saba hana lolote kumbe kichwani yuko vizur kuliko hao wa digrii

  • @yusufmohamed8874

    @yusufmohamed8874

    Жыл бұрын

    Yaani mabadiliko ya elimu ya sasa ni kwa ajili ya huyu mwamba

  • @bensonsalum6297
    @bensonsalum6297 Жыл бұрын

    Hongera sana tumepata Elimu ya uhalisia

  • @user-kl4lx9tr5m
    @user-kl4lx9tr5m Жыл бұрын

    Nataka kuwa kama wewe mh.Jumanne Kishimba

  • @elirehemakimaroni7130
    @elirehemakimaroni7130 Жыл бұрын

    Huyumzee apewe uwaziri wa elimu

Келесі