EXCLUSIVE NA KISHIMBA:SIRI YA UTAJIRI WANGU/ WATOTO WAFUNDISHWE KUTAFUTA HELA/SIJAWARITHISHA WANANGU
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Пікірлер: 142
Hayati Rais John Joseph Pombe Magufuli amewafungua wananchi swala la kufikiri,kujaji na kuunda hoja.Mungu amuweke mahala pema peponi Amina
Best interview 👌 Kuanzia Mwandishi hadi Interviewer! Ni Elimu Kubwa Sana hii Hongereni Dar24media
Uko vizuri brother katika kuuliza Maswali umenifurahisha utafika mbali
Shule aliyosoma Prof kishimba ameisoma sehemu tofauti na amelipia gharama kubwa sana kuliko elimu ya kawaida.
Wewe mwandishi uko vizuri Sana utafika mbali Sana big up.
Mh. Kishimba nakusaluti,upo vizuri sana with your critical thinking,unaona maisha katika uhalisia wake.Ahsante
Uyu mbunge ni baraka kwa serikari kama haya mawazo yangefuatiliwa kiundani tungefika mbali sana kama Tanzania 👏👏
"Sio waoga kwasababu hajui madhara saa nyingine kutokujua madhara ni faida pia". Quote imenyooka sana
Jamaa alikuwaga radio station mbeya, nimetoka school likizo nikafungulia radio, sikujua kuwa ni radio ya mkoani mpk kipindi kilipoisha. Its good ni hatua kubwa, anatakiwa aende hatua kubwa zaidi, mosi uelewa, kujua kwenda na mabadiliko, kipawa na consistency Hongera sana
Huhuuu Yani uyu ndobaba anajua vingi wazazi wengine wapo kimya tui
Mzee kishimb💥💥💥anafikilia Sana na anaongea vitu vizuli Sana na vyakweli kiuhalisia
Mungu azidi kukubariki Mzee kishimba...unaongea ukweli mchungu ambao Sisi wa Afrika wengi atutaki kukubari
Hizo ndio channel za kuangalia Sasa!,Hongera Sana🙏
@saadyusuph6554
Жыл бұрын
Mzee Yuko sawa kabisa
Huyu mzee tuangalie bhana tumpe uraisi itakuwa nchi ya tofauti sana😅
Professor tuko pamoja the change should start with us to change our country system
Huyu Mzee nashauri Tasisi za Elimu ya Juu wampe Honorary Doctorate!
Tumpee waziri mkuu🎉🎉🎉🎉🎉
Big up sana Mzee Kishimba. Nakumbuka tulivyokupokea Harare ukafungua kiwanda Ginery na ukarudi nyumbani kugombea ubunge. Wewe ni jembe.
🤔Kila swali ni hekima na kila jawabu ni elimu. Asante kwa udadisi ufafanuzi na habari nzuri za kutuamsha tusijisahau
Hongera Sana Prof.
Kazi nzuri kaka Lambet
Hongela sana mh kwehekima nauerewa waasili mungu akubaliki sana
Kaka wewe ni Mtangazaji Bora sana,Nakuomba siku Moja nikuone kwenye Chombo kikubwa Cha Utangazaji kama BBC,VOA,DW ,TBC,AZAM and so on.
@user-ry3yb9du8d
Жыл бұрын
Nakukubali sana Mzee wangu kishimba
@noahfilimoni4703
Жыл бұрын
Ili uwe tbc uwe CCM
@hamisihassankengejr4375
Жыл бұрын
Wewe unataka aondoke Nyumbani
@sautikuu212
Жыл бұрын
Hapo ondoa TBC na AZAM
@alphadreammedia
Жыл бұрын
@@sautikuu212 tbc na AZAM???😂😂😂
Huyu mbunge nimempenda sana sana
Huyu mzee yupo sahihi sana,wengi wetu tumewachia watoto kwa kuamini elimu zao wamewadondosha sana wazee wao
Safi sana mwandishi wa habar unauliza maswali ya msingi mno,pia umenyooka na unajiamini
Changamoto saut ipo chin sanaa
hongera saaana moja wa matajiri wakubwa wazawa waliobakia ,baada ya Kufariki Dr.Reginald Mengi.
@MtuSafi
Жыл бұрын
Anamiliki nini huyu mzee?
@hadijamandanje6189
Жыл бұрын
@@MtuSafi isikilze vizuri hii Crip Kuna vingi walivyovitaja
@MujuniKamugisha
7 ай бұрын
@@MtuSafidar free market
@MujuniKamugisha
7 ай бұрын
@@MtuSafireal estate na migodi ya dhahabu
Mheshimiwa.Kishimbaa anafaa apewe PhD ya heshima #huyu mzee n mtu na nusu
Hiyo mifumo iliwekwa kunyonya waafrica hapo ni mahesabu wacoloni wanafanya Leo ufaramsa eti bado kuna pesa unapata kutoka Africa Hilo ni wizi WA mifumo.
Mh mm nakuelewa sana hongera endelea kutufungua
Tunaomba interview NYINGINE Mr.Lambert
Apa interview imekamilkaa
Nampongeza sanaaa mzee Kishimba unastahili kupongezwa na mwanahabari pia nakukubali kipindi kimefana weledi umeshiba God bless you all, big up sanaaa
Kishimba yuko vizuri sana Tusomeshe wajue kutafuta fedha hiyo namba moja
Daaah!!! Drs 7 kichwa sanaaa! Tunajifinza sana kupitia wewe
mheshiwa kishimba big up
Genius
🙏👏👏
MH. Kishimba kasema ukweli Wahindi Hawasomeshi watoto waajiliwe watoto wao wakiwa shule akija likizo nyumbani hufunzwa biashara na elimu ya kujitegemea sisi tunawasomesha waajiliwe.
Yuko vizuri kuliko wasomi wengi
My favorite
Upo sawa
Sema nini umesahau kumuuliza profesa mtazamo wake juu ya mambo ya huko bandarini. Bt the rest is good.
hongera sana mzee kishimba
Nashukulu sasa MH kishimba kama serikali ingeweza kuwa na watu wenye akili hiyo ingeweza kubadili miji na kuwa kama dunia zingine hiyo idea wanazo wazungu kuna Aina tatu za mijego
Natamani kuonana siju moja na uyu mzee ana madinii sana
Unajua kuhoji na Umetulia sana.
Sijambo. Hamjambo? TUWAFUNDISHE WATOTO WETU KULA SAMAKI NA KUVUA SAMAKI. (Tuwafundishe watoto wetu kutumia vitu na kuunda vitu). Tuwafundishe watoto wetu kwa maneno na vitendo kuanzia wanapokuwa shuleni hadi vyuoni.
Mtangazaji uko vizuri ila sauti mliibana sana
Nakuona unazidi kukuwa , Lambet
Nchi iendelee kumsikiliza huyu Jamaa kwa ukaribu sana ANA MADINI YA THAMANI KTK UBONGO WAKE!!
Huyu ndiyo mpeni uprofesa siyo taletale
"Ambao hawajasoma sio waoga kuchukua hatua kwasababu hawajui madhara saa nyingine kutokujua madhara ni faida pia". Quote imenyooka sana
@user-uy2dk2yv2c
Жыл бұрын
Aise bro umeongea bonge la point ya sirini ama rohoni
Brother mtangazaji Hongera unefanya Interview ya Nguvu mno hawa ndiyo watu unaonatakiwa kuwa nao na siii Hao Wasomii wa Vyeti kama Yule mzee uliyemuita Msomi kuliko Yeyote Tz Maisha halis na Ya Mafanikio Hayaelezeki ndiyo maana mzee amesema Hakuna kitabu cha Biashara...
Huy mzee namkubali saan kwa haya majibu
Mzee yupo vizuri tunahitaji kufikiria sana mfano mdogo tuu ni kwa nn watoto wa darasa la kwanza wasisome kiingereza la kwanza ?maana hii itasaidia waalimu na watoto kuelewa mapema kwa nn watoto wanaanza darasa la tatu?
@hadijamandanje6189
Жыл бұрын
Kiingereza kiliondolewa si miaka Mungu baada ya kuona mtoto wa Drs la kwanza anapewa masomo mengi hivyo anashindwa kuyamudu na Sasa kinarejeshwa tena
Mzee yuko humble sana 😅
Confusion
Jamaaa ana akili sana💪💪💪💪🔥🔥🔥
Sureeeeeee
namkubali sana huyu mzee kishimba
Kwa upeo mzuri wa mzee huyu, natamani atupie macho sana Mahakama zetu pia ili aweze kutusaidia, maana kuna madudu mengi yanayopelekea haki kutopatikana. Mola akupe kila la kheir mzee Kishimba.
@richardibrahim5609
11 ай бұрын
Jamaa yuko vzur sana
Sauti iko chini Sana
Shule ni upotofu tu kama hujui lengo hasa la elimu na hupati ...na kama hupati elimu yenye ubora wa ukweli...watu wanaofundishwa biashara utotoni na wazazi wao au fani nyingine za ujuzi...hutokea kuwa na mafanikio katika kutumia ujuzi huo Kim kimaisha kuliko watu waliokwenda Shule au wenye vyeti fulani...majority of our legacy education system of colonialism is nothing but brainwashing. ..you only get to learn a little. Here in the USA...majority of famous successful entrepreneurs who made big impact not only in business but also in life in general, were dropouts from college such as Bill Gates, Steve Jobs , Mark Zuckerberg etc... Mzee Kishimba yupo sahihi nami namkubali kabisa....elimu aliyokuwa nayo ni zaidi ya Phd...na wengi wenye vertical vya Phd ni viiyo tu. wengine wananunua na kukariri theories only we need to change the whole education system to revive every sector of our country's economy...
@EnockaHaruni-et5cn
6 ай бұрын
❤❤
Hilo ni somo mh kishimba
Broken people act rich And rich act broken😢..
Nakubaliana na Kishimba. Japan ilikuwa kiboko kwa mafia. Polisi ilibidi ijiingize Kwenye umafia na kufanikiwa kupunguza. So Kishimba is Genius. Tumtumie ndugu yetu HUYU.
Mtu na nusu......mzee kishimba huwa sikosi kusikiliza interview zako
I wish siku hata tukapata kuona anachoona kwa ukubwa zaidi huyu baba anachozungumza….
Hongera sana
@petrojames1145
Жыл бұрын
MTOTO AFUNDISHWE KUTAFUTA PESA AKIWA MDOGO. SERIKALI NA WAZAZI WANAPATA SHIDA NA WATOTO WASOMI 😂
Kumbe Darasa la Saba wako wengi na sio Msukuma tuu
My role model mzee anajua mfumo wa maisha huyu akiongea huwa naacha mambo yote namsikiliza
Baba una mawazo ya ajabu....pale bungeni pangefaa angalau robo ya Wabunge wawe wa aina hii
@janmsekela
Жыл бұрын
Ndg. Lamert, wewe ni miongoni mwa ‘journalists’ wazuri, lakini unahitaji kuongeza ufahamu wa eneo husika ili uulize maswali bora zaidi. Pili, usijisahau sana hata ukadhani unayemhoji ni wa rika lako. Muhimu utunze urasmi. Mh. Kishimba ni Mbunge, na pia ana umri wa baba yako. Kuna wakati unamtamka bila itifaki anayostahili - siyo sawa kwa wewe kudharau itifaki, na kudhani sasa ‘unalingana’ na Mh. Kishimba! Katika interviews zako zote, kutokujali itifaki muda wote ni udhaifu wako mkubwa.
@AlexKAudax
Жыл бұрын
The man
Tatizo mnaokomemt weng sio wakazi wakahama uyo mzee utajir niwakwak nafamilia yake atuletei maendeleo khm barabar Kila Kona mbovu
@fatmarashid3137
Жыл бұрын
Sie tunapenda mawazo yake acha hizo
@michaelshija3601
Жыл бұрын
Kahama tuko vizuri Meh. Kishimba simama hivyohivyo dunia imeona umuhimu wako. Hoja zako ni ukombozi WA mwafrika.
@farajamwakifuna303
3 ай бұрын
Umekaa unafikiri utaletewa mkononi Hilo sahau piga kazi hakuna atakayekupa maendeleo yako binafsi mpaka unaingia vumbini
Uyo mzee amnakit anamaendeleo yoyot kwenye jimbo lak barabar zimeoza kilakona
@marwaisack374
3 ай бұрын
Kazi ya mbunge ikiwa ni kutengeneza Barabara na kazi ya serikali inakuwa ni ipi?.
kishimba hiyo ni machine
Watu wenye maadili kama hawa wanachukuliwa poa poa tu,wapumbufu ndiyo wanasikilizwa.
Baba huyu ni mwalimu mzuri wa kuelimisha jamii kuhusu uchumi
Mzee Kishimba anamiliki Imalaseko, Dar Free Market lkn anasema sio tajiri , Imagine hzo ni baadhi tu ya biashara zake, huyu mzee ni genius ndio maana anajitambua kuliko wasomi.
@luganosimon4111
Жыл бұрын
Mzee wangu nakuelewa sana na best mbunge kwa ssa
@MtuSafi
Жыл бұрын
wee darFree Market ni yake lile jengo?
@MtuSafi
Жыл бұрын
imalaseko ni nini sifaham
@seifkulwa3346
Жыл бұрын
@@MtuSafi Imalaseko ilikuwa supermarket mwanza, Arusha na Dar
Nimeanza kuamini wasukuma wana kitu,kama taifa tuache kuwachukulia poa na kuwatania ushamba,kumbe sisi ndio hatujui😂
Mimi nashauri kama mtamzania huyu Mzee kishimba awe waziri mkuu wa Tanzania anachokiongea ni mdaa wa sasa Nina maada Anaenda na mdaaa
Hapo kwenye watoto mzee kapotea, watoto wa matajiri wanapata shida sana za kuwa na pressure kuwa wawe watu flani alafu kiongozi wa familia akiwa na mindset ngumu hapo inakuwa hell tu, awasikilize hao watoto wanampango gani awasupport ni simple sana hakuna mtu mtupu kichwani, nawalio fanikiwa ni wengi sana, mzee inabidi a study zaidi jamii za walio fanikiwa asiishi sana kwenye kichwa chake ufalme wa kiti kimoja sio ufalme is a matter of time tu
@samuelmajule54
Жыл бұрын
Swala la watoto si mchezo ndugu unaweza ku train mtoto lkn kila ukimtizama vision yake haiendani na business zako kabisa ni kum-support tu aendelee na mambo yake
@geeva99
Жыл бұрын
@@samuelmajule54 kabisa, wazee wengi wana penda kulisisha talent zao, ilo ni kosa kubwa sana alafu linahatarisha economy ya generations kama utalisisha watu aina ya mambo yako na talent zako wakati wao sio mambo yao maanake iyo wealth lazima ije kufa then inarudi square one, na ndo mataifa yaliyofanikiwa from family level na jamii kwa ujuma wanatuzidi hapo
Anawaza sana
Uyu mzee akilikubwa nasapoti sana mawazoyake big up
Huyu mtangazaji huwa namkubali sana
Kwakweli huyu mzeee namkubali Sana na uwezo wake wakufikili na kuleta hoja zinazo gusa jamii moja kwa moja
@mohamedykisuda6401
Жыл бұрын
Huyu Mzee anatosha kabisa kuitwa Professor zaidi ya ma professor wa darasani
@josephokumu9666
Жыл бұрын
@@mohamedykisuda6401hy
Tuko kwenye confusion
Hivi huyu mtangazaji hii online tv ni ya kwake? Mbona kama nilishamsikia times fm?
Shule ya wizi concept is simply a Cybersecurity education in Ethical Hacking training...wizi wa digital unahitaji mafunzo mkabala wa kujua ili uweze kuuzuia... Professor Kishimba is 💯 correct
Mitaani tunatumia kombi yetu ya pmk unaijua hiyo siyo elimu ya wazungu
Nimejifunza
Mzee Kishimba ni Hazina adhim mno ktk Taifa Letu haswa kwa vijana MUNGU akupe Maisha marefu baba
yaaan interviewer n interviwee wte mko vzuriii
Hii ni mbwa yenye akili nyingi sana.. akili alizonazo maprofesa wa university hawana
Amesoma amejiendeleza huko Zimbambwe ana degree ya biashara na uchumi
nikikumbuka walivyokuwa wanamdhihaki huyu mzee ule upande wa pili eti kishimba la saba hana lolote kumbe kichwani yuko vizur kuliko hao wa digrii
@yusufmohamed8874
Жыл бұрын
Yaani mabadiliko ya elimu ya sasa ni kwa ajili ya huyu mwamba
Hongera sana tumepata Elimu ya uhalisia
Nataka kuwa kama wewe mh.Jumanne Kishimba
Huyumzee apewe uwaziri wa elimu