Nyumba 1500 zinazojengwa Kigamboni na Milionea Mtanzania aliyeishia la 7
Hamidu ni Mtanzania ambaye elimu yake ni darasa la saba tu lakini ukubwa wa mafanikio yake umedhihirisha kuwa akili ya maisha inaweza kukupa ushindi ukizingatia inavyotakiwa, ameshaanza ujenzi wa nyumba zake 1500 Kigamboni Dar es salaam.
MAWASILIANO YA HAMIDU CITY: +255 22 21 23 075 MOBILE: 0672 918883, 0756 980000 & 0659 500 100. sales@hcgctz.com INSTAGRAM: @Hamiducity
Пікірлер: 322
Nili bahatika kukaa na huyu jamaa alipo kuja Mwanza. Alini inspire sana.
Hongera Sana kamanda 🙏🙏 baraka hiyo Ni kubwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Umetusaidia ufahamu la 7 wenzio Utajiri sio Elimu.
Mungu akuzidishie ujuzi mkuu....big inspiration
Hamidu hemedi Mvungi mkoa Kilimanjaro Wilaya ya mwanga Kijiji Cha Lembeni Kijiji kwetu kabisa nafurahia kuona hili wapare hoyeee Kuna mwamba mwingine anaitwa Vigu Daaah Ila Mungu kampenda zaidi naye aliifanya Lembeni ijulikane Sanaa tupo nyuma yenu hakuna kukata tamaaa mpk mwisho
Mungu wetu sote wallahy Hamidu nipo nyuma yako
@azizayassin3623
7 жыл бұрын
Mkola Mrua naam
@mkolamrua9494
7 жыл бұрын
azh zha yassin ipo siku tu
@sajdatomar6025
2 жыл бұрын
Hata mm nipo nyuma yake mungu ni mkubwa tuamini hilo jamani
@franklinkessy586
2 жыл бұрын
Nomrango
Set a dream believe in your dream work on your dream then live your dream, no limits in life 💪💪
Asante sana kwa maelezo unae tupatia Mimi Ni myarwanda nataka ku nunua nyumba hiyo Tanzania kwa kuripa kidogo kidogo Sasa naomba maelezo zaidi ili nijue xakufanya
nimependa-sana-kaka-hamidu-mungu-anisaidie-nifate-nyayo-zako
@zittotv9972
4 жыл бұрын
Faysal Mahmud Didar duuuuuu
The sound track is legit. I love the years of the sum action movie
Ni watanzania wachache sana wenye kuthubutu,wengi wao hata wakipata chans km hiyo wanaishia kugombania wake hata za watu ili mradi tu wajue ana pesa,hongera sana kaka.
Mungu amzidishie na hongera sana kwake
Hongera sana kaka Hamidu mungu aendelee kukubariki na kukupa Afya njema
mungu akupe nguvu mtanzania mwenzetu ila punguza kabei kidogo basi😀
@azizayassin3623
7 жыл бұрын
Mwamgunda Samson ameen ameen
@ahz6907
2 жыл бұрын
Kwani we una sh ngap?
@hamiduhamisi2371
2 жыл бұрын
@@ahz6907 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mwenyeezimungu azidi kukubariki Baraka za Roho na mwili Hamid all the best mbarikiwa
hongera sana kwa mtanzania mwenzangu
Mtani wangu Mpare Shikamoo...Faida yakula ugali na picha ya Samaki. Wapare Shiakamoo Kaka najiona mbulula na mavyeti yangu jamani.
@superwarema2309
2 жыл бұрын
Marahaba mtani. Thamaki thi kindu, kindu ni mshombe.
@hamismndeme9501
2 жыл бұрын
mtani tulia ufuate nyayo
@blackpanther4825
2 жыл бұрын
Rose Hillary usipagawe mie ndugu yake najua yaliyo nyuma ya mradi mzima.
@dorcaskidoti249
2 жыл бұрын
@@blackpanther4825 ohoooooo kama nimekuelewaaaaaa😥
Mwenyezi Mungu akuzidishie wepesi,yaani kaka Hamidu umedhubutu,kweli akili ni nywele
Eti aliyeishia la 7! maisha ya mafanikio hayana vigezo hivyo vya hizo elimu zenu za kikoloni.ambazo mnaandaliwa muwe watumwa wa watu. mfano:wengi mkihitimu huwa Hamna la kufanya punde mnapokosa kuingia katika huo mfumo(wa kitumikia hao masters wenu) Wapo wengi tuu wa aina hii.
Nakutakia kila la kheri Mungu azidi kukuinua zaid ya hapo. Hongera sana.
Waa hongera sana mimi pia nambana ila bado.Haminu nisaidie nimalize yangu ni moja tu
Kaka Ayo Unatupa nguvu sana ya kupambana katika maisha ya Kila siku
So inspiring
hongera kaka lakini hizo nyumba,site sizani kama zitauzika kwa maisha ya kibongobongo ungeanza na few hubdreds uwone uoeoo
mungu ni wetu sote hongera sana nd mungu akuzidishie
MashaAllah, hongera sana Brothar, umepiga hatua Allah akusimamie.
Hongera sana sana Mungu amekubariki, hakikisha kizazi chako kinaendeleza uliyoanzisha
Hangera sana na mungu akutie nguvu uweze kusaidia na wengine.
WOW classic inspiration
Hata mm napigania Kaka anguu ni we kama ww tupo pamoja hongeraa sanaaaa mungu akuzidishieee pamoja nawengnee aminiii 🤲🤲🤲🙏🙏🙏🤝🤝🌹🌹🌹🌹❤️❤️😎❤️😘😎❤️❤️❤️❤️
@hakika shemeji yangu amethubutu darasa la saba lawakati wa nyuma ni kama form 6 kwa sasa nataka nikwambie kufanya hivii ulivyofanya zaidi ya chuo kikuu. big up mlamuwa.havaache sana.
hongera bro Allah azid kukuongoza .
mashaallah kila kitu kinawezekana waweza soma hadi kidato cha sita lakini ukatoka patupu alie soma mpaka lasaba akatoka kimaisha zaidi mungu akupe zaidi ya apo kaka angu.
Maa Shaa Allah. Mwenyezi Mungu akupe ulinzi wake na akulinde na macho ya watu.
@Awatee
2 жыл бұрын
Amiin yarabal alamin
hongera sana
Asante sana kaka amidu ,kila kitu kujituma
🙌🙌🙌 hongera saaaana na mungu akubalikiiiiiiiii
Sisi tulikuja baada ya Kuona Zamarad kapost like 🤣🤣🙈🙈
hongera, sana hiyo ndio njia mojawapo ya kuleta mabadiliko katika nchi,
Hii ndiyo tofauti ya wasomi wa bongo na darasa la saba Wasomi huamin katika madaftari yao na vyeti lakin hawa wengine huamin katika nguvu zao maana hawana elimu na hapa ndio wanawazidi waliosoma Mzee ameni inspire
Very inspiring footage to succsess
mashaalah Mungu akubariki ndugu kwa ubunifu wako
Mansha Allah. hakika hakuna linalo shaindikana jamani hongera kaka
Mungu amzidishie. ameniinspire sana. ntafuata nyayo zake kujindeleza.
@azizayassin3623
7 жыл бұрын
Swahili 101 ameen
Ur the best hamidu
i really like his idea
@user-jk5ir4ke3z
2 жыл бұрын
MashaaalH
Yessss...hongera sana Uncle😘😘😘😘
MashaAllah TabarakkahAllah
mashaallah allah akuzidishie
nilikuwa nakunywa beer nimemwaga naelekea shamba kutafuta
@mariammbughi2702
7 жыл бұрын
anicet njovu 😂😂😂
@stevenp.kongoche5503
6 жыл бұрын
anicet njovu hahahaha we jamaa umetisha,nmecheka mpka mbavu zmeuma
@khadijambuta4360
6 жыл бұрын
anicet njovu 😂😂😂mbavu zang
@theoriginals3240
6 жыл бұрын
haha
@marysimon8899
6 жыл бұрын
kha😂😂😂
mashaaaaalah unanipa mzuka kwel Na mm nifanye business
Mungu akuzidishie
mungu akitaka kukupa hakuandikii baruwa
Hongera kwa kujituma kaka Hamidu
kaka umenivutia na nimejifunza kutoka kwako hongera sana kaka angu
big up Mr Hamidu
big up Hamidu we ni noumaaaa
Mungu humpa amtakae napia hutoa kwa wakty ukifyka
Mungu akuraisishie kwenye mradi wako
Ukiwa na nidhamu na malengo na mpango wa kuyafikia hakuna kitakachokwamisha mafanikio.
Hongera saaanaa kaka Hamidu
Mashaallah
Safi Sana Kaka Mimi Sina hata uwezo WA kukunuwa hata basikeri
dah!hayo ndiyo matamanio yangu hongera zake kafanya kitu kikubwa,sisi vijana inatusa tuige mfano wake
Honger xnaaa 👏👏
Mash Allah
Hamidu lv u😘
Hongela Boss Hamidu
Hongera sana hamidu
salm, fayeez and Hi support u
uko juu sana kaka
Mashalha
Hongera saaana Kaka
Sound good
Mashallah 💕💕
sema asante mungu
Wa Tz walio wengi waoga kufanya kazi zao au biashala zao Wana aminijuu yakuajiliwa nakulipwa mwisho wamwezi nawengine Hawana elim Wana nyonywa nama boss awashtuki wanazidi kupoteza muda wao
Honger sijawah kuona
Hongera bro sana nimekupenda
Hongera Sana.
sawa kaka nas twaja
Maashaallha
300 and something Mill???? Damn!
Wa Tanzania ndio hapa tunafeli. Those houses could be better. Kuna dada Anaiwa Leah Wambui yeye yuko Kenya amejenga Nyumba 200 lkn zinavutia zaidi ukimwambia mtu 300 hata km hana anaridhia kwa muonekano. Mungu akuongoze zaidi, lkn watu wengi zitawashinda kwa sababu inabidi mtu akope bank ambayo inachaji riba. Mtu ataishia kulipia hiyo Nyumba kwa bei kubwa sana kuliko thamani halisi. Hongera nonetheless
Jamaa yupo vizuri aisee
Apo tunakuombea Mungu akupe mawazo zaidi
duuh mungu akubaliki kaka
Mashallllah❤❤
Mashall
Hongera sana kaka Mungu ni mwema wewe ni mfano wa kuigwa
@man.lule.585
6 жыл бұрын
Iga ufe kila mtu kazaliwa na zali lake.
Habidu safi sana
real estate ni biashara nzuri sana... lakini one factor ya ku have in mind ni economic progression ya walengwa... with the current "credit crunch" in Tanzania.... real estate market is one of the worst hit sectors in the economy!
@allythabit5175
5 жыл бұрын
Albin Eric one day when I was young nlimsikiaaa baba akisema nataka nianzishe biashara ya nyumba lakn ndugu hatukumsapoti lakn now my father is one of the famous person ambaye ana nyumba nyingi mjiniii
Naomba hamidu unioe mke wa pili
Zamani nilikuwa naamini kusoma ndio kupata kumbe sivyo sasa ndio haya, nilivyokuja kujitambuwa nikaikataa hi imani ama kweli kusoma si kupata 😪
@editatairo9667
2 жыл бұрын
Lakini elimu pia ina umuhimu wake ila ni namna gani unaitumia kutoka kimaisha ndio mziki sass
Hongera sana
Hongera
Mashallah
hongera san
Mashallah nimeipeda
Duuh kaka ana juhudi sijawahi kuona. nimezipenda sana jamani sio siri
Hongera sana kk