Nyumba 1500 zinazojengwa Kigamboni na Milionea Mtanzania aliyeishia la 7

Hamidu ni Mtanzania ambaye elimu yake ni darasa la saba tu lakini ukubwa wa mafanikio yake umedhihirisha kuwa akili ya maisha inaweza kukupa ushindi ukizingatia inavyotakiwa, ameshaanza ujenzi wa nyumba zake 1500 Kigamboni Dar es salaam.
MAWASILIANO YA HAMIDU CITY: +255 22 21 23 075 MOBILE: 0672 918883, 0756 980000 & 0659 500 100. sales@hcgctz.com INSTAGRAM: @Hamiducity

Пікірлер: 322

  • @Bbwaoy
    @Bbwaoy7 жыл бұрын

    Nili bahatika kukaa na huyu jamaa alipo kuja Mwanza. Alini inspire sana.

  • @ghatimakonge9383
    @ghatimakonge93832 жыл бұрын

    Hongera Sana kamanda 🙏🙏 baraka hiyo Ni kubwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Umetusaidia ufahamu la 7 wenzio Utajiri sio Elimu.

  • @BongoHabariTv
    @BongoHabariTv5 жыл бұрын

    Mungu akuzidishie ujuzi mkuu....big inspiration

  • @ernestonesmo405
    @ernestonesmo4059 күн бұрын

    Hamidu hemedi Mvungi mkoa Kilimanjaro Wilaya ya mwanga Kijiji Cha Lembeni Kijiji kwetu kabisa nafurahia kuona hili wapare hoyeee Kuna mwamba mwingine anaitwa Vigu Daaah Ila Mungu kampenda zaidi naye aliifanya Lembeni ijulikane Sanaa tupo nyuma yenu hakuna kukata tamaaa mpk mwisho

  • @mkolamrua9494
    @mkolamrua94947 жыл бұрын

    Mungu wetu sote wallahy Hamidu nipo nyuma yako

  • @azizayassin3623

    @azizayassin3623

    7 жыл бұрын

    Mkola Mrua naam

  • @mkolamrua9494

    @mkolamrua9494

    7 жыл бұрын

    azh zha yassin ipo siku tu

  • @sajdatomar6025

    @sajdatomar6025

    2 жыл бұрын

    Hata mm nipo nyuma yake mungu ni mkubwa tuamini hilo jamani

  • @franklinkessy586

    @franklinkessy586

    2 жыл бұрын

    Nomrango

  • @carlosmzena548
    @carlosmzena5485 жыл бұрын

    Set a dream believe in your dream work on your dream then live your dream, no limits in life 💪💪

  • @NdayizeyeAline-zr6zc
    @NdayizeyeAline-zr6zc2 ай бұрын

    Asante sana kwa maelezo unae tupatia Mimi Ni myarwanda nataka ku nunua nyumba hiyo Tanzania kwa kuripa kidogo kidogo Sasa naomba maelezo zaidi ili nijue xakufanya

  • @faysalmahmuddidar7135
    @faysalmahmuddidar71357 жыл бұрын

    nimependa-sana-kaka-hamidu-mungu-anisaidie-nifate-nyayo-zako

  • @zittotv9972

    @zittotv9972

    4 жыл бұрын

    Faysal Mahmud Didar duuuuuu

  • @elijahthomas7855
    @elijahthomas78555 жыл бұрын

    The sound track is legit. I love the years of the sum action movie

  • @angelavayinga914
    @angelavayinga9146 жыл бұрын

    Ni watanzania wachache sana wenye kuthubutu,wengi wao hata wakipata chans km hiyo wanaishia kugombania wake hata za watu ili mradi tu wajue ana pesa,hongera sana kaka.

  • @amanichanga3448
    @amanichanga34487 жыл бұрын

    Mungu amzidishie na hongera sana kwake

  • @tracyjustice1600
    @tracyjustice16007 жыл бұрын

    Hongera sana kaka Hamidu mungu aendelee kukubariki na kukupa Afya njema

  • @mwamgundasamson2192
    @mwamgundasamson21927 жыл бұрын

    mungu akupe nguvu mtanzania mwenzetu ila punguza kabei kidogo basi😀

  • @azizayassin3623

    @azizayassin3623

    7 жыл бұрын

    Mwamgunda Samson ameen ameen

  • @ahz6907

    @ahz6907

    2 жыл бұрын

    Kwani we una sh ngap?

  • @hamiduhamisi2371

    @hamiduhamisi2371

    2 жыл бұрын

    @@ahz6907 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mossymtwana6422
    @mossymtwana64222 жыл бұрын

    Mwenyeezimungu azidi kukubariki Baraka za Roho na mwili Hamid all the best mbarikiwa

  • @toshirohitsugaya6421
    @toshirohitsugaya64217 жыл бұрын

    hongera sana kwa mtanzania mwenzangu

  • @rosehillary8742
    @rosehillary87426 жыл бұрын

    Mtani wangu Mpare Shikamoo...Faida yakula ugali na picha ya Samaki. Wapare Shiakamoo Kaka najiona mbulula na mavyeti yangu jamani.

  • @superwarema2309

    @superwarema2309

    2 жыл бұрын

    Marahaba mtani. Thamaki thi kindu, kindu ni mshombe.

  • @hamismndeme9501

    @hamismndeme9501

    2 жыл бұрын

    mtani tulia ufuate nyayo

  • @blackpanther4825

    @blackpanther4825

    2 жыл бұрын

    Rose Hillary usipagawe mie ndugu yake najua yaliyo nyuma ya mradi mzima.

  • @dorcaskidoti249

    @dorcaskidoti249

    2 жыл бұрын

    @@blackpanther4825 ohoooooo kama nimekuelewaaaaaa😥

  • @jumaramadhani5861
    @jumaramadhani58617 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu akuzidishie wepesi,yaani kaka Hamidu umedhubutu,kweli akili ni nywele

  • @freddymello3227
    @freddymello32275 жыл бұрын

    Eti aliyeishia la 7! maisha ya mafanikio hayana vigezo hivyo vya hizo elimu zenu za kikoloni.ambazo mnaandaliwa muwe watumwa wa watu. mfano:wengi mkihitimu huwa Hamna la kufanya punde mnapokosa kuingia katika huo mfumo(wa kitumikia hao masters wenu) Wapo wengi tuu wa aina hii.

  • @Patricia800
    @Patricia8007 жыл бұрын

    Nakutakia kila la kheri Mungu azidi kukuinua zaid ya hapo. Hongera sana.

  • @elpiemghoi8004
    @elpiemghoi80042 жыл бұрын

    Waa hongera sana mimi pia nambana ila bado.Haminu nisaidie nimalize yangu ni moja tu

  • @jimmycliff6977
    @jimmycliff69772 жыл бұрын

    Kaka Ayo Unatupa nguvu sana ya kupambana katika maisha ya Kila siku

  • @donaldmwangasa852
    @donaldmwangasa8527 жыл бұрын

    So inspiring

  • @nassorsaid2331
    @nassorsaid23317 жыл бұрын

    hongera kaka lakini hizo nyumba,site sizani kama zitauzika kwa maisha ya kibongobongo ungeanza na few hubdreds uwone uoeoo

  • @kadzomangi484
    @kadzomangi4847 жыл бұрын

    mungu ni wetu sote hongera sana nd mungu akuzidishie

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan13656 жыл бұрын

    MashaAllah, hongera sana Brothar, umepiga hatua Allah akusimamie.

  • @rukiyatajir8064
    @rukiyatajir80642 жыл бұрын

    Hongera sana sana Mungu amekubariki, hakikisha kizazi chako kinaendeleza uliyoanzisha

  • @zainabukalinga5000
    @zainabukalinga50005 жыл бұрын

    Hangera sana na mungu akutie nguvu uweze kusaidia na wengine.

  • @yohanamagele3633
    @yohanamagele36333 жыл бұрын

    WOW classic inspiration

  • @aminaathumani6832
    @aminaathumani68323 жыл бұрын

    Hata mm napigania Kaka anguu ni we kama ww tupo pamoja hongeraa sanaaaa mungu akuzidishieee pamoja nawengnee aminiii 🤲🤲🤲🙏🙏🙏🤝🤝🌹🌹🌹🌹❤️❤️😎❤️😘😎❤️❤️❤️❤️

  • @hajjighanji5667
    @hajjighanji56674 жыл бұрын

    @hakika shemeji yangu amethubutu darasa la saba lawakati wa nyuma ni kama form 6 kwa sasa nataka nikwambie kufanya hivii ulivyofanya zaidi ya chuo kikuu. big up mlamuwa.havaache sana.

  • @EmainaEmanuel
    @EmainaEmanuel7 жыл бұрын

    hongera bro Allah azid kukuongoza .

  • @hongerakkachawasemewwkzbut4996
    @hongerakkachawasemewwkzbut49967 жыл бұрын

    mashaallah kila kitu kinawezekana waweza soma hadi kidato cha sita lakini ukatoka patupu alie soma mpaka lasaba akatoka kimaisha zaidi mungu akupe zaidi ya apo kaka angu.

  • @momatv2019
    @momatv20192 жыл бұрын

    Maa Shaa Allah. Mwenyezi Mungu akupe ulinzi wake na akulinde na macho ya watu.

  • @Awatee

    @Awatee

    2 жыл бұрын

    Amiin yarabal alamin

  • @mobileshop818
    @mobileshop8187 жыл бұрын

    hongera sana

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu41574 жыл бұрын

    Asante sana kaka amidu ,kila kitu kujituma

  • @superlevy9389
    @superlevy93897 жыл бұрын

    🙌🙌🙌 hongera saaaana na mungu akubalikiiiiiiiii

  • @rogertmshana9226
    @rogertmshana92262 жыл бұрын

    Sisi tulikuja baada ya Kuona Zamarad kapost like 🤣🤣🙈🙈

  • @nikitadiamorelivingstone2831
    @nikitadiamorelivingstone28317 жыл бұрын

    hongera, sana hiyo ndio njia mojawapo ya kuleta mabadiliko katika nchi,

  • @DrMbonea
    @DrMbonea2 жыл бұрын

    Hii ndiyo tofauti ya wasomi wa bongo na darasa la saba Wasomi huamin katika madaftari yao na vyeti lakin hawa wengine huamin katika nguvu zao maana hawana elimu na hapa ndio wanawazidi waliosoma Mzee ameni inspire

  • @hillsgate386
    @hillsgate3867 жыл бұрын

    Very inspiring footage to succsess

  • @dungayusufu1954
    @dungayusufu19542 жыл бұрын

    mashaalah Mungu akubariki ndugu kwa ubunifu wako

  • @ashazaharan1750
    @ashazaharan17506 жыл бұрын

    Mansha Allah. hakika hakuna linalo shaindikana jamani hongera kaka

  • @africanchild4525
    @africanchild45257 жыл бұрын

    Mungu amzidishie. ameniinspire sana. ntafuata nyayo zake kujindeleza.

  • @azizayassin3623

    @azizayassin3623

    7 жыл бұрын

    Swahili 101 ameen

  • @sheezy96sarah55
    @sheezy96sarah552 жыл бұрын

    Ur the best hamidu

  • @vincent9132
    @vincent91327 жыл бұрын

    i really like his idea

  • @user-jk5ir4ke3z

    @user-jk5ir4ke3z

    2 жыл бұрын

    MashaaalH

  • @nambuacassandramlaki3516
    @nambuacassandramlaki35162 жыл бұрын

    Yessss...hongera sana Uncle😘😘😘😘

  • @imanmohamed7632
    @imanmohamed76322 жыл бұрын

    MashaAllah TabarakkahAllah

  • @arafsaaa8844
    @arafsaaa88447 жыл бұрын

    mashaallah allah akuzidishie

  • @kamkubwa
    @kamkubwa7 жыл бұрын

    nilikuwa nakunywa beer nimemwaga naelekea shamba kutafuta

  • @mariammbughi2702

    @mariammbughi2702

    7 жыл бұрын

    anicet njovu 😂😂😂

  • @stevenp.kongoche5503

    @stevenp.kongoche5503

    6 жыл бұрын

    anicet njovu hahahaha we jamaa umetisha,nmecheka mpka mbavu zmeuma

  • @khadijambuta4360

    @khadijambuta4360

    6 жыл бұрын

    anicet njovu 😂😂😂mbavu zang

  • @theoriginals3240

    @theoriginals3240

    6 жыл бұрын

    haha

  • @marysimon8899

    @marysimon8899

    6 жыл бұрын

    kha😂😂😂

  • @idyjumanne9796
    @idyjumanne97965 жыл бұрын

    mashaaaaalah unanipa mzuka kwel Na mm nifanye business

  • @davidjoshua129
    @davidjoshua1297 жыл бұрын

    Mungu akuzidishie

  • @saidkhalfan1607
    @saidkhalfan16077 жыл бұрын

    mungu akitaka kukupa hakuandikii baruwa

  • @habauagway7251
    @habauagway72515 жыл бұрын

    Hongera kwa kujituma kaka Hamidu

  • @hongerakkachawasemewwkzbut4996
    @hongerakkachawasemewwkzbut49967 жыл бұрын

    kaka umenivutia na nimejifunza kutoka kwako hongera sana kaka angu

  • @saifalrajhi5001
    @saifalrajhi50017 жыл бұрын

    big up Mr Hamidu

  • @lulugama1547
    @lulugama15477 жыл бұрын

    big up Hamidu we ni noumaaaa

  • @samiakikwete1762
    @samiakikwete17623 жыл бұрын

    Mungu humpa amtakae napia hutoa kwa wakty ukifyka

  • @abdallahmbonabona8860
    @abdallahmbonabona88603 ай бұрын

    Mungu akuraisishie kwenye mradi wako

  • @ahz6907
    @ahz69072 жыл бұрын

    Ukiwa na nidhamu na malengo na mpango wa kuyafikia hakuna kitakachokwamisha mafanikio.

  • @dotoe.a7869
    @dotoe.a78697 жыл бұрын

    Hongera saaanaa kaka Hamidu

  • @halimatanzani8587
    @halimatanzani85874 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @priscadaniel7
    @priscadaniel73 жыл бұрын

    Safi Sana Kaka Mimi Sina hata uwezo WA kukunuwa hata basikeri

  • @adrianoadam8741
    @adrianoadam87417 жыл бұрын

    dah!hayo ndiyo matamanio yangu hongera zake kafanya kitu kikubwa,sisi vijana inatusa tuige mfano wake

  • @maryamjuma9816
    @maryamjuma98164 жыл бұрын

    Honger xnaaa 👏👏

  • @jameskitheka5702
    @jameskitheka57022 жыл бұрын

    Mash Allah

  • @tanjaniyoman3160
    @tanjaniyoman31602 жыл бұрын

    Hamidu lv u😘

  • @deusmhapa2400
    @deusmhapa24002 жыл бұрын

    Hongela Boss Hamidu

  • @zaidihussein4311
    @zaidihussein43112 жыл бұрын

    Hongera sana hamidu

  • @fayeezomar2902
    @fayeezomar29027 жыл бұрын

    salm, fayeez and Hi support u

  • @fatumamasudi365
    @fatumamasudi3657 жыл бұрын

    uko juu sana kaka

  • @dalalimjinga.144
    @dalalimjinga.1442 жыл бұрын

    Mashalha

  • @senatorhans6433
    @senatorhans64337 жыл бұрын

    Hongera saaana Kaka

  • @mwalyanga_94
    @mwalyanga_946 жыл бұрын

    Sound good

  • @prettyh7509
    @prettyh75092 жыл бұрын

    Mashallah 💕💕

  • @chriskalega3855
    @chriskalega38556 жыл бұрын

    sema asante mungu

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 Жыл бұрын

    Wa Tz walio wengi waoga kufanya kazi zao au biashala zao Wana aminijuu yakuajiliwa nakulipwa mwisho wamwezi nawengine Hawana elim Wana nyonywa nama boss awashtuki wanazidi kupoteza muda wao

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini42594 жыл бұрын

    Honger sijawah kuona

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 Жыл бұрын

    Hongera bro sana nimekupenda

  • @marryg4235
    @marryg42352 жыл бұрын

    Hongera Sana.

  • @reubenjackson7327
    @reubenjackson73277 жыл бұрын

    sawa kaka nas twaja

  • @mussakasimu2811
    @mussakasimu28112 жыл бұрын

    Maashaallha

  • @Bbwaoy
    @Bbwaoy7 жыл бұрын

    300 and something Mill???? Damn!

  • @pilimwanza8117
    @pilimwanza81172 жыл бұрын

    Wa Tanzania ndio hapa tunafeli. Those houses could be better. Kuna dada Anaiwa Leah Wambui yeye yuko Kenya amejenga Nyumba 200 lkn zinavutia zaidi ukimwambia mtu 300 hata km hana anaridhia kwa muonekano. Mungu akuongoze zaidi, lkn watu wengi zitawashinda kwa sababu inabidi mtu akope bank ambayo inachaji riba. Mtu ataishia kulipia hiyo Nyumba kwa bei kubwa sana kuliko thamani halisi. Hongera nonetheless

  • @Boaz22
    @Boaz224 жыл бұрын

    Jamaa yupo vizuri aisee

  • @joetemba6376
    @joetemba63762 жыл бұрын

    Apo tunakuombea Mungu akupe mawazo zaidi

  • @florabaruti8032
    @florabaruti80325 жыл бұрын

    duuh mungu akubaliki kaka

  • @omanmct135
    @omanmct1356 ай бұрын

    Mashallllah❤❤

  • @tumainimsumba9542
    @tumainimsumba95422 жыл бұрын

    Mashall

  • @sarajackson7373
    @sarajackson73737 жыл бұрын

    Hongera sana kaka Mungu ni mwema wewe ni mfano wa kuigwa

  • @man.lule.585

    @man.lule.585

    6 жыл бұрын

    Iga ufe kila mtu kazaliwa na zali lake.

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup682 жыл бұрын

    Habidu safi sana

  • @TheEric7777777
    @TheEric77777775 жыл бұрын

    real estate ni biashara nzuri sana... lakini one factor ya ku have in mind ni economic progression ya walengwa... with the current "credit crunch" in Tanzania.... real estate market is one of the worst hit sectors in the economy!

  • @allythabit5175

    @allythabit5175

    5 жыл бұрын

    Albin Eric one day when I was young nlimsikiaaa baba akisema nataka nianzishe biashara ya nyumba lakn ndugu hatukumsapoti lakn now my father is one of the famous person ambaye ana nyumba nyingi mjiniii

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania97432 жыл бұрын

    Naomba hamidu unioe mke wa pili

  • @hadijamagufuli2661
    @hadijamagufuli26613 жыл бұрын

    Zamani nilikuwa naamini kusoma ndio kupata kumbe sivyo sasa ndio haya, nilivyokuja kujitambuwa nikaikataa hi imani ama kweli kusoma si kupata 😪

  • @editatairo9667

    @editatairo9667

    2 жыл бұрын

    Lakini elimu pia ina umuhimu wake ila ni namna gani unaitumia kutoka kimaisha ndio mziki sass

  • @lucysimtowe421
    @lucysimtowe4212 жыл бұрын

    Hongera sana

  • @emmanuelekapanda3398
    @emmanuelekapanda33987 жыл бұрын

    Hongera

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog67522 жыл бұрын

    Mashallah

  • @wilsonnyabagaka2265
    @wilsonnyabagaka22656 жыл бұрын

    hongera san

  • @fatmaomary3981
    @fatmaomary39812 жыл бұрын

    Mashallah nimeipeda

  • @rahmashaban8693
    @rahmashaban86937 жыл бұрын

    Duuh kaka ana juhudi sijawahi kuona. nimezipenda sana jamani sio siri

  • @ephraimkayeta7252
    @ephraimkayeta72522 жыл бұрын

    Hongera sana kk

Келесі