HUYU NI MTANZANIA WA KAWAIDA AMBAE PLAN YAKE NI KUWA NA NYUMBA 2000/ UTAPATA NAFASI YA KUONA NYUMBA HIZO ZILIZO KATIKA AINA TOFAUTI
Жүктеу.....
Пікірлер: 140
@abdulrahmanhassan92542 жыл бұрын
Mashaallaa, mwenyezi mungu akupe ubri na afya njema ili umalize hizo nyumba 1500 na uwongeze nyingine in shaa Allah
@danielkamili70932 жыл бұрын
Najisikia vizur sana kuona waliofanikiwa wanapoelezea walipo toka iyo inatupa amasa zaid ya kupambana bila kukata tamaa
@khamisshee51312 жыл бұрын
Allahu Akbar nimependa sana Wazazi wa Hamidu wakiwalazimisha Masomo ya Madrasaa BIG UP kwa Wazaaazi MASHAALLAH 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@jazzymkalitv55352 жыл бұрын
Mashaallah! Hongera zake bwana Hamidu. Yaani Nyumba zipo ktk mpangilio mzuri kupita maelezo. Yaani kama Ulaya vile. Hizi Nyumba zilivyo jengwa, kama za Ulaya tu. Hongera sana kaka. Mungu azidi kukusimamia utimize ndoto yako. 🙏🏽❤️
@raheemaal-hady93282 жыл бұрын
Da Zama, Allaah akujaalie kheri... Hongera sana bwana Hamidu, Mungu akuzidishie kheri. What an Inspiration!
@tahirnephessalum36782 жыл бұрын
Asante Sana zamaradi, Asante ndugu Hamidu maisha yako Yana mengi ya kujifunza kwetu siye vijana...tunaomba part two haraka iwezekanavyo
@thumnathumna59462 жыл бұрын
Masha Allah.namuomba Mungu anijahlie nipate pesa nijenge aina hii ya nyumba za kisasa. 🤲🤲🤲
@ahmadbadawi96642 жыл бұрын
Alama ya sijda usoni maa shaa Allah,Allah akujaalie uendelee kuijenga na akhera yako.
@mozasaid38692 жыл бұрын
Mashaallah Tabaraka Rahman,
@fatumatandika58492 жыл бұрын
Maash Allah jazakallah kheir Kwa kweli imekusaidia sana elimu ya akhera yaani madras ndio kila kitu Mungu awabariki wazazi wako .
Mwenyezi mungu alishapanga kila mtu na chake tangu atujazaliwa ila Sisi wenyewe tunavikataa tukishaingia duniani kutokana na maisha tunayojichagulia
@ummunuzhat95192 жыл бұрын
MashaAllah tabarakaAllah kaka Mungu akuzidishie na cc mungu atupe uwezo tuje tununue
@user-jz8sj5us1h
2 жыл бұрын
Insha Allah
@halimahalima1488
Жыл бұрын
inshaaAllah 👏
@innocentkimisha49932 жыл бұрын
Nice interview dada Zama. Kindly consider kuendelea kupunguza mwangwi studio. Bado kuna echo kwenye videos. Blessings
@babafemie45762 жыл бұрын
nzuri sana na bei ni nzuri sana hii ndio maana ya uwekezaji sasa..
@HalimaHalima-id2cb2 жыл бұрын
Mashallah hongera sana hamidu mashallah
@kambikashama46192 жыл бұрын
Mambo Ya Ulaya hayooo Mpaka Bongo Wajekuzoeaa Ila Father Katishaa Sasa Kwa Sisi Turiopata Baati Ya Kusafiri Nchi za Watuu ndo Maisha Yanatakiwa hvyo.!
@gracekagoma32312 жыл бұрын
Hongera sana ndugu.Ubarikiwe
@aybkham57952 жыл бұрын
MAA Shaa Allah , umewweza Sana big up , Barack llah
@sashoright82132 жыл бұрын
Mungu akujalie na wngne wafate nyayo zako muwe wengi bongo❤️ nmependa alivyowazia kujenga fance nusu kwasabb ya hewa na ndomana nyumba nying za bongo jotoo Sana tofaut na nchi za wnztu
@kyaro59452 жыл бұрын
Amidu you are legend love
@sumisumi81812 жыл бұрын
Interview zuri mno ila Da zama in shaa Allah msauri anndike kitabu wala mpe wazo hilo in shaa Allah nilifwatilia tangu anapo hanza nyumba zile 6 kutoka North Dakota USA
@aminamfinanga81652 жыл бұрын
Wakati w Mungu n sahihi Sana mpaka machoz ymenitoka,kweli mwanadam anaweza akaona kitu n batili ila Mungu akasema hapana , Hongera Sana Hamidu nipo nyuma yko napenda Sana nyumba tena ktk mazingira y biashara kujenga n kupangisha,Mimi pia n jiran yako w kisangara.
@arafakiloli7492 жыл бұрын
Masha Allah..Allah akuhifadhi
@halimamohammed64102 жыл бұрын
Boss wng Hamidu Allah akufungulie zaid ya hapo .inshaallah
@binaljabirmshihirzanzibar8369
2 жыл бұрын
Ameen ameen kwa uwezo wa Allah
@rukiamwinyihija78492 жыл бұрын
MashaAllahh,mungu aendelee kumbariki ,nasi pia tubarikiwe.Amiin
@ummuqaasim52272 жыл бұрын
Waoooooh maashaallah maashaallah maashaallah
@DorisM2552 жыл бұрын
Kuna kitu kikubwa nimejifunza kutoka kwa Hamidu 📌🙏
@fatumahengo68492 жыл бұрын
Dah maisha haya ukipambana unaweza
@lucasnyerere42952 жыл бұрын
Very inspiring n educative..Big up kwenu
@aishaomary44982 жыл бұрын
Mashaallah tabarakallah we ni mwaume broo
@binaljabirmshihirzanzibar8369
2 жыл бұрын
Mashaallah sana2 Allah amzdishie inshaallah kher
@clementinakalinga80882 жыл бұрын
Hongera bosi wangu,tunakukumbuka sana kwa upendo ulotupa,bila kusahau nauli na cm ulizotupatia za bure ni mabosi wachache wenye moyo huo
@isaacmwaipopo2 жыл бұрын
Mungu mwema. Tujitume na kufanya kazi sana.
@imanmohamed76322 жыл бұрын
MashaAllah TabarakkahAllah
@khadijahali48372 жыл бұрын
Nyumba nzuri mazingira mazuri yanavutia na bei yake pia nzuri
@kitonekantasha16872 жыл бұрын
Sijapenda zama mpaka sasa ivi kweli hutaki kuaachia part 2🙏🙌💛
@tausilifestyle7952 жыл бұрын
Masha Allah 😍😍
@DorisM2552 жыл бұрын
Waiting for part 2 😁
@queenwesthilson60092 жыл бұрын
Wouw nimefurah utadhani ni mim Allah azid kumfanyia wepesi nimejifunza kitu
@yahayaali79702 жыл бұрын
Mashaallah
@shifaaal-baity45032 жыл бұрын
Masha Allah...Hamidu mungu akubariki
@mariambeautysonghuseni95492 жыл бұрын
big up hamidu you have struggled alot
@nayomi64982 жыл бұрын
Waiting for part two
@user-jz8sj5us1h2 жыл бұрын
Masha Allah
@mselimsuya69525 ай бұрын
Great
@aselina58622 жыл бұрын
Timu gulf nyumba hizooo changamkeni🤗
@prettyh75092 жыл бұрын
Mashallah 💕tujengeeni na za mil 30 jamani wengine kipato kidogo
@sashoright8213
2 жыл бұрын
Kabsaaa
@DorisM2552 жыл бұрын
Nyumbani nzuriii jamani 🔥🔥
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
Awesome 🙄nime jifunza no kukataa tamaaa
@binaljabirmshihirzanzibar8369
2 жыл бұрын
Yeah kwenye life bidi na Allah ndio kila k2 kwetu cc binadamu
@selemanimsofe73212 жыл бұрын
Wapare tuko vzr hongera faza
@Emedroadtocanada2 жыл бұрын
Story amizing
@hiroshiomondi12 жыл бұрын
hello, kwanza pongezi kwa kazi nzuri. pili, (niruhusu niongee kwa kingereza) i am a 3D artist and i would like to help in making 3D houses of Hamidu city so that it can be very easy for people to have very nice view of them. i will make them exactly the way they are, the way you will decide either single houses with all the things inside or even the whole city. Asanteni sana kwa kusoma. This applies to all people here, you can even tell me to design your dream house or home. thanks
@koletajeanne8824
2 жыл бұрын
Hi cam decide my house 4 bedroom bath 2/1
@hiroshiomondi1
2 жыл бұрын
@@koletajeanne8824 yes
@TheNdaki
2 жыл бұрын
Share your email plse.
@jazzymkalitv5535
2 жыл бұрын
You should put your contact information in here, just in case someone wants to contact you. Including myself! 🙏🏽❤️
@sashoright8213
2 жыл бұрын
Hongeraa Sanaa Mungu akujalie zaid na usikate tamaa
@jubilatemanase90502 жыл бұрын
Huyo Mkuu wa kituo atakuwa na heri ktk dunia na akhera
@carrenbenson21112 жыл бұрын
Kaka hamidu hongera Sana ndugu yangu magreth w mvungi
@kondoatown87652 жыл бұрын
Kesho ndo naanza rasmi kupika maandazi , Sambusa bado Sana ntachelewa aisee !!
@shifaaal-baity4503
2 жыл бұрын
Mungu akubarikie
@sashoright8213
2 жыл бұрын
Ujaaliwe kwakwel biashara yyte ya msosi ni nzur
@selemanimsofe73212 жыл бұрын
Hapo uliposema mtu anajenga fensi mpaka unazuia nyumba haionekani
@kituhilel.j97472 жыл бұрын
Bigup bro
@itNeza2 жыл бұрын
Wow Hamidu Pongezi nyingi Sana. ❤️
@zawadichalale40472 жыл бұрын
Hata mimi nataka hivyo yaani nataka sana kuwa na re estate yangu na naamini nitafanikiwa tu
@tastedigital2 жыл бұрын
Hiyo part two iko wapi??
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Tunataka part 2 please
@mannabu93332 жыл бұрын
Daah kulipa kidogo kidogo unaweza au?
@emmanueljoseph38152 жыл бұрын
Nimejifunza kitu ktk history yako bro akuna kitu rahisi ishu ni mapambano
natamani vile vile umtafute mtu anaitwa venny, yupo dodoma nae ana project kama hizi za hamidu, nadhani nae ana interesting stories to tell
@raymondmaotela89923 ай бұрын
Naomba contact kuusu kununua nyumba
@selemanimsofe73212 жыл бұрын
walio ishia darasa la 7 wengi waliojituma walifanikiwa sana ndio wameajiri wasomi
@maryamalli9090
2 жыл бұрын
Ndo mipango ya mola hiyo
@josephomuto32402 жыл бұрын
Sio Tanzania pekee. Tunatazama ZamaradiTV tukiwa Kenya pia.
@mariambeautysonghuseni95492 жыл бұрын
l also need ahouse
@bahatihassan54132 жыл бұрын
Party two
@mariambeautysonghuseni95492 жыл бұрын
l want one house
@patrickKitambo2 жыл бұрын
siku moja ntakua na hojiwa hivi alaf ex wangu atakua anaangalia na kujuta nafasi aliyo poteza
@mmn7480
2 жыл бұрын
Ata mm maana apa saiv nagenge na duka la vyakura nais zama ataniita nifanye intvew
@ghoststpatrick9878
2 жыл бұрын
😂😂😂
@sashoright8213
2 жыл бұрын
🤦😂😂😂😂😂
@sashoright8213
2 жыл бұрын
@@mmn7480 😂😂😂😂😂
@sashoright8213
2 жыл бұрын
Tunawasubilia jaman loh mmeniacha hoi
@zaydamchere27712 жыл бұрын
Tunaomba na dodoma jamn
@ummuqaasim52272 жыл бұрын
Tuna omba sehemu ya pili dada Zama maana nimenoga imenoga mpaka imenoga tena
@robertringi64342 жыл бұрын
story ilinoga daaa imenikata stim
@priscillaamossen82492 жыл бұрын
Zipo wapi hizi.?
@RioIpo
2 жыл бұрын
Kigamboni
@tahirnephessalum36782 жыл бұрын
Zama unazingua siku ya tatu hakuna part two?
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
😂😂😂😂💦 Ila watu wana masihara jamani Nyumba milion mia 20 😳😳🙄🙄 MUNGU WANGU ILA ZURI SANA MMOJA AJITOKEZE TUCHANGE TUKANUMUWE BASI Hapo ndo itabidi nikae Omani miaka mingapi sijui 😂💦😂🤔dah maisha aya
@khadijahali4837
2 жыл бұрын
Tuchange tuu
@khadijahali4837
2 жыл бұрын
Kukaa miaka 20
@semenimohamed8156
2 жыл бұрын
Sasa hio ya kuchsnga si Bora ujenge yako mwenyew
@khadijahali4837
2 жыл бұрын
@@semenimohamed8156 kwhy tukijenga zetu wenyw itakuwa Hamidu city
@jamesshao538
2 жыл бұрын
Ucjali upo sehemu.gani Oman ,mm nipo Oman pia
@mariambeautysonghuseni95492 жыл бұрын
zamarad namba simu
@kivurugepub81052 жыл бұрын
Hio part two vip? What the logic of holding it
@JOHNJOHN-pu7wb
2 жыл бұрын
Swali zur
@mmakiluly
2 жыл бұрын
Sasa si uachie hio part two jamani. Yani sisi tunafatilia kazi zako ila wewe hutujali unakua mbinafsi. Zama hatuendi hivyo
@sylviemugeni18872 жыл бұрын
zama Naomba maelezo kwa izi myumba
@abdallahgroupltd2 жыл бұрын
Habari za asubuhi nyumba Hamidu city bado zipo?
@nayomi64982 жыл бұрын
Firstttttt💃
@tausimaulid3122 жыл бұрын
nilikuwa nasubili kwa ham i
@mwanaidimuhindi66712 жыл бұрын
Ilikua naisubiri hii
@allandavid7524 ай бұрын
Anaulizwa swali anasema alijenga watanzania wamuelewe akajenga moja akaona hawatamuelewa...akajenga nyingine...kwahiyo alijenga kwa sababu ya watu?? Aeleze kibunda cha kuanzia😅😅😅😅
@rosemarysulle9288
17 күн бұрын
Yaan hasemi hela katoa wp ila jmn
@pundetv61442 жыл бұрын
Iendelee
@halimahamis16082 жыл бұрын
Hizi nyumba zinauzwa au ni kupangisha tu?
@khadijahali4837
2 жыл бұрын
Zinauzwa
@margrethsalvatory1359
2 жыл бұрын
Zinauzwa
@jamesshao538
2 жыл бұрын
Zinauzwa pia
@sylviemugeni18872 жыл бұрын
Inawezekana kwamutu wa inje? kama watu wanaidhi ulaya?
@eipro_2 жыл бұрын
Tutafuteni pesa
@robertmutai20012 жыл бұрын
mbona wakati unafanya introduction unaanza kwa kuwasalimia watanzania pekee ilhali tuko hata na sisi wakenya mashabiki zako wa kitambo hata wakati ulikua cluods.
@hassanaloobaidan252 жыл бұрын
Muendelezo
@ernestfelix85962 жыл бұрын
Mwanaume uyu
@solangekubota94872 жыл бұрын
Ni ngapi kwa dollars?
@jamesshao538
2 жыл бұрын
Ni karibu dollar elfu 65
@solangekubota9487
2 жыл бұрын
@@jamesshao538 asante ndugu
@dutchsafari75622 жыл бұрын
Hii biashara nyumba imetajirisha matajiri wengi Sana nchi za wenzetu Yani unajenga Kwa gharama ndogo Ila kadiri muda na miaka inavyo enda thamani ya nyumba inazidi kupanda kwasababu maisha yanabadilika na gharama za ujenzi na viwanja zinaongezeka so Jamaa atakuja kuuza Kwa faida maradufu na kuwa billionaire Kwa miaka ya mbeleni kuliko alivyo Sasa Yani hii nikama crypto vile🙌🙌😁
@vickydan2869
2 жыл бұрын
C mpaka sasa anauza hapangishi
@sebmalunde59452 жыл бұрын
Nimewahi fika pale Mikwambe. Sikumwelewa vizuri. Ila Jamaa kweli kadhamiria
Пікірлер: 140
Mashaallaa, mwenyezi mungu akupe ubri na afya njema ili umalize hizo nyumba 1500 na uwongeze nyingine in shaa Allah
Najisikia vizur sana kuona waliofanikiwa wanapoelezea walipo toka iyo inatupa amasa zaid ya kupambana bila kukata tamaa
Allahu Akbar nimependa sana Wazazi wa Hamidu wakiwalazimisha Masomo ya Madrasaa BIG UP kwa Wazaaazi MASHAALLAH 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mashaallah! Hongera zake bwana Hamidu. Yaani Nyumba zipo ktk mpangilio mzuri kupita maelezo. Yaani kama Ulaya vile. Hizi Nyumba zilivyo jengwa, kama za Ulaya tu. Hongera sana kaka. Mungu azidi kukusimamia utimize ndoto yako. 🙏🏽❤️
Da Zama, Allaah akujaalie kheri... Hongera sana bwana Hamidu, Mungu akuzidishie kheri. What an Inspiration!
Asante Sana zamaradi, Asante ndugu Hamidu maisha yako Yana mengi ya kujifunza kwetu siye vijana...tunaomba part two haraka iwezekanavyo
Masha Allah.namuomba Mungu anijahlie nipate pesa nijenge aina hii ya nyumba za kisasa. 🤲🤲🤲
Alama ya sijda usoni maa shaa Allah,Allah akujaalie uendelee kuijenga na akhera yako.
Mashaallah Tabaraka Rahman,
Maash Allah jazakallah kheir Kwa kweli imekusaidia sana elimu ya akhera yaani madras ndio kila kitu Mungu awabariki wazazi wako .
MwenyeziMungu akitaka kukupa hakuletei salamu, alhamdulillah
@fadhilinyengo7853
2 жыл бұрын
Mwenyezi mungu alishapanga kila mtu na chake tangu atujazaliwa ila Sisi wenyewe tunavikataa tukishaingia duniani kutokana na maisha tunayojichagulia
MashaAllah tabarakaAllah kaka Mungu akuzidishie na cc mungu atupe uwezo tuje tununue
@user-jz8sj5us1h
2 жыл бұрын
Insha Allah
@halimahalima1488
Жыл бұрын
inshaaAllah 👏
Nice interview dada Zama. Kindly consider kuendelea kupunguza mwangwi studio. Bado kuna echo kwenye videos. Blessings
nzuri sana na bei ni nzuri sana hii ndio maana ya uwekezaji sasa..
Mashallah hongera sana hamidu mashallah
Mambo Ya Ulaya hayooo Mpaka Bongo Wajekuzoeaa Ila Father Katishaa Sasa Kwa Sisi Turiopata Baati Ya Kusafiri Nchi za Watuu ndo Maisha Yanatakiwa hvyo.!
Hongera sana ndugu.Ubarikiwe
MAA Shaa Allah , umewweza Sana big up , Barack llah
Mungu akujalie na wngne wafate nyayo zako muwe wengi bongo❤️ nmependa alivyowazia kujenga fance nusu kwasabb ya hewa na ndomana nyumba nying za bongo jotoo Sana tofaut na nchi za wnztu
Amidu you are legend love
Interview zuri mno ila Da zama in shaa Allah msauri anndike kitabu wala mpe wazo hilo in shaa Allah nilifwatilia tangu anapo hanza nyumba zile 6 kutoka North Dakota USA
Wakati w Mungu n sahihi Sana mpaka machoz ymenitoka,kweli mwanadam anaweza akaona kitu n batili ila Mungu akasema hapana , Hongera Sana Hamidu nipo nyuma yko napenda Sana nyumba tena ktk mazingira y biashara kujenga n kupangisha,Mimi pia n jiran yako w kisangara.
Masha Allah..Allah akuhifadhi
Boss wng Hamidu Allah akufungulie zaid ya hapo .inshaallah
@binaljabirmshihirzanzibar8369
2 жыл бұрын
Ameen ameen kwa uwezo wa Allah
MashaAllahh,mungu aendelee kumbariki ,nasi pia tubarikiwe.Amiin
Waoooooh maashaallah maashaallah maashaallah
Kuna kitu kikubwa nimejifunza kutoka kwa Hamidu 📌🙏
Dah maisha haya ukipambana unaweza
Very inspiring n educative..Big up kwenu
Mashaallah tabarakallah we ni mwaume broo
@binaljabirmshihirzanzibar8369
2 жыл бұрын
Mashaallah sana2 Allah amzdishie inshaallah kher
Hongera bosi wangu,tunakukumbuka sana kwa upendo ulotupa,bila kusahau nauli na cm ulizotupatia za bure ni mabosi wachache wenye moyo huo
Mungu mwema. Tujitume na kufanya kazi sana.
MashaAllah TabarakkahAllah
Nyumba nzuri mazingira mazuri yanavutia na bei yake pia nzuri
Sijapenda zama mpaka sasa ivi kweli hutaki kuaachia part 2🙏🙌💛
Masha Allah 😍😍
Waiting for part 2 😁
Wouw nimefurah utadhani ni mim Allah azid kumfanyia wepesi nimejifunza kitu
Mashaallah
Masha Allah...Hamidu mungu akubariki
big up hamidu you have struggled alot
Waiting for part two
Masha Allah
Great
Timu gulf nyumba hizooo changamkeni🤗
Mashallah 💕tujengeeni na za mil 30 jamani wengine kipato kidogo
@sashoright8213
2 жыл бұрын
Kabsaaa
Nyumbani nzuriii jamani 🔥🔥
Awesome 🙄nime jifunza no kukataa tamaaa
@binaljabirmshihirzanzibar8369
2 жыл бұрын
Yeah kwenye life bidi na Allah ndio kila k2 kwetu cc binadamu
Wapare tuko vzr hongera faza
Story amizing
hello, kwanza pongezi kwa kazi nzuri. pili, (niruhusu niongee kwa kingereza) i am a 3D artist and i would like to help in making 3D houses of Hamidu city so that it can be very easy for people to have very nice view of them. i will make them exactly the way they are, the way you will decide either single houses with all the things inside or even the whole city. Asanteni sana kwa kusoma. This applies to all people here, you can even tell me to design your dream house or home. thanks
@koletajeanne8824
2 жыл бұрын
Hi cam decide my house 4 bedroom bath 2/1
@hiroshiomondi1
2 жыл бұрын
@@koletajeanne8824 yes
@TheNdaki
2 жыл бұрын
Share your email plse.
@jazzymkalitv5535
2 жыл бұрын
You should put your contact information in here, just in case someone wants to contact you. Including myself! 🙏🏽❤️
@sashoright8213
2 жыл бұрын
Hongeraa Sanaa Mungu akujalie zaid na usikate tamaa
Huyo Mkuu wa kituo atakuwa na heri ktk dunia na akhera
Kaka hamidu hongera Sana ndugu yangu magreth w mvungi
Kesho ndo naanza rasmi kupika maandazi , Sambusa bado Sana ntachelewa aisee !!
@shifaaal-baity4503
2 жыл бұрын
Mungu akubarikie
@sashoright8213
2 жыл бұрын
Ujaaliwe kwakwel biashara yyte ya msosi ni nzur
Hapo uliposema mtu anajenga fensi mpaka unazuia nyumba haionekani
Bigup bro
Wow Hamidu Pongezi nyingi Sana. ❤️
Hata mimi nataka hivyo yaani nataka sana kuwa na re estate yangu na naamini nitafanikiwa tu
Hiyo part two iko wapi??
Tunataka part 2 please
Daah kulipa kidogo kidogo unaweza au?
Nimejifunza kitu ktk history yako bro akuna kitu rahisi ishu ni mapambano
💡💡💡💡💡💡
💕❤❤❤
Tunaomba utufungulie njia, Sis ni majirani wako. Zama naomba ufikishe kilio chetu.
Tunaomba amalizie historia yake
natamani vile vile umtafute mtu anaitwa venny, yupo dodoma nae ana project kama hizi za hamidu, nadhani nae ana interesting stories to tell
Naomba contact kuusu kununua nyumba
walio ishia darasa la 7 wengi waliojituma walifanikiwa sana ndio wameajiri wasomi
@maryamalli9090
2 жыл бұрын
Ndo mipango ya mola hiyo
Sio Tanzania pekee. Tunatazama ZamaradiTV tukiwa Kenya pia.
l also need ahouse
Party two
l want one house
siku moja ntakua na hojiwa hivi alaf ex wangu atakua anaangalia na kujuta nafasi aliyo poteza
@mmn7480
2 жыл бұрын
Ata mm maana apa saiv nagenge na duka la vyakura nais zama ataniita nifanye intvew
@ghoststpatrick9878
2 жыл бұрын
😂😂😂
@sashoright8213
2 жыл бұрын
🤦😂😂😂😂😂
@sashoright8213
2 жыл бұрын
@@mmn7480 😂😂😂😂😂
@sashoright8213
2 жыл бұрын
Tunawasubilia jaman loh mmeniacha hoi
Tunaomba na dodoma jamn
Tuna omba sehemu ya pili dada Zama maana nimenoga imenoga mpaka imenoga tena
story ilinoga daaa imenikata stim
Zipo wapi hizi.?
@RioIpo
2 жыл бұрын
Kigamboni
Zama unazingua siku ya tatu hakuna part two?
😂😂😂😂💦 Ila watu wana masihara jamani Nyumba milion mia 20 😳😳🙄🙄 MUNGU WANGU ILA ZURI SANA MMOJA AJITOKEZE TUCHANGE TUKANUMUWE BASI Hapo ndo itabidi nikae Omani miaka mingapi sijui 😂💦😂🤔dah maisha aya
@khadijahali4837
2 жыл бұрын
Tuchange tuu
@khadijahali4837
2 жыл бұрын
Kukaa miaka 20
@semenimohamed8156
2 жыл бұрын
Sasa hio ya kuchsnga si Bora ujenge yako mwenyew
@khadijahali4837
2 жыл бұрын
@@semenimohamed8156 kwhy tukijenga zetu wenyw itakuwa Hamidu city
@jamesshao538
2 жыл бұрын
Ucjali upo sehemu.gani Oman ,mm nipo Oman pia
zamarad namba simu
Hio part two vip? What the logic of holding it
@JOHNJOHN-pu7wb
2 жыл бұрын
Swali zur
@mmakiluly
2 жыл бұрын
Sasa si uachie hio part two jamani. Yani sisi tunafatilia kazi zako ila wewe hutujali unakua mbinafsi. Zama hatuendi hivyo
zama Naomba maelezo kwa izi myumba
Habari za asubuhi nyumba Hamidu city bado zipo?
Firstttttt💃
nilikuwa nasubili kwa ham i
Ilikua naisubiri hii
Anaulizwa swali anasema alijenga watanzania wamuelewe akajenga moja akaona hawatamuelewa...akajenga nyingine...kwahiyo alijenga kwa sababu ya watu?? Aeleze kibunda cha kuanzia😅😅😅😅
@rosemarysulle9288
17 күн бұрын
Yaan hasemi hela katoa wp ila jmn
Iendelee
Hizi nyumba zinauzwa au ni kupangisha tu?
@khadijahali4837
2 жыл бұрын
Zinauzwa
@margrethsalvatory1359
2 жыл бұрын
Zinauzwa
@jamesshao538
2 жыл бұрын
Zinauzwa pia
Inawezekana kwamutu wa inje? kama watu wanaidhi ulaya?
Tutafuteni pesa
mbona wakati unafanya introduction unaanza kwa kuwasalimia watanzania pekee ilhali tuko hata na sisi wakenya mashabiki zako wa kitambo hata wakati ulikua cluods.
Muendelezo
Mwanaume uyu
Ni ngapi kwa dollars?
@jamesshao538
2 жыл бұрын
Ni karibu dollar elfu 65
@solangekubota9487
2 жыл бұрын
@@jamesshao538 asante ndugu
Hii biashara nyumba imetajirisha matajiri wengi Sana nchi za wenzetu Yani unajenga Kwa gharama ndogo Ila kadiri muda na miaka inavyo enda thamani ya nyumba inazidi kupanda kwasababu maisha yanabadilika na gharama za ujenzi na viwanja zinaongezeka so Jamaa atakuja kuuza Kwa faida maradufu na kuwa billionaire Kwa miaka ya mbeleni kuliko alivyo Sasa Yani hii nikama crypto vile🙌🙌😁
@vickydan2869
2 жыл бұрын
C mpaka sasa anauza hapangishi
Nimewahi fika pale Mikwambe. Sikumwelewa vizuri. Ila Jamaa kweli kadhamiria
Mashaallah