SIKILIZA HISTORIA YA HAMIDU: BILIONEA ANAEMILIKI NYUMBA ZAIDI YA 120 ALIEANZA KWA KUPIKA MAANDAZI

Ойын-сауық

HUYU NI MTANZANIA WA KAWAIDA AMBAE PLAN YAKE NI KUWA NA NYUMBA 2000/ UTAPATA NAFASI YA KUONA NYUMBA HIZO ZILIZO KATIKA AINA TOFAUTI

Пікірлер: 140

  • @abdulrahmanhassan9254
    @abdulrahmanhassan92542 жыл бұрын

    Mashaallaa, mwenyezi mungu akupe ubri na afya njema ili umalize hizo nyumba 1500 na uwongeze nyingine in shaa Allah

  • @danielkamili7093
    @danielkamili70932 жыл бұрын

    Najisikia vizur sana kuona waliofanikiwa wanapoelezea walipo toka iyo inatupa amasa zaid ya kupambana bila kukata tamaa

  • @khamisshee5131
    @khamisshee51312 жыл бұрын

    Allahu Akbar nimependa sana Wazazi wa Hamidu wakiwalazimisha Masomo ya Madrasaa BIG UP kwa Wazaaazi MASHAALLAH 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @jazzymkalitv5535
    @jazzymkalitv55352 жыл бұрын

    Mashaallah! Hongera zake bwana Hamidu. Yaani Nyumba zipo ktk mpangilio mzuri kupita maelezo. Yaani kama Ulaya vile. Hizi Nyumba zilivyo jengwa, kama za Ulaya tu. Hongera sana kaka. Mungu azidi kukusimamia utimize ndoto yako. 🙏🏽❤️

  • @raheemaal-hady9328
    @raheemaal-hady93282 жыл бұрын

    Da Zama, Allaah akujaalie kheri... Hongera sana bwana Hamidu, Mungu akuzidishie kheri. What an Inspiration!

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum36782 жыл бұрын

    Asante Sana zamaradi, Asante ndugu Hamidu maisha yako Yana mengi ya kujifunza kwetu siye vijana...tunaomba part two haraka iwezekanavyo

  • @thumnathumna5946
    @thumnathumna59462 жыл бұрын

    Masha Allah.namuomba Mungu anijahlie nipate pesa nijenge aina hii ya nyumba za kisasa. 🤲🤲🤲

  • @ahmadbadawi9664
    @ahmadbadawi96642 жыл бұрын

    Alama ya sijda usoni maa shaa Allah,Allah akujaalie uendelee kuijenga na akhera yako.

  • @mozasaid3869
    @mozasaid38692 жыл бұрын

    Mashaallah Tabaraka Rahman,

  • @fatumatandika5849
    @fatumatandika58492 жыл бұрын

    Maash Allah jazakallah kheir Kwa kweli imekusaidia sana elimu ya akhera yaani madras ndio kila kitu Mungu awabariki wazazi wako .

  • @ummunuzhat9519
    @ummunuzhat95192 жыл бұрын

    MwenyeziMungu akitaka kukupa hakuletei salamu, alhamdulillah

  • @fadhilinyengo7853

    @fadhilinyengo7853

    2 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu alishapanga kila mtu na chake tangu atujazaliwa ila Sisi wenyewe tunavikataa tukishaingia duniani kutokana na maisha tunayojichagulia

  • @ummunuzhat9519
    @ummunuzhat95192 жыл бұрын

    MashaAllah tabarakaAllah kaka Mungu akuzidishie na cc mungu atupe uwezo tuje tununue

  • @user-jz8sj5us1h

    @user-jz8sj5us1h

    2 жыл бұрын

    Insha Allah

  • @halimahalima1488

    @halimahalima1488

    Жыл бұрын

    inshaaAllah 👏

  • @innocentkimisha4993
    @innocentkimisha49932 жыл бұрын

    Nice interview dada Zama. Kindly consider kuendelea kupunguza mwangwi studio. Bado kuna echo kwenye videos. Blessings

  • @babafemie4576
    @babafemie45762 жыл бұрын

    nzuri sana na bei ni nzuri sana hii ndio maana ya uwekezaji sasa..

  • @HalimaHalima-id2cb
    @HalimaHalima-id2cb2 жыл бұрын

    Mashallah hongera sana hamidu mashallah

  • @kambikashama4619
    @kambikashama46192 жыл бұрын

    Mambo Ya Ulaya hayooo Mpaka Bongo Wajekuzoeaa Ila Father Katishaa Sasa Kwa Sisi Turiopata Baati Ya Kusafiri Nchi za Watuu ndo Maisha Yanatakiwa hvyo.!

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma32312 жыл бұрын

    Hongera sana ndugu.Ubarikiwe

  • @aybkham5795
    @aybkham57952 жыл бұрын

    MAA Shaa Allah , umewweza Sana big up , Barack llah

  • @sashoright8213
    @sashoright82132 жыл бұрын

    Mungu akujalie na wngne wafate nyayo zako muwe wengi bongo❤️ nmependa alivyowazia kujenga fance nusu kwasabb ya hewa na ndomana nyumba nying za bongo jotoo Sana tofaut na nchi za wnztu

  • @kyaro5945
    @kyaro59452 жыл бұрын

    Amidu you are legend love

  • @sumisumi8181
    @sumisumi81812 жыл бұрын

    Interview zuri mno ila Da zama in shaa Allah msauri anndike kitabu wala mpe wazo hilo in shaa Allah nilifwatilia tangu anapo hanza nyumba zile 6 kutoka North Dakota USA

  • @aminamfinanga8165
    @aminamfinanga81652 жыл бұрын

    Wakati w Mungu n sahihi Sana mpaka machoz ymenitoka,kweli mwanadam anaweza akaona kitu n batili ila Mungu akasema hapana , Hongera Sana Hamidu nipo nyuma yko napenda Sana nyumba tena ktk mazingira y biashara kujenga n kupangisha,Mimi pia n jiran yako w kisangara.

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli7492 жыл бұрын

    Masha Allah..Allah akuhifadhi

  • @halimamohammed6410
    @halimamohammed64102 жыл бұрын

    Boss wng Hamidu Allah akufungulie zaid ya hapo .inshaallah

  • @binaljabirmshihirzanzibar8369

    @binaljabirmshihirzanzibar8369

    2 жыл бұрын

    Ameen ameen kwa uwezo wa Allah

  • @rukiamwinyihija7849
    @rukiamwinyihija78492 жыл бұрын

    MashaAllahh,mungu aendelee kumbariki ,nasi pia tubarikiwe.Amiin

  • @ummuqaasim5227
    @ummuqaasim52272 жыл бұрын

    Waoooooh maashaallah maashaallah maashaallah

  • @DorisM255
    @DorisM2552 жыл бұрын

    Kuna kitu kikubwa nimejifunza kutoka kwa Hamidu 📌🙏

  • @fatumahengo6849
    @fatumahengo68492 жыл бұрын

    Dah maisha haya ukipambana unaweza

  • @lucasnyerere4295
    @lucasnyerere42952 жыл бұрын

    Very inspiring n educative..Big up kwenu

  • @aishaomary4498
    @aishaomary44982 жыл бұрын

    Mashaallah tabarakallah we ni mwaume broo

  • @binaljabirmshihirzanzibar8369

    @binaljabirmshihirzanzibar8369

    2 жыл бұрын

    Mashaallah sana2 Allah amzdishie inshaallah kher

  • @clementinakalinga8088
    @clementinakalinga80882 жыл бұрын

    Hongera bosi wangu,tunakukumbuka sana kwa upendo ulotupa,bila kusahau nauli na cm ulizotupatia za bure ni mabosi wachache wenye moyo huo

  • @isaacmwaipopo
    @isaacmwaipopo2 жыл бұрын

    Mungu mwema. Tujitume na kufanya kazi sana.

  • @imanmohamed7632
    @imanmohamed76322 жыл бұрын

    MashaAllah TabarakkahAllah

  • @khadijahali4837
    @khadijahali48372 жыл бұрын

    Nyumba nzuri mazingira mazuri yanavutia na bei yake pia nzuri

  • @kitonekantasha1687
    @kitonekantasha16872 жыл бұрын

    Sijapenda zama mpaka sasa ivi kweli hutaki kuaachia part 2🙏🙌💛

  • @tausilifestyle795
    @tausilifestyle7952 жыл бұрын

    Masha Allah 😍😍

  • @DorisM255
    @DorisM2552 жыл бұрын

    Waiting for part 2 😁

  • @queenwesthilson6009
    @queenwesthilson60092 жыл бұрын

    Wouw nimefurah utadhani ni mim Allah azid kumfanyia wepesi nimejifunza kitu

  • @yahayaali7970
    @yahayaali79702 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity45032 жыл бұрын

    Masha Allah...Hamidu mungu akubariki

  • @mariambeautysonghuseni9549
    @mariambeautysonghuseni95492 жыл бұрын

    big up hamidu you have struggled alot

  • @nayomi6498
    @nayomi64982 жыл бұрын

    Waiting for part two

  • @user-jz8sj5us1h
    @user-jz8sj5us1h2 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @mselimsuya6952
    @mselimsuya69525 ай бұрын

    Great

  • @aselina5862
    @aselina58622 жыл бұрын

    Timu gulf nyumba hizooo changamkeni🤗

  • @prettyh7509
    @prettyh75092 жыл бұрын

    Mashallah 💕tujengeeni na za mil 30 jamani wengine kipato kidogo

  • @sashoright8213

    @sashoright8213

    2 жыл бұрын

    Kabsaaa

  • @DorisM255
    @DorisM2552 жыл бұрын

    Nyumbani nzuriii jamani 🔥🔥

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum72792 жыл бұрын

    Awesome 🙄nime jifunza no kukataa tamaaa

  • @binaljabirmshihirzanzibar8369

    @binaljabirmshihirzanzibar8369

    2 жыл бұрын

    Yeah kwenye life bidi na Allah ndio kila k2 kwetu cc binadamu

  • @selemanimsofe7321
    @selemanimsofe73212 жыл бұрын

    Wapare tuko vzr hongera faza

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada2 жыл бұрын

    Story amizing

  • @hiroshiomondi1
    @hiroshiomondi12 жыл бұрын

    hello, kwanza pongezi kwa kazi nzuri. pili, (niruhusu niongee kwa kingereza) i am a 3D artist and i would like to help in making 3D houses of Hamidu city so that it can be very easy for people to have very nice view of them. i will make them exactly the way they are, the way you will decide either single houses with all the things inside or even the whole city. Asanteni sana kwa kusoma. This applies to all people here, you can even tell me to design your dream house or home. thanks

  • @koletajeanne8824

    @koletajeanne8824

    2 жыл бұрын

    Hi cam decide my house 4 bedroom bath 2/1

  • @hiroshiomondi1

    @hiroshiomondi1

    2 жыл бұрын

    @@koletajeanne8824 yes

  • @TheNdaki

    @TheNdaki

    2 жыл бұрын

    Share your email plse.

  • @jazzymkalitv5535

    @jazzymkalitv5535

    2 жыл бұрын

    You should put your contact information in here, just in case someone wants to contact you. Including myself! 🙏🏽❤️

  • @sashoright8213

    @sashoright8213

    2 жыл бұрын

    Hongeraa Sanaa Mungu akujalie zaid na usikate tamaa

  • @jubilatemanase9050
    @jubilatemanase90502 жыл бұрын

    Huyo Mkuu wa kituo atakuwa na heri ktk dunia na akhera

  • @carrenbenson2111
    @carrenbenson21112 жыл бұрын

    Kaka hamidu hongera Sana ndugu yangu magreth w mvungi

  • @kondoatown8765
    @kondoatown87652 жыл бұрын

    Kesho ndo naanza rasmi kupika maandazi , Sambusa bado Sana ntachelewa aisee !!

  • @shifaaal-baity4503

    @shifaaal-baity4503

    2 жыл бұрын

    Mungu akubarikie

  • @sashoright8213

    @sashoright8213

    2 жыл бұрын

    Ujaaliwe kwakwel biashara yyte ya msosi ni nzur

  • @selemanimsofe7321
    @selemanimsofe73212 жыл бұрын

    Hapo uliposema mtu anajenga fensi mpaka unazuia nyumba haionekani

  • @kituhilel.j9747
    @kituhilel.j97472 жыл бұрын

    Bigup bro

  • @itNeza
    @itNeza2 жыл бұрын

    Wow Hamidu Pongezi nyingi Sana. ❤️

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale40472 жыл бұрын

    Hata mimi nataka hivyo yaani nataka sana kuwa na re estate yangu na naamini nitafanikiwa tu

  • @tastedigital
    @tastedigital2 жыл бұрын

    Hiyo part two iko wapi??

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Tunataka part 2 please

  • @mannabu9333
    @mannabu93332 жыл бұрын

    Daah kulipa kidogo kidogo unaweza au?

  • @emmanueljoseph3815
    @emmanueljoseph38152 жыл бұрын

    Nimejifunza kitu ktk history yako bro akuna kitu rahisi ishu ni mapambano

  • @chichi-gp4ss
    @chichi-gp4ss2 жыл бұрын

    💡💡💡💡💡💡

  • @nasmamambi9082
    @nasmamambi9082 Жыл бұрын

    💕❤❤❤

  • @rukiachamani1101
    @rukiachamani11012 жыл бұрын

    Tunaomba utufungulie njia, Sis ni majirani wako. Zama naomba ufikishe kilio chetu.

  • @mochepa9191
    @mochepa91912 жыл бұрын

    Tunaomba amalizie historia yake

  • @nicholassimon3054
    @nicholassimon30544 ай бұрын

    natamani vile vile umtafute mtu anaitwa venny, yupo dodoma nae ana project kama hizi za hamidu, nadhani nae ana interesting stories to tell

  • @raymondmaotela8992
    @raymondmaotela89923 ай бұрын

    Naomba contact kuusu kununua nyumba

  • @selemanimsofe7321
    @selemanimsofe73212 жыл бұрын

    walio ishia darasa la 7 wengi waliojituma walifanikiwa sana ndio wameajiri wasomi

  • @maryamalli9090

    @maryamalli9090

    2 жыл бұрын

    Ndo mipango ya mola hiyo

  • @josephomuto3240
    @josephomuto32402 жыл бұрын

    Sio Tanzania pekee. Tunatazama ZamaradiTV tukiwa Kenya pia.

  • @mariambeautysonghuseni9549
    @mariambeautysonghuseni95492 жыл бұрын

    l also need ahouse

  • @bahatihassan5413
    @bahatihassan54132 жыл бұрын

    Party two

  • @mariambeautysonghuseni9549
    @mariambeautysonghuseni95492 жыл бұрын

    l want one house

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo2 жыл бұрын

    siku moja ntakua na hojiwa hivi alaf ex wangu atakua anaangalia na kujuta nafasi aliyo poteza

  • @mmn7480

    @mmn7480

    2 жыл бұрын

    Ata mm maana apa saiv nagenge na duka la vyakura nais zama ataniita nifanye intvew

  • @ghoststpatrick9878

    @ghoststpatrick9878

    2 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @sashoright8213

    @sashoright8213

    2 жыл бұрын

    🤦😂😂😂😂😂

  • @sashoright8213

    @sashoright8213

    2 жыл бұрын

    @@mmn7480 😂😂😂😂😂

  • @sashoright8213

    @sashoright8213

    2 жыл бұрын

    Tunawasubilia jaman loh mmeniacha hoi

  • @zaydamchere2771
    @zaydamchere27712 жыл бұрын

    Tunaomba na dodoma jamn

  • @ummuqaasim5227
    @ummuqaasim52272 жыл бұрын

    Tuna omba sehemu ya pili dada Zama maana nimenoga imenoga mpaka imenoga tena

  • @robertringi6434
    @robertringi64342 жыл бұрын

    story ilinoga daaa imenikata stim

  • @priscillaamossen8249
    @priscillaamossen82492 жыл бұрын

    Zipo wapi hizi.?

  • @RioIpo

    @RioIpo

    2 жыл бұрын

    Kigamboni

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum36782 жыл бұрын

    Zama unazingua siku ya tatu hakuna part two?

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum72792 жыл бұрын

    😂😂😂😂💦 Ila watu wana masihara jamani Nyumba milion mia 20 😳😳🙄🙄 MUNGU WANGU ILA ZURI SANA MMOJA AJITOKEZE TUCHANGE TUKANUMUWE BASI Hapo ndo itabidi nikae Omani miaka mingapi sijui 😂💦😂🤔dah maisha aya

  • @khadijahali4837

    @khadijahali4837

    2 жыл бұрын

    Tuchange tuu

  • @khadijahali4837

    @khadijahali4837

    2 жыл бұрын

    Kukaa miaka 20

  • @semenimohamed8156

    @semenimohamed8156

    2 жыл бұрын

    Sasa hio ya kuchsnga si Bora ujenge yako mwenyew

  • @khadijahali4837

    @khadijahali4837

    2 жыл бұрын

    @@semenimohamed8156 kwhy tukijenga zetu wenyw itakuwa Hamidu city

  • @jamesshao538

    @jamesshao538

    2 жыл бұрын

    Ucjali upo sehemu.gani Oman ,mm nipo Oman pia

  • @mariambeautysonghuseni9549
    @mariambeautysonghuseni95492 жыл бұрын

    zamarad namba simu

  • @kivurugepub8105
    @kivurugepub81052 жыл бұрын

    Hio part two vip? What the logic of holding it

  • @JOHNJOHN-pu7wb

    @JOHNJOHN-pu7wb

    2 жыл бұрын

    Swali zur

  • @mmakiluly

    @mmakiluly

    2 жыл бұрын

    Sasa si uachie hio part two jamani. Yani sisi tunafatilia kazi zako ila wewe hutujali unakua mbinafsi. Zama hatuendi hivyo

  • @sylviemugeni1887
    @sylviemugeni18872 жыл бұрын

    zama Naomba maelezo kwa izi myumba

  • @abdallahgroupltd
    @abdallahgroupltd2 жыл бұрын

    Habari za asubuhi nyumba Hamidu city bado zipo?

  • @nayomi6498
    @nayomi64982 жыл бұрын

    Firstttttt💃

  • @tausimaulid312
    @tausimaulid3122 жыл бұрын

    nilikuwa nasubili kwa ham i

  • @mwanaidimuhindi6671
    @mwanaidimuhindi66712 жыл бұрын

    Ilikua naisubiri hii

  • @allandavid752
    @allandavid7524 ай бұрын

    Anaulizwa swali anasema alijenga watanzania wamuelewe akajenga moja akaona hawatamuelewa...akajenga nyingine...kwahiyo alijenga kwa sababu ya watu?? Aeleze kibunda cha kuanzia😅😅😅😅

  • @rosemarysulle9288

    @rosemarysulle9288

    17 күн бұрын

    Yaan hasemi hela katoa wp ila jmn

  • @pundetv6144
    @pundetv61442 жыл бұрын

    Iendelee

  • @halimahamis1608
    @halimahamis16082 жыл бұрын

    Hizi nyumba zinauzwa au ni kupangisha tu?

  • @khadijahali4837

    @khadijahali4837

    2 жыл бұрын

    Zinauzwa

  • @margrethsalvatory1359

    @margrethsalvatory1359

    2 жыл бұрын

    Zinauzwa

  • @jamesshao538

    @jamesshao538

    2 жыл бұрын

    Zinauzwa pia

  • @sylviemugeni1887
    @sylviemugeni18872 жыл бұрын

    Inawezekana kwamutu wa inje? kama watu wanaidhi ulaya?

  • @eipro_
    @eipro_2 жыл бұрын

    Tutafuteni pesa

  • @robertmutai2001
    @robertmutai20012 жыл бұрын

    mbona wakati unafanya introduction unaanza kwa kuwasalimia watanzania pekee ilhali tuko hata na sisi wakenya mashabiki zako wa kitambo hata wakati ulikua cluods.

  • @hassanaloobaidan25
    @hassanaloobaidan252 жыл бұрын

    Muendelezo

  • @ernestfelix8596
    @ernestfelix85962 жыл бұрын

    Mwanaume uyu

  • @solangekubota9487
    @solangekubota94872 жыл бұрын

    Ni ngapi kwa dollars?

  • @jamesshao538

    @jamesshao538

    2 жыл бұрын

    Ni karibu dollar elfu 65

  • @solangekubota9487

    @solangekubota9487

    2 жыл бұрын

    @@jamesshao538 asante ndugu

  • @dutchsafari7562
    @dutchsafari75622 жыл бұрын

    Hii biashara nyumba imetajirisha matajiri wengi Sana nchi za wenzetu Yani unajenga Kwa gharama ndogo Ila kadiri muda na miaka inavyo enda thamani ya nyumba inazidi kupanda kwasababu maisha yanabadilika na gharama za ujenzi na viwanja zinaongezeka so Jamaa atakuja kuuza Kwa faida maradufu na kuwa billionaire Kwa miaka ya mbeleni kuliko alivyo Sasa Yani hii nikama crypto vile🙌🙌😁

  • @vickydan2869

    @vickydan2869

    2 жыл бұрын

    C mpaka sasa anauza hapangishi

  • @sebmalunde5945
    @sebmalunde59452 жыл бұрын

    Nimewahi fika pale Mikwambe. Sikumwelewa vizuri. Ila Jamaa kweli kadhamiria

  • @user-it5wz6je5y
    @user-it5wz6je5y2 жыл бұрын

    Mashaallah

Келесі