KAULI TATA YA KIJANA ALIYECHOMA PICHA YA RAIS SAMIA BAADA YA AACHIWA HURU
Жүктеу.....
Пікірлер: 352
@rukiaiddyyahaya950611 күн бұрын
Sasa fain iyo kalipwa samia au nani 😢😢😢 picha tuu milion 5 shikamoo tanzania
@talibsaid8096
9 күн бұрын
Sheria ni sheria tu ingekuwa we we Mzee wako katukwanwa na mtu bila sababu ungesikiaje pia maisha magumu lakini kila usiku mko bar hamtaki kujishughulisha watanzania wacheni kuchezea amani waangalieni kenya ilivyo vurugu la muda mfupi lakini litawarudisha miaka kadhaa nyuma na Jawa mawakili hawana la kufanya
@rukiaiddyyahaya9506
9 күн бұрын
@@talibsaid8096 tusi gani alio tukanwa pengine kachora vibaya picha kaamua kuunguza,, kusema wa tanzania hatu ji shughulishi unatulidha weye,, ukome labda wewe una maisha magumu mwenzio nishajenga na maisha yangu tuu
@user-wi8og3sv4j
6 күн бұрын
Kwahio wakenya wote wameshindwa baa?
@user-wi8og3sv4j
6 күн бұрын
Alitukana tusi gani
@rukiaiddyyahaya9506
6 күн бұрын
@@user-wi8og3sv4j hapo sasa ana njaa huyu mkenya
@iddidandodando606311 күн бұрын
Safi Sana mliosimamia kuhakikisha chaula yupo huru,Hali ya maisha ni mbaya Sana.
@batashqiraa993611 күн бұрын
Kuna mijitu ipo serikalini mijizi ya pesa za umma lkn hawakamatwi wala hawashtakiwi, huyu mnyonge amechana picha tu na kusema ukweli kuwa maisha magumu amefungwa, yaani nyinyi mahakimu mtakwenda kujibu mbele ya Mwenyezi Mungu kwa kuwaonea wanyonge
@RechoMzava-gt7so
10 күн бұрын
Kabisaaa na watahukumiwa kama wanavohukumu wenzao
@user-wi8og3sv4j
6 күн бұрын
Anaetukana na mlarushwa nani mwenye madhara zaidi?
@SKY-fk3fz
4 күн бұрын
TRA ni moja ya wahalifu
@Amirimwashembe7 күн бұрын
P1 na koment zte nzur za kumpongeza kijana au kuwapongeza waliomsaidia ila mm namuombea dua ya maisha yke usalama wake kua Allah amhifadh aise
@user-lu8ny2gu7t11 күн бұрын
Wacheni ujinga kwani amechoma picha ya Mungu mnaacha kushughulika na mambo ya maana kuna mijizi huko serikalini mbona hamuishitaki
@KhadijakassimMwaipaya
9 күн бұрын
Iyo pesa ingeenda mojakwa Moja kusidia wananchi
@KASSIMMHILU-oh5ch
7 күн бұрын
Yani 😀😀 MIMI ndio mana Adi umeme nimeweka wangu tu mana serikali Hamna kitu
@dulaabdallarashid10 күн бұрын
Kenya twachoma hadi bunge na hafungwi mtu nyie picha tu raisi amepanik
@denicegaspar9479
8 күн бұрын
😂😂😂😂
@RahimaMct-ik8mr
7 күн бұрын
Yupo sahih ndoman wamemchangia😅😅
@johnbidya119
7 күн бұрын
Democracy zero..
@NuruJuma-zv3yz
6 күн бұрын
Kenya hamjafungwa bali mliuwawa😊kufungwa na kuwawa vipi hapo
Huu ni ujumbe mwenye akili na aelewe watu wanaumia maisha magumu
@FatimaAli-of4gh
11 күн бұрын
Ni kweli yy kasema kweli maisha magumu shida ni ipi hata huku ulaya maisha magumu juzi tumepiga kura tumechagua kiongozi mwengine muhindi tumempiga na chini juu maisha magumu 😢
@CeciliaShauri-vc7up9 күн бұрын
Kweli maisha ni magumu mno. Kuna baadhi wanakimbiwa na waume zao, mama wanabaki na watoto kwa mateso makubwa. Mungu tusaidie hatujui kesho yetu.
@PhilipoMwita-b2x11 күн бұрын
Kuna wezi wa CAG mnawaacha mnaenda kufunga mtoto
@elimuvisioncenter
10 күн бұрын
😂😂😂 mtoto😅
@user-eu6ql9zl7n
5 күн бұрын
😅
@pyerinajilatu28847 күн бұрын
Mbarikiwe sana mnaojitoa kusaidia watu Kwa moyo wa upendo Atawalipa Mungu
@floraflora571710 күн бұрын
Uyo kwaza. Sio raisa alipigiwa kura lini uchanguzi ulifanyika lini mimi naamini tuu tazania akuna rais rais alikufa atujachagua bado
@jumahamadomar9124
9 күн бұрын
Kwa muujibu wa katiba ya Tanzania anapokufa raisi makamu wa raisi anachukuwa uraisi bila kupiga kura nyengine, kwani kawaida ya kura Tanzania mgombea wa urais na makamu wake wanachaguliwa pamoja kwa iyo ukisema hukumpigia kura unajidanganya,INSHA ALLAH mitano tena hata kwa shari maana kinachowauma ni asili ya huyo mama si jengine lolote wala hamukutarajia kuona raisi kutoka zanzibar lakini Mungu mkubwa ameficha tusivyovijuwa,kitawauma sanaaaaa na bado
@mariakabonga2
9 күн бұрын
😂😂😂😂 yaani uko sawa kabisa
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv
9 күн бұрын
We ni mijnga sana hatakama ujui kusoma hata picha huni@@jumahamadomar9124
@emanuelnisetas7510
8 күн бұрын
@@jumahamadomar9124 huyo mama hafai
@DottoMussa-ro6rw
7 күн бұрын
yes,,nakuunga mkono na ndio maana Hana uchungu na ardhi yetu ama nchi yetu
@harshkirit678011 күн бұрын
Safi sana. Hongereni watanzania wenzangu kwa kumsaidia ndugu yetu.. kuna mijitu serikalini wanatunyanyasa wananchi. Haya sasa wajiandae 2025 kama watapita hayamajitu PIPOZ PAWA...HAPO SAWA
@jaybajay9973
10 күн бұрын
Watapita maana wasanii wa sanaa totauti tofauti eanampigia Debe
@AmourAmour-ux3nm
6 күн бұрын
Ingelikua Samia ni mama yako mzazi ungekuj kupongeza watu km unavyofanya juu ya mama w mwengin
@HappyBooks-dj6oy11 күн бұрын
Watu wananyea Mavi picha ya Samia kwenye kanga mbona hamuongei.Sio kila mtanzania muoga.Safi sana bro.Salute
@nancolower_8032
10 күн бұрын
Ujinga
@AmourAmour-ux3nm
6 күн бұрын
Na ya mama Yako ikifanyiwa mbele yako utasemaje samia ana familia yake
@HappyBooks-dj6oy
6 күн бұрын
Uyo sio Mama yako ukilala njaa hawezi kukuletea chakula ila Familia yake hawezi kuacha walale njaa.Sio Mama yangu ni raisi tu kama Marais wengine
@AmourAmour-ux3nm
6 күн бұрын
@@HappyBooks-dj6oy nakuuliz ni rais Lkn n mzaz wa mwenzako je angekuwa ni mama yako mzazi ungefurahia
@user-do2id6pp4g7 күн бұрын
Mwinyi alipigwa Kofi lkn alisema mwacheni huyo mtu asifanywe chochote hivi jamani viongozi tuangalieni nafasi zetu no mitihani tu wala sio raha kuwa hapo
@user-ex4rk2yx4s11 күн бұрын
Musiwatukuze marais kama manabii
@EliaShirima-rh4wq4 күн бұрын
❤❤tumechoka utawala wa kikoloni watupe katiba utawala huu ni wa utumwani
@rebekakulwa615911 күн бұрын
Anayeona ni vurugu ana maisha mazuri. Tunaoshindia buku tunafurahi sana
@AmourAmour-ux3nm
6 күн бұрын
Angefanyiwa mama yako je
@Mona-pn2pv22 сағат бұрын
Pole watanzania kwaku kosa uhuru wenu mpaka picha piya 😢 Allah awasamehe na viongozi wenu
@barakanyanchama42975 күн бұрын
Msionee watanzania kwani hiyo picha ariyo choma niayamwenyez Mungu au niyamwanadam
@ayshasaid154711 күн бұрын
Hakimu rudisha pesa za fain kwani kamchoma rais au picha wizi ulokithiri tanzania yetu
@BasiliClement-ql1yg6 күн бұрын
Napenda tu kutoa hongera kwa makanda wenye uchungu na nchi yao mawakili wameonyesha uzalendo juu ya nchi yao na wananchi kiujumla
@SalmaAthuman-hp3en11 күн бұрын
Mama samia umeona nguvu ya watanzania ndo ujue tumekuchoka
@MnubiMm
11 күн бұрын
@@SalmaAthuman-hp3en nguvu Ujinga huo wangechoma ya Mama yako na kukashifu ungeshabikia hivi umechoka na Nani? Kwa nini mnakuwa mnapenda kuwachanganya watu kwenye mambo yenu ya na fikra zenu wewe na wenzio saw usifikili wa msifikili Kila unachoona sawa wewena wengine ni hivyo hili mnalo sifu ni Jambo la hivyo kabisa subili wazazi wenu waanze kuzaliliswa ndio mtajua
@NuruJuma-zv3yz
6 күн бұрын
Umemchaka wewe,
@AbdallaMpambika-bp6ub
6 күн бұрын
Acha ujinga wewe rais mwenyew hameifanya kesi iwe rahisi kama angeonesha amechukizwa uyo jamaa angekaa jera
@SalmaAthuman-hp3en
6 күн бұрын
@@AbdallaMpambika-bp6ub milembe iko wazi muda wote muhimbili sibishani na vichaa
@SalmaAthuman-hp3en
6 күн бұрын
@@NuruJuma-zv3yz tumemchoka ndiyo wewe anakusaidia nini 😂kichaa ww
@edsonnelson446411 күн бұрын
Uzuri amechangiwa na chenji imebaki amepata na kianzio
@TeleziaMwaipopo4 күн бұрын
Safii Sana kijana Kwa kumchamba MTU xxxx😅😅😅
@danielkanso10 күн бұрын
Hawa watu wameshindwa kutatua mahitaji ya wananchi kazi kufuatilia mambo ya picha si ichorwe tena kwa raisi au ndiyo tuseme raisi amechomwa short mind
@MageAwe-hl5zb10 күн бұрын
Ugumu wa maisha ni kweli jamani kadi kwenye umeme kodi kubwa sana
@karimmveyange255811 күн бұрын
ASANTENI SANA WASHIRIKA. MBALI KIDOGO. LAKINI UMOJA NI NGUVU, NA MUNGU YUPO PAMOJA NA WENYE KUPAMBANA KWA HAKI
@MsJuniormjunyhandsomeboy10 күн бұрын
Mubarikiwe sana wapendw
@zulekhamohamed34319 күн бұрын
Mume wangu amechoma picha yangu nimshitaki??
@fatmakhanii1676
10 сағат бұрын
Fanya haraka iwezekanavo ila ujue asipochangia fain humpati tena 😂😂😂
@RajaaRajaa-id5wx6 күн бұрын
Mm binafsi huyu rais cmpend
@user-lc6te2pe2l
3 күн бұрын
😂😂😂😂
@LeloJonas3 күн бұрын
Hauna adabu kabisa una choma picha ya raisi
@user-os8qc7pl1g11 күн бұрын
Mama umeshachokwa achiangazi
@zulekhamohamed34319 күн бұрын
Watanzania Wana njaa
@user-it4uh7vu5c5 күн бұрын
Picha Tanzania bunge Kenya
@MomyMomt2 күн бұрын
Kasema kweli bwana maisha magumu
@AmaniLukumay-wk6zm4 күн бұрын
Mungu awabariki sana
@ShaahenAbas11 күн бұрын
Mimi niulize kwamba kwanini aliamua kujirikodi kama picha kachora yeye na kaona hana haja nayo kwanini ajirikodi ? Kwanini aongee kwamfumo wa hasira kivile mbona hapo anaonesha mpole kama sio yeye au siku anajirikodi alilewa ? Mipaka ya wanasheria ikoje hata kutete ujinga nakooo ? Kwanini watu wamemtumia hela ili atoke kama hajafanya kosa kwa fikra zao ? Maneno ya atakaye taka kuelewa Jee wee uko tayari kuchorwa ama kupigwa picha na mtu kujitokeza na kuchoma picha yako hadharani na kuitupa hivo jee wanao ndugu jamaa watakuona wee picha yako iliyochomwa ni kama siiichochote wala lolote Jee rais wetu picha yake ya kuchora ama laa kuchomwa moto ni sawa na kwa kejeli ya maneno kama yale ? Akiiachiwa hamuon tatizo litakuwa kubwaa wengine wataiga ujinga zaidi ya huo Kuchomwa picha ya mtu ni sawa na kuchomwa mtu kweli ,kwakuwa picha ni nusu uhalisia wa mtu Kama anatumika kisiasa hatuwezi kuamini ? Jeee mtu akiiba kwako ukakuta picha imeanguka kwa kumfukuza mwizi jeee hatua ya kuanza kumtafuta mwiz utaanzia wapi ? DNA inaonesha damu na mtu husika kwanini isiwe picha pia inaonesha uhalisia wa mtu
@hamidamussa-sy4fm
10 күн бұрын
Wao wanakosea wanaiba pesa za uma wanafanywa nini Hao viongozi mtu anachoma picha kesi mungu ndio mtoa hukumu
@DottoMussa-ro6rw7 күн бұрын
hongereni sana watanzania hongereni sana sheria wetu,hamjawah kufeli
@user-vc8cc2pt7n4 күн бұрын
Ndo wajue wananchi wanechoka maisha magum serikari imeka kimya tu watanzania sasa tumechoka
@bbclondonulimwenguwasoka612611 күн бұрын
Una bahati angelikuwa mwamba sa hz ingelikuwa historia
@sylvestercameo6263
11 күн бұрын
Mwamba ndiyo kitu gani? Ni ujinga kusifia ukatili!
@bbclondonulimwenguwasoka6126
11 күн бұрын
Nikusifia au huo ndo uhalisia
@AbdalahMtambuka-rh1dp2 сағат бұрын
nyinyi munao Pinga faini kweni yeye mtuumiwa kufanya vile lengo lake nini sikujiamin na kumzalilisha rais kweni cheo. Cha rais nikikubwa sana ata kama aumpendi. Aina aja umzalilishe kama ingekua Mimi u uyo mtoto ange potea kama walio potea wengine .uyo jeuli kweni nchi Ii yababayako .Mimi mbona magufuli nilikua simpendi ila sikusubutu kumzalilisha nilituza .ishima yake
@user-py9jj5yr9l7 күн бұрын
Kwakweli mungu azidi kuwa barick sana
@CretusMwalongo8 күн бұрын
Safi sana,ni uchawa tupu wote huo unao sumbua,yaani achore yeye afu ahukumiwe,mahakama zetu ni shida sana
@SalimKombo-xo4pq8 күн бұрын
Asante sana kwa kumsaidia huyu kijana.
@leokamil628411 күн бұрын
Mchanganyiko kiakili maisha magumu wachache wanakula maisha, maumivu ya ndani kwa ndani mpaka mtu anaona liwalo naliwe
@user-bx3kl4hn6j11 күн бұрын
Jamani jamani inamaana Samia anahadhi kubwa sana kuliko Muumba watu wanamtukana Muumba mchana kweupe hatujackia hata kufikishwa kwa mjumbe
@fotunatusiMsongole10 күн бұрын
Mungu mlindee na wasiojulikanaa. Mungu anasamehee na wewe samehe
@msemakweli2438 күн бұрын
Tanzania 🇹🇿 sheria zinawagusa masikini tu mijizi ilitajwa na CAG ipo tu CCM hatari sana kuchoma picha kesi inachukua siku moja na kifungo hapo hapo
@AmaniLukumay-wk6zm4 күн бұрын
Amepewa nani
@NuhuOmar-wx2ym11 күн бұрын
❤
@user-wi8og3sv4j6 күн бұрын
Tupunguze kukata miti na kuchoma mkaa lakini umeme na ges vimeeeeee
@stephenwakunyala400410 күн бұрын
Dogo yupo freshi mama hatumwelewi kabisha Maisha Magumu
@naturelle10975 күн бұрын
At least huyu sio mnafki
@RashidMohamed-j9p9 күн бұрын
Mwenye inch kashaga kuf
@HasanooTozzy3 күн бұрын
Mbona kama bado amjamuachia awo jamaa sina imani nao
@fetyalmas6989 күн бұрын
Na yeye alisema kbs anachoma kwa sababu Ana mungi, na kweli Mungu kamuona
@willymwaipaja678310 күн бұрын
Nchi hii naishangaa sana na kwa kweli inakwenda kubaya kwani imeacha maadili ya kwanza ya binadamu na kurukia madili ya kutetea viongozi na haki za binadamu zitokanazo na wazungu waliopotoka. Taasisi zinazoendesha mambo ya ushoga na upinzani dhidi ya maagizo ya Mungu hazichuliwi hatua kali. Ushoga na uinua juu wanawake dhidi ya wanaume ni uovu mkuu kuliko kuchoma picha ya Rais, japokuwa hilo nalo ni vyema. Miziki ya ovyo ipo huru kwenye mabasi na mitaani na kwenye TV; Wasichana na wanawake wanavaa mavazi ya uchi mitaani na maofisini lakini hakuna sheria au hatua zinazochukuliwa!!! Mfumo jike uko kazini duniani kwa matakwa ya shetani akiwatumia wazungu ambao nao hutumia wale wasiopenda kutawaliwa na Neno la Mungu.
@namsifubwana215210 күн бұрын
Huyu ndo ameukataa umsukule. Kila mtu awe huru kukataa kufanywa msukule na ccm
@marthakimia40755 күн бұрын
Mnamtania Mungu
@DormanDorman-jm3dzКүн бұрын
WAMELIPIA KODI KUPITIA PICHA .😂😂
@stevenkatani304710 күн бұрын
Ay mgeeni kichwa hiii serikali xo Kama mzaniavo
@fridagustaphmwenda66589 күн бұрын
Funzo kwa wengine maana kama hali ngumu na hiyo milioni tano je ni ndogo? Tupatiwe Mikopo tufanye biashara tu inatosha.
@mmungajieanpirre46552 күн бұрын
🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️💯💯
@lovenessvisent94087 күн бұрын
Utashangaa anakua chizi kshachomwa sindano huyo
@jkifutu79369 күн бұрын
CCM wengi wezi tufanyeni tuitoe mdalakani maisha magumu kweli tena kweli
@joycefrances45167 күн бұрын
Tunaomba huyu kijana arudishiwe pesa zake,afanye mtaji,hali ni ngumu kweli,vitu vimepanda kila mahali
@KamiliLyimo11 күн бұрын
Hapo.sawa.
@malimilandegemabunhi85288 күн бұрын
Kweli hii nchi,usipokuwa makini unawezapelekeshwa Kama kuku,watu wanacheza na media siku hiz,huyo kijana ni askar,wanatuchezea filam tuu yaani ni maigizo tuu,
@JacksonThobias-wc6ml7 күн бұрын
Nacho shindwa kuelewa unaelezea sana sisi tunataka tumsikie mtuhumiwa
@nathanpangjanda273411 күн бұрын
Wanyakyusa hao
@molenicharles910711 күн бұрын
Mmemlopia 5mls...je yeye ana sh. ngapi mfukoni yakuanziaa maisha...hatari HAWA ndiyo wasomi wetu wa Sheria tz.☹️☹️
@officialisaiah39797 күн бұрын
Af nikajua syo mtanzania😅 maana ii nchi mazee
@RechoMzava-gt7so10 күн бұрын
Kwani afungwe amekosea nini kaongea kilicho moyoni mwake na ukweli mtupu maisha ya watanzania ni magumu
@BraveMajaliwa-gf7ru8 күн бұрын
TANZANIA 🇹🇿 NDO ILITAKIWA KUANDAMANA KULIKO KENYA 🇰🇪 ILA WAPO KIMYA 😂😂😂
@user-lx2yc8tj5h11 күн бұрын
Mwamba
@user-do2id6pp4g7 күн бұрын
Ila hii nchi kuna sura ya mapinduzi huko mbele dalili hizi na coment hizi inaonekana watanzania wamechoka kwa kweli
@user-ec8zv7lq8y7 күн бұрын
Safi sana mawaziri wetu
@MedsonUlendo3 күн бұрын
Wakati fulani wanao haribu taswila ya Rais ni watendaji wake wanao chukulia kila jambo kisiasa ushauri wangu watendaji waserikali kuna jumbe nikuzifanyia kazi kwa kuhojiana nao ili wajue namna yakumshauri Rais kwa faida ya nchi yetu na utawala bora
@MohamedIbrahim-bn1gz10 күн бұрын
Kama Raisi Samia hataingilia jambo hili na akaliwacha lifanikiwe maanayake Mama kweli kuleta mageuzi ya kidemokrasiya nchini na jakubali hukumu ya mahakama bila ya kujali lolote lile
@FIDELISMfugale9 күн бұрын
Kwan kuchoma picha Kuna shida gan Hii nchi some inaendeshwa kidictetaa
@mosesmaduhutv79858 күн бұрын
Mtu wa Mungu Mungu huyoooo
@andrewkaswagula33678 күн бұрын
Sasa ukarudie tena upuuzi wako uone kama hao watapata hata hiyo nafasi ya kukulipia faini. Ukirudia tena unapotezwa kabisa mazimaa. Wewe rudi nyumbani ukajidai shujaaa😅😅
@jamalkishangu3 күн бұрын
Kwa hiyo mtamtuma akamtukane baba yake, mama yake au viongozi wake wa dini? Huyo dogo alikosea Watanzania hatujafika katika hali ya kuwadharau watu wazima achilia mbali kiongozi wa nje
@user-yw7ud9th2l10 күн бұрын
Wanalazimisha etiserekari ya awamuyasita izokura. Kupiga nani wemarizia miakairiyobaki ya makufuri raisi. Wawanyonge
@dicksonkilupa225811 күн бұрын
Dogo wa Tz tumekuelewa na tumekupenda kwa udogo wako message imefika ila imegusa panapouma tuombe Mungu kwamba hawajakudhuru afya yako.
@MnubiMm
11 күн бұрын
Hebu usiwasemee watanzania semea wenzio na wewe Mliofurahi Mama kutukanwa na kuona ni Jambo lafahali na furaha Mama Samia KUTUKANWA mjiandae Mama zenu nao KUTUKANWA au kuzalishwa Kama huyu alivyomfanyia Mama nasi tutafurahi na kuchangia pesa kwa ajili ya sherehe
@monicamwita7865
11 күн бұрын
Anajitambuà huyo kijani.
@lukomanomaliki5442
11 күн бұрын
Uchawa unakusumbua wewe sio bure.
@user-uf7oh5eu4v10 күн бұрын
Umoja Ni NGUVU moja
@user-wh9zj7kf7h11 күн бұрын
Kachome tena
@user-do1ug7de3g8 күн бұрын
Mie ninashida nitampata wapi mwanasheria kuna mtu amenizurumu shamba
@JoshuakaruJoshu-pk3es8 күн бұрын
Ongera chaura umemshinda shetani ulikuasawa
@user-pv2jh5wb1o11 күн бұрын
Kwani alichoma mchoro au
@umranim585410 күн бұрын
Ina maana huyu kutumiwa na wana siasa na ndio maana wamekimbilia kumtoa kutetea ujinga na kesho atatokea mwingine hata ogopa kufanya hivyo anajua atatetewa
Tunaomba wasio julikana sasa watamuwinda achungwe jamani
@aminitu37668 күн бұрын
Duh! Maisha magum?? Ss ni wanafki xna anza Kumlaumu mtanguliz aliyebana ajira ndiposa umuhukumu mama! Mama anajitahid kufungua milango ya ajira lakin hamuoni ungejua kaz anayofany mama usingethubutu unajilaan mwenyewe kwa ujinga. Yan ww kaa ufkir vizur hom beywer msamaha kwa kejel zako hizo kwa MPakwa mafuta wa tanzani Samia Suluhu Hasan
Пікірлер: 352
Sasa fain iyo kalipwa samia au nani 😢😢😢 picha tuu milion 5 shikamoo tanzania
@talibsaid8096
9 күн бұрын
Sheria ni sheria tu ingekuwa we we Mzee wako katukwanwa na mtu bila sababu ungesikiaje pia maisha magumu lakini kila usiku mko bar hamtaki kujishughulisha watanzania wacheni kuchezea amani waangalieni kenya ilivyo vurugu la muda mfupi lakini litawarudisha miaka kadhaa nyuma na Jawa mawakili hawana la kufanya
@rukiaiddyyahaya9506
9 күн бұрын
@@talibsaid8096 tusi gani alio tukanwa pengine kachora vibaya picha kaamua kuunguza,, kusema wa tanzania hatu ji shughulishi unatulidha weye,, ukome labda wewe una maisha magumu mwenzio nishajenga na maisha yangu tuu
@user-wi8og3sv4j
6 күн бұрын
Kwahio wakenya wote wameshindwa baa?
@user-wi8og3sv4j
6 күн бұрын
Alitukana tusi gani
@rukiaiddyyahaya9506
6 күн бұрын
@@user-wi8og3sv4j hapo sasa ana njaa huyu mkenya
Safi Sana mliosimamia kuhakikisha chaula yupo huru,Hali ya maisha ni mbaya Sana.
Kuna mijitu ipo serikalini mijizi ya pesa za umma lkn hawakamatwi wala hawashtakiwi, huyu mnyonge amechana picha tu na kusema ukweli kuwa maisha magumu amefungwa, yaani nyinyi mahakimu mtakwenda kujibu mbele ya Mwenyezi Mungu kwa kuwaonea wanyonge
@RechoMzava-gt7so
10 күн бұрын
Kabisaaa na watahukumiwa kama wanavohukumu wenzao
@user-wi8og3sv4j
6 күн бұрын
Anaetukana na mlarushwa nani mwenye madhara zaidi?
@SKY-fk3fz
4 күн бұрын
TRA ni moja ya wahalifu
P1 na koment zte nzur za kumpongeza kijana au kuwapongeza waliomsaidia ila mm namuombea dua ya maisha yke usalama wake kua Allah amhifadh aise
Wacheni ujinga kwani amechoma picha ya Mungu mnaacha kushughulika na mambo ya maana kuna mijizi huko serikalini mbona hamuishitaki
@KhadijakassimMwaipaya
9 күн бұрын
Iyo pesa ingeenda mojakwa Moja kusidia wananchi
@KASSIMMHILU-oh5ch
7 күн бұрын
Yani 😀😀 MIMI ndio mana Adi umeme nimeweka wangu tu mana serikali Hamna kitu
Kenya twachoma hadi bunge na hafungwi mtu nyie picha tu raisi amepanik
@denicegaspar9479
8 күн бұрын
😂😂😂😂
@RahimaMct-ik8mr
7 күн бұрын
Yupo sahih ndoman wamemchangia😅😅
@johnbidya119
7 күн бұрын
Democracy zero..
@NuruJuma-zv3yz
6 күн бұрын
Kenya hamjafungwa bali mliuwawa😊kufungwa na kuwawa vipi hapo
@user-wi8og3sv4j
6 күн бұрын
@@NuruJuma-zv3yzangekuwa angecomemti vip kakoment marehemu?
Huu ni ujumbe mwenye akili na aelewe watu wanaumia maisha magumu
@FatimaAli-of4gh
11 күн бұрын
Ni kweli yy kasema kweli maisha magumu shida ni ipi hata huku ulaya maisha magumu juzi tumepiga kura tumechagua kiongozi mwengine muhindi tumempiga na chini juu maisha magumu 😢
Kweli maisha ni magumu mno. Kuna baadhi wanakimbiwa na waume zao, mama wanabaki na watoto kwa mateso makubwa. Mungu tusaidie hatujui kesho yetu.
Kuna wezi wa CAG mnawaacha mnaenda kufunga mtoto
@elimuvisioncenter
10 күн бұрын
😂😂😂 mtoto😅
@user-eu6ql9zl7n
5 күн бұрын
😅
Mbarikiwe sana mnaojitoa kusaidia watu Kwa moyo wa upendo Atawalipa Mungu
Uyo kwaza. Sio raisa alipigiwa kura lini uchanguzi ulifanyika lini mimi naamini tuu tazania akuna rais rais alikufa atujachagua bado
@jumahamadomar9124
9 күн бұрын
Kwa muujibu wa katiba ya Tanzania anapokufa raisi makamu wa raisi anachukuwa uraisi bila kupiga kura nyengine, kwani kawaida ya kura Tanzania mgombea wa urais na makamu wake wanachaguliwa pamoja kwa iyo ukisema hukumpigia kura unajidanganya,INSHA ALLAH mitano tena hata kwa shari maana kinachowauma ni asili ya huyo mama si jengine lolote wala hamukutarajia kuona raisi kutoka zanzibar lakini Mungu mkubwa ameficha tusivyovijuwa,kitawauma sanaaaaa na bado
@mariakabonga2
9 күн бұрын
😂😂😂😂 yaani uko sawa kabisa
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv
9 күн бұрын
We ni mijnga sana hatakama ujui kusoma hata picha huni@@jumahamadomar9124
@emanuelnisetas7510
8 күн бұрын
@@jumahamadomar9124 huyo mama hafai
@DottoMussa-ro6rw
7 күн бұрын
yes,,nakuunga mkono na ndio maana Hana uchungu na ardhi yetu ama nchi yetu
Safi sana. Hongereni watanzania wenzangu kwa kumsaidia ndugu yetu.. kuna mijitu serikalini wanatunyanyasa wananchi. Haya sasa wajiandae 2025 kama watapita hayamajitu PIPOZ PAWA...HAPO SAWA
@jaybajay9973
10 күн бұрын
Watapita maana wasanii wa sanaa totauti tofauti eanampigia Debe
@AmourAmour-ux3nm
6 күн бұрын
Ingelikua Samia ni mama yako mzazi ungekuj kupongeza watu km unavyofanya juu ya mama w mwengin
Watu wananyea Mavi picha ya Samia kwenye kanga mbona hamuongei.Sio kila mtanzania muoga.Safi sana bro.Salute
@nancolower_8032
10 күн бұрын
Ujinga
@AmourAmour-ux3nm
6 күн бұрын
Na ya mama Yako ikifanyiwa mbele yako utasemaje samia ana familia yake
@HappyBooks-dj6oy
6 күн бұрын
Uyo sio Mama yako ukilala njaa hawezi kukuletea chakula ila Familia yake hawezi kuacha walale njaa.Sio Mama yangu ni raisi tu kama Marais wengine
@AmourAmour-ux3nm
6 күн бұрын
@@HappyBooks-dj6oy nakuuliz ni rais Lkn n mzaz wa mwenzako je angekuwa ni mama yako mzazi ungefurahia
Mwinyi alipigwa Kofi lkn alisema mwacheni huyo mtu asifanywe chochote hivi jamani viongozi tuangalieni nafasi zetu no mitihani tu wala sio raha kuwa hapo
Musiwatukuze marais kama manabii
❤❤tumechoka utawala wa kikoloni watupe katiba utawala huu ni wa utumwani
Anayeona ni vurugu ana maisha mazuri. Tunaoshindia buku tunafurahi sana
@AmourAmour-ux3nm
6 күн бұрын
Angefanyiwa mama yako je
Pole watanzania kwaku kosa uhuru wenu mpaka picha piya 😢 Allah awasamehe na viongozi wenu
Msionee watanzania kwani hiyo picha ariyo choma niayamwenyez Mungu au niyamwanadam
Hakimu rudisha pesa za fain kwani kamchoma rais au picha wizi ulokithiri tanzania yetu
Napenda tu kutoa hongera kwa makanda wenye uchungu na nchi yao mawakili wameonyesha uzalendo juu ya nchi yao na wananchi kiujumla
Mama samia umeona nguvu ya watanzania ndo ujue tumekuchoka
@MnubiMm
11 күн бұрын
@@SalmaAthuman-hp3en nguvu Ujinga huo wangechoma ya Mama yako na kukashifu ungeshabikia hivi umechoka na Nani? Kwa nini mnakuwa mnapenda kuwachanganya watu kwenye mambo yenu ya na fikra zenu wewe na wenzio saw usifikili wa msifikili Kila unachoona sawa wewena wengine ni hivyo hili mnalo sifu ni Jambo la hivyo kabisa subili wazazi wenu waanze kuzaliliswa ndio mtajua
@NuruJuma-zv3yz
6 күн бұрын
Umemchaka wewe,
@AbdallaMpambika-bp6ub
6 күн бұрын
Acha ujinga wewe rais mwenyew hameifanya kesi iwe rahisi kama angeonesha amechukizwa uyo jamaa angekaa jera
@SalmaAthuman-hp3en
6 күн бұрын
@@AbdallaMpambika-bp6ub milembe iko wazi muda wote muhimbili sibishani na vichaa
@SalmaAthuman-hp3en
6 күн бұрын
@@NuruJuma-zv3yz tumemchoka ndiyo wewe anakusaidia nini 😂kichaa ww
Uzuri amechangiwa na chenji imebaki amepata na kianzio
Safii Sana kijana Kwa kumchamba MTU xxxx😅😅😅
Hawa watu wameshindwa kutatua mahitaji ya wananchi kazi kufuatilia mambo ya picha si ichorwe tena kwa raisi au ndiyo tuseme raisi amechomwa short mind
Ugumu wa maisha ni kweli jamani kadi kwenye umeme kodi kubwa sana
ASANTENI SANA WASHIRIKA. MBALI KIDOGO. LAKINI UMOJA NI NGUVU, NA MUNGU YUPO PAMOJA NA WENYE KUPAMBANA KWA HAKI
Mubarikiwe sana wapendw
Mume wangu amechoma picha yangu nimshitaki??
@fatmakhanii1676
10 сағат бұрын
Fanya haraka iwezekanavo ila ujue asipochangia fain humpati tena 😂😂😂
Mm binafsi huyu rais cmpend
@user-lc6te2pe2l
3 күн бұрын
😂😂😂😂
Hauna adabu kabisa una choma picha ya raisi
Mama umeshachokwa achiangazi
Watanzania Wana njaa
Picha Tanzania bunge Kenya
Kasema kweli bwana maisha magumu
Mungu awabariki sana
Mimi niulize kwamba kwanini aliamua kujirikodi kama picha kachora yeye na kaona hana haja nayo kwanini ajirikodi ? Kwanini aongee kwamfumo wa hasira kivile mbona hapo anaonesha mpole kama sio yeye au siku anajirikodi alilewa ? Mipaka ya wanasheria ikoje hata kutete ujinga nakooo ? Kwanini watu wamemtumia hela ili atoke kama hajafanya kosa kwa fikra zao ? Maneno ya atakaye taka kuelewa Jee wee uko tayari kuchorwa ama kupigwa picha na mtu kujitokeza na kuchoma picha yako hadharani na kuitupa hivo jee wanao ndugu jamaa watakuona wee picha yako iliyochomwa ni kama siiichochote wala lolote Jee rais wetu picha yake ya kuchora ama laa kuchomwa moto ni sawa na kwa kejeli ya maneno kama yale ? Akiiachiwa hamuon tatizo litakuwa kubwaa wengine wataiga ujinga zaidi ya huo Kuchomwa picha ya mtu ni sawa na kuchomwa mtu kweli ,kwakuwa picha ni nusu uhalisia wa mtu Kama anatumika kisiasa hatuwezi kuamini ? Jeee mtu akiiba kwako ukakuta picha imeanguka kwa kumfukuza mwizi jeee hatua ya kuanza kumtafuta mwiz utaanzia wapi ? DNA inaonesha damu na mtu husika kwanini isiwe picha pia inaonesha uhalisia wa mtu
@hamidamussa-sy4fm
10 күн бұрын
Wao wanakosea wanaiba pesa za uma wanafanywa nini Hao viongozi mtu anachoma picha kesi mungu ndio mtoa hukumu
hongereni sana watanzania hongereni sana sheria wetu,hamjawah kufeli
Ndo wajue wananchi wanechoka maisha magum serikari imeka kimya tu watanzania sasa tumechoka
Una bahati angelikuwa mwamba sa hz ingelikuwa historia
@sylvestercameo6263
11 күн бұрын
Mwamba ndiyo kitu gani? Ni ujinga kusifia ukatili!
@bbclondonulimwenguwasoka6126
11 күн бұрын
Nikusifia au huo ndo uhalisia
nyinyi munao Pinga faini kweni yeye mtuumiwa kufanya vile lengo lake nini sikujiamin na kumzalilisha rais kweni cheo. Cha rais nikikubwa sana ata kama aumpendi. Aina aja umzalilishe kama ingekua Mimi u uyo mtoto ange potea kama walio potea wengine .uyo jeuli kweni nchi Ii yababayako .Mimi mbona magufuli nilikua simpendi ila sikusubutu kumzalilisha nilituza .ishima yake
Kwakweli mungu azidi kuwa barick sana
Safi sana,ni uchawa tupu wote huo unao sumbua,yaani achore yeye afu ahukumiwe,mahakama zetu ni shida sana
Asante sana kwa kumsaidia huyu kijana.
Mchanganyiko kiakili maisha magumu wachache wanakula maisha, maumivu ya ndani kwa ndani mpaka mtu anaona liwalo naliwe
Jamani jamani inamaana Samia anahadhi kubwa sana kuliko Muumba watu wanamtukana Muumba mchana kweupe hatujackia hata kufikishwa kwa mjumbe
Mungu mlindee na wasiojulikanaa. Mungu anasamehee na wewe samehe
Tanzania 🇹🇿 sheria zinawagusa masikini tu mijizi ilitajwa na CAG ipo tu CCM hatari sana kuchoma picha kesi inachukua siku moja na kifungo hapo hapo
Amepewa nani
❤
Tupunguze kukata miti na kuchoma mkaa lakini umeme na ges vimeeeeee
Dogo yupo freshi mama hatumwelewi kabisha Maisha Magumu
At least huyu sio mnafki
Mwenye inch kashaga kuf
Mbona kama bado amjamuachia awo jamaa sina imani nao
Na yeye alisema kbs anachoma kwa sababu Ana mungi, na kweli Mungu kamuona
Nchi hii naishangaa sana na kwa kweli inakwenda kubaya kwani imeacha maadili ya kwanza ya binadamu na kurukia madili ya kutetea viongozi na haki za binadamu zitokanazo na wazungu waliopotoka. Taasisi zinazoendesha mambo ya ushoga na upinzani dhidi ya maagizo ya Mungu hazichuliwi hatua kali. Ushoga na uinua juu wanawake dhidi ya wanaume ni uovu mkuu kuliko kuchoma picha ya Rais, japokuwa hilo nalo ni vyema. Miziki ya ovyo ipo huru kwenye mabasi na mitaani na kwenye TV; Wasichana na wanawake wanavaa mavazi ya uchi mitaani na maofisini lakini hakuna sheria au hatua zinazochukuliwa!!! Mfumo jike uko kazini duniani kwa matakwa ya shetani akiwatumia wazungu ambao nao hutumia wale wasiopenda kutawaliwa na Neno la Mungu.
Huyu ndo ameukataa umsukule. Kila mtu awe huru kukataa kufanywa msukule na ccm
Mnamtania Mungu
WAMELIPIA KODI KUPITIA PICHA .😂😂
Ay mgeeni kichwa hiii serikali xo Kama mzaniavo
Funzo kwa wengine maana kama hali ngumu na hiyo milioni tano je ni ndogo? Tupatiwe Mikopo tufanye biashara tu inatosha.
🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️💯💯
Utashangaa anakua chizi kshachomwa sindano huyo
CCM wengi wezi tufanyeni tuitoe mdalakani maisha magumu kweli tena kweli
Tunaomba huyu kijana arudishiwe pesa zake,afanye mtaji,hali ni ngumu kweli,vitu vimepanda kila mahali
Hapo.sawa.
Kweli hii nchi,usipokuwa makini unawezapelekeshwa Kama kuku,watu wanacheza na media siku hiz,huyo kijana ni askar,wanatuchezea filam tuu yaani ni maigizo tuu,
Nacho shindwa kuelewa unaelezea sana sisi tunataka tumsikie mtuhumiwa
Wanyakyusa hao
Mmemlopia 5mls...je yeye ana sh. ngapi mfukoni yakuanziaa maisha...hatari HAWA ndiyo wasomi wetu wa Sheria tz.☹️☹️
Af nikajua syo mtanzania😅 maana ii nchi mazee
Kwani afungwe amekosea nini kaongea kilicho moyoni mwake na ukweli mtupu maisha ya watanzania ni magumu
TANZANIA 🇹🇿 NDO ILITAKIWA KUANDAMANA KULIKO KENYA 🇰🇪 ILA WAPO KIMYA 😂😂😂
Mwamba
Ila hii nchi kuna sura ya mapinduzi huko mbele dalili hizi na coment hizi inaonekana watanzania wamechoka kwa kweli
Safi sana mawaziri wetu
Wakati fulani wanao haribu taswila ya Rais ni watendaji wake wanao chukulia kila jambo kisiasa ushauri wangu watendaji waserikali kuna jumbe nikuzifanyia kazi kwa kuhojiana nao ili wajue namna yakumshauri Rais kwa faida ya nchi yetu na utawala bora
Kama Raisi Samia hataingilia jambo hili na akaliwacha lifanikiwe maanayake Mama kweli kuleta mageuzi ya kidemokrasiya nchini na jakubali hukumu ya mahakama bila ya kujali lolote lile
Kwan kuchoma picha Kuna shida gan Hii nchi some inaendeshwa kidictetaa
Mtu wa Mungu Mungu huyoooo
Sasa ukarudie tena upuuzi wako uone kama hao watapata hata hiyo nafasi ya kukulipia faini. Ukirudia tena unapotezwa kabisa mazimaa. Wewe rudi nyumbani ukajidai shujaaa😅😅
Kwa hiyo mtamtuma akamtukane baba yake, mama yake au viongozi wake wa dini? Huyo dogo alikosea Watanzania hatujafika katika hali ya kuwadharau watu wazima achilia mbali kiongozi wa nje
Wanalazimisha etiserekari ya awamuyasita izokura. Kupiga nani wemarizia miakairiyobaki ya makufuri raisi. Wawanyonge
Dogo wa Tz tumekuelewa na tumekupenda kwa udogo wako message imefika ila imegusa panapouma tuombe Mungu kwamba hawajakudhuru afya yako.
@MnubiMm
11 күн бұрын
Hebu usiwasemee watanzania semea wenzio na wewe Mliofurahi Mama kutukanwa na kuona ni Jambo lafahali na furaha Mama Samia KUTUKANWA mjiandae Mama zenu nao KUTUKANWA au kuzalishwa Kama huyu alivyomfanyia Mama nasi tutafurahi na kuchangia pesa kwa ajili ya sherehe
@monicamwita7865
11 күн бұрын
Anajitambuà huyo kijani.
@lukomanomaliki5442
11 күн бұрын
Uchawa unakusumbua wewe sio bure.
Umoja Ni NGUVU moja
Kachome tena
Mie ninashida nitampata wapi mwanasheria kuna mtu amenizurumu shamba
Ongera chaura umemshinda shetani ulikuasawa
Kwani alichoma mchoro au
Ina maana huyu kutumiwa na wana siasa na ndio maana wamekimbilia kumtoa kutetea ujinga na kesho atatokea mwingine hata ogopa kufanya hivyo anajua atatetewa
Barikiwe
Umoja ninguvu
Itafika kipindi watajua awajui
Mbona msiwapeleke wa-MWIGULU NCHEMBA MAFISAD
Mawakili mmeshindwa kumtetea. Bwege huyo anajitafutia umaarufu
Labda alikoseakuchora vizuri
Tunaomba wasio julikana sasa watamuwinda achungwe jamani
Duh! Maisha magum?? Ss ni wanafki xna anza Kumlaumu mtanguliz aliyebana ajira ndiposa umuhukumu mama! Mama anajitahid kufungua milango ya ajira lakin hamuoni ungejua kaz anayofany mama usingethubutu unajilaan mwenyewe kwa ujinga. Yan ww kaa ufkir vizur hom beywer msamaha kwa kejel zako hizo kwa MPakwa mafuta wa tanzani Samia Suluhu Hasan
hawa wapumbavu wanamtia ujinga huyo dogo mbona wawo hawachomi hawo mawakili kwani kunagharama gani wachome nao