HUYU MZEE NI BALAA! AMLIPUA RAIS SAMIA BILA WOGA, "ANANG'ANG'ANIA UFISADI"

#TANZANIA: Huyu mzee ni balaa! tazama alivyomlipua Rais Samia bila woga, "anang'ang'ania ufisadi"

Пікірлер: 777

  • @user-fs6lp3op1x
    @user-fs6lp3op1x9 ай бұрын

    Mmmmhh tanzania tungekuwaa iviii ingee kuwa safiii saniiiiiii alieee muelewaa mzeee anipee like zanguuuu

  • @kassimsaid1723

    @kassimsaid1723

    5 ай бұрын

    Chongesheni chengine icho kiti mbao zipo nyingi tu😢😮

  • @rayyahinay-hp7jf

    @rayyahinay-hp7jf

    4 ай бұрын

    Mwehu tu, huyo anatafuta kura huyo!!!

  • @rayyahinay-hp7jf

    @rayyahinay-hp7jf

    4 ай бұрын

    Kweli huyo achongeshe kiti cha chuma anachosema hakieleweki!!! Anafikiri urais mchezo???

  • @user-cw1mj6yx6y

    @user-cw1mj6yx6y

    2 ай бұрын

    Kabisaa ajakoseaa mzeee❤❤❤

  • @ShukuruShaban
    @ShukuruShaban5 ай бұрын

    Mzee wangu Mungu akupe maisha marefu uendelee kututetea yaan mpaka nimetokwa na machozi ya furaha❤❤

  • @mahammadanhag4445

    @mahammadanhag4445

    4 ай бұрын

    Acha umbeya ww mambo ya kike ayo

  • @alfrediaugustino1026
    @alfrediaugustino10268 ай бұрын

    Yaan Zanzibari mmenyooka Sana muko vizuri Sana .

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr7 ай бұрын

    Huyu mzee ndie maalim seif alie bakia daahhhh wanyonge maisha hatunufaiki sababu ni uongozi kauli mbiu daima . Ila mungu . Yuko

  • @user-dw9fl5sv2z
    @user-dw9fl5sv2z9 ай бұрын

    Huna dhambi ya unafiki mzee wangu

  • @corrolesscps

    @corrolesscps

    3 ай бұрын

    Tumemchokaaaa, haendeee zakeee

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz9 ай бұрын

    Hongera sana mzee wangu.serikali tatu ndio chaguo la watanzania.Mama samia Rais wangu mpendwa wakati ndio huu wa kuweka historia ya kuruhusu katiba mpya yenye serikali tatu ili zanzibar na Tanganyika zipate mamlaka kamili na ziwe huru.Mfumo wa serikali mbili unainyonya sana zanzibar.

  • @johaiventimothy6583

    @johaiventimothy6583

    3 ай бұрын

    Unainyonyaje Zanzibar em nifafanulie ili nielewe kidogo

  • @MkeroMkero
    @MkeroMkero4 ай бұрын

    ❤❤❤nakupenda sanaa mzeee wambie haooo nakukubali sanaaa

  • @johansenerasto5890
    @johansenerasto58909 ай бұрын

    Huyu mzee anajielewa tumuunge mkono😊

  • @karimkassam571

    @karimkassam571

    9 ай бұрын

    Hajielewi CHIZI tu

  • @AgnessKabamanywa-sd2dw

    @AgnessKabamanywa-sd2dw

    9 ай бұрын

    Sawa mzeee

  • @JeanMuzaliwa-bs6qh

    @JeanMuzaliwa-bs6qh

    9 ай бұрын

    @@karimkassam571 musilete mambo ya dini apa samia ameshindwa ajiuzulu!

  • @frankcharles3980

    @frankcharles3980

    5 ай бұрын

    ​@@karimkassam571WEWE KICHWA HASARA NDO CHIZI MZEE YUPO SAWA KABISA

  • @azizauwase9207

    @azizauwase9207

    5 ай бұрын

    Mzee enasema kweli.dini na politic ni vitu viwili viko opposit.kumbuka ukoo wako mama samia tena usitie ubaguzi kwa wanainchi juu uta fail

  • @husseinkiondo7439
    @husseinkiondo74395 ай бұрын

    Nimekupenda sana

  • @lovenessfrancis5547
    @lovenessfrancis55479 ай бұрын

    Huyu mzee apewe maua yake 🌹🌹🌹mungu akutunze

  • @salomeshongola1697

    @salomeshongola1697

    9 ай бұрын

    ❤❤🎉🎉

  • @sskondopoleani9616

    @sskondopoleani9616

    4 ай бұрын

    Wewe KAMPE

  • @nefertitibelinda1146

    @nefertitibelinda1146

    4 ай бұрын

    Asante mnooooo

  • @AllySule-mh4xp

    @AllySule-mh4xp

    3 ай бұрын

    True

  • @ezekielmatondane714
    @ezekielmatondane7149 ай бұрын

    Uko sahihi kabisa huyu mama ni binafisi

  • @philiplenardsylvester6063
    @philiplenardsylvester60639 ай бұрын

    Hongera sanaaa Mzee mungu akulinde

  • @user-rt5vq5vc3k
    @user-rt5vq5vc3k8 ай бұрын

    Mungu akulinde baba huja taka kuwa mnafiki SEMA baba

  • @gosbertrwezahura3645
    @gosbertrwezahura36455 ай бұрын

    Mzee hongera sana. Mwenyezi Mungu akubariki. Tunakushukuru sana tena sana.

  • @halimamremi5375
    @halimamremi53757 ай бұрын

    SEMAA BABA SEMAAA AFADHALI MUSEME UKWELI NYIE WAZEE MNALIONA HILOO MUNGU TUSAIDIEEE JAMANII!!!!

  • @user-fq2ut9ep8r
    @user-fq2ut9ep8r8 ай бұрын

    Hongera kwa kututetea wanyonge watanzani.

  • @adampetermakombe5654
    @adampetermakombe56549 ай бұрын

    Namuelewa Sana huyu muzeeee😂😅

  • @user-jo8xr8cx4s
    @user-jo8xr8cx4s7 ай бұрын

    Asante baba

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn9 ай бұрын

    Sikutegemea madini kama haya kutoka Z'bar! Ila mzee mwenzangu ingefaa uje bara utoe madini kama hayo kwani bara bado kuna watu hawajitambui! Kumbe mama yetu ameongeza deni la taifa kutoka trilioni 60 hadi trilioni 90! Balaa!

  • @Salmakikuli

    @Salmakikuli

    4 ай бұрын

    Kasema kweli kabisa ila kuja bara unamdanganya atasombwa

  • @user-ku2sr9se2z

    @user-ku2sr9se2z

    3 ай бұрын

    Mzee kama. We ni msema kweli tutajie na mazuri yake kwakua umeeleza matakwa yako sio ukweli wako hakuna raisi alietoa ajira nyingi kama mama samia kumbe unataka uongozi wa chama chako hapo mzee umegonga mwamba ccm ni ile ile oooni ileileeee

  • @mwenem8130
    @mwenem81309 ай бұрын

    Hata huku TANGANYIKA Hafai, unafiki na ubinafsi ndio mkubwa

  • @charlesassey5642
    @charlesassey56425 ай бұрын

    Safi sana watu kama hawa nawapenda sana hakuna kumuogopa mtu , wakimwaga mboga unamwaga ugali wote mnalala na njaa

  • @user-jy8fl1mv8j
    @user-jy8fl1mv8j9 ай бұрын

    eee leo kapata chamoto asante sana mzee mungu akubariki

  • @user-vs2hs6qy3p
    @user-vs2hs6qy3p5 ай бұрын

    Ubarikiwe baba🎉❤

  • @alexmosha9979
    @alexmosha99799 ай бұрын

    Kweli watu wamechoka

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten75529 ай бұрын

    MWENYEZI MUNGU AKULINDE NA HILA ZA CCM BABA YETU.🙏🙏🙏

  • @muznamohammed1366

    @muznamohammed1366

    4 ай бұрын

    Aaamin

  • @steveJkaaya-qt1ih
    @steveJkaaya-qt1ih4 ай бұрын

    respect dah sema mzeee wang b mkubwa anafel sana atumuelewi

  • @nasaelmanya1850
    @nasaelmanya18509 ай бұрын

    Kweli, Hana lolote huyu mama, Tunataka katiba mpya, Okoa bandari yetu...

  • @abedymtore2707

    @abedymtore2707

    9 ай бұрын

    Bandary zetu

  • @corrolesscps

    @corrolesscps

    3 ай бұрын

    Hongera Sema usikike, Mwambie huyoo Mama

  • @user-fk1ne4qk7y
    @user-fk1ne4qk7y9 ай бұрын

    Huyu mzee awekewe ulinzi mkali🙏🙏

  • @aliyageorge6794

    @aliyageorge6794

    9 ай бұрын

    Acha umbea....

  • @godlistengodlisten7552

    @godlistengodlisten7552

    9 ай бұрын

    @@aliyageorge6794 Mmbeya Mwenyewe.

  • @asifreds8787

    @asifreds8787

    9 ай бұрын

    huyo chadema hizo ni siasa

  • @AgnessKabamanywa-sd2dw

    @AgnessKabamanywa-sd2dw

    9 ай бұрын

    Hulu mbinafsi wa hatari

  • @mwawekomiuda9779

    @mwawekomiuda9779

    5 ай бұрын

    Ulinzi anao mwenyewe M'mungu

  • @johansenerasto5890
    @johansenerasto58909 ай бұрын

    Huyu ni mzalendo haswa

  • @stefanomasolwa8979
    @stefanomasolwa8979Ай бұрын

    Mzee Mungu akubariki pia Akupe Maisha Marefu Amen

  • @zabronjonathan2264
    @zabronjonathan22649 ай бұрын

    Kweli Watanzania tunataka katiba mpya.

  • @dottondege8869
    @dottondege88699 ай бұрын

    uko sawa kamanda watanzania tunataka katiba

  • @glorykapenja9473
    @glorykapenja94732 ай бұрын

    Yaani zanzibari ni sehemu nzuri sana baadaye itakuwa ni tajili sana Mungu ataiinua sana hiyo Zanzibari watakuwa matajiri mno

  • @user-tl1nz7qx2l
    @user-tl1nz7qx2l3 ай бұрын

    Safi sanaaaa Asante pepo hilooo!!!!

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc5 ай бұрын

    Kweli mama Sikia ujumbe huu,

  • @user-bz2nd3bm1w
    @user-bz2nd3bm1w9 ай бұрын

    Tungekuwa na wazee hawa nchi hii ingenyoka,tungeheshimiana,ingefika mbali sana bigup sana mzee wangu

  • @karimkassam571

    @karimkassam571

    9 ай бұрын

    Mzee mnafiki

  • @hadimznz

    @hadimznz

    9 ай бұрын

    Huyu, Mzee mgonjwa sana. hajui nafasi ya Rais wa Tanzania, anazungumza kwenye mkutano wa siasa kama kijiwe cha siasa

  • @hadimznz

    @hadimznz

    9 ай бұрын

    Kijiwe cha kahawa

  • @hadimznz

    @hadimznz

    9 ай бұрын

    😂😂😂😂wazee wachadema hatukubali tena kuolewa,eeeeeh aaaa kuonewa. ashapiga shishi huyo.

  • @isayashayo4777

    @isayashayo4777

    9 ай бұрын

    Nimependa apo tumeshindwa kuthibiti wiz wa bandari apo apo unaweza kujiuzulu maana hiyo ni falier

  • @user-zm7kk1tr5l
    @user-zm7kk1tr5l23 сағат бұрын

    Arusha wambiye migambo waache kutukimbiza sisi mama mbonga watuache usiku tufanye kazi nje mwenyezi mungu atusaidiye sana mama mbonga

  • @user-ry1pe3tu5s
    @user-ry1pe3tu5s8 ай бұрын

    Uhiii ukweli mtupu, ,hongera mh Hashim

  • @JamesJasson-dg8lf
    @JamesJasson-dg8lf9 ай бұрын

    Axante mzee wangu.

  • @khelefsalum3803
    @khelefsalum38039 ай бұрын

    Maneno mazuri sana yanataja kufanyiwa kazi

  • @abdallamasoud7734
    @abdallamasoud77349 ай бұрын

    😂😂😂 Dah watu wamechoka sana maisha yamekua magumu sana kwa kweli uchumi umezidi kushuka kwa kweli..

  • @thomastarimo

    @thomastarimo

    9 ай бұрын

    ana angalia kwao na siyo hapa na akuna mwenye imani na yeye

  • @thomastarimo

    @thomastarimo

    9 ай бұрын

    amina amina amina ata engejenga bara bara ya kioo

  • @josephbernadnajiunganisham453
    @josephbernadnajiunganisham4539 ай бұрын

    mzee nimekupenda bre ww ndo mtu wamungu kabisa

  • @MohdSuleiman-fw2un
    @MohdSuleiman-fw2un9 ай бұрын

    Nikwel kabisaaaaaa mzeee

  • @mohamedkigwehe3561
    @mohamedkigwehe35619 ай бұрын

    Mama Samia badilika mama asahivi watu tumechoka au mnataka mpaka tutoane damu?😢😢

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki86929 ай бұрын

    Bravo MZEE WETU.

  • @user-tj2rr6lv1k
    @user-tj2rr6lv1k2 ай бұрын

    Umetishaaaa sna sna Tajir Mungu akupe maisha marefu unafikii ni dhambi kubwa na ww umeikna

  • @ReganChuwa
    @ReganChuwa6 күн бұрын

    Congrats grandpa god protect you❤❤❤❤

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel71499 ай бұрын

    Mzee watu wa aina yako ni wapenzi wa mwenyezi Mungu, utaiona pepo ingawa wanadamu wenye laana watakuchukia. Neno lolote atakalokuja nalo kwenye press na vikosi kazi vyake kuchelewesha katiba ni kinyume cha haki. Wananchi tusikubaliane na ushauri Bali tushauriane wote namna ya kupata katiba sasa.

  • @user-ru9sh9ob4j

    @user-ru9sh9ob4j

    9 ай бұрын

    1😊

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro66626 ай бұрын

    Hongera sana msemaji kwa sababu unaongea haki kabisa kwa sababu CCM hawana lo lote bali unafiki mtupu. Huyu samia analea wala rushwa na wezi mtupu. Na huyu mama naye ni mwizi kwa sababu analea wezi watupu na ndiyo wanampamba. Wanao mpamba wezi ni Samia

  • @oswardnshoki1000

    @oswardnshoki1000

    4 ай бұрын

    Kuwa na SERIKALI tatu ni muhim sana hata mim huwa nafikiria hilo mara kwa mara

  • @user-yp6up9tg8b
    @user-yp6up9tg8bАй бұрын

    Aliyo yasema Mwalimu julius kambarage nyerere ndiyo haya hapa sasa 😊😊

  • @ReganChuwa
    @ReganChuwa6 күн бұрын

    Hongeraaa mzeee

  • @charlesbarongo2778
    @charlesbarongo27789 ай бұрын

    Amejitoa mzee wa watu

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga65919 ай бұрын

    Huyu Mzee alikua kajificha wapi??!!

  • @Imaniamockgmail

    @Imaniamockgmail

    4 ай бұрын

    😃🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙏

  • @HenryKisusi
    @HenryKisusiАй бұрын

    Safiii sana we Mzee, duh huyu Mzee anafaa sana atuzwe tuzo! Mbinafsi sana Samia Suluhu Hassan leo kakumbushwa makumbusho na Wazanzibari wenyewee katiba iko wapi?

  • @felixsanga
    @felixsanga9 ай бұрын

    Kila jambo ni "Wakati"A right word spoken in a right time is an "Apple in the golden Plate!Speak Loudly,Makeloud!Parles,parle,Sololar bien!Merci beau coup!

  • @user-zg1zf7er3c
    @user-zg1zf7er3c8 ай бұрын

    Hongera sana mauayako❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri3 ай бұрын

    ACHAA UKUBWA JINGA WEWE MZANZIBARI SISI WOTE NI WA TANZANIA ACHA SIASA ZAKINA MBOWE ZAUBAGUZI NA UKABILA

  • @AbubakaryMohamedy
    @AbubakaryMohamedy5 ай бұрын

    Really my brother msema kwel nimpenz wamungu mungu akusimamie san

  • @andrewdirangw8754
    @andrewdirangw87544 ай бұрын

    Thats good freedom of speech

  • @elizabethnzunda9223
    @elizabethnzunda92235 ай бұрын

    Wewe ni nan ungekuwa ndo mama Samia ungefanya nn

  • @luckynation7747
    @luckynation77478 ай бұрын

    Nimeipenda kinomaa speech yako mzee

  • @Time-ev3dw
    @Time-ev3dwАй бұрын

    Huyu Mzee amenyooka sana namkubali haika anaongea ukweli samia hajaidaidia kabisa Zanzibar

  • @nefertitibelinda1146
    @nefertitibelinda11464 ай бұрын

    Asante Sana kwa kutusemea.... Uchawa unaharibu nchi maana hakuna uwajibikaji na waliopo madarakani ni machawa wasio na weledi wa wizara au taasisi wanazopeana...😢

  • @AlvanEdwine-ih4vy
    @AlvanEdwine-ih4vy4 ай бұрын

    Lakini akifariki leo,mtamsifu yaan wanadamu hata ungewapa fedha bado watakuraum,mama samia chapa kazi mm nakukubali na pia naziona kazi zako😘😘

  • @sskondopoleani9616

    @sskondopoleani9616

    4 ай бұрын

    Binadamu Hawaridhiki na wa Hawatosheki, mpaka mwanandani haumtoshi binaadam, point umenena nakupa maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-gb5we7ts9o

    @user-gb5we7ts9o

    4 ай бұрын

    Msenge wewe

  • @sskondopoleani9616

    @sskondopoleani9616

    4 ай бұрын

    @@user-gb5we7ts9o Hivi mtu akitoa maoni yake anakuwa Msenge? Sasa wewe tukuiteje?

  • @AlvanEdwine-ih4vy

    @AlvanEdwine-ih4vy

    4 ай бұрын

    @@user-gb5we7ts9o ukiokoka Mungu ataondoa matusi ya kila namna kinywani mwako kaka

  • @AlvanEdwine-ih4vy

    @AlvanEdwine-ih4vy

    4 ай бұрын

    @@user-gb5we7ts9o ivo ulivo ukifa unakwenda jehanum ya moto,ningekusihi ungeokoka ukampendeza Mungu kaka

  • @cyriakusbaramba594
    @cyriakusbaramba5942 ай бұрын

    Mzee Yuko vizuri Sana. Tatizo la chadema Kama chadema ni rahisi kukiweka mfukoni njaa ni kali mno. Lowasa aliweza Sasa awamu hii sijui itakuwaje 2025 bado VAR inasikilizia

  • @lanezboy7016
    @lanezboy70164 ай бұрын

    Safi sana tunataka watu kama hawa wenye kusema ukwer

  • @BeathaChambo
    @BeathaChambo9 ай бұрын

    Kweli baba nakukubali mzee

  • @user-mh5mx1kn8j
    @user-mh5mx1kn8j9 ай бұрын

    Haya kwa mjomba hatuyasikia mliufyata Leo kila mtu mwanasiasa achen porojo zenu nyinyi mngelisema miaka miwili nyuma tungeona kwer wanasiasa Sasa upole wa mama umejua kosa heshimuni mamlaka na viongozi waliowekwa na mungu achen porojo zenu

  • @lameckmbele5901

    @lameckmbele5901

    9 ай бұрын

    ww huna akili kweli Mungu gani kawaweka hao viongozi? unachopanda ndicho utakachovuna kama hutavuna ww watavuna watoto wako kama watoto hawatavuna vitukuu vyako Biblia imeandka atawabatiliza wana maovu ya baba zao kuwa makini kushabikia dhuruma huko mbele kizazi chako watajuta kuzaliwa na ww mjinga ww waandalie huo upuuzi wako kila ovu linalofanywa litalipwa sawa sawa na ulivyofanya kwasasa furahieni ni kwa muda mfupi sn acha watanzania walio wengi wateseke na udharimu wenu

  • @user-mh5mx1kn8j

    @user-mh5mx1kn8j

    9 ай бұрын

    @@lameckmbele5901 roho mbaya inakusumbua mungu akipanga hakuna wa kupangua ndo maana unachuki zisizo na msing amin kwa Imani yako lakin mungu ndo mtoaji utasubir sana kama hajapanga kukupa utabaki lawama tu mungu ndio kila kitu broo anampa amtakaye kwa sababu zake mwenyew

  • @isaacdavid3997

    @isaacdavid3997

    9 ай бұрын

    Si kila mamlaka duniani imewekwa na Mungu. Acheni kupotosha watu maana hata ibilisi ana nguvu za kuweka mamlaka za uongozi duniani. Maandiko ya vitabu vitakatifu yalilenga jamii za watu Wenye hofu ya Mungu na si jamii za watu wapumbavu kama hizi za kwetu. Hizi ni serikali za kishetani zenye asili ya kuzimu. Zingetoka Kwa Mungu zingejiepusha na maovu. Eti uongozi wa Mama Samia, Mwigulu, Nape au January umetoka Kwa Mungu? Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa asema Mungu.

  • @juliusryoba3142
    @juliusryoba31429 ай бұрын

    Mzee ahsant sana Mora akulinde na akupe afya njema, HUO NDO UZALENDO

  • @seiftaji7838
    @seiftaji78389 ай бұрын

    safi sana dawa imemuingia samia hana hofu ya mungu

  • @shubebunyesi542

    @shubebunyesi542

    8 ай бұрын

    😂😂 kama vile wewe unahofu yaani kwanini mkishiba hamchukui jembe mkalime na mvua nyingi jamaani uongozi sio lelemama ebu jiangalie wee umeifanyia nn familia yako yaani mambo yote Aya yanayofanyika kila Kona yaani mnataka mnambie amuoni mkiwa mnasafiri mbona mambo yanakwenda au ukiwa na chuki huwezi ona mazuri ya mtu Niwaambie tu kama mmeamua kumkataa bila sababu kataeni kwa mapenzi yenu lkn mama anachapa kazi

  • @user-zm7kk1tr5l
    @user-zm7kk1tr5l23 сағат бұрын

    😂😂😂😂 mzee unamadini kichwani mwenyezi mungu akutuze

  • @solutionprovider7155
    @solutionprovider71559 ай бұрын

    Kumbe tuko wengi,rais hana faida hata kidogo,ila Yeye na familia yake na wapambe wake tu ndio wanafaidi ila Mungu yupo

  • @TeamKRX

    @TeamKRX

    5 ай бұрын

    Nasikia msago

  • @nyemowanyotanjemaudm4360
    @nyemowanyotanjemaudm43604 ай бұрын

    Msema kweli.uwaga nmpenz wa MUNGU 🙏🙏

  • @IssaJuma-jj6jx

    @IssaJuma-jj6jx

    4 ай бұрын

    swadaktaaaa

  • @jumamario-vr1mw
    @jumamario-vr1mw11 күн бұрын

    Kweli mzee umeongea ukweli❤❤❤❤

  • @user-th5fz3dv2b
    @user-th5fz3dv2b9 ай бұрын

    Mhm!! Rudi tu kuwasaidia WENZAKO Watanganyika MBONA tunajiwsza

  • @estambuya3901
    @estambuya39019 ай бұрын

    Mungu akulinde baba.

  • @ismaeliZakayo
    @ismaeliZakayo4 ай бұрын

    Ongera mzee tungepata wazee 1000 kama wewe nchi ingenyooka vizuri , Mungu akulinde ,akutunze ,mwombe Mungu sana sana, na uwe makini sana

  • @user-pz7zi2bf1w
    @user-pz7zi2bf1w9 ай бұрын

    Tamu sana

  • @PeterMgani-v7c
    @PeterMgani-v7c15 күн бұрын

    Sema ukweli mzee safi

  • @aminielngungati1487
    @aminielngungati14874 ай бұрын

    This is revolution Watanzania tuamke Sasa tunahutaji mabadiliko

  • @LeahKazeni
    @LeahKazeni13 күн бұрын

    Mungu WANGU hata hili litapita

  • @user-jy8fl1mv8j
    @user-jy8fl1mv8j9 ай бұрын

    afadhali umesema mzee wangu hata hafai kuitwa mama huyo ni mhuni tu wakawaida

  • @TeamKRX

    @TeamKRX

    5 ай бұрын

    Muhuni nasikia pombe msago ndio zako

  • @heliudjulias7748
    @heliudjulias77489 ай бұрын

    Huu ndio ukweri ata uku mtaani akubariki wara hatu muerewi cjui ana ongoza vitu gan ni panga pangua arafu mafisadi ndio rafiki zake nape mwigulu na januali makamba hata wana wake wenzie huku mtaani hawa mpendi kama kufa

  • @umlaith2611
    @umlaith26112 ай бұрын

    Koma wewe Mzee kuwataja WaTanzania. Sisi tunampenda ikiwa wewe humpendi na kikundi chako kidogo, sisi haituhusu. Wacha choko choko.

  • @veronikakagali5997
    @veronikakagali59972 ай бұрын

    NIPO NA MAMA SAMIA! Yeye ni mzalendo namba moja wa nchi ya Tanzania na sio Zanzibar! Ubaguzi hautawafikisha mbali...

  • @annabyekwaso-wt7oi
    @annabyekwaso-wt7oi2 ай бұрын

    Nilipenda uongozi japo ninaokwenye damu ila nimsalaba,eeeh mum Samia Mungu akutie nguvu na akupe washauri wazuri ktk siku hzi zilizobaki na afya na ulinzi wa kimbingu tu ndo langu.

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo83089 ай бұрын

    Nakupenda sana kakangu, mama jiondoe mapema mama, utaumhuka, yapo yanayokuja.

  • @user-eu7jo4lx1c
    @user-eu7jo4lx1c5 ай бұрын

    Allahu akbaru hawa ndio watu wanaotafuta pepo ikiwa kwaajili ya Allah

  • @user-wl9ev2mb5s
    @user-wl9ev2mb5s2 ай бұрын

    Hawa ndio watu muhimu sana katika hii dunia

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma85019 ай бұрын

    Good job wa zanzibar nduguzagu

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza74509 ай бұрын

    Huyo mzee ni hazina ya yetu. Anasema ukweli baadaye mtasema mchochezi ila anawachoma .ccm haiwezi kupita hata siku moja sasahivi wanapanga wizi mpya wa kura na katiba kamwe hamutaipata. Hata kwa uchawi muwatowe subutu .vyombo vyote angalia magufuri alikuwa anasafiri vyombo vyote vya usalam.nyerere hajawahi kufanya hivyo

  • @jayson.chanel.9870
    @jayson.chanel.98709 ай бұрын

    WELL SAID

  • @khalifasaidi7001
    @khalifasaidi70016 ай бұрын

    Mnyonge mnyongeni hakiyake mpeni, mama samia tangu ameingia madarakani kapambanapakubwa sana kuihusu zanzibar amehakikisha kero za muungano zimepunguzwa pakubwa kuliko wakatiwowote acha chokochoko

  • @StephenKitura
    @StephenKitura28 күн бұрын

    Mzee wangu upo sahihi

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr7 ай бұрын

    Ni kweli kweli huyu mzee hajaongea pumba abadaan

  • @user-hr2hw9fc9q
    @user-hr2hw9fc9q4 ай бұрын

    Mama Samia Tuendelee na KAZI SAFI wacha Mzee Abwatee tuu!!

  • @modrikabdallah
    @modrikabdallahАй бұрын

    2memchoka wa tanzania wote naa wala habadiliki uyo samia nimwizi2 kwenye taifa le2❤

  • @stefanomasolwa8979
    @stefanomasolwa8979Ай бұрын

    Huyu Baba nampenda kweli kabisa anasema ukweli handi Raha sana sio wengine wana Mwabundu huyu samia kama Mumgu

  • @hamidali-ej6du
    @hamidali-ej6du2 ай бұрын

    Huyu hasemi.kweli,na hapaswi kushangiliwa. Anachodai sio ya msingi. Katiba mpya sio suluhisho.

  • @user-nv9to8cq6d
    @user-nv9to8cq6d5 ай бұрын

    Ila aliachia huru mashekhe wa zanzibar ,"DOGO ILO" PUMBAVU ZAKO

Келесі