MZEE MAKAMBA AWAACHA HOI SAMIA, KIKWETE AKITEMA CHECHE KWENYE MKUTANO MKUU CCM, AMNADI MZEE KINANA
MZEE MAKAMBA AWAACHA HOI SAMIA, KIKWETE AKITEMA CHECHE KWENYE MKUTANO MKUU CCM, AMNADI MZEE KINANA
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 791
R.I.P my HERO my Heir anko MAGU 🙏🏼🙏🏼🙏🏼 Malipo ni hapahapa 😭😭😭
RIP magu pumzika kwa amani baba..l miss you baba 😭
@abdulkarimtwaha8148
2 жыл бұрын
Utopolo tuu muhunii
@jenniferkalinga736
2 жыл бұрын
@@salma0000 pumzika kwa amani 🤣
@abubakarihamissi4178
2 жыл бұрын
Mfuate pumbavu
@azizaabdulkarim
21 күн бұрын
Aaaaaqaaaaqaqq@@abubakarihamissi4178
Hakuna kitu hapo, lakini bado sana kumkaribia hata kidogo JPM. Pengo aliloliacha JPM ni ngumu sana kuzibika kirahisi rahisi hivi. RIP, BABA YETU, JPM.
@ramadhanwilbard8196
2 жыл бұрын
Na ww ukifa lengo lako halitazibika, sote njia ni moja na hili ukutane na Mungu ni lazima ufe .
@bahatijacob7430
Жыл бұрын
Kweli,mm,Niko,na,magufuli
Pumzika kwa amani JPM. We real mic you. Wamerudi wezi, wahuni na porojo ni nyingi. Mtaani matatizo yamejaa. Umeme tunakatiwa, wafanya biashara wananyanyaswaa. Mungu tusaidie kwani hata matajiri wezi wanakufa na kuoza. Asali mnaramba wenyewe sasa mseme watz tunaramba asali. Tunaramba vumbiii kwa msivyotujali.
@mbwanarajab4756
2 жыл бұрын
Kwani Jpm alitupa asali tukaramba? Mambo ni hayohayo tu
Asali hiyo mnailamba wenyewe. Watanzania hawajaiona wala kuisikia, I’m sorry to say that. And I’m sure wengi wataniunga mkono . Hawa CCM wanatufanya Watanzania shamba la bibi. Sasa basiiiii👎🏾
@magrethmollel1078
2 жыл бұрын
Exctly very correct Mery
@jonathankyando2698
2 жыл бұрын
Una ushahidi au unaropoka tu?
@suleimanabdillah7490
2 жыл бұрын
Wajinga hufikiri kwa ufupi,wapi duniani wanapolambishwa asali,zaidi ya fursa!?acha kulalama tumia akili
@aymankhadija619
2 жыл бұрын
@@salma0000 Hhahahaha🤣🤣🤣umenchekesha sana dada sikutegemea🤣
Leo angalia methari zinavyotumika kuweka sawa uwezo wa kufikiri. Fumbo mpe mjinga mwelevu atafumbua tu. 🤣🤣🤣
@magrethmollel1078
2 жыл бұрын
Mungu ni wa majibu watajibiwa tu na hivyo vijembe vyao
RIP JOHN POMBE MAGUFULI😔😔🥲
Kwa watanganyika hakuna maendeleo tena, mafisadi walimuuwa ,RIP JPM
@fidelismwakanyamale6787
2 жыл бұрын
Kama una ujua walimuua basi na wewe watakuua
@sarahmmbwanji3782
2 жыл бұрын
@@fidelismwakanyamale6787 walimuua ndio
@htx1873
2 жыл бұрын
TUNAOELEWA SISA ZA BONGO NDIO WAMEMUUA KWAAJILI YA MASLAHI YAO🥴🥲😭 . INCHI YA KISENGE SANA
@TM-zs3rm
4 ай бұрын
Na tumefilisiwa hada. Kundi zima liko hapo mbele. Ni hatari kwa nchi yetu.
Hamna kitu....nyie endeleeni kulamba asali mwisho upo jirani tuu......vijana Wana maliza vyuo wapo mitaani mnaendekeza kuteua wazee waliokula nchi Kwa miaka zaidi ya 40....this is shame!!!
@ahz6907
2 жыл бұрын
Shame and too selfish....
@ramadhanwilbard8196
2 жыл бұрын
Vijana wakina Kondakita wasiojua kuwaheshimu wazee?
@pendopendokimathkimath1218
2 жыл бұрын
Wote hawa mungu mwenye haki anaweza asiwafikishe iyo 2025 wanayotaka kutufikisha kwa mateso mungu usilipize kisasi ila pasipo haki washa moto
@suleimanabdillah7490
2 жыл бұрын
nonsense. nafasi moja hiyo inaweza jazwa vijana wote?badilisheni vichwa vya kusoma ili muajiriwe,soma ili uweze kutumia elimu kuyapambania maisha.
@jafarimurutu3076
2 жыл бұрын
Tatizo mnasoma ili muajiriwe badala ya kusoma ili uelimike ujiajiri🤣🤣🤣🤣
Dah utafikili nchi ya babu zenu,pumbavu zenu ccm hamna lolote vitu vimepanda Bei nyie mnagawana asali dah
@magrethmollel1078
2 жыл бұрын
Wao wanalamba hawana wasi hofu na mashaka ni kwetu 😭😭😭
@linnamlay3643
2 жыл бұрын
Hata Kenya Ni Ccm inatawala? Acha zako tatizo la dunia usitufokeee🤣🤣🤣🤣🤣makamba hoyeerr
Watu wanaraha zao ndio maana watoto wao wako mdarakani ,,Ila wasubiri hukumu ya Mungu,Magufuli nakukumbuka sana
@ziadasadiki8196
2 жыл бұрын
😷😷😷😷😷KUMBE HUKUMU YA MUNGU IPO EEEE. OK MMMHH. TUNDU LISU ANAKUSALIMIA SANA NA WENGINE WENGI
@nurualamoody4305
2 жыл бұрын
Malipo hapa hapa duniani ahera mahesabu
@toshindugwa1085
2 жыл бұрын
Naungana nawe malipo hapa hapa
Rest in peace our presdent Magufuli alijitoleamaishayake kwaajili yetu wa Tanzania wanyonge tunakukumbuka sasa
Jeshi Magufuri pumzika kwa Amani tunaumia sana lkn Leo najua Mungu kukuchukua alikuwa anamaama kubwa na funzo kubwa sana kwetu.
@juliuschacha3658
2 жыл бұрын
Awezi kupata tena kashayakoroga
@juliuschacha3658
2 жыл бұрын
Utampigia mwenyewe kura
Acheni unafiki wazee Sasa mtuachie serikali yetu ,mkiongozwa na huyo mdoli, lala salama baba 😞
@ahmeidayoub6078
2 жыл бұрын
.
Rip 😭 Magufuli hatutawahi kukusahau umuhimu wako unaonekana
RIP jpm
@charlesfrancis1720
2 жыл бұрын
Unafki mtupu na fimbo ya mungu itawahukumu
@charlesfrancis1720
2 жыл бұрын
Chama kimerudishiwa matapeli na wanyonyaji
@hidayaamani7150
2 жыл бұрын
Mungu yupo ikosiku atawafedhehesha nasmini ipo siku inshallah
@kombedavis4056
2 жыл бұрын
R.I.P JOHN JOSEPH MAGUFULI.....mzalendo mkwel daima, pumzika kwa Amani baba
I MISS you my President J,P,M hatutakusahau kamwe wacha wajigambe lakn dunia ni hii hii waendao ni viumbe siku yaja mungu ataturudia tena.
@jonathankyando2698
2 жыл бұрын
Wacha maneno ya ajabu ww
Jamn nimemisi Sana Rais wetu, Jpm lala salama baba daima tutakukumbuka
@Silay1034
5 ай бұрын
Kalale nae huko bwege utamkumbuka acha kuzungumza upuuz Magu ndo Nani watu walikuwa hawapumui
Kinana alijiuzulu ukatibu mkuu,,leo amekubali kuwa makamu wa CCM,maajabu sana, leo wasio mpenda magufuli wanarudi licha ya mambo yote.
@bugybuster5788
2 жыл бұрын
Yanii siasa zina unafki sanaaa hawa wazee wanafk sanaa ila MUNGU ndy muweza wa yotee
@happynjukiz6495
2 жыл бұрын
Point less na itakuumiza Sana badirika kuringana na uongozi huu.siyoni kama ni tatizo wewe unajenga chuki ya kishamba na jifunze kuishi vizuri na watu hata kama huwapendi itakusaidia badae.
@mashirimathias6006
2 жыл бұрын
@@happynjukiz6495 mjinga ndo huyu sasa
@davidsimbeye1548
2 жыл бұрын
Kama unaona mwenyekiti kichwa maji kwa nini usijiudhuru, na Kama isingekuwa ubabe kwenye uchaguzi wa 2020 tungeshuhudia anguko la CCM kuliko miaka yote
@christinammassy1550
2 жыл бұрын
Tatizo liko wapiiiii 👌🏽Wampendeje Mungu keshampenda zaidi 😜
Sasa tutakoma nchi imeshikiliwa na wenyewe 🙌
Huyu mzee ameishiwa..mambo ya kuongea...watanzania wanaumia..unasema wanaramba asari...
@bonifacekalima5273
2 жыл бұрын
Yaani wana uhakika
@alhaminyangusi8035
2 жыл бұрын
Acha stress ww ,, wenzio wamepambana saiv wanalamba asali tu na wajukuu zao .. na ww apo ulipo pambana ili mwanao astirike baadae .
Mungu wa Magufuli uko wapi? Mbona hawa wanafiki wamerudi kwa kasi? Nchi inaongozwa na familia.
@ramadhanimtetu7246
2 жыл бұрын
Nadhani Yupo Chato huko
@mohamedsalum8933
2 жыл бұрын
The higher you climb the harder you fall.
mtamchaguwa nyinyi Wana chama wa CCM lakini watanzania siyooo wakihiivyoo hatuchaguwi majizi
@ziadasadiki8196
2 жыл бұрын
CCM OOOYYYEEE. THIS IS CCM
@ziadasadiki8196
2 жыл бұрын
JISEMEEE WEWE NA UKOO WAKO, CCM OOYYYEEEEEE
@johnngowi6619
2 жыл бұрын
@@ziadasadiki8196 wewe sio ccm wewe ni kinuka mavi mmoja usie jitambua
@ziadasadiki8196
2 жыл бұрын
@@johnngowi6619 🤣🤣🤣CCM OOOOYEEEE, MAMA SAMIA SAFIIII. MAMA MWENYE HURUMA HAPENDI DHURUMA HAPIGI WATU BASTOLA, MAMA MPENDA AMANI NA MTULIVU. CCM OOOOYEEEE. ASIYEIPENDA CCM NA MAMA ACHIMBE SHIMO AZIBE MASIKIO.
@aronatv47
2 жыл бұрын
Kuna Awamu Ambayo Haikuwa na Majizi..?na 2025 Samia. Huyo Hugo atapita Ndio mtajua Kuwa Sisi ni Mbulula na Wajunga Hao hao Ccm watapita kwa Kishindo TZ unafiki sanaaa..
RIP MAGUFULI
@christinammassy1550
2 жыл бұрын
😜Kaingiaje hapa sasaaaa.....👌🏽
@zainabmapezi5730
2 жыл бұрын
Wengine wanafiki tu.
@snkhannassoro2404
2 жыл бұрын
@@christinammassy1550 akili komkichwa
Utafikiri hii nchi ni ya ukoo wenu
Vibrant speech...and very motivational...this guy is a gift to Tanzania...Makamba hoyee👏👏👏
@rosemerrymasalakulangwa4456
Жыл бұрын
Mzee Makamba speech. Nzuri sana
Mbona wajumbe hawajachangamka,ccm tuwe makini kazi ipo mbele kubws
@wilbertmmary9076
2 жыл бұрын
Mambo yamebadilika hii Ni awamu ya Mama. Tumuunge mkono katika kusukuma gurudumu la maendeleo.
Rip magu tumekwsha wanarudi duuuu
@hopekulwa6880
2 жыл бұрын
Ya mungu mengi tuombe mungu amani idum tanzania mana hii mitandao mingine inapotosha
@hopekulwa6880
2 жыл бұрын
Kidum chama tawala
@erickford9324
2 жыл бұрын
Unaramba asali wewe Mzee coz unakula bure Zanzibar mchele kilo 3000
Wapinzani wanchi hii mnatuangusha sana mkiwa serious, hii nchi mnaichukua kirahisi sana, ccm hawana kitu tena wamebaki kufanya comedy tu
@ziadasadiki8196
2 жыл бұрын
Chuki haisaidii tena hapa ni Ujipe Raha na Amani ya moyo tu. MAISHA MAFUPI
@aronatv47
2 жыл бұрын
Nyie Enzi za Awamu ya Tano kuna Madudu yalikuwa yamafanywa wakisema Mnawatukana..SHIDA Wa TZ ni fuata upepo na Mihemko.Mingi Pia Hatujajua Tunataka nini kwenye Nchi Yetu Bahati Mbaya wana Siasa wametusoma Akili zetu Wanajua pakutushikaa..
@gladysmwendwa3660
2 жыл бұрын
Mnoooo
@gladysmwendwa3660
2 жыл бұрын
Mapema Asubuhi tunawapa nchi
@saidipara4134
2 жыл бұрын
Yani dahh
Kumbe hii nchi niya kujuana kama hukuwahi kupita jeshi hutoboi 🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼awachagui viongoz wanachagua kulindana matumbo
@suleimanabdillah7490
2 жыл бұрын
Kajiunge nawewe
ongopa we kwa kula ya famila yako, RIP JPM tutampenda daima alijua kuiheshima nchi, ss tunarudishwa tulipokua unafiki tu mazuzu yanapiga makofi mwenzenu anafagilia chakula.cha wanae nyie mazuzu pigeni makofi nyambafu
@mbaumau3565
2 жыл бұрын
wewe mbona unalopoka lopoka kweni kiswahili unakijuwa au mkongoman wewe mzee makamba hapa ajaongea chochote kibaya wewe ndio unaleta ubaya humu
@sheryphamwenevalley6124
2 жыл бұрын
@@mbaumau3565 piga makofi zuzu wee, ss wenye akili awatudanganyi kula ya familia zao hakuna jipya🤑
Naanza kumuelewa baloz wa Malawi Alisema Kuna kikundi Cha wahuni wamepiga copy serikali kwaajili ya mambo yao binafsi akakazia kataa wahuni 🙏😁
@sumisumi8181
2 жыл бұрын
Pole pole Kapewa ubalozi kwa sababu hawe mbali na mchezo wa ndani
Evi mnajisahau kuwa hakuna atakae ishi milele duh leo wapigaji wamerudi kwa kasi jamani eeehh Mungu wangu watanzania tuamke jamani tumepigwa vibaya JPM uko wapi baba natamani ingewezekana urudi leo hii watu wengine nchi hii watakuwa wakimbizi
TIME WILL TELL WHAT NEXT LETS GO 2025,CCM SIO YA FAMILIA AU YA WATU FULANI TU,MUOSHA HUOSHWA
@abdirizakibrahim1975
2 жыл бұрын
Kama tutakuepo Albert 2025 tutajionea wenyewe kama mpangaji ataweza kujiita mwenye nyumba au mwenye nyumba ndo mwenye nyumba
@nyamizimpangule8640
2 жыл бұрын
Tumechokaaaaaaaaàa
How old is this gentleman ? Very vibrant and dynamic..... Love his speech...
Bashiru yuko wapi...?? Tujifunze maisha uweke akiba
Ogopa kuishi na mtu anayekusifia tu bila kukusaidia mchango wowote wa mawazo.
Kuleni nchi hakuna wa kuwazuia, Kuleni mkisaza wengine tutapata
@princebuganzilut2047
2 жыл бұрын
Hujaskia swali la hamna matumbo??
@husseinkazigo6189
2 жыл бұрын
Umenena san mkuu
@mbwanarajab4756
2 жыл бұрын
Kutesa kwa zamu
@bonifacekalima5273
2 жыл бұрын
Acha wajinadi..huo hata methali wanazo ropoka
@angellomarcel5677
2 жыл бұрын
Duh..!
Magufuri, pumzika kwa amani baba yetu.. tutakukumbuka watanzania
👍love this speech...makamba,be strong 💪
@yonabilshan6424
2 жыл бұрын
2025 Katiba na time huru vikifanyiwa kazi majigsmbo yatakuwa 0
@dottoramba9218
2 жыл бұрын
@@yonabilshan6424 @
@samwelsimon7392
2 жыл бұрын
Hovyoooo rest in peace jpm
Kundi hili la kujuana la kifisadi ni hatari sana kwa nchi yetu bila hawa wazee kuondoka wananchi wataendelea kuishi maisha magumu sana
Mzee makamba nakushauri Sana usimchulie mama yetu ,nakumbuka hata ndugai alimuambia magufuli akimaliza awamu zake mbili lazima ataongezewa tena miaka kumi mingine, ndugai amemchulia magufuli sasa leo magufuli hatunaye tena sasa naona mzee anamchulia mama yetu,
RIP Magufuli
Ulishaona matapishi yanakuwa msosi. Namba tutaisoma kweli.. Dhuuuuuuuh
RIp JPM 😭😭🙏🙏
Acha uongo mzee hiyo asali unaramba wewe
@mombasa0076
2 жыл бұрын
Wewe pia unaramba lakini macho huna ndio maana huwezi kuona. Pole sana
@homeboy2307
2 жыл бұрын
@@mombasa0076 sawa
@homeboy2307
2 жыл бұрын
@@mombasa0076 sawa
@fraviansweetberty8819
2 жыл бұрын
😄😄😄😄😄😄😄😄👊👊👊👊👊👊
nanji mtakufa tu.R ,I.P magufuli ama kweli ila jamani nyinyi watu mungu anawaona
Makamba jinga sana
@angellomarcel5677
2 жыл бұрын
Huyu mzee khaaaa
mnaramba na familia zenu asali situnaramba shubili mungu atatukumbuka tu ipo siku🙏🙏🙏🙏
Rest in peace,Doctar JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI
Mwenyezi MUNGU apigie mstari hiyo 2525,sisi tutamshukuru sana maana ni 2525 ndiyo mzee wetu anamuomba MUNGU iwe, na apewe kama haja ya moyo wake hiyo 2525 amina.
very intelligent speech !! Makamba.
Mzee wangu, ivi kuna faraja gani kama mfuko mmoja wa mbolea umepanda bei kutoka sh. 50,000/- hadi sh.120,000/-? Mpaka muda huu, umeme umekatika muda mrefu bila hata taarifa? Hayo ni mfano tu, yapo mengi tu yasiyoridhisha.
Asante mzee wetu makamba tuwaenzini wazee wetu haifai kuwatukana maisha kigeugeu
Natamani magufuli atokee happy nadhani kunawatu watatamani kukifukiya chini wakiwa wazima
Huyu msambaa kapiga sana hela enzi zake za ukuu wa mkoa wa dar na katibu mkuu wa ccm Taifa.
Amemuona kikwete akipiga za mayele gonna like zang
Kanuni ya Mungu wakati mwingne humwinua mtu ili amdhiri. Uongo na ukweli huwa vinashindana lkn ukweli siku zote hushinda haijalishi uzito wa uongo unaojaribu kuufunika ukweli uko kiasi gani. Mungu ibariki Tanzania yetu pamoja na wanyonge walio wengi.
@bantuisolele2543
2 жыл бұрын
Ni kweli kabisa yaani unajuimbua mwenyewe watu wakuone u mtu wa namna gani na kila kitu huenda kwa wakati na maksudi yake
@mankacharles4559
2 жыл бұрын
Tunakuomba uliyetuumba utu teteeee uumbaji wako
Acheni kumpangia Mungu...tusubiri ya Mungu..mjengoni yalipigwa makofi pale pa kuongeza miaka Mungu akasema no..jifunzeni
R. I. p Magufuli.....
Mzee makamba Mungu akutunze sana,🤣🤣🤣Tumeona.mbogo sembuse swala,,🤣🤣🤣,,Natamani kukutana na Hawa wazee,,Mzee makamba,Mzee kikwete,,Mzee kinana.
Waiting for you 2025 kazi ipo na ikitokea mkapitisha huyo kikalagosi mungu lazima atatenda tena maajabu Tanzania Mungu Ibariki Tanzania mungu tuokoee wanao uliyo tupa nchi hiii kama zawadi lakini Sasa tunachezewa akili zetu na wapumbafu wacheche Uko wapi Amani yetu Iko wapi ile demokrasia tunayo isema my Young brothers and sisters let we fight to gather ....... Waiting for 2025
@Given-Norman
2 жыл бұрын
Unachokisema ni kweli kabisa wanaongea tu na kupanga wanavyo jisikia hawajui kama Mungu yupo anayesikia maombi na vilio vya wa wanyonge, watashangazwa hao mpaka basi bado Mungu ajachoka kuiokoa Tanzania.
@suleimanabdillah7490
2 жыл бұрын
Kwaiyo Magu naye alikua kikalagosi sio!?
@suleimanabdillah7490
2 жыл бұрын
Go back to school
@gladysmwendwa3660
2 жыл бұрын
Kwenda mwana kwenda sijakufosi unijibu Elimu inakupasa uipate wewe!? .......Ukute mpka hapo ulipo Elimu uliyonayo ni ya madrasa....Kiazi wewe
@aceofspades3728
Жыл бұрын
Kuna msemo unasema Kila maskini hufikiri tajiri ni mtu mwenye roho mbaya,mbinafsi na kama sio mwizi basi mchawi au pesa zake si za kihalali...sababu anaishi maisha ya starehe wakati Kuna watu wanateseka na kutaabika wakati tajiri humuona maskini kama mvivu,mjinga,mchawi,anavisingizio......Fanyeni Kaz achen uninga
rest in paradise our hero JPM 🙏🙏🙏
@ramadhanwilbard8196
2 жыл бұрын
Kiongozi yeyote duniani lazima awe na hekima;hukikosa hekima unapata hasara.
@onionpeeling5822
2 жыл бұрын
Kuishi na watu vizuri ni busara na diplomasia iliyo nzuri in within.
@fillomuhenga4240
Жыл бұрын
Mzee makamba huwasichoki kukusikiliza unakipaji Cha kuongea hayuko anayekuzidi ndani ya ccm kwa wazee
CCM, chama baba , chama mama , viongozi imara wenye huruma na hekima sio watu wa revange au ubabe 👏🏾👏🏾👏🏾💪🏾💪🏾💪🏾
Mheshimiwa Makamba hongeragwe kwa Hotuba. Kweli asali twalamba. Shabiki letu la Simba. Asante sana swahiba.
Mwafulani kafurahiii , RIP JPM
Serikali imejiweke mafafiki je mmoja akifanya ufisadi atachukuliwa hatua,,, ila Watanzania kwishinea,,, mamiradi yote yatakufa,,,hakuna atakae Fanya kazi Kwa uaminifu
Rest easy #JPM
R.I.P Magu tulikupenda ila Mungu kakupenda zaidi
Napenda sana busara zako makamba nakuombea maisha marefu mungu akulinde
Mzee Makamba Hongera Sana,maneno yako Ni ya busara Sanaa;Mungu aendelee kukulinda ili tuendelee kuchota busara zako!!!Mungu akubariki Sanaa!!!
Wanandugu wakiitafuna Tanzania yetu
@adrianobariye8096
2 жыл бұрын
Kweli timu imekamilika
Umeme upi? Au wa Majenereta?😂😂
Mungu amlaze jpm mahala pema peponi amina
WATU SIO WAJINGA, WANASIKIA, WANAONA, WANAELEWA. RIP MAGU.
Vicheko vya shebe inchi iko icu mna zambi kubwa Sana wakuu
@khadijamahmoud4365
2 жыл бұрын
Ni siku gani nchi ilikua paradiso? Achen unafki
Jpm Angeishi na wapinzanii vizuri wangemsaidia kuongoza na nchi ingefika mbaali zaidi Kuliko hawa aliowaona ni marafiki kuumbee ndio wabaya wake ayaa
Comrade Makamba umeupiga mwingi. Allah akujaalie maisha marefu na afya njema Mzee wetu
Pumzika jemedari wetu jpm.tutakumbuka daima
Kinana? Ndo akili ya sisiem imeishia hapo kweli????? Tyr wametuangusha. Sio kwa kinana hapo ni zeroo kabisa
@aronatv47
2 жыл бұрын
Kama ni Mfuatilliaji vizuri was Haya Mambo sio Kama.wale kwenye Vijiwe vya Kahawa..Nikukumbushe Kama Unakumbuka Mchakatto wa Vua Gambaa ndio Utaelewa na Sio Kinana tu ongeza Nape na wengine walio husika Kipindi.kileee..Japo.tukumbuke Hakuna mkamilifu asilimia.100 hata awe mbaya vipi Hakosi Mazuri.
@BIGBOSS-hl3bu
2 жыл бұрын
Kinana ananini kwani ?unaemtaka wewe wengine hawamtaki na ninaemtaka mimi pengine wewe humtaki pia sasa tukae bila viongozi?hata wewe ukipata nafasi wapo watasema no na wengine watasema yes sasa wewe ni mtu mzima usifuate porojo za watu utakonda bure mkuu.
Mnasingizia upofu wakati nyinyi ni mafisadi mliwekwa pembeni JPM
Iledamu yadhamani iliyomwaga yampendwawetu rais wetu magufuli imetumika kamasadaka yaukombozi kwanchiyetu 2025 mungumwenyewe atashuka kuhukumu wahuni hawa.
@dickmollel1505
2 жыл бұрын
Ameen!!! Mwenyezi Mungu wetu halali
RIP magu pumzika kwa amani baba..l miss you baba
Kuzima moto tumekuelewa sana mzee acha maji yaendeleee tuonane 2025
@imamushafiiforgoodislamict5420
2 жыл бұрын
CCM haishindi Kwa kura za wananchi wewe, ukipiga kura usipige CCM lazima itashinda t , kwahiyo Samia kama akigombea uraisi hiyo 2025 lazima atashinda t, nani anabisha?
Tumeanza kuiba tena oyee CCM
R.I.P JOHN JOSEPH MAGUFULI....mzalendo na msema kweli daima!
@mbwanarajab4756
2 жыл бұрын
Alikuambia juu ya kukopa? Alikuambia juu ya rambirambi za kagera? Acha uzandiki wa kishamba wewe na unaonekana mwongo
@kombedavis4056
2 жыл бұрын
@@mbwanarajab4756......Mitazamo tofaut juu ya uelewa, neno uzandik uelew hata maana yake, punguza mihemko, pa kutumia akili usitumie hisia......JOHN JOSEPH MAGUFULI mzalendo mkwel ambae WATANZANIA wazalendo tuu ndio waliomuelewa!
@kombedavis4056
2 жыл бұрын
@@mbwanarajab4756 R.I.P JOHN JOSEPH MAGUFULI.....mzalendo mwana wa Africa mkwel...kuna mtu bila aibu anaulizia rambi rambi za kagera, aulizii standardgage,wala mradi no 4 kwa ukubwa Africa wa kuzalisha umeme! wala mtu huyo aulizii vp kuhusu ile aibu ya viongoz wetu kwenda kukodi ndege kenya
@mbwanarajab4756
2 жыл бұрын
@@kombedavis4056 Wale wa kushangilia bila ya kufikiria ndio wengi na ndio mitaji ya wanasiasa , kwan wao humpa mtu sifa ambazo hana. Wazalendo Afrika ni kina Gaddafi waliokataa kuishi nyumba nzuri mpk wananchi wao wajengewe nyumba nzuri kwanza. Mwenzako alikua anatembea na hela za serikali huku babaako anakufa na madeni pamoja na njaa kwa Serkali kushindwa kusaidia wazee leo unaita mzalendo. Akili za watanzania wachache ni kumsifia hata yule anayekutesa na kukugombanisha na yule anateweza kukusaidia hata chumvi ukiwa huna. Angekua mzalendo asingeharibu uchaguzi mdogo na mkubwa hadi leo watanzania wanateseka kwa kutokua na wakuwatetea
Shikomoo na Salamu, mheshimiwa Jakaya. Chembe hauna ubaya Kali lako tabasamu.
Waeshimuni wenye mamlaka..ila mm kwasasa ccm hamna kiongozi bora kifupi siwaelewi..jpm next life be a leader
Kinana alikutegea ufe wewe kwanza.
Huyu mzee dah nimependa speech zake mungu amjalie umri mrefu
Maguful bora angewafunga hata jela Hawa majambazi wa taifa,ila Mungu atatupa maguful mwngne tunaamin
Chama cha familia
Yaani Wanaume mkija kumwacha mwanamke agombee nitawaona wapuuzi sana, Kikwete usitutishe, Samia ni Rais wetu but she is not our choice it was MAGUFULI, So muhula ukiisha tunataka waheshimiwa wagombee ili tupate chaguo letu msitake kutulazimisha
Mzee Makamba bado ni kijana .Anachekesha Sana ata ukiwa na hasira utache tu. MUNGU kampa hekima zake. DUH UNBELIEVABLE.
Nimesoma comment zote Kwa ujumla mnaumia rip magu
Mheshimiwa Kikwete, nakuomba tuonane. Hima na tuje tutete, na kishapo tujuane. Na uje unipe kete, alizokupa manane. Natanguliza Asante ni usiku saa nane.
YES KUWA ENZI WAZEE SIYO KUWA FETHEHESHA......NO UKUBWA.....HKEKIMA☝️💯
Mama Samia Rais wa Tanzania Ongera unaupiga mwingi sana kama Taifa limepita katika Covid na sasa vita ya Ukraine lakini tunasonga Barikiwa sana
what a speech
Viongozi tunaowachagua, hasa baadhi ya wabunge na washirika wao. Ibada zao ziko ndani ya mashimo polini. Mungu aliye hai ASEMA; anachukizwa na ibada hizo za miungu ya shetani, waache. Nabii Sospeter Kabangutse, kada ccm, Kigoma Tanzania.