PART 1: MZEE MAKAMBA AMVUNJA MBAVU KIKWETE HADI MACHOZI YAMEMTOKA...
PART 1: MZEE MAKAMBA AMVUNJA MBAVU MSTAAFU KIKWETE HADI MACHOZI YAMEMTOKA...
LEO Desemba 05, Rais mstaafu wa awamu wa Nne, Jakaya Kikwete na viongozi wengine wa serikali wameshiriki katika kumbukumbu ya kifo cha baba mzazi wa Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, Hayati Brigedia Moses Nnauye..
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 307
Kama ulikua huijui team kikwete ndo hii hapa, hii ndo team ilitaka kumuweka Membe awe rais lkn Mkapa akasema hapana tumpe Magufuli
@mussaabobakar7537
2 жыл бұрын
WanAfik hawa wanafanya tz yao ya ukoo
Asanteni kwa Kumbukizi hii Muhimu ya Mzee wetu Moses Nnauye imetujuza mengi kuhusu nchi yetu🇹🇿🇹🇿🙏
@benardmapuga8370
2 жыл бұрын
Miso jiongeze ndg yangu
Dunia hakuna Siri inayodumu maisha yote...tatizo huwa ni muda tu
Mzee Moses Nawye alitutembelea JKT Oljoro 1978.Anapopiga siasa yake alipiga na Kodiani.Makruti hadi walisahau muda wa kula.Walicheza sana.
Wamefurahi serikali imerudi mikononi mwao wanafiq wakubwa 😏
@mohammedshaaban9509
2 жыл бұрын
Wew ndio mnafiki wa kwanzaa,kwa kuongea usichokijuaa
@rukkysayid6613
2 жыл бұрын
@@mohammedshaaban9509 kwendaaa ww unakijua nn eeh😏😏
Ila hawa siyo bure kuna kitu wanapongezana. Jogoo halijawika tutaona mengi.
@idrisarashidi4046
2 жыл бұрын
Hiyo utajua ww
Sio wakati wa siasa za maneno....Ni wakati wa maendeleo kwa vitendo....darasa tuliisha Pata... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Sawa nchi ya kurithiana tusubiri na januari mtoto wake apewe cheo na riziwani mwanae atapewa wale ambao hawana wazazi serikalini tusubiri mwaka 20100
@MsAggie5
2 жыл бұрын
Umeona eeeh ndo nimeelewa kwa nini hawakumpenda Magufuli, walilidhiana uangalizi wa watoto wao lol! Kisa wana historia ndani ya serikali. Angalau Magufuli hakupenda kuuendekeza huu upuuzi kwani na sisi hatufai kuongoza? Mafisadi wakubwa
@benardmapuga8370
2 жыл бұрын
Nalo neno hilo ndg yangu maana majina yanaanza kurudi koo zilezile utadhani wengine hawajasoma
@thomaschengena6369
2 жыл бұрын
kila mtu anahaki ya kuwa kiongozi
@MsAggie5
2 жыл бұрын
@@thomaschengena6369 ndo maana tunashangaa Kwa nini uongozi uwe WA kiukoo?
Hakuna Siri Duniani Hapa haitafichuliwa....
Mmmh ama kweli damu ya mtu nzito iko siku mtasema yote mliyo yafanya.
@itwaaky75
2 жыл бұрын
Unamaanisha nini?
Wanajeshi wasitaafu katika ubora wao, Kikwete, Makamba,Kinana wote ni Wanajeshi wasitaafu wanamkumbuka mjeshi mwenzao Moses.
Siasa za maji taka! Hata mfanyeje, "Wa mbili havai moja"
Hii ni dalili ya Nape kusaka madaraka
Ujue muangalie mara nyingi sura ya mtu inaendana na matendo yake kazee kanafiki hako na s yy na timu yote ilokoo hapa ni ya wanafiki na mafisad wa mali za taifa
@Emmadav1
2 жыл бұрын
Mioyo yenu imejaa chuki na visasi
Major Yusuph Makamba, Kanali Jakaya Kikwete, Kanali Abdurahman Kinana wakimzungumzia Brigedia Jenerali Moses Nnauye
Fisi wameachiwa bucha kuuuzaaa !!!!!!!!!
Mungu atayaweka azalani maovu yao timu kigogo mumuhue mtu heti mtamalaki nchi Mungu atawaumbua subiri wanafiki kubwa Mungu Mambo yenu niwkt tu yatakuwa qazi
Kwa kauli ya Makamba baba yake Freeman Mbowe aliiachia nchi hii sadakat el jalia je yanayompata mbowe ndiyo malipo sahihi ya aina hiyo ya sadaka?
Dakika ya 3 Mzee kaongopa ! Ni hadith na sio Quran.
Madhulmati wanaoiteketeza nchi yetu, wanaodhani wanaimiliki nchi wako ndani. Iko siku Mungu atatulipia. Devils on the loose.
@davidchande
2 жыл бұрын
Kweli kaka mashetani hawa
@jameskemege2663
2 жыл бұрын
Barakoa vipi leo
@Emmadav1
2 жыл бұрын
Jisumbue kwa mawazo yasiyo na maana.
@mohammedshaaban9509
2 жыл бұрын
Shetani wa kwanza ni wew
@kefajoseph158
Жыл бұрын
@@mohammedshaaban9509 mwiisilamu hajawahi kuwa mwema
Shujaa JPM ameondoka ndo wanatoka adharani, tulikuwa tunasikia sauti za kurekodi tu dadek
Namkumbuka mzee moses Nnauye alikuwa mlezi wa shule yetu sumve sec Kwimba Mwanza mungu amlaze mahali pema peponi
Mapungufu kwa kila mtu yapo,ila mazuri pia kila mtu anayo,wazee wangu mungu awape umri mrefu nyinyi ni motivation yetu.
Ishi miaka 1000 hapa duniani kwa mungu ni sawa na siku moja tu,endeleen na unafiki wenu mungu wetu anakuonen,na tunakuomba usituache pigana nao wanao iyumbisha Tzania kwani tangu JPM aondoke hatujui kinacho endelea ktk nchi yetu hatuwezi peke yetu hatuwezi tunaomba toba na rehema pale tulipokosea tukaenda kinyume na wewe unatujua vyema tunomba rehema zako mungu wetu ameren.
Wenye CCM yao wamerudi safii sana
@bepalilogathbepali9547
2 жыл бұрын
Mpaka rahaa jaman
@MsAggie5
2 жыл бұрын
Usafi uko wapi enzi zao ukivaa nguo ya ccm kaliakoo unazomewa au mmesahau
@ibrahkimesu2402
2 жыл бұрын
Wanajijenga wakupigeni halafu nyie hao hao mnashangilia. Waafrika bwana
@MsAggie5
2 жыл бұрын
@@ibrahkimesu2402 wanafurahia dili Lao la bandali ya Bagamoyo hela inaingia siku si nyingi unaona mkwere anavyocheka Kwa raha zake na wabongo walioshikiwa akili wanafurahia anyway labda hao nao wako kwenye mikondo ya upigaji
RIP shujaa wawili wazalendo walimu wawili JK Nyerere na JPM ..,. Haya mliobaki uzeni nchi hata vijukuu vyenu siku moja vipige makaburi yenu kwa urafi na ubinafsi wenu..
@rahmarajab3688
2 жыл бұрын
Duuuh, Umejuaje?
Mungu akubariki zaidi mzee Yusuf Makamba hekima zako zinahitajika muda wote na hazitachuja. Mungu akupe maisha marefu zaidi na zaidi watanzania tukufaidi zaidi
Wafu hawana kumbukumbu lolote,sema usemavyo,lakini kila mtu atakufa
@gracejulius3966
2 жыл бұрын
Hakika umenena
Hizi namba mungu anaziona!! Pumzika baba
Hii ndiyo team ya kigogo, ukitaka kujua nyuma ya panzia wanapongezana kumlaza uncle katika nyumba ya milele. Huu ni unafki wa hali ya juu. Mungu anawaona.
@itwaaky75
2 жыл бұрын
Una ushahidi?
Wamzee muongo sema tu mwanao au watoto wenu mnatka watuongoze maisha manguful aliwayoosha kwel saf sana mlikuwa kimnya
Mungu awape Maisha marefu wazee wetu mna hekima utu na upendo tele
Mungu aendelee kumjalia afya njema na maisha marefu Mzee Yusufu Makamba.
@peterbayo4677
2 жыл бұрын
Anafaa kuwa mwigizaji maana ni msanii mzuri sana! 🤗🤗🤗🤗🤗🤗
@sememakolo9360
10 ай бұрын
Kwalupi alilolifanya
Haya maisha jamani Mungu ndo mbabe kuliko takataka yoyote hapa duniani,kuna bwana mmoja alitaka hawa wazee wale nyasi lakini sasa hivi wanakula bata kwa amani zote,
Wahuni
Sura mbaya kama kibwengo sasa iv mnakula bata tu kwa mh.Magufuli mlikiona cha Moto kwanza CCM itakufa na kupotelea mbali
@jameskemege2663
2 жыл бұрын
Watu wanasherekea ushindi ila angalia pia zenu zinawaelekeza wapi
Tanzania ndio nchi mtu anakuchukia hata hajawahi kukuona😂😂😂😂😂
@benardmapuga8370
2 жыл бұрын
Sio lzm uonekane tulifundishwa somo la history kuwa babu zetu walinyanyaswa na wakoloni nasi tukawachukia kwani tuliwaona?
Hayo sio maneno ya Mwenye ezi Mungu...bali ni maneno ni ya Mtumi Muhammad saw.shukrn
Mmmmmmmh mzee makamba amechanganyikiwa...kwahio hizo nyimbo ni swadakka tuljaaria...innalillah wa innaillah rajiuuun
@aishaally2611
2 жыл бұрын
Mwehu
Dunia ni mapito mzee ....
Dunia imefikia mwisho kwa kweli.... maneno mengi no results...
Pamoja na madhaidha yako mazuri nakushukuru sana Mhe Yusuf Makamba Mhe daktari Kikwete Rais mstaafu jamani wazee wangu nna uchumba na Mhe daktari Rais Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mke wangu jamani mpenzi wangu jamani lakini naona mambo kama hayaendi kabisa naomba Dua zenu nyingi zinahitajika sana Mhe Rais mstaafu jamani.
Hakuna mtu mbaya na anayeharibu hii nchi na kutengeneza makundi mabaya kama kikwete
@dadialidadi1622
Жыл бұрын
Achaa kumsemaa kikwete mbuz wewe kikwete aliajir mpaka wengne wakawa wanachaguaa kaz kaa kimyaaa nyau kutesaa kwa zamuuuu kwan huu uongoz wa saiv upo sawa tuu kikwete is the king of tz alikua anajua kuish na watuu
@dadialidadi1622
Жыл бұрын
Mbnaa mambo yako swa sisahau magu alirejesha watu jkt walivurugwaa mpakaa wengne wakajinyongaa lakn kikwete alikuaa ukingiaa jakata utaumiaaa lakn utapata japo panadol ya ajiraaaaa achaa aendeleeeee ding wetuu hahahahahahahaa
Dah kwer tuxhapigwa na kitu kizito Kama mwendo ndo huu
Lazima aongee alilolitaka ameshalipata.Alinyamza kimya baada ya JPM Kuondoka kila mtu anarudi. Japo wameshastaafu.
@ghoststpatrick9878
2 жыл бұрын
Wacha watu wawe huru jambazi sugu limezikwa chato
@alimussa2655
2 жыл бұрын
@@ghoststpatrick9878 😂😂😂
@ibrahkimesu2402
2 жыл бұрын
Hawajastaafu kuiba wamestaafu uongozi tu. Upigaji una kustaafu?
@ibrahkimesu2402
2 жыл бұрын
@@ghoststpatrick9878 baa yako angevaa condom kusingezaliwa takataka kama wewe nguruwe kasoro rangi. Mnashindana na marehemu wakatiijambazi halisi inaendelea kuwaibia! Lazima wewe ni ndugu zako hayo majangili yakipora unatumwa timwa nayo. Tunawazoom tu ipo siku mtatafuta pa kutokea
@ghoststpatrick9878
2 жыл бұрын
@@ibrahkimesu2402 ahahahaha Ibrah umepanick ! Jambazi jambazi tuu we tukana unavyoweza it won't change anything ... Chaliiii in chato 😂😂😂
NAMBA CHAFU HIZO ZILIZOMDONDOSHA JAMAA...!....ZIMEKUTANA...!
Maisha tanaenda lesi mzee wakusambaa mnafiki aliongiza mkoa kibabe nakiwabomilea machinga leo yupowapi kazeeka kawaachia wengine wacheni ufisidi msiwanyonye maskini ikiwa mnakula nguvu zao
Wazee wanaiharibu Nchi hii maskini RIP JPM
Hiz comments za humu hatar sana mweee🙌🙌🙌🙌
Mashalla baba yangu mzee makamba allah azidi kukupa umri mrefu na afya njema kila siku maana huwa unatupa faraja sana 😄❤️
@rukkysayid6613
2 жыл бұрын
Faraja gani ya unafiq 😏😏
@waheedahtanzania4912
2 жыл бұрын
@@rukkysayid6613 Mmhu Astagfirullah laadhwim,,😔😒
@zuhuramwanafuno1851
10 ай бұрын
Khaaaaa😳
Ma Yudaaa!
Yaani huyu mzee anaona daraja kupewa jina la mtu ni kitu kikubwa sana kwake ndiyo maendeleo kwake. Hii ndiyo sababu mpaka leo miaka 60 baada ya Uhuru bado tunahangaika na umeme, maji, madawati, madarasa, Barabara. Tanzania tuko nyuma sana for 60 years tungelikuwa tunajenga blockchain infrastructures DeFi, POV, metaverse, tungelikuwa na research instructions kama research solar energy, cancer, diabetes. AI. Mambo kibao. Lakini kwa style hii 60 years hire kabisa. Omg brain ni bidhaa adimu sana
kweli Jpm alikuwa anaogopeka kwa watu wote wasingeweza kuongelea maswala ya nnauye
Hawo ndiyo mapapa wa nchi miradi yote ya kimkakati imesimama wananchi tujipange 2025 tuumalizie huu uchafu tuanze upya
@ilynpayne7491
2 жыл бұрын
Haha hilo jambo sahau aisee nchi hii ni mali ya CCM na maslahi ya chama kwa ujumla
@MsAggie5
2 жыл бұрын
Mjipange kweli hayo mapapa hayatakubali kuiachia nchi kiurahisi hivyo! Kama wamemuondoa mwenzi wao kisa alikuwa anawabana!
@blessroberto764
2 жыл бұрын
Fisi kakabiziwa bucha
@salvatorymtunga2802
2 жыл бұрын
Hamna kiongozi aliyeongoza kwenye nchi hii na hata nchi zote duniani aliyekosa mapungufu na mema, wote wametawala kwa nyakati tofauti na huwezi kuwalinganisha maana mda ulukuwa tofauti.Viongozi ni kama wachezaji wa mpira wa miguu, mchezaji akikosa kufunga goli.utawasikia mashabiki wanavyomshambulia, ila wewe shabiki ukiingia uwanjani unaweza usiguse mpira kwa dk 30 nzima.
@saimonjmai801
2 жыл бұрын
Upo nchi gani ndugu, hii inchi iogope Sana siasa yake nizaidi ya hizo fikra zako
Wenye nchi yao wamefika moto tunao🤣🤣🤣
Sisi atutaki story zenu tunataka mabadiliko ya maisha
Uongo mtupu! Hakuna kiumbe asiye na adui duniani, lol😭😭😭😭🙃
Hii historia tamu sana
Aliposema moyo wa ukarimu na upendo, Nape got emotional akakimbilia ndani kwenda kutoa chozi kidogo
Allah atuongoze inshaAllah 😥
Haya ndio mliokuwa mnayataka kurithishana watoto na vitukuu wenu kulipana fhadila na JPM Hakutaka na alitaka kuyavunja haya madudu yenu na hapa umeyasema yote na kuonyesha dhamila yenu na why mlimchukia. Story nyingi ohh sijui wazee wa nchi zaidi ya unafki tu
Huyu mzee hakuna lolote kama mtoto wake yananiboa
Tz nakupenda nakupenda
Na Field marshall john okelo apewe mtaa gani Zanzibar?
Mhh kazi kweli kweli
Hii kumbukizi haikufanyika miaka yote, kwa nini sasa??
@davidmvukie3273
2 жыл бұрын
Ungekuwa unasoma na kufuatilia vizuri.Usingekurupuka kuuliza hili swali
@mabubambassa2333
2 жыл бұрын
@@davidmvukie3273hujui kinachoelendea wewe dogo. Sisi tunajua na lengo lao kubwa lilikuwa ni lipi? Kwa taarifa yako haikuwa kumbukizi tu hiyo, kuna hiden agenda nyuma yake. Endelea kulala tu hivyo hivyo, zwazwa wewe.
@davidmvukie3273
2 жыл бұрын
@@mabubambassa2333 Sasa kama unaijua na umeamka,nend ucounteract
Kikwete a good leader..I can't forget his speech at Mandela funeral.
@adamhenrymwashambo6649
2 жыл бұрын
That was super eloquent Speech ever...
@edwardmizambwa237
2 жыл бұрын
Good Leader - Good Speech!?!?!?!?!?
@mekin8684
2 жыл бұрын
What is a good leader to you !!!speech!!?. Look Tanzania was during his presidency term??? Drugs every corner, corruption, unemployment, fund mismanagement and then tell me where was his good leadership?
@boeihongoa1436
2 жыл бұрын
@@mekin8684 unemployment? You are not serious bro. Get a life.
@annethebenezer5409
2 жыл бұрын
E
Subxanallah nyinbo sio sadakatul jaaria ?
MAJAMBAZI WAKUBWA!
Alijipachika jina lake mtaa wenye historia ya wapigania uhuru eneo la gerezani kariakoo mtaa wa mbaruku akaita makamba kuforce tu.maeneo ya kutoa jinalake yapo mengi nchini lkn kataka sifa ya kishamba tu.aende zake
Very crucial Makamba still active ameongea mambo ya msingi saaana kuhusu NNAUYE mhsrip wazee wenye TIJA ya kuacha URITHI na umoja wa KITAIFA
Mmh, acheni kujifanya miungu watu. Acheni KULITUMIA JINA LA NYERERE
wazee wa kuliangamiza Taifa🤣🤣
@princemucho6067
2 жыл бұрын
Yaaaani nimecheka mbaya Daaah🤣🤣😅😅😅🤣
We mzee vipi nyimbo swadakatul jaaria Utubie usiku mzima we
@aishaally2611
2 жыл бұрын
Amepotoka...! Porojo nyingi sana,mtu mwenye hekima ni yule anayekaa kimya.
Nyerere ana sadaka jaria gani?usipeane sifa zikapitiliza mzee ama ndo huo uzee unakuingilia vbaya?chunga usemayo mzee wangu ulimi usikuponze
NAPE AMEIMBA KWA HISIA KUBWA TAIFA LINA HITAJI UMOJA KULIKO KITU CHOCHOTE. MAENDELEO YANAYO GAWA NA KUBAGUA WATU HAYAJENGI TAIFA BALI YANA BOMOA.
Dunia hii asie adui ni nan? Naamini mtu mwenye hekima ni yule anae mpokea na kusamehe adui
Bado tena bado kabisa wazee waaina hii ktk dunia ya sasa ni mzigo tu hawanafaida kwa Taifa
@itwaaky75
2 жыл бұрын
Punguza chuki
Anampigia debe nape, hiindiyo timu jakaya
Huyu Mzee makamba nimunafiki ndio maana munapehana nafsi za ugozi nchi mumefanya yenu mpk magufuli mumemua naunafiki mtupu
@benardmapuga8370
2 жыл бұрын
We nae jitahidi kuandika tukuelewe hoja nzuri lkn maneno unatuchanganya
Serikali yetu imerudi tupige hela
@faiditv5535
2 жыл бұрын
Ahahaha
@MsAggie5
2 жыл бұрын
Kama uko kwenye system why not kazi kwetu walala hoi tusio na watu serikali wala chamani
Ila huyu mzee aisee ni very fun na anajua kuteka jukwaa na attention ya wasikilizaji🤣🤣
RIP MAGUFULI
Maajabu
🤗
mzee kikwete huwa yeye ni mtu wafuraha masaa yote
Makamba akikutana na Kikwete, nawe jiandae kuvunjika mbavu kwa kicheko kama huna nongwa nao! Anayosema ni ya kweli vijana wa ccm choteni katika historia ya hao wazee na hao wanaowafanyia dua, hawakua na mapito yaliyo mepesi!
Utupolo wakiwa wanajipongeza
Tumepigwa
KAMWIBIE MAMA MWATE hahahahahahaaaa
CCM HOOYE
Wewe mzeell
Mungu tuokoe na hili genge kwa namna yoyote ile eti wanaumia flyover kuitwa kijazi na mfugale ee mungu vunja hili genge kwa kukitoa kichwa Chao kichwa Chao unaijua wewe mungu wetu tutendee mungu watatumaliza mungu ni watu hatari sana hawa watu
@ghoststpatrick9878
2 жыл бұрын
Mungu alishatuokoa na jambazi kuu limezikwa chato 😂
@omarymkamba3045
2 жыл бұрын
unapotoa jina la eneo kuna utaratibu wake Rais Magufuli alikuwa anakurupuka tu na kutoa majina ya marafiki zake bila kufuata utaratibu.Kujenga miradi hakuanza magufuli Marais wote walikuwa wanatekeleza miradi lakini walikuwa hawatoi majina hovyo hovyo halmashauri na wananchi wa eneo husika.Ukweli lazima usemwe magufuli alifanya kazi yake vizuri lakini alikuwa na mapungufu pia lazima mapungufu yake lazima yasemwe.
@ghoststpatrick9878
2 жыл бұрын
@@omarymkamba3045 100% real talk
Nchi ipo mahala salama sasa
Dah nchi yangu...
Wazee wakukunja nne
Naomba baba utusaidie aya ya ngapi wengine hatujasoma
Heeeee mzeeee
Mnacheka chekatu wanafik
Kumbe kadri umriunavyokwenda nimeamini dishi linayumba