Fuatilia Mwanzo TV Plus SUBSCRIBE KZread Channel yetu Follow us on X, Facebook and Instagram
Жүктеу.....
Пікірлер: 54
@ceciliamagalabajimmy4391Ай бұрын
❤Asante kwa mafunzo mema wakili msomi Madeleka. Mungu akubariki.
@user-jt4lo1og8w24 күн бұрын
Mawakili wamekuwa machawa wa watawala ,hivyo basi wananchi tumebaki yatima .❤❤❤❤
@PatricePatrice-ue4ylАй бұрын
MADELEKA WE LOVE U❤ BRO FROM AMSTERDAM 🫶🏿❤️🫶🏿
@sammykateregga623815 күн бұрын
Shangazi Fatma and Peter Madeleka we are receiving valuable lessons. Thanks so much and God bless you. You are planting seeds that will produce future fruits for all.
@hildandumbalo5827Ай бұрын
Madeleka Hongera sana 🎉🎉🎉
@MathewNathan-yb2bz17 күн бұрын
Madeleka nakukubali sana.Mungu akubariki sana.Umeongea mambo mengi muhimu na ya msingi sana.Taifa hili la Tanzania linahitaji watu wenye ujasiri na uthubutu kama ww.Ww ni mzalendo na kizazi cha wana wa Mungu wenye kujiamini.
@altonkanjolonga2380Ай бұрын
we still have a very long journey,hongereni sana kazi yenu ni njema sana kwenye Taifa letu.Watanzania tunawahitaji watu kama nyie ili taifa letu lisonge mbele
@lupakisyoassa1579Ай бұрын
Ni vizuri majaji wote wakapigiwa kura kuliko kuteuliwa, maana watamtumikia aliye wateua, hata hivyo majaji ni kwa ajiri ya watu.
@InnocentCharles-hm3ffАй бұрын
I appreciate adv. Madeleka...he's a phenomenal lawyer...Fear is bad than cancer...yes! Bad than death!..
@jacobmakono4399
16 күн бұрын
I'm sorry Sir,ni worse than na siyo bad than
@user-oy5dz5xl8sАй бұрын
Anzisheni chama cha mawakili binafsi ili kuusimamia haki bila kufungwa na mifumo
@user-eo4bl3do8k
Ай бұрын
Unasema kweli kabisa, kwasababu nchi hii ni lazima iwe na mawakili wa kweli ,kwasasa mpaka mawakili wametekwa na mfumo wa kichawa wa ccm
@cyprianboniphace-oz5lw19 күн бұрын
Saluti kwako Madeleka,watu wa aina yako ni wachache.
@abdalahgunda1319Ай бұрын
Madeleka one of the brave lndipendet privet advocate in Tanzania vary brave we thanks advocate madeleka with fatuma karume we head your pin point adress tanzania jenelist
@mayrfrimi4759Ай бұрын
Inasikitisha sana kuwa Rais wa Tanzania ndie anachagua viongozi wa Tz, hapana hapa anakosea, viongozi wanatakiwa kuchaguliwa na wananchi,
@1961nungwi
Ай бұрын
Hajakosea, anafuata katiba ina vyosema. SI yeye tuu, hata waliopita na wajao watafanya hivyo hivyo, kwa mujibu wa katiba
@mayrfrimi4759
Ай бұрын
@@1961nungwi anajua ugali wao uko wapi na ndio maana kuipitisha katiba mpya inakuwa ngumu kwake,
@yonnasamwel2145Ай бұрын
Mrithi wa Tundu lisu
@user-oy5dz5xl8sАй бұрын
Nyie mawakili kama hamta simama kidete nchi hii utakuwa wa ajabu sana
@stewartdyamvunye-wz6rnАй бұрын
Siku zote nawakubali ila leo Madereka na F. Karume nimewakubali zaidi. Kuna suala la gharama za kuendesha kesi mahakamani. Ni kubwa mno kiasi kwamba wanyonge hawawezi na hivyo hawana haki! Ilifaa sana hili nalo mlimulike.
@faustinebahenobi3412Ай бұрын
Duhh! Hii nchi imeoza
@mayrfrimi4759Ай бұрын
Inasikitisha sana kwa Tz yetu unakuta baadhi ya viongozi wanafanya uongozi kwenye lazi ambayo jata hawajawah kuisomea, haya ni maajabu ya dunia, wakifeli utakuta wakisema eti unajua nchi zilizoendelea wanapata maendeleo , sijui nn na nn, shem on you.
@user-lw3tg3yg5bАй бұрын
Mawakili waaminifuhebu saidieni nchi inaangamia hakuna haki katika nchi hii jamani tusaidieni.
@nyandonashon7429Ай бұрын
WE JAMAA UNGEGOMBEA URAISI WA TLS NINGEKUPIGIA KURA
@PatricePatrice-ue4ylАй бұрын
MWABUGUSI im MACHO'S ❤💯❤
@gowekogoweko5803Ай бұрын
Well said
@cyprianboniphace-oz5lw19 күн бұрын
Katiba mpya ni muhimu,mahakama iwe huru,isipokee amri kutoka kwa watawala.
@jacobmakono439916 күн бұрын
Yaani mtu kama Msomi Madeleka anapswa kuishi maisha maefu
@user-el7ni7xb8k25 күн бұрын
Nakujubali sana piter madereka wakili msomi
@user-vo7oq3gz9c17 күн бұрын
Ss wananchi tunawapata wap nyiye mawakil
@user-rz9xx7nx8t18 күн бұрын
P nakupogeza kweri sisi tulio wengi atujielewi kama sio kujitambia.watu wanatekwa,wanauwawa na kupigwa lisasi kama lisu.lakini tunasema ichi inaamani.sio kweri.
@ChristianMkumbo-ix2keАй бұрын
Asante sana madeleka kwakunifuguwa macho na akili
@Master-ww7ur15 күн бұрын
Ukisikiliza vizuri Fatma anavyoiongelea katba ya 1977 utaelewa kwanini rais wa Kenya hayati Jomo Kenyatta alisema watanzania ni kama maiti hawatakaa waamke wadai haki yao😮
@knight6757Ай бұрын
Madeleka 💪
@abdalahgunda1319Ай бұрын
Chief justice in Tanzania nedd to be pointed by tanzania people not pointed by ccm leadership locel curt need printed by province avoid all this oder from politician from gavment to jurgies what to do it has been so much crush because system of ccm leadership control all gavment system from palament Curt this is really challenge on to our national tanzania
@mayrfrimi4759Ай бұрын
Wadau ukweli ni kwamba Samia anaweza kazi , ila shida kubwa ni kwasababu ameiambia dunia kuwa yeye atakuwa kama chura kwenye uongozi wake. Wanaojua tabia za chura watakuwa wamemuelewa, Mungu ibariki Tz.
@mayrfrimi4759Ай бұрын
Samia nadhani umesikiliza huu mdahalo, na umeelewa, maana ulituambia unapenda kuwa mtandaoni, sasa basi piga kazi acha kutuambia eti umekuwa chura, huongei unasonga . Mbele, ,huko mbele unafikaje lama huoni njia? tusikilize ss wananchi na utufanyie wepesi kuliko magumu tunayopitia sisi watanzania.
@user-rz9xx7nx8t18 күн бұрын
Fatma mumeweka wazi ili tuwassikie,shida unachaganya lugha wengine atukisoma.elimu hoyo tunaipataje kama sio kutumyima?
@KumbushoMbanga-hf3wx15 күн бұрын
Hoja kama hizo ndizo zinazotakiwa
@PaskalGwandu-q2v19 күн бұрын
Kaka madereka rejea comment ya video hi wote wanafki kuwa pafekt
@annapeter4994Ай бұрын
NIMEFURAHI SANA KUONA WANAWAKE NA WANAUME WA NCHI YETU WAZALENDO
@calabash4221Ай бұрын
Mawakili wamekuwa wanasiasa. Wanapenda siasa kuliko kutenda haki. Na hili wanalifanya kwa kuwa kwenye siasa kuna mileage. Wakili, Hakimu, mwendesha mashtaka na Jaji...wote wanavutana kwenye technicalities..kama kuna watu wanavunja haki za watu ni mahakimu, majaji na mawakili....
@PatricePatrice-ue4ylАй бұрын
👍🏿👏🏿👍🏿
@annapeter4994Ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥👌👌👌👌💪💪💪💪💪💪
@ndogoroedson19917 күн бұрын
Wanakiwasha nn makenge tu hao?
@jacobmakono4399
16 күн бұрын
You must be crazy
@GodfreyOswardАй бұрын
Tulipo badilisha, hakutikea chama au taasisi ukuelezea mabadiliko hayo.
@mayrfrimi4759Ай бұрын
Viongozi wa Tz wanachekrsha walionuna kwa aina ya uongozi wao, mfano unamkuta wazir wa afya hajasomea hata nursin, people are you sirious?? Ni kosa kubwa sana, au mkuu wa majeshi ambae hajasomea hata jeshi
@allyshaban406Ай бұрын
Mawakili wengi baadhi yenu ni machawa wa serikali, na hutarajia uteuzi. Mawakili!!! Umemsikia yule mzee chizi wa ccm alichokisema kuhusu mtu wa ccm na chadema?
@plujoncylugano4611Ай бұрын
Ninyi mawakili na mahakimu wa kike mmekuwa mbele na tayari mno kumsaidia mwanake anayelalamika bila kutafuta kwa kina ili kuweka mzani sawa.Hata ninyi mawakili wa kujitegemea mmekuwa hamfuati haki.
@user-sw7tf1ob1b18 күн бұрын
Kama mahakimu na makarane ni mungu watu hasa makarane ni shida wakaguliwe wafukuzwe na wafungwe
@SundaySteven-bz4yqАй бұрын
Hii katiba wanaoingangania ni hawana ccm wanaoitana uchaguzi ukiisha waende Dodoma maana tungekuwa na katiba mpya Kuna viongozi wa serikali wangefia gerezani Kwa ufisadi ila ipo siku wataibadilisha bila kujua wajifunze mfano Kwa majirani zetu
Пікірлер: 54
❤Asante kwa mafunzo mema wakili msomi Madeleka. Mungu akubariki.
Mawakili wamekuwa machawa wa watawala ,hivyo basi wananchi tumebaki yatima .❤❤❤❤
MADELEKA WE LOVE U❤ BRO FROM AMSTERDAM 🫶🏿❤️🫶🏿
Shangazi Fatma and Peter Madeleka we are receiving valuable lessons. Thanks so much and God bless you. You are planting seeds that will produce future fruits for all.
Madeleka Hongera sana 🎉🎉🎉
Madeleka nakukubali sana.Mungu akubariki sana.Umeongea mambo mengi muhimu na ya msingi sana.Taifa hili la Tanzania linahitaji watu wenye ujasiri na uthubutu kama ww.Ww ni mzalendo na kizazi cha wana wa Mungu wenye kujiamini.
we still have a very long journey,hongereni sana kazi yenu ni njema sana kwenye Taifa letu.Watanzania tunawahitaji watu kama nyie ili taifa letu lisonge mbele
Ni vizuri majaji wote wakapigiwa kura kuliko kuteuliwa, maana watamtumikia aliye wateua, hata hivyo majaji ni kwa ajiri ya watu.
I appreciate adv. Madeleka...he's a phenomenal lawyer...Fear is bad than cancer...yes! Bad than death!..
@jacobmakono4399
16 күн бұрын
I'm sorry Sir,ni worse than na siyo bad than
Anzisheni chama cha mawakili binafsi ili kuusimamia haki bila kufungwa na mifumo
@user-eo4bl3do8k
Ай бұрын
Unasema kweli kabisa, kwasababu nchi hii ni lazima iwe na mawakili wa kweli ,kwasasa mpaka mawakili wametekwa na mfumo wa kichawa wa ccm
Saluti kwako Madeleka,watu wa aina yako ni wachache.
Madeleka one of the brave lndipendet privet advocate in Tanzania vary brave we thanks advocate madeleka with fatuma karume we head your pin point adress tanzania jenelist
Inasikitisha sana kuwa Rais wa Tanzania ndie anachagua viongozi wa Tz, hapana hapa anakosea, viongozi wanatakiwa kuchaguliwa na wananchi,
@1961nungwi
Ай бұрын
Hajakosea, anafuata katiba ina vyosema. SI yeye tuu, hata waliopita na wajao watafanya hivyo hivyo, kwa mujibu wa katiba
@mayrfrimi4759
Ай бұрын
@@1961nungwi anajua ugali wao uko wapi na ndio maana kuipitisha katiba mpya inakuwa ngumu kwake,
Mrithi wa Tundu lisu
Nyie mawakili kama hamta simama kidete nchi hii utakuwa wa ajabu sana
Siku zote nawakubali ila leo Madereka na F. Karume nimewakubali zaidi. Kuna suala la gharama za kuendesha kesi mahakamani. Ni kubwa mno kiasi kwamba wanyonge hawawezi na hivyo hawana haki! Ilifaa sana hili nalo mlimulike.
Duhh! Hii nchi imeoza
Inasikitisha sana kwa Tz yetu unakuta baadhi ya viongozi wanafanya uongozi kwenye lazi ambayo jata hawajawah kuisomea, haya ni maajabu ya dunia, wakifeli utakuta wakisema eti unajua nchi zilizoendelea wanapata maendeleo , sijui nn na nn, shem on you.
Mawakili waaminifuhebu saidieni nchi inaangamia hakuna haki katika nchi hii jamani tusaidieni.
WE JAMAA UNGEGOMBEA URAISI WA TLS NINGEKUPIGIA KURA
MWABUGUSI im MACHO'S ❤💯❤
Well said
Katiba mpya ni muhimu,mahakama iwe huru,isipokee amri kutoka kwa watawala.
Yaani mtu kama Msomi Madeleka anapswa kuishi maisha maefu
Nakujubali sana piter madereka wakili msomi
Ss wananchi tunawapata wap nyiye mawakil
P nakupogeza kweri sisi tulio wengi atujielewi kama sio kujitambia.watu wanatekwa,wanauwawa na kupigwa lisasi kama lisu.lakini tunasema ichi inaamani.sio kweri.
Asante sana madeleka kwakunifuguwa macho na akili
Ukisikiliza vizuri Fatma anavyoiongelea katba ya 1977 utaelewa kwanini rais wa Kenya hayati Jomo Kenyatta alisema watanzania ni kama maiti hawatakaa waamke wadai haki yao😮
Madeleka 💪
Chief justice in Tanzania nedd to be pointed by tanzania people not pointed by ccm leadership locel curt need printed by province avoid all this oder from politician from gavment to jurgies what to do it has been so much crush because system of ccm leadership control all gavment system from palament Curt this is really challenge on to our national tanzania
Wadau ukweli ni kwamba Samia anaweza kazi , ila shida kubwa ni kwasababu ameiambia dunia kuwa yeye atakuwa kama chura kwenye uongozi wake. Wanaojua tabia za chura watakuwa wamemuelewa, Mungu ibariki Tz.
Samia nadhani umesikiliza huu mdahalo, na umeelewa, maana ulituambia unapenda kuwa mtandaoni, sasa basi piga kazi acha kutuambia eti umekuwa chura, huongei unasonga . Mbele, ,huko mbele unafikaje lama huoni njia? tusikilize ss wananchi na utufanyie wepesi kuliko magumu tunayopitia sisi watanzania.
Fatma mumeweka wazi ili tuwassikie,shida unachaganya lugha wengine atukisoma.elimu hoyo tunaipataje kama sio kutumyima?
Hoja kama hizo ndizo zinazotakiwa
Kaka madereka rejea comment ya video hi wote wanafki kuwa pafekt
NIMEFURAHI SANA KUONA WANAWAKE NA WANAUME WA NCHI YETU WAZALENDO
Mawakili wamekuwa wanasiasa. Wanapenda siasa kuliko kutenda haki. Na hili wanalifanya kwa kuwa kwenye siasa kuna mileage. Wakili, Hakimu, mwendesha mashtaka na Jaji...wote wanavutana kwenye technicalities..kama kuna watu wanavunja haki za watu ni mahakimu, majaji na mawakili....
👍🏿👏🏿👍🏿
🔥🔥🔥🔥🔥🔥👌👌👌👌💪💪💪💪💪💪
Wanakiwasha nn makenge tu hao?
@jacobmakono4399
16 күн бұрын
You must be crazy
Tulipo badilisha, hakutikea chama au taasisi ukuelezea mabadiliko hayo.
Viongozi wa Tz wanachekrsha walionuna kwa aina ya uongozi wao, mfano unamkuta wazir wa afya hajasomea hata nursin, people are you sirious?? Ni kosa kubwa sana, au mkuu wa majeshi ambae hajasomea hata jeshi
Mawakili wengi baadhi yenu ni machawa wa serikali, na hutarajia uteuzi. Mawakili!!! Umemsikia yule mzee chizi wa ccm alichokisema kuhusu mtu wa ccm na chadema?
Ninyi mawakili na mahakimu wa kike mmekuwa mbele na tayari mno kumsaidia mwanake anayelalamika bila kutafuta kwa kina ili kuweka mzani sawa.Hata ninyi mawakili wa kujitegemea mmekuwa hamfuati haki.
Kama mahakimu na makarane ni mungu watu hasa makarane ni shida wakaguliwe wafukuzwe na wafungwe
Hii katiba wanaoingangania ni hawana ccm wanaoitana uchaguzi ukiisha waende Dodoma maana tungekuwa na katiba mpya Kuna viongozi wa serikali wangefia gerezani Kwa ufisadi ila ipo siku wataibadilisha bila kujua wajifunze mfano Kwa majirani zetu