#LIVE

Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZread Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Пікірлер: 54

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391Ай бұрын

    ❤Asante kwa mafunzo mema wakili msomi Madeleka. Mungu akubariki.

  • @user-jt4lo1og8w
    @user-jt4lo1og8w24 күн бұрын

    Mawakili wamekuwa machawa wa watawala ,hivyo basi wananchi tumebaki yatima .❤❤❤❤

  • @PatricePatrice-ue4yl
    @PatricePatrice-ue4ylАй бұрын

    MADELEKA WE LOVE U❤ BRO FROM AMSTERDAM 🫶🏿❤️🫶🏿

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga623815 күн бұрын

    Shangazi Fatma and Peter Madeleka we are receiving valuable lessons. Thanks so much and God bless you. You are planting seeds that will produce future fruits for all.

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827Ай бұрын

    Madeleka Hongera sana 🎉🎉🎉

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz17 күн бұрын

    Madeleka nakukubali sana.Mungu akubariki sana.Umeongea mambo mengi muhimu na ya msingi sana.Taifa hili la Tanzania linahitaji watu wenye ujasiri na uthubutu kama ww.Ww ni mzalendo na kizazi cha wana wa Mungu wenye kujiamini.

  • @altonkanjolonga2380
    @altonkanjolonga2380Ай бұрын

    we still have a very long journey,hongereni sana kazi yenu ni njema sana kwenye Taifa letu.Watanzania tunawahitaji watu kama nyie ili taifa letu lisonge mbele

  • @lupakisyoassa1579
    @lupakisyoassa1579Ай бұрын

    Ni vizuri majaji wote wakapigiwa kura kuliko kuteuliwa, maana watamtumikia aliye wateua, hata hivyo majaji ni kwa ajiri ya watu.

  • @InnocentCharles-hm3ff
    @InnocentCharles-hm3ffАй бұрын

    I appreciate adv. Madeleka...he's a phenomenal lawyer...Fear is bad than cancer...yes! Bad than death!..

  • @jacobmakono4399

    @jacobmakono4399

    16 күн бұрын

    I'm sorry Sir,ni worse than na siyo bad than

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8sАй бұрын

    Anzisheni chama cha mawakili binafsi ili kuusimamia haki bila kufungwa na mifumo

  • @user-eo4bl3do8k

    @user-eo4bl3do8k

    Ай бұрын

    Unasema kweli kabisa, kwasababu nchi hii ni lazima iwe na mawakili wa kweli ,kwasasa mpaka mawakili wametekwa na mfumo wa kichawa wa ccm

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw19 күн бұрын

    Saluti kwako Madeleka,watu wa aina yako ni wachache.

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319Ай бұрын

    Madeleka one of the brave lndipendet privet advocate in Tanzania vary brave we thanks advocate madeleka with fatuma karume we head your pin point adress tanzania jenelist

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759Ай бұрын

    Inasikitisha sana kuwa Rais wa Tanzania ndie anachagua viongozi wa Tz, hapana hapa anakosea, viongozi wanatakiwa kuchaguliwa na wananchi,

  • @1961nungwi

    @1961nungwi

    Ай бұрын

    Hajakosea, anafuata katiba ina vyosema. SI yeye tuu, hata waliopita na wajao watafanya hivyo hivyo, kwa mujibu wa katiba

  • @mayrfrimi4759

    @mayrfrimi4759

    Ай бұрын

    @@1961nungwi anajua ugali wao uko wapi na ndio maana kuipitisha katiba mpya inakuwa ngumu kwake,

  • @yonnasamwel2145
    @yonnasamwel2145Ай бұрын

    Mrithi wa Tundu lisu

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8sАй бұрын

    Nyie mawakili kama hamta simama kidete nchi hii utakuwa wa ajabu sana

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rnАй бұрын

    Siku zote nawakubali ila leo Madereka na F. Karume nimewakubali zaidi. Kuna suala la gharama za kuendesha kesi mahakamani. Ni kubwa mno kiasi kwamba wanyonge hawawezi na hivyo hawana haki! Ilifaa sana hili nalo mlimulike.

  • @faustinebahenobi3412
    @faustinebahenobi3412Ай бұрын

    Duhh! Hii nchi imeoza

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759Ай бұрын

    Inasikitisha sana kwa Tz yetu unakuta baadhi ya viongozi wanafanya uongozi kwenye lazi ambayo jata hawajawah kuisomea, haya ni maajabu ya dunia, wakifeli utakuta wakisema eti unajua nchi zilizoendelea wanapata maendeleo , sijui nn na nn, shem on you.

  • @user-lw3tg3yg5b
    @user-lw3tg3yg5bАй бұрын

    Mawakili waaminifuhebu saidieni nchi inaangamia hakuna haki katika nchi hii jamani tusaidieni.

  • @nyandonashon7429
    @nyandonashon7429Ай бұрын

    WE JAMAA UNGEGOMBEA URAISI WA TLS NINGEKUPIGIA KURA

  • @PatricePatrice-ue4yl
    @PatricePatrice-ue4ylАй бұрын

    MWABUGUSI im MACHO'S ❤💯❤

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803Ай бұрын

    Well said

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw19 күн бұрын

    Katiba mpya ni muhimu,mahakama iwe huru,isipokee amri kutoka kwa watawala.

  • @jacobmakono4399
    @jacobmakono439916 күн бұрын

    Yaani mtu kama Msomi Madeleka anapswa kuishi maisha maefu

  • @user-el7ni7xb8k
    @user-el7ni7xb8k25 күн бұрын

    Nakujubali sana piter madereka wakili msomi

  • @user-vo7oq3gz9c
    @user-vo7oq3gz9c17 күн бұрын

    Ss wananchi tunawapata wap nyiye mawakil

  • @user-rz9xx7nx8t
    @user-rz9xx7nx8t18 күн бұрын

    P nakupogeza kweri sisi tulio wengi atujielewi kama sio kujitambia.watu wanatekwa,wanauwawa na kupigwa lisasi kama lisu.lakini tunasema ichi inaamani.sio kweri.

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2keАй бұрын

    Asante sana madeleka kwakunifuguwa macho na akili

  • @Master-ww7ur
    @Master-ww7ur15 күн бұрын

    Ukisikiliza vizuri Fatma anavyoiongelea katba ya 1977 utaelewa kwanini rais wa Kenya hayati Jomo Kenyatta alisema watanzania ni kama maiti hawatakaa waamke wadai haki yao😮

  • @knight6757
    @knight6757Ай бұрын

    Madeleka 💪

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319Ай бұрын

    Chief justice in Tanzania nedd to be pointed by tanzania people not pointed by ccm leadership locel curt need printed by province avoid all this oder from politician from gavment to jurgies what to do it has been so much crush because system of ccm leadership control all gavment system from palament Curt this is really challenge on to our national tanzania

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759Ай бұрын

    Wadau ukweli ni kwamba Samia anaweza kazi , ila shida kubwa ni kwasababu ameiambia dunia kuwa yeye atakuwa kama chura kwenye uongozi wake. Wanaojua tabia za chura watakuwa wamemuelewa, Mungu ibariki Tz.

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759Ай бұрын

    Samia nadhani umesikiliza huu mdahalo, na umeelewa, maana ulituambia unapenda kuwa mtandaoni, sasa basi piga kazi acha kutuambia eti umekuwa chura, huongei unasonga . Mbele, ,huko mbele unafikaje lama huoni njia? tusikilize ss wananchi na utufanyie wepesi kuliko magumu tunayopitia sisi watanzania.

  • @user-rz9xx7nx8t
    @user-rz9xx7nx8t18 күн бұрын

    Fatma mumeweka wazi ili tuwassikie,shida unachaganya lugha wengine atukisoma.elimu hoyo tunaipataje kama sio kutumyima?

  • @KumbushoMbanga-hf3wx
    @KumbushoMbanga-hf3wx15 күн бұрын

    Hoja kama hizo ndizo zinazotakiwa

  • @PaskalGwandu-q2v
    @PaskalGwandu-q2v19 күн бұрын

    Kaka madereka rejea comment ya video hi wote wanafki kuwa pafekt

  • @annapeter4994
    @annapeter4994Ай бұрын

    NIMEFURAHI SANA KUONA WANAWAKE NA WANAUME WA NCHI YETU WAZALENDO

  • @calabash4221
    @calabash4221Ай бұрын

    Mawakili wamekuwa wanasiasa. Wanapenda siasa kuliko kutenda haki. Na hili wanalifanya kwa kuwa kwenye siasa kuna mileage. Wakili, Hakimu, mwendesha mashtaka na Jaji...wote wanavutana kwenye technicalities..kama kuna watu wanavunja haki za watu ni mahakimu, majaji na mawakili....

  • @PatricePatrice-ue4yl
    @PatricePatrice-ue4ylАй бұрын

    👍🏿👏🏿👍🏿

  • @annapeter4994
    @annapeter4994Ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥👌👌👌👌💪💪💪💪💪💪

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson19917 күн бұрын

    Wanakiwasha nn makenge tu hao?

  • @jacobmakono4399

    @jacobmakono4399

    16 күн бұрын

    You must be crazy

  • @GodfreyOsward
    @GodfreyOswardАй бұрын

    Tulipo badilisha, hakutikea chama au taasisi ukuelezea mabadiliko hayo.

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759Ай бұрын

    Viongozi wa Tz wanachekrsha walionuna kwa aina ya uongozi wao, mfano unamkuta wazir wa afya hajasomea hata nursin, people are you sirious?? Ni kosa kubwa sana, au mkuu wa majeshi ambae hajasomea hata jeshi

  • @allyshaban406
    @allyshaban406Ай бұрын

    Mawakili wengi baadhi yenu ni machawa wa serikali, na hutarajia uteuzi. Mawakili!!! Umemsikia yule mzee chizi wa ccm alichokisema kuhusu mtu wa ccm na chadema?

  • @plujoncylugano4611
    @plujoncylugano4611Ай бұрын

    Ninyi mawakili na mahakimu wa kike mmekuwa mbele na tayari mno kumsaidia mwanake anayelalamika bila kutafuta kwa kina ili kuweka mzani sawa.Hata ninyi mawakili wa kujitegemea mmekuwa hamfuati haki.

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b18 күн бұрын

    Kama mahakimu na makarane ni mungu watu hasa makarane ni shida wakaguliwe wafukuzwe na wafungwe

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yqАй бұрын

    Hii katiba wanaoingangania ni hawana ccm wanaoitana uchaguzi ukiisha waende Dodoma maana tungekuwa na katiba mpya Kuna viongozi wa serikali wangefia gerezani Kwa ufisadi ila ipo siku wataibadilisha bila kujua wajifunze mfano Kwa majirani zetu

Келесі