WAKILI PETER MADELEKA ni POLISI! AFUNGUKA KUHOJIWA UTORO KAZINI - ASEMA YEYE ni ZAIDI ya IGP...
WAKILI PETER MADELEKA ni POLISI! AFUNGUKA KUHOJIWA UTORO KAZINI - ASEMA YEYE ni ZAIDI ya IGP...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PESA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 305
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@africanuskimario1409
7 ай бұрын
Hongerababa
Hiki kichwa ni shida,alie nao mpaka alipwe stahiki zake,Vijana someni mpaka ukutane na kibao kinachosomeka no School ahead 🙌
Ukiwa umesoma na kuelewa vitu unakuwa na full confidence, Lowasa hakukosea kusema elimu elimu elimu.Congratulation wakili msomi Peter Madeleka
@salumjumaruhaga2513
8 ай бұрын
Uyo bangi zinamzumbua
@fatmakiponda8170
6 ай бұрын
Ama kweli ukimuamsha aliyelala utalala wewe...
Hongera kwa spirit ya kuwapambania watu wengine ! Mungu anawapenda watu kama wewe Doctor peter
@salumntulo1589
8 ай бұрын
Unaweza kuta ni usalama wa taifa
@user-jh4hg2ev9s
15 күн бұрын
Tunakuheshimu na tunakupenda kwa kutumia taaluma yako kutetea watu.
@user-km1do5lq7c
2 күн бұрын
Huyu anasitahili kua kiongozi wa bunge atete wanainchi
Hongera kaka! Hiyo ndiyo raha ya kuelewa mambo!!! Hadi rahaa!! Kaka unajua mambo mkuu!!!
@marianmartin7483
7 ай бұрын
Kichwa kizuri sana hiki. Safi sana. Madeleka akili nyingi.
Very inspiration, natamani nikasome sheria, kwa manufaa yangu na jamii yangu. Huyu ndiyo maana halisi ya wakili msomi.
Huyu br yuko vizuri sana zaidi ya sana tanzania tunahitaji vichwa kama hvi
Jamaa anajikubali Kwa fact sana, bigup msomi
Dah cc tunatafuta ajira kwa nguvu lakini kumbe kuna watu wameajiriwa na hawataki ajira zao dunia round about bhan tutafute hela vijana
nilikua sieleag mtu akiijita wakili msomi sasa huyu ni wakili msomi pasipo kujiita hayo maneno HUYU NDO THE REAL WAKIL MSOMI
I agree with you Peter! They did to me too and they destroyed my identity and my life… I’ve been living overseas since
Mh madeleka nakuku bali Sana mungu akubaliki
Wale wote tuliosoma Luka 3:14 mikono juu!
Jamaaaa linajua hadi raha respect madeleka
INCHI TAMU IKIWA NA WATU KAMA HAWA❤❤❤❤❤❤
Yaa inaleta raha sana kuwa na watu waelewa kama hawa katika nchi yetu, safi sana wakili madeleka mungu awe nawe daima
kweli police 👮 sio kabisa kama mimi siwapendi police na naraani ata siku mwangu akiwa police yani mimi sio baba yake police baada ya kusaidia watu wao wanakandamiza watu
Nikachukua mkoba wangu nikaondoka zangu,hii kauli imekaa ki mamlaka sana
Upo sahihi wakili.mungu amewaandalia makao mazuri pamoja na mh. Mwabukusi
Akili.kubwa.huyu.sio.bashite.nape.mwigulu..na.vilaza.wegine.big.up
Hiki kichwa ni muhimu sana kuingia Bungeni kikitokea Jimbo lolote. Wanaokubali hili wekeni like hapa.
Wow so good 💪🏻💪🏻
Nakukubali sana wengi wanakosa haki zao kwa kutokujua sheria , Mungu akutangulie ktk huduma yako
Yani mkuu ukitaja police dam mpaka inanisisimka mana walisha nipiga bilakosa walidai Mimi nimzururaji nikawaonyesha kilakitu nanilpo Toka lakn nilpgwa huyo askari police mpaka Leo nikimuangalia mh! ila Haina shida
@simontamba2189
8 ай бұрын
Pole mzee
Hongela Sana
Yupo na kazi maalumu
Brilliant discussion learned counsel.
Nami nimekupenda hii daah had raha ,, Mungu aendelee kukufunika wasikuone wewe ila wakutane na malaika wa zamu
Hii ndiyo Africa Wanaojua wanasakamwa
Inachekesha kwa kweli, hasa hizi behavior za polisi wetu
Madeleka uko sawa kabisa ulipwe hali zako zote
Kweli wanaotuongoza Hawana uwezo wa kufikiri,na wenye uwezo wa fikra wako nje ya madaraka
@Asajile490
6 ай бұрын
Tatizo wananchi Na ccm yao
@makongoronyerere1564
12 күн бұрын
Hata mm nakuamin
Azam tv Arusha burundi kwa wote
Madereka ni mtu mwenye akili nje na Elimu ya shule
Knowing the law is a part of protection.✌️
@simontamba2189
8 ай бұрын
Thats why they don't teach from childhood Coz they will not rule us
Uko vizur sana hongera
Ukijua sheria raha sana
Unafaa hata kuwa mbunge ukatetee wananchi jimboni mwako. Hongera.
@kiazikitamu3985
8 ай бұрын
Huyu kapitiliza vyeo vyote Ana akili ya kizidi cheo cha Rais na sio lazima uwe mbunge kutetea wananchi
Excellent Advocate.
Madeleka na Jeshi la polisi hawana tatizo wala ugomvi wowote kati yao, wanaolipamba jambo hili lionekane kama kuuuuubwa ni waandishi wa habari
Hao police wa Arusha hawana uwezo wa kumhoji Wakili Msomi madeleka ,sawa na Waziri mkuu amhoji Rais
@user-kw3oc8np6o
8 ай бұрын
siyo kila kitu lazima ucoment bro
Mungu akulinde peter
Sasa masaa 24 ndani ya PGO jumlisha miaka sita ya bila maulizo na walimweka ndani kwa sababu ambazo hazikutajwa na mlengwa madeleka hii sikama walimpa go ahead bila kelele wana sababu zao hawa hawapo serius na pia hatakama jeshi ni moja lakini mwenye mamlaka ya kuita huyu jamaa ni mkuu wake kule Zanzibar maana alipotelewa na mtu ambaye naye pengine alijua aliridhia upotevu wake
Boss nimekukubali sana natamani niwe karibu nawe nijue mengi
Kama umeona Genius Gonga like
@enockmbise
2 ай бұрын
Kweli wangu.
Smart sana
Safi sana kaka
Bright man,mungu akubaliki
Nimekuelewa sana madeleka
😁😁 nimewapiga chini
Mwenyezimungu akuzidishie
Madeleka na Mwabukusi wanafaa wajiunge na Chadema kisha wagombee ubunge, ndipo wapate jukwaa safi la kupambana na wabadhilifu serikalini.
@manilabonalumanula9210
8 ай бұрын
Ni kwl, lkn si hadi wachaguliwe? Ama Chadema ndiyo wameunda/wataunda serekali? 🏃🏃
Huyu ni jasusi.Serikali ina siri kubwa sana.
@venancemwarabu7168
7 ай бұрын
Upo sahihi
@michaelboniphace3685
16 күн бұрын
Hana ujasusi wowote
@omaryngurangwa8241
14 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Acha waende kichwakichwa tu😅
Brilliant man
Madeleka oyeeee
Wakili mahiri zawadi kutoka kwa Mungu hongera sana mtoto wetu na wakili wetu. Mungu akubariki sana na akuongoze daima maana uko vema kabisa mbele za Mungu na walimwengu. Binadamu hawakuelewi isipokuwa wale Mungu atakaowafunulia. Ni mtu wa pekee mwenye karama ya pekee. Ni mkweli na muwazi ndiyo maana upo shujaa. Mungu azidi kukulinda akupe baraka nyinginyingi sana Madereka unaaminika hata anayekutazama TU anakuamini kabla hujaongea naye. Tuanazidi kukuombea kila la kheri katika maisha Yako.
I'm on ..
Ok sawa
Elimu ina mhimu sana katika maisha ya sasa
@geraldmadirisha2100
8 ай бұрын
Nadhani Sheria ina umuhimu sana katika maisha ya sasa kwa kuwa bado watu wengi wenye Elimu wanateseka
Hongera hon,peter madereka, ubhebhe nsukuma jaga kubhutongi nkoyi kunu tulitulwa duhu amarungu na benabho abhapoilisi baritubonela gete
Huyu jamaa angestahili kuwa mkufunzi mkuu wa chuo cha maofisa wa polisi Tanzania anauwezo mkubwa sizani kama yupo mkubwa wa.polisi a.mbae anaweza kupiga nae michi
@FridayMwassa
7 ай бұрын
Kwa mifumo yetu ya kumsujudia watawala wala msingemjua,kuna wanasheria wengi sana nchi ungejaribu kujiuliza kwanini hawasikiki wala kujulikana
Polisi lipen hela ya watu haraka mnamlazimisha aendelee kufanya kaz yeye hatak kaokoka Kama makonda kagundua polisi waonevu
Nimecheka sana etinanawadsi polosi mln 104 ha ha ha unaleta raha sana
Huyu jamaa kweli msomi
Madeleka mungu akulinde
Raha ya kujua sheria ndiyo hiyo
Wangapi walikua hawajui kua huyu kamanda aliwahi kua polisi?
Madereka unafaa uwe katibu mkuu chadema
education
Huyo mwamba huwa namkubali saaana kwakujiamin kwake kajb kwa jeur saaana kamanda wa police wa mkoa nivitu vidogo saaana salute mwamba madeleka
Subirini akifa na kuanza kusomwa risala yake ndio mutaijua Tanzania 🇹🇿 vizuri
Mpeni pesa yke jamani ni haki yake tumuogope mung
Salute kwako Wakili
Hongera kaka
SHULE imebakia silaha ambayo wakati Fulani watu wameitumia kwa manufaa mapana binafsi ya jamii na kinyume chake pia
Hawa mapolise wamekuwa kanakwamba hawakuzaliwa na wanadam hawana roo ya kibinadam
Jamani mwenye namba ya huyu wakili naomba anipatie
Sheria ya kweli ni ya Mungu t
NAJILAUMU SANA KUTO KUSOMA SHERIA
Kaka nimekukubali sana kwa majibu yako
Wewe mpaka sasa wee ni jasusi ilo halipingiki
Wana sheria bwana
Big up bro
Asante Wakili
Kweli kabisa
😂😂 awezi kua na jeshi makini alafu wasijue platin kamanda yupo wapi apa ndio nimesitisha kua atuna jeshi makini na kila siku nasema sasa mmemsikiliza wakili msomi madeleka nakubali sana mzee
Kama unajua ni raha sana hongera zako
Nimekusikiliza mkuu hakika unaweza unajiaamini
😂😂😂 nimemkubali
Madeleka huwa hakurupuki,kwakua si mvivu wa kusoma
Siyomtoro wanataka kumsumbua
Uliletwa kwa ajili ya mashekhe wetu
@askofkibwe6106
8 ай бұрын
Nimekuelewa
Congrats
Huyu Mueshimiwa anamengi lakini nisiri yake hawezi kufunguka yote ni mtihani kweli fikiria kuacha kazi ya upolisi si mchezo kaangaliambele
Namimi mdogo wako ezekieli nakupa bigup pambana
This is fact
Jamaa ni bright sana
Nakukubali
Kaka modereka ongera sana na mungu ataenderea kukulinda
@ezekieljacob5795
8 ай бұрын
Na wewe...siyo modereka ni Madereka pia siyo ongera ni hongera....shule mhimu
Fact ✌️