WAKILI PETER MADELEKA ni POLISI! AFUNGUKA KUHOJIWA UTORO KAZINI - ASEMA YEYE ni ZAIDI ya IGP...

WAKILI PETER MADELEKA ni POLISI! AFUNGUKA KUHOJIWA UTORO KAZINI - ASEMA YEYE ni ZAIDI ya IGP...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PESA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 305

  • @globaltv_online
    @globaltv_online8 ай бұрын

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @africanuskimario1409

    @africanuskimario1409

    7 ай бұрын

    Hongerababa

  • @ManaseJubilate-kk2gz
    @ManaseJubilate-kk2gz7 күн бұрын

    Hiki kichwa ni shida,alie nao mpaka alipwe stahiki zake,Vijana someni mpaka ukutane na kibao kinachosomeka no School ahead 🙌

  • @josephatbwakome5711
    @josephatbwakome57118 ай бұрын

    Ukiwa umesoma na kuelewa vitu unakuwa na full confidence, Lowasa hakukosea kusema elimu elimu elimu.Congratulation wakili msomi Peter Madeleka

  • @salumjumaruhaga2513

    @salumjumaruhaga2513

    8 ай бұрын

    Uyo bangi zinamzumbua

  • @fatmakiponda8170

    @fatmakiponda8170

    6 ай бұрын

    Ama kweli ukimuamsha aliyelala utalala wewe...

  • @leonardkinanda3284
    @leonardkinanda32848 ай бұрын

    Hongera kwa spirit ya kuwapambania watu wengine ! Mungu anawapenda watu kama wewe Doctor peter

  • @salumntulo1589

    @salumntulo1589

    8 ай бұрын

    Unaweza kuta ni usalama wa taifa

  • @user-jh4hg2ev9s

    @user-jh4hg2ev9s

    15 күн бұрын

    Tunakuheshimu na tunakupenda kwa kutumia taaluma yako kutetea watu.

  • @user-km1do5lq7c

    @user-km1do5lq7c

    2 күн бұрын

    Huyu anasitahili kua kiongozi wa bunge atete wanainchi

  • @gasperswai6963
    @gasperswai69638 ай бұрын

    Hongera kaka! Hiyo ndiyo raha ya kuelewa mambo!!! Hadi rahaa!! Kaka unajua mambo mkuu!!!

  • @marianmartin7483

    @marianmartin7483

    7 ай бұрын

    Kichwa kizuri sana hiki. Safi sana. Madeleka akili nyingi.

  • @thomasgogomoka6404
    @thomasgogomoka64048 ай бұрын

    Very inspiration, natamani nikasome sheria, kwa manufaa yangu na jamii yangu. Huyu ndiyo maana halisi ya wakili msomi.

  • @felixsamford4168
    @felixsamford41688 ай бұрын

    Huyu br yuko vizuri sana zaidi ya sana tanzania tunahitaji vichwa kama hvi

  • @liberatusulaya2269
    @liberatusulaya22697 ай бұрын

    Jamaa anajikubali Kwa fact sana, bigup msomi

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz71588 ай бұрын

    Dah cc tunatafuta ajira kwa nguvu lakini kumbe kuna watu wameajiriwa na hawataki ajira zao dunia round about bhan tutafute hela vijana

  • @godsson5954
    @godsson59548 ай бұрын

    nilikua sieleag mtu akiijita wakili msomi sasa huyu ni wakili msomi pasipo kujiita hayo maneno HUYU NDO THE REAL WAKIL MSOMI

  • @eddyjabry6939
    @eddyjabry693913 күн бұрын

    I agree with you Peter! They did to me too and they destroyed my identity and my life… I’ve been living overseas since

  • @user-hj3ky9zy6y
    @user-hj3ky9zy6y8 ай бұрын

    Mh madeleka nakuku bali Sana mungu akubaliki

  • @musanzowa8988
    @musanzowa89888 ай бұрын

    Wale wote tuliosoma Luka 3:14 mikono juu!

  • @noelkipera6581
    @noelkipera65818 ай бұрын

    Jamaaaa linajua hadi raha respect madeleka

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda60798 ай бұрын

    INCHI TAMU IKIWA NA WATU KAMA HAWA❤❤❤❤❤❤

  • @EleziaNzowa-el7gi
    @EleziaNzowa-el7gi7 ай бұрын

    Yaa inaleta raha sana kuwa na watu waelewa kama hawa katika nchi yetu, safi sana wakili madeleka mungu awe nawe daima

  • @starjay3052
    @starjay305215 күн бұрын

    kweli police 👮 sio kabisa kama mimi siwapendi police na naraani ata siku mwangu akiwa police yani mimi sio baba yake police baada ya kusaidia watu wao wanakandamiza watu

  • @jacobpatrick7936
    @jacobpatrick79367 ай бұрын

    Nikachukua mkoba wangu nikaondoka zangu,hii kauli imekaa ki mamlaka sana

  • @bonifasimichael1320
    @bonifasimichael13208 ай бұрын

    Upo sahihi wakili.mungu amewaandalia makao mazuri pamoja na mh. Mwabukusi

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma17438 ай бұрын

    Akili.kubwa.huyu.sio.bashite.nape.mwigulu..na.vilaza.wegine.big.up

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo8 күн бұрын

    Hiki kichwa ni muhimu sana kuingia Bungeni kikitokea Jimbo lolote. Wanaokubali hili wekeni like hapa.

  • @user-ol5ih9wh1p
    @user-ol5ih9wh1p8 ай бұрын

    Wow so good 💪🏻💪🏻

  • @godsonkilua7738
    @godsonkilua77388 ай бұрын

    Nakukubali sana wengi wanakosa haki zao kwa kutokujua sheria , Mungu akutangulie ktk huduma yako

  • @RajabJuma-pe9ml
    @RajabJuma-pe9ml8 ай бұрын

    Yani mkuu ukitaja police dam mpaka inanisisimka mana walisha nipiga bilakosa walidai Mimi nimzururaji nikawaonyesha kilakitu nanilpo Toka lakn nilpgwa huyo askari police mpaka Leo nikimuangalia mh! ila Haina shida

  • @simontamba2189

    @simontamba2189

    8 ай бұрын

    Pole mzee

  • @mashannapapaaa9582
    @mashannapapaaa95828 ай бұрын

    Hongela Sana

  • @michaelmabula7444
    @michaelmabula74447 ай бұрын

    Yupo na kazi maalumu

  • @emmanuelsitayo1977
    @emmanuelsitayo19777 ай бұрын

    Brilliant discussion learned counsel.

  • @user-lz1qj6ck3m
    @user-lz1qj6ck3mКүн бұрын

    Nami nimekupenda hii daah had raha ,, Mungu aendelee kukufunika wasikuone wewe ila wakutane na malaika wa zamu

  • @charlesboniphace2249
    @charlesboniphace22497 күн бұрын

    Hii ndiyo Africa Wanaojua wanasakamwa

  • @mmewaswida
    @mmewaswida8 ай бұрын

    Inachekesha kwa kweli, hasa hizi behavior za polisi wetu

  • @user-xy2hf5pl5y
    @user-xy2hf5pl5y9 күн бұрын

    Madeleka uko sawa kabisa ulipwe hali zako zote

  • @LuganoPondo-km8ub
    @LuganoPondo-km8ub8 ай бұрын

    Kweli wanaotuongoza Hawana uwezo wa kufikiri,na wenye uwezo wa fikra wako nje ya madaraka

  • @Asajile490

    @Asajile490

    6 ай бұрын

    Tatizo wananchi Na ccm yao

  • @makongoronyerere1564

    @makongoronyerere1564

    12 күн бұрын

    Hata mm nakuamin

  • @fundimadishiarusha4828
    @fundimadishiarusha482811 күн бұрын

    Azam tv Arusha burundi kwa wote

  • @jamesukombozi5216
    @jamesukombozi52168 ай бұрын

    Madereka ni mtu mwenye akili nje na Elimu ya shule

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything8 ай бұрын

    Knowing the law is a part of protection.✌️

  • @simontamba2189

    @simontamba2189

    8 ай бұрын

    Thats why they don't teach from childhood Coz they will not rule us

  • @user-le3oc2xz1f
    @user-le3oc2xz1f7 ай бұрын

    Uko vizur sana hongera

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel338010 күн бұрын

    Ukijua sheria raha sana

  • @JuliusMtunguja
    @JuliusMtunguja8 ай бұрын

    Unafaa hata kuwa mbunge ukatetee wananchi jimboni mwako. Hongera.

  • @kiazikitamu3985

    @kiazikitamu3985

    8 ай бұрын

    Huyu kapitiliza vyeo vyote Ana akili ya kizidi cheo cha Rais na sio lazima uwe mbunge kutetea wananchi

  • @josephgitagano4533
    @josephgitagano45337 ай бұрын

    Excellent Advocate.

  • @emilianchibinda82
    @emilianchibinda828 ай бұрын

    Madeleka na Jeshi la polisi hawana tatizo wala ugomvi wowote kati yao, wanaolipamba jambo hili lionekane kama kuuuuubwa ni waandishi wa habari

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule50178 ай бұрын

    Hao police wa Arusha hawana uwezo wa kumhoji Wakili Msomi madeleka ,sawa na Waziri mkuu amhoji Rais

  • @user-kw3oc8np6o

    @user-kw3oc8np6o

    8 ай бұрын

    siyo kila kitu lazima ucoment bro

  • @user-ev2sm1rg4t
    @user-ev2sm1rg4t7 ай бұрын

    Mungu akulinde peter

  • @omaryjudasymwanga7172
    @omaryjudasymwanga71728 ай бұрын

    Sasa masaa 24 ndani ya PGO jumlisha miaka sita ya bila maulizo na walimweka ndani kwa sababu ambazo hazikutajwa na mlengwa madeleka hii sikama walimpa go ahead bila kelele wana sababu zao hawa hawapo serius na pia hatakama jeshi ni moja lakini mwenye mamlaka ya kuita huyu jamaa ni mkuu wake kule Zanzibar maana alipotelewa na mtu ambaye naye pengine alijua aliridhia upotevu wake

  • @HamisSaid-uc5jm
    @HamisSaid-uc5jm8 ай бұрын

    Boss nimekukubali sana natamani niwe karibu nawe nijue mengi

  • @_don777
    @_don7778 ай бұрын

    Kama umeona Genius Gonga like

  • @enockmbise

    @enockmbise

    2 ай бұрын

    Kweli wangu.

  • @bensonlameck6348
    @bensonlameck63488 ай бұрын

    Smart sana

  • @samwelkessy9129
    @samwelkessy91298 ай бұрын

    Safi sana kaka

  • @hamisinamulya8810
    @hamisinamulya88108 ай бұрын

    Bright man,mungu akubaliki

  • @alexurassa
    @alexurassa8 ай бұрын

    Nimekuelewa sana madeleka

  • @starjay3052
    @starjay305215 күн бұрын

    😁😁 nimewapiga chini

  • @wanatangawaja6397
    @wanatangawaja63978 ай бұрын

    Mwenyezimungu akuzidishie

  • @majidukalokola7253
    @majidukalokola72538 ай бұрын

    Madeleka na Mwabukusi wanafaa wajiunge na Chadema kisha wagombee ubunge, ndipo wapate jukwaa safi la kupambana na wabadhilifu serikalini.

  • @manilabonalumanula9210

    @manilabonalumanula9210

    8 ай бұрын

    Ni kwl, lkn si hadi wachaguliwe? Ama Chadema ndiyo wameunda/wataunda serekali? 🏃🏃

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo78168 ай бұрын

    Huyu ni jasusi.Serikali ina siri kubwa sana.

  • @venancemwarabu7168

    @venancemwarabu7168

    7 ай бұрын

    Upo sahihi

  • @michaelboniphace3685

    @michaelboniphace3685

    16 күн бұрын

    Hana ujasusi wowote

  • @omaryngurangwa8241

    @omaryngurangwa8241

    14 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Acha waende kichwakichwa tu😅

  • @user-pj7ng8il4t
    @user-pj7ng8il4t8 ай бұрын

    Brilliant man

  • @kwasmokweka9598
    @kwasmokweka95988 ай бұрын

    Madeleka oyeeee

  • @NdeshaPaul-uz9bw
    @NdeshaPaul-uz9bw7 ай бұрын

    Wakili mahiri zawadi kutoka kwa Mungu hongera sana mtoto wetu na wakili wetu. Mungu akubariki sana na akuongoze daima maana uko vema kabisa mbele za Mungu na walimwengu. Binadamu hawakuelewi isipokuwa wale Mungu atakaowafunulia. Ni mtu wa pekee mwenye karama ya pekee. Ni mkweli na muwazi ndiyo maana upo shujaa. Mungu azidi kukulinda akupe baraka nyinginyingi sana Madereka unaaminika hata anayekutazama TU anakuamini kabla hujaongea naye. Tuanazidi kukuombea kila la kheri katika maisha Yako.

  • @GalusChikawe
    @GalusChikawe8 ай бұрын

    I'm on ..

  • @furaha7154
    @furaha71548 ай бұрын

    Ok sawa

  • @user-vy5ei1xl4p
    @user-vy5ei1xl4p8 ай бұрын

    Elimu ina mhimu sana katika maisha ya sasa

  • @geraldmadirisha2100

    @geraldmadirisha2100

    8 ай бұрын

    Nadhani Sheria ina umuhimu sana katika maisha ya sasa kwa kuwa bado watu wengi wenye Elimu wanateseka

  • @mohdsaid-f5u
    @mohdsaid-f5u6 күн бұрын

    Hongera hon,peter madereka, ubhebhe nsukuma jaga kubhutongi nkoyi kunu tulitulwa duhu amarungu na benabho abhapoilisi baritubonela gete

  • @NeemaLieda-qz3kd
    @NeemaLieda-qz3kd8 ай бұрын

    Huyu jamaa angestahili kuwa mkufunzi mkuu wa chuo cha maofisa wa polisi Tanzania anauwezo mkubwa sizani kama yupo mkubwa wa.polisi a.mbae anaweza kupiga nae michi

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    7 ай бұрын

    Kwa mifumo yetu ya kumsujudia watawala wala msingemjua,kuna wanasheria wengi sana nchi ungejaribu kujiuliza kwanini hawasikiki wala kujulikana

  • @alluedward9259
    @alluedward9259Күн бұрын

    Polisi lipen hela ya watu haraka mnamlazimisha aendelee kufanya kaz yeye hatak kaokoka Kama makonda kagundua polisi waonevu

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula2 күн бұрын

    Nimecheka sana etinanawadsi polosi mln 104 ha ha ha unaleta raha sana

  • @subetizaid6515
    @subetizaid65158 ай бұрын

    Huyu jamaa kweli msomi

  • @mdemualphonce1559
    @mdemualphonce15598 ай бұрын

    Madeleka mungu akulinde

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga65918 ай бұрын

    Raha ya kujua sheria ndiyo hiyo

  • @gchalijabiri3845
    @gchalijabiri3845Күн бұрын

    Wangapi walikua hawajui kua huyu kamanda aliwahi kua polisi?

  • @DoganJagard-dn2sk
    @DoganJagard-dn2sk8 ай бұрын

    Madereka unafaa uwe katibu mkuu chadema

  • @damaka_
    @damaka_7 ай бұрын

    education

  • @user-bc8gj8uk3g
    @user-bc8gj8uk3g8 ай бұрын

    Huyo mwamba huwa namkubali saaana kwakujiamin kwake kajb kwa jeur saaana kamanda wa police wa mkoa nivitu vidogo saaana salute mwamba madeleka

  • @ThomasKajiru
    @ThomasKajiru7 ай бұрын

    Subirini akifa na kuanza kusomwa risala yake ndio mutaijua Tanzania 🇹🇿 vizuri

  • @RucyMakapa
    @RucyMakapaКүн бұрын

    Mpeni pesa yke jamani ni haki yake tumuogope mung

  • @mgegebrand
    @mgegebrand7 ай бұрын

    Salute kwako Wakili

  • @elisaabraham-xr5zj
    @elisaabraham-xr5zj8 ай бұрын

    Hongera kaka

  • @elinazijonasi2957
    @elinazijonasi29578 ай бұрын

    SHULE imebakia silaha ambayo wakati Fulani watu wameitumia kwa manufaa mapana binafsi ya jamii na kinyume chake pia

  • @deogratiuswambura7597
    @deogratiuswambura75978 ай бұрын

    Hawa mapolise wamekuwa kanakwamba hawakuzaliwa na wanadam hawana roo ya kibinadam

  • @tazamamaajabuyaulimwengu2786
    @tazamamaajabuyaulimwengu27868 ай бұрын

    Jamani mwenye namba ya huyu wakili naomba anipatie

  • @askofkibwe6106
    @askofkibwe61068 ай бұрын

    Sheria ya kweli ni ya Mungu t

  • @ibrahimutuwaamiri9163
    @ibrahimutuwaamiri91639 күн бұрын

    NAJILAUMU SANA KUTO KUSOMA SHERIA

  • @deogratiuswambura7597
    @deogratiuswambura75978 ай бұрын

    Kaka nimekukubali sana kwa majibu yako

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga25138 ай бұрын

    Wewe mpaka sasa wee ni jasusi ilo halipingiki

  • @michaelmwalimu6057
    @michaelmwalimu60578 ай бұрын

    Wana sheria bwana

  • @meckitilidatushabe
    @meckitilidatushabe7 ай бұрын

    Big up bro

  • @johngibson3089
    @johngibson30898 ай бұрын

    Asante Wakili

  • @user-ph2tk3cy9s
    @user-ph2tk3cy9s8 ай бұрын

    Kweli kabisa

  • @starjay3052
    @starjay305215 күн бұрын

    😂😂 awezi kua na jeshi makini alafu wasijue platin kamanda yupo wapi apa ndio nimesitisha kua atuna jeshi makini na kila siku nasema sasa mmemsikiliza wakili msomi madeleka nakubali sana mzee

  • @user-ey8cb3wu9h
    @user-ey8cb3wu9h8 ай бұрын

    Kama unajua ni raha sana hongera zako

  • @wynjonesmwakolo496
    @wynjonesmwakolo49612 күн бұрын

    Nimekusikiliza mkuu hakika unaweza unajiaamini

  • @Selemanjohn-se1el
    @Selemanjohn-se1el8 күн бұрын

    😂😂😂 nimemkubali

  • @michaelabrshamsaidimu367
    @michaelabrshamsaidimu3678 ай бұрын

    Madeleka huwa hakurupuki,kwakua si mvivu wa kusoma

  • @josephinarobert3325
    @josephinarobert33258 ай бұрын

    Siyomtoro wanataka kumsumbua

  • @adilhabib8988
    @adilhabib89888 ай бұрын

    Uliletwa kwa ajili ya mashekhe wetu

  • @askofkibwe6106

    @askofkibwe6106

    8 ай бұрын

    Nimekuelewa

  • @edgarmbehikya8150
    @edgarmbehikya81508 ай бұрын

    Congrats

  • @ShekiyaoHussein-ki4ty
    @ShekiyaoHussein-ki4ty8 ай бұрын

    Huyu Mueshimiwa anamengi lakini nisiri yake hawezi kufunguka yote ni mtihani kweli fikiria kuacha kazi ya upolisi si mchezo kaangaliambele

  • @user-fx9wv7wk5b
    @user-fx9wv7wk5b8 ай бұрын

    Namimi mdogo wako ezekieli nakupa bigup pambana

  • @zakayomasingoti9238
    @zakayomasingoti92388 ай бұрын

    This is fact

  • @movieskalinaseries6232
    @movieskalinaseries62328 ай бұрын

    Jamaa ni bright sana

  • @user-nz9wf4bf2u
    @user-nz9wf4bf2u5 ай бұрын

    Nakukubali

  • @deogratiuswambura7597
    @deogratiuswambura75978 ай бұрын

    Kaka modereka ongera sana na mungu ataenderea kukulinda

  • @ezekieljacob5795

    @ezekieljacob5795

    8 ай бұрын

    Na wewe...siyo modereka ni Madereka pia siyo ongera ni hongera....shule mhimu

  • @YusuphSadallah-um4sp
    @YusuphSadallah-um4sp8 ай бұрын

    Fact ✌️

Келесі