MWABUKUSI AMVAA MWANASHERIA MKUU/ASEMA SIOGOPI, SIISHI KWA VYETI, AMTAJA CHONGOLO, HAMJUI MSANDO

🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Пікірлер: 122

  • @abdyissaabdi108
    @abdyissaabdi10811 ай бұрын

    Ujengewe sanam wakili😂😂🎉🎉🎉

  • @hollojuma9538
    @hollojuma953811 ай бұрын

    Mimi sichoki kumsikiliza mwambukus namuelewa saaana 💪👍🙏🤝

  • @ambitiousholyspirit395
    @ambitiousholyspirit39511 ай бұрын

    safi sanaaa! Boniface Anyisile kajunjumele Mwabukusi.

  • @kamalabuberwa2001
    @kamalabuberwa200111 ай бұрын

    AG kachemka hapo, bora anyamaze maana watanzania tunaelewa kinacho endelea. Bandari zetu haziuzwi. Tutasimama na Mwambukusi hadi kieleweke

  • @florianakhweso5749
    @florianakhweso574911 ай бұрын

    Asanteeeee Mheshimiwa wewe ndo Mheshimiwa na sio hao vichaa walio logwa WA ccm

  • @silverrichard1211
    @silverrichard121111 ай бұрын

    Safi huyu ndie mzarendo wa kweli

  • @marcokaroje8980

    @marcokaroje8980

    28 күн бұрын

    Wazalendo wazuri katika nchi hii wanayosifa. ya kupuuza ushauri was watu ambao siyo viongozi CCM na serikalini wanajua familia zao tu na wale machawa wanaojipendeza kwao ambao ni wachahe sana hawafiki hats milioni mbili walipobaki wanaonekana ni mbumbumbi hwaskilizwi

  • @kahemachowdry7346
    @kahemachowdry734611 ай бұрын

    Ukiona baba anauza nyumba alafu watoto Wanashangilia kununuliwa Mandazi,Hao watoto sio Bure ni Machizi na Mateja

  • @aikandeshoo5354
    @aikandeshoo535411 ай бұрын

    Ubarikiwe mtumishi wa Bwana. Mungu hatakuacha, simamia hapohapo na taaluma yako inakulinda

  • @user-eq9lw9ju1l
    @user-eq9lw9ju1l11 ай бұрын

    Uko vizur bon mungu atakusimamia na wataanzania wote wanao jua haki zao na uzalendo wa nchi Yao.

  • @JosephinaLuoga-lo9os
    @JosephinaLuoga-lo9os7 ай бұрын

    UmewAzidi wote bro hakika wewe ni mzalendo. Pamoja sana

  • @user-lu8ny2gu7t
    @user-lu8ny2gu7t11 күн бұрын

    Barikiwa baba Mungu aendelee kukuinuwa tena viwango vya juu

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli2111 ай бұрын

    Hongera ndugu kazi yako Mungu anaiona,umejitoa sadaka Kwa akili yetu sisi wanyonge Mungu akuinue ktk jina kuu la Bwana Yesu,

  • @jumannesalumu8290
    @jumannesalumu829011 ай бұрын

    Hongera sana tupamoja towatamko

  • @pillykimenyi846
    @pillykimenyi84611 ай бұрын

    Mungu awe pamoja nawe nasi tunakuombea watanganyika tuko pamoja

  • @festoasanga5572
    @festoasanga557211 ай бұрын

    Nakupenda bure msemaji wawanyonge

  • @anosiata8242
    @anosiata824211 ай бұрын

    Mwambukusi kiboko Uko vizuri

  • @violetn.finnvik373
    @violetn.finnvik37311 ай бұрын

    🇹🇿🙏🙏😭.Mungu ibariki Tanzania. Kaka ubalikiwe🙏❤️

  • @kahemachowdry7346
    @kahemachowdry734611 ай бұрын

    Wafundishe Bro Big Up

  • @kasiankillo6949
    @kasiankillo69492 ай бұрын

    Mwabukusi uko vzr sana ila kwakuwa watu wanaona wote ni mbulula watanza

  • @elizabethringo7154
    @elizabethringo715411 ай бұрын

    Kwenye haki ya nchi sema ukweli mungu akutetee

  • @success-only
    @success-only11 ай бұрын

    Aisee, mwanaume na nusu Vyeti ni vithibitisho vya kwenda shule, Na siyo lazima uwe umesoma ndipo uishi na kuwa utashi kama Binadamu

  • @sadallahbataza1906
    @sadallahbataza190611 ай бұрын

    Ubarikiwe kakaa ulikuwa wapi ww miaka yote hii?!

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg30711 ай бұрын

    Tungepata hata watz 5 tu kama huyu, daaah tz ingenyoka

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja372711 ай бұрын

    Daaaaah aibu imshukie huyo wakili mkuu Boniface hata mkimfungia vyeti haitowasaidia chochote tutasimama Na ukweli,nimeiona Tunduma iliposimama Na Boniface pale walipobomolewa nyumba Zai mpakani watu walilipwa fidia zao huyu kaka anamsimamo wenye manufaa makubwa ✍️

  • @balthazarkilasi9825

    @balthazarkilasi9825

    11 ай бұрын

    Wakili wa Serkali amesema mkataba huo DP wamesema ktk. Kipengele kimoja ya kuwa TPA au WATANZANIA tukitaka kuendeleza Bandari yeyote nje ya tulizokubaliana. "LAZIMA TUWAARIFU" ....wao DP sikukuelewa,jee ni kweli tunatakiwa kufanya hivyo na ni utaratibu? tuelimisheni!

  • @ClemoohPeter
    @ClemoohPeterАй бұрын

    Safi sana baba tutetee sisi ambao hatuna wa kutusemea hayo mana hawa viongozi sijui hili taifa wanataka kufilisi

  • @HassanSaburi-ge6ej
    @HassanSaburi-ge6ej12 күн бұрын

    Baba pambana tuko nyuma yako wameanza muda mrefu sana haya mambo Yao ya wizi

  • @MeshackMwangwale
    @MeshackMwangwale11 күн бұрын

    Wewe songa mbele tunakuombea hatuna pakusemea MUNGU Akulinde.

  • @lunjeramadhani1295
    @lunjeramadhani129511 ай бұрын

    Mwenyezungu akupenguzaidi kaka

  • @user-ji1mq4sk1n
    @user-ji1mq4sk1n7 күн бұрын

    uwoga wetu haujawahi kutusaidia

  • @ofreyking5975
    @ofreyking597511 ай бұрын

    Hawa ndio wanatakiwa kua viongozi sio wapga dili miaka yote wawekezaji hawana msaada wowote kwnn maden yanaongezeka kila cku waache bandali kama wameshindwa watoto zetu watakuja kuiendesha

  • @mwamakaassely2260

    @mwamakaassely2260

    11 ай бұрын

    Magu hakuuza bandari, elewa hilo

  • @michaelkimweri1074
    @michaelkimweri107411 ай бұрын

    Kaka uko viziri hatuna hamu na ccm,tupo nyuma yako kimaonbi,hii no haki yeti.

  • @VailettyShigerla-fw2sg
    @VailettyShigerla-fw2sg11 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤ san ww ni kichwa

  • @karushakamusa5525
    @karushakamusa552511 ай бұрын

    Safi sana msomi

  • @thomasmmoka4884
    @thomasmmoka488411 ай бұрын

    Ingekuwa vema kama Mama Samia angemteua Mwambukusi kuwa AG badala ya Feleshi.Mwambukusi kawaumbua madalali wa DP World,sasa wanaona haya,kumchukia na kumfitini Mwambukusi!

  • @gibsonsilungwe685
    @gibsonsilungwe68511 ай бұрын

    People of Tanzania. I can assure you that ccm they are deeply devoted to God, but their devotion is not based on true knowledge. They have not known the way in which God puts people in right with himself, and instead, they have tried to set up their own way, and they did not submit themselves to God's way putting people right. Waroma 10vs1-4

  • @AkleyNziku-cv9lt
    @AkleyNziku-cv9lt11 ай бұрын

    Mwabukusi Mungu awe na Wewe Daima

  • @hanscmakerdm9943
    @hanscmakerdm994311 ай бұрын

    Respect 🙌

  • @olemnakitende7637
    @olemnakitende763711 ай бұрын

    Yani naomba kabxa, thanks alot,kila mmoja ana haki

  • @simonibonifasi3131
    @simonibonifasi313111 ай бұрын

    Mimi kama mtanganyika nikopamoja nawewe wakili musomi

  • @MartinSiimay-jj9jk
    @MartinSiimay-jj9jk11 ай бұрын

    Safi sana kamanda

  • @fatmaabdullah7516
    @fatmaabdullah751611 ай бұрын

    Mungu akulinde wewe na muheshimiwa bashe nyinyi ni wazalendo

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa615911 ай бұрын

    Mainzi kijani watanzania tunamweleea San wakili mtajua hamjui

  • @VailettyShigerla-fw2sg
    @VailettyShigerla-fw2sg11 ай бұрын

    Damu ya yesu ikufunike

  • @AshrafuMwalongo-km5fd
    @AshrafuMwalongo-km5fd9 ай бұрын

    Mungu akupe maixha malefu

  • @user-nt4lp9dy6i
    @user-nt4lp9dy6i11 ай бұрын

    Haki yetu haki yetu haki Mali zetu uzalendo na Katina mpya vyote viwe wazi tutetee kaka yetu hatutaki tena kuwa watumwa

  • @olemnakitende7637
    @olemnakitende763711 ай бұрын

    Mungu yupo nasi,ubarikiwe,sana

  • @amosbirusha952
    @amosbirusha95211 ай бұрын

    Kiongozi mzuri sana ni yule anaesikiliza maono ya anaowaongoza,na si vinginevyo

  • @Clement-px8eg
    @Clement-px8eg11 ай бұрын

    Mungu akubariki sana

  • @legendmmari8094
    @legendmmari809411 ай бұрын

    Kudra anatumika vibaya kwenye lipi soma mkataba acha kuwa mbumbumbu

  • @alfrediaugustino1026
    @alfrediaugustino102611 ай бұрын

    Mapambano ya haki huwa haiombwi bro uko fiti ,okoa bandari zidi ya genge la wahuni serekalini.

  • @lalosalamanca7131
    @lalosalamanca713111 ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥

  • @user-bx3em9jc6m
    @user-bx3em9jc6m10 ай бұрын

    Mungu yu pamoja nawe hao ccm hawana dini

  • @jumarobert4929
    @jumarobert492910 ай бұрын

    God blass you baba

  • @JohnMagweiga-uu8fv
    @JohnMagweiga-uu8fv11 ай бұрын

    Usimwogope mwanadamu

  • @danielchacha1305
    @danielchacha130511 ай бұрын

    Hawa watu hawana aibu wala huruma hata kidogo.Kama wazee wetu waliilinda nchi yetu kwa gharama kubwa hadi uhai wao na ndio maana leo wanakula na kuendesha magari makubwa na wamejiona kuwa miungu isiyokosolewa! Daw ni kuwatoa madarakani kwa nguvu ya uma.

  • @BoniventureMagina
    @BoniventureMagina3 күн бұрын

    Huyu mwamba shikamooo

  • @evaemil856
    @evaemil85611 ай бұрын

    Amen

  • @olemnakitende7637
    @olemnakitende763711 ай бұрын

    Mungu yupo nawe kabxa,

  • @jumannesalumu8290
    @jumannesalumu829011 ай бұрын

    tukopamoja tumechoka kuongopa

  • @zuhurarikosaidi
    @zuhurarikosaidi11 ай бұрын

    Watuachie bandari yetu titatusiadia katika muungano wa one african na putin wetu

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley612411 ай бұрын

    bora mwanasheria mkuu wa serikali angekua mwabukusi anaeleweka kuliko.huyo swaza wa.mkatabata wakimagumashi, tunekuelewa mwabukushi❤

  • @swiftkatepa6131

    @swiftkatepa6131

    11 ай бұрын

    😢

  • @user-rp1ys6pw9f
    @user-rp1ys6pw9f10 ай бұрын

    Mbona kila ukiongea siogopi ni mtanzania yupi uliomuona anaogopa unajiita msomi kweli umeenda shule lakini huna hekima na pia hujui kupanga maneno kuna watu wenye hekima wanakufatilia kukusikiliza ila tunahisi kuwa ww unaogopa sababu ajenda uliyopewa na wateja wako kimekuzidi uzito

  • @ramadhanchenga4606

    @ramadhanchenga4606

    Ай бұрын

    We ni zero brain

  • @digostjafety6070
    @digostjafety607011 ай бұрын

    Wanatumia pesa zetu vibaya wanawapa alikiba na diamond ili watu tusahau kusikiliza vitu vya msingi

  • @shalomchaula4420
    @shalomchaula442011 ай бұрын

    Hakika tunaitaji kuamka izo nchi za kiarabu kipindi tunapata uhuru zilikuwa na Hali mbaya kuliko sisi na ukilinganisha rasilimali zao ,ila Leo sababu waneendelea tuendelee kuwategemea ili tuendelee kuwa watumwa wa fikra ukweli watanzania wenzangu hii haiko sawa hata Kwa mtu yeyote chini kule huu mkataba wa bandari na mikataba mingine kuhusu Mali asili ,nishati za umeme , jeshi ipitiwe waarabu wamepenya ndani wameweza Sasa wakichukua na bandari ...ni mfano wa mwizi kaingia ndani na kapata ufunguo wa mlango mkubwa wa sebureni ule wa kutoka nje ....watanzania wengi nimeongea nao wanasema tuache tu tunaathirika na nin mbona hiko ivyo toka zamani najisikia vibaya maan uchumi tulionao sio sawa na hata maendeleo ya sekta zetu zote Bado afya,elimu, miundo mbinu na nk na Bado mtu unasema sawa aloooho tuamke sio sababu ya chochote ila tuweze kutoka katika Giza hili na kujua haki zetu onene wenzetu uko mbele wanavyoishi we need to change our mind tuondoe hofu

  • @muuminikidunda9214

    @muuminikidunda9214

    11 ай бұрын

    Mbona wazungu wanamiliki migodi mingi ya dhahabu na kuendesha mashirika yanayosupport ushoga hao mawakili wapo kimya

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli2111 ай бұрын

    Gwajima,Yuko wapi mbona Yuko kimya

  • @abiabi9353
    @abiabi935311 ай бұрын

    Sasa wewe mnafiki huu ushujaa wote ulionao ulikuwa wapi wakati magufuli anafungia watu kwenye viroba,ulikuwa wapi wakati magufuli akiamuru tundu lissu auliwe. Watu rabish kama huyu hawezi kunishawishi chochote

  • @muuminikidunda9214
    @muuminikidunda921411 ай бұрын

    Wenzio walikataa SGR,bwawa la mwalimu nyerere wakamkataa na magufuli , amekufa upepo umebadilika leo wanataka magufuli awepo?

  • @muuminikidunda9214
    @muuminikidunda921411 ай бұрын

    Tatizo njaa mnataka kitonga bandarini kuna wizi mkubwa ndio maana bandari kubwa maendeleo hakuna. Wacha waarabu wawanyooshe nyie wezi mawakili .hamtaki waarabu wawafundishe jinsi ya kuendesha bandari

  • @kahemachowdry7346
    @kahemachowdry734611 ай бұрын

    Nchi hii hivi ,Vihiyo na vipaza mpaka lini

  • @robinilomo2887
    @robinilomo288711 ай бұрын

    Asante bro,kati ya Wasomi wachache Tanganyika wewe umo,Endelea na Mapambano tupo na wewe,Wameshazoea kutishana hao wachumia Tumbo,Wasomi wa Tanganyika wengi hawajitambui wanaendeshwa kwa tamaa sio Weledi cha ajabu wanajiita Maprofesa na Madokta

  • @yussuffadhil4522

    @yussuffadhil4522

    11 ай бұрын

    Hahaha babdari itauzwa tuu

  • @yussuffadhil4522

    @yussuffadhil4522

    11 ай бұрын

    Hahaha bandari itauzwa tuu...... na leo mnatambua km kuna Tanganyika?

  • @robinilomo2887

    @robinilomo2887

    11 ай бұрын

    @@yussuffadhil4522 Kichwa Maji we hujitambui,kati ya hao majuha niliyowaongelea

  • @robinilomo2887

    @robinilomo2887

    11 ай бұрын

    Tofauti ni kwamba we hujasoma,Failure

  • @kinkybanjukome217
    @kinkybanjukome21711 ай бұрын

    Umeongea kweli alutakontinua mapambano yaendelee

  • @muuminikidunda9214
    @muuminikidunda921411 ай бұрын

    Tembelea upepo kaka, wenzio watakuacha upepo ukivuma upande mwingine

  • @kingngojea
    @kingngojea11 ай бұрын

    Tungekua na watu 50kama awa daaa

  • @kingngojea
    @kingngojea11 ай бұрын

    Mwabukus saluti kwako mwamba wewe mtanzania wewe nakutukana wewe ni litanzania uliezaliwa Tanzania utakufa kwaajiri ya nchi Yako mtanzania mkubwa wewe

  • @mimiraia2531
    @mimiraia253111 ай бұрын

    Watu wa Pwani watu wa hovyo sana. Kinachoisumbua nchi hii ni ushenzi wa watu wa Pwani…..wapuuzi wanaocheka cheka huku wakiuza nchi. Mbwa kabisa wale

  • @FloridaAdelinus
    @FloridaAdelinus11 ай бұрын

    Kweli kabisa Hata MAMA amekubali kwamba wanasheria wake wanaogopa wazungu ndiyo maana wakienda kututetea kimataifa wanashindwa kesi. Inavyoonekana hata katika kusaini mikataba wanaogopa wazungu hawasomi kilichomo wanasaini tu ndiyo maana wamesaini bila kusoma na kusababisha TZ yetu kuingia kwenye taaluki. Mchague Bwabukusi awe AG ambaye hawaogopi wazungu tuweze kushinda hizo kesi zingine zilizoko kwenye mahakama za kimataifa. MWABUKUSI OYEEEEE.

  • @juliussilvestar8988
    @juliussilvestar898811 ай бұрын

    Huyu bwana ha ha ha ha ha ha

  • @luckMwamwage
    @luckMwamwage11 ай бұрын

    Kyala aje nanungwe nkulumba.

  • @kudraahmad5670
    @kudraahmad567011 ай бұрын

    Unatumika vibaya

  • @michaelmwakibinga1124
    @michaelmwakibinga112411 ай бұрын

    Kweli Magufuli alikuwa kiboko Walikuwa hawaongei enzi za uhai wake

  • @kassimkingu5512
    @kassimkingu551211 ай бұрын

    Huna lolote unajitafutia sifa bure sisi tunasonga mbele.

  • @louiskayange-kz7ec

    @louiskayange-kz7ec

    11 ай бұрын

    Dini inakusumbua ww

  • @sheryphamwenevalley6124

    @sheryphamwenevalley6124

    11 ай бұрын

    mbele wanasongo wao.ww shida tupu , usoijielewa

  • @johngerald4677

    @johngerald4677

    11 ай бұрын

    Mbwa we

  • @sheryphamwenevalley6124

    @sheryphamwenevalley6124

    11 ай бұрын

    @@johngerald4677 mkund* WEE🐖 mafiisadi.wakubwa mmekomeshwa.myan'gau🍆

  • @senyagwadickson9084
    @senyagwadickson90844 ай бұрын

    Wakili msomi waambie hao wasomi wajinga tu

  • @habibrwegoshora6624
    @habibrwegoshora662411 ай бұрын

    MAWAKILI KAZI YENU UWA YA AJABU SANA..WAKILI ANAWEZA KUMTETEA MTU ALIYEMDHURUMU MTU MWINGINE ILI ILE HAKI AIPATE KWENYE KUDHURUMU..HILO JAMBO WASUBILI KIDOGO WATAKUJA KUMJUA M'MUNGU NI NANI..SIO MUDA MULEFU KWSSB MAISHA NI MAFUPI SANA..NA ELEWA HAKUNA MTU MWENYEJI DUNIANI TUNAPITA TU

  • @mbarakatv633
    @mbarakatv63311 ай бұрын

    Acheni amani yetu nyinyi nchi ikivurugika mtaondoka Tanzania sisi watanzania hatuna pakukimbilia

  • @ibrahimuwissi

    @ibrahimuwissi

    11 ай бұрын

    kaka hijijui wewe

  • @ladislausmoris9638

    @ladislausmoris9638

    11 ай бұрын

    Kenge kabisa tunauzwa afu unabeza acha upuzi ngedere weee

  • @mbarakatv633

    @mbarakatv633

    11 ай бұрын

    @@ladislausmoris9638 Haina haja kutukanana sawa .ila usijifikuire sana wewe angalia nchi ikivurugika wewe unaweza kukimbia lakini wapo icu,kunawalemavu na wazee wote ndio wataumia maneno mawili yanauwezo mkubwa wa kuvuruga amani .Sasa waacheni viongozi walio madarakani wao ndio viongozi wetu

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro376411 ай бұрын

    NANI MWIZ WE PUMBAVU!! MWACHENI SEREKALI IFANYE KAZI!! HAYO MANENO NI UCHOCHEZI,ETI MWINGIE BARABARA KUWAONDOA VIBAKA!!PUMBAVU WEWE!!

  • @Sambrain03

    @Sambrain03

    11 ай бұрын

    Acha uchawa mwisho wake sio mzuri.. tumia akili vizuri

  • @lalosalamanca7131

    @lalosalamanca7131

    11 ай бұрын

    We ni uharo wa bata

  • @muuminikidunda9214
    @muuminikidunda921411 ай бұрын

    Tatizo nyie kelele nyingi . Mmeambiwa toeni maoni wapi palekebishwe .alafu usiwe muongo eti sikuwa na cheti toka shuleni

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu365611 ай бұрын

    UNATAFUTA KIKI ZA KISHAMBA KWELI BROTHER !!!

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro376411 ай бұрын

    WEWE HUTISHWI NA SEREKALI!!KWA HIYO WEWE UNAITISHA SEREKALI,PUMBAVU VITU GANI ULIVIKUTA,KAMA NI BANDARI ILIENGWA,TENA ILIJENGWA NA WAARABU!!NA SASA INATAKIWA IJENGWE KISASA ZAIDI!! WEWE NANI ETI UNAITISHA SEREKALI!! ACHA KUTISHIA NYAU!! HUFAI KUWA WAKILI MCHOCHEZI MKUBWA!!

  • @sethdaniel5560

    @sethdaniel5560

    11 ай бұрын

    Mli sign kimya kimya but wazarendo walivujisha

  • @silverrichard1211

    @silverrichard1211

    11 ай бұрын

    Akili zako zipo matakoni hujitambui wewe taila

  • @ramadhanimtetu3656

    @ramadhanimtetu3656

    11 ай бұрын

    Huyu Wakili anatafuta Kiki za kishamba

  • @OmmyJames-xn7ji

    @OmmyJames-xn7ji

    11 ай бұрын

    WELL SAID MY BROTHER WAGALATIA WENGI WANAOPINGA WALA HAWAIJUI BANDARI YETU WAO WANAFATA MAASKOFU WAO MAJIZI YALIYOKUWA YANAIBA PALE BANDARINI KWA MIAKA60 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿DP WORLD WANAKUJA HAKUNA HATA SINDANO INAYOPITA BILA USHURU

  • @rosekajuki1787

    @rosekajuki1787

    11 ай бұрын

    Jibu unalo mwenyewe

  • @thomasmmoka4884
    @thomasmmoka488411 ай бұрын

    Ingekuwa vema kama Mama Samia angemteua Mwambukusi kuwa AG badala ya Feleshi.Mwambukusi kawaumbua madalali wa DP World,sasa wanaona haya,kumchukia na kumfitini Mwambukusi!

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta159711 ай бұрын

    Jamani viongozi wetu kuweni wasikivu Kwa ajili ya Taifa letu na vizazi vyetu kuweni wazalendo

  • @thomasmmoka4884
    @thomasmmoka488411 ай бұрын

    Ingekuwa vema kama Mama Samia angemteua Mwambukusi kuwa AG badala ya Feleshi.Mwambukusi kawaumbua madalali wa DP World,sasa wanaona haya,kumchukia na kumfitini Mwambukusi!

  • @thomasmmoka4884
    @thomasmmoka488411 ай бұрын

    Ingekuwa vema kama Mama Samia angemteua Mwambukusi kuwa AG badala ya Feleshi.Mwambukusi kawaumbua madalali wa DP World,sasa wanaona haya,kumchukia na kumfitini Mwambukusi!

  • @thomasmmoka4884
    @thomasmmoka488411 ай бұрын

    Ingekuwa vema kama Mama Samia angemteua Mwambukusi kuwa AG badala ya Feleshi.Mwambukusi kawaumbua madalali wa DP World,sasa wanaona haya,kumchukia na kumfitini Mwambukusi!

  • @rosengumbi3748

    @rosengumbi3748

    11 ай бұрын

    Ila bongo kazi, aliyesoma na asiyesoma hakuna tofauti, eti bandari imeuzwa, kuuuuzwa kivipi??

  • @thomasmmoka4884

    @thomasmmoka4884

    11 ай бұрын

    @@rosengumbi3748 sikiliza we msomi chawa:ukimkodisha mtu shamba lako kwamba awe analima hadi pale atakapojisikia kuacha kulitumia,je si sawa na kuliuza shamba lako kwa mtu huyo?

Келесі