MWABUKUSI AMVAA MWANASHERIA MKUU/ASEMA SIOGOPI, SIISHI KWA VYETI, AMTAJA CHONGOLO, HAMJUI MSANDO
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com
Пікірлер: 122
Ujengewe sanam wakili😂😂🎉🎉🎉
Mimi sichoki kumsikiliza mwambukus namuelewa saaana 💪👍🙏🤝
safi sanaaa! Boniface Anyisile kajunjumele Mwabukusi.
AG kachemka hapo, bora anyamaze maana watanzania tunaelewa kinacho endelea. Bandari zetu haziuzwi. Tutasimama na Mwambukusi hadi kieleweke
Asanteeeee Mheshimiwa wewe ndo Mheshimiwa na sio hao vichaa walio logwa WA ccm
Safi huyu ndie mzarendo wa kweli
@marcokaroje8980
28 күн бұрын
Wazalendo wazuri katika nchi hii wanayosifa. ya kupuuza ushauri was watu ambao siyo viongozi CCM na serikalini wanajua familia zao tu na wale machawa wanaojipendeza kwao ambao ni wachahe sana hawafiki hats milioni mbili walipobaki wanaonekana ni mbumbumbi hwaskilizwi
Ukiona baba anauza nyumba alafu watoto Wanashangilia kununuliwa Mandazi,Hao watoto sio Bure ni Machizi na Mateja
Ubarikiwe mtumishi wa Bwana. Mungu hatakuacha, simamia hapohapo na taaluma yako inakulinda
Uko vizur bon mungu atakusimamia na wataanzania wote wanao jua haki zao na uzalendo wa nchi Yao.
UmewAzidi wote bro hakika wewe ni mzalendo. Pamoja sana
Barikiwa baba Mungu aendelee kukuinuwa tena viwango vya juu
Hongera ndugu kazi yako Mungu anaiona,umejitoa sadaka Kwa akili yetu sisi wanyonge Mungu akuinue ktk jina kuu la Bwana Yesu,
Hongera sana tupamoja towatamko
Mungu awe pamoja nawe nasi tunakuombea watanganyika tuko pamoja
Nakupenda bure msemaji wawanyonge
Mwambukusi kiboko Uko vizuri
🇹🇿🙏🙏😭.Mungu ibariki Tanzania. Kaka ubalikiwe🙏❤️
Wafundishe Bro Big Up
Mwabukusi uko vzr sana ila kwakuwa watu wanaona wote ni mbulula watanza
Kwenye haki ya nchi sema ukweli mungu akutetee
Aisee, mwanaume na nusu Vyeti ni vithibitisho vya kwenda shule, Na siyo lazima uwe umesoma ndipo uishi na kuwa utashi kama Binadamu
Ubarikiwe kakaa ulikuwa wapi ww miaka yote hii?!
Tungepata hata watz 5 tu kama huyu, daaah tz ingenyoka
Daaaaah aibu imshukie huyo wakili mkuu Boniface hata mkimfungia vyeti haitowasaidia chochote tutasimama Na ukweli,nimeiona Tunduma iliposimama Na Boniface pale walipobomolewa nyumba Zai mpakani watu walilipwa fidia zao huyu kaka anamsimamo wenye manufaa makubwa ✍️
@balthazarkilasi9825
11 ай бұрын
Wakili wa Serkali amesema mkataba huo DP wamesema ktk. Kipengele kimoja ya kuwa TPA au WATANZANIA tukitaka kuendeleza Bandari yeyote nje ya tulizokubaliana. "LAZIMA TUWAARIFU" ....wao DP sikukuelewa,jee ni kweli tunatakiwa kufanya hivyo na ni utaratibu? tuelimisheni!
Safi sana baba tutetee sisi ambao hatuna wa kutusemea hayo mana hawa viongozi sijui hili taifa wanataka kufilisi
Baba pambana tuko nyuma yako wameanza muda mrefu sana haya mambo Yao ya wizi
Wewe songa mbele tunakuombea hatuna pakusemea MUNGU Akulinde.
Mwenyezungu akupenguzaidi kaka
uwoga wetu haujawahi kutusaidia
Hawa ndio wanatakiwa kua viongozi sio wapga dili miaka yote wawekezaji hawana msaada wowote kwnn maden yanaongezeka kila cku waache bandali kama wameshindwa watoto zetu watakuja kuiendesha
@mwamakaassely2260
11 ай бұрын
Magu hakuuza bandari, elewa hilo
Kaka uko viziri hatuna hamu na ccm,tupo nyuma yako kimaonbi,hii no haki yeti.
❤❤❤❤❤ san ww ni kichwa
Safi sana msomi
Ingekuwa vema kama Mama Samia angemteua Mwambukusi kuwa AG badala ya Feleshi.Mwambukusi kawaumbua madalali wa DP World,sasa wanaona haya,kumchukia na kumfitini Mwambukusi!
People of Tanzania. I can assure you that ccm they are deeply devoted to God, but their devotion is not based on true knowledge. They have not known the way in which God puts people in right with himself, and instead, they have tried to set up their own way, and they did not submit themselves to God's way putting people right. Waroma 10vs1-4
Mwabukusi Mungu awe na Wewe Daima
Respect 🙌
Yani naomba kabxa, thanks alot,kila mmoja ana haki
Mimi kama mtanganyika nikopamoja nawewe wakili musomi
Safi sana kamanda
Mungu akulinde wewe na muheshimiwa bashe nyinyi ni wazalendo
Mainzi kijani watanzania tunamweleea San wakili mtajua hamjui
Damu ya yesu ikufunike
Mungu akupe maixha malefu
Haki yetu haki yetu haki Mali zetu uzalendo na Katina mpya vyote viwe wazi tutetee kaka yetu hatutaki tena kuwa watumwa
Mungu yupo nasi,ubarikiwe,sana
Kiongozi mzuri sana ni yule anaesikiliza maono ya anaowaongoza,na si vinginevyo
Mungu akubariki sana
Kudra anatumika vibaya kwenye lipi soma mkataba acha kuwa mbumbumbu
Mapambano ya haki huwa haiombwi bro uko fiti ,okoa bandari zidi ya genge la wahuni serekalini.
🔥🔥🔥🔥
Mungu yu pamoja nawe hao ccm hawana dini
God blass you baba
Usimwogope mwanadamu
Hawa watu hawana aibu wala huruma hata kidogo.Kama wazee wetu waliilinda nchi yetu kwa gharama kubwa hadi uhai wao na ndio maana leo wanakula na kuendesha magari makubwa na wamejiona kuwa miungu isiyokosolewa! Daw ni kuwatoa madarakani kwa nguvu ya uma.
Huyu mwamba shikamooo
Amen
Mungu yupo nawe kabxa,
tukopamoja tumechoka kuongopa
Watuachie bandari yetu titatusiadia katika muungano wa one african na putin wetu
bora mwanasheria mkuu wa serikali angekua mwabukusi anaeleweka kuliko.huyo swaza wa.mkatabata wakimagumashi, tunekuelewa mwabukushi❤
@swiftkatepa6131
11 ай бұрын
😢
Mbona kila ukiongea siogopi ni mtanzania yupi uliomuona anaogopa unajiita msomi kweli umeenda shule lakini huna hekima na pia hujui kupanga maneno kuna watu wenye hekima wanakufatilia kukusikiliza ila tunahisi kuwa ww unaogopa sababu ajenda uliyopewa na wateja wako kimekuzidi uzito
@ramadhanchenga4606
Ай бұрын
We ni zero brain
Wanatumia pesa zetu vibaya wanawapa alikiba na diamond ili watu tusahau kusikiliza vitu vya msingi
Hakika tunaitaji kuamka izo nchi za kiarabu kipindi tunapata uhuru zilikuwa na Hali mbaya kuliko sisi na ukilinganisha rasilimali zao ,ila Leo sababu waneendelea tuendelee kuwategemea ili tuendelee kuwa watumwa wa fikra ukweli watanzania wenzangu hii haiko sawa hata Kwa mtu yeyote chini kule huu mkataba wa bandari na mikataba mingine kuhusu Mali asili ,nishati za umeme , jeshi ipitiwe waarabu wamepenya ndani wameweza Sasa wakichukua na bandari ...ni mfano wa mwizi kaingia ndani na kapata ufunguo wa mlango mkubwa wa sebureni ule wa kutoka nje ....watanzania wengi nimeongea nao wanasema tuache tu tunaathirika na nin mbona hiko ivyo toka zamani najisikia vibaya maan uchumi tulionao sio sawa na hata maendeleo ya sekta zetu zote Bado afya,elimu, miundo mbinu na nk na Bado mtu unasema sawa aloooho tuamke sio sababu ya chochote ila tuweze kutoka katika Giza hili na kujua haki zetu onene wenzetu uko mbele wanavyoishi we need to change our mind tuondoe hofu
@muuminikidunda9214
11 ай бұрын
Mbona wazungu wanamiliki migodi mingi ya dhahabu na kuendesha mashirika yanayosupport ushoga hao mawakili wapo kimya
Gwajima,Yuko wapi mbona Yuko kimya
Sasa wewe mnafiki huu ushujaa wote ulionao ulikuwa wapi wakati magufuli anafungia watu kwenye viroba,ulikuwa wapi wakati magufuli akiamuru tundu lissu auliwe. Watu rabish kama huyu hawezi kunishawishi chochote
Wenzio walikataa SGR,bwawa la mwalimu nyerere wakamkataa na magufuli , amekufa upepo umebadilika leo wanataka magufuli awepo?
Tatizo njaa mnataka kitonga bandarini kuna wizi mkubwa ndio maana bandari kubwa maendeleo hakuna. Wacha waarabu wawanyooshe nyie wezi mawakili .hamtaki waarabu wawafundishe jinsi ya kuendesha bandari
Nchi hii hivi ,Vihiyo na vipaza mpaka lini
Asante bro,kati ya Wasomi wachache Tanganyika wewe umo,Endelea na Mapambano tupo na wewe,Wameshazoea kutishana hao wachumia Tumbo,Wasomi wa Tanganyika wengi hawajitambui wanaendeshwa kwa tamaa sio Weledi cha ajabu wanajiita Maprofesa na Madokta
@yussuffadhil4522
11 ай бұрын
Hahaha babdari itauzwa tuu
@yussuffadhil4522
11 ай бұрын
Hahaha bandari itauzwa tuu...... na leo mnatambua km kuna Tanganyika?
@robinilomo2887
11 ай бұрын
@@yussuffadhil4522 Kichwa Maji we hujitambui,kati ya hao majuha niliyowaongelea
@robinilomo2887
11 ай бұрын
Tofauti ni kwamba we hujasoma,Failure
Umeongea kweli alutakontinua mapambano yaendelee
Tembelea upepo kaka, wenzio watakuacha upepo ukivuma upande mwingine
Tungekua na watu 50kama awa daaa
Mwabukus saluti kwako mwamba wewe mtanzania wewe nakutukana wewe ni litanzania uliezaliwa Tanzania utakufa kwaajiri ya nchi Yako mtanzania mkubwa wewe
Watu wa Pwani watu wa hovyo sana. Kinachoisumbua nchi hii ni ushenzi wa watu wa Pwani…..wapuuzi wanaocheka cheka huku wakiuza nchi. Mbwa kabisa wale
Kweli kabisa Hata MAMA amekubali kwamba wanasheria wake wanaogopa wazungu ndiyo maana wakienda kututetea kimataifa wanashindwa kesi. Inavyoonekana hata katika kusaini mikataba wanaogopa wazungu hawasomi kilichomo wanasaini tu ndiyo maana wamesaini bila kusoma na kusababisha TZ yetu kuingia kwenye taaluki. Mchague Bwabukusi awe AG ambaye hawaogopi wazungu tuweze kushinda hizo kesi zingine zilizoko kwenye mahakama za kimataifa. MWABUKUSI OYEEEEE.
Huyu bwana ha ha ha ha ha ha
Kyala aje nanungwe nkulumba.
Unatumika vibaya
Kweli Magufuli alikuwa kiboko Walikuwa hawaongei enzi za uhai wake
Huna lolote unajitafutia sifa bure sisi tunasonga mbele.
@louiskayange-kz7ec
11 ай бұрын
Dini inakusumbua ww
@sheryphamwenevalley6124
11 ай бұрын
mbele wanasongo wao.ww shida tupu , usoijielewa
@johngerald4677
11 ай бұрын
Mbwa we
@sheryphamwenevalley6124
11 ай бұрын
@@johngerald4677 mkund* WEE🐖 mafiisadi.wakubwa mmekomeshwa.myan'gau🍆
Wakili msomi waambie hao wasomi wajinga tu
MAWAKILI KAZI YENU UWA YA AJABU SANA..WAKILI ANAWEZA KUMTETEA MTU ALIYEMDHURUMU MTU MWINGINE ILI ILE HAKI AIPATE KWENYE KUDHURUMU..HILO JAMBO WASUBILI KIDOGO WATAKUJA KUMJUA M'MUNGU NI NANI..SIO MUDA MULEFU KWSSB MAISHA NI MAFUPI SANA..NA ELEWA HAKUNA MTU MWENYEJI DUNIANI TUNAPITA TU
Acheni amani yetu nyinyi nchi ikivurugika mtaondoka Tanzania sisi watanzania hatuna pakukimbilia
@ibrahimuwissi
11 ай бұрын
kaka hijijui wewe
@ladislausmoris9638
11 ай бұрын
Kenge kabisa tunauzwa afu unabeza acha upuzi ngedere weee
@mbarakatv633
11 ай бұрын
@@ladislausmoris9638 Haina haja kutukanana sawa .ila usijifikuire sana wewe angalia nchi ikivurugika wewe unaweza kukimbia lakini wapo icu,kunawalemavu na wazee wote ndio wataumia maneno mawili yanauwezo mkubwa wa kuvuruga amani .Sasa waacheni viongozi walio madarakani wao ndio viongozi wetu
NANI MWIZ WE PUMBAVU!! MWACHENI SEREKALI IFANYE KAZI!! HAYO MANENO NI UCHOCHEZI,ETI MWINGIE BARABARA KUWAONDOA VIBAKA!!PUMBAVU WEWE!!
@Sambrain03
11 ай бұрын
Acha uchawa mwisho wake sio mzuri.. tumia akili vizuri
@lalosalamanca7131
11 ай бұрын
We ni uharo wa bata
Tatizo nyie kelele nyingi . Mmeambiwa toeni maoni wapi palekebishwe .alafu usiwe muongo eti sikuwa na cheti toka shuleni
UNATAFUTA KIKI ZA KISHAMBA KWELI BROTHER !!!
WEWE HUTISHWI NA SEREKALI!!KWA HIYO WEWE UNAITISHA SEREKALI,PUMBAVU VITU GANI ULIVIKUTA,KAMA NI BANDARI ILIENGWA,TENA ILIJENGWA NA WAARABU!!NA SASA INATAKIWA IJENGWE KISASA ZAIDI!! WEWE NANI ETI UNAITISHA SEREKALI!! ACHA KUTISHIA NYAU!! HUFAI KUWA WAKILI MCHOCHEZI MKUBWA!!
@sethdaniel5560
11 ай бұрын
Mli sign kimya kimya but wazarendo walivujisha
@silverrichard1211
11 ай бұрын
Akili zako zipo matakoni hujitambui wewe taila
@ramadhanimtetu3656
11 ай бұрын
Huyu Wakili anatafuta Kiki za kishamba
@OmmyJames-xn7ji
11 ай бұрын
WELL SAID MY BROTHER WAGALATIA WENGI WANAOPINGA WALA HAWAIJUI BANDARI YETU WAO WANAFATA MAASKOFU WAO MAJIZI YALIYOKUWA YANAIBA PALE BANDARINI KWA MIAKA60 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿DP WORLD WANAKUJA HAKUNA HATA SINDANO INAYOPITA BILA USHURU
@rosekajuki1787
11 ай бұрын
Jibu unalo mwenyewe
Ingekuwa vema kama Mama Samia angemteua Mwambukusi kuwa AG badala ya Feleshi.Mwambukusi kawaumbua madalali wa DP World,sasa wanaona haya,kumchukia na kumfitini Mwambukusi!
Jamani viongozi wetu kuweni wasikivu Kwa ajili ya Taifa letu na vizazi vyetu kuweni wazalendo
Ingekuwa vema kama Mama Samia angemteua Mwambukusi kuwa AG badala ya Feleshi.Mwambukusi kawaumbua madalali wa DP World,sasa wanaona haya,kumchukia na kumfitini Mwambukusi!
Ingekuwa vema kama Mama Samia angemteua Mwambukusi kuwa AG badala ya Feleshi.Mwambukusi kawaumbua madalali wa DP World,sasa wanaona haya,kumchukia na kumfitini Mwambukusi!
Ingekuwa vema kama Mama Samia angemteua Mwambukusi kuwa AG badala ya Feleshi.Mwambukusi kawaumbua madalali wa DP World,sasa wanaona haya,kumchukia na kumfitini Mwambukusi!
@rosengumbi3748
11 ай бұрын
Ila bongo kazi, aliyesoma na asiyesoma hakuna tofauti, eti bandari imeuzwa, kuuuuzwa kivipi??
@thomasmmoka4884
11 ай бұрын
@@rosengumbi3748 sikiliza we msomi chawa:ukimkodisha mtu shamba lako kwamba awe analima hadi pale atakapojisikia kuacha kulitumia,je si sawa na kuliuza shamba lako kwa mtu huyo?